RAIS DKT. MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA MARADI WA UJENZI WA MACHINJIO YA VINGUNGUTI
Пікірлер: 1 100
@abedysteven49302 жыл бұрын
Mliokuja hapa kuangalia umuhimu wa magufuli baada ya kummiss kwa Kaz nzur alizokuwa anazifanya naomba 2juane!!
@PantaleoBundala-tl2kd2 ай бұрын
Yaani hotuba hii ni miaka minne lakini naisikiliza hadi naona raha utadhani nipo live. Namaliza bando wala sioni shida kwa mwamba huyu.
@Puxladen4 жыл бұрын
piga like Kwa magufuli wakee
@samateryusuf43454 ай бұрын
Kapigika hadi raha asante Mungu
@frankjohnfrank64902 жыл бұрын
Mungu akutangurie mheshimiwa rais john pombe kwa kazi uliyoifanya mpaka ulipo ishia pongenz kwako raisi wa wanyonge
@aishajami68262 жыл бұрын
Bodyguards wa Magufuli walikua na kazi, all the time to be watchful! 👍
@francisstephen61782 жыл бұрын
Uvxyongvhtk Ughguuv
@charlesmwamlima3923 Жыл бұрын
Absolutely
@Rhymesandtunes Жыл бұрын
What a president...Ndugu zetu waTanzania walipoteza a good leader
@shidabundala89843 жыл бұрын
Watanzania tunabahati kubwa sana kupata rais mchapa kazi kama unampenda magufuri like hapa 🤝
@jonasnkonko1043 жыл бұрын
Safi
@borahmlamba50302 жыл бұрын
Ewe Mwenyezi Mungu mpe pumziko la amani 😭😭😭😭🇹🇿💔🙏🏽 Rais Magufuli 😭😭😭🇹🇿🙏🏽💔
@hamidriday23524 жыл бұрын
Watanzania muna bahati kubwa kumpata huyu kiongozi Rais Magufuli
@melikizadeckfabianosonza65863 жыл бұрын
Nyimbo za wangon
@maryjoseph78723 жыл бұрын
Kwer kabisa
@bumsnyagenda96393 жыл бұрын
Kweli ndugu
@asaajuma99612 жыл бұрын
Hii siku ya tukio nilikuepo r I p magufuli tutakukumbuka sana.
@safiasaleh44474 жыл бұрын
Mungu akupe maisha mazuri Rais wetu Magufuli na sisi Wazanzibar mwaka 2020 Mungu atujaalie tupate Rais Kama we we . Aaamin
@harunarashid64042 жыл бұрын
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@mosesmuthee51964 жыл бұрын
am from Kenya and Tanzanians are the luckiest people on planet earth.mungu anbariki magufuli na atushukishie magufuliwe wetu.
@marieconnect6389 Жыл бұрын
Jembe letu, bulldozer,l letu tingatinga letu 💪. Tumemiss sana tindua tindua yako. Hukuwa na mchezo kwenye kazi. Ilikuwa 'hapa kazi tu' 💪 tunakukumbuka JPM wetu❤
@johnnjoroge87984 жыл бұрын
Am a Kenyan but Tanzania you have a great president. I wish Kenya we had someone great in work and devoted like this .
@chikukisusi69333 жыл бұрын
Malitine
@faroukmutyaba56653 жыл бұрын
Sasa sie waganda tusemeje jamani raisi wetu mmmh kadumu sana paka leo hatujajua ataenda lini
@paulondiek13453 жыл бұрын
Me too
@jojothepolyglot18662 жыл бұрын
Well, when you have time to vote you vote on tribal line mpaka lini? Kenya will never get such a leader. EVER! This year we have elections and people are voting emotions
@alexandermutune6131 Жыл бұрын
Really?
@ramadhanisalum83214 жыл бұрын
Kuna mambo ambayo sisi tuliozaliwa miaka ya 90 hatujawahi kuyaona wala kuyasoma..na ndo kwanza tunayaona katika uongozi..Keep it up Mr. President
@luizabahati51984 жыл бұрын
I like this...naomba mjifunze na myabebe vizuri kusongesha gurudumu vizuri huku tukimuomba Mungu
@ramadhanisalum83214 жыл бұрын
@@luizabahati5198 Naam...hatuna budi kufanya hivyo... Kwa ajili ya future generation
@gladnesskisoli15384 жыл бұрын
Ramadhani Salum great!!
