MUNGU ATAINGILIA KATI MAMBO YAKO? | PR.DAVID MMBAGA -

  Рет қаралды 100,909

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

Күн бұрын

Пікірлер: 167
@fatumachagudadui3138
@fatumachagudadui3138 6 ай бұрын
Najiskia kubarikiwa kupitia somo hili naaamini Mungu anaenda kufungua njia naam naenda kupata ajira serikalini kwa jina la Yesu kristo navunja maagano ya kichawi niliofanya na niliofanyiwa na wazazi wangu kwa waganga wa kienyeji roho ya kukataliwa naikataa katika jina LA yesu kuanzia sasa Mimi ni kiumbe kipya!
@SnaidaSnaida-h9l
@SnaidaSnaida-h9l 5 күн бұрын
Ubàrikiwe sana pst ùmeguza maisha yangu yaanì mimi siolewi kumanisha ni agano barikiwa sana
@jescaedwardkurumela4333
@jescaedwardkurumela4333 11 күн бұрын
Ubarikiwe, na umebarikiwa kila nikikusikiliza napata package yangu. Asante Yesu kwa ajili yako
@AchelKwizera
@AchelKwizera 8 ай бұрын
Mungu alinde vyombo vyenu iki tuendeley kusikiriza Habari njema ,,mim niko burundi nanijifunza mengi kilakukicha kupitia mahubiri TV, ila natamani siku moja nikutane na pr David Mbaga. Happy sabbath
@NIELIDAUSWAHILI
@NIELIDAUSWAHILI 8 ай бұрын
Nafurahia kuona kwamba kuna mtu wa nyumbani tunakutania hapa kwenye hii meza kupata maneno ya MUNGU hakika tuzidi kubarikiwa haya maneno akawe na nguvu katika maisha yetu hivyo ile siku itakapo fika tuwe miongoni mwa wale watakae mpokea YESU KRISTO kwa shangwe na furaha tele
@williamjumbe1988
@williamjumbe1988 8 ай бұрын
Hili SoMo , pastor umeyagusa maisha yangu, Yani ile mtu unachukiwa ukiwa unasoma duhu, mpaka lecture Yuko radhi akuharibie wewe ambae ndo upo chuo mpaka wizarani hili usichomoze maishani, unaweza chukiwa na kila unae kutana nae , tuombee mungu atupe roho ya kibali kukataliwa imetosha, make Vita ni nzito imetutesa miaka pastor,
@stivininjingo504
@stivininjingo504 8 ай бұрын
Wow pr. Mbaga unanibariki sana, najitahidi kuyaishi mafundisho Yako, 1 ya faida niliyoipata, nilikuwa na vidonda vya tumbo kwisha, maumivu ya uti wa mgongo kwisha, kwa kufyeka tu mazingira ya kanisa na kuyasafisha Kila j. Pili. Barikiwa sana
@barnnettarus1672
@barnnettarus1672 6 ай бұрын
Kwa namna gani vidonda vya tumbo zilipona ndugu? . Nielimishe natamani kupata nafuu pia
@ChantalFuraha-k1o
@ChantalFuraha-k1o 9 күн бұрын
Nimehelewa neema katika Kristo yesu
@DéborahKavira-t9x
@DéborahKavira-t9x 14 күн бұрын
Asante kwa MUNGU, na atuwezeshe kuzingatiya agano hilo.
@Habiba-yb2hb
@Habiba-yb2hb 3 ай бұрын
🙏🙏🙏❤❤❤❤ Asitokee wakupinga ĥli somo linalohusu maagano hii ni hakika Mtumishi Mungu atusaidie 😂😂😂😂 nimecheka sn maana nina ushuhuda katika hili Ila tujue jambo 1 Mungu huangalia agano lake ili apate kulitimiza napia tusisahau kuwa adui naye huangalia kukuangusha ili agano la Mungu lisitimie hivyo Tuombe sn Neema ya Mungu toba na Rehema zake ili turithi pamoja na Kristo Amina
@kitumbui_nancy
@kitumbui_nancy 5 ай бұрын
AMEN AMEN AMEN. GOD SHOW ME MERCY. SPEAK INTO MY SITUATION. BY THE POWER THAT RAISED JESUS FROM THE DEAD, I COMMAND EVERY AREA OF MY LIFE TO RECEIVE LIFE!!!
