Barikiwa saana kaka Joel I regret why nilichelewa kuanza kukufuatilia vision,time and priorities
@castorysosoma85403 жыл бұрын
Aisee hili somo bhana ni powerful sana natamani kila kijana angeliskia... Mungu akubariki sana kaka Joel...
@mkiryamadebe76783 жыл бұрын
Good massage
@kennytwinzi90323 жыл бұрын
Casto...umeongea kama ninavotamanigi siku zote nikiona ujumbe mzuri natamani vijana au watu wote wausikie 👍
@ViviWasafi Жыл бұрын
Naitwa Richard Gilbert mpagaze Nina dreams ya kuwa muombaje mzuli wakubadisha watu na kuwa najili nuzuli naitaji ushauli.
@fatmamwiru75743 жыл бұрын
“Mafanikio yakweli yanatakiwa yakusogeze karibu na Mungu nasio kukutoa kwa Mungu”🙏.
@mmbatizaji80753 жыл бұрын
Pamoja sana kaka, natumia Mb, zangu kwa usahihi kabisa
@MariamChidaga-cf4rg Жыл бұрын
MUNGU wa mbinguni azidi kukuinua daima hili somo limenigusa sana sana naamini ipo siku ntayafikia maono yangu
@johnsonmarick453 жыл бұрын
Great talk, great learning bro
@ludgermkemwa19193 жыл бұрын
Kaka hii video imenipa hamasa kubwa mno. Hapa nilipo sina hata Tsh 10 mfukoni but maono yangu yapo pale pale. Naamini nina nimeshafungua taasisi ambayo inasaidia vijana wengi na tumefungu ofisi katika kila Wilaya hapa nchini.
@johariphilemon86303 жыл бұрын
amen amini ndoto yako ita timia
@anesansibert29683 жыл бұрын
Jaman jaman ubalikiwe ili somo limekuja kwa ajili langu Mungu akupe maisha marefu
@ELIAWINGAMWASHA-iw9xq3 ай бұрын
Unanisaidiaje mtu aliyekata tamaa
@joycezacharia75983 жыл бұрын
Mungu zaidi kukutumia kufumbua macho ya kizazi hiki. Naamini ndiyo sababu yake kukuleta duniani. Kazi yako ni njema sana. Ubarikiwe na kuzidi. Natamani elimu hii ikiwafikia wengine live hapa Kigoma. Rev. Zacharia Andrea FPCT MWANGA KGOMA
@veronicabiaka47303 жыл бұрын
Nipo kaka angu nami ni MU FPCT KATUBUKA... NAMFATILIAGA SANA.. NDIO MAANA NAMI NINA NDOTO YA KUFIKA MBALI PAMOJA NA WANAKIGOMA WOTE.. NA NIMEILETA FURSA KIGOMA TUPO JENGO LA NMB GOROFA YA KWANZA.. karibu sana kaka
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
Nimejifunza Kuchuja taharifa!!
@aminakiyungi942 жыл бұрын
Mungu akubarik mtumish vipindi vyako vimekuwa faraja kwangu sana
@rimepeter7893 жыл бұрын
AMEN in JESUS NAME, I believe in this message, God bless you sir ❤🙏
@leahmzulu15053 жыл бұрын
Only "VISION" Ahsante sanaaaa
@BRIGHTONRICHARD-c3r Жыл бұрын
Tanzania saivi tuinuke jamani kwa haw watu walio jitolea tuache kuka kizembwe ni kitendo cha mdaa tu tungoje TUOMBE MUNGU ATUPE MAONO
@yohanasimtenda7483 жыл бұрын
Brother unatupa maarifa makubwa sana, Yesu akutunze
@upendowerema22473 жыл бұрын
Asante my brother,Mungu azidi kukutumia na kukubariki,This is what I needed to hear
@isaacktweve6303 жыл бұрын
Nataka niwe mwanafunzi wako ,nitumie Contact.
