Yusuph Manji baada ya kutajwa na Makonda sakata la dawa za kulevya

  Рет қаралды 614,381

Millard Ayo

Millard Ayo

7 жыл бұрын

Jumatano ya February 8 2017 mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda alitaja mbele vyombo vya habari majina mengine ya wanaotakiwa kuhojiwa siku ya Ijumaa kuhusu tuhuma za dawa za kulevya, katika list hiyo Paul Makonda ametaja jina la mwenyekiti wa Yanga na mfanyabiashara Yusuph Manji.

Пікірлер: 857
@judesammy9643
@judesammy9643 7 жыл бұрын
Nakubaliana na Yusuf Manji kabisa... ipi njia ya kuwaita watu na kuwahoji,, na ipo tahasisi maalum ya kuwachunguza watu wanaohusika na mihadarati'' lkn alivofanya mkuu wa mkoa c vzr kabisa tena yeye pia achunguzwe na malaya wake wanauza unga... Anatafuta Kura za baadae na umaarufu mwingi kupitia migongo ya watu..
@Halimabintmafitah
@Halimabintmafitah 7 жыл бұрын
Jude Sammy subiri vijukuu vyenu vikikua vianze kubwia maunga ndomtamkumbuka huyo makonda.
@shuwehaomar6658
@shuwehaomar6658 7 жыл бұрын
makonda anataka sifa tu au amechanganyikia baada ya watu kusema anakamata watumiaji anaacha wasambazaji sasa anataja tu had I manji hadi mbowe kweli makonda anataka ajiweke sehem nzuri ajeagombee urais sio bure unachafuachafua tu watu
@jasminesamir8504
@jasminesamir8504 7 жыл бұрын
Shuweha Omar makonda mpuuzi
@athanaselisha1617
@athanaselisha1617 7 жыл бұрын
Shuweha Omar makonda strong sana!!!muone huyu anavyotudharau mpaka kumwita kiongozi wetu mpumbavu!!!!
@jahrean-tc8561
@jahrean-tc8561 7 жыл бұрын
jamaa angalia maneno hayo hawakawii kukutafutia kosa
@jamesmtangi8025
@jamesmtangi8025 7 жыл бұрын
akili butu naww....fikiria vizur bhana,,,
@moodybite
@moodybite 7 жыл бұрын
umzani aye siye usiemzania ndiye
@ramadhanurassa2410
@ramadhanurassa2410 7 жыл бұрын
hapa ndio nilipokua napataka
@ummyissa4622
@ummyissa4622 7 жыл бұрын
Ramadhan Urassa 😂😂😂🙌🙌😅😅
@bertharobert8841
@bertharobert8841 7 жыл бұрын
😁😁😁😁
@winieramadan9857
@winieramadan9857 7 жыл бұрын
Ramadhan Urassa mm pia nilikua napataka
@gabrielrobert7149
@gabrielrobert7149 7 жыл бұрын
haha
@shuwehaomar6658
@shuwehaomar6658 7 жыл бұрын
Thanks Milad Ayo kwa habari ndefu kiasi chake
@sphrb1063
@sphrb1063 7 жыл бұрын
makonda mwenyezi mungu akutangulia kwa kazi yk
@shakirarashid9181
@shakirarashid9181 7 жыл бұрын
mm sikuzote waga na sema watu waupe sio kwenda ukachekiwe akuna cha yanga wala simba Hapa hatuko ki team tuko kikutokomeza madawa ya kulevya munajifanya wasafi wa nguo wachafu moyo
@arafangalawa2860
@arafangalawa2860 7 жыл бұрын
Shakira Rashid mpumbavu uyo anaongea nn uyo mbona hana lakuongea yang ooh msaada ooh alf anajipangiaje mda wa kwenda polis yule Melinda ni mheshimiwa kwako ata km umemzid kiuchumi kwendaaaaa pyeeeeee folen eti awez kupangaa looh
@wallacelussingu5820
@wallacelussingu5820 7 жыл бұрын
Shakira Rashid y
@nassorsaid2331
@nassorsaid2331 7 жыл бұрын
Arafa Ngalawa wabomgo mnamatatizo na mnakalili sana kwa hiyo kama kiongozi ndo afanye anachojiskia.. the point point ni sheria siyo pesa,au uongozi
@maverickcreativesolutions8285
@maverickcreativesolutions8285 7 жыл бұрын
we ndo kilaza wa mwisho yani
@mrsmrshassan7473
@mrsmrshassan7473 7 жыл бұрын
Shakira Rashid
@salimatuyahhaya5772
@salimatuyahhaya5772 7 жыл бұрын
😂😂😂😂😂manji sitaki sikia kelele mingi Mimi kutoka kwako. Ukifika kituo Cha polic ndo Tutajua mbivu na mbichi
@randymontana1521
@randymontana1521 7 жыл бұрын
Salimatu yahhaya kituoni watamfanya nini huyu? Unamjua nani kwanza huyu mtu? Hiyo serikali yenu ya ccm inaendeshwa na watu kama hawa! So they can't touch him! Huyo Makonda anataka kiki tu na kuwadhalilisha
@ronaldomwacha6098
@ronaldomwacha6098 7 жыл бұрын
+Randy Montana ameonewa
@salimatuyahhaya5772
@salimatuyahhaya5772 7 жыл бұрын
Randy Montana Swali la watamfanini.....sheria itafuata kama Kwel anahatia Au makonda kakosea Njia Tutajua Napia SIWEZI kusema chochote Kile kuhukumu MTU Sipendi kudhani Nidhambi kubwa. Na pia Manji simjui na mfahamu2
@ronaldomwacha6098
@ronaldomwacha6098 7 жыл бұрын
Achunguzwe
@asharajabu88
@asharajabu88 7 жыл бұрын
tumia akili mdada huyo makonda atafuta kik 2 n keshaipata wakubwa hawataj ataja wat ambao hawapat kiuchum
@joycemichaellovelove2221
@joycemichaellovelove2221 7 жыл бұрын
kama move vile part 2 sjui lin 😀😀😀 big up Makonda ita oteee bila kujar cheo yao ilimrad uwe unataarifa zao za kutosha hapa kaz tuuu
@bintirashidantybaby8146
@bintirashidantybaby8146 7 жыл бұрын
joyce michael love love ama vipi muhimu tarfa za ukweli tu
@saidwilson6529
@saidwilson6529 7 жыл бұрын
huyu makonda mshamba kama chobanga tuuu.....
