TANZANIA yajipanga kurusha SATELLITE yake angani, Ally Masubi anafafanua zinavyofanya kazi

  Рет қаралды 16,739

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Ай бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 142
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 Ай бұрын
Jicho la mwewe.. mfano rahisi hata kwa ambaye hajafka shule kuelewa. Makini sana kazi njema.
@JafariHamisi-gu4ef
@JafariHamisi-gu4ef Ай бұрын
Hongera sana mama samia raisi wetu mungu akulinde
@aminata3702
@aminata3702 Ай бұрын
😄
@user-ic1fs9bf1v
@user-ic1fs9bf1v Ай бұрын
Hapo sawa hata mm ntawasadia ili wajue Tanzania 🇹🇿 we are Educated
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 Ай бұрын
Hii nchi ni ngumu kwa sababu ya ufisadi wa viongozi
@MichaelJoseph-uc4zk
@MichaelJoseph-uc4zk Ай бұрын
😂😂😂😂😂 hongera nchi yangu Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@peterdavid20149
@peterdavid20149 Ай бұрын
Viongozi hao ndio hao wanaohongwa na makampuni ya simu ili waendelee kunyonya wananchi
@mohamedaboud8019
@mohamedaboud8019 Ай бұрын
Hongera kwa Kenya nilikua sijui hili.. Asante sns
@user-jt5we5hg4v
@user-jt5we5hg4v Ай бұрын
Jamaa anajua sana
@jacobletema3681
@jacobletema3681 Ай бұрын
Umeme, maji, reli, huduma za afya bado ni shida tu!
@rojatv167
@rojatv167 Ай бұрын
Aizuii vitu vingine vifanyike hata USA Wana machokolaa japo wameendelea kiuchumi
@SamG-hs9xe
@SamG-hs9xe Ай бұрын
Unaitaji inchi Burundi 🇧🇮🇧🇮 yangu amakwelia wew ni mwoto na nakutabiliya wew utakija kuwa mtagadzadji mkubwa duniani babu
@J4UPro
@J4UPro Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@JosephKapanga
@JosephKapanga Ай бұрын
Upo sawa, serikali iwekeze Sasa katika technology ya kutengeneza satellite ya kwetu Tanzania.Tuache ujinga wa kuomba misaada Toka nchi za magharibi na washirika wake.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Ай бұрын
Mungu Mkubwa, Mungu ibarik Tanzania, Mungu awabarik Viongozi wetu wote , Ila wajiandae na maadui wanaweza waifanyie mchezo mchafu huko angani
@jamesmboneko2952
@jamesmboneko2952 29 күн бұрын
Tanzania gani, ama kuna nyingine hapa Duniani
@khadijaalimohd1320
@khadijaalimohd1320 Ай бұрын
MMESHINDWA KITU KIDOGOTU UMEME NA MAJITU 24HRS MMESHINDWA..WACHENI UJINGA HEBU.MSITUFANYE WATOTO
@assateke7199
@assateke7199 Ай бұрын
Mwendokasi wapi?
@raymondmushi9019
@raymondmushi9019 4 күн бұрын
Hii ni hatua kubwa kwetu tz.kwa maana nchi itakuwa inafanya mambo yake kwa uhakika zaidi.
@BrightVistaMedia
@BrightVistaMedia Ай бұрын
Mh, Saaaaawa ,so amazing
@makeyzanmakey7324
@makeyzanmakey7324 Ай бұрын
Habar njema ❤❤
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Ай бұрын
Satellite pia inafanya kazi ya utafiti kama vile nchi yetu ina madini nchi nzima Germany wanadai Tanzania ina madini mengi ila Sisi hata serikali haijui lazima kufanya utafiti nchi zima hilo ni muhimu na inawezekana .
@yussufyussuf7686
@yussufyussuf7686 Ай бұрын
Niatua nzuli lkn yakwetu ilushwe china au kw kiboko ya mashoga Putin
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 Ай бұрын
CBora tukarushie Urusi
@imanuelnguya9277
@imanuelnguya9277 Ай бұрын
Asante sana mchambuzi
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 Ай бұрын
Wametengeneza wenyewe au ni wahind,wachina na wazungu watasaidia kuirusha.
