Asante Yesu, kila ninalolipitia lipo kwenye ramani yako Mungu wangu hata kama linaniumiza na kunitoa machozi, kuna asubuhi njema inakuja, asante Yesu
@josephkimbory77003 жыл бұрын
Ashukuriwe bwana Mungu wa Majeshi kwa kutufungua akili na mioyo yetu kupitia kwa mtumishi wake. Hakika neno hili limenifundisha na kunifungua akili katika mambo mengi. Ikafanyike baraka kwako mtumishi wa Mungu
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@susanotambo95443 жыл бұрын
Asante Mtumishi wa Bwana Neno hil somo limeni funza. Ubarikiwe sana.Bwana ni mwema,kila wakati,
@wemapaul674 Жыл бұрын
Pastor niombee nikue kiroho
@isayakomba94673 жыл бұрын
Namshukuru MUNGU kwa hili neno la leo maana limenitia tumaini Sana maana changamoto nyingi nilizozipata nikigeuka nyuma na hapa nilipo sasa kwakwer acheni MUNGU aitwe MUNGU , mchungaji ubarikiwe Sana umenigusa Sana kweri sikuzaliwa kwa bahati mbaya maana nilihisi hvo kabisa na kuna mda nilikua na blem Sana kuhusu wazazi wangu kwann walifany niwepo dunian bila kuniandalia mazingira had napata shida hivi kumbe nimejua leo nimekua na nimezaliwa kwa mpango maalumu sasa Nina Amani moyoni mwangu , ubarikiwe Sana mchungaji 🙏🙏🙏
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@stellamariki68523 жыл бұрын
Mungu Mwenyezi asantee kwa namna unavyotenda maishani mwangu, BABA OMBI LANGU KUU NIFUNDISHE KUKUAMINI, NIFANYE KUWA MBARAKA KWA WAHITAJI WENZANGU.
@nikolasjeffery32253 жыл бұрын
pro tip: you can watch movies at kaldroStream. Been using it for watching a lot of movies recently.
@raylanamir33593 жыл бұрын
@Nikolas Jeffery yup, been using kaldrostream for since december myself :)
@mercywanjala37629 ай бұрын
Ameni🙏..nimebarikiwa naneno la Mungu... inanitia nguvu.ameni🙏.
@drostaflorian79703 жыл бұрын
Baba yangu uliye mbinguni nakupenda sana naomba unipende na Mimi pia
@ivanfaustin97173 жыл бұрын
Amenii
@maureenkemei92543 жыл бұрын
Aminaa pastor nakujuza kwamba unawaandaa walimu uku nje ambao huwajuwi. Wenzangu wanashangaa kwani wewe unasomaje biblia nawaambia Mahubiri TV wamenisaidia mno kupenda kusoma neno na kusikia Mahubiri.Pastor kupitia mafundisho hayo Mungu amenitoa kabisa kutoka kupenda mambo ya ulimwengu hadi nikawa mwalimu wa neno online Wenzangu wanapata tumaini ya kuendelea na kazi licha ya kupitia changamoto mingi uku Saudi Arabia. Barikiwa sana.
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Mungu akubariki saana
@esterlugalie Жыл бұрын
Bwana akubariki sana kwa masomo mazuri
@dianamalaba17763 жыл бұрын
Ombi langu kwa Mungu kila siku ni kukutunza pr.maana umekuwa mbaraka mkubwa Sana kiroho kwny maisha yangu.napata nguvu sana na matumaini mapya kila nkisikiliza masomo yako.ubarikiwee pr.Mmbaga.
@tantinebettynduwimana3802 жыл бұрын
Pastor una busara sana hakika ww ni mtumishi wa Mungu
@MahubiriPrMmbaga2 жыл бұрын
MUNGU atukuzwe
@trizatina72192 жыл бұрын
Amen ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu umenitua mzigo uliyokua moyoni umenipandisha kiwango kingine asante sana
@user-sl4te7mb1m9 ай бұрын
Asante mungu sana mwanangu kaolewa na msabato yeye. Ni mlokole mwòmbee awe msabato
@perisbosibori85243 жыл бұрын
Thank you LORD because you're the LORD of LORDS and everything is possible before you. GOD bless u pastor for the powerful teaching .
@justinekija99963 жыл бұрын
Be blessed our pastor
@user-pk7eq4uz3k8 ай бұрын
.on
@user-pk7eq4uz3k8 ай бұрын
.onm😅o O
@damarisangasa97573 жыл бұрын
Asante sana Mungu kwa maana wewe ndiwe dereva wa maisha yatu.Hakika kwa Yesu narelax tu.Bwana asifiwe kila wakati.Asante sana mtumishi wa Mungu maana ujumbe umeufikisha.Mungu akushushie baraka teletele
@Mathias-yi5bo3 ай бұрын
Barikiwa sana pastor hili somo ni zur na nnaona ni jipya kila sku kwa sababu linanibariki kila nikilitazama Amen🙏🙏
@linethowire7031 Жыл бұрын
Hakika Somo hili limenigusa na linanibadilisha Sasa,niwe mtu wakusikiliza SAUTI YA BWANA MUNGU WANGU TU....MTUMISHI ubarikiwe kwa kazi nzuri unayoifanya....Hakika nimebarikiwa Sana...AMEEEN...
