MAJIBU KWA MUHAMMAD AL-HATIMIY|SEHEMUYA KWANZA| Muhammad Bachu.

  Рет қаралды 31,509

Muhammad Nassor Bachu

Muhammad Nassor Bachu

Жыл бұрын

Пікірлер: 247
@fahadomar5809
@fahadomar5809 10 ай бұрын
Mashaallah sheikh Muhammad bachu mm nimejifunza kitu kutoka kwako mwanzo jamii iliyonizunguka ilikuwa inakuponda na inakusema kuwa huna elimu na unatukana watu mwisho wakasema usisikilize mawaidha yake mm ndio nikawa na hamu ya kujua undani na ukweli kuhusu darsa zako hasa hiyo ya maulid nikagundua kumbe upo ktk haki na umetuonesha uongo uliomo kwenye barzanji Mashaallah Allah akulipe kheyri mm ni PROFESA FAHAD ABDULLA OMAR na Madhehebu yangu ni Ibaadhi na jamii ninayokaa nayo wengi ni Sunni mtaa wa bububu Zanzibar
@saadasaleh3177
@saadasaleh3177 8 ай бұрын
Maashaa Allah sheikh Muhammad Allah akubarik akuzidishie afya na akuhifadhi ww na familia yako na Ummat Muhammad SAW
@abdullbardisba9279
@abdullbardisba9279 Жыл бұрын
ماشاءالله تبارك الله.. العلم كلبحر كلما شربت منه زداد عطش 👍
@barakahoma2956
@barakahoma2956 Жыл бұрын
Wapenda ubwabwa lzm wayakumbatie madubwashika viduku na vioja vya magoma ila kumbuken ya kuwa Allah anawaona
@hassanambarakmbarak8759
@hassanambarakmbarak8759 Жыл бұрын
Barakallahu fik twaailimika kikweli kweli sasa shekhe TWAKUOMBEA KILA LAKHERI SHEIKH
@dengepandu9734
@dengepandu9734 Жыл бұрын
Sheh babayako nikipenz chawengi hakuwahi kutumia luha za matusi katika kukosoa mfuate nyayozake Allah amrehemu inshaallah
@selemanmartin
@selemanmartin Жыл бұрын
Hakuna tusi hapo sheikh: Tusizungumze mambo kwa dhulma na uadui, bali kwa Elmu na Uadilifu Tafadhali sana.
@faisaloaljabry6400
@faisaloaljabry6400 Жыл бұрын
@@selemanmartin umesema kweli wala hukupunguza umesema yanayostahiki.
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 Жыл бұрын
Mungu anajua zaidi, hakuna dhambi ya Waislam kuwa pamj na kumsifu mtume wetu, huna muda huo fanya mengine. Ila Kukumbushana mambo ya mtume sio shirki, binafsi nina akili timamu, nitatekeleza yote ninayohisi sitaharibu Uislam wangu, tumepewa akili ili kubaini
@alaminfadhil9031
@alaminfadhil9031 Жыл бұрын
Kasome dini kijana usizungumze kitu bila ya elimi
@selemanmartin
@selemanmartin Жыл бұрын
Tunatakiwa kufuata mafundisho yake na kuacha alichokataza na si kumsifu, tuwe makini Waislam
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 Жыл бұрын
Wape ukweeli sheqh Bachu Jr Maana wapenda Ubwabwa wamejipachika malemba mapete menqi vidoleeni, wenyew wanajiita Ahbabi Rasul. Mambo mambo wende kwenye hayo maulid yao af wakose Ubwabwa Haaapo utawaona wanavimba km mabunju.
