Mungu yupo pamoja nas.....na Sisi tutakuwa na Umeme wa uwakika na wenye bei Nafuu.....🇹🇿🇹🇿
@mathiasmassai59103 жыл бұрын
Hii ndo TANZANIA 🇹🇿yetu💪 Me nimmojawapo ninae fanya kz hk Stigler Ahsante sn Raisi wetu🙏🙏
@hassanmpwepwe82583 жыл бұрын
Tanzania kwanza mangine baadae jpm wew ndio mzalendo wa ukwer katka inchi hii jpm endelea kupiga bundasiliga 2mechewa sana miaka more ina kusubir kwa maendeleo ya tz
@mukambi32783 жыл бұрын
Nimeipenda hii, kama muendelezo pia ungefanya na ya SGR ingependeza zaidi 💯
@rudishamusic3 жыл бұрын
Kaka nimeipenda sn chanel yako ni kana kwamba unaonyesha behind the scene hivi,hebu fikiria kwa upande mmoja tunaujua mradi wa umeme ila maisha ya huko ndo umekuja kutuonyesha ,endelea kureport na miradi mengine bila kuchoka
@abdallahsaid81573 жыл бұрын
Hongera sana kwa serikali yetu.🙏
@nicholaussmassawe80843 жыл бұрын
Hawa woote wanao onyeshwa hapa ni wale ma engineer na managers amabo hawafiki hata 500.... Ingependeza zaidi kama jamaa ungeonyesha maisha wanaoishi watanzania wa kawaida ambao ni zaidi ya 2000 ambao ni ma technician Ungewaaambia wakupeleke wanapo lala na wanapo kula hapo ungekuwa ume balance story yako vizuri...
@rashidisaidi77443 жыл бұрын
Kweli kabisa
@jakaonlinetv19203 жыл бұрын
Kw e l
@agreyaloyce4323 жыл бұрын
Sometimes we learn through our presidents nafurahi sababu hakuna aliyekamilika but on this ni kitu muhimu in every one’s life japo wengi watambeza good to our president
@alfredkalaba16143 жыл бұрын
Amazing TZ 🇹🇿 kwanza
@silajimatola21323 жыл бұрын
Babu una danganywa ukija nitafute uone maisha harisi
@safiyatheonlything78483 жыл бұрын
Wana enjoy sana kushinda ata majumbani kwao msosi wa mana mazingira mazuri Mungu ibariki Tanzania na mbariki rais wetu magufuli nafurahi sana kuna mambo mazuri ya nyumbani tukiwa nje za nchi
@jamesthomas390jj3 жыл бұрын
Wajomba wanakula vizur kichiz😂😂
@michaelbwoma27603 жыл бұрын
Masimulizi yako ni mazuri Sana napenda angle unazotumia katika kufikisha ujumbe Safi Sana aisee.. kazi iendelee
@cosmasdaud90883 жыл бұрын
Wanaishi vizuri Sana
@harounaman74733 жыл бұрын
Huku ni Kwa ma senior staff
@michaelfabian58883 жыл бұрын
Tunaomba utuletee vipindi mbalimbali tuweze kuona maendeleo,pia nimefurahi jinsi camera zenu zinaonyesha picha nzr yenye utulivu mkiendelea kuleta vipindi kama hivi mtapata followers wengi so nawapongeza kwa kazi nzr.
@michaeleustach97693 жыл бұрын
Huyu mwamba alipiga mazoezi itakuwa noma noma sana
@SA-xj8hc3 жыл бұрын
Julius Nyerere airport, Julius Nyerere Kigamboni bridge, Julius Nyerere dam, Julius Nyerere.........
@mosesmwambeni41683 жыл бұрын
Julius nyerere stadium Dodoma
@manfredbitala68973 жыл бұрын
Ni haki yake
@zuhuramuhanga54003 жыл бұрын
huko wapelekwe na watu wakusimamia madini yakipatikana wachina hawato yaonyesha huko najua hayakosekani serikali kuweni makini
@jonathanndururutse2863 жыл бұрын
Hongera sana rais wetu
@nilonchimbi5252 Жыл бұрын
Wangeoneshwa watu wa sino maisha yao 😛😛
@user-du5hl4hd1g2 ай бұрын
Iko chakula ulichokionesha wanakula vip sio wafanyakazi wa kawaida
@lameckbalekere19623 жыл бұрын
Magufuli oyee
@rajabuomary16283 жыл бұрын
Tanzania it is ok
@danieldaniel-lb2on3 жыл бұрын
Kumbe huyu ndiye Spesho Kabwanga?
@hafidhothman45883 жыл бұрын
Hahahaa kumbe tupo wengi?!
@stn48735 ай бұрын
Waonyesheni labour wadogo wadogo😂😂😂
@smartfredrick27973 жыл бұрын
Na mareba wadogo wadogo wanaishije
@ahmadmpinzire56493 жыл бұрын
Nimekukubal bratha,ila ile jamii ya vibarua namaanisha watumia nguvu wazee wa posho za siku mbona sijawaona?au umehofia kiboko Cha utawala?maan naona mazingira ya daraja la Kwanza na la pili,lile la 3 mazingira yao hujaonesha kaka!
