MAISHA HALISI YA WAFANYAKAZI WA MRADI WA (STIEGLERS) BWAWA LA UMEME LA JULIUS NYERERE.

  Рет қаралды 51,600

Spesho Kabwanga Online

Spesho Kabwanga Online

3 жыл бұрын

Пікірлер: 66
@peterchullu3777
@peterchullu3777 3 жыл бұрын
Mungu yupo pamoja nas.....na Sisi tutakuwa na Umeme wa uwakika na wenye bei Nafuu.....🇹🇿🇹🇿
@mathiasmassai5910
@mathiasmassai5910 3 жыл бұрын
Hii ndo TANZANIA 🇹🇿yetu💪 Me nimmojawapo ninae fanya kz hk Stigler Ahsante sn Raisi wetu🙏🙏
@hassanmpwepwe8258
@hassanmpwepwe8258 3 жыл бұрын
Tanzania kwanza mangine baadae jpm wew ndio mzalendo wa ukwer katka inchi hii jpm endelea kupiga bundasiliga 2mechewa sana miaka more ina kusubir kwa maendeleo ya tz
@mukambi3278
@mukambi3278 3 жыл бұрын
Nimeipenda hii, kama muendelezo pia ungefanya na ya SGR ingependeza zaidi 💯
@rudishamusic
@rudishamusic 3 жыл бұрын
Kaka nimeipenda sn chanel yako ni kana kwamba unaonyesha behind the scene hivi,hebu fikiria kwa upande mmoja tunaujua mradi wa umeme ila maisha ya huko ndo umekuja kutuonyesha ,endelea kureport na miradi mengine bila kuchoka
@abdallahsaid8157
@abdallahsaid8157 3 жыл бұрын
Hongera sana kwa serikali yetu.🙏
@nicholaussmassawe8084
@nicholaussmassawe8084 3 жыл бұрын
Hawa woote wanao onyeshwa hapa ni wale ma engineer na managers amabo hawafiki hata 500.... Ingependeza zaidi kama jamaa ungeonyesha maisha wanaoishi watanzania wa kawaida ambao ni zaidi ya 2000 ambao ni ma technician Ungewaaambia wakupeleke wanapo lala na wanapo kula hapo ungekuwa ume balance story yako vizuri...
@rashidisaidi7744
@rashidisaidi7744 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@jakaonlinetv1920
@jakaonlinetv1920 3 жыл бұрын
Kw e l
@agreyaloyce432
@agreyaloyce432 3 жыл бұрын
Sometimes we learn through our presidents nafurahi sababu hakuna aliyekamilika but on this ni kitu muhimu in every one’s life japo wengi watambeza good to our president
@alfredkalaba1614
@alfredkalaba1614 3 жыл бұрын
Amazing TZ 🇹🇿 kwanza
@silajimatola2132
@silajimatola2132 3 жыл бұрын
Babu una danganywa ukija nitafute uone maisha harisi
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 3 жыл бұрын
Wana enjoy sana kushinda ata majumbani kwao msosi wa mana mazingira mazuri Mungu ibariki Tanzania na mbariki rais wetu magufuli nafurahi sana kuna mambo mazuri ya nyumbani tukiwa nje za nchi
@jamesthomas390jj
@jamesthomas390jj 3 жыл бұрын
Wajomba wanakula vizur kichiz😂😂
@michaelbwoma2760
@michaelbwoma2760 3 жыл бұрын
Masimulizi yako ni mazuri Sana napenda angle unazotumia katika kufikisha ujumbe Safi Sana aisee.. kazi iendelee
@cosmasdaud9088
@cosmasdaud9088 3 жыл бұрын
Wanaishi vizuri Sana
@harounaman7473
@harounaman7473 3 жыл бұрын
Huku ni Kwa ma senior staff
@michaelfabian5888
@michaelfabian5888 3 жыл бұрын
Tunaomba utuletee vipindi mbalimbali tuweze kuona maendeleo,pia nimefurahi jinsi camera zenu zinaonyesha picha nzr yenye utulivu mkiendelea kuleta vipindi kama hivi mtapata followers wengi so nawapongeza kwa kazi nzr.
@michaeleustach9769
@michaeleustach9769 3 жыл бұрын
Huyu mwamba alipiga mazoezi itakuwa noma noma sana
@SA-xj8hc
@SA-xj8hc 3 жыл бұрын
Julius Nyerere airport, Julius Nyerere Kigamboni bridge, Julius Nyerere dam, Julius Nyerere.........
