Jicho la mwewe.. mfano rahisi hata kwa ambaye hajafka shule kuelewa. Makini sana kazi njema.
@JafariHamisi-gu4efАй бұрын
Hongera sana mama samia raisi wetu mungu akulinde
@aminata3702Ай бұрын
😄
@user-ic1fs9bf1vАй бұрын
Hapo sawa hata mm ntawasadia ili wajue Tanzania 🇹🇿 we are Educated
@kassimbayuu5217Ай бұрын
Hii nchi ni ngumu kwa sababu ya ufisadi wa viongozi
@MichaelJoseph-uc4zkАй бұрын
😂😂😂😂😂 hongera nchi yangu Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@peterdavid20149Ай бұрын
Viongozi hao ndio hao wanaohongwa na makampuni ya simu ili waendelee kunyonya wananchi
@mohamedaboud8019Ай бұрын
Hongera kwa Kenya nilikua sijui hili.. Asante sns
@user-jt5we5hg4vАй бұрын
Jamaa anajua sana
@jacobletema3681Ай бұрын
Umeme, maji, reli, huduma za afya bado ni shida tu!
@rojatv167Ай бұрын
Aizuii vitu vingine vifanyike hata USA Wana machokolaa japo wameendelea kiuchumi
@SamG-hs9xeАй бұрын
Unaitaji inchi Burundi 🇧🇮🇧🇮 yangu amakwelia wew ni mwoto na nakutabiliya wew utakija kuwa mtagadzadji mkubwa duniani babu
@J4UProАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@JosephKapangaАй бұрын
Upo sawa, serikali iwekeze Sasa katika technology ya kutengeneza satellite ya kwetu Tanzania.Tuache ujinga wa kuomba misaada Toka nchi za magharibi na washirika wake.
@ndukulusudikucho_Ай бұрын
Mungu Mkubwa, Mungu ibarik Tanzania, Mungu awabarik Viongozi wetu wote , Ila wajiandae na maadui wanaweza waifanyie mchezo mchafu huko angani
@jamesmboneko295229 күн бұрын
Tanzania gani, ama kuna nyingine hapa Duniani
@khadijaalimohd1320Ай бұрын
MMESHINDWA KITU KIDOGOTU UMEME NA MAJITU 24HRS MMESHINDWA..WACHENI UJINGA HEBU.MSITUFANYE WATOTO
@assateke7199Ай бұрын
Mwendokasi wapi?
@raymondmushi90194 күн бұрын
Hii ni hatua kubwa kwetu tz.kwa maana nchi itakuwa inafanya mambo yake kwa uhakika zaidi.
@BrightVistaMediaАй бұрын
Mh, Saaaaawa ,so amazing
@makeyzanmakey7324Ай бұрын
Habar njema ❤❤
@fidelfidel-jz4iwАй бұрын
Satellite pia inafanya kazi ya utafiti kama vile nchi yetu ina madini nchi nzima Germany wanadai Tanzania ina madini mengi ila Sisi hata serikali haijui lazima kufanya utafiti nchi zima hilo ni muhimu na inawezekana .
@yussufyussuf7686Ай бұрын
Niatua nzuli lkn yakwetu ilushwe china au kw kiboko ya mashoga Putin
@jonfredkewe3451Ай бұрын
CBora tukarushie Urusi
@imanuelnguya9277Ай бұрын
Asante sana mchambuzi
@africanmandetraveler2847Ай бұрын
Wametengeneza wenyewe au ni wahind,wachina na wazungu watasaidia kuirusha.
@MalengaElemeАй бұрын
Mwamba unajua hongera kaka
@BIGBOSS-hl3buАй бұрын
Kwa faida nyingine hata garama za mawasiliano ninaweza kuwa nafuu zaidi ya Sasa
@japharymagesa735Ай бұрын
Kama halijaanguka mniite mbwa
@fidelfidel-jz4iwАй бұрын
😂😂😂😂 hongera serikali muhimu sanaa hasa kwa usalama mawasiliano biashara uchumi nk nchi kama Tanzania nchi kubwa hilo mmefanya jambo kubwa .
