Kuna watu sio wachoyo mungu awatunze ebm barikiwa sana ❤️💪
@Kavrm-c8n2 ай бұрын
The mkaka was there akampa kazi 🎉🎉🎉
@sweetnasra36133 ай бұрын
Ila darling Mzungu siku akichange mind hafkirii anythin else ni anakuacha kama hakujuiiii , jst weka hii akiba
@nassorntandu45133 ай бұрын
Nimefaidika sana na interview yako, Icome na IBM. unawafundisha vijana wengi kujitambua
@debyqueen13 ай бұрын
Fact
@Mahene-w1l4 ай бұрын
😊😂 Mahojiano mazuri na the Best experience
@FurahaNgatena2 ай бұрын
icome sio bubu anafungukaga sana 😊😊
@edlumala94283 ай бұрын
Dada mnapata tabu na visa kwa kuwa hamna pesa kwenye accounts zenu personal, mbili hamna good travel history! Ukiwa na pesa imenyooka, unanyimwaje visa?
@shabansinga9833 ай бұрын
❤Nice
@estherkeba244 ай бұрын
Sema majina yake ungeandika amna ata moja nlo elewa, na interview nzuri 🙏
@AnnaMsofe-y3k3 ай бұрын
Your so bright from your brain ❤baby keep on
@elieshishamy96223 ай бұрын
Kwa kusema hali healthy nakubali hila kwa vyakula tema mate chini hakuna kama Africa
@AnnaMsofe-y3k3 ай бұрын
Your really well taking keep on baby
@souksoukeventsandmarketing6534 ай бұрын
Roho mbaya 💯 well said
@souksoukeventsandmarketing6534 ай бұрын
Your beautiful and skin tone is on point
@graceandrew39884 ай бұрын
Naomba nitofautiane na wewe kwenye vyakula nimebahatika kutembelea nchi kadhaa ulaya,sisi Afrika tuna vyakula vingi na varieties labda upande wa kuvipangilia na kula healthy.Kwanza wengi wao chakula chao kikuu mikate pia wenyewe baadhi yao ukiongea nao wanatamani vyakula vyetu na wanatuonea raha😂sisi Afrika tumebarikiwa ardhi na hali ya hewa nzuri tunaweza kulima varieties ya vyakula na original. Vya kwao unakuta sio original kihivyo..
@leemaccshaban523 ай бұрын
Nakubari maneno yako mie naishi ugaibuni sasa miaka 25😂
@hoseakipkemei22443 ай бұрын
Nakubaliana nawe vyakula vyetu ni vya hasili na vina virutubisho vingi.
@Mina.153 ай бұрын
Mimi ndio mmoja wao I hated it American 🇺🇸 food 🤢 for 21 years
@Mina.153 ай бұрын
@@hoseakipkemei2244Kweli huku ndiomaana maginjawa mengi
@irenenjeri66093 ай бұрын
Very true i leave INTHE NETHERLANDS 🇳🇱, and i can truly say that AFRICA we are very blessed with great foods.
@AnnaMsofe-y3k3 ай бұрын
Well taking girl
@ShabaniSudi-d1x4 ай бұрын
Very smart openly talking.
@nanija8763 ай бұрын
Nampenda huyu dada yuko straight
@cutealaufy95082 ай бұрын
Hello IBM nina mdogo wangu anasomea nurse muhimbili sasa anatamani kufanya kazi nje sasa utamsaidia vipi ?
@witnessmallya51143 ай бұрын
Kwanin camera man amekaa kwenye mgongo wa host jaman
@Mina.153 ай бұрын
Nimweusi saana 😂😂
@gidesbalunguza71524 ай бұрын
Mkuu wa kazi tunaomba interview na shabani mwampambe
@MartinLorri4 ай бұрын
Dada ameponda sana wanaume wa kitanzania, mwanamke wa kitanzania tukiwalinganisha na wa kizungu tutegemee wakitanzania wakawazidi?
@omarali7973 ай бұрын
Sasa unasema visa ni taabu kupata, lakini Uturuki na China ni rahisi, kwanini niende czech. Kuhusu wizi, sorry dada huna unacho kijuwa, hao wa cezech, east European ni wizi wakutajika. Ama kuhusu vyakula, nyamaza, njoo Zanzibar. Hapa UK hata hao watu weupe European wanapenda vyakula vya kiaafrika. Kuhusu kazi, unadanganya watu. Mimi nafanya kazi na watu wa czech. Mume, Mke na watoto wawili wanafanya kazi na mimi. Wananieleza kwamba ajira hakuna. Hushangaa ninapowaambia kwamba nchi yetu imefaidika sana na serikali yao kwa kuwasomesha watu wetu na Afrika Kwa ujumla.
