RAIS DKT. MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA MARADI WA UJENZI WA MACHINJIO VINGUNGUTI

  Рет қаралды 2,723,469

Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

4 жыл бұрын

RAIS DKT. MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA MARADI WA UJENZI WA MACHINJIO YA VINGUNGUTI

Пікірлер: 1 100
@abedysteven4930
@abedysteven4930 2 жыл бұрын
Mliokuja hapa kuangalia umuhimu wa magufuli baada ya kummiss kwa Kaz nzur alizokuwa anazifanya naomba 2juane!!
@PantaleoBundala-tl2kd
@PantaleoBundala-tl2kd 2 ай бұрын
Yaani hotuba hii ni miaka minne lakini naisikiliza hadi naona raha utadhani nipo live. Namaliza bando wala sioni shida kwa mwamba huyu.
@Puxladen
@Puxladen 4 жыл бұрын
piga like Kwa magufuli wakee
@samateryusuf4345
@samateryusuf4345 4 ай бұрын
Kapigika hadi raha asante Mungu
@frankjohnfrank6490
@frankjohnfrank6490 2 жыл бұрын
Mungu akutangurie mheshimiwa rais john pombe kwa kazi uliyoifanya mpaka ulipo ishia pongenz kwako raisi wa wanyonge
@aishajami6826
@aishajami6826 2 жыл бұрын
Bodyguards wa Magufuli walikua na kazi, all the time to be watchful! 👍
@francisstephen6178
@francisstephen6178 2 жыл бұрын
Uvxyongvhtk Ughguuv
@charlesmwamlima3923
@charlesmwamlima3923 Жыл бұрын
Absolutely
@Rhymesandtunes
@Rhymesandtunes Жыл бұрын
What a president...Ndugu zetu waTanzania walipoteza a good leader
@shidabundala8984
@shidabundala8984 3 жыл бұрын
Watanzania tunabahati kubwa sana kupata rais mchapa kazi kama unampenda magufuri like hapa 🤝
@jonasnkonko104
@jonasnkonko104 3 жыл бұрын
Safi
@borahmlamba5030
@borahmlamba5030 2 жыл бұрын
Ewe Mwenyezi Mungu mpe pumziko la amani 😭😭😭😭🇹🇿💔🙏🏽 Rais Magufuli 😭😭😭🇹🇿🙏🏽💔
@hamidriday2352
@hamidriday2352 4 жыл бұрын
Watanzania muna bahati kubwa kumpata huyu kiongozi Rais Magufuli
@melikizadeckfabianosonza6586
@melikizadeckfabianosonza6586 3 жыл бұрын
Nyimbo za wangon
@maryjoseph7872
@maryjoseph7872 3 жыл бұрын
Kwer kabisa
@bumsnyagenda9639
@bumsnyagenda9639 3 жыл бұрын
Kweli ndugu
@asaajuma9961
@asaajuma9961 2 жыл бұрын
Hii siku ya tukio nilikuepo r I p magufuli tutakukumbuka sana.
@safiasaleh4447
@safiasaleh4447 4 жыл бұрын
Mungu akupe maisha mazuri Rais wetu Magufuli na sisi Wazanzibar mwaka 2020 Mungu atujaalie tupate Rais Kama we we . Aaamin
@harunarashid6404
@harunarashid6404 2 жыл бұрын
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@mosesmuthee5196
@mosesmuthee5196 4 жыл бұрын
am from Kenya and Tanzanians are the luckiest people on planet earth.mungu anbariki magufuli na atushukishie magufuliwe wetu.
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
Jembe letu, bulldozer,l letu tingatinga letu 💪. Tumemiss sana tindua tindua yako. Hukuwa na mchezo kwenye kazi. Ilikuwa 'hapa kazi tu' 💪 tunakukumbuka JPM wetu❤
@johnnjoroge8798
@johnnjoroge8798 4 жыл бұрын
Am a Kenyan but Tanzania you have a great president. I wish Kenya we had someone great in work and devoted like this .
