LIFE WISDOM: VITU VINAVYOSABABISHA MATATIZO YA KIFEDHA - Joel Nanauka

  Рет қаралды 18,485

Joel Nanauka

Joel Nanauka

4 ай бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 103
@ShedDjeey-cn9ti
@ShedDjeey-cn9ti Ай бұрын
Kama timu joel nanauka Like apaaaaa achana na vikundi visivyo na msingi 💰💰💰
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 4 ай бұрын
Kiukweli leo nimepata kitu kipya,mimi hua nimtu wa huruma sana yani mimi kutoa pesa hua sioni tabu,kunamuda nanunua nguo au kitu bila kuwa na ratiba nanikinunua nikifika nyumbani nashangaa hakivutii ,nimekua nikidharau pesa ndogo ndogo kumbe napoteza vitu vya muhimu Asante @Joel Nanauka ❤❤
@aboubakaribakari988
@aboubakaribakari988 4 ай бұрын
Upo Kama Mimi huruma jaman daah 😴🙌🙌
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 4 ай бұрын
@@aboubakaribakari988 Kiukweli hii hali tuombe Mungu atusaidie
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Hongera kwa kujifunza, fanyia kazi 🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
@@shukranjulius9526Ameen
@christianmaringo4251
@christianmaringo4251 4 ай бұрын
😊
@elibarikioltaporu
@elibarikioltaporu 4 ай бұрын
My mentor stay blessed and see you at the top of Global public speakers ❤
@NeemaPeters
@NeemaPeters 3 ай бұрын
Asante sana nitarudi na ushuhuda joel
@lestutamdota715
@lestutamdota715 4 ай бұрын
Kuna watu wameletwa duniani kwajili ya kubadilisha watu . Nakushukuru sana masomo yamenibadilisha sanaa🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen Ahsante sana🙏
@shijamak
@shijamak 3 ай бұрын
Well said brother 💪🙏
@Bigbootyhot
@Bigbootyhot 4 ай бұрын
Barikiwa sawa mwalimu , hapa unenifungua sana mungu anisaidie niishinde hali hii❤️🙏🙏🙏
@IsaWeightloss
@IsaWeightloss 4 ай бұрын
Wewe ni kocha wangu, Mwalim wangu, na kaka yangu Kawa Baba yetu mmoja yaani Yesu Kristo, Mungu na azidi kukupeleka katika viwango vya kimataifa🙏💪💪
@furahasweya7433
@furahasweya7433 4 ай бұрын
Wewe ni kocha wa kimataifa Mungu azidi kukutumia zaidi. Binafs ninajifunza mengi kila iitwapo leo. Elimu yako ni muhima sana kwangu najutia kuchewa kusoma mafunzo yako akini naamini Mungu atafanya jambo kwa wakati sahihi.
@rhodasimba1804
@rhodasimba1804 4 ай бұрын
Hakika haya yote unayoyashauri kwetu endapo kama tutakuwa tunayafanyia kazi hakuna atakaeishi kwa kujutia hapa duniani.. Joel nanauka you are not only just a Life Coach you are beyond the limit... God bless you
@israelfumbo2093
@israelfumbo2093 4 ай бұрын
Asante kwa masomo mazuri nakusikiliza Toka makongolos chunya
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Wasalimie sana Makongolos Chunya
@divinemalachi
@divinemalachi 2 ай бұрын
Ubarikiwe sana broo
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 Ай бұрын
Nimejifunza asante 🙏🙏
@GodsonDaniel-oo3sz
@GodsonDaniel-oo3sz Ай бұрын
Nimejifunza kitu mwalimu
@paulmayombe4336
@paulmayombe4336 4 ай бұрын
Asante
@AlfaMbisa
@AlfaMbisa 12 күн бұрын
Joel naomba uniambie Bei ya kitabu cha Money formula maana nakihitaji kweli
@janetmbwana553
@janetmbwana553 4 ай бұрын
🙏🙏🙏 àsante sana coach unazidi kubadili maisha yetu
@happyswai6688
@happyswai6688 4 ай бұрын
Ahsante sana
@goldenwizzy123
@goldenwizzy123 4 ай бұрын
Kwann asa hv utumii mfumo wa picha unatumia sauti tu
@ViviKitchen23
@ViviKitchen23 4 ай бұрын
Vivi ubuyu mtamu hapa Ahsante my mentor Naendelea kuimarika zaidi❤❤❤
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Tuendelee kujifunza 🙏
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 4 ай бұрын
