TANZANIA yajipanga kurusha SATELLITE yake angani, Ally Masubi anafafanua zinavyofanya kazi

  Рет қаралды 16,498

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

25 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 140
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 23 күн бұрын
Jicho la mwewe.. mfano rahisi hata kwa ambaye hajafka shule kuelewa. Makini sana kazi njema.
@user-ic1fs9bf1v
@user-ic1fs9bf1v 23 күн бұрын
Hapo sawa hata mm ntawasadia ili wajue Tanzania 🇹🇿 we are Educated
@JafariHamisi-gu4ef
@JafariHamisi-gu4ef 23 күн бұрын
Hongera sana mama samia raisi wetu mungu akulinde
@aminata3702
@aminata3702 22 күн бұрын
😄
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 23 күн бұрын
Hii nchi ni ngumu kwa sababu ya ufisadi wa viongozi
@MichaelJoseph-uc4zk
@MichaelJoseph-uc4zk 23 күн бұрын
😂😂😂😂😂 hongera nchi yangu Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@mohamedaboud8019
@mohamedaboud8019 23 күн бұрын
Hongera kwa Kenya nilikua sijui hili.. Asante sns
@peterdavid20149
@peterdavid20149 23 күн бұрын
Viongozi hao ndio hao wanaohongwa na makampuni ya simu ili waendelee kunyonya wananchi
@user-jt5we5hg4v
@user-jt5we5hg4v 23 күн бұрын
Jamaa anajua sana
@BrightVistaMedia
@BrightVistaMedia 23 күн бұрын
Mh, Saaaaawa ,so amazing
@makeyzanmakey7324
@makeyzanmakey7324 23 күн бұрын
Habar njema ❤❤
@JosephKapanga
@JosephKapanga 23 күн бұрын
Upo sawa, serikali iwekeze Sasa katika technology ya kutengeneza satellite ya kwetu Tanzania.Tuache ujinga wa kuomba misaada Toka nchi za magharibi na washirika wake.
@imanuelnguya9277
@imanuelnguya9277 23 күн бұрын
Asante sana mchambuzi
@SamG-hs9xe
@SamG-hs9xe 23 күн бұрын
Unaitaji inchi Burundi 🇧🇮🇧🇮 yangu amakwelia wew ni mwoto na nakutabiliya wew utakija kuwa mtagadzadji mkubwa duniani babu
@J4UPro
@J4UPro 22 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@jamesmboneko2952
@jamesmboneko2952 20 күн бұрын
Tanzania gani, ama kuna nyingine hapa Duniani
@jacobletema3681
@jacobletema3681 23 күн бұрын
Umeme, maji, reli, huduma za afya bado ni shida tu!
@rojatv167
@rojatv167 22 күн бұрын
Aizuii vitu vingine vifanyike hata USA Wana machokolaa japo wameendelea kiuchumi
@yussufyussuf7686
@yussufyussuf7686 23 күн бұрын
Niatua nzuli lkn yakwetu ilushwe china au kw kiboko ya mashoga Putin
@MalengaEleme
@MalengaEleme 23 күн бұрын
Mwamba unajua hongera kaka
@user-hb6rs4zn5z
@user-hb6rs4zn5z 23 күн бұрын
ukweli🇹🇿💪💪
@user-ny2cd9dt1d
@user-ny2cd9dt1d 21 күн бұрын
Ushauri mzuri sana Ally. Ila serikali nayo ijitahidi kuwekeza nguvu zake mno kwenye Vyuo vya Ufundi technologies ikuzwe huko naimani Tutatoboa. Na pia washauli wetu wa nje tuwemakini nao. Lazima tutizame nani wa kushikana nae.
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 14 күн бұрын
Kabisa vyuo viwezeshwe.elimu ndo kila kitu.
@husseinhemedi9314
@husseinhemedi9314 23 күн бұрын
🇹🇿🙏
@khadijaalimohd1320
@khadijaalimohd1320 23 күн бұрын
MMESHINDWA KITU KIDOGOTU UMEME NA MAJITU 24HRS MMESHINDWA..WACHENI UJINGA HEBU.MSITUFANYE WATOTO
@assateke7199
@assateke7199 23 күн бұрын
Mwendokasi wapi?
