MAISHA YA ICOME - NJE YA MITANDAO YA KIJAMII

  Рет қаралды 11,612

EBM SWAHILI

EBM SWAHILI

Күн бұрын

Пікірлер: 78
@PhiliminaPrimus
@PhiliminaPrimus Ай бұрын
Mungu akubariki Mr.EBM
@HanifaChalresy
@HanifaChalresy 4 ай бұрын
Kuna watu sio wachoyo mungu awatunze ebm barikiwa sana ❤️💪
@Kavrm-c8n
@Kavrm-c8n 2 ай бұрын
The mkaka was there akampa kazi 🎉🎉🎉
@sweetnasra3613
@sweetnasra3613 3 ай бұрын
Ila darling Mzungu siku akichange mind hafkirii anythin else ni anakuacha kama hakujuiiii , jst weka hii akiba
@nassorntandu4513
@nassorntandu4513 3 ай бұрын
Nimefaidika sana na interview yako, Icome na IBM. unawafundisha vijana wengi kujitambua
@debyqueen1
@debyqueen1 3 ай бұрын
Fact
@Mahene-w1l
@Mahene-w1l 4 ай бұрын
😊😂 Mahojiano mazuri na the Best experience
@FurahaNgatena
@FurahaNgatena 2 ай бұрын
icome sio bubu anafungukaga sana 😊😊
@edlumala9428
@edlumala9428 3 ай бұрын
Dada mnapata tabu na visa kwa kuwa hamna pesa kwenye accounts zenu personal, mbili hamna good travel history! Ukiwa na pesa imenyooka, unanyimwaje visa?
@shabansinga983
@shabansinga983 3 ай бұрын
❤Nice
@estherkeba24
@estherkeba24 4 ай бұрын
Sema majina yake ungeandika amna ata moja nlo elewa, na interview nzuri 🙏
@AnnaMsofe-y3k
@AnnaMsofe-y3k 3 ай бұрын
Your so bright from your brain ❤baby keep on
@elieshishamy9622
@elieshishamy9622 3 ай бұрын
Kwa kusema hali healthy nakubali hila kwa vyakula tema mate chini hakuna kama Africa
@AnnaMsofe-y3k
@AnnaMsofe-y3k 3 ай бұрын
Your really well taking keep on baby
@souksoukeventsandmarketing653
@souksoukeventsandmarketing653 4 ай бұрын
Roho mbaya 💯 well said
@souksoukeventsandmarketing653
@souksoukeventsandmarketing653 4 ай бұрын
Your beautiful and skin tone is on point
@graceandrew3988
@graceandrew3988 4 ай бұрын
Naomba nitofautiane na wewe kwenye vyakula nimebahatika kutembelea nchi kadhaa ulaya,sisi Afrika tuna vyakula vingi na varieties labda upande wa kuvipangilia na kula healthy.Kwanza wengi wao chakula chao kikuu mikate pia wenyewe baadhi yao ukiongea nao wanatamani vyakula vyetu na wanatuonea raha😂sisi Afrika tumebarikiwa ardhi na hali ya hewa nzuri tunaweza kulima varieties ya vyakula na original. Vya kwao unakuta sio original kihivyo..
@leemaccshaban52
@leemaccshaban52 3 ай бұрын
Nakubari maneno yako mie naishi ugaibuni sasa miaka 25😂
@hoseakipkemei2244
@hoseakipkemei2244 3 ай бұрын
Nakubaliana nawe vyakula vyetu ni vya hasili na vina virutubisho vingi.
@Mina.15
@Mina.15 3 ай бұрын
Mimi ndio mmoja wao I hated it American 🇺🇸 food 🤢 for 21 years
@Mina.15
@Mina.15 3 ай бұрын
@@hoseakipkemei2244Kweli huku ndiomaana maginjawa mengi
@irenenjeri6609
@irenenjeri6609 3 ай бұрын
Very true i leave INTHE NETHERLANDS 🇳🇱, and i can truly say that AFRICA we are very blessed with great foods.
@AnnaMsofe-y3k
@AnnaMsofe-y3k 3 ай бұрын
Well taking girl
@ShabaniSudi-d1x
@ShabaniSudi-d1x 4 ай бұрын
Very smart openly talking.
@nanija876
@nanija876 3 ай бұрын
Nampenda huyu dada yuko straight
@cutealaufy9508
@cutealaufy9508 2 ай бұрын
Hello IBM nina mdogo wangu anasomea nurse muhimbili sasa anatamani kufanya kazi nje sasa utamsaidia vipi ?