@MalengaEleme
@MalengaEleme Ай бұрын
Mwamba unajua hongera kaka
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Ай бұрын
Kwa faida nyingine hata garama za mawasiliano ninaweza kuwa nafuu zaidi ya Sasa
@japharymagesa735
@japharymagesa735 Ай бұрын
Kama halijaanguka mniite mbwa
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Ай бұрын
😂😂😂😂 hongera serikali muhimu sanaa hasa kwa usalama mawasiliano biashara uchumi nk nchi kama Tanzania nchi kubwa hilo mmefanya jambo kubwa .
@user-hb6rs4zn5z
@user-hb6rs4zn5z Ай бұрын
ukweli🇹🇿💪💪
@RutaRubedi
@RutaRubedi Ай бұрын
😂😂😂 mtatuuwa, hayajaisha ya robot mnaleta satellite!
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Ай бұрын
Naomba Mungu isiwe na satellite ya kimarekani au Ulaya magharibi thus over
@TeophilBuilding
@TeophilBuilding Ай бұрын
Kwa udhamini wa Marekani
@johnmalembeka3546
@johnmalembeka3546 Ай бұрын
Sisi hatutaki hyo mamb tunataka maendeleo yaonekane kwanza miradi kibao haijakamilika tena mnataka mkimbilie uko dah kwel chukua chako mapema
@husseinhemedi9314
@husseinhemedi9314 Ай бұрын
🇹🇿🙏
@japharymagesa735
@japharymagesa735 Ай бұрын
Hatutaki maneno rusheni tuone mbona misifa😅😅😅
@ziongate5464
@ziongate5464 Ай бұрын
Shukran sana Aly
@Soon815
@Soon815 Ай бұрын
WaTanzania wengi akil ndogo!! Nikuropoka-ropoka tu kichwan hamna kitu! Hiyo Satelite ni zile ndogo kwa ajili ya mawasiliano na surveillance kama nchi tunaweza na sio lazma irushwe kutoka ardhi ya Tz inaweza rushwa USA,UK,China etc lakini ikawa ya Tz.
@issamuhammedi
@issamuhammedi Ай бұрын
Aaa kumbe ivo kama ndege vile
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Ай бұрын
👍✌️👊.
@water_music40
@water_music40 Ай бұрын
Kwahiyo mtu akinisariti nitamuta sateraiti yeye ni chombo kinacho nizunguka. kumbe yuda msaliti ni sateraiti😂😂😂
@Niika870
@Niika870 Ай бұрын
Safiii kabisa fanyen kweli tuvimbe
@muduboy726
@muduboy726 Ай бұрын
Mpaka wapewe ruhusa na wazungu la sivyo hakuna kurusha
@khamisomar889
@khamisomar889 Ай бұрын
Azam sio wadhamini kwann waewe air time hii kibiashara haijakaa sawa
@raymondmushi9019
@raymondmushi9019 4 күн бұрын
Halafu kuna watu wa nchi hii hawaoni kazi kubwa inayofanywa na mh Rais wa JMT mama SSH.
@user-ny2cd9dt1d
@user-ny2cd9dt1d Ай бұрын
Ushauri mzuri sana Ally. Ila serikali nayo ijitahidi kuwekeza nguvu zake mno kwenye Vyuo vya Ufundi technologies ikuzwe huko naimani Tutatoboa. Na pia washauli wetu wa nje tuwemakini nao. Lazima tutizame nani wa kushikana nae.
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 23 күн бұрын
Kabisa vyuo viwezeshwe.elimu ndo kila kitu.
@jumahamis227
@jumahamis227 Ай бұрын
oya make hapo kwanza nchekee 😂, sema aliwazalo mjinga ndo litakalomtokea 😅.