@FortuMrisho-b4h
@FortuMrisho-b4h 3 ай бұрын
Yaaani kwakweli wewe utumishi Mungu anakutumia sana kusimamisha imani yangu masomo yako yanaeleweka hakika Mungu amekupa neema yakufundisha
@rayman111
@rayman111 8 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza nimepata live Hapa kutoka Australia. Nabarikiwa sana , Mungu aendelee kukuinua ktk viwango vya juu zaidi. Ubarikiwe na Bwana mtumishi
@Alfamwanjoka
@Alfamwanjoka 5 ай бұрын
Amina
@NeemaMaziba-k5q
@NeemaMaziba-k5q 5 ай бұрын
Nimebakiw sana😊🙏
@KefasMutethia
@KefasMutethia Ай бұрын
Namshukuru mungu kwa kuwa yeye ni mwema siku zote🎉.
@margaretwanjiru9096
@margaretwanjiru9096 8 ай бұрын
Kwa kweli umenifundisha mambo mengi Hadi imebadili maisha yangu Barikiwa na bwana
@MarthaTosh
@MarthaTosh 8 ай бұрын
Mungo na habariki mtumishi wake,hii ibada ni Zuri hallelujah kwa masihi aliyemtuma
@RoseMsoka-y2r
@RoseMsoka-y2r 4 ай бұрын
Umenibarik sana pastor 🙏
@sintasamwel9473
@sintasamwel9473 6 ай бұрын
Pastor ubarikiwe zaid Kwa ujumbe huu mzuri wenye kutia nguvu,, naimani kupitia neno hili nimewekwa huru. AMINA
@lennyfrank
@lennyfrank 8 ай бұрын
Ameen Ameen
@centrinenafula5147
@centrinenafula5147 6 ай бұрын
Amen 🙏
@elizabethmatiko9794
@elizabethmatiko9794 8 ай бұрын
Nimebarikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏
@PresciousGold
@PresciousGold 8 ай бұрын
Amen amen nimebarikiwa sana mtumish mungu aendelee kukupa nguvu 🙏🙏🙏
@esthernkwabi1675
@esthernkwabi1675 8 ай бұрын
Nimebarikiwa na somo hili BWANA Akubariki sana.
@AKAMARUSUBO
@AKAMARUSUBO 6 ай бұрын
Mungu akuKumbuke maana wewe wanena yaliyo sahii
@elizabethasha1677
@elizabethasha1677 8 ай бұрын
Niombe Pastor nimefika mwisho naitwa Elizabeth,umekua ukiniombea nashukuru.Mimi ni mkenya. Niombee neema ya Bwana inifunike na Yesu anionekani kwa rehema zake katika ndoa yangu,Watoto wangu na Mume wangu,yaani familia yangu,Atufungue,atuondolee mambo ya giza na kwenye mateka ya shetani. Asante
@mullerrbn4852
@mullerrbn4852 5 ай бұрын
Natumaini unaendelea vizuri mtu wa Mungu
@AsaMtuli
@AsaMtuli 5 ай бұрын
Balikiwa
@elienew3788
@elienew3788 8 ай бұрын
Amina amina Mungu azidi kukutia nguvu Mtumishi wa Mungu na barikiwa sana nkiwa Lebanon
@speciozakaloli
@speciozakaloli 8 ай бұрын
Imani katika Yesu Kristu
@RahmaKhamissi-dh5ie
@RahmaKhamissi-dh5ie 2 ай бұрын
Mungu naamini utafuguwa maisha yangu
@mariamaswani832
@mariamaswani832 8 ай бұрын
Nakushukuru pastor kwa mafundisho yako. Fundisho hili limenigusa sana linahusu maisha yangu na family yangu naomba uniombee nitoke kwenye roho za mizimu mungu akubariki sana
@Blop95
@Blop95 8 ай бұрын
Mambo mazito Sana. Asante Kwa hili neno
@Ungwamissi
@Ungwamissi 8 ай бұрын
Amennn❤❤❤
@sylviesaidi5740
@sylviesaidi5740 8 ай бұрын
Nikumbuke kwamaombi pia pastor 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@GladysMunialo
@GladysMunialo 5 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
@PHIKIRIKIHOMBO
@PHIKIRIKIHOMBO 6 ай бұрын
Mungu akubariki sana pastor umekuwa mbaraka sana kwa watu wengi
@estershedrack530
@estershedrack530 8 ай бұрын
Grorry to God Ubarikiwe saana pastor
@mussacharles5311
@mussacharles5311 7 ай бұрын
MUNGU akubariki sana mtumishi.