@simonfundisha68173 жыл бұрын
Ahsante Mungu kwa ajili ya Neno Hili. Mungu na Unifanye Nikutii wewe siku zote za Maisha yangu. Kwa maana Maisha Yangu yote umeyachora katika Viganja vyako. Ukanifanye kuwa Mbaraka ktk Maisha Yangu yote. Niwasamehe watesi Wangu ili Nani nisamehewe dhambi Zangu. Amein.
@Pendomabula3 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa ajiri ya huyu PR,hunifanya niendelee kumpenda MUNGU zaidi na zaidi ktk hali zote Niko salama rohoni mwangu kwa ajiri ya Mungu anayemhubiri.
@gracejohn17693 жыл бұрын
Asante Yesu kwa ajili ya mtumishi wako na hakika pastor masomo yako yananibariki sana, japo napitia changamoto ila masomo yako yananipa ujasiri wa kisonga mbele kwa imani, kazi yangu ni kukuombea tu afya njema na maisha malefu.
@user-os3vo4sm2n10 ай бұрын
Asante YESU kwamaana leo nimejua kuwa wewe wajua nilini utanivusha hapa nilipo ,pai Bwana nakukabidhi kila hatua zangu ziongoze wewe 🙏🙏🙏🙏
@linethowire7031 Жыл бұрын
Asante kwa maneno yenye kuleta moyo Kwangu/kwetu...Sasa Sina hofu Maana Bwana alinijua Mimi Lineth hata kabla ya kuzaliwa Kwangu ,... Ubarikiwe Pastor kwa Somo zuri...Mungu na akubariki
@victoriousblessedmom43433 жыл бұрын
Amen and I'm Connecting faith through Christ Jesus and I Agree and Believe and receive this Powerful Prayers upon my life and my Son and my family We receive Devine Miracle Victory in our case 12 may let the court and the judge declare victory over my case on 12 may we shall testify through Christ Jesus because our help comes from Jehovah God the maker of the Heaven and earth and no weapon formed against us will be able to prosper Because God is with us and no body can against us and all things are possible with God in the mighty name of Jesus Christ Amen and Amen Hallelujah Glory be to God
@froline5209 Жыл бұрын
AMEN 🙏🏻🙏🏻. Utajiri wangu sio pesa, pesa ni yule ambaye aliye ndani yangu.
@t7zkc5tpxgim282 жыл бұрын
Amen, Mungu akubariki sana pastor
@neemajonas5459 Жыл бұрын
Asante pr, kupitia somo hili Mungu ameweka tumaini jipya ktk moyo wangu. Hakika ameniongezea nguvu furaha na amani. Asant sn
@anastaziaemily47083 жыл бұрын
Duh, Mungu tusaidie tuitambue thamani yetu, kwamba n zaid Mali zote za dunia......!!!!
@asooraaasooraa48163 жыл бұрын
Ameen sana pastor kwa somo zuri limenibariki sana
@stellamariki68523 жыл бұрын
Asanteee Mungu kwa kuruhusu nilisikie SOMO HILI LEO, Jina Lako LITUKUZWE BABA.
@rubias29782 жыл бұрын
Ni kweli acha mungu aitwe mungu siku zote ubarikiwe
@isabelavictor99643 жыл бұрын
Asante Sana mchungaji kwa neno la Mungu takatifu🙏
@MaggieG2763 жыл бұрын
its a blessing to listen to you mtumishi.Regards frm kenya
@namsifumaduhumwita24953 жыл бұрын
Nakushukuru Mungu kwamba unaniwazia mema siku zote
@dausonmdee4303 Жыл бұрын
Nibaada ya miaka miwili lakini hili Neno bado like hai kwaajili yangu.... Ninapokea kwa Jina la Yesu Kristo
@joycegesare15713 жыл бұрын
Amen, nimebrikiwa na hili somo , pastor nimekufuatilia sana na mila nimizikilisa fundisho lako nasikia kuna nguvu mpya sasa nikaamua kwamba kila asubuhi nikiamka maombi kwanza then fundisho lako, mungu akubariki sana pator
@meilleurkitoko74872 жыл бұрын
AMEN👏NASHUKURU KWA NENO HILI LIME NITIA MOYO KWA CHANGA MOTO NI NAZO.NAMUSUBIRI MUNGU ATENDE.
@agneskhakali20693 жыл бұрын
Amina
@asherwarda75903 жыл бұрын
Amen, am blessed man of God....following from saudi Arabia
@estherwambuies17823 жыл бұрын
Lime nibariki hilo neno mungu aedelee kukuinua mtumishi wa mungu
@olphanyamweya315412 күн бұрын
Asantii YESU nimembalikiwa nikiwa Saudi Arabia, jameni MUNGU wetu ni ajabu kweli nimelipokea Kwa wakati 🙏🙏🙏🙏
@marsellah9295 Жыл бұрын
Ninafuraha pastor 🙌 🙏 na mahubiri yako ubarikiwe sana
@azaransari73073 жыл бұрын
Amina, Yeremia 29:11 imenigusa sana kwa kipindi ninachokipitia salamu nyingi sana kutoka Germany, Nakufuatialia sana na umenisogesa sana ktk imani yangu na ukaribu wangu na Mungu.