@user-hb6rs4zn5zАй бұрын
ukweli🇹🇿💪💪
@RutaRubediАй бұрын
😂😂😂 mtatuuwa, hayajaisha ya robot mnaleta satellite!
@braystuskibassa3842Ай бұрын
Naomba Mungu isiwe na satellite ya kimarekani au Ulaya magharibi thus over
@TeophilBuildingАй бұрын
Kwa udhamini wa Marekani
@johnmalembeka3546Ай бұрын
Sisi hatutaki hyo mamb tunataka maendeleo yaonekane kwanza miradi kibao haijakamilika tena mnataka mkimbilie uko dah kwel chukua chako mapema
@husseinhemedi9314Ай бұрын
🇹🇿🙏
@japharymagesa735Ай бұрын
Hatutaki maneno rusheni tuone mbona misifa😅😅😅
@ziongate5464Ай бұрын
Shukran sana Aly
@Soon815Ай бұрын
WaTanzania wengi akil ndogo!! Nikuropoka-ropoka tu kichwan hamna kitu! Hiyo Satelite ni zile ndogo kwa ajili ya mawasiliano na surveillance kama nchi tunaweza na sio lazma irushwe kutoka ardhi ya Tz inaweza rushwa USA,UK,China etc lakini ikawa ya Tz.
@issamuhammediАй бұрын
Aaa kumbe ivo kama ndege vile
@King_Of_EverythingАй бұрын
👍✌️👊.
@water_music40Ай бұрын
Kwahiyo mtu akinisariti nitamuta sateraiti yeye ni chombo kinacho nizunguka. kumbe yuda msaliti ni sateraiti😂😂😂
@Niika870Ай бұрын
Safiii kabisa fanyen kweli tuvimbe
@muduboy726Ай бұрын
Mpaka wapewe ruhusa na wazungu la sivyo hakuna kurusha
@khamisomar889Ай бұрын
Azam sio wadhamini kwann waewe air time hii kibiashara haijakaa sawa
@raymondmushi90194 күн бұрын
Halafu kuna watu wa nchi hii hawaoni kazi kubwa inayofanywa na mh Rais wa JMT mama SSH.
@user-ny2cd9dt1dАй бұрын
Ushauri mzuri sana Ally. Ila serikali nayo ijitahidi kuwekeza nguvu zake mno kwenye Vyuo vya Ufundi technologies ikuzwe huko naimani Tutatoboa. Na pia washauli wetu wa nje tuwemakini nao. Lazima tutizame nani wa kushikana nae.
@thefactbook...160723 күн бұрын
Kabisa vyuo viwezeshwe.elimu ndo kila kitu.
@jumahamis227Ай бұрын
oya make hapo kwanza nchekee 😂, sema aliwazalo mjinga ndo litakalomtokea 😅.
@peacejunne5037Ай бұрын
Mmmmmh hapo kwanza ncheke Hah SHAMBA LA BIBI HALIWEZI KUJIENDESHA KTK ANGA YAKE labda drons ifungiwe camera c vinginevyo
@-magicstoryАй бұрын
Wait wait wait kumbe kuna nchi nyingine inaitwa tanzania na amtwambiii😂😂😂😂Bongo sisi umbea tu setillite tuwaachie warusi😂😂
@NduwayezuJosue22 күн бұрын
Mama samia Ana waza
@estherpaul3864Ай бұрын
Namshukuru sana rais wangu mheshimiwa samia suruhu Hassan❤️
@charlesboniphace2249Ай бұрын
Edited😂
@emanuelsinyinzaАй бұрын
Huyo amekariri tokea kwenye vitabu.