@chikukisusi6933
@chikukisusi6933 3 жыл бұрын
Malitine
@faroukmutyaba5665
@faroukmutyaba5665 3 жыл бұрын
Sasa sie waganda tusemeje jamani raisi wetu mmmh kadumu sana paka leo hatujajua ataenda lini
@paulondiek1345
@paulondiek1345 3 жыл бұрын
Me too
@jojothepolyglot1866
@jojothepolyglot1866 2 жыл бұрын
Well, when you have time to vote you vote on tribal line mpaka lini? Kenya will never get such a leader. EVER! This year we have elections and people are voting emotions
@alexandermutune6131
@alexandermutune6131 Жыл бұрын
Really?
@ramadhanisalum8321
@ramadhanisalum8321 4 жыл бұрын
Kuna mambo ambayo sisi tuliozaliwa miaka ya 90 hatujawahi kuyaona wala kuyasoma..na ndo kwanza tunayaona katika uongozi..Keep it up Mr. President
@luizabahati5198
@luizabahati5198 4 жыл бұрын
I like this...naomba mjifunze na myabebe vizuri kusongesha gurudumu vizuri huku tukimuomba Mungu
@ramadhanisalum8321
@ramadhanisalum8321 4 жыл бұрын
@@luizabahati5198 Naam...hatuna budi kufanya hivyo... Kwa ajili ya future generation
@gladnesskisoli1538
@gladnesskisoli1538 4 жыл бұрын
Ramadhani Salum great!!
@hameesjunior7759
@hameesjunior7759 4 жыл бұрын
Ramadhani Salum
@abuuhudhaify5195
@abuuhudhaify5195 4 жыл бұрын
h
@kingbobzllema7789
@kingbobzllema7789 4 жыл бұрын
the real definition of president
@mweyoms5548
@mweyoms5548 2 жыл бұрын
So painful to lose this heroic leader.
@pasquallungwa3517
@pasquallungwa3517 4 жыл бұрын
Tujuane wote tunaoweza chana bati kwa mkono
@salimyamawe586
@salimyamawe586 4 жыл бұрын
Pasqual Lungwa yusito
@frankngeleza4245
@frankngeleza4245 4 жыл бұрын
Hahahahaha umenichekesha
@abbuabbu2247
@abbuabbu2247 4 жыл бұрын
Nikwere mkuu
@raymondspirian1289
@raymondspirian1289 4 жыл бұрын
Hahahahaaaa kuchana bati kwa mikono
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@KasindiPapi
@KasindiPapi 2 жыл бұрын
The man after my heart, I will always love you no matter what I will remember you day and night, I will always learn from you because you touched to what I wanted to do to my people. You were like Moses in the Bible, May the almighty God the father keep using you and put you in charge of all angels in heaven as you once spoke dear my King and my President JPM.
@malikajohnson8897
@malikajohnson8897 2 жыл бұрын
Daaa muombe radhi prophet Moses, umemkosea sana🙄
@stanlaymanya687
@stanlaymanya687 2 жыл бұрын
Mama Samia hi mikiki mikiki ataiwezaa!!?
@bishikadode4080
@bishikadode4080 2 жыл бұрын
Oui
@frederickkatale5725
@frederickkatale5725 Жыл бұрын
Appreciaton, I beieve we shall meet him. RIP JPM, I used to call him prophet.
