MAJAMBAZI 3 WAUAWA GOBA DSM WAKIRUSHIANA RISASI NA POLISI

  Рет қаралды 2,464,016

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

MAJAMBAZI 3 WAUAWA GOBA WAKIRUSHIANA RISASI NA POLISI
Majambazi watatu wamefariki kufuatia majibizano ya risasi baina ya askari wa Jeshi la Polisi wakati wakidhibitiwa dhidi ya jaribio la uvamizi katika duka la Skymart lililopo Goba, Tegeta A, Wilaya ya Kipolisi Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Kamanda wa Polisi Kanda ya Maalum ya Dar es Salaam, ACP Jumanne Muliro amesema majambazi hao walikuwa wanne wakiwa na bunduki mbili zenye jumla ya risasi 17 pamoja na pikipiki, ambapo askari polisi waliwakuta wakiwa kwenye hatua za mwisho kufanya ujambazi.
Amesema katika tukio hilo, askari mwenye namba F3625 Sajenti Eliamini, alijeruhiwa vibaya na majambaz hao ambao watatu kati yao nao walijeruhiwa na kufariki wakati wakikimbizwa hospitali.
Wasafi Digital imefika katika Zahanati ya Polisi Oysterbay, Kinondoni ambapo askari huyo alitejeruhiwa anapatiwa matibabu ambapo Mrakibu wa Polisi Zahanati ya Polisi Oysterbay, Rukia Mbwambo, amesema askari huyo anaendelea vizuri na matibabu,
Hata hivyo, Kamanda Muliro amesema, uchunguzi wa awali umegundulika kuwa miongoni mwa majambazi hao ni majambazi sugu ambao waishawahi kufikishwa mahakamani kwa makosa mbalimbalimbali katika nyakati tofauti.
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #KamandaMuliro #wasafifm

Пікірлер: 674
@bennyjohn1412
@bennyjohn1412 2 жыл бұрын
Askari shujaa mungu yupo pamoja nawe
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 2 жыл бұрын
Ao police wa Tanzania 🇹🇿 amna lolote atakama sio jambazi unaambiwa jambazi ata kituo cha police unauliwa uwe jambazi sio jambazi unakufa siku yatakukuta wewe na mashujaa wako
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 2 жыл бұрын
@@rogerabdallah439 skuelewi..!!
@mathayokihwelo7390
@mathayokihwelo7390 2 жыл бұрын
@@rogerabdallah439 kwahiyo kumbe waliokufa sio majambazi kk..? hii nchi ngumu sana,
@elishamichael9500
@elishamichael9500 2 жыл бұрын
@@rogerabdallah439inaonekana na wewe jambazi
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 2 жыл бұрын
@@mathayokihwelo7390 Wala nchi haina shida...watu wenyewe ndo shida nchi yetu nzuri sanaaaaa!!!
@meshackelijah3516
@meshackelijah3516 2 жыл бұрын
Kazi nzuri kamanda mulilo rudi mwanza tume kumiss baba
@ramsdenjames9782
@ramsdenjames9782 2 жыл бұрын
Hongera sana kamanda mulilo tangu ukiwa Mwanza ulikua unafanya vizuri sana Mungu akisaidie sana kuongoza jeshi la polisi
@emmanuelmachibya2034
@emmanuelmachibya2034 2 жыл бұрын
Good job Jeshi la Polisi,hii imfikie mama kwa kazi nzuri mnayoifanya na Mungu awatie Nguvu.
@ramadhanimtetu7246
@ramadhanimtetu7246 2 жыл бұрын
Pole sana Askari wetu Uliepata Majeraha ww ndio Shujaaa wa Taifa letu Mungu Akuponye Aamin
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 2 жыл бұрын
Bravo .Pole kamanda Herryamin.Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi ili uweze kurudi ktk majukumu ya Magumu ya kulinda raia na Mali zao .