@peacejunne5037
@peacejunne5037 Ай бұрын
Mmmmmh hapo kwanza ncheke Hah SHAMBA LA BIBI HALIWEZI KUJIENDESHA KTK ANGA YAKE labda drons ifungiwe camera c vinginevyo
@-magicstory
@-magicstory Ай бұрын
Wait wait wait kumbe kuna nchi nyingine inaitwa tanzania na amtwambiii😂😂😂😂Bongo sisi umbea tu setillite tuwaachie warusi😂😂
@NduwayezuJosue
@NduwayezuJosue 22 күн бұрын
Mama samia Ana waza
@estherpaul3864
@estherpaul3864 Ай бұрын
Namshukuru sana rais wangu mheshimiwa samia suruhu Hassan❤️
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 Ай бұрын
Edited😂
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza Ай бұрын
Huyo amekariri tokea kwenye vitabu.
@jumamayonga8914
@jumamayonga8914 Ай бұрын
Hii ndiyo teknolojia ya kuwafundisha wanafunzi wetu badala ya kuwakaririsha kuwa binadamu alitokana na sokwe
@yussufyussuf7686
@yussufyussuf7686 Ай бұрын
Hatutaki ilushwe Us km kenya US watatudukua vitu vya selekali yetu
@Masekohope
@Masekohope Ай бұрын
Mumefanya bizuri sana rakini watu wa Rwanda tunawo muwunganishe mitandawo na Tz kwasababu tunapenda bipindi bya Tz
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 Ай бұрын
nipo mjini kabisa na kunamgao wa maji hio mtaweza kulusha ,,Angalieni msije mkalusha kimba😎😎😎
@realswahilicultural8140
@realswahilicultural8140 Ай бұрын
Viongozi kama ndo kina Nape ambao Awana visions kabisa badala ya kumwelekeza mama Wana bakia tu kumsifiab..kiukweli inavyunja moyo😢
@edwardlesian9318
@edwardlesian9318 Ай бұрын
Hiiii maajabu ngoja tuone walahi😂😂😂
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 Ай бұрын
Mwenzang
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 Ай бұрын
Mweeeeeh
@issamuhammedi
@issamuhammedi Ай бұрын
Maji Barbara na umeme mmmh
@atutweve4160
@atutweve4160 Ай бұрын
🤣😂😂😂😂😂😂
@ISSACKRICHARD
@ISSACKRICHARD Ай бұрын
Tanzania kurushiwa satelait sio kurusha akuna mtz anaweza ayo mambo😂😂😂😂
@aishaarusha894
@aishaarusha894 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 mungu tusaidie isije ikaenda juu ikaturudia chini 😊
@SmartMC-bp9yg
@SmartMC-bp9yg Ай бұрын
Mtu mkubwa miaka yake inaanza na miaka 18 tukumbuke na hilo.
@lucasbatano333
@lucasbatano333 Ай бұрын
Ngoja tusubiri😂
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza Ай бұрын
Watamwomba mchina au mkorea tanzania hawawezi kutengeza setellite hizo ni hadithi za Abunuwas.wanasayansi wote wasomi wote akili yao nikuingia bungeni apate mishahara mikubwa. Wala msipoteze mda kuwasikiliza .hadithi hizo
@MichaelJoseph-uc4zk
@MichaelJoseph-uc4zk Ай бұрын
Jamani isije ikatuangukia ikatupasua Vichwa😂😂😂😂😂
@Chiboe805
@Chiboe805 Ай бұрын
Watot was shule za msingi wanakaaa chini kwenye mawe, Bado tuna sera ya nyumba ni chooo 😌 How sas 🤷‍♂️
@Zuu673
@Zuu673 Ай бұрын
😂😂😂😂😂sijui nacheka nn
@FerdinandCharles-ko7de
@FerdinandCharles-ko7de Ай бұрын
😂😂😂 Tanzania kulusha roket
@Zuu673
@Zuu673 Ай бұрын
@@FerdinandCharles-ko7de 😄 🤣 😂
@FerdinandCharles-ko7de
@FerdinandCharles-ko7de Ай бұрын
​@@Zuu673 lengo kubwa ni kujua utabir wa hali ya hewa mafuriko yamezid
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 Ай бұрын
Isije kuwa mbinu ya kutupiga jasho letu halafu hakuna kitu
@MS.independent8934
@MS.independent8934 Ай бұрын
Nimecheka aisee hii habari ya TZ kurusha ebuu mniache bhanaa 😂😂😂my🇹🇿 banana hakuishi vihoja
@RamadanPaul
@RamadanPaul Ай бұрын
Punguza dharau wewe, unajiona ni wa chini sana sio. Jiamini kila kitu kinawezekana.
