Jicho la mwewe.. mfano rahisi hata kwa ambaye hajafka shule kuelewa. Makini sana kazi njema.
@user-ic1fs9bf1v23 күн бұрын
Hapo sawa hata mm ntawasadia ili wajue Tanzania 🇹🇿 we are Educated
@JafariHamisi-gu4ef23 күн бұрын
Hongera sana mama samia raisi wetu mungu akulinde
@aminata370222 күн бұрын
😄
@kassimbayuu521723 күн бұрын
Hii nchi ni ngumu kwa sababu ya ufisadi wa viongozi
@MichaelJoseph-uc4zk23 күн бұрын
😂😂😂😂😂 hongera nchi yangu Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@mohamedaboud801923 күн бұрын
Hongera kwa Kenya nilikua sijui hili.. Asante sns
@peterdavid2014923 күн бұрын
Viongozi hao ndio hao wanaohongwa na makampuni ya simu ili waendelee kunyonya wananchi
@user-jt5we5hg4v23 күн бұрын
Jamaa anajua sana
@BrightVistaMedia23 күн бұрын
Mh, Saaaaawa ,so amazing
@makeyzanmakey732423 күн бұрын
Habar njema ❤❤
@JosephKapanga23 күн бұрын
Upo sawa, serikali iwekeze Sasa katika technology ya kutengeneza satellite ya kwetu Tanzania.Tuache ujinga wa kuomba misaada Toka nchi za magharibi na washirika wake.
@imanuelnguya927723 күн бұрын
Asante sana mchambuzi
@SamG-hs9xe23 күн бұрын
Unaitaji inchi Burundi 🇧🇮🇧🇮 yangu amakwelia wew ni mwoto na nakutabiliya wew utakija kuwa mtagadzadji mkubwa duniani babu
@J4UPro22 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@jamesmboneko295220 күн бұрын
Tanzania gani, ama kuna nyingine hapa Duniani
@jacobletema368123 күн бұрын
Umeme, maji, reli, huduma za afya bado ni shida tu!
@rojatv16722 күн бұрын
Aizuii vitu vingine vifanyike hata USA Wana machokolaa japo wameendelea kiuchumi
@yussufyussuf768623 күн бұрын
Niatua nzuli lkn yakwetu ilushwe china au kw kiboko ya mashoga Putin
@MalengaEleme23 күн бұрын
Mwamba unajua hongera kaka
@user-hb6rs4zn5z23 күн бұрын
ukweli🇹🇿💪💪
@user-ny2cd9dt1d21 күн бұрын
Ushauri mzuri sana Ally. Ila serikali nayo ijitahidi kuwekeza nguvu zake mno kwenye Vyuo vya Ufundi technologies ikuzwe huko naimani Tutatoboa. Na pia washauli wetu wa nje tuwemakini nao. Lazima tutizame nani wa kushikana nae.
@thefactbook...160714 күн бұрын
Kabisa vyuo viwezeshwe.elimu ndo kila kitu.
@husseinhemedi931423 күн бұрын
🇹🇿🙏
@khadijaalimohd132023 күн бұрын
MMESHINDWA KITU KIDOGOTU UMEME NA MAJITU 24HRS MMESHINDWA..WACHENI UJINGA HEBU.MSITUFANYE WATOTO
@assateke719923 күн бұрын
Mwendokasi wapi?
@TeophilBuilding23 күн бұрын
Kwa udhamini wa Marekani
@BIGBOSS-hl3bu21 күн бұрын
Kwa faida nyingine hata garama za mawasiliano ninaweza kuwa nafuu zaidi ya Sasa
@King_Of_Everything23 күн бұрын
👍✌️👊.
@africanmandetraveler284723 күн бұрын
Wametengeneza wenyewe au ni wahind,wachina na wazungu watasaidia kuirusha.
@braystuskibassa384223 күн бұрын
Naomba Mungu isiwe na satellite ya kimarekani au Ulaya magharibi thus over
@khamisomar88923 күн бұрын
Azam sio wadhamini kwann waewe air time hii kibiashara haijakaa sawa
@fidelfidel-jz4iw23 күн бұрын
Satellite pia inafanya kazi ya utafiti kama vile nchi yetu ina madini nchi nzima Germany wanadai Tanzania ina madini mengi ila Sisi hata serikali haijui lazima kufanya utafiti nchi zima hilo ni muhimu na inawezekana .