@rosemutesi6626
@rosemutesi6626 6 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu Nimeenda kukufwatilia sana hivi hivi karibuni, nimejiona kabisa unasema na maisha yangu kabisa Mungu akuongezee upako.
@Edinahnyaboke-b9o
@Edinahnyaboke-b9o 4 ай бұрын
Mungu akubariki San mafundisho mazuri nimebarikiwa sana Amen 🙏🙏🙏😚😚
@BensonMurithi-vr7ii
@BensonMurithi-vr7ii 8 ай бұрын
To God be the glory
@williambega7810
@williambega7810 8 ай бұрын
Ubarikiwe pasta nakupenda sana Mungu akuzidishe mara Elfu Elfu
@PolikarpoKalua
@PolikarpoKalua 3 ай бұрын
❤ MUNGU atafungua elimu yangu
@Jackie-x9u
@Jackie-x9u 8 ай бұрын
Hili somo ni la kwangu kabxa.Barikiwa sana pastor wangu.
@GladysMunialo
@GladysMunialo 5 ай бұрын
Amen PST ubarikiwe
@HildaNyabate-vd2br
@HildaNyabate-vd2br 6 ай бұрын
I have been blessed so much l am listening from Kenya Nakuru county
@josykogei
@josykogei Ай бұрын
Asante yesu naomba unijalie uponyaji katika koo langu nisiwe na mashaka ili nikutumikie
@sthazelallan8392
@sthazelallan8392 8 ай бұрын
Amina sana..nimebarikiwa na mahubiri
@NiwaeliSolomoni
@NiwaeliSolomoni Ай бұрын
Nimebarikiwa sana pastor niombee
@zilperatieno5722
@zilperatieno5722 6 ай бұрын
Ahsante kwa mafundisho mazuri na ufafanuzi wa maandiko.
@jasuminsele7538
@jasuminsele7538 7 ай бұрын
Nabarikiwa Sana na mafundisho yako wewe ni Mwalimu,Mungu akubariki
@rahimajuma5306
@rahimajuma5306 8 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@FrenkNgurukah-vi2mc
@FrenkNgurukah-vi2mc 8 ай бұрын
Amina sana mtumishi🎉
@selisekele2711
@selisekele2711 5 ай бұрын
Asante Mchungaji Ubarikiwe .Nasituombe kwa baba yetu kupitia kwa Yesu kristo
@EnockMASABO
@EnockMASABO 5 ай бұрын
Kila siku hutuletea mambo mapya sasa niombee sana barikiwa❤
@RabiaMshana
@RabiaMshana 8 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji. Nilikutana na mhadhiri ambaye hats sauti yangu alikuwa hataki kuisikia. Uifanya mawasilisho ya kazi ukisoma sentensi mbili anakuambia stop mpe mwingine .Marks zake Sasa Dio usiseme.Nashukuru kwa kufunuliwa hili.Mungu nipiganie
@ambonisefesto1416
@ambonisefesto1416 8 ай бұрын
Pr huwa nakukubali sana shuhuda zako huwa zinanipa moto wa imani lakini changamoto yangu kubwa ni magonjwa kwangu na mume wangu na upandewa watoto wangu
@LydiaNasimiyu-h1n
@LydiaNasimiyu-h1n 4 ай бұрын
Nakuuliza mutumishi wa Mungu kweli kabiza Yesu akirudi kujukuwa kaniza Dunia muzima wakitumbu inawekana watu woooote kupata uzima wa milele yaaani kuhenda mbinguni?????? Plz naomba jibu lako mutumishi wa Mungu ❤❤❤❤ napenda Sana mafundisho mazuri barikiwa sanaaaana
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 4 ай бұрын
1 Timotheo 2:3 -4 Hili ni zuri, nalo lakubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu; 4 ambaye hutaka watu wote waokolewe, na kupata kujua yaliyo kweli.
