Mungu yupo hawatokufa kwa kuuawa ila kwa uwezo wa mungu..Mungu Ibariki Africa
@billskeez92Ай бұрын
Wa kwanza Dj Sma❤🔥🙌👌 dhaaa Leo ilikua niandike kuhusu FUSE kwahiyo imewasili👍👍👍
@kassimbayuu5217Ай бұрын
Dj smaa upo vyema sana big blaza hongera sana, kazi nzuri
@ARCHTECH255Ай бұрын
Nimefurah sana umeludi mungu akusaidie utapona inshallah
@brianbaltazar6198Ай бұрын
Dj smaa upo vizuri sana kwenye geopolitics..Hongera sana kaka
@mwanaidaman2544Ай бұрын
Mungu ataendelea kukuponya uendelee kutuletea madini tulikukumbuka sana huku
@AminaAbdullah-ws3wyАй бұрын
Alhamdullillah, Nice to hear your back ❤
@isaacramadhan9721Ай бұрын
Dj sma salute sana
@user-lh6vs3xc7fАй бұрын
Mungu akulinde Kwa fact hiz nawe huwezi kuwa miongoni mwao. Mungu ibali Tanzania Mungu ibaliki Africa
@mwawekomiuda9779Ай бұрын
M'mungu atakufanyia wepesi inshaAllah.
@matukiotvonline6366Ай бұрын
Asante ustadh smaa from PEMBA upembani nawakilisha🎉🎉🎉❤❤❤
@asiri-romy-simba367129 күн бұрын
God bless Afrika
@paschalfausitine7108Ай бұрын
Dj ,sma, salute,kwenu, jomba karibuni, udom,Dom,
@SAMA-jw4frАй бұрын
Dj sma wazungu ni watu wabaya sana sana
@piusdeo9380Ай бұрын
dj smaaa 255 unatisha mkuu ila utapona tu ndugu unafanya vitu vya msingisana mungu akuongezee nguvu na uzima ulio imalika amen daaa dj smaaa mi mda mwingine huwaga naplay harafu natulia kimya kusikiliza kwa makini heshima kwako
@djsma255Ай бұрын
🙏
@HamzaMbashaАй бұрын
Kama congo juzi wala usikii ubalozi wa Marekani imelaani mapinduzi... Hawa jamaa ni wabaya sana..
@jumakassim8718Ай бұрын
Sanaa
@sonnyr1899Ай бұрын
Yali mapinduzi Ya Kongo yalikuwa na utoto mwingi ndani yake.
@ellyndaprincess3235Ай бұрын
Usiseme watauwawa waombee Dua inatakiwa useme majaribio ya kuuwawa yatakuwepo❤❤❤ nakukubali sana Mzee wa fax and logic
@mwawekomiuda9779Ай бұрын
Kwa kweli nawaombea hawa marais anbao sio vibaraka. M'mungu atawalinda inshaAllah.
