No video

#mahubiri

  Рет қаралды 50,832

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

Күн бұрын

Пікірлер: 110
@savelistaleonard6448
@savelistaleonard6448 9 ай бұрын
Mungu n mwema wakati wote.Pamoja na yote ametufundisha kusema""Nayaweza Mambo yote katika yeye anitiae nguvu"""...Uwepo wako katika kutumika kwa Bwana...,kuna wagusa wengi sana kiroho Mungu azidi kukubariki mtumishi.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 9 ай бұрын
Amen
@user-oc1zu1vg6i
@user-oc1zu1vg6i 10 ай бұрын
Ubarikiwe pastor mbaga. Ww ni combo cha BWANA. Umekuwa m baraka mkubwa sana kwa ajili ya BWANA
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 10 ай бұрын
Amen! Mungu atukuzwe
@vinniebaraka132
@vinniebaraka132 10 күн бұрын
Sifa na utukufu Kwa mwenyezi Mungu.. nmebarikiwa sana na hili neno, Pastor barikiwa sana na mungu azidi kukutumia ili tuweze kupata neno lake.
@user-ix1ep4vx3h
@user-ix1ep4vx3h 10 ай бұрын
Asante sana mtumishi wa mungu mafundisho yko huwa yananipa nguvu sana nayasikiliza kuanzia saa 6mpaka saa 11 huwezi amini nisaidie nimfikie mungu
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 10 ай бұрын
Mungu akubariki
@rutinginyaneysam.5087
@rutinginyaneysam.5087 10 ай бұрын
Asante but ukiandika Mungu andika kwa herufi kubwa, sio m ndogo
@bamag-021
@bamag-021 9 ай бұрын
Asante kwa hubiri pr, Mungu akutie nguvu zaidi. Mtuombee na sisi nimekuja kusoma India baada ya Mungu kujibu maomba yangu kunipa kibari kusoma huku . Changamoto ni kufanya ibada siku ya sabato, hawajatupa ruhusa , maana ktk mwez ni jmosi mbili tu ndio ziko free, zingine mbili ni masomo. Tuko 8, tunaomba mtuombee watupe kibali cha ibada ya sabato
@macfadyneminja
@macfadyneminja 9 ай бұрын
Asanten sana Bwana Yesu.Asante Pastor Mbaga na team Yote. Asante Mahubiri TV. Asante kwa kugusa maisha yetu kila wakati. Mbariiwe na Bwana Amen kutoka Morogoro
@user-sz4pe3dt8s
@user-sz4pe3dt8s 9 ай бұрын
Asante mutumishi wa Mungu nakufwata kilamara kwa nshi ya Congo nimebarikiwa sana n'a mahubiri Mungu wetu akujaze n'a Roho mtakatifu
@luciashayo9896
@luciashayo9896 10 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji nimefunguliwa na mafundisho unayotia yehoa mungu wetu apewe sifa
@user-rf3zz1lb6l
@user-rf3zz1lb6l 8 ай бұрын
Nimeinuliwa sana pastor barikiwa zaidi in Jesus Name Amen Amen
@MildredShinali
@MildredShinali 10 ай бұрын
Amina acha tujitie moyo na kubwa na imani ya kupigana na changamoto
@veronicapeter-iz2qu
@veronicapeter-iz2qu 9 ай бұрын
Amina ubalikiwe mtumishi
@user-qp8kp6ri9j
@user-qp8kp6ri9j 5 ай бұрын
Asante sana kwaku tuondoa ndani ya shimo.
@user-gs1ld5vd6e
@user-gs1ld5vd6e 10 ай бұрын
Ameen, nabarikiwa na huduma yako ombi langu kwa MUNGU akupe maisha marefu wafaidike wengi
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 10 ай бұрын
Amen
@blessedtumaini516
@blessedtumaini516 10 ай бұрын
Mungu Baba unirehemu nilipoingia mwenyewe kwa taabu naomba Unitoe unitakase nifae kwa utumishi wako katika jina la Yesu Kristo Amina.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 10 ай бұрын
Amen
@happymsemwa-rk7fd
@happymsemwa-rk7fd 10 ай бұрын
Ubarikiwe sana Pr Mmbaga yaan hili somo utadhani uliandaa kwa ajili yangu nmebarikiwa sana sasa nipo huru ktk Kristo
@olphanyamweya3154
@olphanyamweya3154 8 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏 hakika nimebarikiwa asantii
@elizabethvelma266
@elizabethvelma266 9 ай бұрын
Thanks!