@applesherman82173 жыл бұрын
Wish you all the best brother. Kupitia wewe Umebadilisha Lifestyle yangu%
@liberatussylvanus54773 жыл бұрын
Thenkyou!
@williamngao44543 жыл бұрын
Nabarikwa sana na mafundisho yako
@Luccado-kn2xs4 ай бұрын
This guy teaches like Bishop Dr. Gwajima Josephat 0:48 0:54
@soniimedia24403 жыл бұрын
kama kweli wewe ni shabiki damu damu wa wcb naomba subscribe channel yangu nahitaji SUBSCRIBEs 1k nitawapenda sana sana! na kama na wewe unahitaji hao subscribe nijibu COMMENT hiii🙏🙏
@tukaesanatu2754 Жыл бұрын
Asante baba kwa somo lako
@rabanphotostudionyakanazi_4115 Жыл бұрын
Barikiwa kwa somo zuri.pia hongera kwa Kazi ya graphics
@gracesizya Жыл бұрын
Joel mi nina deni posta na nimeshindwa kurejesha nilikopa hela za fixed akaunt na nikapeleka shamba uzalishaji umepungua nifanyeje
@happynessmasere2363 жыл бұрын
Joe is Annointed..powerful.. Mungu akutunze kila siku.
@assamwakasanga60293 жыл бұрын
God blessing us
@FredyNanai Жыл бұрын
My brother mungu alikuleta kwajili ya watu wengi hapa Dunian na leo mm ni mmoja ya watu walio fanikiwa kufunguliwa na mafunzo yako.🙏🏾Muungu akupenguvu na maisha malefu ewe uzao mteule nami nipo nyuma ya mafundisho yako. Mungu amekuleta kwajili yangu ili nilishi kusudi langu kabla yako skujua nini maana ya kusudi maana nilikua nijikuta nimefanya kitu kama bahat kumbe ndilo kusud langu. Mungu akubaliki sana kaka ninapo pata changamoto hii video inaludisha memories zote zilizotaka kufutika🙏🏾 proud of you brother
@wivinajohn3028Ай бұрын
Qa
@annahaule74283 жыл бұрын
Kaka Joel umenifanya nilie.MUNGU NITIE NGUVU
@nrwawanndeny73943 жыл бұрын
Usilie viboko bado!
@samlutubija12292 жыл бұрын
Sorry nawezaje kupata kitabu Cha fomula ya pesa
@markojohnwalinguzo42253 жыл бұрын
Mungu akuinue juuuuu zaidi mtumishi, yaani najuta kwa kutokukufahamu Mapema maana nimepoteza mda wangu mwingi kufuatilia visivyo vya msingi mpaka juzi nilipoona post Kali ya diamond alafu akanukuu imetoka kwako ndo nikaamka
@agnesssilvan39543 жыл бұрын
Alright Joel...🕺🕺🕺 wewe ni UNSTOPPABLE. Nitaitetea ndoto yangu hadi itimie.
@kenyantotoz42443 жыл бұрын
MashaAllah mungu akuzidishie kaka,,, nimejiona mtu mtofauti kwa nasaha zako..... Mob love from kenya
@henryabraham-u6c7 ай бұрын
Thanks br again, I was not aware kwamba kusudi la maisha yangu ni zaidi ya mafanikio yangu binafsi, ooh, kumbe tumepishana na baraka za Mungu kwa sababu ya ubinafsi, nimejifunza kitu na ninaanza kufikiria wengine zaidi yangu binafsi, thanks, this is a kick towards my real vision. Stay blessed Joel, keep it up
@aniki72323 ай бұрын
Brother , nahisi kama Mungu alikuinua kwa ajili yengu mimi. Ubarikiwe sana.