@joshuakwelimoto6494
@joshuakwelimoto6494 7 жыл бұрын
+said wilson huyu kiongozi wa mkoa simuelewi
@iddiewazeer9300
@iddiewazeer9300 7 жыл бұрын
watanzania wengi hatuna elimu na hatujaelimika white pipo wapo makini sana wanasoma katiba kujua haki zao ktk jamii ila black pipo humu tunashabikia tu wakat haki zetu kisheria hatuzijui hata katiba yetu hatujaipitia ila tuna mcriticiz mtu anaetetea haki yke kwa mujib wa katiba...shame on us
@khamyszahor856
@khamyszahor856 7 жыл бұрын
Makonda kafikia mbali sasa,Na siku zote kupewa sifa nzuri tu hata kama na mabaya unafanya eti usiambiwe basi inajenga tabia mbaya.Makonda ajirekebishe
@mauacosmas8495
@mauacosmas8495 7 жыл бұрын
kazi ipo shukran millard kwa kutusongezea habar
@hactivist9076
@hactivist9076 7 жыл бұрын
This guy yupo sahihi kupigania public image yake maana if you want to summon someone then use the official means sio kutangaza kwennye media, kama mtu asipo showup utamlaumu kwa lipi maana anaweza sema kuwa hafatilii news wala nini na hatrust unofficial means. Wapo Tanzanians ambao hawatosupport the means liyotumia ila sio makosa yao ni kosa la kutojua law, na ndo maana haki itakuwa ngumu kuipata in this country, tusome kisha tutetee point kwa hoja na si kwa mkumbo, wake up people.
@hafidhsuleiman804
@hafidhsuleiman804 7 жыл бұрын
Hactivist 90 uko sahihi mkuu! kuna mtu alinambia maisha ni kucheka kidogo na kulia sana...usifurahie kudhalilishwa kwa mwenzako, leo analia yeye...kesho utalia wewe! Huu utaratibu wake ni kinyume na sheria...
@sammymchuma3579
@sammymchuma3579 7 жыл бұрын
Hactivist 90 umesema kweli
@abbiecox1
@abbiecox1 7 жыл бұрын
WANUFAIKA MKO WENGI SANA
@abbiecox1
@abbiecox1 7 жыл бұрын
UMELALA PEKE YAKO KWA KUNUFAIKA NA UCHAFU WA UNGA UKITETEA UKO SAHIHI! KIPO UNACHOPEWA SI BURE
@masudikingwiti5425
@masudikingwiti5425 7 жыл бұрын
Masudi
@godlema6104
@godlema6104 3 жыл бұрын
tulioangalia video 2021 tujuane
@kibibifaraji8440
@kibibifaraji8440 7 жыл бұрын
kweli manji alivyosema njia aliyotumia sio sahii yakuwataja watu kwenye tv bila ushaidi wowte ul kam vanessa amemwalibia mtoto wa watu jina kwakweli bila kithibitosho choche yani manji amnyooshe uyu Mr misifa
@athanaselisha1617
@athanaselisha1617 7 жыл бұрын
Kibibi Faraji hizo njia za kimnya kimnya zilifeli ngoja watajwe tu na liwalo na liwe sasa.