@JumaRashidi-qu6nv
@JumaRashidi-qu6nv 2 жыл бұрын
Ukisikia jeshi maaanake ake ndio hiyo,anzeni pia kwa panya rodi wote wauwawe,kwakua hao ndiowannakuja kua majambazi,hongera jesh
@saitawilson7307
@saitawilson7307 2 жыл бұрын
Pole Sana Askari wetu .tunakuombea mungu akuponye
@samwelhechei8537
@samwelhechei8537 2 жыл бұрын
Hongereni sana askari, Mungu amponye huyo askari
@TALLUBOY
@TALLUBOY 2 жыл бұрын
Safi sana jeshi lapolice Kwa kufanya kazi mzul hindiyo Serikal tunayo itaka sisi RAIYA wake
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Subuhanallah mtihani poleni jeshi LA polisi Mungu amponye Askali aliejeliuwa
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 2 жыл бұрын
Wamevuna walicho kipanda, pole Askari, pongezi kwa jeshi letu la polic.
@marympango9247
@marympango9247 2 жыл бұрын
Ahsanteni...askar wetu .mungu awalindee.....jmn!!!
@geofreykalo6599
@geofreykalo6599 2 жыл бұрын
Mnaona mathara ya kumwachia mtuhumiwa wa uhalifu anakuja Tena kufanya uhalifu chanzo ni rushwa tu mtu anaachiwa anaendelea na kazi zake
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 2 жыл бұрын
Mungu awabariki jeshi la polisi Taifa hili lifikirie mara mbili namna ya kuongezwa mishahara jamani wana hali ngumu eee3
@issakawaya8315
@issakawaya8315 2 жыл бұрын
Pole jeshi letu
@om-gamba8011
@om-gamba8011 2 жыл бұрын
Salute sana kwa makamanda Lkn pole sana kamanda aliyepata majereha,hiyo nguvu kubwa izidi kitumika tena kwa sana Kamanda J4 salute sana
@nindwachaya5020
@nindwachaya5020 2 жыл бұрын
Safi sana nalipongeza jeshi la polisi mmefanya kazi nzuri nzuri sana kabisa binafisi nimefrahi kwa kazi mliyoifanya..nashindwa niseme nini nachukua vitendo vya aina yoyote ya uharibifu hakika sote tuwe wazarendo tusiliache jeshi kama jeshi tushiriki sote 🙏
@josephjohnmagesa8256
@josephjohnmagesa8256 2 жыл бұрын
Mungu amponye ndugu yetu askari aliejeuliwa 👏
@allanuslwena8585
@allanuslwena8585 2 жыл бұрын
Kamanda Mliro biga kazi sawa sana. Mungu akulinde. Hao ni wahujumu uchumi wasiachiwe tafadhari.
@iddiali8057
@iddiali8057 2 жыл бұрын
Hongera sana Kwa PT .ASKARI APOE KWA HARAKA. BRAVO.
@fadhilaiddi535
@fadhilaiddi535 2 жыл бұрын
Kazi nzuri askari wetu,kwale walio na majeraha mungu awaponye kwauwezo wake amiin 🙏.
@NegiresJeremiahMolely
@NegiresJeremiahMolely 5 ай бұрын
I'm Hongere Kwa kazi nzuri sana ulio Fanya
@claudiangowi9628
@claudiangowi9628 2 жыл бұрын
Kazi nzuri kamanda. Mungu azidi kuilinda nchi yetu
@tungarazalucas1478
@tungarazalucas1478 2 жыл бұрын
Kazi nzuri sana nawapongeza ufike wakati maaskari wanaokuwa kwenye mapambano na majambazi basi iwepo motisha tuwache maneno matupu
@puritynduki6188
@puritynduki6188 2 жыл бұрын
Kazi nzuri Sana Kwa askari wetu wenye wamepoteza huai wao poleni Sana Kwa askari
@dottodennis7669
@dottodennis7669 2 жыл бұрын
Pole sana kwa Askari wetu. Hongera sana Jeshi letu la police kwa kazi nzuri
@rashidmohammed4887
@rashidmohammed4887 2 жыл бұрын
Safi sana makamanda wetu. Mungu awaongezee nguvu zaidi
@agnesmapunda5242
@agnesmapunda5242 2 жыл бұрын
Ahsanten askari wetu! Mungu awatie nguvu na awalinde
@angelicamichael1750
@angelicamichael1750 2 жыл бұрын
Hongereni police wetu kazi nzuri sana.👏👏👏👏
@basumaadam2686
@basumaadam2686 2 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akuponye haraka shujaa wetu kamanda uendelee kutupambania wananchi Mana tunateseka sana na hao majambazi ,. Hongera sana jeshi la polisi💯💪💪 , Tanzania nchi yangu ❤️
@dominicjulius3108
@dominicjulius3108 2 жыл бұрын
Ongereni Kwa kazi nzuri na pole Kwa shujaa mwendelee kusimamia haki askali wetu
@pastorcarolicarlostokunmbo826
@pastorcarolicarlostokunmbo826 2 жыл бұрын
Askari wa Tanzania ni hodari sana.i am proud of tanzania polisi.Big up tuwaunge mkono.naangalia kutoka Nigeria.i feel good for you guys.