@user-fn4er6xf7u
@user-fn4er6xf7u Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭 Tz tutamkumbuka daima JPM
@michndekei3435
@michndekei3435 2 жыл бұрын
This guy was a true born Leader....may his soul continue Resting in peace 😭
@ruthogungo794
@ruthogungo794 4 жыл бұрын
This Man is atrue leader and he also loves God..a man of the people, fighting for the weak,,a president if his kind..he's so humble..God bless you
@kareemkiwamba139
@kareemkiwamba139 4 жыл бұрын
Emen
@MoN_KaDO
@MoN_KaDO 2 жыл бұрын
Mim naiutazama tena hii clip
@katanaelijah9734
@katanaelijah9734 2 жыл бұрын
Hii iliweza
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
Mioyo yetu imekataa kukubali kuwa haupo na sisi tena leo hii. Ni ngumu kumeza lakini ndiyo hali halisi. continue to R.I.P mpendwa wetu
@emmarafael-cx1vs
@emmarafael-cx1vs Жыл бұрын
Emmanuel rafael
@nicksonjohansen9546
@nicksonjohansen9546 4 жыл бұрын
Best President ever.. Mungu aendelee kukutunza kwa afya njema na kukutumia kwa kazi yake njema.. 🙏🏿
@abuusufian6506
@abuusufian6506 4 жыл бұрын
Ukisikia baharia asiyetaka mchezo ndo huyo mzeeyaa 😁🤔😎😃
@mathayodundo5433
@mathayodundo5433 4 жыл бұрын
Saluti
@abuusufian6506
@abuusufian6506 4 жыл бұрын
Kabisaaa
@jumaakida2709
@jumaakida2709 4 жыл бұрын
Utamzui vipi Jpm kwa kasi hii? Tuwe wakweli Magufuli ni wapekee Tanzania.
@mkovzrmuscat7110
@mkovzrmuscat7110 4 жыл бұрын
Mm ni mtanzania ni wakuingia na kutoka lakin magufuli rais kafanya kazi nzuri sana mwenyezi Mungu ampe miaka mingi duniani baba wa wanyonge
@m.zawadikenya4797
@m.zawadikenya4797 2 жыл бұрын
How I wish Kenya tumpate raisi kama magufuli 🙏🙏👌✌️🎯
@mugangajethrom7624
@mugangajethrom7624 3 жыл бұрын
A true and real leader i have ever heard. Rest in peace mwishimua.
@davidodira1974
@davidodira1974 Жыл бұрын
Life comes, lifes pass by
@johnkazimoto9078
@johnkazimoto9078 Жыл бұрын
M
@edwardkhan2629
@edwardkhan2629 2 жыл бұрын
Always rest in power, lovely president in Africa 😭😭😭😭
@hassanmchomvu703
@hassanmchomvu703 3 жыл бұрын
Rest in paradise Mr President tutakukumbuka daima baba yetu magufuli chumaa kimeanguka 😥
@DottRoBroc
@DottRoBroc 3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
@archaeopteryx9041
@archaeopteryx9041 3 жыл бұрын
Well said
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
absolutely right 👍
@hemajosephat9871
@hemajosephat9871 Жыл бұрын
Grazie 🙏
@agrippalalusha1521
@agrippalalusha1521 4 жыл бұрын
We need kind of president like him no corruption in the country God bless Mr president...
@julianaedward4265
@julianaedward4265 4 жыл бұрын
Safi sana
@sarahlydia2635
@sarahlydia2635 4 жыл бұрын
True
@gregorychogelo2013
@gregorychogelo2013 4 жыл бұрын
Rais wetu ana kazi ngumu sana! Waliopewa dhamana wengi hawajitambui, bado wanaenda kwa mazoea tu.
@edwardjohn1232
@edwardjohn1232 4 жыл бұрын
Asante baba
@williamlimbya6505
@williamlimbya6505 2 жыл бұрын
Daaah Mungu akulaze mahali pema peponi.amen
@gervasjustn2842
@gervasjustn2842 4 жыл бұрын
Kama umemuona Makonda huku akiwa mpole zaidi gonga like.
@thomasmwimba9861
@thomasmwimba9861 4 жыл бұрын
P
@robertbudodi
@robertbudodi 4 жыл бұрын
Hapo neno hapa kazi tu nimelielewa
@iddiali8057
@iddiali8057 4 жыл бұрын
Heshima sana!!! EXTRA ORDINARY MAN OF TANZANIA!!!