@estherwangare9759
@estherwangare9759 7 жыл бұрын
Kibibi Faraji yeah hata nchi zingine zitakataa kufanya kazi nao...wema anavutia wengi na movie na shepu yake...V money katoto kazuri na venye kanaleta heshima tz juu ya mzikii saizi amerudishwa nyuma
@kibibifaraji8440
@kibibifaraji8440 7 жыл бұрын
athanas elisha my dear angewaita tu unavyomtaja mtu kwenye video all Word wanangalia kwa sabb anakithibitisho ambacho amewakuta nacho anafanya vitu kam ameishia lasaba
@fafi9092
@fafi9092 7 жыл бұрын
Kibibi Faraji Ushahid upo wanaukamatwa zaid ya kumi wanataja manji mbona awakutaja diamond achen kutete ujinga bn
@jecktonenashon9555
@jecktonenashon9555 7 жыл бұрын
mmmh
@renaldakamugishazeramulake940
@renaldakamugishazeramulake940 7 жыл бұрын
Mr.manji basi yaishe.kesho nenda msamehe baba.
@halimambwego8287
@halimambwego8287 7 жыл бұрын
Hahaha
@fahmisalum6036
@fahmisalum6036 7 жыл бұрын
+Halima Mbwego،،،،،،،،
@reyph1700
@reyph1700 7 жыл бұрын
makonda kashika pabaya sasa ana kulupuka kama kanywa viloba sasa kazi kesho kwa gwajima
@mamatuishi-mamatuondoke8822
@mamatuishi-mamatuondoke8822 7 жыл бұрын
Rey Ph -Ndugu sipati picha kwa kweli
@arafangalawa2860
@arafangalawa2860 7 жыл бұрын
kakurupuka kwalipi kwani manji yy ni nanii yanga Yahusu nn apo aende akajibu huko hapo c polis aliwataja wasanii mkalalama ss kawataja na wakubwa tena mnasema afanye lipi mtaloona jemaaa makondaa tumbuaaa
@halimambwego8287
@halimambwego8287 7 жыл бұрын
Walisema mbona wakubwa hamuwataji... Haya sasa wakubwa wenyewe hao hapo... Kazi ipo.. Eee mungu simamia vema zoezi hili kwa usalama na amani
@obeymbena2394
@obeymbena2394 7 жыл бұрын
Rey Ph anajua anacho kifanya
@brightvatta284
@brightvatta284 3 жыл бұрын
Hii ni kutafuta masifa... this man! Mwenyezi Mungu akuweke hai
@rizikialmas4877
@rizikialmas4877 7 жыл бұрын
Asante millard ayo kwa taarifa muhimu kama hizi... Keep it up
@stellandoromi3141
@stellandoromi3141 7 жыл бұрын
tena anasifa uyo mkomeshe tu anaushaidi gani kwaza
@Richgasule9591
@Richgasule9591 7 жыл бұрын
Aiseee ishakua ishuu nzito hii shukrani bro Millard
@msemalufunga3876
@msemalufunga3876 7 жыл бұрын
watanzania bwana mbona mnachekeshaaaaa!!? mwanzoni ooooh anataja vidagaaa Leo mapapa hayooo ooh zipo njia mbona vigeugeu jamani???? mwacheni makonda afanye kazi yakeee!!!
@arafangalawa2860
@arafangalawa2860 7 жыл бұрын
MSEMA LUFUNGA nashangaaa na mm jmn duh wa tz hawana mcmamo walizani atawaogopa wakubwa matajir ss kawataja washeanza oooh makonda kaingia choo cha kikee waache kutapatapaa na yule mbunge alokua anaropoka bungen aropoke tenaaa tumckie walisemakina wema wameonewa wameachwa wahuska wametajwa wahucka tena bado lawama mh makonda fanya kaz ucckize figisu figisu za wafa majiiiiii
@MM-pb7fw
@MM-pb7fw 7 жыл бұрын
wabongo wanashida kwenye ufahamu aisee
@moodybite
@moodybite 7 жыл бұрын
ndio kaka
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 7 жыл бұрын
Asante ndugu, uko sawa
@raphaelraphael4557
@raphaelraphael4557 7 жыл бұрын
MSEMA LUFUNGA waite wote hata haibu kwa watu ni tiba
@sophiamaembe8373
@sophiamaembe8373 7 жыл бұрын
ur soooo trueee manji....
@alfanmuruwa5601
@alfanmuruwa5601 7 жыл бұрын
veve manji acha kelele bana kama nausa unga makonda asiseme makonda iko na evdence bana tafungia veve jela bana au nausa unga original hata ulaya uwezi pata kabisa
@arafangalawa2860
@arafangalawa2860 7 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@ritchiexanti9587
@ritchiexanti9587 7 жыл бұрын
Hahaaa.... Yusuph bna.... Kiswahil kinasumbua lakini naona kabisa kuwa jamaa ka mind kichiz... 😁😁✌. Usiwaze bruh... Yanga wako bega na ww.. 👏👏
@augastineboma508
@augastineboma508 7 жыл бұрын
u spoke well mzee big up
@providencentibakazi5031
@providencentibakazi5031 7 жыл бұрын
salute to Makonda Dsm bila madawa ya kulevya inawezekana
@tareqhilal6750
@tareqhilal6750 3 жыл бұрын
Leo umejua kuwa ulikuwa hujui
@allyhassani4978
@allyhassani4978 7 жыл бұрын
ur right bloody....mana kila mtu anahadhiyake sasa kuitwa kwa kashifa kama hiyo sidhan kama kunabusara....ilaa neenda ijuma then utafufia hakiyako
@aminalyoba6520
@aminalyoba6520 7 жыл бұрын
makonda komaa na hao wauza unga maana wanaaribu ndugu zetu
@aminalyoba6520
@aminalyoba6520 7 жыл бұрын
ondoka hata leo kwani wewe ukiondoka yanga ndio yanga itakuwa imekufa
@fahadfahmy
@fahadfahmy 7 жыл бұрын
Hii ni comference ya Yanya au kuhusiana na Madawa ?
