I have lost all my parents and as well this has really hit me. I loved the songs ,I have been encouraged always . God takes what is best. Friends , family and fans be comforted in the Lord.
@jonathanomanga22342 ай бұрын
Pole sana kwa jamii yote ya zabron singers na ulimwengu wote kwa kupotesa mmoja wetu wa kiroho katika kristo
@millicentbuka2552 ай бұрын
Oh Lord, nisaidie Kila wakati niwe tayari kwa ajili ya safari siku zangu zangu zikifika. Poleni sana wapendwa
@janethdavidsanga59992 ай бұрын
Amen😭
@TuyisengeClaudette-f2e2 ай бұрын
😭😭😭
@TuyisengeClaudette-f2e2 ай бұрын
😭😭😭
@MaryGesare-r1j2 ай бұрын
Poleni sana mmempotesa shujaa mungu awape nguvu na tumaini mtakutani naye ni kulala amelala kwa mungu amen kutoka Kenya.
@Agnes-rl8co2 ай бұрын
Poleni sana ndugu zangu.mungu awape moyo kwa kumpoteza shujaa.poleni sana.
@agesag.m24762 ай бұрын
Poleni sana , Mungu awatie nguvu Familia, Zablon Singers na Marafiki.
@carolinemasongo98962 ай бұрын
Poleni sana familia ya zablon singers mungu awatie nguvu wakati huu mgumu
@treasureforashes34972 ай бұрын
I perceive God loved him too much and preserved him from oncomingdownfall .... il miss him iv never felt soo much peace and joy ,the world will consider me a sycophant, he's a saint
@yucabethdavis40722 ай бұрын
Poleni wana ZABLON Singers. My condolences 💐💐💐💐 from USA 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸😭😭😭😭😭😭😭. It’s indeed sad to loss such a servant of God who had given his life for God’s service through your ministry. 😭😭😭😭😭😭🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
@ambwenembukwaofficial48132 ай бұрын
Mungu Aliye Hai na Mnayemtumkia Awatie Nguvu Sana kundi La zabron mumekuwa Baraka Sana Kwa Taifa Letu na Mataifa Yote
@NorahShirima-vj8zn2 ай бұрын
Poleni sana familia ya zabron Mungu awatie nguvu😢
@DamarisLangat2 ай бұрын
Oh my God 😭😭😭utusaidie Kwa hii safari akuna mtu hatajua siku yake ni mungu Tu ndio anajua siku yetu😭😭😭😭
@GiftiLauti2 ай бұрын
Mungu anasababu yakuamua kumpumzisha kibinadamu ningumu kujua ya sirini,pole kwa familia
@julitaopata2 ай бұрын
I am very sorry for that ooh 😢😢 l am from Kenya Nawa tia nguvu sana
@ElizabethMollel-vn9qz2 ай бұрын
Poleni sana Mungu awatie nguvu Apumzike kwa amani
@Riziki-q6k2 ай бұрын
Poleni sana kwa mumpoteza shujaaa .....Mungu wa mbinguni awafariji moyo yenu.
@jovithagervazejovtha2 ай бұрын
Poleni sana wana familia kwa kupoteza ndugu yenu Mungu awatie nguvu😭😭
@marthanyasimi49922 ай бұрын
Poleni
@rosengendo52952 ай бұрын
Poleni sana...Mungu awafarji na awatie nguvu kwa wakati huu mgumu
@frankmosha58542 ай бұрын
Poleni sana wandungu
@HshjsjsjJdjjsksk2 ай бұрын
Jina la yesu libarikiwe May God take over everything for his family in this difficult time
@Aisha-x5k2 ай бұрын
Pole zangu Kwa zabron singers..may his soul rest in peace 😢
@michaelokenye2 ай бұрын
Pole sana ndugu zangu kwa kumpoteza rafiki wa karibu sana
@PriscaFlyton2 ай бұрын
😭😭😭😭Inauma Sana pole sana family
@REHEMAKANYONYI-nc7wy2 ай бұрын
Pole family mungu ametoa na mungu ametwaa jina la bwana libarikiwe ,
@ericamalamla15232 ай бұрын
Poleni sana Bwana Yesu akawape faraja Familia yoote ya Zabroni Singers.