@suleymansalim5732
@suleymansalim5732 Жыл бұрын
Kadri wakikusema jnazidi kutuelimisha vizuri usichoke shekhe. Wacha tusubiri Munaqasha amesema akufundishe sasa asikimbie tu tunataka tufaidike kielimu mjadiliane kwa njia nzuri ya wema
@Marjeby
@Marjeby Жыл бұрын
Wallah Nassor Bachu ametuachia balaa huyu mtoto ni laana yaan kwa hii part one yake tu kanifanya nizid kuipenda MAULID kwa asilimia 90 zaidi ya hapo nyuma. Baba yangu juzi tu hapa kabla ya hapa amenambia huyu mtoto fujo zake maneno yake ni kama baba yake enzi zao Nassor Bachu aliwavuruga sana. Vilaza wawili. Al Marjeby from Oman
@wadudi2741
@wadudi2741 Жыл бұрын
Hao ni watoto tu
@wadudi2741
@wadudi2741 Жыл бұрын
Washachapwa wengitu wakakaa chini
@alaminfadhil9031
@alaminfadhil9031 Жыл бұрын
Kilaza ni wewe fanya adabu
@alaminfadhil9031
@alaminfadhil9031 Жыл бұрын
@@wadudi2741 dini haina utoto ni elmu ndio tunaangalia
@wadudi2741
@wadudi2741 Жыл бұрын
Hana fani hata kidogo
@saidmuhama9846
@saidmuhama9846 Жыл бұрын
Baarakallah feekum.
@akkie2023
@akkie2023 Жыл бұрын
I never used to like this sheikh but since he attended dr. Mohammed Salim's lecture sina budi😁
@alaminfadhil9031
@alaminfadhil9031 Жыл бұрын
You don't know yourself kijana
@bintsalimalbimany287
@bintsalimalbimany287 Жыл бұрын
Nasubir muendelezo😍
@abamohamed7092
@abamohamed7092 Жыл бұрын
Huna kitabu unachokijua na huna elimu
@abubacarabdala3814
@abubacarabdala3814 4 ай бұрын
Sawa kabisa
@aidarusahdaly5516
@aidarusahdaly5516 Жыл бұрын
wajua shirk kweli ???
@Abuassma360
@Abuassma360 Жыл бұрын
Allah akuhifadh sheikh wetu kipenzi
@user412
@user412 Жыл бұрын
Sheikh au takataka!!! Huyo kijana ana kibri sana yaani! Anajiona anajua saana wakati wale waliobobea katika elimu wako kimya. Ukimuona mtu anapenda upuuzi anaoufanya BACHU jua ni mweupe kwa wenye elimu.
@artanahm3389
@artanahm3389 Жыл бұрын
Amiin 🤲
@artanahm3389
@artanahm3389 Жыл бұрын
@@user412 tumia hoja wacha matusi, au ukweli unauma?
@Alakhyasirabuammar
@Alakhyasirabuammar Жыл бұрын
allahumma akuhifadhi.
@gadonassir4261
@gadonassir4261 Жыл бұрын
Safiiiishaaa safisha babaaa allah akuafikishe
@murtalla2826
@murtalla2826 Жыл бұрын
Mimi mwalim wangu sijui kwanini alikua mzito kuniacha nikachote elimu kwa wana wazuoni tofautitofauti…..Lakin naona ningekua mtu mwenye elimu kubwa na upeo mkubwa kuwazid hawa mashekhe ubwabwa kama huyu MUHAMMAD BACHU 😅😅😅 yaan jazba nyingi kuliko uelewa wa anayo yasoma pole BACHU pole sana BACHU 😅😅😅😅
@mohamedamiri4597
@mohamedamiri4597 Жыл бұрын
Mwenyezimgu akisema Hakuna upinzani Ila mwanadamu ufahamu uko tofauti
@abdalahmsigiti5308
@abdalahmsigiti5308 Жыл бұрын
Inaonyesha huyo mnae mjibu ni mwanawachuoni mkubwa anatoa maneno dakika 12 nyinyi kumjibu mtumie siku 3 kweli mnateseka kwa uhaba wa elimu
@alaminfadhil9031
@alaminfadhil9031 Жыл бұрын
Dakika mbili ju Hana elmu Wacha wenye elmu wamwage elmu
@nyawahamisi2747
@nyawahamisi2747 Жыл бұрын
Jazak Allah
@arrisalastriker9813
@arrisalastriker9813 Жыл бұрын
Baarrakaallah
@cassimshearer7916
@cassimshearer7916 Жыл бұрын