@TeophilBuilding
@TeophilBuilding 23 күн бұрын
Kwa udhamini wa Marekani
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 21 күн бұрын
Kwa faida nyingine hata garama za mawasiliano ninaweza kuwa nafuu zaidi ya Sasa
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 23 күн бұрын
👍✌️👊.
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 23 күн бұрын
Wametengeneza wenyewe au ni wahind,wachina na wazungu watasaidia kuirusha.
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 23 күн бұрын
Naomba Mungu isiwe na satellite ya kimarekani au Ulaya magharibi thus over
@khamisomar889
@khamisomar889 23 күн бұрын
Azam sio wadhamini kwann waewe air time hii kibiashara haijakaa sawa
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 23 күн бұрын
Satellite pia inafanya kazi ya utafiti kama vile nchi yetu ina madini nchi nzima Germany wanadai Tanzania ina madini mengi ila Sisi hata serikali haijui lazima kufanya utafiti nchi zima hilo ni muhimu na inawezekana .
@peacejunne5037
@peacejunne5037 21 күн бұрын
Mmmmmh hapo kwanza ncheke Hah SHAMBA LA BIBI HALIWEZI KUJIENDESHA KTK ANGA YAKE labda drons ifungiwe camera c vinginevyo
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 23 күн бұрын
😂😂😂😂 hongera serikali muhimu sanaa hasa kwa usalama mawasiliano biashara uchumi nk nchi kama Tanzania nchi kubwa hilo mmefanya jambo kubwa .
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 22 күн бұрын
CBora tukarushie Urusi
@japharymagesa735
@japharymagesa735 23 күн бұрын
Hatutaki maneno rusheni tuone mbona misifa😅😅😅
@estherpaul3864
@estherpaul3864 23 күн бұрын
Namshukuru sana rais wangu mheshimiwa samia suruhu Hassan❤️
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 23 күн бұрын
Edited😂
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 23 күн бұрын
Mungu Mkubwa, Mungu ibarik Tanzania, Mungu awabarik Viongozi wetu wote , Ila wajiandae na maadui wanaweza waifanyie mchezo mchafu huko angani
@Niika870
@Niika870 23 күн бұрын
Safiii kabisa fanyen kweli tuvimbe
@NduwayezuJosue
@NduwayezuJosue 13 күн бұрын
Mama samia Ana waza
@johnmalembeka3546
@johnmalembeka3546 23 күн бұрын
Sisi hatutaki hyo mamb tunataka maendeleo yaonekane kwanza miradi kibao haijakamilika tena mnataka mkimbilie uko dah kwel chukua chako mapema
@japharymagesa735
@japharymagesa735 23 күн бұрын
Kama halijaanguka mniite mbwa
@ziongate5464
@ziongate5464 23 күн бұрын
Shukran sana Aly
@Soon815
@Soon815 23 күн бұрын
WaTanzania wengi akil ndogo!! Nikuropoka-ropoka tu kichwan hamna kitu! Hiyo Satelite ni zile ndogo kwa ajili ya mawasiliano na surveillance kama nchi tunaweza na sio lazma irushwe kutoka ardhi ya Tz inaweza rushwa USA,UK,China etc lakini ikawa ya Tz.
@issamuhammedi
@issamuhammedi 23 күн бұрын
Aaa kumbe ivo kama ndege vile
@jumahamis227
@jumahamis227 23 күн бұрын
oya make hapo kwanza nchekee 😂, sema aliwazalo mjinga ndo litakalomtokea 😅.
@jumamayonga8914
@jumamayonga8914 22 күн бұрын
Hii ndiyo teknolojia ya kuwafundisha wanafunzi wetu badala ya kuwakaririsha kuwa binadamu alitokana na sokwe
@muduboy726
@muduboy726 22 күн бұрын
Mpaka wapewe ruhusa na wazungu la sivyo hakuna kurusha
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza 22 күн бұрын
Huyo amekariri tokea kwenye vitabu.
