Mungu n mwema wakati wote.Pamoja na yote ametufundisha kusema""Nayaweza Mambo yote katika yeye anitiae nguvu"""...Uwepo wako katika kutumika kwa Bwana...,kuna wagusa wengi sana kiroho Mungu azidi kukubariki mtumishi.
@MahubiriPrMmbaga9 ай бұрын
Amen
@user-oc1zu1vg6i10 ай бұрын
Ubarikiwe pastor mbaga. Ww ni combo cha BWANA. Umekuwa m baraka mkubwa sana kwa ajili ya BWANA
@MahubiriPrMmbaga10 ай бұрын
Amen! Mungu atukuzwe
@vinniebaraka13210 күн бұрын
Sifa na utukufu Kwa mwenyezi Mungu.. nmebarikiwa sana na hili neno, Pastor barikiwa sana na mungu azidi kukutumia ili tuweze kupata neno lake.
@user-ix1ep4vx3h10 ай бұрын
Asante sana mtumishi wa mungu mafundisho yko huwa yananipa nguvu sana nayasikiliza kuanzia saa 6mpaka saa 11 huwezi amini nisaidie nimfikie mungu
@MahubiriPrMmbaga10 ай бұрын
Mungu akubariki
@rutinginyaneysam.508710 ай бұрын
Asante but ukiandika Mungu andika kwa herufi kubwa, sio m ndogo
@bamag-0219 ай бұрын
Asante kwa hubiri pr, Mungu akutie nguvu zaidi. Mtuombee na sisi nimekuja kusoma India baada ya Mungu kujibu maomba yangu kunipa kibari kusoma huku . Changamoto ni kufanya ibada siku ya sabato, hawajatupa ruhusa , maana ktk mwez ni jmosi mbili tu ndio ziko free, zingine mbili ni masomo. Tuko 8, tunaomba mtuombee watupe kibali cha ibada ya sabato
@macfadyneminja9 ай бұрын
Asanten sana Bwana Yesu.Asante Pastor Mbaga na team Yote. Asante Mahubiri TV. Asante kwa kugusa maisha yetu kila wakati. Mbariiwe na Bwana Amen kutoka Morogoro
@user-sz4pe3dt8s9 ай бұрын
Asante mutumishi wa Mungu nakufwata kilamara kwa nshi ya Congo nimebarikiwa sana n'a mahubiri Mungu wetu akujaze n'a Roho mtakatifu
@luciashayo989610 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji nimefunguliwa na mafundisho unayotia yehoa mungu wetu apewe sifa
@user-rf3zz1lb6l8 ай бұрын
Nimeinuliwa sana pastor barikiwa zaidi in Jesus Name Amen Amen
@MildredShinali10 ай бұрын
Amina acha tujitie moyo na kubwa na imani ya kupigana na changamoto
@veronicapeter-iz2qu9 ай бұрын
Amina ubalikiwe mtumishi
@user-qp8kp6ri9j5 ай бұрын
Asante sana kwaku tuondoa ndani ya shimo.
@user-gs1ld5vd6e10 ай бұрын
Ameen, nabarikiwa na huduma yako ombi langu kwa MUNGU akupe maisha marefu wafaidike wengi
@MahubiriPrMmbaga10 ай бұрын
Amen
@blessedtumaini51610 ай бұрын
Mungu Baba unirehemu nilipoingia mwenyewe kwa taabu naomba Unitoe unitakase nifae kwa utumishi wako katika jina la Yesu Kristo Amina.
@MahubiriPrMmbaga10 ай бұрын
Amen
@happymsemwa-rk7fd10 ай бұрын
Ubarikiwe sana Pr Mmbaga yaan hili somo utadhani uliandaa kwa ajili yangu nmebarikiwa sana sasa nipo huru ktk Kristo
@olphanyamweya31548 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏 hakika nimebarikiwa asantii
@elizabethvelma2669 ай бұрын
Thanks!
@antipascann279710 ай бұрын
Yote kwa yote pastor u are good storyteller! Mungu azidi kukutumia
@benaharuna-bo1sf9 ай бұрын
Asant yesu maan tunakuelew kuptia mtumish wak
@shaniachanceline27515 ай бұрын
Amina mubarikiwe Sana ❤❤❤❤❤❤❤
@JacklineMoti10 ай бұрын
God is good all the time & all the time God is good Ameen 🙏🙏
@Brain-tx8fx9 ай бұрын
Amina sana ubalikiwe sana mchungaji
@gerwaldalwena98299 ай бұрын
Asante sana, nimebarikiwa sana
@user-dv4ch3sy8l9 ай бұрын
Amen be blessed more and more Man of God im so blessed with ur powerful word wja roho asiti kukuweka ktk kiwango cha juu
@MahubiriPrMmbaga9 ай бұрын
Amen
@mussacharles53115 ай бұрын
Nabarikiwa sana kupitia wewe mchungaji.
