Najiskia kubarikiwa kupitia somo hili naaamini Mungu anaenda kufungua njia naam naenda kupata ajira serikalini kwa jina la Yesu kristo navunja maagano ya kichawi niliofanya na niliofanyiwa na wazazi wangu kwa waganga wa kienyeji roho ya kukataliwa naikataa katika jina LA yesu kuanzia sasa Mimi ni kiumbe kipya!
@SnaidaSnaida-h9l5 күн бұрын
Ubàrikiwe sana pst ùmeguza maisha yangu yaanì mimi siolewi kumanisha ni agano barikiwa sana
@jescaedwardkurumela433311 күн бұрын
Ubarikiwe, na umebarikiwa kila nikikusikiliza napata package yangu. Asante Yesu kwa ajili yako
@AchelKwizera8 ай бұрын
Mungu alinde vyombo vyenu iki tuendeley kusikiriza Habari njema ,,mim niko burundi nanijifunza mengi kilakukicha kupitia mahubiri TV, ila natamani siku moja nikutane na pr David Mbaga. Happy sabbath
@NIELIDAUSWAHILI8 ай бұрын
Nafurahia kuona kwamba kuna mtu wa nyumbani tunakutania hapa kwenye hii meza kupata maneno ya MUNGU hakika tuzidi kubarikiwa haya maneno akawe na nguvu katika maisha yetu hivyo ile siku itakapo fika tuwe miongoni mwa wale watakae mpokea YESU KRISTO kwa shangwe na furaha tele
@williamjumbe19888 ай бұрын
Hili SoMo , pastor umeyagusa maisha yangu, Yani ile mtu unachukiwa ukiwa unasoma duhu, mpaka lecture Yuko radhi akuharibie wewe ambae ndo upo chuo mpaka wizarani hili usichomoze maishani, unaweza chukiwa na kila unae kutana nae , tuombee mungu atupe roho ya kibali kukataliwa imetosha, make Vita ni nzito imetutesa miaka pastor,
@stivininjingo5048 ай бұрын
Wow pr. Mbaga unanibariki sana, najitahidi kuyaishi mafundisho Yako, 1 ya faida niliyoipata, nilikuwa na vidonda vya tumbo kwisha, maumivu ya uti wa mgongo kwisha, kwa kufyeka tu mazingira ya kanisa na kuyasafisha Kila j. Pili. Barikiwa sana
@barnnettarus16726 ай бұрын
Kwa namna gani vidonda vya tumbo zilipona ndugu? . Nielimishe natamani kupata nafuu pia
@ChantalFuraha-k1o9 күн бұрын
Nimehelewa neema katika Kristo yesu
@DéborahKavira-t9x14 күн бұрын
Asante kwa MUNGU, na atuwezeshe kuzingatiya agano hilo.
@Habiba-yb2hb3 ай бұрын
🙏🙏🙏❤❤❤❤ Asitokee wakupinga ĥli somo linalohusu maagano hii ni hakika Mtumishi Mungu atusaidie 😂😂😂😂 nimecheka sn maana nina ushuhuda katika hili Ila tujue jambo 1 Mungu huangalia agano lake ili apate kulitimiza napia tusisahau kuwa adui naye huangalia kukuangusha ili agano la Mungu lisitimie hivyo Tuombe sn Neema ya Mungu toba na Rehema zake ili turithi pamoja na Kristo Amina
@kitumbui_nancy5 ай бұрын
AMEN AMEN AMEN. GOD SHOW ME MERCY. SPEAK INTO MY SITUATION. BY THE POWER THAT RAISED JESUS FROM THE DEAD, I COMMAND EVERY AREA OF MY LIFE TO RECEIVE LIFE!!!
