No video

MAENEO MATANO PESA ILIPOJIFICHA

  Рет қаралды 29,687

Success Path Network

Success Path Network

Күн бұрын

Пікірлер: 72
@ShariffNassir-eo3to
@ShariffNassir-eo3to 4 ай бұрын
Nakukubali uwa nakufatilia sana mwamba
@alqaasim_a_tz2412
@alqaasim_a_tz2412 4 жыл бұрын
Thanks brother somo Zuri sana Na Allah atukubalie kuzipata pesa kwa njia za halali zinazo mridhisha Allah, Ila kwa miziki na mfano wake hizo ni pesa Haraam na hazina lolote zaidi ya laana tu
@morefireministrychurch177
@morefireministrychurch177 4 жыл бұрын
Brother mungu hachagui jizi unapata pesa bora Usi uwe ama kuiba ndio lkn tumia akili ili uishi
@user-rm1mm5uc2m
@user-rm1mm5uc2m 6 ай бұрын
Hallo mwambere victar napenda sana mafundisho Yako Niko Nairobi kenya
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 4 жыл бұрын
Somo zuri sana, hata ongea ya leo ni nzuri sana, tunajua hayo yote uliyosema ni sahihi, unakuta unajaribu jambo kwa nguv zote na umakini lkn unafel
@twahirustima281
@twahirustima281 4 жыл бұрын
My name is "Twahiri stima" Nafaidika na mawazo toka humu muumba awazidishie maarifa nasi tuchote toka kwenu
@PeterMwidete-wm5sh
@PeterMwidete-wm5sh 9 ай бұрын
Mwalimu nakubali
@phatackbatange4988
@phatackbatange4988 2 жыл бұрын
Unarudia kitu kimoja mara kadhaa, point moja ya msingi unaigawanya na huifanya ziwe nyingi. Kimsingi unazungumza jambo moja au mawili na sio matano. Boresha zaidi katika kuchambua point na sub-point
@hmytechnologieslimited4908
@hmytechnologieslimited4908 4 жыл бұрын
Hongera ndugu yangu victor mwambene great content
@morefireministrychurch177
@morefireministrychurch177 4 жыл бұрын
Ww ndio Unajua kufundisha mtu vizuri nimekuelewa kbs
@hassaniothumani5501
@hassaniothumani5501 4 жыл бұрын
Dah umenifungua akili bro mi kuanzia leo nikisikia majumba yameezuliwa kwa upepo mi naenda kuwauzia matulubal 😃
@aminaalid9745
@aminaalid9745 2 жыл бұрын
Hahaha chizi we Nmecheka hahaha
@alqaasim_a_tz2412
@alqaasim_a_tz2412 4 жыл бұрын
Mlio comment mwanzo Nawaombea kwa Mungu awafungue Akili, Yaani mtu anakupa Njia za kufanikiwa Unaanza Kumuuliza wewe umefanikiwa? Tambua pia kuna kitu Maamuzi ya Mungu, Huwenda mtu njia zote anazo na Mungu hajamruhusu ila Wewe ukapata hiz mbinu kutoka kwake na Mungu akakuruhusu kupitia mbinu hizo Ulizo pewa na huyo aliyeshindwa kufanikiwa kwa mbinu hizo, JIFUNZE KUJIONGEZA SIO KILA UNACHO ELEKEZWA NA MTU LAZIMA NAYE AWE NACHO, nilishaa Wahi Pata Ushauri wa usafi kutoka kwa Chizi wa mtaani mpaka sasa nadunda kwa ushauri wake Jifunze kujiongeza
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 жыл бұрын
Asante sana kwa maono haya. Umefafanua vizuri. Kila kitu ni mipango ya Mungu ila tuendelee kuweka juhudi zetu
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 4 жыл бұрын
Kama ni Mungu anaruhusu kuna haja gani ya kujifunza si tusubirie tu Mungu aruhusu
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 жыл бұрын
@@odhiaodhia9898 Mara ya mwisho uliona Bakhresa na Mo wanafundisha mafanikio ilikua lini?
