Kaka ezden shkran sana MUNGU akusaidie upate maarifa zaidi ili tujifunze zaidi nimejifunza pakubwa sana nahiyo tabia nilikuwa nayo ila kwasasa nimeiacha
@maureenkemei92543 жыл бұрын
Things to avoid wasting time with. 1.the past. 2.the future 3.the haters 4.getting old 5.opinions of others is not my reality 6.kujishughulisha nn wengine wanafanya. 7.your looks(ishi kama vile Mwenyezi MUNGU alivyokuumba) 8.making mistakes 9.the money. Asante sana kaka I'm proud the way i was made.
@HabibuSaidySaidy6 ай бұрын
Asante kaka ezden
@maryamsylivester86623 жыл бұрын
Allah akuzidishie siku za kuishi kwakweli tuzidi kupataa meengi mazuri ya kujifunza kutoka kwako 🙏🙏🤝
@MustafaShomari-nh7pn8 ай бұрын
Good speech thank you brother
@jeoboyafricaboy82793 жыл бұрын
SPN is my favorite channel on KZbin, I learned many things from you guys napenda kusema shukrani kwa masomo najihisi vibaya siku yangu ikipita bila kusikia mafundisho yenu thank you so much guys
@successpathnetwork2 жыл бұрын
Nashukuru sana kaka
@Laila-zl8lj3 жыл бұрын
Blood unahofu na Mungu sana Mungu akuongoze zaid ya hapo,
@tulibakomwamasage61182 жыл бұрын
Nimejifunza kuridhika ,be yourself,be realistic ,pia kujikubali ulivyo,kuwa na kiasi ktk mapambano ya maisha
@saidypilly18033 жыл бұрын
KUNA VITU NIMEJIFUNZA APA MUCH LISPECT SANA MY BROTHER EZDEN👊👊
@successpathnetwork3 жыл бұрын
Pamoja sana...
@thania8222 жыл бұрын
Asante sn kk nimejifunza mugu akuongeze xaidi na akupeuwezo wakutufuza sn
@Sadedimples3 жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri. Mwenye Sikio la kusikia na kufahamu ataelewa.
@mtinangkhalphan26093 жыл бұрын
Bro kubwa ya juu bigi taimu sana
@aphrahanjopa57923 жыл бұрын
KK somo zuri sn hasa dada zetu, ni wagumu kujielewa juu ya kuhalibu utamaduni wa kiafrika
@FredKweka-ef2mi8 күн бұрын
Safi sana mwamba.
@winnermariah3 жыл бұрын
Powerful Words 👏👏👏👏👏
@angelkenneth50353 жыл бұрын
Yan sichoki kuangalia videos zako yan mwanamke ataepata mwanaume ka wewe wallah amebarikiwa sana maana amepata mtu ambaye anaakili kubwa sana...nways somo zuri sana yan nakukubali sana👊
@amanibagabo10872 жыл бұрын
Nice one Kip doing what you doing is very good and important
@justinebaada90793 жыл бұрын
Nakuelewa sana bro na ninajifunza mengi sana kupitia video zako. Barikiwa sana
@eddy84653 жыл бұрын
May the Almighty God bless you Brother Ezden
@mwanaimaabdallah78252 жыл бұрын
Allahumma Amiyn
@hellenakabakama-nz1cw8 ай бұрын
Ubarikiwe Sana somo zuri
@judithnjunwa66685 ай бұрын
Hongera sana bro J,,,,,somo zuri,,,,naishi maisha yabgu na si ya mwingine
@shukranjulius9526 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akuzidishie kaka shukrani sana 🤝
@successpathnetwork Жыл бұрын
amiin...