@FortuMrisho-b4h3 ай бұрын
Yaaani kwakweli wewe utumishi Mungu anakutumia sana kusimamisha imani yangu masomo yako yanaeleweka hakika Mungu amekupa neema yakufundisha
@rayman1118 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza nimepata live Hapa kutoka Australia. Nabarikiwa sana , Mungu aendelee kukuinua ktk viwango vya juu zaidi. Ubarikiwe na Bwana mtumishi
@Alfamwanjoka5 ай бұрын
Amina
@NeemaMaziba-k5q5 ай бұрын
Nimebakiw sana😊🙏
@KefasMutethiaАй бұрын
Namshukuru mungu kwa kuwa yeye ni mwema siku zote🎉.
@margaretwanjiru90968 ай бұрын
Kwa kweli umenifundisha mambo mengi Hadi imebadili maisha yangu Barikiwa na bwana
@MarthaTosh8 ай бұрын
Mungo na habariki mtumishi wake,hii ibada ni Zuri hallelujah kwa masihi aliyemtuma
@RoseMsoka-y2r4 ай бұрын
Umenibarik sana pastor 🙏
@sintasamwel94736 ай бұрын
Pastor ubarikiwe zaid Kwa ujumbe huu mzuri wenye kutia nguvu,, naimani kupitia neno hili nimewekwa huru. AMINA
@lennyfrank8 ай бұрын
Ameen Ameen
@centrinenafula51476 ай бұрын
Amen 🙏
@elizabethmatiko97948 ай бұрын
Nimebarikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏
@PresciousGold8 ай бұрын
Amen amen nimebarikiwa sana mtumish mungu aendelee kukupa nguvu 🙏🙏🙏
@esthernkwabi16758 ай бұрын
Nimebarikiwa na somo hili BWANA Akubariki sana.
@AKAMARUSUBO6 ай бұрын
Mungu akuKumbuke maana wewe wanena yaliyo sahii
@elizabethasha16778 ай бұрын
Niombe Pastor nimefika mwisho naitwa Elizabeth,umekua ukiniombea nashukuru.Mimi ni mkenya. Niombee neema ya Bwana inifunike na Yesu anionekani kwa rehema zake katika ndoa yangu,Watoto wangu na Mume wangu,yaani familia yangu,Atufungue,atuondolee mambo ya giza na kwenye mateka ya shetani. Asante
@mullerrbn48525 ай бұрын
Natumaini unaendelea vizuri mtu wa Mungu
@AsaMtuli5 ай бұрын
Balikiwa
@elienew37888 ай бұрын
Amina amina Mungu azidi kukutia nguvu Mtumishi wa Mungu na barikiwa sana nkiwa Lebanon
@speciozakaloli8 ай бұрын
Imani katika Yesu Kristu
@RahmaKhamissi-dh5ie2 ай бұрын
Mungu naamini utafuguwa maisha yangu
@mariamaswani8328 ай бұрын
Nakushukuru pastor kwa mafundisho yako. Fundisho hili limenigusa sana linahusu maisha yangu na family yangu naomba uniombee nitoke kwenye roho za mizimu mungu akubariki sana
@Blop958 ай бұрын
Mambo mazito Sana. Asante Kwa hili neno
@Ungwamissi8 ай бұрын
Amennn❤❤❤
@sylviesaidi57408 ай бұрын
Nikumbuke kwamaombi pia pastor 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@GladysMunialo5 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
@PHIKIRIKIHOMBO6 ай бұрын
Mungu akubariki sana pastor umekuwa mbaraka sana kwa watu wengi
@estershedrack5308 ай бұрын
Grorry to God Ubarikiwe saana pastor
@mussacharles53117 ай бұрын
MUNGU akubariki sana mtumishi.
@rosemutesi66266 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu Nimeenda kukufwatilia sana hivi hivi karibuni, nimejiona kabisa unasema na maisha yangu kabisa Mungu akuongezee upako.
