Je,Wewe Una Maono Gani Kwenye Maisha Yako?

  Рет қаралды 185,280

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

Пікірлер: 275
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
Nipo WA Kwanza Leo kumeza doze ya Kaka Joel!!!😀
@letsgobacktoafricafoundati1322
@letsgobacktoafricafoundati1322 3 жыл бұрын
Kua maskini ni chaguo la mtu🙌🏽🙌🏽
@MichaelMesso-q5m
@MichaelMesso-q5m Ай бұрын
Amina❤❤❤
@januaryrashid8844
@januaryrashid8844 2 ай бұрын
Barikiwa saana kaka Joel I regret why nilichelewa kuanza kukufuatilia vision,time and priorities
@castorysosoma8540
@castorysosoma8540 3 жыл бұрын
Aisee hili somo bhana ni powerful sana natamani kila kijana angeliskia... Mungu akubariki sana kaka Joel...
@mkiryamadebe7678
@mkiryamadebe7678 3 жыл бұрын
Good massage
@kennytwinzi9032
@kennytwinzi9032 3 жыл бұрын
Casto...umeongea kama ninavotamanigi siku zote nikiona ujumbe mzuri natamani vijana au watu wote wausikie 👍
@ViviWasafi
@ViviWasafi Жыл бұрын
Naitwa Richard Gilbert mpagaze Nina dreams ya kuwa muombaje mzuli wakubadisha watu na kuwa najili nuzuli naitaji ushauli.
@fatmamwiru7574
@fatmamwiru7574 3 жыл бұрын
“Mafanikio yakweli yanatakiwa yakusogeze karibu na Mungu nasio kukutoa kwa Mungu”🙏.
@mmbatizaji8075
@mmbatizaji8075 3 жыл бұрын
Pamoja sana kaka, natumia Mb, zangu kwa usahihi kabisa
@MariamChidaga-cf4rg
@MariamChidaga-cf4rg Жыл бұрын
MUNGU wa mbinguni azidi kukuinua daima hili somo limenigusa sana sana naamini ipo siku ntayafikia maono yangu
@johnsonmarick45
@johnsonmarick45 3 жыл бұрын
Great talk, great learning bro
@ludgermkemwa1919
@ludgermkemwa1919 3 жыл бұрын
Kaka hii video imenipa hamasa kubwa mno. Hapa nilipo sina hata Tsh 10 mfukoni but maono yangu yapo pale pale. Naamini nina nimeshafungua taasisi ambayo inasaidia vijana wengi na tumefungu ofisi katika kila Wilaya hapa nchini.
@johariphilemon8630
@johariphilemon8630 3 жыл бұрын
amen amini ndoto yako ita timia
@anesansibert2968
@anesansibert2968 3 жыл бұрын
Jaman jaman ubalikiwe ili somo limekuja kwa ajili langu Mungu akupe maisha marefu
@ELIAWINGAMWASHA-iw9xq
@ELIAWINGAMWASHA-iw9xq 3 ай бұрын
Unanisaidiaje mtu aliyekata tamaa
@joycezacharia7598
@joycezacharia7598 3 жыл бұрын
Mungu zaidi kukutumia kufumbua macho ya kizazi hiki. Naamini ndiyo sababu yake kukuleta duniani. Kazi yako ni njema sana. Ubarikiwe na kuzidi. Natamani elimu hii ikiwafikia wengine live hapa Kigoma. Rev. Zacharia Andrea FPCT MWANGA KGOMA
@veronicabiaka4730
@veronicabiaka4730 3 жыл бұрын
Nipo kaka angu nami ni MU FPCT KATUBUKA... NAMFATILIAGA SANA.. NDIO MAANA NAMI NINA NDOTO YA KUFIKA MBALI PAMOJA NA WANAKIGOMA WOTE.. NA NIMEILETA FURSA KIGOMA TUPO JENGO LA NMB GOROFA YA KWANZA.. karibu sana kaka
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
Nimejifunza Kuchuja taharifa!!