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 жыл бұрын
@@odhiaodhia9898 nafikiri concept hizi wewe huwezi kuzielewa. Kwahiyo unaweza kuacha kufuatilia kile kisichokusaidia. Fuata yale yanayokusaidia
@endrewmhina3371
@endrewmhina3371 4 жыл бұрын
Yes bro some timz naamini kua. Wapi watu katika maisha yetu wanafanyika Kama Daraja la sisi kuvuka kwenda mahali flani. Ila wao wako sehem ileile kila siku...
@jichofoundationtv6893
@jichofoundationtv6893 4 жыл бұрын
mwambena sasa ivi we ni wa moto sana unashusha madini yenye lishe hasa hapa ndo mahali pako sahihi
@rukiamusa9916
@rukiamusa9916 4 жыл бұрын
Point tekken kaka brother thanks alort
@judithmwambe4767
@judithmwambe4767 4 жыл бұрын
Thanks Br Victor
@ramadhanjuma5526
@ramadhanjuma5526 4 жыл бұрын
"information it's very very essential for success"
@delsbeatstz4732
@delsbeatstz4732 4 жыл бұрын
Ili mwalimu aliweke ni lazima awe amepitia uwanafunzi. Ili tajiri aeleweke ni lazima awe amepitia shida katika kufanikiwa kwake. Huwezi kumfundisha mtu namna ya kupata mavuno mengi ikiwa wewe mwenyewe hujawahi kuvuna mavuno mengi mafundisho yako yatakuwa ni magumu kweli kweli kueleweka kwa sababu huwezi kuwafundisha wenye njaa namna ya kushiba wakati wewe mwenyewe una njaa. Na huwezi kumfundisha mtu kwa kitabu ambacho ndio unakipitia muda huo huo unaofundisha !! Inanishangaza na kunihuzunisha sana kuona kijana anakinadi kitabu chenye mbinu na mafanikio ilihali yeye yu masikini !! Fundisha yanayoonekana kwako usifundishe yasiyoonekana kwako !! Truth hurts, ukiumia utayafanyia kazi maumivu yako au kile kinachokuumiza !!
@hmytechnologieslimited4908
@hmytechnologieslimited4908 4 жыл бұрын
Coach don't play young boy😆😆😆
@delsbeatstz4732
@delsbeatstz4732 4 жыл бұрын
@@hmytechnologieslimited4908 We are not talking about sports we are talking about reality in life, you cant convince how sweet life is unless you have tested it !!🤣🤣
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 жыл бұрын
JIBU LA EZDEN JUMANNE - (SPN Founder) Hizi comment za namna hii nazitarajia kuna wakati lakini labda niwatoe wasiwasi kuwa ukiona nimempa mtu nafasi kwenye platform yangu unatakiwa upate maswali ya kujiuliza kwamba kwanini EZDEN kamuweka hapa mtu huyu? Kamuamini vipi? Now, let me say about Victor, huenda kweli hana mafanikio hayo ya kuonekana lakini kwa mimi yeye ni kijana aliyefanikiwa tayari kwa hatua nyingi sana mbele ya watu wengi tu waliomzidi umri na wenye ajira na biashra zao ambao bado wana-struggle sana kupanga maisha yao. Tuanzie hapa mafanikio ni nini? Natoa jibu toka kwa muhamasihaji mkubwa sana au mwalimu wa mafanikio aliyesaidia watu wengi sana anaitwa JIM RHON (google taarifa zake) anafafanua mafanikio kwa kusema, "Success is what you attract by the person you become" isome tena na tena nukuu au maana hiyo huenda ukabadili mtazamo kuhusu mafanikio ni nini na aliyefanikiwa ni nani. "Mafanikio ni kitu unachokivutia kwa aina ya mtu ambaye unakuwa" KUMKUBALIA VICTOR KUWEPO HAPA KWENYE SPN PLATFROM: Ni sababu he's a fighter, I'm inspired by his life, discipline kwenye maisha yake, anaishi katika ratiba maalum kwa ufupi anaishi katika ratiba au tabia zote za mafanikio KITU AMBACHO WENGI HAWAWEZI... Yuko kwenye njia ya kuelekea juu, anakwenda kufanikiwa zaidi sana sana kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu. Ukirejea tafsiri ya Jim Rhon hapo juu napata kumuona nini anakivutia kwa tabia na mwenendo anaoishi nao. Pia Mungu kampa uwezo wa kufundisha (kipaji) ana maono...ukizaliwa hivyo wewe upo hivyo, ukipata mwongozo sahihi hauwezi kusubiri mpaka upate pesa ndio uanze kufundisha watu ili wakuamini. sometimes in life someone else can take you to a jourey within yoourself that you can never go by yourself (ISOME VIZURI NUKUU HII). Kama ningemuona hivyo ulivyomuandika Victor basi asingekuwa hapa sababu watu kama hao uliowazungumza wapo wengi sana, nawaona ila sio Victor. Mungu atupe umri uje kuwa shuhuda wa hili. Swali langu kwako kama mafanikio ni tabia na mwenendo na fikra zako. Vipi fikra zako zitakufungulia njia ya kufanikiwa kama pale kwenye elimu (suluhisho) wewe ndio unaona panafaa kupachafua? Before killing the messenger, did you get the message? - EZDEN JUMANNE.