@Edinahnyaboke-b9o4 ай бұрын
Mungu akubariki San mafundisho mazuri nimebarikiwa sana Amen 🙏🙏🙏😚😚
@BensonMurithi-vr7ii8 ай бұрын
To God be the glory
@williambega78108 ай бұрын
Ubarikiwe pasta nakupenda sana Mungu akuzidishe mara Elfu Elfu
@PolikarpoKalua3 ай бұрын
❤ MUNGU atafungua elimu yangu
@Jackie-x9u8 ай бұрын
Hili somo ni la kwangu kabxa.Barikiwa sana pastor wangu.
@GladysMunialo5 ай бұрын
Amen PST ubarikiwe
@HildaNyabate-vd2br6 ай бұрын
I have been blessed so much l am listening from Kenya Nakuru county
@josykogeiАй бұрын
Asante yesu naomba unijalie uponyaji katika koo langu nisiwe na mashaka ili nikutumikie
@sthazelallan83928 ай бұрын
Amina sana..nimebarikiwa na mahubiri
@NiwaeliSolomoniАй бұрын
Nimebarikiwa sana pastor niombee
@zilperatieno57226 ай бұрын
Ahsante kwa mafundisho mazuri na ufafanuzi wa maandiko.
@jasuminsele75387 ай бұрын
Nabarikiwa Sana na mafundisho yako wewe ni Mwalimu,Mungu akubariki
@rahimajuma53068 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@FrenkNgurukah-vi2mc8 ай бұрын
Amina sana mtumishi🎉
@selisekele27115 ай бұрын
Asante Mchungaji Ubarikiwe .Nasituombe kwa baba yetu kupitia kwa Yesu kristo
@EnockMASABO5 ай бұрын
Kila siku hutuletea mambo mapya sasa niombee sana barikiwa❤
@RabiaMshana8 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji. Nilikutana na mhadhiri ambaye hats sauti yangu alikuwa hataki kuisikia. Uifanya mawasilisho ya kazi ukisoma sentensi mbili anakuambia stop mpe mwingine .Marks zake Sasa Dio usiseme.Nashukuru kwa kufunuliwa hili.Mungu nipiganie
@ambonisefesto14168 ай бұрын
Pr huwa nakukubali sana shuhuda zako huwa zinanipa moto wa imani lakini changamoto yangu kubwa ni magonjwa kwangu na mume wangu na upandewa watoto wangu
@LydiaNasimiyu-h1n4 ай бұрын
Nakuuliza mutumishi wa Mungu kweli kabiza Yesu akirudi kujukuwa kaniza Dunia muzima wakitumbu inawekana watu woooote kupata uzima wa milele yaaani kuhenda mbinguni?????? Plz naomba jibu lako mutumishi wa Mungu ❤❤❤❤ napenda Sana mafundisho mazuri barikiwa sanaaaana
@MahubiriPrMmbaga4 ай бұрын
1 Timotheo 2:3 -4 Hili ni zuri, nalo lakubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu; 4 ambaye hutaka watu wote waokolewe, na kupata kujua yaliyo kweli.
@edmondndayisenga86245 ай бұрын
Nashukuru Mungu kwa ajiri Yako mcun 1:09:21 1:09:22
@BonnyErnest6 ай бұрын
Mungu awabarik nyote
@ElibarickAllex7 ай бұрын
thank you lord
@fatumachagudadui31386 ай бұрын
Hata Mimi natamani Mungu wako awe Mungu wangu
@kombibora4 ай бұрын
Asanteni Pasteur umenibariki kwa somo hili
@BahatiKazibake6 ай бұрын
Shukrani sana kwa mafundiksho hii,inaongezea nguvu
@GastonMunyembabazi-tx1oh7 ай бұрын
Asante kwa mafundisho ya kujenga batu kimbiliya
@maureenmgeni8 ай бұрын
Nimebarikiwa sana kwa somo hili. Sifa na Utukufu ni kwa Mungu Baba Mwenyezi mwenye Upendo usio kifani kwani hutusamehe makosa yetu na kututakasa dhambi zetu kwa Damu Ya Yesu KRISTO BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU. AMINA.