@marckmasassi7466Ай бұрын
Brother Futa Hayo Mawazo Dunia Imesha Badilika Usikae Unatisga Watu ,Hao Mabepari HAWANA Chao TENA Zingatia Hilo
@ZahraZahra-wy6gcАй бұрын
Dj smaa chukua maua🎉🎉🎉🎉🎉yako
@SalmaKhamis-io4ei29 күн бұрын
Was was wangu mm ni vladmir puti wata mnyongaa.... Mungu amlinde kwakweli
@jerryndondole1965Ай бұрын
Fact and Logic
@hamzafishten9560Ай бұрын
Dj sma Salut sana ameen
@RamazaniMulongecaАй бұрын
Ahsante sana #DjSma
@raymrashАй бұрын
Mungu akupe kupona 🙏
@thelonewolf4429Ай бұрын
Yayaya Mungu atusaidiye aisee awa manyangau huwa mimi nikipenda au kushabikia rais huwa nawaponza wanauawa lakini awamu hii naamini hawata fanyikiwa lazima haki ishinde Kwajina la YESU amina
@user-tq4lx9si1nАй бұрын
Yesu mwenye niwao auulifkria babahako
@Brunotarimo10Ай бұрын
Kutoka 254 mpo visuri
@user-qq6mv6vh3eАй бұрын
Mungu yuko na wew utapona kaka
@aminatanzanya7475Ай бұрын
Tuko pamoja Dj Sma
@braystuskibassa3842Ай бұрын
Pole sana DJ Sma naamini mwenyezi Mungu atakufanyia wepesi
@DafiMohamed-dz8xkАй бұрын
Tanzania angekuwepo magufuli dah mamba yangekuwa poa sana lkn mama yeye ni mikopo tu IMF na World Bank kwenye trapped ni mtihani kweli
@KhamisHaji-wp8it27 күн бұрын
Allah akupe afya njema
@juliusdominic-uk4buАй бұрын
uko vzr Sma
@user-nk4oq4ek9yАй бұрын
Wacha waowane tu bro lkn dunia itaendelea tu kama kawa
@niyonkuruasmanАй бұрын
Smah tuko pamoja
@abdinoorkamau9745Ай бұрын
Respect 🇰🇪🇷🇺🙏
@Abdulmajid79072Ай бұрын
♥️🇷🇺
@jumamohamedkidiaunga9224Ай бұрын
💥💥💥💥
@user-km1dm8et9xАй бұрын
Jamaa mwongo anasema ata ugonjwa wake ni marekani kampa
@ibrahimaziz7158Ай бұрын
Hii sio utabiri ni hali ya kawaida tu kwamba ukiwa mpinzani wa marekani atakunyoosha tu
@HamisiGatuso20 күн бұрын
Upo sawa unajua sana
@mtulivu-ir1nqАй бұрын
Nawaza tu kuhusu mjomba magu kama kuna picha flani naipata hivi
@user-dg7wf6fg2jАй бұрын
Hatuchaguliwi rafiki wao hawachaguliwi dunia 😢inabadilika
@kikongajoel2693Ай бұрын
Mungu awalinde
@sembegumagosho4342Ай бұрын
Kwahyo walimuua na mzee wetu
@shukurumsebaloliАй бұрын
Off course
@kamanapomo7029Ай бұрын
Ndio, walituulia kiongoz wetu
@SAMA-jw4frАй бұрын
Dj Sma sasa unashirikiana na Mrusi halafu ukae tu bila ya kuwa na Security yao
@eddythedjtz1204Ай бұрын
Good to go
@Del_busi5Ай бұрын
Africa tume wakosea nini hao washenzi 😢
@evelynemugeni2369Ай бұрын
Neema zetu
@hassangaddafi2347Ай бұрын
Umesema ukweli kabisa kaka
@Ally-qi7xo29 күн бұрын
❤️❤️❤️🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇧🇮
@williamuphilipo2120Ай бұрын
Pamoja sn kiongozi unazidi kutufungia macho na akili
@davidwalalason7630Ай бұрын
Amen 🙏
@johnwillingstone3121Ай бұрын
Wafumbue mzee, wape madini
@princeabuu8297Ай бұрын
Kakaa zangu huku Kenya kiukweli tunawafuatilia ila niko na ombi tu kama itawezekena muwatafute kina Isaya Beson Mwakilembe ili tupate madini zaidi maana hao nao pia wanaupiga mwingi pande hizi za uchambuzi
@BabuGga-td3mgАй бұрын
IBM channel member
@happyfamily58Ай бұрын
Achana na ule wa congo 🇨🇩 ni ujinga yake mwenyewe na ile upinduzi ya njuzi ni jama yake mwenyewe
@vintz338Ай бұрын
Ndomaana Tanzania wannakataa uraia pacha ,ni njia ya mataifa makubwa kufanya nchi za kiafrica zisitawalike
@ankabut4434Ай бұрын
Oyoo
@aminaamina3972Ай бұрын
💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥
@deogratiusyudatadei5658Ай бұрын
Hivi wazungu wanajikutaga nani eti
@King_Of_EverythingАй бұрын
✌️👊👍.