@yussufyussuf7686
@yussufyussuf7686 23 күн бұрын
Hatutaki ilushwe Us km kenya US watatudukua vitu vya selekali yetu
@RutaRubedi
@RutaRubedi 23 күн бұрын
😂😂😂 mtatuuwa, hayajaisha ya robot mnaleta satellite!
@water_music40
@water_music40 20 күн бұрын
Kwahiyo mtu akinisariti nitamuta sateraiti yeye ni chombo kinacho nizunguka. kumbe yuda msaliti ni sateraiti😂😂😂
@Masekohope
@Masekohope 23 күн бұрын
Mumefanya bizuri sana rakini watu wa Rwanda tunawo muwunganishe mitandawo na Tz kwasababu tunapenda bipindi bya Tz
@suleimanmakame2762
@suleimanmakame2762 23 күн бұрын
Jojol O 😮😊
@-magicstory
@-magicstory 23 күн бұрын
Wait wait wait kumbe kuna nchi nyingine inaitwa tanzania na amtwambiii😂😂😂😂Bongo sisi umbea tu setillite tuwaachie warusi😂😂
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 23 күн бұрын
Hivi nyinyi mnaiona ni neema kwenu?
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 23 күн бұрын
Isije kuwa mbinu ya kutupiga jasho letu halafu hakuna kitu
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 23 күн бұрын
Hahahahahaha km hatuwez kutemgeza hata Wembee Leo sataleti mhuuu
@kwisa4899
@kwisa4899 23 күн бұрын
sehemu rahisi kuibia serikali
@lucasbatano333
@lucasbatano333 23 күн бұрын
Ngoja tusubiri😂
@realswahilicultural8140
@realswahilicultural8140 23 күн бұрын
Viongozi kama ndo kina Nape ambao Awana visions kabisa badala ya kumwelekeza mama Wana bakia tu kumsifiab..kiukweli inavyunja moyo😢
@aishaarusha894
@aishaarusha894 23 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 mungu tusaidie isije ikaenda juu ikaturudia chini 😊
@Zuu673
@Zuu673 23 күн бұрын
😂😂😂😂😂sijui nacheka nn
@FerdinandCharles-ko7de
@FerdinandCharles-ko7de 23 күн бұрын
😂😂😂 Tanzania kulusha roket
@Zuu673
@Zuu673 23 күн бұрын
@@FerdinandCharles-ko7de 😄 🤣 😂
@FerdinandCharles-ko7de
@FerdinandCharles-ko7de 23 күн бұрын
​@@Zuu673 lengo kubwa ni kujua utabir wa hali ya hewa mafuriko yamezid
@edwardlesian9318
@edwardlesian9318 23 күн бұрын
Hiiii maajabu ngoja tuone walahi😂😂😂
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 23 күн бұрын
Mwenzang
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 23 күн бұрын
Mweeeeeh
@issamuhammedi
@issamuhammedi 23 күн бұрын
Maji Barbara na umeme mmmh
@atutweve4160
@atutweve4160 23 күн бұрын
🤣😂😂😂😂😂😂
@ISSACKRICHARD
@ISSACKRICHARD 23 күн бұрын
Tanzania kurushiwa satelait sio kurusha akuna mtz anaweza ayo mambo😂😂😂😂
@Chiboe805
@Chiboe805 22 күн бұрын
Watot was shule za msingi wanakaaa chini kwenye mawe, Bado tuna sera ya nyumba ni chooo 😌 How sas 🤷‍♂️
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 23 күн бұрын
nipo mjini kabisa na kunamgao wa maji hio mtaweza kulusha ,,Angalieni msije mkalusha kimba😎😎😎
@MS.independent8934
@MS.independent8934 23 күн бұрын
Nimecheka aisee hii habari ya TZ kurusha ebuu mniache bhanaa 😂😂😂my🇹🇿 banana hakuishi vihoja
@RamadanPaul
@RamadanPaul 23 күн бұрын
Punguza dharau wewe, unajiona ni wa chini sana sio. Jiamini kila kitu kinawezekana.
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 23 күн бұрын
Hamna kitu hapo,mikwara mitupu,
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 23 күн бұрын
Maelezo hayo ya setilite ni nini na jinsi zinavyo fanya kazi, ndio mpango kazi mkakati wa Wizara ya Habari na Teknolojia wa kuwa na Setilite yake angani??