@antipascann2797
@antipascann2797 10 ай бұрын
Yote kwa yote pastor u are good storyteller! Mungu azidi kukutumia
@benaharuna-bo1sf
@benaharuna-bo1sf 9 ай бұрын
Asant yesu maan tunakuelew kuptia mtumish wak
@shaniachanceline2751
@shaniachanceline2751 5 ай бұрын
Amina mubarikiwe Sana ❤❤❤❤❤❤❤
@JacklineMoti
@JacklineMoti 10 ай бұрын
God is good all the time & all the time God is good Ameen 🙏🙏
@Brain-tx8fx
@Brain-tx8fx 9 ай бұрын
Amina sana ubalikiwe sana mchungaji
@gerwaldalwena9829
@gerwaldalwena9829 9 ай бұрын
Asante sana, nimebarikiwa sana
@user-dv4ch3sy8l
@user-dv4ch3sy8l 9 ай бұрын
Amen be blessed more and more Man of God im so blessed with ur powerful word wja roho asiti kukuweka ktk kiwango cha juu
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 9 ай бұрын
Amen
@mussacharles5311
@mussacharles5311 5 ай бұрын
Nabarikiwa sana kupitia wewe mchungaji.
@marysalome7954
@marysalome7954 8 ай бұрын
Amen
@edinahmasea1603
@edinahmasea1603 10 ай бұрын
Asante sana pastor barikiwa. Amen and Amen
@kabalizasekanabomarko6063
@kabalizasekanabomarko6063 9 ай бұрын
Mahubiri aya, yananifungua akili sana, kila aiku nikikusikuya tu. Na jengwa sana na Mungu za Mungu. Nasikiya furaha sana ndani yangu na nguvu nyingi sana. Nakufwata kutoka sweden. Mungu akuzidishiye nguvu. David MMbaga
@casiphaabdi3896
@casiphaabdi3896 9 ай бұрын
Amen naamini mungu wangu anipe moyo mwepesi wa utoaji
@user-kr5iv5lp2m
@user-kr5iv5lp2m 9 ай бұрын
Mungu akubariki pastor nimepona dam zilikua zinatoka mfululizo ila zimekata, naomba nijibiwe na maombi yangu mengine naamini imekua
@kaninimuindi6470
@kaninimuindi6470 9 ай бұрын
Amen mutumishi umenifuza mengi sana mungu azidi kukutumia huedelee na kutusaidia
@nicolepierre7938
@nicolepierre7938 9 ай бұрын
Amen 🙏
@veronicawilsonmbwambo1054
@veronicawilsonmbwambo1054 9 ай бұрын
Amin
@user-dk3xi4pz7o
@user-dk3xi4pz7o 5 ай бұрын
Shukurani sans Amina
@immaculeekayange3784
@immaculeekayange3784 10 ай бұрын
Kweli Mungu ni mwema kila wati, nashukuru sana kwa hili somo. Kwangu lina ni leta ku tubu mbele ya Mungu wangu sababu mimi nime jikuta ku sababisha mengi ninayo pitiya. Nakubali ku rudiya Mungu wangu kwa ku mutolea zaka n'a sadaka. Naelewa kwamba bila Mungu mimi si kitu. Barikiwa sana muchungaji
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 10 ай бұрын
Amen
@laridistrict4710
@laridistrict4710 9 ай бұрын
God bless you pastor am Blessed niombee mungu kwa neema yake anivushe salama
@angelinamagambo8733
@angelinamagambo8733 9 ай бұрын
Amina
@user-jh8il3mi4m
@user-jh8il3mi4m 10 ай бұрын
Mungu wangu uturehemu bwana bila wewe atuwezi
@aidaa8253
@aidaa8253 9 ай бұрын
AMEN UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU
@EmmanuelNaftali
@EmmanuelNaftali 10 ай бұрын
Asante kwa NENO LA MUNGU.