@hameesjunior77594 жыл бұрын
Ramadhani Salum
@abuuhudhaify51954 жыл бұрын
h
@kingbobzllema77894 жыл бұрын
the real definition of president
@mweyoms55482 жыл бұрын
So painful to lose this heroic leader.
@pasquallungwa35174 жыл бұрын
Tujuane wote tunaoweza chana bati kwa mkono
@salimyamawe5864 жыл бұрын
Pasqual Lungwa yusito
@frankngeleza42454 жыл бұрын
Hahahahaha umenichekesha
@abbuabbu22474 жыл бұрын
Nikwere mkuu
@raymondspirian12894 жыл бұрын
Hahahahaaaa kuchana bati kwa mikono
@juliethhouseofdesigns1474 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@KasindiPapi2 жыл бұрын
The man after my heart, I will always love you no matter what I will remember you day and night, I will always learn from you because you touched to what I wanted to do to my people. You were like Moses in the Bible, May the almighty God the father keep using you and put you in charge of all angels in heaven as you once spoke dear my King and my President JPM.
@malikajohnson88972 жыл бұрын
Daaa muombe radhi prophet Moses, umemkosea sana🙄
@stanlaymanya6872 жыл бұрын
Mama Samia hi mikiki mikiki ataiwezaa!!?
@bishikadode40802 жыл бұрын
Oui
@frederickkatale5725 Жыл бұрын
Appreciaton, I beieve we shall meet him. RIP JPM, I used to call him prophet.
@user-fn4er6xf7u Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭 Tz tutamkumbuka daima JPM
@michndekei34352 жыл бұрын
This guy was a true born Leader....may his soul continue Resting in peace 😭
@ruthogungo7944 жыл бұрын
This Man is atrue leader and he also loves God..a man of the people, fighting for the weak,,a president if his kind..he's so humble..God bless you
@kareemkiwamba1394 жыл бұрын
Emen
@MoN_KaDO2 жыл бұрын
Mim naiutazama tena hii clip
@katanaelijah97342 жыл бұрын
Hii iliweza
@marieconnect6389 Жыл бұрын
Mioyo yetu imekataa kukubali kuwa haupo na sisi tena leo hii. Ni ngumu kumeza lakini ndiyo hali halisi. continue to R.I.P mpendwa wetu
@emmarafael-cx1vs Жыл бұрын
Emmanuel rafael
@nicksonjohansen95464 жыл бұрын
Best President ever.. Mungu aendelee kukutunza kwa afya njema na kukutumia kwa kazi yake njema.. 🙏🏿
Utamzui vipi Jpm kwa kasi hii? Tuwe wakweli Magufuli ni wapekee Tanzania.
@mkovzrmuscat71104 жыл бұрын
Mm ni mtanzania ni wakuingia na kutoka lakin magufuli rais kafanya kazi nzuri sana mwenyezi Mungu ampe miaka mingi duniani baba wa wanyonge
@m.zawadikenya47972 жыл бұрын
How I wish Kenya tumpate raisi kama magufuli 🙏🙏👌✌️🎯
@mugangajethrom76243 жыл бұрын
A true and real leader i have ever heard. Rest in peace mwishimua.
@davidodira1974 Жыл бұрын
Life comes, lifes pass by
@johnkazimoto9078 Жыл бұрын
M
@edwardkhan26292 жыл бұрын
Always rest in power, lovely president in Africa 😭😭😭😭
@hassanmchomvu7033 жыл бұрын
Rest in paradise Mr President tutakukumbuka daima baba yetu magufuli chumaa kimeanguka 😥
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
@archaeopteryx90413 жыл бұрын
Well said
@marieconnect6389 Жыл бұрын
absolutely right 👍
@hemajosephat9871 Жыл бұрын
Grazie 🙏
@agrippalalusha15214 жыл бұрын
We need kind of president like him no corruption in the country God bless Mr president...