@jumamayonga8914Ай бұрын
Hii ndiyo teknolojia ya kuwafundisha wanafunzi wetu badala ya kuwakaririsha kuwa binadamu alitokana na sokwe
@yussufyussuf7686Ай бұрын
Hatutaki ilushwe Us km kenya US watatudukua vitu vya selekali yetu
@MasekohopeАй бұрын
Mumefanya bizuri sana rakini watu wa Rwanda tunawo muwunganishe mitandawo na Tz kwasababu tunapenda bipindi bya Tz
@hezronjoseph405Ай бұрын
nipo mjini kabisa na kunamgao wa maji hio mtaweza kulusha ,,Angalieni msije mkalusha kimba😎😎😎
@realswahilicultural8140Ай бұрын
Viongozi kama ndo kina Nape ambao Awana visions kabisa badala ya kumwelekeza mama Wana bakia tu kumsifiab..kiukweli inavyunja moyo😢
@edwardlesian9318Ай бұрын
Hiiii maajabu ngoja tuone walahi😂😂😂
@salhawaziri1668Ай бұрын
Mwenzang
@khaalidcheo5383Ай бұрын
Mweeeeeh
@issamuhammediАй бұрын
Maji Barbara na umeme mmmh
@atutweve4160Ай бұрын
🤣😂😂😂😂😂😂
@ISSACKRICHARDАй бұрын
Tanzania kurushiwa satelait sio kurusha akuna mtz anaweza ayo mambo😂😂😂😂
@aishaarusha894Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 mungu tusaidie isije ikaenda juu ikaturudia chini 😊
@SmartMC-bp9ygАй бұрын
Mtu mkubwa miaka yake inaanza na miaka 18 tukumbuke na hilo.
@lucasbatano333Ай бұрын
Ngoja tusubiri😂
@emanuelsinyinzaАй бұрын
Watamwomba mchina au mkorea tanzania hawawezi kutengeza setellite hizo ni hadithi za Abunuwas.wanasayansi wote wasomi wote akili yao nikuingia bungeni apate mishahara mikubwa. Wala msipoteze mda kuwasikiliza .hadithi hizo
@MichaelJoseph-uc4zkАй бұрын
Jamani isije ikatuangukia ikatupasua Vichwa😂😂😂😂😂
@Chiboe805Ай бұрын
Watot was shule za msingi wanakaaa chini kwenye mawe, Bado tuna sera ya nyumba ni chooo 😌 How sas 🤷♂️
@Zuu673Ай бұрын
😂😂😂😂😂sijui nacheka nn
@FerdinandCharles-ko7deАй бұрын
😂😂😂 Tanzania kulusha roket
@Zuu673Ай бұрын
@@FerdinandCharles-ko7de 😄 🤣 😂
@FerdinandCharles-ko7deАй бұрын
@@Zuu673 lengo kubwa ni kujua utabir wa hali ya hewa mafuriko yamezid
@bcozhenry2698Ай бұрын
Isije kuwa mbinu ya kutupiga jasho letu halafu hakuna kitu
@MS.independent8934Ай бұрын
Nimecheka aisee hii habari ya TZ kurusha ebuu mniache bhanaa 😂😂😂my🇹🇿 banana hakuishi vihoja
@RamadanPaulАй бұрын
Punguza dharau wewe, unajiona ni wa chini sana sio. Jiamini kila kitu kinawezekana.
@user-eb3hf1lm9eАй бұрын
Hahahahahaha km hatuwez kutemgeza hata Wembee Leo sataleti mhuuu
@kwisa4899Ай бұрын
sehemu rahisi kuibia serikali
@nakalikyumile3234Ай бұрын
Hamna kitu hapo,mikwara mitupu,
@masoudmasoud8138Ай бұрын
Rais gani aliesema
@sbboymkaliofficial910823 күн бұрын
Isije ikawa Iyo satalaiti Ina tumia mafuta ya taaa maana Tanzania yangu Mimi kah 😂😂😂😂
@SmartMC-bp9ygАй бұрын
Mbona hii ni kama ishara ya kurudi kwa bana yesu mhhhhh.
@saidyabdalla7410Ай бұрын
Tutafika mbari
@suleimanmakame2762Ай бұрын
Jojol O 😮😊
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jpАй бұрын
Katiba mmeshndwa wiz mtupu setraight
@jasminmdimi6059Ай бұрын
Eeh tumepiga hatua😂😂
@user-ql6hg7fy9pАй бұрын
Waamini viongozi wa sasa hivi lakini kamwe usiamini maneno yao kwani wote wana sura mbili hawaaminiki kabisa, maneno mengi vitendo hamna kabisa, jambo ambalo lilishindwa kuanzishwa kipindi cha mzalendo wa kweli JPM sahau kufanyika wakati huu na ikitokea imefanyika itakuwa kwa ufadhili wa mabeberu Marekani.
