Рет қаралды 2,131
Karibu kufuatilia mfululizo wa masomo mbalimbali katika mkutano unaorushwa mbashara kutoka katika kanisa la Waadventista wa Sabato Nyahanga - Kahama, huku neno kuu la #mahubiri haya likiwa ni #YATOSHA JANGWANI, kuanzia tarehe 11/05 - 02/06 kila siku saa 11:00 - 02:00 jioni, usipange kukosa huku masomo ya Afya ya akili, Masomo ya Watoto, Masomo ya Uchumba, mahusiano, ndoa na Malezi pamoja na Mafundisho makuu yatafundishwa.
WAHUDUMU
PR. MAGULILO MWAKALONGE - MAFUNDISHO MAKUU
BI. DEBORA URIO - FAMILIA
DR. PASCAL KANG'IRIA - AFYA YA AKILI
ELD. DANIEL BULENGELA - MAFUNDISHO YA WATOTO
#suasdachurch #atapekahamanetevent2024 #yatoshajangwani #sdachurch #Wazazi #malezi #sdasermon#afyayaakili #mahusiano #sda #family #live #livestream #livestreaming
Follow us on Instagram, Twitter and Facebook as SUA SDA CHURCH
Subscribe for More Information
Call : +255 756 846 870