@sabrinamohammed1371
@sabrinamohammed1371 7 жыл бұрын
hii manji iko uza madawa bhana ,haki kaombe india unatutesa na na ma mall yako ya bei kubwa kisa wewe muuza unga kafanye iyoo kazi india siyo hapa ukitaka kutokukubali utarudi india kwa miguu tena umeniuzi alafu unaleta jeuli kama hii nchi ulikuwepo enzi za nyerere kama unauza madawa utaitwa tu polis
@merinamasawa1180
@merinamasawa1180 7 жыл бұрын
Sabrina Mohammed we ulikuwepo enzi za Nyerere??
@hilalhilal7198
@hilalhilal7198 7 жыл бұрын
Merina Masawa mulize vizuri atujibu yy alikuwepo wakati huo
@sabrinamohammed1371
@sabrinamohammed1371 7 жыл бұрын
Merina Masawa hapa kazi tu
@sabrinamohammed1371
@sabrinamohammed1371 7 жыл бұрын
Merina Masawa hapa kazi tuuu
@mkude
@mkude 7 жыл бұрын
sabrina jina lako zuri lakini haluendani na tabia yako,manji ameitwa akahojiwe,wewe unamtuhumu moja kwa moja,halafu na ubaguzi juu,ubaguzi ni mbaya dadaangu
@hawawezidianakukushusha756
@hawawezidianakukushusha756 7 жыл бұрын
kwenye makosa hakuangalii wewe ni nani kwanza binadamu wt ni sawa kwani we man hi nani au kwakua tajili ila tambua kwa mungu hakuna matabaka wewe ni raia kama wengne acha kujikweza na kujiona wewe ni mbora nenda baba itikia wito acha porojo
@mjakajuma5574
@mjakajuma5574 4 жыл бұрын
Pole sn kak mungu atakulipia
@hythamjamal8981
@hythamjamal8981 7 жыл бұрын
Manji yuko wrt kabisaVery gud
@kibongobongo8950
@kibongobongo8950 7 жыл бұрын
Sijapata kusikia mtuhumiwa kuitwa katika media hali wanajua anapatikana wapi.
@BarakaWaya
@BarakaWaya 7 жыл бұрын
Manji anaongea point Sana,nimpuuzi tu atakaye kurupuka kumbeza Manji.
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 3 жыл бұрын
Kweli kbs alafu kinachowatia vibuli makonda na baba ake makali walioshika ndo kinachowapa vibuli ila mungu nae ametenda maajabu yake
@mentythegemini405
@mentythegemini405 7 жыл бұрын
too much clever uyu mtu
@filbertabdallahmdee2676
@filbertabdallahmdee2676 3 жыл бұрын
Walikuonea tu rudi home tunakusubir mungu atakusimamia na mungu yana ubaguziii na yupo na ww mda wowote kwe haki yako rudi tunakupenda
@mimifulani948
@mimifulani948 7 жыл бұрын
acha kujifanya unakaz ya maana dar wewee MAKONDA EE HAWA MACHIZ NDO WANATAKIWA usimuogope ati watu 65 na yy awepo unataka uitwe kiboss hakuna hapa😏😏😏😏😏
@asharajabu88
@asharajabu88 7 жыл бұрын
na huyo makonda wako pia ajitaje n huyo malaya wake wa huko xouth
@Royalcakespoint
@Royalcakespoint 7 жыл бұрын
SOFY OMARY hasikitiki hadhi yake na hao wrngine waliotajwa ila anachokiongelea hapa ni katiba ya nchi inavoeleza kipengele cha sheria ya haki yake...na katiba nikitabu kinachomlinda kila mMoja wetu
@greonpeter6984
@greonpeter6984 7 жыл бұрын
SOFY OMARY utajiri wa huyo jamaa ni wa kurithi sio waku boost
@mkude
@mkude 7 жыл бұрын
sofy mambo
@ericlowasa3097
@ericlowasa3097 7 жыл бұрын
Hivi we mwanamke wanakusaga nn wenzio maana unaongea utumbo ati hivi anachokilalamikia manji umekielewa au na ww unakulupuka kama huyo madereva fara w manji anazungumzia katiba ya nchi inasema nini yeye akiwa kama raia na ze way inavyomprotect kumchafua mtu without evidence hilo tiyari ni kosa kisheria ikithibitika mtu huyu kosa hana basi anauwezo wakukufungulia kesi na kukushitaki umelewa w msagwaji