@aminakiyungi94
@aminakiyungi94 2 жыл бұрын
Mungu akubarik mtumish vipindi vyako vimekuwa faraja kwangu sana
@rimepeter789
@rimepeter789 3 жыл бұрын
AMEN in JESUS NAME, I believe in this message, God bless you sir ❤🙏
@leahmzulu1505
@leahmzulu1505 3 жыл бұрын
Only "VISION" Ahsante sanaaaa
@BRIGHTONRICHARD-c3r
@BRIGHTONRICHARD-c3r Жыл бұрын
Tanzania saivi tuinuke jamani kwa haw watu walio jitolea tuache kuka kizembwe ni kitendo cha mdaa tu tungoje TUOMBE MUNGU ATUPE MAONO
@yohanasimtenda748
@yohanasimtenda748 3 жыл бұрын
Brother unatupa maarifa makubwa sana, Yesu akutunze
@upendowerema2247
@upendowerema2247 3 жыл бұрын
Asante my brother,Mungu azidi kukutumia na kukubariki,This is what I needed to hear
@isaacktweve630
@isaacktweve630 3 жыл бұрын
Nataka niwe mwanafunzi wako ,nitumie Contact.
@applesherman8217
@applesherman8217 3 жыл бұрын
Wish you all the best brother. Kupitia wewe Umebadilisha Lifestyle yangu%
@liberatussylvanus5477
@liberatussylvanus5477 3 жыл бұрын
Thenkyou!
@williamngao4454
@williamngao4454 3 жыл бұрын
Nabarikwa sana na mafundisho yako
@Luccado-kn2xs
@Luccado-kn2xs 4 ай бұрын
This guy teaches like Bishop Dr. Gwajima Josephat 0:48 0:54
@soniimedia2440
@soniimedia2440 3 жыл бұрын
kama kweli wewe ni shabiki damu damu wa wcb naomba subscribe channel yangu nahitaji SUBSCRIBEs 1k nitawapenda sana sana! na kama na wewe unahitaji hao subscribe nijibu COMMENT hiii🙏🙏
@tukaesanatu2754
@tukaesanatu2754 Жыл бұрын
Asante baba kwa somo lako
@rabanphotostudionyakanazi_4115
@rabanphotostudionyakanazi_4115 Жыл бұрын
Barikiwa kwa somo zuri.pia hongera kwa Kazi ya graphics
@gracesizya
@gracesizya Жыл бұрын
Joel mi nina deni posta na nimeshindwa kurejesha nilikopa hela za fixed akaunt na nikapeleka shamba uzalishaji umepungua nifanyeje
@happynessmasere236
@happynessmasere236 3 жыл бұрын
Joe is Annointed..powerful.. Mungu akutunze kila siku.
@assamwakasanga6029
@assamwakasanga6029 3 жыл бұрын
God blessing us
@FredyNanai
@FredyNanai Жыл бұрын
My brother mungu alikuleta kwajili ya watu wengi hapa Dunian na leo mm ni mmoja ya watu walio fanikiwa kufunguliwa na mafunzo yako.🙏🏾Muungu akupenguvu na maisha malefu ewe uzao mteule nami nipo nyuma ya mafundisho yako. Mungu amekuleta kwajili yangu ili nilishi kusudi langu kabla yako skujua nini maana ya kusudi maana nilikua nijikuta nimefanya kitu kama bahat kumbe ndilo kusud langu. Mungu akubaliki sana kaka ninapo pata changamoto hii video inaludisha memories zote zilizotaka kufutika🙏🏾 proud of you brother
@wivinajohn3028
@wivinajohn3028 Ай бұрын
Qa
@annahaule7428
@annahaule7428 3 жыл бұрын
Kaka Joel umenifanya nilie.MUNGU NITIE NGUVU
@nrwawanndeny7394
@nrwawanndeny7394 3 жыл бұрын
Usilie viboko bado!
@samlutubija1229
@samlutubija1229 2 жыл бұрын
Sorry nawezaje kupata kitabu Cha fomula ya pesa
@markojohnwalinguzo4225
@markojohnwalinguzo4225 3 жыл бұрын
Mungu akuinue juuuuu zaidi mtumishi, yaani najuta kwa kutokukufahamu Mapema maana nimepoteza mda wangu mwingi kufuatilia visivyo vya msingi mpaka juzi nilipoona post Kali ya diamond alafu akanukuu imetoka kwako ndo nikaamka
@agnesssilvan3954
@agnesssilvan3954 3 жыл бұрын
Alright Joel...🕺🕺🕺 wewe ni UNSTOPPABLE. Nitaitetea ndoto yangu hadi itimie.