@edmondndayisenga8624
@edmondndayisenga8624 5 ай бұрын
Nashukuru Mungu kwa ajiri Yako mcun 1:09:21 1:09:22
@BonnyErnest
@BonnyErnest 6 ай бұрын
Mungu awabarik nyote
@ElibarickAllex
@ElibarickAllex 7 ай бұрын
thank you lord
@fatumachagudadui3138
@fatumachagudadui3138 6 ай бұрын
Hata Mimi natamani Mungu wako awe Mungu wangu
@kombibora
@kombibora 4 ай бұрын
Asanteni Pasteur umenibariki kwa somo hili
@BahatiKazibake
@BahatiKazibake 6 ай бұрын
Shukrani sana kwa mafundiksho hii,inaongezea nguvu
@GastonMunyembabazi-tx1oh
@GastonMunyembabazi-tx1oh 7 ай бұрын
Asante kwa mafundisho ya kujenga batu kimbiliya
@maureenmgeni
@maureenmgeni 8 ай бұрын
Nimebarikiwa sana kwa somo hili. Sifa na Utukufu ni kwa Mungu Baba Mwenyezi mwenye Upendo usio kifani kwani hutusamehe makosa yetu na kututakasa dhambi zetu kwa Damu Ya Yesu KRISTO BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU. AMINA.
@SamuelMwambene
@SamuelMwambene 8 ай бұрын
Asante kaka pasta Mungu awe pamoja nawe,
@joshuaolomi3762
@joshuaolomi3762 7 ай бұрын
Toa sadaka Sasa dadaa tuma hata M pesa
@FiniasEliya-my2zd
@FiniasEliya-my2zd 6 ай бұрын
@@joshuaolomi3762 kwani somo likikubariki nilazima utoe sadaka
@jeikary8767
@jeikary8767 8 ай бұрын
Hii story yko inani furahiaanga sana mungu akubariki
@VenerandaKundi-ph4hg
@VenerandaKundi-ph4hg 7 ай бұрын
Asante mtumishi wa mungu akubariki na akulinde mafundisho yako safi
@CynthiaKwamboka-y4p
@CynthiaKwamboka-y4p Ай бұрын
Somo nzuri pastor barikiwa,naamini Mungu atafungua njia nami nipate ajira❤
@VctorMenlady
@VctorMenlady 5 күн бұрын
Amina Baba ubarikiwe kwa mafundisho.mazuri
@HashimYasin-z8l
@HashimYasin-z8l 19 күн бұрын
Mnungu akubaliki pr mbaga
@DaduSiga
@DaduSiga 3 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtu wa mungu
@GerardHamisi
@GerardHamisi 8 ай бұрын
Preacher naomba utusaidie kujua nguvu ya msalaba maana 2na struggling katk kujua nguvu ya mungu barikiwa sanaa
@amosmonary
@amosmonary 8 ай бұрын
Hili nalo ni la kwangu , for sure God is working through you Mchungaji. I have really struggled to finish my education but still in vain ,
@phanemochache352
@phanemochache352 8 ай бұрын
This is powerful! Following from Nairobi.
@DeborahChristopher-th6nl
@DeborahChristopher-th6nl 7 ай бұрын
Nimebarikiwa sana nimepata kitu hapa
@maseaJoe8676
@maseaJoe8676 8 ай бұрын
Asante Yesu Amen Amen Amen 🙌🤲
@edmondndayisenga8624
@edmondndayisenga8624 5 ай бұрын
Asante kwa mafundisho
@MarimaAlez-kc5rj
@MarimaAlez-kc5rj 8 ай бұрын
mungu habarikiwe😂 hakubariki nawewe pia hanibariki namimi kwanzia leo Mimi nimushindi wazambi kwanzia sasa Hadi mirere
@Doreennyamima
@Doreennyamima 2 ай бұрын
Barikiwa sana pastor Wacha Mungu akucha na rohoo mtakatifu haendelee kukuongoza NAMI nataka usaidiz wakijua tofauti tofauti za roho alafu ukiolewa bila harusi utabarikiwa na Mungu au utaeza ama kwa iyo ndoa ,kwa sababu mazungumzo ya moyo ya kisiri yamenisumbua sana ingine inaniambia ndio hapana mpaka nashidwa
@shaniachanceline2751
@shaniachanceline2751 8 ай бұрын
Amen! God is great ❤❤❤❤❤❤❤
@emmamwanga7774
@emmamwanga7774 29 күн бұрын