@seefshamis54983 жыл бұрын
Naitwa siffah nipo oman hakika asante sana Joel umenifanya niwe na maono madhbuti
@williamjumbe19884 ай бұрын
Kuna jinsi naanza kukuelewa , nahisi Kuna hatua napiga ndani ya mind, japo physically sijaona mabadiriko Ila akili iko distance, nipe mwaka huu na mwakani nahisi ntakwambia kitu, Mm ni kijana nilie kua nasoma Ila matokeo yangu yakaharibiwa na walimu wa chuo, nikukata tamaa kwa miaka Sasa, hila, roho inanisukuma kwenda chuo Tena kusoma make ndoto yangu ni kua Dr,
@mwanaishabadi756810 ай бұрын
I like what ever u highlight known u for 2 days only
@KisaliRaphael9 күн бұрын
Professor nakusoma vzr sana MUNGU akubariki SoMo lako limenigusa na nitafanyia kazi MUNGU akupe miaka mingi katika jina la yesu amen
@NelsonFute11 күн бұрын
Kaka kwenye video zako unaweza kuongeza maneno mjongeo na kutafsiri ukiachana matamshi
@somacompyutakwakiswahili90533 жыл бұрын
INSPIRE's me more sir Joel
@albertmwajega6266 Жыл бұрын
Mungu amekupa kipawa kikubwa kaka ubarikiwe sana napenda kukufuatilia ktk mafundisho yako ubarikiwe sana.
Mimi nnavision imefikia asilimia 100%sasa nimezalisha vission mpya ambayo inatokana na ndoto ya mwanzo kutimia,nnaasilimia50%vision hii inamigogoro isipokua nnavision ndio inanisukuma kutimia ndoto yangu ht km haina saport maana nafanya kwa ajili yangu sio ajili ya watu.😄😄😄😄
@KenedMwansasu-bg9pi15 күн бұрын
Asante san mwalimu weti mungi azidi kikipandisha juuuibili tuzid kipata hiii elimu ilio Bora
@johariphilemon86303 жыл бұрын
kaka na chukia umasikin
@AlexVenance-s1b3 ай бұрын
Mungu ni mwema ❤
@lutammasawa60753 жыл бұрын
Ninakukubali.Hongera,Napenda nipate vitabu vyako.Nitapataje?
@musahmichael34802 жыл бұрын
nenda ista kwenye account yake utaipata no yake
@magaramakindika56473 жыл бұрын
Hakika 100% najifunza vingi sana kwako keep moving we are together brooo
@jacklinevenant11299 ай бұрын
🙌🏾🙌🏾
@elispiuselias133910 ай бұрын
Watu tulio na udongo mzuri tunaendelea kula madini
@tableykija20643 жыл бұрын
Wapili apa
@stevenmwaisunga50903 жыл бұрын
Toa maini wapili ndyo nini sasa
@frankmtei30173 жыл бұрын
Hatujaja duniani, kuzurura, nimeipenda hiyo!
@naomilazaro71073 жыл бұрын
Kuna nguvu kubwa katika kutengeneza maono yako
@peterhanje70083 жыл бұрын
Imenifaa sana naweza kupata mawasiliano yako kaka?
@solangesoso31003 жыл бұрын
Nimekufuatilia mala moja tu! Hapo hapo nikajikuta nimependa mafundisho yako, nashukuru mungu, katika pitapita zangu kwenye KZbin nikakutana na ujumbe huu🙏🙏🙏
@sungwandongo94453 жыл бұрын
God bless you!
@Salmasinai-ok7nb10 ай бұрын
Jmn nataman sana mafunzo yako nifanyajr
@isaacktweve6303 жыл бұрын
Man of God,Keep it up.