@peacejunne503721 күн бұрын
Mmmmmh hapo kwanza ncheke Hah SHAMBA LA BIBI HALIWEZI KUJIENDESHA KTK ANGA YAKE labda drons ifungiwe camera c vinginevyo
@fidelfidel-jz4iw23 күн бұрын
😂😂😂😂 hongera serikali muhimu sanaa hasa kwa usalama mawasiliano biashara uchumi nk nchi kama Tanzania nchi kubwa hilo mmefanya jambo kubwa .
@jonfredkewe345122 күн бұрын
CBora tukarushie Urusi
@japharymagesa73523 күн бұрын
Hatutaki maneno rusheni tuone mbona misifa😅😅😅
@estherpaul386423 күн бұрын
Namshukuru sana rais wangu mheshimiwa samia suruhu Hassan❤️
@charlesboniphace224923 күн бұрын
Edited😂
@ndukulusudikucho_23 күн бұрын
Mungu Mkubwa, Mungu ibarik Tanzania, Mungu awabarik Viongozi wetu wote , Ila wajiandae na maadui wanaweza waifanyie mchezo mchafu huko angani
@Niika87023 күн бұрын
Safiii kabisa fanyen kweli tuvimbe
@NduwayezuJosue13 күн бұрын
Mama samia Ana waza
@johnmalembeka354623 күн бұрын
Sisi hatutaki hyo mamb tunataka maendeleo yaonekane kwanza miradi kibao haijakamilika tena mnataka mkimbilie uko dah kwel chukua chako mapema
@japharymagesa73523 күн бұрын
Kama halijaanguka mniite mbwa
@ziongate546423 күн бұрын
Shukran sana Aly
@Soon81523 күн бұрын
WaTanzania wengi akil ndogo!! Nikuropoka-ropoka tu kichwan hamna kitu! Hiyo Satelite ni zile ndogo kwa ajili ya mawasiliano na surveillance kama nchi tunaweza na sio lazma irushwe kutoka ardhi ya Tz inaweza rushwa USA,UK,China etc lakini ikawa ya Tz.
@issamuhammedi23 күн бұрын
Aaa kumbe ivo kama ndege vile
@jumahamis22723 күн бұрын
oya make hapo kwanza nchekee 😂, sema aliwazalo mjinga ndo litakalomtokea 😅.
@jumamayonga891422 күн бұрын
Hii ndiyo teknolojia ya kuwafundisha wanafunzi wetu badala ya kuwakaririsha kuwa binadamu alitokana na sokwe
@muduboy72622 күн бұрын
Mpaka wapewe ruhusa na wazungu la sivyo hakuna kurusha
@emanuelsinyinza22 күн бұрын
Huyo amekariri tokea kwenye vitabu.
@yussufyussuf768623 күн бұрын
Hatutaki ilushwe Us km kenya US watatudukua vitu vya selekali yetu
@RutaRubedi23 күн бұрын
😂😂😂 mtatuuwa, hayajaisha ya robot mnaleta satellite!
@water_music4020 күн бұрын
Kwahiyo mtu akinisariti nitamuta sateraiti yeye ni chombo kinacho nizunguka. kumbe yuda msaliti ni sateraiti😂😂😂
@Masekohope23 күн бұрын
Mumefanya bizuri sana rakini watu wa Rwanda tunawo muwunganishe mitandawo na Tz kwasababu tunapenda bipindi bya Tz
@suleimanmakame276223 күн бұрын
Jojol O 😮😊
@-magicstory23 күн бұрын
Wait wait wait kumbe kuna nchi nyingine inaitwa tanzania na amtwambiii😂😂😂😂Bongo sisi umbea tu setillite tuwaachie warusi😂😂
@mwawekomiuda977923 күн бұрын
Hivi nyinyi mnaiona ni neema kwenu?