@julianaedward42654 жыл бұрын
Safi sana
@sarahlydia26354 жыл бұрын
True
@gregorychogelo20134 жыл бұрын
Rais wetu ana kazi ngumu sana! Waliopewa dhamana wengi hawajitambui, bado wanaenda kwa mazoea tu.
@edwardjohn12324 жыл бұрын
Asante baba
@williamlimbya65052 жыл бұрын
Daaah Mungu akulaze mahali pema peponi.amen
@gervasjustn28424 жыл бұрын
Kama umemuona Makonda huku akiwa mpole zaidi gonga like.
@thomasmwimba98614 жыл бұрын
P
@robertbudodi4 жыл бұрын
Hapo neno hapa kazi tu nimelielewa
@iddiali80574 жыл бұрын
Heshima sana!!! EXTRA ORDINARY MAN OF TANZANIA!!!
@mromwamihandsome75553 жыл бұрын
obc Jhvfc
@vaudagutu8003 жыл бұрын
Am from Kenya but l like president Magufuli he understands a common man,God bless him more
@saxannjo61734 жыл бұрын
Kama na ww unaingalia hii SHOW YA KIBABE in June 2020,, gonga like
@jumbeink31734 жыл бұрын
Hatari
@triplea34634 жыл бұрын
Jamaa antera vibaya😆😆
@graysonmbunga48583 жыл бұрын
Sawsaw
@khdigahk42463 жыл бұрын
😅😅😅Tupo tunaludia
@adenihalisi42184 жыл бұрын
Kwa huu uongozi wa magufuli kweli nasema kuna watu wataota mvi kabla ya umri! Mtakomaa sisi wananchi tunafurahia!
@user-us9gl8jg4l4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@khadijakinyala82414 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@khalekichambo11314 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@angelamarlow5104 жыл бұрын
😃😃
@mouigniahmed2634 жыл бұрын
Merci mon Président vous êtes le meilleur en Afrique Rais Magufuli asante sana MUNGU akubariki yakuhifadhi na wenye roho mbaa
@katemachanda70352 жыл бұрын
Wenye roho mbaya washamuua blaza...
@ellyayieko3573 жыл бұрын
The President actually wanted the best for his country. Now l support him even if the Western powers said he didn't know Kizungu
@TheLordismyshepherd...3 жыл бұрын
So what if he doesn't? I am always left speechless when I see an African mocking another Aftican for not knowing English. It isn't our native so why praising it so much? How about them learning our own's? It is sad how these colonizers still takes over the minds of our people!
@mabruckjuma87112 жыл бұрын
RIP LEGEND JOHN POMBE JOSEPH MGUFULI MR PRISEDENT
@hamidhaji66494 жыл бұрын
Raisi wetu ....ww ni raisi wa historia .tena unafaa kuigwa kutokana na uongozi wako mzuri ......mungu akubariki ...
@nessa48994 жыл бұрын
Magufuli Mungu akutunze Akupe afya njema ulinzi wa mbinguni uwe pamoja nawe day and night. In Jesus might name.
@kpatrick84684 жыл бұрын
Huyu Rais wa karne MUNGU AKUBARIKI SANA TENA SANA
@issamasanja78744 жыл бұрын
BABA WW UNAFAA UWEP MADARAKAN HAD CK YA KIYAMA
@khadijahusseinsalim68814 жыл бұрын
Am a Kenyan, I wish we cloud hve someone
@mubirurogers31622 жыл бұрын
I have seen one man like magufuli. He was the chief administrative officer (CAO) of kamuli District in Uganda. He is Andrew mawejje the current CAO of kakumiro District in West Uganda. He is an exceptional public servant and he was magufuli's size. Am sure currently, he is the best and most efficient public servant Uganda has. If I can be picked for president in Uganda I believe things can change in a fort night
@missangela67202 жыл бұрын
🥰🥰🥰
@jimmyochieng9179Ай бұрын
Nup to mpung
@symokhara4 жыл бұрын
Watching from 🇰🇪. Rais Kenyatta tafadhali kazi inafanyika vizuri Sana Tz... Wafisadi wakomeshe hapa kwetu.