@WilliceIbrahim2 ай бұрын
Poleni sana wapendwa wangu kwa msiba huu mzito,Mungu amlaze mahali pema peponi
@TedyCostantine2 ай бұрын
Polen wana familia wote ndug jamaa na marafiki mungu amulaze mahala pema pepon
@mahonataniymayunga2 ай бұрын
Daaaaaaah poleni wapendwa wa Mungu awape nguvu
@sonayakenya58162 ай бұрын
Kutoka Kenya twawapa pole zetu the zabron singer's
@zlpporahgechemba31112 ай бұрын
Poleni sana wanafamilia ya zabron singers
@zenobiagenuine5372 ай бұрын
Nothing to say but so sad😭Man of God,May his soul rest in eternal peace😢
@ElisonguoShayo-hb2gs2 ай бұрын
Inauma ndugu zangu but ameshatutoka Michael. Poleni sana Zabron Singers
@brigidwanyonyi2 ай бұрын
Poleni sana familia ya dungu yetu ,mungu awtie nguvu wakati huu,
@JacksonMutinda-jw5qw2 ай бұрын
Pole zangu kwa waimbaji wa zabron kumpoteza mmoja wenu,,mungu aieke roho yke pema
@ElishaMasalu2 ай бұрын
Poleni saana jaman MUNGU awatie nguvu katika wakati huu mugumu jaman.
@ii-bt3yj2 ай бұрын
Ni kama hakurudi kutoka operation 😢poleni wanazabron, very sad.mungu awafariji
@JuliethTarimo-xs8cj2 ай бұрын
Poleni sana ndugu mungu awatie ndugu
@GiftiLauti2 ай бұрын
Aliendelea kumlilia mungu wake,mungu ampumzishe kwa amani mtumish wake,mungu ndo anajua sababu ya kuamua kumpumzisha
@rachelrakel27342 ай бұрын
Heartfelt condolences 😢may he rest in peace 🕊️🕊️🕊️
@prittsmarkmedia90372 ай бұрын
This is very sad. May God comfort the whole family.
@nancywairish24882 ай бұрын
Poleni sana Zabron singers.
@AgnesKalinga-ku5se2 ай бұрын
This is so heartbreaking 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@mercybetty76762 ай бұрын
Pole sana kwa familia na kundi la zabron singers
@evansonkoba18322 ай бұрын
Poleni kwa msiba huo. Mungu awafariji kikweli. Tutamkosa sana tunaowafuatilia waimbaji hao.
@JudithAoko-jd8jh2 ай бұрын
So sad..May the Lord our God be with you in this difficult moment
@GilbertRugango2 ай бұрын
Poleni sana jamani,Mungu awape moyo kwa huyu sujaa ambaye tumempoteza
@barackpyuza-kg8rt2 ай бұрын
Mungu awatie nguvu tu wapendwa safari yetu ni moja tu
@BwireOuma2 ай бұрын
Take haert may it sole rest in peace
@mutuag61542 ай бұрын
Poleni...mungu awatie nguvu
@alexmwalingo50202 ай бұрын
Poleni sana wote Zabron singer
@sophiamakani61332 ай бұрын
Poleni sana familia Mungu awafariji 😢😢
@HappyMalili2 ай бұрын
poleni sana watumishi wa Mungu
@GiftiLauti2 ай бұрын
😢😢
@mamasia97412 ай бұрын
Kazi ya mungu haina makosa pumzika maiko pumzika mtumish wa mungu. Vita umevipiga mwendo umeumaliza nenda kamanda wa yesu tutai mis sana saut yako brother
@angelbarasayedi47162 ай бұрын
Pole sana kwaya ya zablon Mungu awatie nguvu, pole sana familia yake YESU awe faraja kwenu