@japharymagesa735Ай бұрын
Tz hatuna neno tupo tu 😂😂😂
@johnalto261929 күн бұрын
Hahahahha
@user-vi7ly9zh1qАй бұрын
Tunamuombe sana putin Allah amlinde wallahi awe mkombozi wadunia
@uwimana6533Ай бұрын
Akifa dunia inangamia ,na mungu ndie atakae mtuma mtume issa ajekuokoa wajawake duniani
@deathrow800428 күн бұрын
😂😂😂
@user-xc5mk4ro2zАй бұрын
Mzee tupo kuhusu magifulii kauliwa au kafa tu kwa ahadi
@GabrielSky6428 күн бұрын
Mwamba unachuki.sana na Mmarekani kama umatumwa na Mrussi na udini kweli unayo wala sio kupepesa macho
@richarddavidmk27 күн бұрын
Wawe makini
@user-rt1wf6se5f29 күн бұрын
Me naomba majeshi ndio yaya ongoze viongoz
@walidalboasy7990Ай бұрын
China imeibuka kama mshirika mkubwa zaidi wa kibiashara wa India na biashara ya njia mbili ya $ 118.4 bilioni mnamo 2023-24,
@djsma255Ай бұрын
🤝
@noelnjementi8511Ай бұрын
Kifo kwamrisi wamfumo wakishia wauwongo mtupu kuusu uislamu
@swaglishauto846Ай бұрын
Dj smaa nakkubali sana lakini kwenye hii umechelewa sana kusema kuwa viongozi wengi wa Africa na najuwa wewe ni moga wa raisi wetu mpendwa mangufuli kuwa aliuwawa kwasbabu ya haya unayo yaonge leo mbona hukusema
@Nuru-zr2yvАй бұрын
Humtakii mema mwenzio unaona jambo rahisi kuongea vi2 vizito km hivyo
@zuberisalum2004Ай бұрын
Kakaaaa kimya siumeichajuaa
@mlelwatv5831Ай бұрын
Tumia akili wewe 😂😂😂
@fredrickmatonange1345Ай бұрын
Shida yako ni bias
@uwimana6533Ай бұрын
Kunambwa zinashabikia urkain ishinde vita , unafikiria wakishinda vita dunia itakua salama , mungu ataingamiza dunia hapatobakia mtu hata moja 😂😂
@HorebuKasuku-zz8cjАй бұрын
Unataka tufe wote😆
@marckmasassi7466Ай бұрын
MUNGU SIO WA WATU WESTERN COUNTRIES AU AMERICA MUDA WAO UMEPITA HIYO NDIO TAARIFA INCHI IKISHA FIKA KILELENI HAINA KWA KWENDA TENA BARI NI KUDONDOKA NA MUDA HUO UMEFIKA KWA AMERICA NA VIBARAKA WAKE DON'T FORGET THAT
@Jibambeshow254kАй бұрын
Marais Wenye hawajatajua hapa kwa hii list inamaanisha wote wametawaliwa n hawa watu wa ngozii nyeupee yani hawana musimamo kwenye uongozii wao wengii wao ni matapeli n wanyanyasaji akiwemo Zakayo huyu jama mfupi kama bakuli y mboga uku Kenya 😏
@noelnjementi8511Ай бұрын
Kifo kwa putini namlisi yoyote Kwa mlisi wahayator haminey
@DattiKassimАй бұрын
Sahau Kwa Putin mpaka anastaafu
@ramadhanmazije388226 күн бұрын
Sasa na wewe unaweka wazi umafia wao watakuacha xalama DJ Smaa????
@Gulfnas1Ай бұрын
China kamu overtake USA 🇺🇸 kma biggest business partner wa India 🇮🇳!! Hatar kwa muhindi hi utaipenda kwa chuki au kwa moyo 😅
@mbarakamlawa7249Ай бұрын
Kuhusu Trump hujui kitu
@abdallahmmary8591Ай бұрын
Utabir wakifo hy umeupata wapi hy nishiriki Malaka Lmaut hajui siku mtu anapotolewa roho mpaka pale ALLAH ampe khabar usianze mauza uza.