@mromwamihandsome7555
@mromwamihandsome7555 3 жыл бұрын
obc Jhvfc
@vaudagutu800
@vaudagutu800 3 жыл бұрын
Am from Kenya but l like president Magufuli he understands a common man,God bless him more
@saxannjo6173
@saxannjo6173 4 жыл бұрын
Kama na ww unaingalia hii SHOW YA KIBABE in June 2020,, gonga like
@jumbeink3173
@jumbeink3173 4 жыл бұрын
Hatari
@triplea3463
@triplea3463 4 жыл бұрын
Jamaa antera vibaya😆😆
@graysonmbunga4858
@graysonmbunga4858 3 жыл бұрын
Sawsaw
@khdigahk4246
@khdigahk4246 3 жыл бұрын
😅😅😅Tupo tunaludia
@adenihalisi4218
@adenihalisi4218 4 жыл бұрын
Kwa huu uongozi wa magufuli kweli nasema kuna watu wataota mvi kabla ya umri! Mtakomaa sisi wananchi tunafurahia!
@user-us9gl8jg4l
@user-us9gl8jg4l 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@khadijakinyala8241
@khadijakinyala8241 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@khalekichambo1131
@khalekichambo1131 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@angelamarlow510
@angelamarlow510 4 жыл бұрын
😃😃
@mouigniahmed263
@mouigniahmed263 4 жыл бұрын
Merci mon Président vous êtes le meilleur en Afrique Rais Magufuli asante sana MUNGU akubariki yakuhifadhi na wenye roho mbaa
@katemachanda7035
@katemachanda7035 2 жыл бұрын
Wenye roho mbaya washamuua blaza...
@ellyayieko357
@ellyayieko357 3 жыл бұрын
The President actually wanted the best for his country. Now l support him even if the Western powers said he didn't know Kizungu
@TheLordismyshepherd...
@TheLordismyshepherd... 3 жыл бұрын
So what if he doesn't? I am always left speechless when I see an African mocking another Aftican for not knowing English. It isn't our native so why praising it so much? How about them learning our own's? It is sad how these colonizers still takes over the minds of our people!
@mabruckjuma8711
@mabruckjuma8711 2 жыл бұрын
RIP LEGEND JOHN POMBE JOSEPH MGUFULI MR PRISEDENT
@hamidhaji6649
@hamidhaji6649 4 жыл бұрын
Raisi wetu ....ww ni raisi wa historia .tena unafaa kuigwa kutokana na uongozi wako mzuri ......mungu akubariki ...
@nessa4899
@nessa4899 4 жыл бұрын
Magufuli Mungu akutunze Akupe afya njema ulinzi wa mbinguni uwe pamoja nawe day and night. In Jesus might name.
@kpatrick8468
@kpatrick8468 4 жыл бұрын
Huyu Rais wa karne MUNGU AKUBARIKI SANA TENA SANA
@issamasanja7874
@issamasanja7874 4 жыл бұрын
BABA WW UNAFAA UWEP MADARAKAN HAD CK YA KIYAMA
@khadijahusseinsalim6881
@khadijahusseinsalim6881 4 жыл бұрын
Am a Kenyan, I wish we cloud hve someone
@mubirurogers3162
@mubirurogers3162 2 жыл бұрын
I have seen one man like magufuli. He was the chief administrative officer (CAO) of kamuli District in Uganda. He is Andrew mawejje the current CAO of kakumiro District in West Uganda. He is an exceptional public servant and he was magufuli's size. Am sure currently, he is the best and most efficient public servant Uganda has. If I can be picked for president in Uganda I believe things can change in a fort night
@missangela6720
@missangela6720 2 жыл бұрын
🥰🥰🥰
@jimmyochieng9179
@jimmyochieng9179 Ай бұрын
Nup to mpung
@symokhara
@symokhara 4 жыл бұрын
Watching from 🇰🇪. Rais Kenyatta tafadhali kazi inafanyika vizuri Sana Tz... Wafisadi wakomeshe hapa kwetu.