Yaan pasta barikiwa Sana nimekuelewa sana
@Victoria-bv6xu
@Victoria-bv6xu Ай бұрын
God bless you 👏
@zabronemmanuel-eo1om
@zabronemmanuel-eo1om 8 ай бұрын
Amina pastor
@Trizah-254-e
@Trizah-254-e 8 ай бұрын
AMEN
@MirriamKimuli-cz1hm
@MirriamKimuli-cz1hm 3 ай бұрын
Pastor mungu akubariki kwa mafundisho mazuri sana
@yustchuwa6957
@yustchuwa6957 9 күн бұрын
Mungu awe nawe siku zote
@omankadara6418
@omankadara6418 8 ай бұрын
Ameen
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 8 ай бұрын
Ninaisubiri kwa hamu🙏🙏🙏🙏
@lucymwegoha7400
@lucymwegoha7400 6 ай бұрын
Samuel
@feadamagessa889
@feadamagessa889 7 ай бұрын
Nashuhudia kuwa Mungu anaendelea taratibu kuingilia mambo yangu
@NeemaNgere
@NeemaNgere Ай бұрын
amen
@golasrichard4400
@golasrichard4400 4 ай бұрын
Stay blessed pr David Mmbaga
@jescaissay2871
@jescaissay2871 8 ай бұрын
Umenisaidia sana mchungaji
@ruthkamungo5566
@ruthkamungo5566 3 ай бұрын
Bwana Yesu Kristo asifiwe, ubarikiwe saana kwa somo zuri lenye baraka. Pastor Mmbaga Nina swali naomba kujibiwa: Ungesema Ayubu alimsingizia Mungu kwa kusema "Mungu ametoa na Mungu ametwaa". Je!? Sio sahihi kutumia kauli hii. Maana Huwa inatumika saana msibani hasa hasa kwa sisi wasabato.
@ZaharaKamota
@ZaharaKamota 8 ай бұрын
Unanibariki sana mtumishi wa Mungu, Mungu akuzidishe
@JaluoOdera
@JaluoOdera 7 ай бұрын
MUNGU akubariki sana
@asiri-romy-simba3671
@asiri-romy-simba3671 8 ай бұрын
Hero Wangu ni Jeremiah,the man who was not Afraid.
@KwihaAthanas
@KwihaAthanas 7 ай бұрын
Samweli
@mlishohadija6923
@mlishohadija6923 8 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana PR
@yuniahkonosi-hi8uh
@yuniahkonosi-hi8uh 2 ай бұрын
MUNGU ATUBARI ZOTE WAAAAA🎉
@AnnastaziaEnock
@AnnastaziaEnock 8 ай бұрын
Amina
🔴 #LIVE 01.02.2025 - KUTENGUA KILA SILAHA - PR DAVID MMBAGA
1:09:55
MISINGI YA KUFANIKIWA KILA WAKATI... PR. DAVID MMBAGA
1:36:04
TUMAINI MOJA
Рет қаралды 8 М.
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
#mahubiri MAISHA YA ANAYE BEBA AGANO |PR.DAVID MMBAGA | SIKU YA 4
1:12:11
UMUHIMU WA KUPATA WATU SAHIHI WA KUKUSAIDIA UTIMIZE MALENGO YAKO   || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
3:26:30
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 112 М.
UNABII JUU YA TAIFA LENYE NGUVU DUNIANI - PR. DAVID MMBAGA
1:24:11
MAHUBIRI TV2
Рет қаралды 5 М.
TUMIA MAMLAKA HII ILI KUFUNGULIWA-- PR. DAVID MMBAGA
1:16:37
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 50 М.
NGUVU INAYOZUIA MAFANIKIO YAKO.
54:51
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 220 М.
SILAHA KUBWA YA KUVUNJA MADHABAHU || PR DAVID MMBAGA
56:10
Ikwabe Injili tv
Рет қаралды 44 М.
ROHO MTAKATIFU TUSAIDIE KUOMBA  | MCH : DAVID MMBAGA
1:33:26
TUMAINI MOJA
Рет қаралды 7 М.
SAFARI YA KUELEKEA MAONO YAKO |PR.DAVID MMBAGA| #live
1:03:20
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 53 М.
JINSI YA KUBADILI MATOKEO MABAYA MAISHANI - PR. DAVID MMBAGA
1:30:02
TUMAINI MOJA
Рет қаралды 11 М.
🔴 LIVE: SIRI YA KUGUSA MOYO WA MUNGU - PR DAVID MMBAGA
1:44:15
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 38 М.