@mosesmwambeni4168
@mosesmwambeni4168 3 жыл бұрын
Julius nyerere stadium Dodoma
@manfredbitala6897
@manfredbitala6897 3 жыл бұрын
Ni haki yake
@zuhuramuhanga5400
@zuhuramuhanga5400 3 жыл бұрын
huko wapelekwe na watu wakusimamia madini yakipatikana wachina hawato yaonyesha huko najua hayakosekani serikali kuweni makini
@jonathanndururutse286
@jonathanndururutse286 3 жыл бұрын
Hongera sana rais wetu
@nilonchimbi5252
@nilonchimbi5252 Жыл бұрын
Wangeoneshwa watu wa sino maisha yao 😛😛
@user-du5hl4hd1g
@user-du5hl4hd1g 2 ай бұрын
Iko chakula ulichokionesha wanakula vip sio wafanyakazi wa kawaida
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 3 жыл бұрын
Magufuli oyee
@rajabuomary1628
@rajabuomary1628 3 жыл бұрын
Tanzania it is ok
@danieldaniel-lb2on
@danieldaniel-lb2on 3 жыл бұрын
Kumbe huyu ndiye Spesho Kabwanga?
@hafidhothman4588
@hafidhothman4588 3 жыл бұрын
Hahahaa kumbe tupo wengi?!
@stn4873
@stn4873 5 ай бұрын
Waonyesheni labour wadogo wadogo😂😂😂
@smartfredrick2797
@smartfredrick2797 3 жыл бұрын
Na mareba wadogo wadogo wanaishije
@ahmadmpinzire5649
@ahmadmpinzire5649 3 жыл бұрын
Nimekukubal bratha,ila ile jamii ya vibarua namaanisha watumia nguvu wazee wa posho za siku mbona sijawaona?au umehofia kiboko Cha utawala?maan naona mazingira ya daraja la Kwanza na la pili,lile la 3 mazingira yao hujaonesha kaka!
@harounaman7473
@harounaman7473 3 жыл бұрын
Sema watanzania wabinafsi sana mbona wale ma operators wenzangu siwaon kabsa hoi
@carlosn_tz
@carlosn_tz 3 жыл бұрын
Gari yangu original version by Carlos N ft Young D & Abbah bonyeza link kzbin.info/www/bejne/aWq8nHWCa6yBntE
@alphonceelias2551
@alphonceelias2551 2 жыл бұрын
Yaaank nape anaupinga huu mradi,haaah! Haaaah! Anakera Sana huyu.
@NassoroRamadhani-hy2zz
@NassoroRamadhani-hy2zz Жыл бұрын
we mouong san sio kamb zote zipo apo umefika sino kamp umefika colona kamp ww
@kelvinmtavangu8299
@kelvinmtavangu8299 3 жыл бұрын
VIJANA WETU MUNGU AWALINDE. MNATENGENEZA HISTORIA KUBWA KATIKA KIZAZI CHA DUNIA HII YA SASA. MUNGU WAJALIE AFYA NJEMA KTK KUTEKELEZA UJENZI mradi wa karne.
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 3 жыл бұрын
Taarifa haitoshi
@ewaldambrose6136
@ewaldambrose6136 3 жыл бұрын
Bongo kama ulaya
@zenj1986
@zenj1986 2 жыл бұрын
Magufuli pumzika salama.
@godlistenlyimo1546
@godlistenlyimo1546 Жыл бұрын
uongo.mtupu watu.wanakufa juzi tarehe 26 watu wamekufa kwa kudondokea kwenye ukuta unaojengwa alafu.hizo.kempu.wanakaa.waarabu.tu.sisi.tunakaa.kwenye mahema
@badenbensoni7516
@badenbensoni7516 3 жыл бұрын
Kwenye miamba mkikuta dhahabu toeni taarifa ofisi za madini
@rashidisaidi7744
@rashidisaidi7744 3 жыл бұрын
Hawazitoi nawanapta kweli madini hawa ata wachina watengenezaji barabara wanapata madini yanaishia mifukon mwawatu wajanja
@twahathomas3514
@twahathomas3514 3 жыл бұрын
Kaka uko vizuri unawaza mahela sio
@tomaamireni1017
@tomaamireni1017 3 жыл бұрын
Nakukubali sana. Ila leseni ya TCRA unayo?
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 жыл бұрын
Kwa kazi anayo fanya ana pewa leseni 100%
@letsgobacktoafricafoundati1322
@letsgobacktoafricafoundati1322 3 жыл бұрын
@@ilynpayne7491 we jamaa nakuona kila sehemu😀😂
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 жыл бұрын