@Lucy-nw4bn
@Lucy-nw4bn 10 ай бұрын
Amen amen, pastor niambie niweze kurudi kanisani
@NellySakwa
@NellySakwa 9 ай бұрын
Nakushukuru sana mchunganji kwa mafundisho mazuri ❤❤
@eustina0
@eustina0 10 ай бұрын
Aminaa Mungu akubariki sana akupe maisha marefu
@LukasSoso-bn4ch
@LukasSoso-bn4ch 9 ай бұрын
Kumbe EE BWANA YESU nisaidie
@BarnabasJonas-nv4ig
@BarnabasJonas-nv4ig 9 ай бұрын
AMINA
@josianeniyonkuru5796
@josianeniyonkuru5796 9 ай бұрын
Mungu ni mwema siku zote
@user-kc6lr3pq2c
@user-kc6lr3pq2c 8 ай бұрын
Ameeen
@PendoOscar
@PendoOscar 9 ай бұрын
Mwenyezi mungu awalinde amen
@user-xn3vq1gq3p
@user-xn3vq1gq3p 9 ай бұрын
Mungu wetu kweli ni mwenye rehema sana kwetu
@janethfwamba8561
@janethfwamba8561 9 ай бұрын
Amina baba na mm nimmoja wao ninamsongo mnoo
@everinemasoka6923
@everinemasoka6923 10 ай бұрын
Amen Amen ubarikiwe sana mchungaji wetu
@elizabethmukama9306
@elizabethmukama9306 9 ай бұрын
AMEN, BARIKIWA SANA PR
@abigaelmwadena2262
@abigaelmwadena2262 9 ай бұрын
Ameen ameen barikiwa San kw somo zuri
@user-ds5gv5fw6h
@user-ds5gv5fw6h 10 ай бұрын
Blessed is the servant
@user-iv9yc8hl7n
@user-iv9yc8hl7n 10 ай бұрын
Mungu akubariki pastor Mbaga
@PatriceNkwabi
@PatriceNkwabi 10 ай бұрын
Nimebarikiwa sana na mafundisho ya neno la MUNGU ubarikiwe
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 10 ай бұрын
Amen
@MARIE-iy4bx
@MARIE-iy4bx 10 ай бұрын
Nabarikiwa sana najifunza mengi hadi sayansi
@thobiasmwinuka2869
@thobiasmwinuka2869 10 ай бұрын
Mungu aendelee kukutia nguvu kwa roho mtakatifu ameen
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 10 ай бұрын
Amen
@user-os3vo4sm2n
@user-os3vo4sm2n 9 ай бұрын
God bless you
@bungayamayo7377
@bungayamayo7377 10 ай бұрын
Barikiwa mtumishi
@calebmakori
@calebmakori 9 ай бұрын
amen.
@zirhumanafiston116
@zirhumanafiston116 9 ай бұрын
Amina 🇨🇩
@user-ds5gv5fw6h
@user-ds5gv5fw6h 10 ай бұрын
Mungu ni mwema wakati wote
@NeemaMbusiye
@NeemaMbusiye 10 ай бұрын
Nimebarikiwa sana
@user-rv6xv7yf8n
@user-rv6xv7yf8n 10 ай бұрын
Mchungaji mungu akubariku sana
@MilabakasiliMilaba
@MilabakasiliMilaba 4 ай бұрын
Niombee na mm Niko taifani sana nitakufatilia sana KZbin
@user-bx5nc8ge6r
@user-bx5nc8ge6r 9 ай бұрын
Sifa kwa bwana ❤🙏🙏
@julianawairimu801
@julianawairimu801 10 ай бұрын
Amina,Amina Amina.
@user-bg9ce5sw4z
@user-bg9ce5sw4z 8 ай бұрын
Mung ni mwema Kila wakat!