@sebastiansikujua2982 жыл бұрын
Elimi nzuri sana mm binafisi nimejifunza jambo la msingi sana
@CollisBill-mu3zp9 ай бұрын
Mwalim Wetu Yuko bizee sana siku iziii Tuendelee kusikiliza hekima zakee🤝🤝🤝🙏🙏
@kelyjames5452 Жыл бұрын
Kaka Ezden Somo Bora sana kwangu mwakan2023,Naomba uniambie Dar unaptikana sehemu gan nina Zawadii kaka!!
@successpathnetwork Жыл бұрын
Anhaa jambo kubwa na zuri hilo. Njoo wahstapp tafadhali 0759191076
@augustinokingazi83013 жыл бұрын
Ahsante sana brother nimejisikia amani sana maana mm mtumwa wa makosa na mambo ya kale nakaa tu kusema isinge inge n.k
@tinarimisho84822 жыл бұрын
Asante sana Mungu akubariki kwa elimu nzuri
@TinaHussein-vz8rj7 ай бұрын
4:01
@eliudjoachm60413 жыл бұрын
Reality brother, good lesson
@fathumoamedhyi56013 жыл бұрын
Mada nzuri
@batulimgala38033 жыл бұрын
Hongera best kuzungumzia swala LA urembo usiofaa kujifanya bandia yaan huo ni msiba haswa cc kinamama mmi najuta xana ngoz yngu imeharibika mungu anisamehe xana..
@HashimuMaulidi-oi5lt Жыл бұрын
sawa
@MidoRasta8 ай бұрын
Blessed❤
@neemakungule86333 жыл бұрын
Mashallah broo nakupenda KWa ajili ya Allah umetupa SoMo na ukumbusho pia 🙏🙏🙏
@VigardSakani3 ай бұрын
big up bro,am listening from kenya
@avitusjovin3 жыл бұрын
Ujumbe mzuri kaka ubalikiwe
@mimiummie3 жыл бұрын
Nimechekaa "Hatter" "Hetazi"
@deathrow80043 жыл бұрын
AHSANTE MJA WA ALLAH NIMEKUPATA VZR
@hildamushashu50565 ай бұрын
Good lesson.
@successpathnetwork5 ай бұрын
Shukrani sana
@simonazayor91232 жыл бұрын
Well said
@frankmsangi3 жыл бұрын
bro nashukuru sana kwakunipa maarifa makubwa sana siku ya leo nimependa sana somo lako yan umeongea mambo mazuri sana ambayo naamini nikiyafatilia yatabadilisha maisha yang asante san bro Mungu azidi kukubariki bro
@ismailvuai30353 жыл бұрын
Vipi ezden unajuwa kweli yaliyopita yanapoteza mda lakini kitu tangu mdogo jambo lile umekuwanalo halijakutokea ila umepewa mzigo wa maisha ambayo hujawahi kuwishi umesingiziwa tu.hii inakuwa ngumu sana kuweza kutoka kwenye utumwa ya mambo yaliyopita kati ya hao mimi ni mmoja wa kuteseka juu ya mambo yaliyopita naona kama kesho yake litatokea kwani nikuulize hili jambo linadawa yake
@v_simon26772 жыл бұрын
Nimekuelewa vizur bro alafu na hii tabia ya kujichubua wanawake me inanikera sana
@abdumadaha53482 жыл бұрын
Ishi miaka mingi brother hakika wewe ni kioo chetu; Tunapata mambo mazur sana kutoka katika Channel hii.
@GabrielAmede-h8d5 ай бұрын
Ok asante sana kaka unatupa madini adimu sana
@sfiniyussur44602 жыл бұрын
Keep it up bro. Allah akubariki.
@thania8222 жыл бұрын
Asante sana nimejifunza mengi kupita ww
@successpathnetwork2 жыл бұрын
karibu sana Thania
@mariaernest20873 жыл бұрын
Mada nzuri bro nimecheka hapo kwenye dada nywele zako nzuri dah!