@chrithicksambo2480
@chrithicksambo2480 4 жыл бұрын
Hawez kukomesha mafisadi pasipo yeye kujisafisha kwanza
@johannesjonathan523
@johannesjonathan523 4 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ndo anajua na atakulipa kwa kila kitu
@thomaschengena6116
@thomaschengena6116 4 жыл бұрын
Mheshimiwa karibu na kwetu LIWALE TUNAKUKARIBISHA SANA
@freshtiff1265
@freshtiff1265 4 жыл бұрын
thomas chengena hahahahaha liwale nimefika huko.. aisee barabara ni mbovu Tanzania nzima .. bora ifakara niliona ikifanyiwa marekebisho ila liwale ni mbovu sana barabara ina visima sio mashimo tu 😂😂😂
@ashuramutwe3921
@ashuramutwe3921 4 жыл бұрын
Ni kweli bora uje kwetu LIWALE
@abdulazizi7279
@abdulazizi7279 4 жыл бұрын
Aje bhanaa daaah
@omarisalumu4798
@omarisalumu4798 4 жыл бұрын
thomas c hengena
@emmanuelbrownofficialke.-n7942
@emmanuelbrownofficialke.-n7942 Жыл бұрын
Hakika Tanzania walimpoteza kiongozi wa busara sana.
@josephbarasa5076
@josephbarasa5076 3 жыл бұрын
Rest in peace JPM other leaders you borrow a leaf 🍂 from JPM .We shall miss you
@josephbarasa5076
@josephbarasa5076 3 жыл бұрын
Kwanzake Viongozi wa kenya , tunaitaji uongozi bora kama wa JPM
@mussakiula7481
@mussakiula7481 4 жыл бұрын
Kama aliemuona mpokonya mike aweke like hapa😂
@hadijagere
@hadijagere 4 жыл бұрын
Halafu anazipokonya nakisirani
@hadijagere
@hadijagere 4 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 🤣
@suleimanmohamedramadhan3370
@suleimanmohamedramadhan3370 3 жыл бұрын
Hataki mchezoo kabisa😁😁😁
@dahomasaid5362
@dahomasaid5362 3 жыл бұрын
Ty
@dahomasaid5362
@dahomasaid5362 3 жыл бұрын
@@hadijagere a
@alfredmacjohn5254
@alfredmacjohn5254 2 жыл бұрын
Huyu mtu alitufaa sana kwa mustakabali wa utaifa wetu na heshima yetu duniani.
@TPKLiah
@TPKLiah 4 жыл бұрын
I love Tanzanian, and President John Pombe Magufuli... May God bless you From South Sudan ✌✌✌
@sisdell1779
@sisdell1779 3 жыл бұрын
Kizuri hakidumu jamani pumzika baba😭
@johnmasanja1762
@johnmasanja1762 3 жыл бұрын
😭😭😭😭
@jay9414
@jay9414 3 жыл бұрын
Wow wow this president was a down to earth roamer and hard working one.
@manyamamongo9361
@manyamamongo9361 4 жыл бұрын
Hapa kazi tuh, hata kwenye kazi zetu inatakiwa tuwe serious kama huyo RAIS, hakika tutafanikiwa
@ericmbugua624
@ericmbugua624 3 жыл бұрын
Magufuli was a great leader whom most leaders should learn from his leadership skills..May God rest his soul in eternal peace 😭
@tatuhongeranurushaus485
@tatuhongeranurushaus485 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@juliusbahame9225
@juliusbahame9225 2 жыл бұрын
akiriakri
@charleswambura2543
@charleswambura2543 2 жыл бұрын
Tunakukumbuka sana JPM
@eolele
@eolele 2 жыл бұрын
What makes Kenya not to have a good leader is tribalism ,heri mtu apigie kiongozi wa kabila yake Kura ata kama huyo kiongozi hajielewi.
@alexandermutune6131
@alexandermutune6131 Жыл бұрын
What happened to him?