@codingwithtosby
@codingwithtosby 7 жыл бұрын
He seams so shaken
@mwanahella9650
@mwanahella9650 7 жыл бұрын
kinachonishangaza mie ni kimoja tuu. wale wamiliki wa makasino waliitwa kimya kimya wakafanya yao wakarudi majumbani kwao. Majizo amekamatwa kimya kimya na hajapigwa pic wala kuonyeshwa popote. #Watanzaniatutambuehakizetubilahivyotheygonnafuckupallofus😔😔😔
@mauwahusseiny682
@mauwahusseiny682 7 жыл бұрын
Mwanahamisi Hella hatamimi nashanga kumbe tz yenu sawasawa na Burundi?😂😂😂 inabidi nyinyi muwekama laiya warundi makonda utakufa haraka. kama ADOLFE hatakuzikwa ikawatabu kwakuwa amepandisha jiuli naubaya mwingi kama wewe pole makonda kwakaziyako kuwa mkweli
@mwanahella9650
@mwanahella9650 7 жыл бұрын
mauwa hussein Y 😆😆😆😆niko nabadilisha uraia vry soon nahitaji kuwa munyarwanda😃😃
@mauwahusseiny682
@mauwahusseiny682 7 жыл бұрын
Mwanahamisi Hella 😂😂😂😂nihataree Rwanda kunashelia hakuna ujinga huyo kagame nijeshi inchi ikosawa mambohayo yakuvamia mtuhamnaa
@mwanahella9650
@mwanahella9650 7 жыл бұрын
mauwa hussein Y 😅😅😅😅haya niwekee nafasi bc huko kwenu🙈🙈 (sijui upo wapi mweeh) alafu nadhani Makonda atakua SIMBA ndo mana hehehe😃😃😃
@mauwahusseiny682
@mauwahusseiny682 7 жыл бұрын
Mwanahamisi Hella mimi siko afric mpaka niludi hm
@halimasali.8081
@halimasali.8081 7 жыл бұрын
narusha jiwe gizani atakae sema yalaaaaaaaaaa limempataa!!nimekuelwa yusuph iko njia kweli yakuita watu na kuwahoji lakini sikutangaza watu public na huna uhakika nao......niko hapa lawyer wako....tukutane ijumaa police station
@rashidijulius6511
@rashidijulius6511 7 жыл бұрын
japo kiswahili ni kigum. lkn umeeleka kaka.
@rashidiwaiti6686
@rashidiwaiti6686 3 жыл бұрын
Waliendeshaa nchii hii kwa visasi na ubabee munguu kafanya yakee hukuu somoo big up aallllaah
@wilsonkahamba8806
@wilsonkahamba8806 3 жыл бұрын
Pole
@SamwelNyangala
@SamwelNyangala 7 жыл бұрын
kama napata hisia za huyu tajiri..... atavunja mtu taya........SHubaaamiti
@saimonimloka4221
@saimonimloka4221 7 жыл бұрын
Samwel Nyangala 😂😂😂😂😂🔥
@Musa-wr8vk
@Musa-wr8vk 7 жыл бұрын
sijawahi kuona kiongozi mpumbavu kama makonda !
@alphonseisumba6326
@alphonseisumba6326 7 жыл бұрын
je vigogo wa chama hawapo au mizengwe?
@salehemkala7775
@salehemkala7775 7 жыл бұрын
Musa Msira wewe naona alija kugusa ndio mana unamlaumu makonda mimi naona sawa wawo wanasambaza sumu kwa watoto wa wenzao wanaona uzuri wacha waumbuke
@renaldakamugishazeramulake940
@renaldakamugishazeramulake940 7 жыл бұрын
Musa Msira bora ukuu wa mkoa apewe Harmolapa mpaka home atakuwa anafagia barabara as kariakoo so umeona anavomsaidia mpenzi wake home. MAKONDA NI HARMOLAPA KABISA
@goldendesertmrgolden5976
@goldendesertmrgolden5976 7 жыл бұрын
Salehe Mkala he? wewe ukitajwa kuwa umeiba Itakuwa? au kunautaratibu wakufwatwa eliejulikane kama kweri ww umeiba au laah kwahiyo huwezi kumtaja mtu kama anahusika nakitu furani wakati huna ushahidi watazania amukeni kuweni na akiri msipendekuamini kila kitu mnachosikia kunasheria na utaratibu
@charitythegolden729
@charitythegolden729 7 жыл бұрын
Makonda doesn't know that intelligence overloads intelligent to the downfall
@donaldmanyama7717
@donaldmanyama7717 7 жыл бұрын
Daaah Mungu Ibariki Tanzania.