@shalakilulu73963 жыл бұрын
Trees o
@shalakilulu73963 жыл бұрын
Under he he under post play episode war sqq we we we we we to to
@Vel423 жыл бұрын
AMEN ninahitaji maombi MUNGU anitawale na anioshe nikuwe msafi.Pastor niombee kuna my cousin ako na pesa zangu anirudishie.
@rosepeter89963 жыл бұрын
AMINA.🙏asante sana kwa mahubiri mchungaji,na kwa maombi pia....napenda jinsi hua unaanzisha nyimbo pia.barikiwa sana🙏
@juliusmantago45113 жыл бұрын
Pasta mbaga ubarikiwe sanavna Mungu akujalie maisha marefu.
@joycemaxmillian49093 жыл бұрын
Mungu akutunze pastor na akubariki
@leahdaniel2713 жыл бұрын
Amina jina la BWANA litukuzwe
@amosbyarufu1003 жыл бұрын
Asante kwamafundisho mtumishi
@PeterCharles-yc7tn2 ай бұрын
Kiukweli mchungaji umenifungua macho ninauza biashara yangu koliko wote namshukuru mungu sana asante sana mungu
@user-hg9uo1hb3y3 жыл бұрын
Nasikiza mahubiri nikiwa saudia mm nimkenya haki nimeeka pesa mbele na kila siku haitoshi Nimechoka lakini naongeza miezi kila siku 😪😪haki limenifariji barikiwa sana mtumishi
@antoinettefuraha87903 жыл бұрын
Amen huwa nabarikiwa sana na Pr David
@ruthnzotha14103 жыл бұрын
Mchungaji ubarikiwe sana niombi langu ikimpendeza mungu uje kabuki xku moja
@lilianlima86093 жыл бұрын
Amen, Bwana azidi kukubariki
@joycekabungo64832 жыл бұрын
Dah Mungu ni mkubwa fadhili zake hazichunguziki
@dorcasrhobi8211 Жыл бұрын
Amen pst ubarikiwe
@user-hz4lw7ld3j5 ай бұрын
Mungu akulinde na kuongoze sana
@elizabethmambai20723 жыл бұрын
Ahsante mungu ananiwazia mazuri niko Qatar mimi Kenya
@otiliahaule68673 жыл бұрын
Hakika Mungu nimwema kwetu naomba no ya WA whatasp yako Dada Elizabeth
@byamungubahati59783 жыл бұрын
Asante, habari za Qatar?
@davidhezron94783 жыл бұрын
mungu ni mwema hakika naomba namba yako ya whattapp
@joyceobiyanyaundi19773 жыл бұрын
God you hold the future. You know me well than I know myself.
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@ivanfaustin97173 жыл бұрын
Ameniii Mungu nakupendaa
@user-hz4lw7ld3j5 ай бұрын
Kwakweli Mungu akuongoze na akulinde mchungaji
@shukranjulius95262 жыл бұрын
Kiukweli hili somo nimekuwa nikililudia kila Mara Amina pastor
@salehlubunga18922 жыл бұрын
Amina sana Mchungaji wangu
@gracebasondole699010 ай бұрын
Mungu akutunze sana poster, unanikuza kiroho kila iitwapo leo
@marymachete91523 жыл бұрын
Amen
@salomehingi193 жыл бұрын
Amina pr
@andreakulwa27593 жыл бұрын
Ameen
@shukranjulius95262 жыл бұрын
Dumu kubarikiwa pastor hakika unabariki wengi
@victoriousblessedmom43433 жыл бұрын
Amen 🙏 Hallelujah Glory be to God
@ccbajaspara2174 Жыл бұрын
Halleluyah
@joyceobiyanyaundi19773 жыл бұрын
Mungu wangu asante KWA yote unayonitendea siku KWA siku. Mahubiri haya yamenitia nguvu, Mungu nishindie the remaining part ndio nipate nafasi ya kwenda kuona watoto wangu Africa. Amen
@marymachete91523 жыл бұрын
Asenta mungu kwa uai najua umenimbangie mema yeremai29. 11
@francomukumu3 жыл бұрын
Tafadhali upload that hymn, Nimeskia Mbiu
@galaxykahalid31723 жыл бұрын
Amina Mchungaji nabarikiwa san
@lamidalonghee70123 жыл бұрын
amina mchungaji bariķiwa sana
@puritychogoro3 жыл бұрын
Amen,kila kitu hufanyika na wakati wake,wakati ikiifika ushaafika.
@claricealice42413 жыл бұрын
Asent sana n'a mungu asifiwe
@seasonepisode33283 жыл бұрын
Yan mchungaji aya mahubiri naona unanisema mimi apa😭😭😭😭Mungu akubariki