@patrickmathias36733 жыл бұрын
Kaka ubarikiwe sana umeniamsha toka usingizin
@kivuquality2423 жыл бұрын
Nafata Videos zako apa Congo...Bukavu...Ndugu Ubarikiwe sn
@breshnyanjwa31023 жыл бұрын
Praise be to God, may God add u more strength to do this
@shabanimasoud72778 ай бұрын
Mungu abariki kazi ya mikono yako bro
@khadijakisingo79203 жыл бұрын
Joel unanipa maarifa Hadi nashindwa nikuambie nn mungu akubariki zaidi🙏
@agathamichael88182 жыл бұрын
Mafanikio ya kwel yanatoka katika Mungu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@naomienos79332 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@KisaliRaphael9 күн бұрын
Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina
@jotusjohn697010 ай бұрын
Joel Nakukubali Sana
@shukranjulius59103 жыл бұрын
Amina kaka nimekuelewa maana nilikua nachelewa Mungu akubariki
@dickystudios Жыл бұрын
Exactly Broh
@olivermfinanga12683 жыл бұрын
Hii n kwa ajili yangu oliver mfinanga i have a dream
@BenneJoakim9 ай бұрын
Kaka nakufatilia sana kaka
@theresiachigali94822 жыл бұрын
Mungu awe msimamizi wako karibu sana dodoma
@meleajohnkisaka79693 жыл бұрын
Barikiwa sana kaka yaani kila siku lazima nisikilize clips zako ,nikipata changamoto yoyote naingia huku mambo yangu yanakaa vizuri
@froridaanthony32783 жыл бұрын
Nakupenda sana kaka joel nanauka nikikusikiliza napata nguvu mpya
@EmmanuelSimukonda-w2m8 ай бұрын
God bless you
@robertmwangomale Жыл бұрын
Asante
@veronyanganda1799 ай бұрын
Nimekuelewa kaka.
@AnnaUrio-d9j4 ай бұрын
Amina baba balikiwa
@ThomasTemba-u6z9 ай бұрын
Ahsante sana Bro
@martinmhema43123 жыл бұрын
My best motivational speaker ever #JOELNANAUKA thanks sana kwa maarifa yako
@elifurahapetlawe13853 жыл бұрын
Kaka big up mungu azidi kukutumia mda wote
@mathewmartin44133 жыл бұрын
Asante sana KK mungu. akubariki na kukupa maisha marefu
@aminaomali8578 Жыл бұрын
Asante
@FrankBugalama7 ай бұрын
Very big up
@fatmamwiru75743 жыл бұрын
In every pain there is a purpose in it...✍️
@lesusi78723 жыл бұрын
Sinaga uvivu kwenye kukusikiliza
@michaelmasanja51683 жыл бұрын
Thank you bro
@AugustineNyambega2 күн бұрын
God bless you bro.
@Rehema8153 ай бұрын
Badala ya kulia kwa maumivu ulio pitia Lia kwa ajil ya hatima Mungu alokuandikia poweeeeful @joelnanauka
@christinahjustine41703 жыл бұрын
Mungu akubariki sn , umenifanya kuwa m2 mwingine kabisa
@SadickZahoro9 ай бұрын
Mashalah
@gamatv32218 ай бұрын
Asante sana
@DavisoShadow-v3b7 ай бұрын
Umetisha
@zabronsuleiman6643 жыл бұрын
ubalikiwe sana kaka joel
@GEAREDConsultTV3 жыл бұрын
Hivi haya maono unazaliwa nayo au ni ya kufundishwa?
@vamo20823 жыл бұрын
Swali zuri ambalo nilikuwa naliwaza.
@mmbatizaji80753 жыл бұрын
@@vamo2082 Unazaliwa nayo, kila MTU kazaliwa na vision yake maalmu
@vamo20823 жыл бұрын
@@mmbatizaji8075 nimesikia Kaka Joel anasema Kama huna maono tafuta maono yako.hiyo imekaaje??
@mmbatizaji80753 жыл бұрын
@@vamo2082 anamaanisha Yale uliyozaliwa nayo, au kusudi lililokuleta hapa Duniani, kila MTU ana maono yake, ukiona hauna maono ujue unaishi kutegemea maono ya watu, so itakuwa ngumu kufika ktk kusudi uliloletwa kulitimiza hapa Duniani
@sudaisathman3831 Жыл бұрын
Ubarikiwe brooo.kila nikiamka.lazima nitafute video yako.yyt niitizame ndio nianze siku yangu
@Usawa_phonetech3 жыл бұрын
Kuna tofauti kagi Kati ya Vision na Focus! Joel umenifanya niwe na maisha tofaut sana