@MSM374
@MSM374 9 ай бұрын
Mgumu sana huu wakati for sure
@user-xn3vq1gq3p
@user-xn3vq1gq3p 9 ай бұрын
Nikweli majaribu ni muhimu na lazima kwetu
@Joycependopendo-dv2tb
@Joycependopendo-dv2tb 10 ай бұрын
Amen nimejifunza kitu kwenye hili somo la Leo Kuna jambo kumbe nijisabishia mwenyewe bt kwenye hili somo nimejifunza
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 10 ай бұрын
Mungu akurehem
@Joycependopendo-dv2tb
@Joycependopendo-dv2tb 10 ай бұрын
Amen
@Joycependopendo-dv2tb
@Joycependopendo-dv2tb 10 ай бұрын
@@MahubiriPrMmbaga Amen pastor mungu akubariki Kwa mafundisho mazuri
@nanguniMtaita-hz4zt
@nanguniMtaita-hz4zt 9 ай бұрын
Mchungaji, wewe ni wetu watanganyika wote. Kwanini huu ni mwaka.wangu wa Ishirini na tano Kihonda S.D.A. Church hujafika kutupa hubiri lako. Tumekumis ukweli tunakukaribisha kwa mikono na miguu yoote uje kwetu.
@elietuyizere4129
@elietuyizere4129 8 ай бұрын
nisaidiye namber ya Mchungaji naomba
@anyandwilekajange
@anyandwilekajange 9 ай бұрын
Nimeguswa sana na mafundisho yako , Mungu aendelee kukutumia .😂😂
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 9 ай бұрын
Asante sana Mtumishi
@RebeccaObadia-km7kx
@RebeccaObadia-km7kx 10 ай бұрын
Nikungojea
@irentirop6304
@irentirop6304 10 ай бұрын
Amen Amen 🙏🙌
@elizaJemtai-jm2bj
@elizaJemtai-jm2bj 9 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@user-cf3kl5bo5y
@user-cf3kl5bo5y 10 ай бұрын
Mimi naitwa Manase Benjamin naishi Uganda ,ilamimi ni mkimbizi kutoka Congo , nahitaji muombee inchi ya Congo. Nilitafuta namna naweza ku wasiliana na mtumishi , haikuwezekana , Ila ntajaribu tena .ningependa nipate number ya mtumishi ya WhatsApp.
@MSM374
@MSM374 10 ай бұрын
Malazi magumu kweli
@estermgata9617
@estermgata9617 10 ай бұрын
Pastor Mmbaga Mimi ni Mhanga wa mahubiri yako. Ila Kauli yako ya kusema ROMAN CATHOLIC NI WARUMI WA DUNIA YOTE. Hiyo umewadanganya wanakilolo. Historia ya ROMAN CATHOLIC na hata SDA inajulikana vizuri kabisa. ROMAN Catholics are Christians. They Christians because they follow Christ in their practice. SDA are followers of Ellen White and Bates. This is the main difference.
@user-to2qo6on7r
@user-to2qo6on7r 10 ай бұрын
Hapana,SDA si wafuasi wa Ellen White Bali ni wafuasi wa Kristo(Imani ya Kristo Yaani isiyoyumbishwa na msingi wake umjengwa katika kumtegemea MUNGU) Mafundisho ya SDA yatokana na maandiko matakatifu(BIBLIA)pamoja na ushuhuda wa Yesu Kristo(ROHO YA UNABII) ambapo katika hiyo roho ya Unabii ndipo tunawakuta manabii wote na vitabu walivyovuviwa kuandika ikiwa ni pamoja na vile vyaEllen White.