@leemaccshaban523 ай бұрын
Kuusu chakula umekosea uku wanajua kupika lakini chakula yetu nimikate tu kitu kuna vyakula ala sisi atujue kupandisha jinsi ya kula apa wanalima viazi ulaya tu 😂
@Montana12-v2c3 ай бұрын
Tatizo la huyu dada ana over react Sana kwenye maongezi yakepaka haeleweki 😂😂😂😂
@tradamus41584 ай бұрын
tatizo sio wanaume tu hata wanawake pia tabia zenu za ajabu sana kwa hiyo msijione nyie mko better ndio maana hata mwanaume pia akipata mzungu hato taka mwanamke mweusi saabu ya tabia zenu zilivyo kwa hiyo wacha kujiona nyie mkopoa kushinda wenzenu sswa
@francomkandawile85723 ай бұрын
Nilichokiona dada yangu anaongea ukweli unaouma ila niukweli, jamani tujifunze kumeza dawa hata kama ni chungu. Dada i wish ungekuwa dada yangu, may be we share the same characteristics. Napenda ujasili wako.
@kasangagregory57473 ай бұрын
tunazaliana kama mbwa tutatiana mimba kama mbwa LUGHA JAMANI LUGHA TUSIJIDOGOSHE SANA JAMANI
@ZubedaPaulo4 ай бұрын
Hata mimo nimetapeliwa pia nklimtumia ebm meseji istaram ila sikjjibiwa pia nklijitahidi kutafuta namba yake ila sikufanikiwa mpaka ni😭😭😭mekata tamaa
I come ven asante umeongea vema naomba nijue nkupataje
@AgredaMoyo4 ай бұрын
Umetambulishwa na kidole kipi hicho😂
@kwisa48993 ай бұрын
Huyu si upinde
@annamussa1854 ай бұрын
Nenda vijijini huko wanakodisha Baiskeri na wanarudisha wewe hujatembea tuliza komwe
@vero574 ай бұрын
Naenda uko na mimi pia
@vero574 ай бұрын
Huyu dada mrembo sana, haja jichumbua
@evaemil8563 ай бұрын
In any professional job, you are not supposed to give out your personal number.
@section8ight1743 ай бұрын
Jike Dume hili, NOT marriage material
@albinimichael13423 ай бұрын
Na shauri nyie mliofika huko ibeni Ivo vitu ambavyo mtaona vitatusaidia then mlete huku kutengeza ajira nyingi kwa watanzania
@SalvatoryMtunga3 ай бұрын
Annamusa acha kumwonea wivu huyo dada, si uache kumsikiliza kuliko kumtukana matusi bila sababu.
@annamussa1854 ай бұрын
Hiki kidada kijinga hiki,kwanza kifupi kama kinyeo chake sikipendi 😡kwanza unadharau sana ww na mabaya yakupate
@gallegalleson44273 ай бұрын
Usimtukane mie nampenda cheusi dawa
@francomkandawile85723 ай бұрын
Daaah kwanini unamtukana dada watu kiasi hicho? Mbona mimi sijaona kosa lake zaidi naona ni dada mwenye akili iliyofunguka, uwezo na ujasili, mimi nimempenda huyu dada, halafu hata kama humpendi kwanini umuombee mabaya, tena nakuambia kwa Jina la Yeau hayatampata hayo mabaya.
@irenemichael3 ай бұрын
😂😂😂😂khaa njaa kali
@happinessmtani76214 ай бұрын
Naomba mchongo
@annamussa1854 ай бұрын
Unakifua kipana kibaya,unanyonyesha vibabu mkorofi sura mbaya huna maisha ww Mshukuru Babu,kutwa Filter leo sura pana mfuuuu🌚
@esthersagara41173 ай бұрын
umejisikia tuu kumtukana mwenzako bila sababu aisee Mungu akusaidie na kukufundisha
@annamussa1853 ай бұрын
@@esthersagara4117 Nina maisha na nusu
@hafsasaid96663 ай бұрын
Akili hana chuki za bila sababu au wivu@@esthersagara4117
@janejoel24653 ай бұрын
Stress
@Mimi-wf7mb3 ай бұрын
Una wivu na zaidi una stress. Pole sana
@machozukumuda65964 ай бұрын
Yeah Mwambapa aje apa tumwone
@nkonoki79933 ай бұрын
She talks too much.
@section8ight1743 ай бұрын
Czechia is the name, only foreigners call it Czech Republic 😂
@queenmilan20243 ай бұрын
VISA SIKU HIZI WANATOA SCHENGEN VISA AMBAYO UTATEMBEA NCHI ZOTE ZA ULAYA.