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 жыл бұрын
@@hmytechnologieslimited4908 JIBU LA EZDEN JUMANNE - (SPN Founder) Hizi comment za namna hii nazitarajia kuna wakati lakini labda niwatoe wasiwasi kuwa ukiona nimempa mtu nafasi kwenye platform yangu unatakiwa upate maswali ya kujiuliza kwamba kwanini EZDEN kamuweka hapa mtu huyu? Kamuamini vipi? Now, let me say about Victor, huenda kweli hana mafanikio hayo ya kuonekana lakini kwa mimi yeye ni kijana aliyefanikiwa tayari kwa hatua nyingi sana mbele ya watu wengi tu waliomzidi umri na wenye ajira na biashra zao ambao bado wana-struggle sana kupanga maisha yao. Tuanzie hapa mafanikio ni nini? Natoa jibu toka kwa muhamasihaji mkubwa sana au mwalimu wa mafanikio aliyesaidia watu wengi sana anaitwa JIM RHON (google taarifa zake) anafafanua mafanikio kwa kusema, "Success is what you attract by the person you become" isome tena na tena nukuu au maana hiyo huenda ukabadili mtazamo kuhusu mafanikio ni nini na aliyefanikiwa ni nani. "Mafanikio ni kitu unachokivutia kwa aina ya mtu ambaye unakuwa" KUMKUBALIA VICTOR KUWEPO HAPA KWENYE SPN PLATFROM: Ni sababu he's a fighter, I'm inspired by his life, discipline kwenye maisha yake, anaishi katika ratiba maalum kwa ufupi anaishi katika ratiba au tabia zote za mafanikio KITU AMBACHO WENGI HAWAWEZI... Yuko kwenye njia ya kuelekea juu, anakwenda kufanikiwa zaidi sana sana kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu. Ukirejea tafsiri ya Jim Rhon hapo juu napata kumuona nini anakivutia kwa tabia na mwenendo anaoishi nao. Pia Mungu kampa uwezo wa kufundisha (kipaji) ana maono...ukizaliwa hivyo wewe upo hivyo, ukipata mwongozo sahihi hauwezi kusubiri mpaka upate pesa ndio uanze kufundisha watu ili wakuamini. sometimes in life someone else can take you to a jourey within yoourself that you can never go by yourself (ISOME VIZURI NUKUU HII). Kama ningemuona hivyo ulivyomuandika Victor basi asingekuwa hapa sababu watu kama hao uliowazungumza wapo wengi sana, nawaona ila sio Victor. Mungu atupe umri uje kuwa shuhuda wa hili. Swali langu kwako kama mafanikio ni tabia na mwenendo na fikra zako. Vipi fikra zako zitakufungulia njia ya kufanikiwa kama pale kwenye elimu (suluhisho) wewe ndio unaona panafaa kupachafua? Before killing the messenger, did you get the message? - EZDEN JUMANNE.