Assalam Alaikum. Shukran sana Akhii kwa nia yako nzuri ya kutaka kubainisha mabaya yaliyomo katika barzanji. kwa kweli ni kitabu tunachokisoma sana lakini ningekuomba unisaidie na utusaidie kwa sote mambo yafuatayo. 1. Tueleze Jaafar albarzanji alikua ni nani na alikua anachukuliwaje katika zama zake. hili litatuonesha njia ya kujua kwamba aliandika maneno ya shirki kwa makusudi kupotosha umma au ni kwa uchache wa elimu yake. 2. Ni kwa asilimia ngapi unachokizungumza wewe kuhusu barzanji kwamba ndicho alichokusudia mtunzi wa kitabu hicho, hakuna uwezekano wa tafsiri yako ( makusudio yako) na yake katika maneno hayohayo ikawa ni tofauti?? 3. Shirki inatokana na itikadi (AQIDA) ambayo ukweli wake ni katika moyo, na mjuzi wa mambo ya kwenye moyo ni Allah pekee. Unatuthibitishiaje kwamba hayo yanayosomwa katika barzanji ndivyo yanavyopita katika moyo wa msomaji kama unavyoeleza wewe? 4. Kuna vitabu vingi vimeandikwa kusherehesha kitabu cha barzanji, ingekua vyema angalau pia ukavitumia na kueleza wanachuoni wameelezaje katika nukta hizo. 5. Kuhusu nukta ya kumuondolea mtu tabu hata mtu wa kawaida anamuonolea mwenzake tabu na shida. Hapa ndipo ninapoona makosa katika kulibeba jambo na kulitafsiri. 6. Katika nukta ya kuwa na dhana nzuri kwa Mtume pia sijakufahamu. Ninavyo fahamu mimi ( na silazima iwe ndivyo) huwezi kumuamini mtume sawa sawa bila ya kuwa na dhana nzuri kwake. Naomba ufafanuzi. Wassalamu Alaikum warahmatullahi wbarakatu.
@ogenylaurent7961
@ogenylaurent7961 Жыл бұрын
@@saidimkwinzu9106 Akuna jibu hapo la swali lililoulizwa soma tena swali lake kama unaweza jibu kama huwezi kaa utulie ama kasomeshwe
@mwalimumuhidini1544
@mwalimumuhidini1544 Жыл бұрын
@@ogenylaurent7961 Huyu hakumbuki kua Kuna mtu kwa furaha tu alisema ewe mola wewe ni mja wangu na Mimi ni mola wako Tena huyu hajui hata kuuliza ni nini
@yusuphramadhani6749
@yusuphramadhani6749 Жыл бұрын
@@khamisiiddi2470 wala hajipapisha kilichopo hapa ni uchach wa malifa na hawa za nafs za watu sheik kasema yy nikatika wale wanao tengenez yale yaliyohalibiwa na watu na hapo hakuna mtu maalu kusema anasubiliw atokee si hvy ni yeyote ambae nasema haki ni hii baada ya kuharibiwa au kufichwa na watu huyu alieandik kitabu cha mauli ikiw nia yake ilikua nzur na hakuwa anajua kuwa anakosema kumpa mtume sifa za Allah bc Allah nd mwenye kujua vilivyomo vifuan mwa waja wake lakin ukwl utabak kuwa pale pale amekosea na sheikh ametoa dalili na kauli za u'lamaa juu ya maneno au sifa alizotumia Ja'afar katk kumsifu nazo mtume ni kwl mtume ana daraj yke lakin hatutakiwi kuchupa mipaka katik kumsifu na shekh hakujiingiz pepon labda ww nd watak kumuingiz sikiliz haki na chukua dalili jua ya haki hyo na km unayo Dalili juu ya maulid kuwa ni ibada na si uzushi toa dalili hapo nd utaiwez hoja sio maneno matupu au kusema mbn masheikh fulani wanafany hii dini si yamashekh ni dini ya Allah kwahyo ibada yote ili iwe sahihi lazima tupate maelekezo kutok kw Allah na mtume wake hvy sio unatetea kitu kwasababu nafs yako inakion kizur wakati hakina dalili kukithibitish uwepo wake katik dini