@marysalome79548 ай бұрын
Amen
@edinahmasea160310 ай бұрын
Asante sana pastor barikiwa. Amen and Amen
@kabalizasekanabomarko60639 ай бұрын
Mahubiri aya, yananifungua akili sana, kila aiku nikikusikuya tu. Na jengwa sana na Mungu za Mungu. Nasikiya furaha sana ndani yangu na nguvu nyingi sana. Nakufwata kutoka sweden. Mungu akuzidishiye nguvu. David MMbaga
@casiphaabdi38969 ай бұрын
Amen naamini mungu wangu anipe moyo mwepesi wa utoaji
@user-kr5iv5lp2m9 ай бұрын
Mungu akubariki pastor nimepona dam zilikua zinatoka mfululizo ila zimekata, naomba nijibiwe na maombi yangu mengine naamini imekua
@kaninimuindi64709 ай бұрын
Amen mutumishi umenifuza mengi sana mungu azidi kukutumia huedelee na kutusaidia
@nicolepierre79389 ай бұрын
Amen 🙏
@veronicawilsonmbwambo10549 ай бұрын
Amin
@user-dk3xi4pz7o5 ай бұрын
Shukurani sans Amina
@immaculeekayange378410 ай бұрын
Kweli Mungu ni mwema kila wati, nashukuru sana kwa hili somo. Kwangu lina ni leta ku tubu mbele ya Mungu wangu sababu mimi nime jikuta ku sababisha mengi ninayo pitiya. Nakubali ku rudiya Mungu wangu kwa ku mutolea zaka n'a sadaka. Naelewa kwamba bila Mungu mimi si kitu. Barikiwa sana muchungaji
@MahubiriPrMmbaga10 ай бұрын
Amen
@laridistrict47109 ай бұрын
God bless you pastor am Blessed niombee mungu kwa neema yake anivushe salama
@angelinamagambo87339 ай бұрын
Amina
@user-jh8il3mi4m10 ай бұрын
Mungu wangu uturehemu bwana bila wewe atuwezi
@aidaa82539 ай бұрын
AMEN UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU
@EmmanuelNaftali10 ай бұрын
Asante kwa NENO LA MUNGU.
@Lucy-nw4bn10 ай бұрын
Amen amen, pastor niambie niweze kurudi kanisani
@NellySakwa9 ай бұрын
Nakushukuru sana mchunganji kwa mafundisho mazuri ❤❤
@eustina010 ай бұрын
Aminaa Mungu akubariki sana akupe maisha marefu
@LukasSoso-bn4ch9 ай бұрын
Kumbe EE BWANA YESU nisaidie
@BarnabasJonas-nv4ig9 ай бұрын
AMINA
@josianeniyonkuru57969 ай бұрын
Mungu ni mwema siku zote
@user-kc6lr3pq2c8 ай бұрын
Ameeen
@PendoOscar9 ай бұрын
Mwenyezi mungu awalinde amen
@user-xn3vq1gq3p9 ай бұрын
Mungu wetu kweli ni mwenye rehema sana kwetu
@janethfwamba85619 ай бұрын
Amina baba na mm nimmoja wao ninamsongo mnoo
@everinemasoka692310 ай бұрын
Amen Amen ubarikiwe sana mchungaji wetu
@elizabethmukama93069 ай бұрын
AMEN, BARIKIWA SANA PR
@abigaelmwadena22629 ай бұрын
Ameen ameen barikiwa San kw somo zuri
@user-ds5gv5fw6h10 ай бұрын
Blessed is the servant
@user-iv9yc8hl7n10 ай бұрын
Mungu akubariki pastor Mbaga
@PatriceNkwabi10 ай бұрын
Nimebarikiwa sana na mafundisho ya neno la MUNGU ubarikiwe
@MahubiriPrMmbaga10 ай бұрын
Amen
@MARIE-iy4bx10 ай бұрын
Nabarikiwa sana najifunza mengi hadi sayansi
@thobiasmwinuka286910 ай бұрын
Mungu aendelee kukutia nguvu kwa roho mtakatifu ameen
@MahubiriPrMmbaga10 ай бұрын
Amen
@user-os3vo4sm2n9 ай бұрын
God bless you
@bungayamayo737710 ай бұрын
Barikiwa mtumishi
@calebmakori9 ай бұрын
amen.
@zirhumanafiston1169 ай бұрын
Amina 🇨🇩
@user-ds5gv5fw6h10 ай бұрын
Mungu ni mwema wakati wote
@NeemaMbusiye10 ай бұрын
Nimebarikiwa sana
@user-rv6xv7yf8n10 ай бұрын
Mchungaji mungu akubariku sana
@MilabakasiliMilaba4 ай бұрын
Niombee na mm Niko taifani sana nitakufatilia sana KZbin
@user-bx5nc8ge6r9 ай бұрын
Sifa kwa bwana ❤🙏🙏
@julianawairimu80110 ай бұрын
Amina,Amina Amina.
@user-bg9ce5sw4z8 ай бұрын
Mung ni mwema Kila wakat!