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza 22 күн бұрын
Watamwomba mchina au mkorea tanzania hawawezi kutengeza setellite hizo ni hadithi za Abunuwas.wanasayansi wote wasomi wote akili yao nikuingia bungeni apate mishahara mikubwa. Wala msipoteze mda kuwasikiliza .hadithi hizo
@SmartMC-bp9yg
@SmartMC-bp9yg 23 күн бұрын
Mtu mkubwa miaka yake inaanza na miaka 18 tukumbuke na hilo.
@MichaelJoseph-uc4zk
@MichaelJoseph-uc4zk 23 күн бұрын
Jamani isije ikatuangukia ikatupasua Vichwa😂😂😂😂😂
@josephmabula9658
@josephmabula9658 23 күн бұрын
Maigizo hayo,,kurusha wapi
@konshazikonsha6180
@konshazikonsha6180 23 күн бұрын
Ungeambiwa Wanarusha shangazi zako wa nnchi nyingine,ungeamini uwongo🤔🤔😇😇😇 Jikubali mwa Africa unaweza piaa!!!
@nicenice3881
@nicenice3881 23 күн бұрын
✅✅🇹🇿🇹🇿
@jasminmdimi6059
@jasminmdimi6059 23 күн бұрын
Eeh tumepiga hatua😂😂
@richardburundi3090
@richardburundi3090 23 күн бұрын
Ijipangekwanza kiucumi wcimbe mafuta iri Wana inci wafaidik hio haina faidayoyote kwawatu wadogo wadogo
@saidyabdalla7410
@saidyabdalla7410 23 күн бұрын
Tutafika mbari
@SmartMC-bp9yg
@SmartMC-bp9yg 23 күн бұрын
Mbona hii ni kama ishara ya kurudi kwa bana yesu mhhhhh.
@sbboymkaliofficial9108
@sbboymkaliofficial9108 14 күн бұрын
Isije ikawa Iyo satalaiti Ina tumia mafuta ya taaa maana Tanzania yangu Mimi kah 😂😂😂😂
@alakhy1-yi2pn
@alakhy1-yi2pn 23 күн бұрын
Ebwanaeeee hebu tuache kutafuta hatari bhn
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 23 күн бұрын
Katiba mmeshndwa wiz mtupu setraight
@Badvoice707
@Badvoice707 23 күн бұрын
aitadondoka kweli 😮😮😮😮
@bbanyikwa
@bbanyikwa 22 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-qo2dk6iv3u
@user-qo2dk6iv3u 23 күн бұрын
Na nchi kama Iran nao wanalusha zakwao satalaiti Tena wanaunda mifumo mitambo yakwao wenyewe yakuzilushia
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 23 күн бұрын
Rais gani aliesema
@upgo6112
@upgo6112 18 күн бұрын
Isije kuwa kama robot la nape
@user-ql6hg7fy9p
@user-ql6hg7fy9p 23 күн бұрын
Waamini viongozi wa sasa hivi lakini kamwe usiamini maneno yao kwani wote wana sura mbili hawaaminiki kabisa, maneno mengi vitendo hamna kabisa, jambo ambalo lilishindwa kuanzishwa kipindi cha mzalendo wa kweli JPM sahau kufanyika wakati huu na ikitokea imefanyika itakuwa kwa ufadhili wa mabeberu Marekani.
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 23 күн бұрын
Mfumo wa elimu ndio sababu kubwa ya kufika huko n.k
@khamisfarouk9493
@khamisfarouk9493 23 күн бұрын
Jaman mbna mnacheka wandugu mbona kwa robot tulweza em tujikubal bhana😂
@ShukranMwakyambo
@ShukranMwakyambo 23 күн бұрын
Wasije wakatusababishia matatizoo
@Kagineemmanuel
@Kagineemmanuel 23 күн бұрын
Hujielewi umeme tu mtiani alafu unaongelea anga la mbali?
@khatibkhatib730
@khatibkhatib730 23 күн бұрын
Kwanza watu wote wana uhakika wa chakula ?