Nikweli mwalimu kile kidongha ndicho huzaa kikubwa.asantesana mwalimu munghu akuzidishiye
@henrymoghu5087
@henrymoghu5087 4 ай бұрын
Asante Mungu kupe maish marefu...Mentor wangu
@everose276
@everose276 4 ай бұрын
Joel,nakushukuru sana, najiona kama nina deni kwako. Elimu hii kuipata just kuweka bundle naona unastahili zaidi.❤
@ImanMwakyeja-cw3ty
@ImanMwakyeja-cw3ty 4 ай бұрын
Umesema ukweli mtupu. Anastahili kufanyiwa muamala mara chachechache
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen, ahsante sana Rose 🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
@@ImanMwakyeja-cw3tyNashukuru🙏
@user-xd2kz4pf5s
@user-xd2kz4pf5s 4 ай бұрын
Kweli mkuu ujumbe umefika....mungu akujalie kwa maarifa hayo.🎉
@joely22
@joely22 4 ай бұрын
Asante sana maan nimejifunza kitu maan nilikuwa moja wapo Asante san 🙏✍️👏
@bonifacemoses6774
@bonifacemoses6774 4 ай бұрын
Joel ndo mentor ambaye tangu 2017 mpaka leo hajawahi nidisapoint
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 4 ай бұрын
Kwakweli mimi pia toka nianze kumfatilia 2017 sijawahi juta
@user-be3uw9zj1g
@user-be3uw9zj1g 4 ай бұрын
Be blessed my greatest mentor
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen 🙏
@khalidihilali9967
@khalidihilali9967 4 ай бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye hili somo kunavitu vingi natakiwa nijirekebishe mambo mengi
@MalongoRichard-md5dv
@MalongoRichard-md5dv 4 ай бұрын
Ubarikiwe Sana
@josephinejumba9923
@josephinejumba9923 4 ай бұрын
waw ❤
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 4 ай бұрын
Asante sana kaka
@user-jx7nr7ll3x
@user-jx7nr7ll3x 4 ай бұрын
Kaka Joel Nanauka❤❤❤
@kanezajoella6663
@kanezajoella6663 4 ай бұрын
Asante sana mwalimu nimeskia na nimejifunza
@ashangonyani7989
@ashangonyani7989 4 ай бұрын
Asante sana kaka.
@saidkhalfan8207
@saidkhalfan8207 4 ай бұрын
Thank you
@AgustinoKinyaga
@AgustinoKinyaga 4 ай бұрын
Ahsante sana kaka @joel
@nehemiamminza4663
@nehemiamminza4663 4 ай бұрын
Asante sana kaka kwa somo lako zuri barikiwa sana
@goldiegranted5501
@goldiegranted5501 4 ай бұрын
🏆🏆🏆🏆
@nduhe_victor
@nduhe_victor 4 ай бұрын
Thanks
@meshackngadango6855
@meshackngadango6855 4 ай бұрын
Thanks alot and be blessed
@dianachipojola2991
@dianachipojola2991 4 ай бұрын
Asante nimejifunza
@vibetz9991
@vibetz9991 4 ай бұрын
Mimi appetite ya Internet connection ,, 😂
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Fanyia kazi🙏
@suzancharles8897
@suzancharles8897 4 ай бұрын
👏
@RICHARDWAUSA-ep4xe
@RICHARDWAUSA-ep4xe 4 ай бұрын
@MCmakore
@MCmakore 4 ай бұрын
Hakika Joel unatufaa katika maarifa Mungu akubariki Sana see you at the top''
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen, See You At The Top🙏
@user-is5xi3ve2r
@user-is5xi3ve2r 4 ай бұрын
ubaikiwe saaana👏👏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen Ameen🙏
@johnjames-pw1dp
@johnjames-pw1dp 4 ай бұрын
Thanks sana Bro Barikiwa sana aise
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏
@paschalmbiya93
@paschalmbiya93 4 ай бұрын
At the top we well see!. Umenipa mdomo bro . Big brain nanauka
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ahsante sanaa🙏
@eliasmugume254
@eliasmugume254 4 ай бұрын
Asante Sana kwaushauri Mkubwa Mungu Akubariki Sana
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen Ameen🙏
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 4 ай бұрын
Wanaotaka kuonesha watu kuwa wamefanikiwa ni wengi kuliko wanaoishi maisha yao halisi😂😂😂,kweli nimeamini apendae mafundisho upenda maarifa.
