Kama timu joel nanauka Like apaaaaa achana na vikundi visivyo na msingi 💰💰💰
@shukranjulius95264 ай бұрын
Kiukweli leo nimepata kitu kipya,mimi hua nimtu wa huruma sana yani mimi kutoa pesa hua sioni tabu,kunamuda nanunua nguo au kitu bila kuwa na ratiba nanikinunua nikifika nyumbani nashangaa hakivutii ,nimekua nikidharau pesa ndogo ndogo kumbe napoteza vitu vya muhimu Asante @Joel Nanauka ❤❤
@aboubakaribakari9884 ай бұрын
Upo Kama Mimi huruma jaman daah 😴🙌🙌
@shukranjulius95264 ай бұрын
@@aboubakaribakari988 Kiukweli hii hali tuombe Mungu atusaidie
@joelnanauka4 ай бұрын
Hongera kwa kujifunza, fanyia kazi 🙏
@joelnanauka4 ай бұрын
@@shukranjulius9526Ameen
@christianmaringo42514 ай бұрын
😊
@elibarikioltaporu4 ай бұрын
My mentor stay blessed and see you at the top of Global public speakers ❤
@NeemaPeters3 ай бұрын
Asante sana nitarudi na ushuhuda joel
@lestutamdota7154 ай бұрын
Kuna watu wameletwa duniani kwajili ya kubadilisha watu . Nakushukuru sana masomo yamenibadilisha sanaa🙏
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen Ahsante sana🙏
@shijamak3 ай бұрын
Well said brother 💪🙏
@Bigbootyhot4 ай бұрын
Barikiwa sawa mwalimu , hapa unenifungua sana mungu anisaidie niishinde hali hii❤️🙏🙏🙏
@IsaWeightloss4 ай бұрын
Wewe ni kocha wangu, Mwalim wangu, na kaka yangu Kawa Baba yetu mmoja yaani Yesu Kristo, Mungu na azidi kukupeleka katika viwango vya kimataifa🙏💪💪
@furahasweya74334 ай бұрын
Wewe ni kocha wa kimataifa Mungu azidi kukutumia zaidi. Binafs ninajifunza mengi kila iitwapo leo. Elimu yako ni muhima sana kwangu najutia kuchewa kusoma mafunzo yako akini naamini Mungu atafanya jambo kwa wakati sahihi.
@rhodasimba18044 ай бұрын
Hakika haya yote unayoyashauri kwetu endapo kama tutakuwa tunayafanyia kazi hakuna atakaeishi kwa kujutia hapa duniani.. Joel nanauka you are not only just a Life Coach you are beyond the limit... God bless you
@israelfumbo20934 ай бұрын
Asante kwa masomo mazuri nakusikiliza Toka makongolos chunya
@joelnanauka4 ай бұрын
Wasalimie sana Makongolos Chunya
@divinemalachi2 ай бұрын
Ubarikiwe sana broo
@brackskinyozi3280Ай бұрын
Nimejifunza asante 🙏🙏
@GodsonDaniel-oo3szАй бұрын
Nimejifunza kitu mwalimu
@paulmayombe43364 ай бұрын
Asante
@AlfaMbisa12 күн бұрын
Joel naomba uniambie Bei ya kitabu cha Money formula maana nakihitaji kweli
@janetmbwana5534 ай бұрын
🙏🙏🙏 àsante sana coach unazidi kubadili maisha yetu
@happyswai66884 ай бұрын
Ahsante sana
@goldenwizzy1234 ай бұрын
Kwann asa hv utumii mfumo wa picha unatumia sauti tu
@ViviKitchen234 ай бұрын
Vivi ubuyu mtamu hapa Ahsante my mentor Naendelea kuimarika zaidi❤❤❤
Joel,nakushukuru sana, najiona kama nina deni kwako. Elimu hii kuipata just kuweka bundle naona unastahili zaidi.❤
@ImanMwakyeja-cw3ty4 ай бұрын
Umesema ukweli mtupu. Anastahili kufanyiwa muamala mara chachechache
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen, ahsante sana Rose 🙏
@joelnanauka4 ай бұрын
@@ImanMwakyeja-cw3tyNashukuru🙏
@user-xd2kz4pf5s4 ай бұрын
Kweli mkuu ujumbe umefika....mungu akujalie kwa maarifa hayo.🎉
@joely224 ай бұрын
Asante sana maan nimejifunza kitu maan nilikuwa moja wapo Asante san 🙏✍️👏
@bonifacemoses67744 ай бұрын
Joel ndo mentor ambaye tangu 2017 mpaka leo hajawahi nidisapoint
@shukranjulius95264 ай бұрын
Kwakweli mimi pia toka nianze kumfatilia 2017 sijawahi juta
@user-be3uw9zj1g4 ай бұрын
Be blessed my greatest mentor
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen 🙏
@khalidihilali99674 ай бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye hili somo kunavitu vingi natakiwa nijirekebishe mambo mengi
@MalongoRichard-md5dv4 ай бұрын
Ubarikiwe Sana
@josephinejumba99234 ай бұрын
waw ❤
@yusufuheri65244 ай бұрын
Asante sana kaka
@user-jx7nr7ll3x4 ай бұрын
Kaka Joel Nanauka❤❤❤
@kanezajoella66634 ай бұрын
Asante sana mwalimu nimeskia na nimejifunza
@ashangonyani79894 ай бұрын
Asante sana kaka.