@abdullahal-mahruqi9610
@abdullahal-mahruqi9610 Жыл бұрын
He was a man of honesty and loved fast progress. He was a strong spokesman for the weak. Exceptional type of leadership
@penzamatirio7812
@penzamatirio7812 3 жыл бұрын
i pray that magufulli will return to power forever
@placidoponera
@placidoponera 3 жыл бұрын
Pumzka Kwa Amani Rais wetu JOHN MAGUFULI 🇹🇿 kwel tutakumbuka daima milele
@franknolelwa7495
@franknolelwa7495 4 жыл бұрын
kama kuna aliyesikia raisi akisema hamna ulichonishukru wew endelea tu 😂😂😂😂😂gonga like twende
@benedictmungai2889
@benedictmungai2889 4 жыл бұрын
Hongera Rais uko chonjo
@chubwamabinga8389
@chubwamabinga8389 4 жыл бұрын
MTOTO shuleni
@ramambarouk7779
@ramambarouk7779 4 жыл бұрын
Poujukugfu.
@ramambarouk7779
@ramambarouk7779 4 жыл бұрын
Poujukugfu.
@ibrahimkambi9288
@ibrahimkambi9288 4 жыл бұрын
Wataelewa tu Mh.Rais umetisha mbayaaa
@ocholamalachi1552
@ocholamalachi1552 4 жыл бұрын
i love Magufuli style of leadership, though am a Kenyan. Kazi tu
@khatibushame203
@khatibushame203 4 жыл бұрын
Ochola Malachi UL
@ayanhussein5188
@ayanhussein5188 4 жыл бұрын
Thank u 4 supporting us
@georgeandreaw4184
@georgeandreaw4184 4 жыл бұрын
Comedi
@emmanuelreuben5014
@emmanuelreuben5014 4 жыл бұрын
Thank you.
@sarahlydia2635
@sarahlydia2635 4 жыл бұрын
Same here l love what he does he down to the grounds
@williamlimbya6505
@williamlimbya6505 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭 R.i.p magufuri mtetezi wa wanyonge
@geofreyjerus9882
@geofreyjerus9882 4 жыл бұрын
🙌🙌Daaaah hii kali duuuh HAPA KAZI TU💪
@kondeboy8970
@kondeboy8970 4 жыл бұрын
KONDE BOY
@iddiali8057
@iddiali8057 4 жыл бұрын
Goals oriented PRESIDENT!
@marcellinbisimwa8908
@marcellinbisimwa8908 4 жыл бұрын
Mungu uliye umba mbingu na dunia tupe RDC raisi kama huu anaye jua itaji za RAHIYA
@pacifiqueheri1767
@pacifiqueheri1767 4 жыл бұрын
Raïs mwenye hekima kabisa,j'aime le président Magufuli
@zubaidatawsila6617
@zubaidatawsila6617 4 жыл бұрын
What a nice president if I was living in Tanzania I could give u my vote for the next year
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 4 жыл бұрын
The man himself .. Viva viva Magufuli
@daudimkongwa3754
@daudimkongwa3754 4 жыл бұрын
Inapendeza🇹🇿
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 4 жыл бұрын
Leo Makonda ukae vizuri. Usije ukatumbuliwa.
@katemachanda7035
@katemachanda7035 2 жыл бұрын
I will always love you Mr. President. R.I.P!