@kassimbayuu5217Ай бұрын
Huyo smaa mwenye hajui Yeye anatabiri tu pia hana uhakika kama watakuja.
@aminatanzanya7475Ай бұрын
Kasem utabir half sio kila kifo Mungu anahusik vingine binadmu na tamaa zawo
@atutweve4160Ай бұрын
Yani huyu kaka hayupo sawa 🫣🤣🤣🤣🤣yani anatabiri nini sasa 😂😂😂
Acha kuchonganisha watu wewe roho mbaya tu bora ukae kimya tu sio lazima useme kila kitu
@cliff_drdr7340Ай бұрын
Ujatumwa Bro usikilize. Kama wew ujifunzi na unajuwa kila kitu Ni wewe ila tupo wakina sisi bado hatujui ila DJ Smaa akiposti madini kama haya tunafurahia kujifunza. Bro wacha nikufunze kitu kwenye maisha acha shobo dundo na kukatisha watu tamaa. Kwa mfano kitu unakijuwa au huna intrest nacho we kausha tu endelea na life yako sio lazima ucoment coz wapo watu wengine bado tunahitaji kujifunza. DJ Asma pamoja na Brother Frederick Bundala(Sky Walker) pamoja na timu yenu nawakubali sana na mnafanya kazi nzuri sana. Endeleeni kutuelimisha bado tunahitaji sana.
@Nuru-zr2yvАй бұрын
Akili kisoda,utakuwa mchawi
@atutweve4160Ай бұрын
@@cliff_drdr7340 na wewe acha shobo 🤣🤣🤣kwa comment za watu mbona unajisema, anatabir vitu gani sasa 😂😂😂😂😂
@atutweve4160Ай бұрын
@@Nuru-zr2yv baba ako mchawi hadi mtaani kwenu kafukuzwa 🤣
@SM-fu1yvАй бұрын
Putin arushe tu lichuma mbona ana chelewa
@uwimana6533Ай бұрын
Vita nisiasa siokupiga tu 😂😂
@noelnjementi8511Ай бұрын
Kisasi chakwer chaisrael kimewauma sn neset na nashilika laisrael inatisha
@Nuru-zr2yvАй бұрын
Rudi shule kwanza ujifunze kuandika
@africanmandetraveler2847Ай бұрын
Siku ukijifunza kuandika vizuri ndio tutakuelewa unacho maanisha.
@zenooernest18Ай бұрын
Broh US is a genius in nature hata uweje atakung'oa tu Walikuepo akina ADOLFU HITRA wababe wa dunia but atlast aliwango'a sembuse sijui hawa wa sasa ooh mara PUTN , hahahaha ni swala la muda tu atawabutua tu
@DattiKassimАй бұрын
Toa ujinga huooo
@DattiKassimАй бұрын
Sasa huyo Hitler alitolewa na usa ujui historia wewe
@emmanuelmasele4990Ай бұрын
ujui historia Hitler kapigwa na urusi
@zenooernest18Ай бұрын
Endelea kudanganywa baada ya HITRA kuua mamailion ya wayuhudi ndipo USA alipo amua kudefend Israel na kubutua HITRA. Sihivo tu mkumbuke Osma, sadam etc wote walibutuliwa That's simple USA akikukosa Rais huyu, jua atakae fuata atakubutua tu
@mlelwatv5831Ай бұрын
Hujui historia broo hilter alipigwa na Russia 😊
@noelnjementi8511Ай бұрын
Kifo kwa mrisi wa hayayora haminey na putini dawa yake IPO jikoni niswara lamda tu
@AwateeАй бұрын
Unavo pangia watu vifo kama weye ndio unae wapa pumzi unaweza ukatangulia weye ukawaacha wao
@AwateeАй бұрын
Utafikiri weye unatoa pumzi unaweza ukatangulia weye na ukawaacha wao