Рет қаралды 6,814
#Mahakama Kuu imezuia mali za mfanyabiashara maarufu nchini #Yusuph #Manji kutokana na madeni anayodaiwa na Benki ya NBC.
Manji anadaiwa zaidi ya Shilingi bilioni 25 na benki hiyo ambazo ameshindwa kuzirejesha kwa wakati kwa mujibu wa mkataba, hivyo mali zake zilizopo Mwanza na Dar es Salaam ambazo ziliwekwa dhamana, kuzuiwa.