@upgo611227 күн бұрын
Isije kuwa kama robot la nape
@alakhy1-yi2pnАй бұрын
Ebwanaeeee hebu tuache kutafuta hatari bhn
@ShukranMwakyamboАй бұрын
Wasije wakatusababishia matatizoo
@richardburundi3090Ай бұрын
Ijipangekwanza kiucumi wcimbe mafuta iri Wana inci wafaidik hio haina faidayoyote kwawatu wadogo wadogo
@stephenndagalla8183Ай бұрын
Maelezo hayo ya setilite ni nini na jinsi zinavyo fanya kazi, ndio mpango kazi mkakati wa Wizara ya Habari na Teknolojia wa kuwa na Setilite yake angani??
@nicenice3881Ай бұрын
✅✅🇹🇿🇹🇿
@mwawekomiuda9779Ай бұрын
Hivi nyinyi mnaiona ni neema kwenu?
@user-qo2dk6iv3uАй бұрын
Na nchi kama Iran nao wanalusha zakwao satalaiti Tena wanaunda mifumo mitambo yakwao wenyewe yakuzilushia
@theuniversetv287024 күн бұрын
Kuzunguruka au kuzunguka??😂😂
@kassimbayuu5217Ай бұрын
Mfumo wa elimu ndio sababu kubwa ya kufika huko n.k
@user-hw2gq9lp4pАй бұрын
😂😂hizi ni bhangi kabsaa
@khamisfarouk9493Ай бұрын
Jaman mbna mnacheka wandugu mbona kwa robot tulweza em tujikubal bhana😂
@peninashungu6633Ай бұрын
Kwani mmeshamalizana na roboti kwanza😂😂anaongea au mpaka umeme uwepo
@josephmabula9658Ай бұрын
Maigizo hayo,,kurusha wapi
@konshazikonsha6180Ай бұрын
Ungeambiwa Wanarusha shangazi zako wa nnchi nyingine,ungeamini uwongo🤔🤔😇😇😇 Jikubali mwa Africa unaweza piaa!!!
@rogatemsangi6418Ай бұрын
Itaruka kwel !
@user-xc7qj7ze7mАй бұрын
Kama yule mdoli mjengoni mkatupiga bado na tiala mnaita satelaiti
@Badvoice707Ай бұрын
aitadondoka kweli 😮😮😮😮
@bbanyikwaАй бұрын
😂😂😂😂
@Ibrahim-ne3inАй бұрын
😂😂😂 Itakua kama Robot unice
@Zillionking627Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Kituramohamed9698Ай бұрын
Kutoka kenye robot mpaka satellite 😂😂😂😂😂 lille roboti si redio ya kichina imewekwa flash 😊😊😊😊 😋😋😋
@user-kx4wd5vb4jАй бұрын
Iwe kama yule roboti wa bungeni.huduma za afya zimewashinda munataka kutuingizia gharama za kitaifa ambazo hazitafanikiwa kwa 100%.
@KagineemmanuelАй бұрын
Hujielewi umeme tu mtiani alafu unaongelea anga la mbali?
@amosmakabara3024Ай бұрын
Brother wewe nipacha ya mirad ayo
@khatibkhatib730Ай бұрын
Kwanza watu wote wana uhakika wa chakula ?
@khaalidcheo5383Ай бұрын
Nenda kalime
@hanspop6961Ай бұрын
Wewe unawaza Tumbo tu Tangia uanze Kula Umefaidika nn, Watu wanaongea Vitu Serious vya Nchi unaleta Njaa
@khatibkhatib730Ай бұрын
Ukila ukishiba utaweza kuwaza mambo kama hayo ,usijiangalie wewe peke yako ,angalia mambo kwa ujumla wake