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Tuendelee kujifunza 🙏
@ChristinWanjiku-ec6px
@ChristinWanjiku-ec6px 4 ай бұрын
My best menter❤🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
🙏🙏🙏
@user-uy7oz8vr2l
@user-uy7oz8vr2l 4 ай бұрын
Kufanikiwa kwangu lazima kila ninachojifunza nakifanyia kazi barikiwa sana kakangu sijawahi acha kukusikiliza na kufuatilia unachofundisha....
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen, nashukuru kwa kuendelea kunifuatilia🙏🙏
@gilbertbaya1546
@gilbertbaya1546 4 ай бұрын
Thank you -from Kenya 🤞 crossed
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ahsante sana sana🙏
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 4 ай бұрын
Kaka Mungu akubariki sana kiukweli unafungua akili zangu kilasiku, naomba Mungu anisaidie niishinde hii hali
@jozidasuperior7257
@jozidasuperior7257 4 ай бұрын
Mungu atusaidie tu
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 4 ай бұрын
@@jozidasuperior7257 Kabisa yani
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen Ameen🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
@@jozidasuperior7257🙏🙏
@dr.msuyah1867
@dr.msuyah1867 4 ай бұрын
Shukran kwa good presentation NAWEZAJE KUPATA VITABU VYAKO?
@SukaDmGuy
@SukaDmGuy 4 ай бұрын
Duh bro umenena
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameeen
@mangasinikusaya8157
@mangasinikusaya8157 4 ай бұрын
Morning speech ❤❤Ahsante sana
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Tuendelee kujifunza🙏
@masudibaja
@masudibaja 4 ай бұрын
Ili darasa kubwa sana mwalimu,, ubarikiwe sana kaka Joel
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen, nisaidie kushare na wengine🙏
@masudibaja
@masudibaja 4 ай бұрын
Sawa mwalimu
@VictorOne-hc9fi
@VictorOne-hc9fi 4 ай бұрын
Mm nataka no nipate vitab vyako
@user-hr7wl4vg9h
@user-hr7wl4vg9h 4 ай бұрын
ubaliki we e
@revdrseni
@revdrseni 4 ай бұрын
So wonderful subject
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ahsante sana🙏
@moseskenedy7042
@moseskenedy7042 4 ай бұрын
Nikweli hata mimi nahitaji kufanya vitu vikubwa ila matumizi ni makubwa asannte sana mentor wangu brother joel I promiss this year nitafanya vitu vikubwa
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 4 ай бұрын
Kweli ndugu yangu, hii hali iko kwangu kunamuda nanunua kitu hata hakikua kwenye ratiba
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Naamini utafanyia kazi🙏
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 4 ай бұрын
Mim mwanangu nahisi anacho Iko kitu yani hawez kujizuia hisia zake kabisa yan Sasa nifanyeje?Yan akitaka chakula ndo ivyoivyo anataka iwe..Hana uvumilivu kabisa Yan..nimfanyeje? Kwamana Bado yupo mdogo kiasi..ebu nishauli kabla sijachelewa
@bonifacewanyonyi3555
@bonifacewanyonyi3555 4 ай бұрын
Huyu ni Mimi kapisa ninaacha sasa😢😢😢
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Nasubiria ushuhuda utakapoacha🙏
@aderiderkihupi7240
@aderiderkihupi7240 4 ай бұрын
Asante
LIFE WISDOM : IJUE NGUVU ILIYOPO NDANI YAKO - JOEL NANAUKA
15:34
Joel Nanauka
Рет қаралды 16 М.
LIFE WISDOM : MATUMAINI KATIKA KIPINDI CHA KUSUBIRI - JOEL NANAUKA
16:49
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 21 МЛН
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 154 М.
KUSUDI LA MAISHA YAKO   JOEL NANAUKA EPISODE 03
10:00
Family of Praying Women
Рет қаралды 7 М.
LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKA
17:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 22 М.
LIFE WISDOM: VITU AMBAVYO VIPO NDANI YA MAONO - JOEL NANAUKA
14:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 10 М.
Mpoki na Ulaji wa Profesa Janabii
9:18
CHEKESHA
Рет қаралды 103 М.
Joel Nanauka - Vitu Vinavyozuia Watu Wasifikie Malengo Yao
35:09