@kenyantotoz4244
@kenyantotoz4244 3 жыл бұрын
MashaAllah mungu akuzidishie kaka,,, nimejiona mtu mtofauti kwa nasaha zako..... Mob love from kenya
@henryabraham-u6c
@henryabraham-u6c 7 ай бұрын
Thanks br again, I was not aware kwamba kusudi la maisha yangu ni zaidi ya mafanikio yangu binafsi, ooh, kumbe tumepishana na baraka za Mungu kwa sababu ya ubinafsi, nimejifunza kitu na ninaanza kufikiria wengine zaidi yangu binafsi, thanks, this is a kick towards my real vision. Stay blessed Joel, keep it up
@aniki7232
@aniki7232 3 ай бұрын
Brother , nahisi kama Mungu alikuinua kwa ajili yengu mimi. Ubarikiwe sana.
@seefshamis5498
@seefshamis5498 3 жыл бұрын
Naitwa siffah nipo oman hakika asante sana Joel umenifanya niwe na maono madhbuti
@williamjumbe1988
@williamjumbe1988 4 ай бұрын
Kuna jinsi naanza kukuelewa , nahisi Kuna hatua napiga ndani ya mind, japo physically sijaona mabadiriko Ila akili iko distance, nipe mwaka huu na mwakani nahisi ntakwambia kitu, Mm ni kijana nilie kua nasoma Ila matokeo yangu yakaharibiwa na walimu wa chuo, nikukata tamaa kwa miaka Sasa, hila, roho inanisukuma kwenda chuo Tena kusoma make ndoto yangu ni kua Dr,
@mwanaishabadi7568
@mwanaishabadi7568 10 ай бұрын
I like what ever u highlight known u for 2 days only
@KisaliRaphael
@KisaliRaphael 9 күн бұрын
Professor nakusoma vzr sana MUNGU akubariki SoMo lako limenigusa na nitafanyia kazi MUNGU akupe miaka mingi katika jina la yesu amen
@NelsonFute
@NelsonFute 11 күн бұрын
Kaka kwenye video zako unaweza kuongeza maneno mjongeo na kutafsiri ukiachana matamshi
@somacompyutakwakiswahili9053
@somacompyutakwakiswahili9053 3 жыл бұрын
INSPIRE's me more sir Joel
@albertmwajega6266
@albertmwajega6266 Жыл бұрын
Mungu amekupa kipawa kikubwa kaka ubarikiwe sana napenda kukufuatilia ktk mafundisho yako ubarikiwe sana.
@OmaryShaban-tp9hd
@OmaryShaban-tp9hd 3 ай бұрын
Asante mwalim wangu umenigusa kwakiasi kikubwa ....
@kevinalfredythebrainyprobl8925
@kevinalfredythebrainyprobl8925 10 ай бұрын
Vision gives priorities and direction yeah really
@masomoyakarne5122
@masomoyakarne5122 3 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka Joel, unasaidia wengi
@mwanaharusialifakifaki8716
@mwanaharusialifakifaki8716 3 жыл бұрын
Mimi nnavision imefikia asilimia 100%sasa nimezalisha vission mpya ambayo inatokana na ndoto ya mwanzo kutimia,nnaasilimia50%vision hii inamigogoro isipokua nnavision ndio inanisukuma kutimia ndoto yangu ht km haina saport maana nafanya kwa ajili yangu sio ajili ya watu.😄😄😄😄
@KenedMwansasu-bg9pi
@KenedMwansasu-bg9pi 15 күн бұрын
Asante san mwalimu weti mungi azidi kikipandisha juuuibili tuzid kipata hiii elimu ilio Bora
@johariphilemon8630
@johariphilemon8630 3 жыл бұрын
kaka na chukia umasikin
@AlexVenance-s1b
@AlexVenance-s1b 3 ай бұрын
Mungu ni mwema ❤
@lutammasawa6075
@lutammasawa6075 3 жыл бұрын
Ninakukubali.Hongera,Napenda nipate vitabu vyako.Nitapataje?
@musahmichael3480
@musahmichael3480 2 жыл бұрын
nenda ista kwenye account yake utaipata no yake
@magaramakindika5647
@magaramakindika5647 3 жыл бұрын
Hakika 100% najifunza vingi sana kwako keep moving we are together brooo
@jacklinevenant1129
@jacklinevenant1129 9 ай бұрын
🙌🏾🙌🏾
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 10 ай бұрын
Watu tulio na udongo mzuri tunaendelea kula madini
@tableykija2064
@tableykija2064 3 жыл бұрын
Wapili apa
@stevenmwaisunga5090
@stevenmwaisunga5090 3 жыл бұрын
Toa maini wapili ndyo nini sasa
@frankmtei3017
@frankmtei3017 3 жыл бұрын
Hatujaja duniani, kuzurura, nimeipenda hiyo!