@doreenandrew3063
@doreenandrew3063 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 watu kutetemeka na kujiumauma nimecheka kweli..... Baba Magufuli hapa kazi tu...ubarikiwe sana Mungu akubariki mara mia zaidi 🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@jonathanmbithi2925
@jonathanmbithi2925 3 жыл бұрын
Baba rais magufuli barikiwa sana rais kweli kweli
@mashamasha2854
@mashamasha2854 3 жыл бұрын
😭😭😭😭💔🇹🇿
@dicksonsamwel134
@dicksonsamwel134 3 жыл бұрын
Lala kwa amani uncle magu tutakukumbuka daima 😭😭😪
@mr.machange1377
@mr.machange1377 4 жыл бұрын
Unajua Rais akiwa ni chaguo la Mungu bhana mambo yote maridadi kabisa
@bbc5043
@bbc5043 Жыл бұрын
Great African patriot we in Kenya love this great Tanzanian president just like we loved Nyerere
@jennipherray7001
@jennipherray7001 3 жыл бұрын
Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi Ameeen 🙏😭
@wilsongeorge1353
@wilsongeorge1353 2 жыл бұрын
Umelala baba duuu naumia sna mwenyezi mungu akupunzishe Azabu za kabulini
@Addi_Teacha509
@Addi_Teacha509 4 жыл бұрын
As much i admire the president, as much i admire the military gentleman in the Green.. he is very serious
@ashurakaswa3796
@ashurakaswa3796 4 жыл бұрын
Mungu ampe afya imara na pumzi kwa kweli mi moyo wangu huko na furaha kila nikimuona maana napenda sana kufuata nyendo zake
@silentreuben6424
@silentreuben6424 4 жыл бұрын
True Leadership starts from the top. GOD BLESS PRESIDENT JOHN MAGUFULI. This is not just pan africanism at its best, but a kick in the butt to ALL who are entrusted by the people to lead them. Let us know who we vote for, by their works. Action speaks louder than words.
@khalfanibobewe4278
@khalfanibobewe4278 3 жыл бұрын
Huyu jamaa utampenda kama hujaingia kwenye anga zake ila ukijichanganya ukaingia kwenye anga zake utakubali shoo
@willingtonejohn1929
@willingtonejohn1929 4 жыл бұрын
Waliokuwa wanasema nguvu ya soda bado wapo
@aleyslaim4935
@aleyslaim4935 4 жыл бұрын
Wametoka unyoya
@janejohn93
@janejohn93 4 жыл бұрын
xsw
@pooshekasheka1354
@pooshekasheka1354 4 жыл бұрын
Washa kufa walio sema
@omarisalumu4798
@omarisalumu4798 4 жыл бұрын
Willingtone John
@juliassugwa6924
@juliassugwa6924 4 жыл бұрын
Baba lao
@jumahedrick3949
@jumahedrick3949 2 жыл бұрын
This guy was a patriot. Rip
@nantongoeml4781
@nantongoeml4781 Жыл бұрын
Tanzanians are lucky to have got this Patriotic leader ,though for long time ❤😢
@dastunluswaga5182
@dastunluswaga5182 4 жыл бұрын
Kiongozi wa mabaharia kafumua bati...kweli nouma...
@mashsmash6962
@mashsmash6962 4 жыл бұрын
Dastun Luswaga 😂😂😂😂😂😂nimechekaa et kafumua bati
@adenihalisi4218
@adenihalisi4218 4 жыл бұрын
Hata mimi nimeona hajapitia getini alifumua kwa kwa ubavuni akashtukiza!
@magedadi8882
@magedadi8882 4 жыл бұрын
@@adenihalisi4218 .
@chumamihambo8060
@chumamihambo8060 4 жыл бұрын
Wajanja watakoma huu moto siyo wa mchezo mchezo jpm we noma 🇹🇿🏋🏿🤸🏿
@Galgani333
@Galgani333 4 жыл бұрын
nakuelewa sana raisi.kazi njema unafanya.Mungu akubariki
@martingideon7177
@martingideon7177 Жыл бұрын
I like this man may his soul rest in peace
@emjay1016
@emjay1016 4 жыл бұрын
Makonda hua anaonekana kwenye mambo ya kijinga sana kma ndoa na mashoga ila miradi ya maendeleo hapana..... Makonda jifunze
@sideboy1299
@sideboy1299 4 жыл бұрын
We utakuwa umeajua leo jamaa yupo kila idara
@Maduhu
@Maduhu 4 жыл бұрын
Tfa TPiO
@nelsonakach6281
@nelsonakach6281 4 жыл бұрын
Very great man of development
@geographyteacher.2961
@geographyteacher.2961 4 жыл бұрын
Safi sn mh rais kwa uamuz wa kusitisha ukusanyaji wa kodi kulingana na utengwaji wa fungu yani bajet kamilifu kwa ujenzi wao ikiwa ujenzi hauonekani, asee huu uamuz nimeupenda sn.
