Da Shenna Upewe Mauwa Yako Jaman🎉🎉🎉🎉, Asante Kwa Kutuletea Jack
@Jeff_Tz7 ай бұрын
Culture shock umesahau chakula jack😅😅😅😅😅, Allah akusaidie ufike mbali Hollywood. Kama Lupita kafika na ww Utafika tu In Shaa Allah
@GetrudaMamiro7 ай бұрын
Huwa nafuatilia channel ya Jack yuko vizuri sana. Hongereni sana kwa kazi zenu nzuri.
@ngwakamongateko86962 ай бұрын
Umejibu vizuri sana . Kila mtu ana- mtazamo wake. Huwezi kuzuia mawazo ya binadamu. You are so positive
@damariszuckschwert94897 ай бұрын
The guy is very smart. Keep going kijana.
@happinessclement60667 ай бұрын
Msukuma wa kahama all the best my home boy
@joycebenjamin60177 ай бұрын
Namfuatilia huyu msukuma wa kahama yupo vizuri.
@MadinaMalk-yd6kp7 ай бұрын
Nice interview da shena na kaka jack💐
@PureSoul-rf4xd7 ай бұрын
Kweli channel yake nzuri sana,usikate tamaa,mpaka ufikie ndoto yako ya kuwa mwingizaji wakimataifa tena mtanzania.
@tinnermosha69807 ай бұрын
Huyu Dogo atafika mbali yuko smart sana🎉🎉
@sekikigosi82657 ай бұрын
Jmn Shena ushungi unakupendeza balaa😂🎉
@williampaul87566 ай бұрын
Kahama to the top
@ayoubjosephat7237 ай бұрын
JACK NIMEMFATILIA KWA MUDA SANAA KANIINSIPIRE SANA
@jaffjeff69126 ай бұрын
Uko date ipi mwamba
@Lizzyktd7 ай бұрын
Safi kabisa 🎉🎉🎉🎉
@giboncebarnabas96677 ай бұрын
Nice to have Jack from US here
@meshackchubwa7 ай бұрын
naitwa meshack niko kahama nyasubi nakukubali sana kwaunachokifanya
@sekikigosi82657 ай бұрын
Dogo utafika mbali unapambana🎉
@sekikigosi82657 ай бұрын
Shena niko online dating napambana pia nakutana na watu mbalimbali na wengine ni matapeli ila wengine wamenipa ahadi ya kuja tz.nasubiria ila pia naona naitaji kupiga picha nzuri😂😂😂😂
@ayoubjosephat7237 ай бұрын
Dar na mimi nilimpata mmoja nishamaliza kila kitu anasema anakuja mwezi fulani mwaka huu sijui kwel😂 from uk
@sekikigosi82657 ай бұрын
Tuendelee kusubiri.
@tatumzelela55157 ай бұрын
Mimi naona wazungu wengi wanazarau sana yaani najalibu kuchati nao naenda location napiga picha nzuri lkn hawana ushirikiano kabisa alafu wengi wanakuja wazee kuanzia miaka 55-78 lakini vijana kuanzia miaka 25-35 hawana ata mpango yaani watakagua profile mbaka so poa mm nimeenda mbaka kwenye daring ya Muslim wao hawana shida wanakuja lakini mimi kinachonishinda kuoa wake wengi kila nae chati nae ananiambia nikawe mke wa pili au watatu icho kitu sikiwezi lakini naomba Mungu niendelee kujitafuta naamini nikikosa ndoa naamini mm majuu ntaenda tuu yaani iwe mvua au jua kikubwa uzima naamini majuu ntaenda tuu naenda kuwa na Subra naamini kunanchi naweza kwenda nikiwa na passport ila ukishafika huko hapo unaweza gongewa viza ukifika airport mfano wa izo nchi kama Malaysia,singerpore n.k naamini ntafika inshallah 🤲
@jaffjeff69126 ай бұрын
In Shaa Allah kuwa na subira utampata tu
@jaffjeff69126 ай бұрын
@Ayoub atakuja tu pray more
@dn.n49837 ай бұрын
Ulaya pa ngumu watu wasikiria hela ni upepo ni kutoa jasho kweli kweli
@mpingasaidi44937 ай бұрын
Uko vizuri
@ManyotaSaidi-lg1um4 ай бұрын
Jac namfatilia mda sana
@jamilaathumani54816 ай бұрын
Usikate tamaa kijana bcs life is not easily and is not like u want..so unaongeza experience yamaisha kwamana ndo unakuwa kwenye maisha utafika mbali kikubwa kupambana na ndoto zako
@ImeldaIsdory7 ай бұрын
Watu wengine siyo wakweli kwa hiyo hawaamini kama hakuna waliyo wakweli! Wanadhani maelezo yanayopatikana online yanakuwa siyo ya kuaminika! Tubadilike na kujifunza kuwa waaminifu na kuweka taarifa sahihi kwenye profile kusudi kupata mwenza atakayekubaliana na hizo taarifa.
@juliethkatabwa53067 ай бұрын
Beatrice kila MTU Ana passion yake. Niffer sio jack
@OfficialDatingAssistance7 ай бұрын
Maneno mazuri 📌😍
@kevinmary71297 ай бұрын
Best interview of all the time @shena @jackwaUSA❤❤❤❤❤❤❤
@maniamba.tz_6 ай бұрын
Jack yuko vizuri sana
@abdullahaljabri1107 ай бұрын
Na ndio tatizo kubwà wanawake wa Tanzania kwenye kujitambua kama tabyaa kwenye mahusiano na mwanaume kutoka njee kufikiria tabiya zitakuwa sawa natabiya zakibongo lazimaa ubadilike ,usiweke mawazo kudhani Dunia inafanana tabyaa kutakaa kuladhimiza afatee tabiya ya kkoo au manzesee mkawezanaa ,
@aajabbinmagosh55097 ай бұрын
Shehna ❤❤
@adammjomba58146 ай бұрын
Kuhusu hao matapeli ktk dating matapeli WaPo kibao WaPo wana Nigeria hao ndio Matapeli wa mapenzi linaweka likaweka kichwa cha mwanamke kumbe janaume linakuambia nitumie kitu KIDOGO nikanunue labda nguo au nikasuke nywele nk nk kumbe NI jizi tu
@aloycemabula86495 ай бұрын
Very good interview
@jessicamwasandube9447 ай бұрын
Kijana mdogo akili kubwa, keep it up utafika mbali
@zainab82517 ай бұрын
Mimi leo wakwanza au
@gasparlubaga58667 ай бұрын
Jacky unatakiwa uanze kuwatafuta wasanii wakubwa utengeneze connection nao kwanza,hasa African American,kama wakina Will Smith,Joe Hatt nakadhalika
@veronicankhwazi79546 ай бұрын
Mmmmmm
@fj83172 ай бұрын
Unafikiri ni rahisi kama kukutana na bambo na kingwendu 😊😅