@alithanksd17403 жыл бұрын
The power of now..... Dah kaka umepita humu humu...kweny ichi kitabu
@yumbujackson8693 жыл бұрын
Mungu akbark somo zur
@vailetheanyambilile97492 жыл бұрын
Thanks brother God bless you
@officiallylucku90.813 жыл бұрын
Kaka thanks somo zurii.changs now is neccessary
@successpathnetwork3 жыл бұрын
karibu sana
@ClementLeonard-h9m5 ай бұрын
Safi sana funguka ubongo
@maryamabas10852 жыл бұрын
Nimeipenda ubarikiwe sada
@augustinomwamasinga6393 жыл бұрын
Sawa
@Leghosamedia.tz12043 жыл бұрын
Asante sana bro kwa mafundisho mazuri
@husnatanzanian91552 жыл бұрын
Gud👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍 15
@mussamwamsitu22595 ай бұрын
Maa sha Allah ❤
@nassorokigeta98023 жыл бұрын
Asnte sana m/ mungu akuongezee umri katika maisha yako
@zayyatiyussuf95663 жыл бұрын
Akhuy vp hali shukran na somo zuri ila ningekushauri ungeweza weka live hiki kipindi tukuulize namaswali.
@successpathnetwork3 жыл бұрын
Okay wazo zuri sana... Nitafanya LIVE badae kidogo
@zayyatiyussuf95663 жыл бұрын
@@successpathnetwork Tuko pamoja Akhuy.
@luhanyamipawantobi68883 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂nimecheka hapo KWENYE mawigi...but nikweli KABSA,,,,Sasa mzee wakiume anang'ang'ana kuweka brich nywele zoke
@jumaramadhani40342 жыл бұрын
Thanks...
@JoyceHaule-o7b7 ай бұрын
Somo zuri sana
@petermose16393 жыл бұрын
Napenda sana
@wineliza54952 жыл бұрын
Thaxs, gud advice
@felisteravija19013 жыл бұрын
Kakae asante miminiwawazasana,nawamenipashda mnoo maana wananisema kisa mumekanikimbia wanasema et mm mdochanzo nataman kuwaambia ukweli ila siwez.hadikazn snaraha yani nasemwa mno kaka
@benjaminjeremiah94073 жыл бұрын
Bro upo vizuri sana aisee
@benedictmangoo42223 жыл бұрын
Mungu akubariki uendelee kuelimisha watu wake
@aminaalid97452 жыл бұрын
Nmependa mno hili somo hapa kuna ukumbusho ktk eeman Allah atuongoze hasa wanawake tuwe na khouf na tunayo yafanya
@successpathnetwork2 жыл бұрын
Ameen Amina Alid, dua njema iwafae wanawake wote kama ulivyokusudia, Allah awafungulie. Be blessed!
@liberatussylvanus54773 жыл бұрын
Hua namwelewasana ezden
@footballdetailsonly46743 жыл бұрын
Point kubwa mzee baba
@jameskalori45433 жыл бұрын
Asante sana bro
@SamuelMwambene6 ай бұрын
Mungu akusaidie kaka .
@saumusanjiama69916 ай бұрын
Kweli kabisa
@zelfat49563 жыл бұрын
Excellent bro ..!! Nice speech
@successpathnetwork3 жыл бұрын
Pamoja sana Zelfat...
@FredKweka-ef2mi8 күн бұрын
Aisee unanisema mimi .ila sasa umenifungua .
@SuzanLema-n4i6 ай бұрын
Nimekuelewa Mwl
@HassanHassan-si2rt3 жыл бұрын
Nakupata kwa ukaribu sana al akhy nikiwa hapa ukonga magereza DSM
@successpathnetwork3 жыл бұрын
wape salamu sana huko
@HassanHassan-si2rt3 жыл бұрын
Sawa al akhy
@judithsalvatory28922 жыл бұрын
Safi sanaaaaaa
@emanueleugen9216 ай бұрын
I get thing brother!!!