@chrithicksambo24804 жыл бұрын
Hawez kukomesha mafisadi pasipo yeye kujisafisha kwanza
@johannesjonathan5234 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ndo anajua na atakulipa kwa kila kitu
@thomaschengena61164 жыл бұрын
Mheshimiwa karibu na kwetu LIWALE TUNAKUKARIBISHA SANA
@freshtiff12654 жыл бұрын
thomas chengena hahahahaha liwale nimefika huko.. aisee barabara ni mbovu Tanzania nzima .. bora ifakara niliona ikifanyiwa marekebisho ila liwale ni mbovu sana barabara ina visima sio mashimo tu 😂😂😂
@ashuramutwe39214 жыл бұрын
Ni kweli bora uje kwetu LIWALE
@abdulazizi72794 жыл бұрын
Aje bhanaa daaah
@omarisalumu47984 жыл бұрын
thomas c hengena
@emmanuelbrownofficialke.-n7942 Жыл бұрын
Hakika Tanzania walimpoteza kiongozi wa busara sana.
@josephbarasa50763 жыл бұрын
Rest in peace JPM other leaders you borrow a leaf 🍂 from JPM .We shall miss you
@josephbarasa50763 жыл бұрын
Kwanzake Viongozi wa kenya , tunaitaji uongozi bora kama wa JPM
@mussakiula74814 жыл бұрын
Kama aliemuona mpokonya mike aweke like hapa😂
@hadijagere4 жыл бұрын
Halafu anazipokonya nakisirani
@hadijagere4 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 🤣
@suleimanmohamedramadhan33703 жыл бұрын
Hataki mchezoo kabisa😁😁😁
@dahomasaid53623 жыл бұрын
Ty
@dahomasaid53623 жыл бұрын
@@hadijagere a
@alfredmacjohn52542 жыл бұрын
Huyu mtu alitufaa sana kwa mustakabali wa utaifa wetu na heshima yetu duniani.
@TPKLiah4 жыл бұрын
I love Tanzanian, and President John Pombe Magufuli... May God bless you From South Sudan ✌✌✌
@sisdell17793 жыл бұрын
Kizuri hakidumu jamani pumzika baba😭
@johnmasanja17623 жыл бұрын
😭😭😭😭
@jay94143 жыл бұрын
Wow wow this president was a down to earth roamer and hard working one.
@manyamamongo93614 жыл бұрын
Hapa kazi tuh, hata kwenye kazi zetu inatakiwa tuwe serious kama huyo RAIS, hakika tutafanikiwa
@ericmbugua6243 жыл бұрын
Magufuli was a great leader whom most leaders should learn from his leadership skills..May God rest his soul in eternal peace 😭
@tatuhongeranurushaus4853 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@juliusbahame92252 жыл бұрын
akiriakri
@charleswambura25432 жыл бұрын
Tunakukumbuka sana JPM
@eolele2 жыл бұрын
What makes Kenya not to have a good leader is tribalism ,heri mtu apigie kiongozi wa kabila yake Kura ata kama huyo kiongozi hajielewi.
@alexandermutune6131 Жыл бұрын
What happened to him?
@abdullahal-mahruqi9610 Жыл бұрын
He was a man of honesty and loved fast progress. He was a strong spokesman for the weak. Exceptional type of leadership
@penzamatirio78123 жыл бұрын
i pray that magufulli will return to power forever
@placidoponera3 жыл бұрын
Pumzka Kwa Amani Rais wetu JOHN MAGUFULI 🇹🇿 kwel tutakumbuka daima milele
@franknolelwa74954 жыл бұрын
kama kuna aliyesikia raisi akisema hamna ulichonishukru wew endelea tu 😂😂😂😂😂gonga like twende
@benedictmungai28894 жыл бұрын
Hongera Rais uko chonjo
@chubwamabinga83894 жыл бұрын
MTOTO shuleni
@ramambarouk77794 жыл бұрын
Poujukugfu.