@MSM3749 ай бұрын
Mgumu sana huu wakati for sure
@user-xn3vq1gq3p9 ай бұрын
Nikweli majaribu ni muhimu na lazima kwetu
@Joycependopendo-dv2tb10 ай бұрын
Amen nimejifunza kitu kwenye hili somo la Leo Kuna jambo kumbe nijisabishia mwenyewe bt kwenye hili somo nimejifunza
@MahubiriPrMmbaga10 ай бұрын
Mungu akurehem
@Joycependopendo-dv2tb10 ай бұрын
Amen
@Joycependopendo-dv2tb10 ай бұрын
@@MahubiriPrMmbaga Amen pastor mungu akubariki Kwa mafundisho mazuri
@nanguniMtaita-hz4zt9 ай бұрын
Mchungaji, wewe ni wetu watanganyika wote. Kwanini huu ni mwaka.wangu wa Ishirini na tano Kihonda S.D.A. Church hujafika kutupa hubiri lako. Tumekumis ukweli tunakukaribisha kwa mikono na miguu yoote uje kwetu.
@elietuyizere41298 ай бұрын
nisaidiye namber ya Mchungaji naomba
@anyandwilekajange9 ай бұрын
Nimeguswa sana na mafundisho yako , Mungu aendelee kukutumia .😂😂
@MahubiriPrMmbaga9 ай бұрын
Asante sana Mtumishi
@RebeccaObadia-km7kx10 ай бұрын
Nikungojea
@irentirop630410 ай бұрын
Amen Amen 🙏🙌
@elizaJemtai-jm2bj9 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@user-cf3kl5bo5y10 ай бұрын
Mimi naitwa Manase Benjamin naishi Uganda ,ilamimi ni mkimbizi kutoka Congo , nahitaji muombee inchi ya Congo. Nilitafuta namna naweza ku wasiliana na mtumishi , haikuwezekana , Ila ntajaribu tena .ningependa nipate number ya mtumishi ya WhatsApp.
@MSM37410 ай бұрын
Malazi magumu kweli
@estermgata961710 ай бұрын
Pastor Mmbaga Mimi ni Mhanga wa mahubiri yako. Ila Kauli yako ya kusema ROMAN CATHOLIC NI WARUMI WA DUNIA YOTE. Hiyo umewadanganya wanakilolo. Historia ya ROMAN CATHOLIC na hata SDA inajulikana vizuri kabisa. ROMAN Catholics are Christians. They Christians because they follow Christ in their practice. SDA are followers of Ellen White and Bates. This is the main difference.
@user-to2qo6on7r10 ай бұрын
Hapana,SDA si wafuasi wa Ellen White Bali ni wafuasi wa Kristo(Imani ya Kristo Yaani isiyoyumbishwa na msingi wake umjengwa katika kumtegemea MUNGU) Mafundisho ya SDA yatokana na maandiko matakatifu(BIBLIA)pamoja na ushuhuda wa Yesu Kristo(ROHO YA UNABII) ambapo katika hiyo roho ya Unabii ndipo tunawakuta manabii wote na vitabu walivyovuviwa kuandika ikiwa ni pamoja na vile vyaEllen White.
@estermgata961710 ай бұрын
@user-to2qo6on7r Go and read the history of SDA and how it came about in . Go and read how they gave a wrong prophetic message of the end of the world. Then, enlighten yourself when the prophetic message did not come to fulfill what did they do. I have learned not to disrespect other religious affiliations. Telling ROMAN CATHOLICS in Kilolo that they follow UNIVERSAL ROMAN CULTURE OR TRADITIONS is misleading and wrong. I hope they will inform themselves what they believe. I hope they have strong faith and have knowledge of what they follow. Misleading about what other denominations do and follow is not something new to SDA. Mostly, they always spread false information about other faith and credited themselves they are the true followers. Of course superficially it might look so, but if you dig down - your history of how this church came about and their fundamental beliefs and their documents they follow, you will realize a lot of flaws. Just like other religious affiliations, SDA has lots of flaws. To me don't spend your time discrediting other religious groups. Preach what is right so that people will turn to SDA because of the true message from God, but not by giving misleading information about other religious affiliations. In 1990s, I was in one of the University in Tz. I was saying with an SDA. The pope John Paul the second, was scheduled to come to TZ. My SDA roommate warned me not to go to Jangwani, Dar es Salam, and that she was going to pray so that when the pope kneel down on arrival, lightning would happen and kill everyone. I went to Jangwani to attend the pope conference, and we all came safe. My call to anybody, preach the world of God, proclaim the truth, but do not confuse people with misleading information and untruthful messages
@estermgata961710 ай бұрын
Sala ya kila mkatoliki ni hii: EE MUNGU MWEMA, UMBARIKI BABA MTAKATIFU, ASKOFU NA MAPADRI, WAKUBWA, WAALIMU NA JAMAA. UWAFADHILI MARAFIKI NA ADUI ZETU, UWAONGOZE WALE WASIOKUJUA BADO AU WASIOITII INJILI. UWARUDISHE WAKOSEFU. UWASAIDIE WAGONJWA NA WANAOZIMIA. UWAHURUMIE WALE WANATESWA TOHORA. UWAPE HERI YA MILELE AMINA