@naomilazaro7107
@naomilazaro7107 3 жыл бұрын
Kuna nguvu kubwa katika kutengeneza maono yako
@peterhanje7008
@peterhanje7008 3 жыл бұрын
Imenifaa sana naweza kupata mawasiliano yako kaka?
@solangesoso3100
@solangesoso3100 3 жыл бұрын
Nimekufuatilia mala moja tu! Hapo hapo nikajikuta nimependa mafundisho yako, nashukuru mungu, katika pitapita zangu kwenye KZbin nikakutana na ujumbe huu🙏🙏🙏
@sungwandongo9445
@sungwandongo9445 3 жыл бұрын
God bless you!
@Salmasinai-ok7nb
@Salmasinai-ok7nb 10 ай бұрын
Jmn nataman sana mafunzo yako nifanyajr
@isaacktweve630
@isaacktweve630 3 жыл бұрын
Man of God,Keep it up.
@patrickmathias3673
@patrickmathias3673 3 жыл бұрын
Kaka ubarikiwe sana umeniamsha toka usingizin
@kivuquality242
@kivuquality242 3 жыл бұрын
Nafata Videos zako apa Congo...Bukavu...Ndugu Ubarikiwe sn
@breshnyanjwa3102
@breshnyanjwa3102 3 жыл бұрын
Praise be to God, may God add u more strength to do this
@shabanimasoud7277
@shabanimasoud7277 8 ай бұрын
Mungu abariki kazi ya mikono yako bro
@khadijakisingo7920
@khadijakisingo7920 3 жыл бұрын
Joel unanipa maarifa Hadi nashindwa nikuambie nn mungu akubariki zaidi🙏
@agathamichael8818
@agathamichael8818 2 жыл бұрын
Mafanikio ya kwel yanatoka katika Mungu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@naomienos7933
@naomienos7933 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@KisaliRaphael
@KisaliRaphael 9 күн бұрын
Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina
@jotusjohn6970
@jotusjohn6970 10 ай бұрын
Joel Nakukubali Sana
@shukranjulius5910
@shukranjulius5910 3 жыл бұрын
Amina kaka nimekuelewa maana nilikua nachelewa Mungu akubariki
@dickystudios
@dickystudios Жыл бұрын
Exactly Broh
@olivermfinanga1268
@olivermfinanga1268 3 жыл бұрын
Hii n kwa ajili yangu oliver mfinanga i have a dream
@BenneJoakim
@BenneJoakim 9 ай бұрын
Kaka nakufatilia sana kaka
@theresiachigali9482
@theresiachigali9482 2 жыл бұрын
Mungu awe msimamizi wako karibu sana dodoma
@meleajohnkisaka7969
@meleajohnkisaka7969 3 жыл бұрын
Barikiwa sana kaka yaani kila siku lazima nisikilize clips zako ,nikipata changamoto yoyote naingia huku mambo yangu yanakaa vizuri
@froridaanthony3278
@froridaanthony3278 3 жыл бұрын
Nakupenda sana kaka joel nanauka nikikusikiliza napata nguvu mpya
@EmmanuelSimukonda-w2m
@EmmanuelSimukonda-w2m 8 ай бұрын
God bless you
@robertmwangomale
@robertmwangomale Жыл бұрын
Asante
@veronyanganda179
@veronyanganda179 9 ай бұрын
Nimekuelewa kaka.
@AnnaUrio-d9j
@AnnaUrio-d9j 4 ай бұрын
Amina baba balikiwa
@ThomasTemba-u6z
@ThomasTemba-u6z 9 ай бұрын
Ahsante sana Bro
@martinmhema4312
@martinmhema4312 3 жыл бұрын
My best motivational speaker ever #JOELNANAUKA thanks sana kwa maarifa yako
@elifurahapetlawe1385
@elifurahapetlawe1385 3 жыл бұрын
Kaka big up mungu azidi kukutumia mda wote
@mathewmartin4413
@mathewmartin4413 3 жыл бұрын
Asante sana KK mungu. akubariki na kukupa maisha marefu
@aminaomali8578
@aminaomali8578 Жыл бұрын
Asante
@FrankBugalama
@FrankBugalama 7 ай бұрын
Very big up
@fatmamwiru7574
@fatmamwiru7574 3 жыл бұрын
In every pain there is a purpose in it...✍️
@lesusi7872
@lesusi7872 3 жыл бұрын
Sinaga uvivu kwenye kukusikiliza
@michaelmasanja5168
@michaelmasanja5168 3 жыл бұрын
Thank you bro
@AugustineNyambega
@AugustineNyambega 2 күн бұрын
God bless you bro.