@@letsgobacktoafricafoundati1322 hahaha mi nkiona mtu ana kera lazma nijibu siwez kaa kimya 🤣🤣😅😅😃😃😄😄🤣😀
@fatemaligalawa1918
@fatemaligalawa1918 3 жыл бұрын
Duu uomsosi barahaaaa
@nickminja704
@nickminja704 3 жыл бұрын
ndo ww kumbe
@alfredkalaba1614
@alfredkalaba1614 3 жыл бұрын
Halafu mtu mmoja anaitwa Tundu Lisa anapiga kelele kama demu wa uswazi
@freduallughano2301
@freduallughano2301 3 жыл бұрын
Acha ukenge wewe katika wapinzani umemuona Lisu tuu au kwa vile ndio tishio la fisiem?
@twahathomas3514
@twahathomas3514 3 жыл бұрын
@@freduallughano2301 lkn bablay ya magu haikuwa ficiem kiukweli ila zingine zilikuwa zaid ya ficiem
@mohamedkikale7241
@mohamedkikale7241 3 жыл бұрын
Ni jambo zuri kutuonyesha maendeleo ya mradi, ila hayo unayo tuonyesha Ni kwa masinia tu, (beach la ufundi ) tuonyesha na makazi ya wachezaji haris wa huo mradi, wanapo lala na kupata chakula, binafs nimekuelewa kwa %49 tu.
@faustinemavere1450
@faustinemavere1450 3 жыл бұрын
Mohamed we ndo yale mapinga kila kitu tatizo mtima nyongo mtachonga sana lakini mambo yanaenda vizuri au ni hayo mapande ya kuku yamekuumiza roho?pole sana 😃😃😃😃😃 hujawahi kuliona hilo paja si ukaombe kazi ndugu hujanyimwa mweeeee
@mohamedkikale7241
@mohamedkikale7241 3 жыл бұрын
@@faustinemavere1450 dah umenitafsri vibaya jamaa! Mie nimefanya kazi kwenye mazingira bora sana, kuanzia general manager had mfagiaji tunakula sehem moja, huko bwawani Mie nimeenda kazi nzuri inafanyika tena sana, wafanya kazi wote wanahaki sawa, chakula wanapewa na sehem wanapo lala ungebahatika kupaona ndio utanielewa, naukubari mradi kwa %zote, alie ripot ndie alie takiwa kubalance stori! Kwamba sjawahi ona hilo paja! Pole kwa kunielewa vibaya.
@faustinemavere1450
@faustinemavere1450 3 жыл бұрын
@@mohamedkikale7241 haya bwana
@mohamedkikale7241
@mohamedkikale7241 3 жыл бұрын
@@faustinemavere1450 Tanzania kwanza mengine baadae, tuko 👍 pa1 ndugu
@faustinemavere1450
@faustinemavere1450 3 жыл бұрын
@@mohamedkikale7241 Amina tupo pamoja
@yohanawendrin3240
@yohanawendrin3240 3 жыл бұрын
Mnazingua unauwakika wote wanakaa apo
@jeremiahsanare8057
@jeremiahsanare8057 3 жыл бұрын
Daah pongezi kwa mheshimiwa raisi magufuli kazi yake inaonekana haswaaa
Mini Hydroelectricity With 4 Extremely Powerful Water Outlets
13:58
Construction General
Рет қаралды 78 МЛН
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 14 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 106 МЛН
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 8 МЛН
UWEKEZAJI KISIWA CHA BAWE
7:10
ZIPA TV
Рет қаралды 13 М.
TUBOMOE SANAMU YA NYERERE. FAMILIA NA WATANZANIA WAMEIKATAA
12:09
SK Media Online TV
Рет қаралды 23 М.
The Day Ronaldinho Showed Zidane Who Is The Boss.
14:05
RDHDComps
Рет қаралды 42 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
0:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 15 МЛН
貓媽媽🆚爆米花🌽🥷🍿 #aicat #shorts #cute
0:33
Cat Cat Cat
Рет қаралды 48 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
0:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 15 МЛН
Притворилась БЕРЕМЕННОЙ 😱 #shorts
1:00
Лаборатория Разрушителя
Рет қаралды 4,7 МЛН
Они не знали, почему он так поступил, пока
0:39