@mugishanasra1919
@mugishanasra1919 3 жыл бұрын
Manshallah muna tu fundisha kweli
@msongarichard1305
@msongarichard1305 3 жыл бұрын
YES
@shadyniyo
@shadyniyo 2 жыл бұрын
Ahsante sana mwambene kwasomo hili Mungu akubaliki ,lakini naomba unisaidie kujua Ninamnagani nitaandaa kichwachangu Ili niwenamawazo yaliyo sahihi ?
@kingssimbahh932
@kingssimbahh932 4 жыл бұрын
Mzee hiii imetulia san Goood
@barakamrema6605
@barakamrema6605 4 жыл бұрын
Nzurii
@muzsajungles7823
@muzsajungles7823 4 жыл бұрын
Sante sana brother nimekua fans wako kwanzia sasa🙏🙏
@prettyroxy7490
@prettyroxy7490 4 жыл бұрын
Somo zuri xanaa
@regnardedward4629
@regnardedward4629 3 жыл бұрын
We need changes
@mossesdaudi4617
@mossesdaudi4617 3 жыл бұрын
Good tearching man
@zahrakitchen5880
@zahrakitchen5880 4 жыл бұрын
Point👏
@jocety4426
@jocety4426 4 жыл бұрын
Asante. Bro.🙏
@baloziubalozini5074
@baloziubalozini5074 4 жыл бұрын
On point
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 3 жыл бұрын
Thank you my brother Victor 🙏
@msongarichard1305
@msongarichard1305 3 жыл бұрын
Big yes
@kbdesgners
@kbdesgners 4 жыл бұрын
Hakika bro ipo ivo
@gaudensiamponela6599
@gaudensiamponela6599 4 жыл бұрын
Nice brother
@hamonyyusto9907
@hamonyyusto9907 4 жыл бұрын
Mm nina kpaj nikickia ivi uwa naumia Sana kak
@ismailmweta7439
@ismailmweta7439 4 жыл бұрын
Ndiyo maana wazungu wanatengeneza matatizo, vita ugonjwa na vita ili wapate pesa
@cryptoisourlife
@cryptoisourlife 3 жыл бұрын
ahsante kaka
@jumaaomariiy8348
@jumaaomariiy8348 4 жыл бұрын
Nimekupata kaka
@priscasaidi6605
@priscasaidi6605 2 жыл бұрын
Hero naweza kupata namba yako pls
@lukasignace8870
@lukasignace8870 4 жыл бұрын
Safi
@laurentkgm8845
@laurentkgm8845 4 жыл бұрын
Najuaje kipaji changu
@fidmasho1574
@fidmasho1574 4 жыл бұрын
Asante
@yusufkishiwa6455
@yusufkishiwa6455 4 жыл бұрын
Kaka pamoja na kutufundisha yote haya je wewe umefanikiwa katika kiwango gani katika pesa?
@kbdesgners
@kbdesgners 4 жыл бұрын
Amefanikiwa kukuelewesha wew utambue ilo
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 4 жыл бұрын
Amefanikiwa kuwa na elimu kukuzidi ww, ndo mana anakufundisha ili uendelee kupanua ubongo wako uingize pesa zaidi ya ulizonazo.
@hafidhially5901
@hafidhially5901 4 жыл бұрын
Yusuf Kishiwa ,kwa hili swali lako ,unatakiwa kufundishwa na kina Bill Gate pekee....