@witnessmallya5114
@witnessmallya5114 3 ай бұрын
Kwanin camera man amekaa kwenye mgongo wa host jaman
@Mina.15
@Mina.15 3 ай бұрын
Nimweusi saana 😂😂
@gidesbalunguza7152
@gidesbalunguza7152 4 ай бұрын
Mkuu wa kazi tunaomba interview na shabani mwampambe
@MartinLorri
@MartinLorri 4 ай бұрын
Dada ameponda sana wanaume wa kitanzania, mwanamke wa kitanzania tukiwalinganisha na wa kizungu tutegemee wakitanzania wakawazidi?
@omarali797
@omarali797 3 ай бұрын
Sasa unasema visa ni taabu kupata, lakini Uturuki na China ni rahisi, kwanini niende czech. Kuhusu wizi, sorry dada huna unacho kijuwa, hao wa cezech, east European ni wizi wakutajika. Ama kuhusu vyakula, nyamaza, njoo Zanzibar. Hapa UK hata hao watu weupe European wanapenda vyakula vya kiaafrika. Kuhusu kazi, unadanganya watu. Mimi nafanya kazi na watu wa czech. Mume, Mke na watoto wawili wanafanya kazi na mimi. Wananieleza kwamba ajira hakuna. Hushangaa ninapowaambia kwamba nchi yetu imefaidika sana na serikali yao kwa kuwasomesha watu wetu na Afrika Kwa ujumla.
@leemaccshaban52
@leemaccshaban52 3 ай бұрын
Kuusu chakula umekosea uku wanajua kupika lakini chakula yetu nimikate tu kitu kuna vyakula ala sisi atujue kupandisha jinsi ya kula apa wanalima viazi ulaya tu 😂
@Montana12-v2c
@Montana12-v2c 3 ай бұрын
Tatizo la huyu dada ana over react Sana kwenye maongezi yakepaka haeleweki 😂😂😂😂
@tradamus4158
@tradamus4158 4 ай бұрын
tatizo sio wanaume tu hata wanawake pia tabia zenu za ajabu sana kwa hiyo msijione nyie mko better ndio maana hata mwanaume pia akipata mzungu hato taka mwanamke mweusi saabu ya tabia zenu zilivyo kwa hiyo wacha kujiona nyie mkopoa kushinda wenzenu sswa
@francomkandawile8572
@francomkandawile8572 3 ай бұрын
Nilichokiona dada yangu anaongea ukweli unaouma ila niukweli, jamani tujifunze kumeza dawa hata kama ni chungu. Dada i wish ungekuwa dada yangu, may be we share the same characteristics. Napenda ujasili wako.
@kasangagregory5747
@kasangagregory5747 3 ай бұрын
tunazaliana kama mbwa tutatiana mimba kama mbwa LUGHA JAMANI LUGHA TUSIJIDOGOSHE SANA JAMANI
@ZubedaPaulo
@ZubedaPaulo 4 ай бұрын
Hata mimo nimetapeliwa pia nklimtumia ebm meseji istaram ila sikjjibiwa pia nklijitahidi kutafuta namba yake ila sikufanikiwa mpaka ni😭😭😭mekata tamaa
@ZubedaPaulo
@ZubedaPaulo 4 ай бұрын
Ebm kama utaona comment yangu naomba msada wako nakuomba najua haunisaidii bure
@ms_teeonly
@ms_teeonly 3 ай бұрын
Check ndo nchi gani😂
@samwelnaal7952
@samwelnaal7952 3 ай бұрын
Czech Republic....iko Europe
@kwambokamkisii3870
@kwambokamkisii3870 3 ай бұрын
sema ana matusi matusi na ujinga mwingi
@DeusdedithKwai
@DeusdedithKwai 4 ай бұрын
I come ven asante umeongea vema naomba nijue nkupataje
@AgredaMoyo
@AgredaMoyo 4 ай бұрын
Umetambulishwa na kidole kipi hicho😂
@kwisa4899
@kwisa4899 3 ай бұрын
Huyu si upinde
@annamussa185
@annamussa185 4 ай бұрын
Nenda vijijini huko wanakodisha Baiskeri na wanarudisha wewe hujatembea tuliza komwe
@vero57
@vero57 4 ай бұрын
Naenda uko na mimi pia
@vero57
@vero57 4 ай бұрын
Huyu dada mrembo sana, haja jichumbua