Hii story yko inani furahiaanga sana mungu akubariki
@VenerandaKundi-ph4hg7 ай бұрын
Asante mtumishi wa mungu akubariki na akulinde mafundisho yako safi
@CynthiaKwamboka-y4pАй бұрын
Somo nzuri pastor barikiwa,naamini Mungu atafungua njia nami nipate ajira❤
@VctorMenlady5 күн бұрын
Amina Baba ubarikiwe kwa mafundisho.mazuri
@HashimYasin-z8l19 күн бұрын
Mnungu akubaliki pr mbaga
@DaduSiga3 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtu wa mungu
@GerardHamisi8 ай бұрын
Preacher naomba utusaidie kujua nguvu ya msalaba maana 2na struggling katk kujua nguvu ya mungu barikiwa sanaa
@amosmonary8 ай бұрын
Hili nalo ni la kwangu , for sure God is working through you Mchungaji. I have really struggled to finish my education but still in vain ,
@phanemochache3528 ай бұрын
This is powerful! Following from Nairobi.
@DeborahChristopher-th6nl7 ай бұрын
Nimebarikiwa sana nimepata kitu hapa
@maseaJoe86768 ай бұрын
Asante Yesu Amen Amen Amen 🙌🤲
@edmondndayisenga86245 ай бұрын
Asante kwa mafundisho
@MarimaAlez-kc5rj8 ай бұрын
mungu habarikiwe😂 hakubariki nawewe pia hanibariki namimi kwanzia leo Mimi nimushindi wazambi kwanzia sasa Hadi mirere
@Doreennyamima2 ай бұрын
Barikiwa sana pastor Wacha Mungu akucha na rohoo mtakatifu haendelee kukuongoza NAMI nataka usaidiz wakijua tofauti tofauti za roho alafu ukiolewa bila harusi utabarikiwa na Mungu au utaeza ama kwa iyo ndoa ,kwa sababu mazungumzo ya moyo ya kisiri yamenisumbua sana ingine inaniambia ndio hapana mpaka nashidwa
@shaniachanceline27518 ай бұрын
Amen! God is great ❤❤❤❤❤❤❤
@emmamwanga777429 күн бұрын
Yaan pasta barikiwa Sana nimekuelewa sana
@Victoria-bv6xuАй бұрын
God bless you 👏
@zabronemmanuel-eo1om8 ай бұрын
Amina pastor
@Trizah-254-e8 ай бұрын
AMEN
@MirriamKimuli-cz1hm3 ай бұрын
Pastor mungu akubariki kwa mafundisho mazuri sana
@yustchuwa69579 күн бұрын
Mungu awe nawe siku zote
@omankadara64188 ай бұрын
Ameen
@lilianeerica33188 ай бұрын
Ninaisubiri kwa hamu🙏🙏🙏🙏
@lucymwegoha74006 ай бұрын
Samuel
@feadamagessa8897 ай бұрын
Nashuhudia kuwa Mungu anaendelea taratibu kuingilia mambo yangu
@NeemaNgereАй бұрын
amen
@golasrichard44004 ай бұрын
Stay blessed pr David Mmbaga
@jescaissay28718 ай бұрын
Umenisaidia sana mchungaji
@ruthkamungo55663 ай бұрын
Bwana Yesu Kristo asifiwe, ubarikiwe saana kwa somo zuri lenye baraka. Pastor Mmbaga Nina swali naomba kujibiwa: Ungesema Ayubu alimsingizia Mungu kwa kusema "Mungu ametoa na Mungu ametwaa". Je!? Sio sahihi kutumia kauli hii. Maana Huwa inatumika saana msibani hasa hasa kwa sisi wasabato.
@ZaharaKamota8 ай бұрын
Unanibariki sana mtumishi wa Mungu, Mungu akuzidishe
@JaluoOdera7 ай бұрын
MUNGU akubariki sana
@asiri-romy-simba36718 ай бұрын
Hero Wangu ni Jeremiah,the man who was not Afraid.