@zakayojose6116
@zakayojose6116 2 жыл бұрын
Mungu amlinde askari wetu Mr eliamin matibabu njema
@JACKSONJASSON-xz6jo
@JACKSONJASSON-xz6jo 5 ай бұрын
Pongezi kwa jeshi la police kazi nzuri
@arafakiloli749
@arafakiloli749 2 жыл бұрын
Alhamdulillah Allah kamnusuru askari wetu..Allah ampe shifaa ya haraka.
@josephineariga438
@josephineariga438 2 жыл бұрын
BRAVO Police Team. You are doing 👍 👍 👍 👍 👍 good work. Thank you.
@mathayocharles5449
@mathayocharles5449 2 жыл бұрын
Hongeren makamanda wetu. Pasipo nyie sisi nibule kitendo hatuna maisha bila ninyi.🙏🙏
@sarahmgaya4870
@sarahmgaya4870 2 жыл бұрын
Pole sana askari wetu ulie jeruhiwa Mungu akupe wepesi upone halaka na hongera kwa kazi nzuri
@mariamm2724
@mariamm2724 2 жыл бұрын
Hongeren kwa kazi nzuri askari.wetu mungu awasimamie katika kazi zenu
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 2 жыл бұрын
Mungu aendelee kuwabariki askari wetu kwa kufanya kazi kwa weledi na uadilifu mkubwa.pole kwa majeruhi.
@mariamtepa1740
@mariamtepa1740 2 жыл бұрын
Mungu amponye askati wetu. Na maaskari wengine Hongereni sana ka kazi mloifanya . Mungu azd kuwa konga yenu
@eunicemaganga4350
@eunicemaganga4350 2 жыл бұрын
Mungu amponye askari wetu
@sesiliajohn502
@sesiliajohn502 2 жыл бұрын
Pole kamanda wetu Mungu atakuponya
@khadijahomankweliyamjahaya7421
@khadijahomankweliyamjahaya7421 2 жыл бұрын
Bora walivo kufa , pole sana askari uliejeruhiwa mungu akuponye ' na hongereni jeshi letu kazi mzuri
@joshuanyonyi3313
@joshuanyonyi3313 2 жыл бұрын
Haya mambo Kipindi JPM tulishasahau Yanarudi.. ongereni Jeshi la Polisi Muhenzi JPM Kwa vitendo
@subirajohn728
@subirajohn728 2 жыл бұрын
Kazi nzuri Kamanda Mungu awalinde hawa wezi waishe kabisa!
@GMD820
@GMD820 2 жыл бұрын
Yani mnapenda kwenda kuchukua kile Kiko tayari hamjui jinsi watu tunateseka uku nje kufeni kbsa ata tukibaku wanawake pekee yetu sio mbaya qwann uibe??!!