@evaemil856
@evaemil856 3 ай бұрын
In any professional job, you are not supposed to give out your personal number.
@section8ight174
@section8ight174 3 ай бұрын
Jike Dume hili, NOT marriage material
@albinimichael1342
@albinimichael1342 3 ай бұрын
Na shauri nyie mliofika huko ibeni Ivo vitu ambavyo mtaona vitatusaidia then mlete huku kutengeza ajira nyingi kwa watanzania
@SalvatoryMtunga
@SalvatoryMtunga 3 ай бұрын
Annamusa acha kumwonea wivu huyo dada, si uache kumsikiliza kuliko kumtukana matusi bila sababu.
@annamussa185
@annamussa185 4 ай бұрын
Hiki kidada kijinga hiki,kwanza kifupi kama kinyeo chake sikipendi 😡kwanza unadharau sana ww na mabaya yakupate
@gallegalleson4427
@gallegalleson4427 3 ай бұрын
Usimtukane mie nampenda cheusi dawa
@francomkandawile8572
@francomkandawile8572 3 ай бұрын
Daaah kwanini unamtukana dada watu kiasi hicho? Mbona mimi sijaona kosa lake zaidi naona ni dada mwenye akili iliyofunguka, uwezo na ujasili, mimi nimempenda huyu dada, halafu hata kama humpendi kwanini umuombee mabaya, tena nakuambia kwa Jina la Yeau hayatampata hayo mabaya.
@irenemichael
@irenemichael 3 ай бұрын
😂😂😂😂khaa njaa kali
@happinessmtani7621
@happinessmtani7621 4 ай бұрын
Naomba mchongo
@annamussa185
@annamussa185 4 ай бұрын
Unakifua kipana kibaya,unanyonyesha vibabu mkorofi sura mbaya huna maisha ww Mshukuru Babu,kutwa Filter leo sura pana mfuuuu🌚
@esthersagara4117
@esthersagara4117 3 ай бұрын
umejisikia tuu kumtukana mwenzako bila sababu aisee Mungu akusaidie na kukufundisha
@annamussa185
@annamussa185 3 ай бұрын
@@esthersagara4117 Nina maisha na nusu
@hafsasaid9666
@hafsasaid9666 3 ай бұрын
Akili hana chuki za bila sababu au wivu​@@esthersagara4117
@janejoel2465
@janejoel2465 3 ай бұрын
Stress
@Mimi-wf7mb
@Mimi-wf7mb 3 ай бұрын
Una wivu na zaidi una stress. Pole sana
@machozukumuda6596
@machozukumuda6596 4 ай бұрын
Yeah Mwambapa aje apa tumwone
@nkonoki7993
@nkonoki7993 3 ай бұрын
She talks too much.
@section8ight174
@section8ight174 3 ай бұрын
Czechia is the name, only foreigners call it Czech Republic 😂
@queenmilan2024
@queenmilan2024 3 ай бұрын
VISA SIKU HIZI WANATOA SCHENGEN VISA AMBAYO UTATEMBEA NCHI ZOTE ZA ULAYA.
@getrudemkinga793
@getrudemkinga793 3 ай бұрын
Hiyo schengen huipati kirahisi.
@ZubedaPaulo
@ZubedaPaulo 4 ай бұрын
Ebm kama utaona comment yangu naomba msada wako nakuomba najua haunisaidii bure
MAISHA YA ICOME NJE YA MITANDAO (PART 1)
30:00
EBM SWAHILI
Рет қаралды 716
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН
SHUHUDA: MAMBO YA KUTISHA ALIYO PITIA EMMANUEL KUTOKA MOROGORO
1:54:31
Reality of Christ Church
Рет қаралды 421 М.
Kujiunga na jeshi Jeshi la Marekani | Taratibu na faida zake
12:29
MAMBO 4 YANAYOSHIKILIA KESHO YAKO - JOEL NANAUKA
7:44
Joel Nanauka
Рет қаралды 26 М.
Speech to Mo Scholars, Mo Dewji Foundation
18:11
Mohammed Dewji
Рет қаралды 6 М.
AMUA UNACHOTAKA LEO - JOEL NANAUKA
17:14
Joel Nanauka
Рет қаралды 114 М.
Mama wa Mitindo - Asya Khamsin | Maisha ya Ughaibuni na Mitindo
19:49
MAISHA YA ICOME NJE YA MITANDAO (PART 2)
30:00
EBM SWAHILI
Рет қаралды 493