@marafikistation
@marafikistation 3 жыл бұрын
Who still watching 2021
@hassankayla4076
@hassankayla4076 7 жыл бұрын
Intermission yaan kama movie la kihindi hahahahhaha #MANJI we nenda tu mkuu kama hakuna ushaidi wa kutosha basi dai haki yako ila #PAULMAKONDA mwacheni afanye kazi yake. Ahsante Millard kwa taarifa. #AYOTV
@abelmirwatu19
@abelmirwatu19 7 жыл бұрын
Ninavyo helewa mimi duniani kote wauza unga siyo watu maarufu, kwa sababu wakijulikana ni rahisi kukamatwa siyo watu wamitandao nikama kaka kuona vile maisha yao jinsi walivyo..Mna mjua mwana music wa rap duniani Curtis jackson or 50 cen't alikua muuza unga mzuri sanaa alipo toka ktk lile genge walitaka kumuua na walimpiga risasi 9, lakini akapona kipindi hicho alikuwa siyo maarufu alipo pona ndiyo akaanza biashara ya music dunia nzima leo ina mjua. Kwaiyo hili swala si jepesi tushilikiane na raisi wetu kutokomeza madawa ya kulevya ndg zangu.
@bilalmatola2660
@bilalmatola2660 7 жыл бұрын
kuhusu kuwaita watu Na kuwahoji Makonda angewaita bila kutangaza kwenye vyombo vya habari alaf baada ya mahojiano Na wenye hatia kupatikana angetangaza lakin ivyo ni kutafuta Kiki kwa pombe unapomweka mtu mwenye carrier kubwa Na heshima Na kumtangaza kama suspect hata ukimkuta hana hatia tayar umeharibu carrier ya MTU wake up makonda work in silence success will make noise......
@jonaselias7729
@jonaselias7729 7 жыл бұрын
ahsante boss
@bashiruhamad4898
@bashiruhamad4898 3 жыл бұрын
Life is gon on
@ashahaji4936
@ashahaji4936 7 жыл бұрын
Hafidhi uko xawa my broo mm sesoma ila naona mapya ila hii list lazima ipo muda ila xaxa imepata msemaji ok Allah bless Tanzania
@christsflowe.r
@christsflowe.r 7 жыл бұрын
I was saying the same thing u can't just mention people's name for bad images especially if you are not sure.
@faysalmahmuddidar7135
@faysalmahmuddidar7135 7 жыл бұрын
mungu-akupe-maisha-malefu-manji-nimependa-sana-kauli-zako-ubalikiwe
@youngfrava7308
@youngfrava7308 7 жыл бұрын
whatch out part 2 ?
@athumanfundisalimu5798
@athumanfundisalimu5798 3 жыл бұрын
Da shukuru munguuu San
@juliusfrancis6586
@juliusfrancis6586 7 жыл бұрын
safi sana manji
@bahatijoseph8763
@bahatijoseph8763 3 жыл бұрын
2021 Manji Ndani
@emmanueldavid6367
@emmanueldavid6367 4 жыл бұрын
2020
@reganzawadi4965
@reganzawadi4965 3 жыл бұрын
Tumekuelewaaa Boss,, Ilitaka sifa yakijingaaa
@kfastak
@kfastak 7 жыл бұрын
Manji Kwanza hataki ukaka na Mh.Makonda kabisaa. kuda da da daaa dekii
@marymayeye7947
@marymayeye7947 7 жыл бұрын
hatukatai madawa yakulevi ni mapoya, lakini njia wanao itumia ni mboya. nikama hawakwanda shule .poleni wa tanzania.poleni kisomo kina saindia.
@officialmologa
@officialmologa 7 жыл бұрын
nasomaga comment za watanzania wenzangu baadhi zinasikitisha sana. Najua hatuna elimu na mfumo bora basi angalau tusome sana akili zifunguke kupitia kiwango cha elim tuliyo nayo,watu wanacomment hoja za ajabu ajabu kwenye masuala makini ,naombeni tusome kama hatujapata nafasi kusoma basi tuhimize watoto wetu kusoma ili angalau fikra zifunguke katika kujenga hoja
@khadijachembela5946
@khadijachembela5946 3 жыл бұрын
Achana nae kk tunakuhitaj
@latifahissa1114
@latifahissa1114 7 жыл бұрын
Mmh!! mungu wangu hii vita hii isije ikapelekea pabaya nchi yetu mana binafsi naona chachandu imepaaliwa makaa 😨😨😨
@halimambwego8287
@halimambwego8287 7 жыл бұрын
Eee mungu kuwa kiongozi kwa hili zoezi maana ni mtihani kwa kweli
@mariamk1488
@mariamk1488 7 жыл бұрын
Halima Mbwego AMEEN HASBIN ALLAH WANEMAL WAKILI........
@halimambwego8287
@halimambwego8287 7 жыл бұрын
🙇🙇
@renaldakamugishazeramulake940
@renaldakamugishazeramulake940 7 жыл бұрын
Halima Mbwego hakuna cha mtihahani wala weekly test makonda anakurupuka sijui kalishwa nyama ya kasuku! ukiambiwa mmeo au mkeo anatembea n.a. fulani. chunguza upate ukweli. muite chumbani mueleze.ndio uite wazee kisha tangaza hadharani. anapotangaza majina.tayari kaharibu upelelezi.wataficha.hutowakamatamakonda sijui wamekulea vp. huyu mungu wako ni mungu wa lema n.a. mungu wa tundu lisu mdomo umewapeleka pabaya taratibu kakangu familia n.a. wazazi wanakutegemea ACHA KUWA UNAKURUPUKA UMELISHWA NINI?