@carolynewerunga91122 жыл бұрын
Thanks bro
@judithsalvatory28923 жыл бұрын
Barikiwa sana kaka
@janenkhwazi24573 жыл бұрын
I agreed with your 8 points but kuusu kuvaa wigi,kuweka kucha zabandiya, etc 90% nikwasababu ya nyiye wanaume....maana upendo wenu "is attracted thru appearance of a woman"
@vincentpascal59963 жыл бұрын
Sikweli kabisa upendo ni kwa namna ambavyo umekuwa mstaarabu na jinsi unaweza kuongea na watu vizuri
@MasumbukoJumanne6 ай бұрын
Nime enjoy 🎉
@zayyatiyussuf95663 жыл бұрын
Mm nimelipenda sana hili somo ila ungeweka live. Umenifrahisha hapo kwenye wingi eti mtu nywele kipili pili anaweka wigi halafu anasifiwa umependeza anajibu asante😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mwili wake mzima unakuta viraka makope yakubandika makucha yani mwili mzima viraka Allah atujalie tuwe wenye kushukru neema ya maumbile aliotuumbia Wallah huu mswiba mkubwa ktk huu umma
@successpathnetwork3 жыл бұрын
asante kwa kuelewa...
@zayyatiyussuf95663 жыл бұрын
@@successpathnetwork Karibu Akhuy
@philemonmagesa55483 жыл бұрын
Waambie kaka hao dada zetu
@minnahdoto20622 жыл бұрын
yan asnt kaka Allah akuongezee maalifa
@charlesmyamba85313 жыл бұрын
aah bro unajua sana mungu akupe miaka mingi zaid
@arafatramadhan34383 жыл бұрын
Naomba unisaidie jinsi ya kusoma na kufaulu mtihani
@djramsoyusuph96613 жыл бұрын
Tisha sana hii 👏👏👏
@muhammedwakif62163 жыл бұрын
Hili kuangalia back inategemea nazania kama mfano uliacha mke alafu kids wako anao yy inabidi uangalie back yani unaweza msongeza aliekuumiza ili upate vitu vyako kama wanao anao yy unaweza kuumia zaidi ijapokuwa ile ni past yk
@allyjuma92995 ай бұрын
Nakukubal broo
@successpathnetwork5 ай бұрын
Karibu sana kaka
@dailyloyal24203 жыл бұрын
Elimu hii imekua ikinijenga kiakili na fikra, lakini ningependa siku uje na mada ya kukata tamaa, watu wanafeli masomo, wanapoteza kazi ghafla, na wanapoteza watu wawapendao na wanao wategemea, wanaanguka kibiashara, n.K, hivyo wengi hukosa namna ya kufanya kinachokuja kichwani ni kukata tamaa(saikolojia inavurugika kabisa)
@HashimuMaulidi-oi5lt Жыл бұрын
vitabu
@ibrahimmcha39393 жыл бұрын
Mashaallhah🤝🤜💚💚💚
@mariammariam11282 жыл бұрын
Pole kwa 🤣🤣🤣🤣🤣🙏🙏🙏👍👍💯
@successpathnetwork2 жыл бұрын
Pole ya nini tena hii?
@elishamgasa23433 жыл бұрын
Aisee hii hotuba ndio yenyewe
@veronicakauye20873 жыл бұрын
Usipovaa mawigi na kuweka nywele dawa, kwa wanawake wanakusema, utasikia huyu nae wa kizamani, kapitwa na wakati, na unaweza ukaamkiwa shikamoo mama hata kama umri mmetofautiana kidogo.Mambo kama hayo yanachangia wanawake kujihangaisha kuhusu muonekano
@evalineemmanuel81782 жыл бұрын
iyo kwwli kabisa
@HashimuMaulidi-oi5lt Жыл бұрын
ntapataje vitabu
@ahadimuseremu50073 жыл бұрын
Mada zuri kaka ila mtu kama aufikiri kuusu kesho unawezaje kujiwekeya akiba❓ ila asante kwa mafuzo mazuri♥️