@mathewsmigudi4172
@mathewsmigudi4172 3 жыл бұрын
may my tears reach the Lord
@abysadalah1132
@abysadalah1132 4 жыл бұрын
Very touchable and for this may Allah gives you mr president long healthy life
@godfreychimfutumba7508
@godfreychimfutumba7508 3 жыл бұрын
Please do us a favour by translating all Magufuli's videos into English for the rest of Africa.
@missangela6720
@missangela6720 2 жыл бұрын
19:38 “You can’t build such a simple, small structure for 18 months! No! That’s gross negligence. From now set yourselves to work day and night. This project must be finished by the end of this year. These people are waiting for you. They cannot wait for so long.”
@florashauri9228
@florashauri9228 3 жыл бұрын
PUMZIKA KWA AMANI Baba yangu Rais wetu mpendwa Dr.JPM umeifanyia mengi nchi hii kila wakati nasikiliza hotuba zako nafuatilia utendaji wako,baba ulikuwa Mzalendo wa kweli na mwenye uchungu na nchi yako, ulikuwa mfuatiliaji,ila tunakushukuru umetuachia mama yetu Rais Samia Suluhu.
@frankyrenny4496
@frankyrenny4496 Жыл бұрын
Wewe ni kama mimi nduguyangu yani tunamumia ndudu yangu.
@RespikRudovick
@RespikRudovick 11 ай бұрын
@@frankyrenny4496 mungu in mwema
@mozeszengo7096
@mozeszengo7096 4 жыл бұрын
Asante Rais wetu,,u can
@robertterry8909
@robertterry8909 4 жыл бұрын
kamua baba kamua jembe nchi iende
@romeoromeo4125
@romeoromeo4125 4 жыл бұрын
Duh apa Mkuu umetisha yaan umeingia kikomandoo! Hongera JPM
@alytembatemba1175
@alytembatemba1175 4 жыл бұрын
Amini kwamba hu ni mzimu wa nyelele.
@johnkyalo3770
@johnkyalo3770 4 жыл бұрын
R
@jimjim4655
@jimjim4655 4 жыл бұрын
Am in love with u sir...mimi iko apa kutoka uganda
@cosmasmpwage2576
@cosmasmpwage2576 3 жыл бұрын
😭😭😭😭 nasikia sauti ikisema mtangulize Mungu
@angelamarlow510
@angelamarlow510 3 жыл бұрын
Dah jmn bado nikama ndoto jemedari wetu hayupo tena
@lydiahnjeri6684
@lydiahnjeri6684 3 жыл бұрын
Live long maghufuli Kenyans leaders need to emulate this.God bless u mzee
@_born84
@_born84 2 жыл бұрын
I agree.... accountability for taxpayers is what is lacking in Kenya
Hotuba 3 za JPM zilizogusa Hisia Za Maelfu ya Watanzania
24:30
MAGUFULIFICATION OF AFRICA
Рет қаралды 192 М.
HOW DID HE WIN? 😱
00:33
Topper Guild
Рет қаралды 38 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 86 МЛН
RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA
25:00
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 1 МЛН
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
17:24
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
Wananchi 'WAMCHONGEA' MBUNGE, DC kwa MAGUFULI LAIVU - "WANATUTISHA"
15:50
Global TV Online
Рет қаралды 709 М.
JPM Awabana Mawaziri, Askofu 'Njooni Hapa Mchangie Msikiti'
14:14
Global TV Online
Рет қаралды 346 М.
Shughuli nzima ya maziko ya hayati Magufuli
50:37
Azam TV
Рет қаралды 579 М.
LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM
48:48