@mutenyoshadia6093
@mutenyoshadia6093 7 жыл бұрын
+Renalda Kamugisha Zeramula Kemil yaan majanga me napita tu
@raphaelraphael4557
@raphaelraphael4557 7 жыл бұрын
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe kumbe kuleta dawa au dawa za kulevya sio bali kuwaita ndo kosa,pili makonda lengo lake ni zuri ni kumaliza dawa za kulevya sio kujaza gereza
@sadiqsleemz6311
@sadiqsleemz6311 7 жыл бұрын
tru man says truth like yusuph
@stephenbarnaba5061
@stephenbarnaba5061 7 жыл бұрын
Acha afanye kazi Rc bhn.....
@jacquelinemaritim8674
@jacquelinemaritim8674 7 жыл бұрын
I was more like waiting to see someone like you brother, to stand tall concerning this BS going on in Dar er salam. This government is probably growing rapidly with crooks forcing for attention from people in the name of being senior!!! What is senior by the way? We all deserve the respect Makonda...get rid of that bro!
@tareqhilal6750
@tareqhilal6750 3 жыл бұрын
Leo nimekuelewa
@aminayasin2906
@aminayasin2906 7 жыл бұрын
fanya baba ametuchosha huyu ghabia asieelewa maana ya kaz yake kwnza yy ni mwndishi wa habar anaekaa kwnyw vyombo vya habar kuwadharirsha watu atumie cheo chake vizr na kwanza hii kaz c yake ni IGP yy kaz yk kuwapa muongozo mbona wengine anawachuku bila kuwatangaza acha zko we makonda fnya kaz ili uinufaishe nchi sio we upate ujiko
@nayomikwambonayomi1508
@nayomikwambonayomi1508 7 жыл бұрын
SAFI SANA KAKA WAMEZOEA WALE WANAFKI TUU YEYE NA RAISI WAKE WAMESHAZOEA KUTUFANYA SISI WATANZANIA WAPUMBAVU ATUNA AKILI WANATAFUTA KIKI AMTAJE MASOGANGE BASI AMBAE NA USHAHIDI UPO KUHUSU YEYE MBONA HAMTAJI.
@cheupemwanga3326
@cheupemwanga3326 3 жыл бұрын
Nice
@gastordominic410
@gastordominic410 7 жыл бұрын
well done Yusuph
@francisngafumika2180
@francisngafumika2180 7 жыл бұрын
pole brother hii ndio bongo sasa badili jezi ya yanga iwe ya kaki halafu sema peoples
@sumaritvonline4674
@sumaritvonline4674 5 жыл бұрын
This man what is saying is automatically truth, you can't publicize someone's summon its very unfair
@mabenatv8554
@mabenatv8554 3 жыл бұрын
Rudi tanzania 🇹🇿mkuu
@agustinong8007
@agustinong8007 7 жыл бұрын
lakini mbona ana dalili ya te j'ai?
@rukiahussein9737
@rukiahussein9737 7 жыл бұрын
Asaaaaaaante Imefika patamu
@ummyissa4622
@ummyissa4622 7 жыл бұрын
saaana😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
@rashidijulius6511
@rashidijulius6511 7 жыл бұрын
Rukia Hussein bado muvi inaendelea. usitoke kwenye tv
@winieramadan9857
@winieramadan9857 7 жыл бұрын
ummy issa mambo vpi mwaya😂😂😂😂😂😂
@happybraysoni7373
@happybraysoni7373 7 жыл бұрын
Dah
@haidarimsigwa1833
@haidarimsigwa1833 7 жыл бұрын
Everything has its way of handling. If you think ur above the law since ur a leader then ur wrong and u r not feet to be a leader. Even if what ur doing is right and has good benefit to the community umless u do it rihgt then its not right it is wrong as what ur trying to correct. Lets learn how to respect people and there rights and by respecting the rull of law.
@officialdullastar1070
@officialdullastar1070 7 жыл бұрын
Jamaa kasoma sio mjinga kupelekwa pelekwa tu. Anajua haki yake akuna ubabe
@abdulabeid906
@abdulabeid906 7 жыл бұрын
tuwe tuna angalia angalia habari,,,,yawezekana,,,,nawewe kweny list upo,,,,
@Blackie_blackie9327
@Blackie_blackie9327 7 жыл бұрын
jamani!