@hosannachristianoutreachmi5685
@hosannachristianoutreachmi5685 2 жыл бұрын
Pore sana Askari wetu shujaa,Tunakuombea sana uponyaji wa MUNGU
@NegiresJeremiahMolely
@NegiresJeremiahMolely 5 ай бұрын
Hongere Kwa kazi nzuri sana ulio Fanya
@thatboywithakeyboard9292
@thatboywithakeyboard9292 2 жыл бұрын
Thanks TANPOL...Imagine someone was going to Lose Both 💰 Money and Life Yesterday, We pray For the Injured Serg, Justice,Viva Tz
@reymahassan9358
@reymahassan9358 2 жыл бұрын
Kazi nzuri, hongereni jeshi letu la police
@emmanuelmessu4063
@emmanuelmessu4063 2 жыл бұрын
Pole sana kwa askari aliyejeruhiwa
@joycemaruwa9439
@joycemaruwa9439 2 жыл бұрын
Kazi nzuri makamanda. Kazi iendelee
@albanokizo5174
@albanokizo5174 2 жыл бұрын
Hongera jeshi LA polisi kwa kazi kubwa pia polen kwa askar aliyepata majeruhi
@letciamapunda8428
@letciamapunda8428 2 жыл бұрын
Nakupenda sana wewe afande unafanya kazi
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 2 жыл бұрын
Hongereni sana na poleni Mungu amponye ishala
@masteritz
@masteritz 3 ай бұрын
Good news. Thank you wasafi .
@wilhelmntenya7618
@wilhelmntenya7618 2 жыл бұрын
Hongereni kwa kazi njema Kwa askari wetu .
@daudkhatib4678
@daudkhatib4678 2 жыл бұрын
Hongereni. Kwa. Majukumu. Askari. Polis. Kwa. Kazi. Njema
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 2 жыл бұрын
Haya ndo tunayo yataka Wahalifu Wakifanya Uhalifu yatakiwa Wasichomoke ktk mikono ya Serikali Hongereni sana makamanda wetu ndo tunapenda vitu vizuri vya namna hiyo tena Muheshimiwa Mulilo🔥 Umekosea kusema kwa bahati baya wame fariki Hapana Hapo tunasema kwa bahati nzuri Mashenzi hayo yamefariki
@pettywilliam4492
@pettywilliam4492 2 жыл бұрын
Pole sana askari mungu akufanyie wepesi upone haraka sasa Hawa ndio wakupewa zawadi kwa kazi nzuri bongo pesa zote wanapewa wabunge kwa ajili ya kupepeta mdomo tuu
@sarafinafranci8481
@sarafinafranci8481 2 жыл бұрын
Good umefanya kazi nzuri sana.
@williammbawala6377
@williammbawala6377 2 жыл бұрын
Tunakuombea..kijana .wetu upone..haraka pole.sana pia .hongera..kwa ujasiri..urudi .kazini
@neemakipembo7692
@neemakipembo7692 2 жыл бұрын
Ongereni Sana Askar Wetu mungu awalinde
@danielysironga4582
@danielysironga4582 2 жыл бұрын
Good job you're doing 💪💪
@peaceappolinarygahene9646
@peaceappolinarygahene9646 2 жыл бұрын
Pole sana kwa kazi nzuri ya kulinda wananchi wenu.mungu awaongoze.
@joackimpeter6501
@joackimpeter6501 2 жыл бұрын
Poleni jeshi letu ila pia ongereni kwa kazi nzuri
@japhetnyese2285
@japhetnyese2285 2 жыл бұрын
Kaz njema jeshi letu ,hongela sana walio jeruhiwa mungu awaponye
@MatronaOrio-bl2yf
@MatronaOrio-bl2yf Жыл бұрын
Hongera sana muriro kwa kazi nzuri mungu ampe afueni apone haraka
@ladyt1471
@ladyt1471 2 жыл бұрын
Hongera sana jeshi la polisi pia hongera kwa mama kazi iendelee
@ahmadimbazi5843
@ahmadimbazi5843 2 жыл бұрын
Hongeren kwa kazi nzur . We neex peace
@StellaKaale-d8y
@StellaKaale-d8y Ай бұрын
Mungu atamponya aendelee na kazi
@kassimchuo5290
@kassimchuo5290 2 жыл бұрын
I say hongera sanaaaaa kwa jeshi letu la polisi la Tanzania may GOD bless them inshaaAllah mungu awabarki kwa utumishi kwa umma mungu ibarki Tanzania mungu libarki jeshi letu la polisi yaa Rabbal aaalamin
@pilimamboleo1407
@pilimamboleo1407 2 жыл бұрын
Allah amzidishie Afya ktk mitihani
@BelinaRobart
@BelinaRobart 6 ай бұрын
Pole sana jamamna2tupigania mungu awabariki
@HatibuYusuph-t2n
@HatibuYusuph-t2n 4 ай бұрын
Afande mlilo mungu akupe maisha marefu Kwa kaz unaoifanya
@wilhelmntenya7618
@wilhelmntenya7618 2 жыл бұрын
Pole Kwa askari aliye jeruhiwa mwenyezi amponye.