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e Ай бұрын
Hahahahahaha km hatuwez kutemgeza hata Wembee Leo sataleti mhuuu
@kwisa4899
@kwisa4899 Ай бұрын
sehemu rahisi kuibia serikali
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 Ай бұрын
Hamna kitu hapo,mikwara mitupu,
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 Ай бұрын
Rais gani aliesema
@sbboymkaliofficial9108
@sbboymkaliofficial9108 23 күн бұрын
Isije ikawa Iyo satalaiti Ina tumia mafuta ya taaa maana Tanzania yangu Mimi kah 😂😂😂😂
@SmartMC-bp9yg
@SmartMC-bp9yg Ай бұрын
Mbona hii ni kama ishara ya kurudi kwa bana yesu mhhhhh.
@saidyabdalla7410
@saidyabdalla7410 Ай бұрын
Tutafika mbari
@suleimanmakame2762
@suleimanmakame2762 Ай бұрын
Jojol O 😮😊
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp Ай бұрын
Katiba mmeshndwa wiz mtupu setraight
@jasminmdimi6059
@jasminmdimi6059 Ай бұрын
Eeh tumepiga hatua😂😂
@user-ql6hg7fy9p
@user-ql6hg7fy9p Ай бұрын
Waamini viongozi wa sasa hivi lakini kamwe usiamini maneno yao kwani wote wana sura mbili hawaaminiki kabisa, maneno mengi vitendo hamna kabisa, jambo ambalo lilishindwa kuanzishwa kipindi cha mzalendo wa kweli JPM sahau kufanyika wakati huu na ikitokea imefanyika itakuwa kwa ufadhili wa mabeberu Marekani.
@upgo6112
@upgo6112 27 күн бұрын
Isije kuwa kama robot la nape
@alakhy1-yi2pn
@alakhy1-yi2pn Ай бұрын
Ebwanaeeee hebu tuache kutafuta hatari bhn
@ShukranMwakyambo
@ShukranMwakyambo Ай бұрын
Wasije wakatusababishia matatizoo
@richardburundi3090
@richardburundi3090 Ай бұрын
Ijipangekwanza kiucumi wcimbe mafuta iri Wana inci wafaidik hio haina faidayoyote kwawatu wadogo wadogo
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 Ай бұрын
Maelezo hayo ya setilite ni nini na jinsi zinavyo fanya kazi, ndio mpango kazi mkakati wa Wizara ya Habari na Teknolojia wa kuwa na Setilite yake angani??
@nicenice3881
@nicenice3881 Ай бұрын
✅✅🇹🇿🇹🇿
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 Ай бұрын
Hivi nyinyi mnaiona ni neema kwenu?
@user-qo2dk6iv3u
@user-qo2dk6iv3u Ай бұрын
Na nchi kama Iran nao wanalusha zakwao satalaiti Tena wanaunda mifumo mitambo yakwao wenyewe yakuzilushia
@theuniversetv2870
@theuniversetv2870 24 күн бұрын
Kuzunguruka au kuzunguka??😂😂
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 Ай бұрын
Mfumo wa elimu ndio sababu kubwa ya kufika huko n.k
@user-hw2gq9lp4p
@user-hw2gq9lp4p Ай бұрын
😂😂hizi ni bhangi kabsaa
@khamisfarouk9493
@khamisfarouk9493 Ай бұрын
Jaman mbna mnacheka wandugu mbona kwa robot tulweza em tujikubal bhana😂
@peninashungu6633
@peninashungu6633 Ай бұрын
Kwani mmeshamalizana na roboti kwanza😂😂anaongea au mpaka umeme uwepo
@josephmabula9658
@josephmabula9658 Ай бұрын
Maigizo hayo,,kurusha wapi
@konshazikonsha6180
@konshazikonsha6180 Ай бұрын
Ungeambiwa Wanarusha shangazi zako wa nnchi nyingine,ungeamini uwongo🤔🤔😇😇😇 Jikubali mwa Africa unaweza piaa!!!