@estermgata9617
@estermgata9617 10 ай бұрын
@user-to2qo6on7r Go and read the history of SDA and how it came about in . Go and read how they gave a wrong prophetic message of the end of the world. Then, enlighten yourself when the prophetic message did not come to fulfill what did they do. I have learned not to disrespect other religious affiliations. Telling ROMAN CATHOLICS in Kilolo that they follow UNIVERSAL ROMAN CULTURE OR TRADITIONS is misleading and wrong. I hope they will inform themselves what they believe. I hope they have strong faith and have knowledge of what they follow. Misleading about what other denominations do and follow is not something new to SDA. Mostly, they always spread false information about other faith and credited themselves they are the true followers. Of course superficially it might look so, but if you dig down - your history of how this church came about and their fundamental beliefs and their documents they follow, you will realize a lot of flaws. Just like other religious affiliations, SDA has lots of flaws. To me don't spend your time discrediting other religious groups. Preach what is right so that people will turn to SDA because of the true message from God, but not by giving misleading information about other religious affiliations. In 1990s, I was in one of the University in Tz. I was saying with an SDA. The pope John Paul the second, was scheduled to come to TZ. My SDA roommate warned me not to go to Jangwani, Dar es Salam, and that she was going to pray so that when the pope kneel down on arrival, lightning would happen and kill everyone. I went to Jangwani to attend the pope conference, and we all came safe. My call to anybody, preach the world of God, proclaim the truth, but do not confuse people with misleading information and untruthful messages
@estermgata9617
@estermgata9617 10 ай бұрын
Sala ya kila mkatoliki ni hii: EE MUNGU MWEMA, UMBARIKI BABA MTAKATIFU, ASKOFU NA MAPADRI, WAKUBWA, WAALIMU NA JAMAA. UWAFADHILI MARAFIKI NA ADUI ZETU, UWAONGOZE WALE WASIOKUJUA BADO AU WASIOITII INJILI. UWARUDISHE WAKOSEFU. UWASAIDIE WAGONJWA NA WANAOZIMIA. UWAHURUMIE WALE WANATESWA TOHORA. UWAPE HERI YA MILELE AMINA
@MSM374
@MSM374 10 ай бұрын
Eti unatema mate hahaha
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 10 ай бұрын
😁
@felistergodbless7508
@felistergodbless7508 9 ай бұрын
Amen
@silviafurah9172
@silviafurah9172 10 ай бұрын
Amen 🙏
@joharissa2020
@joharissa2020 10 ай бұрын
Amina
@BarnabasJonas-nv4ig
@BarnabasJonas-nv4ig 10 ай бұрын
AMINA
@meshackomari3233
@meshackomari3233 9 ай бұрын
Mahubiri mazuri yanahimiza
@ROGERBerbatov-yg7ws
@ROGERBerbatov-yg7ws 9 ай бұрын
Amen
@namsifubenjamin414
@namsifubenjamin414 9 ай бұрын
Amen
@elizabethgodfreytondo3052
@elizabethgodfreytondo3052 10 ай бұрын
Amen
@ashauwamahoro3555
@ashauwamahoro3555 10 ай бұрын
Amen
@marymokaya2020
@marymokaya2020 10 ай бұрын
Amen
🔴#LIVE:PR. David Mbaga BWANA Anapobadilisha mipango yako
1:07:13
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 13 МЛН
小丑把天使丢游泳池里#short #angel #clown
00:15
Super Beauty team
Рет қаралды 44 МЛН
ISSEI & yellow girl 💛
00:33
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 22 МЛН
MIIBA YA MAISHA NA MAJIBU YAKE || PR DAVID MMBAGA
1:07:31
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 29 М.
HIZI NDIZO SABABU BAADHI YA WAKRISTO HAWAFANIKIWI
55:56
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 53 М.
UNAKWAMA WAPI? PR. DAVID MMBAGA
48:24
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 28 М.
SILAHA KUBWA YA KUVUNJA MADHABAHU || PR DAVID MMBAGA
56:10
Ikwabe Injili tv
Рет қаралды 21 М.
SAFARI YA KUELEKEA MAONO YAKO |PR.DAVID MMBAGA| #live
1:03:20
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 37 М.
JIFANYIE TATHMIN- KWANINI HUFANIKIWI? PR. DAVID MMBAGA
1:03:34
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 33 М.
Mch Moses Magembe - YESU KRISTO NI NANI? | KAGERA 01
1:53:34
Rev Moses MagembeTv
Рет қаралды 3,4 М.
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 13 МЛН