@bcozhenry269823 күн бұрын
Isije kuwa mbinu ya kutupiga jasho letu halafu hakuna kitu
@user-eb3hf1lm9e23 күн бұрын
Hahahahahaha km hatuwez kutemgeza hata Wembee Leo sataleti mhuuu
@kwisa489923 күн бұрын
sehemu rahisi kuibia serikali
@lucasbatano33323 күн бұрын
Ngoja tusubiri😂
@realswahilicultural814023 күн бұрын
Viongozi kama ndo kina Nape ambao Awana visions kabisa badala ya kumwelekeza mama Wana bakia tu kumsifiab..kiukweli inavyunja moyo😢
@aishaarusha89423 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 mungu tusaidie isije ikaenda juu ikaturudia chini 😊
@Zuu67323 күн бұрын
😂😂😂😂😂sijui nacheka nn
@FerdinandCharles-ko7de23 күн бұрын
😂😂😂 Tanzania kulusha roket
@Zuu67323 күн бұрын
@@FerdinandCharles-ko7de 😄 🤣 😂
@FerdinandCharles-ko7de23 күн бұрын
@@Zuu673 lengo kubwa ni kujua utabir wa hali ya hewa mafuriko yamezid
@edwardlesian931823 күн бұрын
Hiiii maajabu ngoja tuone walahi😂😂😂
@salhawaziri166823 күн бұрын
Mwenzang
@khaalidcheo538323 күн бұрын
Mweeeeeh
@issamuhammedi23 күн бұрын
Maji Barbara na umeme mmmh
@atutweve416023 күн бұрын
🤣😂😂😂😂😂😂
@ISSACKRICHARD23 күн бұрын
Tanzania kurushiwa satelait sio kurusha akuna mtz anaweza ayo mambo😂😂😂😂
@Chiboe80522 күн бұрын
Watot was shule za msingi wanakaaa chini kwenye mawe, Bado tuna sera ya nyumba ni chooo 😌 How sas 🤷♂️
@hezronjoseph40523 күн бұрын
nipo mjini kabisa na kunamgao wa maji hio mtaweza kulusha ,,Angalieni msije mkalusha kimba😎😎😎
@MS.independent893423 күн бұрын
Nimecheka aisee hii habari ya TZ kurusha ebuu mniache bhanaa 😂😂😂my🇹🇿 banana hakuishi vihoja
@RamadanPaul23 күн бұрын
Punguza dharau wewe, unajiona ni wa chini sana sio. Jiamini kila kitu kinawezekana.
@nakalikyumile323423 күн бұрын
Hamna kitu hapo,mikwara mitupu,
@stephenndagalla818323 күн бұрын
Maelezo hayo ya setilite ni nini na jinsi zinavyo fanya kazi, ndio mpango kazi mkakati wa Wizara ya Habari na Teknolojia wa kuwa na Setilite yake angani??
@emanuelsinyinza22 күн бұрын
Watamwomba mchina au mkorea tanzania hawawezi kutengeza setellite hizo ni hadithi za Abunuwas.wanasayansi wote wasomi wote akili yao nikuingia bungeni apate mishahara mikubwa. Wala msipoteze mda kuwasikiliza .hadithi hizo
@SmartMC-bp9yg23 күн бұрын
Mtu mkubwa miaka yake inaanza na miaka 18 tukumbuke na hilo.
@MichaelJoseph-uc4zk23 күн бұрын
Jamani isije ikatuangukia ikatupasua Vichwa😂😂😂😂😂
@josephmabula965823 күн бұрын
Maigizo hayo,,kurusha wapi
@konshazikonsha618023 күн бұрын
Ungeambiwa Wanarusha shangazi zako wa nnchi nyingine,ungeamini uwongo🤔🤔😇😇😇 Jikubali mwa Africa unaweza piaa!!!
@nicenice388123 күн бұрын
✅✅🇹🇿🇹🇿
@jasminmdimi605923 күн бұрын
Eeh tumepiga hatua😂😂
@richardburundi309023 күн бұрын
Ijipangekwanza kiucumi wcimbe mafuta iri Wana inci wafaidik hio haina faidayoyote kwawatu wadogo wadogo
@saidyabdalla741023 күн бұрын
Tutafika mbari
@SmartMC-bp9yg23 күн бұрын
Mbona hii ni kama ishara ya kurudi kwa bana yesu mhhhhh.