@zulfaungele3484
@zulfaungele3484 2 жыл бұрын
Hongereni Sana jeshi letu,Kaz yen ngumu mungu awalinde Sana
@pilimamboleo1407
@pilimamboleo1407 2 жыл бұрын
Hatari Sana hao majambazi munguatuepushie na manga hayo
@NohweliMandele
@NohweliMandele Жыл бұрын
Mungu amponye Askari wetu
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 2 жыл бұрын
Yaani msiwe mnawakimbiza hospitalini wamalize kabisa
@salmahalfani6307
@salmahalfani6307 2 жыл бұрын
Umeonaeeeh
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 2 жыл бұрын
Uzur wao wanawakimbizaga hosipitali lakini sijawahi sikia amepona 👌
@winfridagama5832
@winfridagama5832 2 жыл бұрын
Hospital hili watajw wenzie
@nairamama1507
@nairamama1507 6 ай бұрын
Proud of christian
@samuelleonse9398
@samuelleonse9398 2 жыл бұрын
Daa. Mungu wa mbinguni,Bwana Yesu,anatusaidiya wa Tanzania.napia nalipogeza jeshi la police kwakazi makini,nampapole halie jeruiwa na majambazi.Mungu amsaidie hamzidishie Afiya tele.Mungu awabariki.
@godasimba3293
@godasimba3293 2 жыл бұрын
Asanteni sana mungu awape ujasiri zaidi
@abdullyelias6632
@abdullyelias6632 2 жыл бұрын
Shujaa eliamin God bless you
@annakiinda7517
@annakiinda7517 2 жыл бұрын
hongera saana jeshi mko saafi mko making na kazi ....chuuma kwa chuuma
@nathanfrancisondieki6586
@nathanfrancisondieki6586 2 жыл бұрын
I'm very happy to see what Tanzania police doing or done so I'm Francis from kenya
@IssaEmmanul-zi5qj
@IssaEmmanul-zi5qj Жыл бұрын
Ongera kwa kazi nzuri
@fredysalingwa5122
@fredysalingwa5122 2 жыл бұрын
Poleni sana kwakuwa dhibiti hao watangulie 2 hao majambaz
@sultanamran_
@sultanamran_ 2 жыл бұрын
Safi sana kwa makamanda wetu kuifanya kazi yao vyema.
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 2 жыл бұрын
Asanteni sana
@marianicholous5259
@marianicholous5259 2 жыл бұрын
Pongezi kubwa Kwa Askari wetu Mungu akuponye kamanda tunakuombea🙏
@timothymoshi5800
@timothymoshi5800 2 жыл бұрын
Pole kijana wetu. MUNGU akuponye haraka.