@rogatemsangi6418
@rogatemsangi6418 Ай бұрын
Itaruka kwel !
@user-xc7qj7ze7m
@user-xc7qj7ze7m Ай бұрын
Kama yule mdoli mjengoni mkatupiga bado na tiala mnaita satelaiti
@Badvoice707
@Badvoice707 Ай бұрын
aitadondoka kweli 😮😮😮😮
@bbanyikwa
@bbanyikwa Ай бұрын
😂😂😂😂
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in Ай бұрын
😂😂😂 Itakua kama Robot unice
@Zillionking627
@Zillionking627 Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Kituramohamed9698
@Kituramohamed9698 Ай бұрын
Kutoka kenye robot mpaka satellite 😂😂😂😂😂 lille roboti si redio ya kichina imewekwa flash 😊😊😊😊 😋😋😋
@user-kx4wd5vb4j
@user-kx4wd5vb4j Ай бұрын
Iwe kama yule roboti wa bungeni.huduma za afya zimewashinda munataka kutuingizia gharama za kitaifa ambazo hazitafanikiwa kwa 100%.
@Kagineemmanuel
@Kagineemmanuel Ай бұрын
Hujielewi umeme tu mtiani alafu unaongelea anga la mbali?
@amosmakabara3024
@amosmakabara3024 Ай бұрын
Brother wewe nipacha ya mirad ayo
@khatibkhatib730
@khatibkhatib730 Ай бұрын
Kwanza watu wote wana uhakika wa chakula ?
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 Ай бұрын
Nenda kalime
@hanspop6961
@hanspop6961 Ай бұрын
Wewe unawaza Tumbo tu Tangia uanze Kula Umefaidika nn, Watu wanaongea Vitu Serious vya Nchi unaleta Njaa
@khatibkhatib730
@khatibkhatib730 Ай бұрын
Ukila ukishiba utaweza kuwaza mambo kama hayo ,usijiangalie wewe peke yako ,angalia mambo kwa ujumla wake
@mohammededy7086
@mohammededy7086 Ай бұрын
Isipo dondoka ata haijavuka anga nipo pale
@hafidhmasoud5421
@hafidhmasoud5421 Ай бұрын
😂😂😂
@atutweve4160
@atutweve4160 Ай бұрын
😂😂😂😂
@emmadora7848
@emmadora7848 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jumamayonga8914
@jumamayonga8914 Ай бұрын
Viongozi wetu mnamsikia huyo mtaalamu?
@huthhuthlih5858
@huthhuthlih5858 Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ТАМАЕВ vs ВЕНГАЛБИ. ФИНАЛЬНАЯ ГОНКА! BMW M5 против CLS
47:36
World’s Deadliest Obstacle Course!
28:25
MrBeast
Рет қаралды 123 МЛН
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41
Choose a truck for Mom ♥️ #shorts #viral #truck #cars
0:12
Fastlane
Рет қаралды 6 МЛН
Самый безопасный мотоцикл в мире 🏍️
0:37
ОМЕГА шортс
Рет қаралды 13 МЛН
heavy-duty electric engineering 5-wheeler 4WD cross-axleSuper power and long range part488
0:26
Heavy Deuty Electric Tricycle2.1
Рет қаралды 5 МЛН
This is how 😂 #miata #mx5 #shorts
0:10
Miata Nation
Рет қаралды 10 МЛН
ТЕРМОСТОЙКИЕ шины ПОГРУЗЧИКОВ 😱 #Shorts
0:25
ФАКТОГРАФ
Рет қаралды 3,5 МЛН