@ReginaUshaky2 ай бұрын
Poleni sana tulimpenda sana .lakini tuseme Nini zaidi ya kumwambia mungu asante
@michaelmwita2 ай бұрын
Very sad MUNGU amweke mahali pema peponi mtumishi wa MUNGU
@Fridahthinji-sm2hh2 ай бұрын
Poleni sana
@JasiminJasimin-i5l2 ай бұрын
Poleni sana mungu awatie nguvu 💔💔💔😭😭😭mungu tupe mwisho mwema
@FestusMutua-qd7yr2 ай бұрын
Pole sana Mungu yu pamoja nanyi
@DavidOmurwa2 ай бұрын
Pole sana david from kenya
@LinusYohana2 ай бұрын
Poleni sana naMwenyezi Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu chakumpoteza ndugu yetu 😭😭😭
@VenanceYona2 ай бұрын
Polen San, Mungu awe faraja yenu
@PaulineGloria-kx9zy2 ай бұрын
Poleni sana😢😢😢😢😢😢😢😢 hata mimi siamini lakini Mungu ailaze roho yake pema peponi pia kwa familia Poleni sana
@MactildaKwagilwa2 ай бұрын
Poleni sana familia
@telesphorakalembo69192 ай бұрын
Poleni sana jamani
@Jonathankusundwa2 ай бұрын
Poleni sana may famry ni ngumu sana ila poleni sana tena
@youcanbankonmone2 ай бұрын
My heartfelt condolence to the family for the loss
@AnnKariuki-r8y2 ай бұрын
May the lord comfort the family 😢😢😢😢
@mercykendi78122 ай бұрын
I can't believe it 😭😭😭r.i.p brother Joseph
@GladnessMushi-r3b2 ай бұрын
Hakika kapotea shujaa ila kaz ya mungu Haina makosa sisi ni nani tupinge kusudi la mungu ila mungu awape uvumilivu na mda wa kuzidi kumwonbea
@LucasMwamba-o8g2 ай бұрын
Dah😭😭😭😭😭😭 R I P, poleni sana Zablon family.
@lydianasike23022 ай бұрын
Makiwa kwa Familia ya mwimbaji wetu hodari.
@HappyShirima-k9t2 ай бұрын
Poleni sana jaman daaah I can't explain
@rhodalameck57222 ай бұрын
Yaaan mwandishi unauliza swali moja tu mama wa watu anakujibu unauliza tena unamchosha
@KasokiBaseme2 ай бұрын
Pole sana kabisa .Mungu awe mufariji wetu
@geoffreyobungu69512 ай бұрын
Very sad indeed. May his soul rest in eternal peace
@ReginaRugendo2 ай бұрын
Ooh sorry kifo hakina huruma rest in peace 🙏 marco
@BoniphaceMkola2 ай бұрын
Rip
@JescaMalisa-v1w2 ай бұрын
Dah
@norahmaritim2 ай бұрын
Ni uchungu sana
@BahameJohn2 ай бұрын
Da!
@VeronikaMatheo2 ай бұрын
Polen San mungu awe pamoja nanyi
@Christine0452 ай бұрын
Rafiki kafanana marco😢
@bulugunhandi2 ай бұрын
Inauma sana
@Slay-o6-r6e2 ай бұрын
May his soul rest in peace
@Ahmed-r6j2z2 ай бұрын
Poleni😢
@JosephThomas-k5y2 ай бұрын
Polen sana
@LydiaMarendi-oj4ic2 ай бұрын
May God comfort the family
@purityundisa41022 ай бұрын
Good people don't stay long 😢..but why...💔
@KilimbaJisandu-w1n2 ай бұрын
Poleni San 😢
@AmAm-xt1og2 ай бұрын
Poleni sana jaman Mungu awatie nguvu 😭😭😭
@salmakirundu20762 ай бұрын
Mbn maswali yanajirudia acheni bhana
@WemaeliMmbaga2 ай бұрын
Polen Sana Wana kikundi pamoja na familia Bwana ametoa na ametwaa jinalake lihimidiwe😭😭😭