@sbboymkaliofficial910814 күн бұрын
Isije ikawa Iyo satalaiti Ina tumia mafuta ya taaa maana Tanzania yangu Mimi kah 😂😂😂😂
@alakhy1-yi2pn23 күн бұрын
Ebwanaeeee hebu tuache kutafuta hatari bhn
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp23 күн бұрын
Katiba mmeshndwa wiz mtupu setraight
@Badvoice70723 күн бұрын
aitadondoka kweli 😮😮😮😮
@bbanyikwa22 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-qo2dk6iv3u23 күн бұрын
Na nchi kama Iran nao wanalusha zakwao satalaiti Tena wanaunda mifumo mitambo yakwao wenyewe yakuzilushia
@masoudmasoud813823 күн бұрын
Rais gani aliesema
@upgo611218 күн бұрын
Isije kuwa kama robot la nape
@user-ql6hg7fy9p23 күн бұрын
Waamini viongozi wa sasa hivi lakini kamwe usiamini maneno yao kwani wote wana sura mbili hawaaminiki kabisa, maneno mengi vitendo hamna kabisa, jambo ambalo lilishindwa kuanzishwa kipindi cha mzalendo wa kweli JPM sahau kufanyika wakati huu na ikitokea imefanyika itakuwa kwa ufadhili wa mabeberu Marekani.
@kassimbayuu521723 күн бұрын
Mfumo wa elimu ndio sababu kubwa ya kufika huko n.k
@khamisfarouk949323 күн бұрын
Jaman mbna mnacheka wandugu mbona kwa robot tulweza em tujikubal bhana😂
@ShukranMwakyambo23 күн бұрын
Wasije wakatusababishia matatizoo
@Kagineemmanuel23 күн бұрын
Hujielewi umeme tu mtiani alafu unaongelea anga la mbali?
@khatibkhatib73023 күн бұрын
Kwanza watu wote wana uhakika wa chakula ?
@khaalidcheo538323 күн бұрын
Nenda kalime
@hanspop696123 күн бұрын
Wewe unawaza Tumbo tu Tangia uanze Kula Umefaidika nn, Watu wanaongea Vitu Serious vya Nchi unaleta Njaa
@khatibkhatib73022 күн бұрын
Ukila ukishiba utaweza kuwaza mambo kama hayo ,usijiangalie wewe peke yako ,angalia mambo kwa ujumla wake
@rogatemsangi641823 күн бұрын
Itaruka kwel !
@user-xc7qj7ze7m23 күн бұрын
Kama yule mdoli mjengoni mkatupiga bado na tiala mnaita satelaiti
@mohammededy708623 күн бұрын
Isipo dondoka ata haijavuka anga nipo pale
@hafidhmasoud542123 күн бұрын
😂😂😂
@atutweve416023 күн бұрын
😂😂😂😂
@emmadora784823 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@HowardKitamkanga23 күн бұрын
Hv wakuu Dunia ni flat km sahan au ni duara?
@HassanJambia23 күн бұрын
Miaka ya nyuma wanasayansi walifanya tait zao wakasema dunia ni duara lkn bdaa ya miska ya 2000 wakasema dunia sii duara bali ni sphere kwa ligha ya kingereza sijajuwa kwa maana nyingine dunia ni ni kama yai kiufi ni hivyo
@HassanJambia23 күн бұрын
Miaka ya nyuma wanasayansi walifanya tait zao wakasema dunia ni duara lkn bdaa ya miska ya 2000 wakasema dunia sii duara bali ni sphere kwa ligha ya kingereza sijajuwa kwa maana nyingine dunia ni ni kama yai kiufi ni hivyo
@peninashungu663323 күн бұрын
Kwani mmeshamalizana na roboti kwanza😂😂anaongea au mpaka umeme uwepo
@theuniversetv287015 күн бұрын
Kuzunguruka au kuzunguka??😂😂
@user-kx4wd5vb4j23 күн бұрын
Iwe kama yule roboti wa bungeni.huduma za afya zimewashinda munataka kutuingizia gharama za kitaifa ambazo hazitafanikiwa kwa 100%.
@user-hw2gq9lp4p22 күн бұрын
😂😂hizi ni bhangi kabsaa
@amosmakabara302420 күн бұрын
Brother wewe nipacha ya mirad ayo
@Kituramohamed969823 күн бұрын
Kutoka kenye robot mpaka satellite 😂😂😂😂😂 lille roboti si redio ya kichina imewekwa flash 😊😊😊😊 😋😋😋