@mcisunga3822
@mcisunga3822 7 жыл бұрын
sio shabiki wa Yanga lakini kwa hili makonda ajiangalie
@saimonimloka4221
@saimonimloka4221 7 жыл бұрын
Jane Edward Mwangomba kuna style yakuita watu na kuwafanyia uchunguzi,lkn siyo kuwazalilisha watu
@oscar.osward.8128
@oscar.osward.8128 7 жыл бұрын
Saimoni Mloka
@AnzuDimpo
@AnzuDimpo 7 жыл бұрын
Muheshimiwa Yusufu Manji yupo Sawa👏👏👏
@geofreyernest3437
@geofreyernest3437 7 жыл бұрын
Mwachie mungu dah. So sad
@imamumponda276
@imamumponda276 7 жыл бұрын
makonda muacheni afanye kazi yake kwani jmn tulikua hatuoni watu walivyokuwa wanakula unga mpaka vituo vya daladala but katazame asa hivi mateja wamefyata na hao maboss wao ndio nawaombea muheshimiwa makonda aendelee kuwataja hivo hivo tuwajue tiwe na tahadhari nao maana haina maana wee kwa faida za watu wachache wengi wanaharibikiwa ndio nini !!!! makonda watajeeeeeeeeeee
@sarahmwaluko2480
@sarahmwaluko2480 7 жыл бұрын
mhm mungu ndie ajuaeye ypute
@juliusuronu8812
@juliusuronu8812 7 жыл бұрын
Tension trickier...! Nafikiri nimeeleweka
@samirymickdady8131
@samirymickdady8131 7 жыл бұрын
sizon sasa imefikia patam episode ya 3 sijui itakuwaje 😁😁😁😁😁 MA 🚌🚌🚌 kayakanyaga kwa watengeneza 💰 💰 💰
@ruthshayo1305
@ruthshayo1305 7 жыл бұрын
kwani mapovu ya mini manji usikatae wito kataa maneno ndio ww mwenyekiti wa yanga hatukatai kwa hiyo ikibainika unamakosa usiulizwe au kushtakiwa kisa mwenyekiti rudi nyuma kwenye kauli ya mh Rais amesema asiangaliwe nani na ana cheo gani .so makonda yupo sawa tunajua anawakati mgumu kwa sasa matusi yote ni take lkn anapambania nguvu kazi za badae .....alutaaaà continue baba makonda.
@Ishengoma1
@Ishengoma1 7 жыл бұрын
Jamani hapa patamu sana. Na kule umekosea jina la kwanza la mbowe sijui ni mbowe gani ataenda central Ijumaa. Huu mwaka umeanza bila pesa lakini mziki ndo unachezwa sasa hivi. Huku Makonda kashasema part 3 inakuja, uwiii huu mwaka ni filamu tu
@fredrickaloyce7137
@fredrickaloyce7137 7 жыл бұрын
kwann wengine hawajaongea?kina mboe mbona wametulia tu..mi nnacho hisi huyu jamaa anatumia vyombo tu...Ukweli unauma..
@sifacycy_bby8827
@sifacycy_bby8827 7 жыл бұрын
Mh! poleni san walio tajwa ila nadhani #Makonda angefanya kuita umoja umoja kwa sim eti ju mnajuana asinge wamaliza Ila kupitia kitangaz hiv sio vibaya ww unafika tu ukikutwa huna kosa unarudi home ukikutwa unakosa unalijua moja. .....😷😎. shukran #Ayo tv.
@emiliehortensia5189
@emiliehortensia5189 7 жыл бұрын
safi sana Manji
@ellymaduhu8668
@ellymaduhu8668 7 жыл бұрын
Pole sana mr. manj soon these will end
@kasimumahovyo8024
@kasimumahovyo8024 7 жыл бұрын
kaz ipo kwel kwel, hapa kaz 2
@veronicalucas580
@veronicalucas580 7 жыл бұрын
good song jitahid sana dogo
@zenaally2395
@zenaally2395 7 жыл бұрын
kazi ipo
@japhetlaisangai8682
@japhetlaisangai8682 3 жыл бұрын
Pole sana mkuu
@machasofficialsite6221
@machasofficialsite6221 2 күн бұрын
Rest in peace YUSUPH MANJI
Makonda Ataja Majina Mengine 65 ya Watuhumiwa wa Kuuza ‘Unga
10:39
Global TV Online
Рет қаралды 11 М.
FULL VIDEO: Makonda akiwataja wanaotuhumiwa kwa dawa za kulevya DSM
10:49
The child was abused by the clown#Short #Officer Rabbit #angel
00:55
兔子警官
Рет қаралды 23 МЛН
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 44 МЛН
The day of the sea 🌊 🤣❤️ #demariki
00:22
Demariki
Рет қаралды 100 МЛН
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 90 МЛН
"Unapotangaza mtu aje Polisi saa 5, wewe ni nani?" - MBOWE
12:00
Millard Ayo
Рет қаралды 691 М.
HISTORIA FUPI YA YUSUPH MANJI
5:23
Matukio Online Tv
Рет қаралды 1,2 М.
MCH HANAJA APIGA NONDO NZITO KUHUSU KIBOKO YA WACHAWI
28:20
Mbengo Tv
Рет қаралды 2,5 М.
The child was abused by the clown#Short #Officer Rabbit #angel
00:55
兔子警官
Рет қаралды 23 МЛН