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 жыл бұрын
JIBU LA EZDEN JUMANNE - (SPN Founder) Hizi comment za namna hii nazitarajia kuna wakati lakini labda niwatoe wasiwasi kuwa ukiona nimempa mtu nafasi kwenye platform yangu unatakiwa upate maswali ya kujiuliza kwamba kwanini EZDEN kamuweka hapa mtu huyu? Kamuamini vipi? Now, let me say about Victor, huenda kweli hana mafanikio hayo ya kuonekana lakini kwa mimi yeye ni kijana aliyefanikiwa tayari kwa hatua nyingi sana mbele ya watu wengi tu waliomzidi umri na wenye ajira na biashra zao ambao bado wana-struggle sana kupanga maisha yao. Tuanzie hapa mafanikio ni nini? Natoa jibu toka kwa muhamasihaji mkubwa sana au mwalimu wa mafanikio aliyesaidia watu wengi sana anaitwa JIM RHON (google taarifa zake) anafafanua mafanikio kwa kusema, "Success is what you attract by the person you become" isome tena na tena nukuu au maana hiyo huenda ukabadili mtazamo kuhusu mafanikio ni nini na aliyefanikiwa ni nani. "Mafanikio ni kitu unachokivutia kwa aina ya mtu ambaye unakuwa" KUMKUBALIA VICTOR KUWEPO HAPA KWENYE SPN PLATFROM: Ni sababu he's a fighter, I'm inspired by his life, discipline kwenye maisha yake, anaishi katika ratiba maalum kwa ufupi anaishi katika ratiba au tabia zote za mafanikio KITU AMBACHO WENGI HAWAWEZI... Yuko kwenye njia ya kuelekea juu, anakwenda kufanikiwa zaidi sana sana kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu. Ukirejea tafsiri ya Jim Rhon hapo juu napata kumuona nini anakivutia kwa tabia na mwenendo anaoishi nao. Pia Mungu kampa uwezo wa kufundisha (kipaji) ana maono...ukizaliwa hivyo wewe upo hivyo, ukipata mwongozo sahihi hauwezi kusubiri mpaka upate pesa ndio uanze kufundisha watu ili wakuamini. sometimes in life someone else can take you to a jourey within yoourself that you can never go by yourself (ISOME VIZURI NUKUU HII). Kama ningemuona hivyo ulivyomuandika Victor basi asingekuwa hapa sababu watu kama hao uliowazungumza wapo wengi sana, nawaona ila sio Victor. Mungu atupe umri uje kuwa shuhuda wa hili. Swali langu kwako kama mafanikio ni tabia na mwenendo na fikra zako. Vipi fikra zako zitakufungulia njia ya kufanikiwa kama pale kwenye elimu (suluhisho) wewe ndio unaona panafaa kupachafua? Before killing the messenger, did you get the message? - EZDEN JUMANNE.
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 жыл бұрын
@@hafidhially5901 Asante!
@barakagabriel8550
@barakagabriel8550 4 жыл бұрын
🙏
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 4 жыл бұрын
Maskini ushauri yale aliyoyasoma kwenye kitabu, ukija kwenye maisha halis kuna mambo mengi sana
@femidaamiri2719
@femidaamiri2719 4 жыл бұрын
Daresay Zuri sana
@jichofoundationtv6893
@jichofoundationtv6893 4 жыл бұрын
mwambena sasa ivi we ni wa moto sana unashusha madini yenye lishe hasa hapa ndo mahali pako sahihi
RICH DAD POOR DAD | Mambo 12
27:38
Success Path Network
Рет қаралды 37 М.
FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA
29:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 178 М.
🩷🩵VS👿
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 21 МЛН
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 4,7 МЛН
الذرة أنقذت حياتي🌽😱
00:27
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 15 МЛН
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 10 МЛН
USIFUPISHE MAISHA YAKO KWA KUFANYA MAMBO HAYA
17:00
Success Path Network
Рет қаралды 25 М.
SIFA 5 ZA WATU WENYE UFAHAMU MDOGO WA FEDHA - Victor Mwambene.
11:26
Victor Mwambene
Рет қаралды 1,3 М.
Jinsi ya kutoka kwenye madeni sugu.
1:03:49
Joel Nanauka
Рет қаралды 108 М.
UWEKEZAJI WA PAMOJA KWENYE MIFUKO YA UTT Na Daudi Mbaga
50:09
Edmund Munyagi
Рет қаралды 16 М.
SHERIA 12 ZA FEDHA ZISIZOPITWA WAKATI
21:11
Success Path Network
Рет қаралды 48 М.
WATU WALIOFANIKIWA WALIZINGATIA MAMBO MATANO
43:41
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 91 М.
Joel Nanauka - Vitu Vinavyozuia Watu Wasifikie Malengo Yao
35:09
JINSI YA KUPATA CHOCHOTE UTAKACHO MAISHANI
20:05
Success Path Network
Рет қаралды 68 М.
NJIA ZA KUANZISHA BIASHARA | Victor Mwambene
8:52
Success Path Network
Рет қаралды 7 М.
🩷🩵VS👿
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 21 МЛН