@harounaman74733 жыл бұрын
Sema watanzania wabinafsi sana mbona wale ma operators wenzangu siwaon kabsa hoi
@carlosn_tz3 жыл бұрын
Gari yangu original version by Carlos N ft Young D & Abbah bonyeza link kzbin.info/www/bejne/aWq8nHWCa6yBntE
@alphonceelias25512 жыл бұрын
Yaaank nape anaupinga huu mradi,haaah! Haaaah! Anakera Sana huyu.
@NassoroRamadhani-hy2zz Жыл бұрын
we mouong san sio kamb zote zipo apo umefika sino kamp umefika colona kamp ww
@kelvinmtavangu82993 жыл бұрын
VIJANA WETU MUNGU AWALINDE. MNATENGENEZA HISTORIA KUBWA KATIKA KIZAZI CHA DUNIA HII YA SASA. MUNGU WAJALIE AFYA NJEMA KTK KUTEKELEZA UJENZI mradi wa karne.
@clementhiddi14863 жыл бұрын
Taarifa haitoshi
@ewaldambrose61363 жыл бұрын
Bongo kama ulaya
@zenj19862 жыл бұрын
Magufuli pumzika salama.
@godlistenlyimo1546 Жыл бұрын
uongo.mtupu watu.wanakufa juzi tarehe 26 watu wamekufa kwa kudondokea kwenye ukuta unaojengwa alafu.hizo.kempu.wanakaa.waarabu.tu.sisi.tunakaa.kwenye mahema
@badenbensoni75163 жыл бұрын
Kwenye miamba mkikuta dhahabu toeni taarifa ofisi za madini
@rashidisaidi77443 жыл бұрын
Hawazitoi nawanapta kweli madini hawa ata wachina watengenezaji barabara wanapata madini yanaishia mifukon mwawatu wajanja
@twahathomas35143 жыл бұрын
Kaka uko vizuri unawaza mahela sio
@tomaamireni10173 жыл бұрын
Nakukubali sana. Ila leseni ya TCRA unayo?
@ilynpayne74913 жыл бұрын
Kwa kazi anayo fanya ana pewa leseni 100%
@letsgobacktoafricafoundati13223 жыл бұрын
@@ilynpayne7491 we jamaa nakuona kila sehemu😀😂
@ilynpayne74913 жыл бұрын
@@letsgobacktoafricafoundati1322 hahaha mi nkiona mtu ana kera lazma nijibu siwez kaa kimya 🤣🤣😅😅😃😃😄😄🤣😀
@fatemaligalawa19183 жыл бұрын
Duu uomsosi barahaaaa
@nickminja7043 жыл бұрын
ndo ww kumbe
@alfredkalaba16143 жыл бұрын
Halafu mtu mmoja anaitwa Tundu Lisa anapiga kelele kama demu wa uswazi
@freduallughano23013 жыл бұрын
Acha ukenge wewe katika wapinzani umemuona Lisu tuu au kwa vile ndio tishio la fisiem?
@twahathomas35143 жыл бұрын
@@freduallughano2301 lkn bablay ya magu haikuwa ficiem kiukweli ila zingine zilikuwa zaid ya ficiem
@mohamedkikale72413 жыл бұрын
Ni jambo zuri kutuonyesha maendeleo ya mradi, ila hayo unayo tuonyesha Ni kwa masinia tu, (beach la ufundi ) tuonyesha na makazi ya wachezaji haris wa huo mradi, wanapo lala na kupata chakula, binafs nimekuelewa kwa %49 tu.
@faustinemavere14503 жыл бұрын
Mohamed we ndo yale mapinga kila kitu tatizo mtima nyongo mtachonga sana lakini mambo yanaenda vizuri au ni hayo mapande ya kuku yamekuumiza roho?pole sana 😃😃😃😃😃 hujawahi kuliona hilo paja si ukaombe kazi ndugu hujanyimwa mweeeee
@mohamedkikale72413 жыл бұрын
@@faustinemavere1450 dah umenitafsri vibaya jamaa! Mie nimefanya kazi kwenye mazingira bora sana, kuanzia general manager had mfagiaji tunakula sehem moja, huko bwawani Mie nimeenda kazi nzuri inafanyika tena sana, wafanya kazi wote wanahaki sawa, chakula wanapewa na sehem wanapo lala ungebahatika kupaona ndio utanielewa, naukubari mradi kwa %zote, alie ripot ndie alie takiwa kubalance stori! Kwamba sjawahi ona hilo paja! Pole kwa kunielewa vibaya.
@faustinemavere14503 жыл бұрын
@@mohamedkikale7241 haya bwana
@mohamedkikale72413 жыл бұрын
@@faustinemavere1450 Tanzania kwanza mengine baadae, tuko 👍 pa1 ndugu
@faustinemavere14503 жыл бұрын
@@mohamedkikale7241 Amina tupo pamoja
@yohanawendrin32403 жыл бұрын
Mnazingua unauwakika wote wanakaa apo
@jeremiahsanare80573 жыл бұрын
Daah pongezi kwa mheshimiwa raisi magufuli kazi yake inaonekana haswaaa