@saidkhalfan82074 ай бұрын
Thank you
@AgustinoKinyaga4 ай бұрын
Ahsante sana kaka @joel
@nehemiamminza46634 ай бұрын
Asante sana kaka kwa somo lako zuri barikiwa sana
@goldiegranted55014 ай бұрын
🏆🏆🏆🏆
@nduhe_victor4 ай бұрын
Thanks
@meshackngadango68554 ай бұрын
Thanks alot and be blessed
@dianachipojola29914 ай бұрын
Asante nimejifunza
@vibetz99914 ай бұрын
Mimi appetite ya Internet connection ,, 😂
@joelnanauka4 ай бұрын
Fanyia kazi🙏
@suzancharles88974 ай бұрын
👏
@RICHARDWAUSA-ep4xe4 ай бұрын
❤
@MCmakore4 ай бұрын
Hakika Joel unatufaa katika maarifa Mungu akubariki Sana see you at the top''
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen, See You At The Top🙏
@user-is5xi3ve2r4 ай бұрын
ubaikiwe saaana👏👏
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen Ameen🙏
@johnjames-pw1dp4 ай бұрын
Thanks sana Bro Barikiwa sana aise
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏
@paschalmbiya934 ай бұрын
At the top we well see!. Umenipa mdomo bro . Big brain nanauka
@joelnanauka4 ай бұрын
Ahsante sanaa🙏
@eliasmugume2544 ай бұрын
Asante Sana kwaushauri Mkubwa Mungu Akubariki Sana
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen Ameen🙏
@bonifaceferdinand5664 ай бұрын
Wanaotaka kuonesha watu kuwa wamefanikiwa ni wengi kuliko wanaoishi maisha yao halisi😂😂😂,kweli nimeamini apendae mafundisho upenda maarifa.
@joelnanauka4 ай бұрын
Tuendelee kujifunza 🙏
@ChristinWanjiku-ec6px4 ай бұрын
My best menter❤🙏
@joelnanauka4 ай бұрын
🙏🙏🙏
@user-uy7oz8vr2l4 ай бұрын
Kufanikiwa kwangu lazima kila ninachojifunza nakifanyia kazi barikiwa sana kakangu sijawahi acha kukusikiliza na kufuatilia unachofundisha....
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen, nashukuru kwa kuendelea kunifuatilia🙏🙏
@gilbertbaya15464 ай бұрын
Thank you -from Kenya 🤞 crossed
@joelnanauka4 ай бұрын
Ahsante sana sana🙏
@shukranjulius95264 ай бұрын
Kaka Mungu akubariki sana kiukweli unafungua akili zangu kilasiku, naomba Mungu anisaidie niishinde hii hali
@jozidasuperior72574 ай бұрын
Mungu atusaidie tu
@shukranjulius95264 ай бұрын
@@jozidasuperior7257 Kabisa yani
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen Ameen🙏
@joelnanauka4 ай бұрын
@@jozidasuperior7257🙏🙏
@dr.msuyah18674 ай бұрын
Shukran kwa good presentation NAWEZAJE KUPATA VITABU VYAKO?
@SukaDmGuy4 ай бұрын
Duh bro umenena
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameeen
@mangasinikusaya81574 ай бұрын
Morning speech ❤❤Ahsante sana
@joelnanauka4 ай бұрын
Tuendelee kujifunza🙏
@masudibaja4 ай бұрын
Ili darasa kubwa sana mwalimu,, ubarikiwe sana kaka Joel
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen, nisaidie kushare na wengine🙏
@masudibaja4 ай бұрын
Sawa mwalimu
@VictorOne-hc9fi4 ай бұрын
Mm nataka no nipate vitab vyako
@user-hr7wl4vg9h4 ай бұрын
ubaliki we e
@revdrseni4 ай бұрын
So wonderful subject
@joelnanauka4 ай бұрын
Ahsante sana🙏
@moseskenedy70424 ай бұрын
Nikweli hata mimi nahitaji kufanya vitu vikubwa ila matumizi ni makubwa asannte sana mentor wangu brother joel I promiss this year nitafanya vitu vikubwa
@shukranjulius95264 ай бұрын
Kweli ndugu yangu, hii hali iko kwangu kunamuda nanunua kitu hata hakikua kwenye ratiba
@joelnanauka4 ай бұрын
Naamini utafanyia kazi🙏
@jamilaathumani54814 ай бұрын
Mim mwanangu nahisi anacho Iko kitu yani hawez kujizuia hisia zake kabisa yan Sasa nifanyeje?Yan akitaka chakula ndo ivyoivyo anataka iwe..Hana uvumilivu kabisa Yan..nimfanyeje? Kwamana Bado yupo mdogo kiasi..ebu nishauli kabla sijachelewa