@ramambarouk77794 жыл бұрын
Poujukugfu.
@ibrahimkambi92884 жыл бұрын
Wataelewa tu Mh.Rais umetisha mbayaaa
@ocholamalachi15524 жыл бұрын
i love Magufuli style of leadership, though am a Kenyan. Kazi tu
@khatibushame2034 жыл бұрын
Ochola Malachi UL
@ayanhussein51884 жыл бұрын
Thank u 4 supporting us
@georgeandreaw41844 жыл бұрын
Comedi
@emmanuelreuben50144 жыл бұрын
Thank you.
@sarahlydia26354 жыл бұрын
Same here l love what he does he down to the grounds
@williamlimbya65052 жыл бұрын
😭😭😭😭😭 R.i.p magufuri mtetezi wa wanyonge
@geofreyjerus98824 жыл бұрын
🙌🙌Daaaah hii kali duuuh HAPA KAZI TU💪
@kondeboy89704 жыл бұрын
KONDE BOY
@iddiali80574 жыл бұрын
Goals oriented PRESIDENT!
@marcellinbisimwa89084 жыл бұрын
Mungu uliye umba mbingu na dunia tupe RDC raisi kama huu anaye jua itaji za RAHIYA
@pacifiqueheri17674 жыл бұрын
Raïs mwenye hekima kabisa,j'aime le président Magufuli
@zubaidatawsila66174 жыл бұрын
What a nice president if I was living in Tanzania I could give u my vote for the next year
@mwinukafundibombanjombe4 жыл бұрын
The man himself .. Viva viva Magufuli
@daudimkongwa37544 жыл бұрын
Inapendeza🇹🇿
@margarethsolomon98234 жыл бұрын
Leo Makonda ukae vizuri. Usije ukatumbuliwa.
@katemachanda70352 жыл бұрын
I will always love you Mr. President. R.I.P!
@doreenandrew30634 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 watu kutetemeka na kujiumauma nimecheka kweli..... Baba Magufuli hapa kazi tu...ubarikiwe sana Mungu akubariki mara mia zaidi 🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@jonathanmbithi29253 жыл бұрын
Baba rais magufuli barikiwa sana rais kweli kweli
@mashamasha28543 жыл бұрын
😭😭😭😭💔🇹🇿
@dicksonsamwel1343 жыл бұрын
Lala kwa amani uncle magu tutakukumbuka daima 😭😭😪
@mr.machange13774 жыл бұрын
Unajua Rais akiwa ni chaguo la Mungu bhana mambo yote maridadi kabisa
@bbc5043 Жыл бұрын
Great African patriot we in Kenya love this great Tanzanian president just like we loved Nyerere
@jennipherray70013 жыл бұрын
Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi Ameeen 🙏😭
@wilsongeorge13532 жыл бұрын
Umelala baba duuu naumia sna mwenyezi mungu akupunzishe Azabu za kabulini
@Addi_Teacha5094 жыл бұрын
As much i admire the president, as much i admire the military gentleman in the Green.. he is very serious
@ashurakaswa37964 жыл бұрын
Mungu ampe afya imara na pumzi kwa kweli mi moyo wangu huko na furaha kila nikimuona maana napenda sana kufuata nyendo zake
@silentreuben64244 жыл бұрын
True Leadership starts from the top. GOD BLESS PRESIDENT JOHN MAGUFULI. This is not just pan africanism at its best, but a kick in the butt to ALL who are entrusted by the people to lead them. Let us know who we vote for, by their works. Action speaks louder than words.
@khalfanibobewe42783 жыл бұрын
Huyu jamaa utampenda kama hujaingia kwenye anga zake ila ukijichanganya ukaingia kwenye anga zake utakubali shoo
@willingtonejohn19294 жыл бұрын
Waliokuwa wanasema nguvu ya soda bado wapo
@aleyslaim49354 жыл бұрын
Wametoka unyoya
@janejohn934 жыл бұрын
xsw
@pooshekasheka13544 жыл бұрын
Washa kufa walio sema
@omarisalumu47984 жыл бұрын
Willingtone John
@juliassugwa69244 жыл бұрын
Baba lao
@jumahedrick39492 жыл бұрын
This guy was a patriot. Rip
@nantongoeml4781 Жыл бұрын
Tanzanians are lucky to have got this Patriotic leader ,though for long time ❤😢
@dastunluswaga51824 жыл бұрын
Kiongozi wa mabaharia kafumua bati...kweli nouma...