@yusuphissa9613
@yusuphissa9613 2 жыл бұрын
RPC Jumanne nakukubali sana
@raphaelmwamakimbula9642
@raphaelmwamakimbula9642 2 жыл бұрын
Safi sana kwa kazi makamanda wetu,Mungu awe nanyi.♥️🙏
@lucisolomon8537
@lucisolomon8537 2 жыл бұрын
Mimi naishi hilo eneo Nilishuhudia hili tukio kwakweli hongera sana kwa Jeshi la polisi na pole kwa askari alieumia Mungu ampe uponyaji wa haraka
@saidthuwein7950
@saidthuwein7950 2 жыл бұрын
Inanifurahishaga sana nikiskia majambazi walikuwa wanawahishwa hospitali kwa matibabu ila kwa bahati mbaya wakapoteza maisha😂😂😂
@missangela6720
@missangela6720 2 жыл бұрын
😂😂😂
@salmahalfani6307
@salmahalfani6307 2 жыл бұрын
Hahahaaaaaaa ndio wakome.
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣watu walishachoka ukisikia hiyo kauli ujuwe parapanda ilishalia mapema hiyo ni zuga tu
@batulimabewa6953
@batulimabewa6953 2 жыл бұрын
Wanawamalizaga humo kwenye gari 😂
@RakMitumba
@RakMitumba 2 жыл бұрын
@@batulimabewa6953 kamalizwa pale pale nilikuepo Nina ofc pale
@mashakahamasa936
@mashakahamasa936 2 жыл бұрын
Mungu pamoja nanyi
@BitwinKassim
@BitwinKassim 5 ай бұрын
Naomba mkopo WA 1000000
@agusinoalphonsi4168
@agusinoalphonsi4168 2 жыл бұрын
Mungu awabariki xana
@innocentfrida393
@innocentfrida393 2 жыл бұрын
Kazi nzuri masoja
@felsonsanga8502
@felsonsanga8502 2 жыл бұрын
Safi Sana Askari mashujaa
@biottomollel6527
@biottomollel6527 2 жыл бұрын
Well done police,reaction Nzuri
@AnjelaSabasHamaro
@AnjelaSabasHamaro 27 күн бұрын
mungu awape nguvu said
@willeakyoo4002
@willeakyoo4002 2 жыл бұрын
Daaah, uchumi umekuwa mgum, majambazi, vibaka , na wadokozi wamezidi,,
@jaminusisanga607
@jaminusisanga607 2 жыл бұрын
Yesu amponye askari wetu uliejeluhiwa , pia mungu nakuomba uwalinde askari wetu ,inauma sana
@amaninaupendo.3539
@amaninaupendo.3539 2 жыл бұрын
Amen Amen.
@lugwetunje3896
@lugwetunje3896 2 жыл бұрын
Aliyejeruhiwa samahani
@simonmwandu2214
@simonmwandu2214 2 жыл бұрын
Toka lini yesu akaponya mtu mbona mamlaka ya Mungu huwa mnamsingizia yesu.!!
@prochesdavid6061
@prochesdavid6061 2 жыл бұрын
Mimi ndye njia ya ufufuo na Uzima MTU haji Kwa baba bola mimi
@karaoglan9444
@karaoglan9444 2 жыл бұрын
Ila mnamsingizia Sana Yesu bila sababu za msingi!!
@siliviamashaka4326
@siliviamashaka4326 2 жыл бұрын
Hongeren kwakaz kurinda raia namari zake mungu turinde watanzania
Majambazi sugu wakamatwa na polisi kwenye mpaka wa Burundi na Tanzania
6:03
黑天使被操控了#short #angel #clown
00:40
Super Beauty team
Рет қаралды 61 МЛН
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН
The Story Book: Vita ya Congo | Mauaji ya kutisha
22:43
Wasafi Media
Рет қаралды 2 МЛН
DKT. NCHEMBA AKABIDHIWA NOTI MPYA 2025
5:07
Hazina TV - Wizara ya Fedha
Рет қаралды 287 М.
BWANA HARUSI KAMKATAA BI HARUSI   LIVE BILA UOGA.AKATAA ZAWADI 🧐
5:15
ELISHADAI ONE MEDIA
Рет қаралды 586 М.
MUME WA ALIYEFARIKI CHUMBANI NA MWANAJESHI  MSTAAFU TABORA AELEZA MAZITO
16:22
黑天使被操控了#short #angel #clown
00:40
Super Beauty team
Рет қаралды 61 МЛН