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 23 күн бұрын
Nenda kalime
@hanspop6961
@hanspop6961 23 күн бұрын
Wewe unawaza Tumbo tu Tangia uanze Kula Umefaidika nn, Watu wanaongea Vitu Serious vya Nchi unaleta Njaa
@khatibkhatib730
@khatibkhatib730 22 күн бұрын
Ukila ukishiba utaweza kuwaza mambo kama hayo ,usijiangalie wewe peke yako ,angalia mambo kwa ujumla wake
@rogatemsangi6418
@rogatemsangi6418 23 күн бұрын
Itaruka kwel !
@user-xc7qj7ze7m
@user-xc7qj7ze7m 23 күн бұрын
Kama yule mdoli mjengoni mkatupiga bado na tiala mnaita satelaiti
@mohammededy7086
@mohammededy7086 23 күн бұрын
Isipo dondoka ata haijavuka anga nipo pale
@hafidhmasoud5421
@hafidhmasoud5421 23 күн бұрын
😂😂😂
@atutweve4160
@atutweve4160 23 күн бұрын
😂😂😂😂
@emmadora7848
@emmadora7848 23 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@HowardKitamkanga
@HowardKitamkanga 23 күн бұрын
Hv wakuu Dunia ni flat km sahan au ni duara?
@HassanJambia
@HassanJambia 23 күн бұрын
Miaka ya nyuma wanasayansi walifanya tait zao wakasema dunia ni duara lkn bdaa ya miska ya 2000 wakasema dunia sii duara bali ni sphere kwa ligha ya kingereza sijajuwa kwa maana nyingine dunia ni ni kama yai kiufi ni hivyo
@HassanJambia
@HassanJambia 23 күн бұрын
Miaka ya nyuma wanasayansi walifanya tait zao wakasema dunia ni duara lkn bdaa ya miska ya 2000 wakasema dunia sii duara bali ni sphere kwa ligha ya kingereza sijajuwa kwa maana nyingine dunia ni ni kama yai kiufi ni hivyo
@peninashungu6633
@peninashungu6633 23 күн бұрын
Kwani mmeshamalizana na roboti kwanza😂😂anaongea au mpaka umeme uwepo
@theuniversetv2870
@theuniversetv2870 15 күн бұрын
Kuzunguruka au kuzunguka??😂😂
@user-kx4wd5vb4j
@user-kx4wd5vb4j 23 күн бұрын
Iwe kama yule roboti wa bungeni.huduma za afya zimewashinda munataka kutuingizia gharama za kitaifa ambazo hazitafanikiwa kwa 100%.
@user-hw2gq9lp4p
@user-hw2gq9lp4p 22 күн бұрын
😂😂hizi ni bhangi kabsaa
@amosmakabara3024
@amosmakabara3024 20 күн бұрын
Brother wewe nipacha ya mirad ayo
@Kituramohamed9698
@Kituramohamed9698 23 күн бұрын
Kutoka kenye robot mpaka satellite 😂😂😂😂😂 lille roboti si redio ya kichina imewekwa flash 😊😊😊😊 😋😋😋
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in 23 күн бұрын
😂😂😂 Itakua kama Robot unice
@Zillionking627
@Zillionking627 23 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@jumamayonga8914
@jumamayonga8914 22 күн бұрын
Viongozi wetu mnamsikia huyo mtaalamu?
@AliAli-hs8si
@AliAli-hs8si 23 күн бұрын
Hahahaha
@user-ng6ep3hi4c
@user-ng6ep3hi4c 21 күн бұрын
Porojo fc 😂😂bongo nyoso
Just try to use a cool gadget 😍
00:33
123 GO! SHORTS
Рет қаралды 63 МЛН
Interpretation at the European Parliament
44:56
DGLINC
Рет қаралды 176 М.
GPS: TRAORE wa BURKINA FASO aongeza miaka mitano ya UTAWALA wa KIJESHI!
21:02
Девушка пропустила поворот
0:23
PINK STEERING STEERING CAR
0:31
Levsob
Рет қаралды 20 МЛН
СКОЛЬКО стоит содержание BMW X7? #авто #bmw #обслуживаниеавто
0:50
Виталий Нефедов | American Auto
Рет қаралды 4,4 МЛН