@mashsmash69624 жыл бұрын
Dastun Luswaga 😂😂😂😂😂😂nimechekaa et kafumua bati
@adenihalisi42184 жыл бұрын
Hata mimi nimeona hajapitia getini alifumua kwa kwa ubavuni akashtukiza!
@magedadi88824 жыл бұрын
@@adenihalisi4218 .
@chumamihambo80604 жыл бұрын
Wajanja watakoma huu moto siyo wa mchezo mchezo jpm we noma 🇹🇿🏋🏿🤸🏿
@Galgani3334 жыл бұрын
nakuelewa sana raisi.kazi njema unafanya.Mungu akubariki
@martingideon7177 Жыл бұрын
I like this man may his soul rest in peace
@emjay10164 жыл бұрын
Makonda hua anaonekana kwenye mambo ya kijinga sana kma ndoa na mashoga ila miradi ya maendeleo hapana..... Makonda jifunze
@sideboy12994 жыл бұрын
We utakuwa umeajua leo jamaa yupo kila idara
@Maduhu4 жыл бұрын
Tfa TPiO
@nelsonakach62814 жыл бұрын
Very great man of development
@geographyteacher.29614 жыл бұрын
Safi sn mh rais kwa uamuz wa kusitisha ukusanyaji wa kodi kulingana na utengwaji wa fungu yani bajet kamilifu kwa ujenzi wao ikiwa ujenzi hauonekani, asee huu uamuz nimeupenda sn.
@mathewsmigudi41723 жыл бұрын
may my tears reach the Lord
@abysadalah11324 жыл бұрын
Very touchable and for this may Allah gives you mr president long healthy life
@godfreychimfutumba75083 жыл бұрын
Please do us a favour by translating all Magufuli's videos into English for the rest of Africa.
@missangela67202 жыл бұрын
19:38 “You can’t build such a simple, small structure for 18 months! No! That’s gross negligence. From now set yourselves to work day and night. This project must be finished by the end of this year. These people are waiting for you. They cannot wait for so long.”
@florashauri92283 жыл бұрын
PUMZIKA KWA AMANI Baba yangu Rais wetu mpendwa Dr.JPM umeifanyia mengi nchi hii kila wakati nasikiliza hotuba zako nafuatilia utendaji wako,baba ulikuwa Mzalendo wa kweli na mwenye uchungu na nchi yako, ulikuwa mfuatiliaji,ila tunakushukuru umetuachia mama yetu Rais Samia Suluhu.
@frankyrenny4496 Жыл бұрын
Wewe ni kama mimi nduguyangu yani tunamumia ndudu yangu.
@RespikRudovick11 ай бұрын
@@frankyrenny4496 mungu in mwema
@mozeszengo70964 жыл бұрын
Asante Rais wetu,,u can
@robertterry89094 жыл бұрын
kamua baba kamua jembe nchi iende
@romeoromeo41254 жыл бұрын
Duh apa Mkuu umetisha yaan umeingia kikomandoo! Hongera JPM
@alytembatemba11754 жыл бұрын
Amini kwamba hu ni mzimu wa nyelele.
@johnkyalo37704 жыл бұрын
R
@jimjim46554 жыл бұрын
Am in love with u sir...mimi iko apa kutoka uganda
@cosmasmpwage25763 жыл бұрын
😭😭😭😭 nasikia sauti ikisema mtangulize Mungu
@angelamarlow5103 жыл бұрын
Dah jmn bado nikama ndoto jemedari wetu hayupo tena
@lydiahnjeri66843 жыл бұрын
Live long maghufuli Kenyans leaders need to emulate this.God bless u mzee
@_born842 жыл бұрын
I agree.... accountability for taxpayers is what is lacking in Kenya