Amina , Mungu wetu apewe sifa siku zote Kwa neema zake juu yetu🎉
@BarnabasJonas-nv4ig Жыл бұрын
MUNGU atusaidie sana AMEN
@josykogei76479 ай бұрын
Ooh mungu ntafumza watoto wangu maombi
@dominojuma5256 Жыл бұрын
Pastor Ubarikiwe Kwa SoMo hilo
@Petro757 Жыл бұрын
Amina mtumishi ubarikiwe
@estermnunke9485 Жыл бұрын
nimegundua kuwa watoto waliokua na maombi tofauti tofauti umefanya vizuri kuwaita wote
@ednaaswile6631 Жыл бұрын
Amen🙏 Mtumishi
@agneskabura88543 ай бұрын
Amen 🙏 🙏🙏🙏
@salomekemunto82172 жыл бұрын
Thanks for your word from God nmejifundisha mengi barikiwa sana
@elizabethgodfreytondo30522 жыл бұрын
Pastor Mungu akubariki ninaeendelea kuwa imara kiroho na kiakili kupitia masimo yako.
@danielfesto4892 жыл бұрын
eimen pastor barikiwa
@ritiasikayandathesinger Жыл бұрын
Barikiw
@achybellahpergo54592 жыл бұрын
Happy Sabbath day tuned in Germany
@Zungu24 Жыл бұрын
Amina sana
@dawarobertezekiel3473 Жыл бұрын
Amina
@esthermsanzu7995 Жыл бұрын
Nakutazama nikiwa Kenya mahubiri Yako yamehuisha moyo wangu,ubarikiwe Sana.
@HildaPaul-hm4jk Жыл бұрын
Amen
@dorcasrhobi8211 Жыл бұрын
Amen❤
@phanemochache3522 жыл бұрын
Powerful message from this man of God. May God continue using you in His vineyard for the glory of His name.
@murishijulienne70482 жыл бұрын
Mbarikiwe watoto
@grishtakmanyama9619 Жыл бұрын
Sabbatho ya leo Ikatutakase na kutubariki na kutubadilisha pia 👏👏👏
@yollamniko50902 жыл бұрын
SoMo zur mnoo,pasta barikiwa sn,na mungu wetu atubariki sote Amina,,
@Tisy_09 Жыл бұрын
Thanks
@priscamachibyah89772 жыл бұрын
Nimebarikiwa
@franciscodibagula56242 жыл бұрын
Hongera
@isayamichael2 жыл бұрын
Kila mtu anaee fatilia mahubiri yako hata kaaa ajutie bundle lake MUNGU AKUBARIKI SANA Pasta David Mbaga
@andrewmakueth27292 жыл бұрын
🙏🙏🙏nimeshukuru sana kwa mahubiri mazuri nimeinuliwa kiroho Na Mungu akubariki
@vailethkinabo79612 жыл бұрын
Amen mtumishi nimeelewa na kubarikiwa
@estherkusaga91812 жыл бұрын
Hiii imekaa sawaa tuimeze itusaidie hasa wadada
@komandowainjiliyayesu Жыл бұрын
Nabarikiwa sana.
@justinenyafanga61702 жыл бұрын
SoMo nzuri sana, it's a blessing to our Life
@momiclassic2068 Жыл бұрын
Amen Glory to Almighty God
@marcellahmariga54532 жыл бұрын
Good massage indeed. Be blessed pastor.
@phinawatwego52792 жыл бұрын
Aminaaaaaaa
@monniekevin93032 жыл бұрын
Amina Amina
@rehemahaule12742 жыл бұрын
Mola akuinue
@paradis_hope_tv2 жыл бұрын
Barikiwa sana
@perisbosibori22492 жыл бұрын
Thank you pastor Mmbaga, I've really benefited. Be blessed abundantly.
@davidonguka1006 Жыл бұрын
Hello uko na namabari ya mchungaji ningependa niwasiliane na yeye kuhusu vitabu vyake ...
@nuratywakidasikazikibaruak42352 жыл бұрын
Aminaa
@edwardlupondije27712 жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi
@grishtakmanyama9619 Жыл бұрын
Amen
@josephmwitinjuki68012 жыл бұрын
Barikiwa Sana mchungaji. Nina swali je unapokoza jibu kwa mipango yako ufanye Nini?
@elizabmbugun49062 жыл бұрын
Sabato iliyopita hii Ubarikiwe mchungaji hata Sabato ya leo tumebarikiwa kwakweli kanisa Ipagala.
@messagerkambale58302 жыл бұрын
Aksente ubari kiwe sana Pasteur
@isayamichael2 жыл бұрын
Pasta unamjua vizuri panya unamkuta Kala suti yako au katafuna sofa zako halafu muache
@musalalakambale1689 Жыл бұрын
NABARIWASANANAFUNDILAMUTOTOALIYELISHAWATU 5000ELT
@anitanickolas10842 жыл бұрын
Dah inaitaji moyo mchunhaji hivi kwa haya yote na bado unasema Mungu anajibu mm ni kiumbe dhaifu tu toka kuzaliwa nikaanza kujitambua miaka tisa mpaka leo miaka 24 naumwa na bado unasema Bwana anajua ninayopitia ni moyo wa namna gani huo niupate nipate kuimili haya?
@danielfesto4892 жыл бұрын
Mungu akutetee usikate tamaa
@konzeradaniel6092 жыл бұрын
usikate Tamaa dear...Mungu ni muaminifu sn na atatenda kwa wakati wake
@abednegojob76882 жыл бұрын
Anaefaham huyu mchungaji anaongoza kanisa gani kwasasa anitajie tafadhal au mwenye namba zake
@hawamusumba4312 жыл бұрын
David mbaga mostly anapatikana kwa chanel ya mahubiri TV am sure utapata no yake
@mariamkitereja762 жыл бұрын
Ni wakanisa la wasabato mara nyingi anapatikan mhubir tv
@bilsonkwalya67662 жыл бұрын
Yupo kanisa la Waadventista Wasabato Dodoma Kati
@edwinkapenja2 жыл бұрын
Mungu akutunze wengi waokolewe kupitia ww nimejifunza kitu kwamahubir haya