@Rehema815
@Rehema815 3 ай бұрын
Badala ya kulia kwa maumivu ulio pitia Lia kwa ajil ya hatima Mungu alokuandikia poweeeeful @joelnanauka
@christinahjustine4170
@christinahjustine4170 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sn , umenifanya kuwa m2 mwingine kabisa
@SadickZahoro
@SadickZahoro 9 ай бұрын
Mashalah
@gamatv3221
@gamatv3221 8 ай бұрын
Asante sana
@DavisoShadow-v3b
@DavisoShadow-v3b 7 ай бұрын
Umetisha
@zabronsuleiman664
@zabronsuleiman664 3 жыл бұрын
ubalikiwe sana kaka joel
@GEAREDConsultTV
@GEAREDConsultTV 3 жыл бұрын
Hivi haya maono unazaliwa nayo au ni ya kufundishwa?
@vamo2082
@vamo2082 3 жыл бұрын
Swali zuri ambalo nilikuwa naliwaza.
@mmbatizaji8075
@mmbatizaji8075 3 жыл бұрын
@@vamo2082 Unazaliwa nayo, kila MTU kazaliwa na vision yake maalmu
@vamo2082
@vamo2082 3 жыл бұрын
@@mmbatizaji8075 nimesikia Kaka Joel anasema Kama huna maono tafuta maono yako.hiyo imekaaje??
@mmbatizaji8075
@mmbatizaji8075 3 жыл бұрын
@@vamo2082 anamaanisha Yale uliyozaliwa nayo, au kusudi lililokuleta hapa Duniani, kila MTU ana maono yake, ukiona hauna maono ujue unaishi kutegemea maono ya watu, so itakuwa ngumu kufika ktk kusudi uliloletwa kulitimiza hapa Duniani
@sudaisathman3831
@sudaisathman3831 Жыл бұрын
Ubarikiwe brooo.kila nikiamka.lazima nitafute video yako.yyt niitizame ndio nianze siku yangu
@Usawa_phonetech
@Usawa_phonetech 3 жыл бұрын
Kuna tofauti kagi Kati ya Vision na Focus! Joel umenifanya niwe na maisha tofaut sana
@kulwagachu7435
@kulwagachu7435 3 жыл бұрын
Great speech bro..Keep it up
Jinsi ya kutImiza malengo yako kwenye ulimwengu wa Sasa.
55:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 105 М.
Tafuta utambulisho wako binafsi (Know your Identity)
35:05
Joel Nanauka
Рет қаралды 66 М.
Spongebob ate Michael Jackson 😱 #meme #spongebob #gmod
00:14
Mr. LoLo
Рет қаралды 10 МЛН
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 17 МЛН
LIFEHACK😳 Rate our backpacks 1-10 😜🔥🎒
00:13
Diana Belitskay
Рет қаралды 3,9 МЛН
Vitu 7 Lazima Uvijue Kuhusiana Na Kusudi Lako
27:20
Joel Nanauka
Рет қаралды 84 М.
EPUKA MAKOSA HAYA KWENYE SAFARI YA MAISHA YAKO  - JOEL NANAUKA
10:22
ISHINDE TABIA YA KUGHAIRISHA MAMBO SEHEMU YA PILI
35:42
Harris Kapiga
Рет қаралды 67 М.
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 161 М.
NGUVU YA ZIADA KWENYE KUWEKA MALENGO - JOEL NANAUKA
41:10
Joel Nanauka
Рет қаралды 122 М.
JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO ILI UINGIZE KIPATO ZAIDI - JOEL NANAUKA
1:11:12
Jinsi ya kuweka malengo na kufanikiwa
1:05:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 448 М.
Fahamu ujuzi/stadi hizi muhimu ili ufanikiwe maishani
5:56
Elias Mwinuka
Рет қаралды 2,6 М.
Spongebob ate Michael Jackson 😱 #meme #spongebob #gmod
00:14
Mr. LoLo
Рет қаралды 10 МЛН