@yusuphramadhani6749
@yusuphramadhani6749 Жыл бұрын
kilichopo hapa ni uchach wa malifa na hawa za nafs za watu sheik kasema yy nikatika wale wanao tengenez yale yaliyohalibiwa na watu na hapo hakuna mtu maalu kusema anasubiliw atokee si hvy ni yeyote ambae nasema haki ni hii baada ya kuharibiwa au kufichwa na watu huyu alieandik kitabu cha mauli ikiw nia yake ilikua nzur na hakuwa anajua kuwa anakosema kumpa mtume sifa za Allah bc Allah nd mwenye kujua vilivyomo vifuan mwa waja wake na kam nd hvy bx ni juu ya masheikh kubainish kuwa kwny hili la mauli kuna makosa nd maan sheikh ametoa dalili na kauli za u'lamaa juu ya maneno au sifa alizotumia Ja'afar katk kumsifu nazo mtume ni kwl mtume ana daraj yke lakin hatutakiwi kuchupa mipaka katik kumsifu na shekh hakujiingiz pepon labda ww nd watak kumuingiz sikiliz haki na chukua dalili jua ya haki hyo na km unayo Dalili juu ya maulid kuwa ni ibada na si uzushi toa dalili hapo nd utaiwez hoja sio maneno matupu au kusema mbn masheikh fulani wanafany hii dini si yamashekh ni dini ya Allah kwahyo ibada yote ili iwe sahihi lazima tupate maelekezo kutok kw Allah na mtume wake hvy sio unatetea kitu kwasababu nafs yako inakion kizur wakati hakina dalili kukithibitish uwepo wake katik dini
@ghulamsoud6331
@ghulamsoud6331 Жыл бұрын
Wewe kijana muogope m mungu wewe usifikirie wote hatuna elimu acha kupotosha wewe muogope m mungu
@abubacarabdala3814
@abubacarabdala3814 4 ай бұрын
nenda kasome kijana
@kitosio
@kitosio 9 ай бұрын
Wengi Maulidi yametupoteza bila kujuwa. Hatukujuwa mwanzo kuwa NI utaratibu wa Mashia. Sisi tulivamia tuuu. NA HAO MASHIA WALITUNGA MAULIDI WAMEWATUKANA MASAHABA.
@mohdmohd2550
@mohdmohd2550 Жыл бұрын
Hamna lolote ni mizozo na kujikweza kielimu hizo lugha mnazotumia tu zinaonesha ni c mzozo tu mnatukanana na kusengenyana na mnakoendea mtanza kulaniana
@pambwemaulidpambwe5526
@pambwemaulidpambwe5526 Жыл бұрын
Marhabaaa
@ftimaramadan4748
@ftimaramadan4748 Жыл бұрын
Allahu Akbar Kabira
@massoudabdallah5138
@massoudabdallah5138 Жыл бұрын
Samahni sheikh elimu inakuhus tena nende kasome kiarab vizur
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 Жыл бұрын
Anza wewe ukasome Kisha yeye
@massoudabdallah5138
@massoudabdallah5138 Жыл бұрын
@@fatmafatu1128 kwan me ndo ninane jibu au .mwambie aiskilze ten ile video Amuone mtu anavo fafanua
@esheryankey2169
@esheryankey2169 Жыл бұрын
Ssa c umeenda mombasa weye c ungemfata al hatimiy yan utoke unguja mpk mombasa alipo mohamed alhatimiy afu unafany muhadhara msikitin Acha uoga km unajiamin Mfate hpo Acha porojo elmu yko bdo kasome nahaw vizr lugha yakusumbua bachu
@rajabumtanga8792
@rajabumtanga8792 Жыл бұрын
maalim kuwa nalugha mzuli unapofanya daawa kwa ajili yakuwaita watu katka kheeli kwani hata mtume wa allaah Musa alayhi salaam alipo tumwa kwenda kwaaduwi wa allaah fir aun laanatu llaahi alaih alimwambia ambie maneno mazuli huwende ataongoka
@abamohamed7092
@abamohamed7092 Жыл бұрын
Uchache wenu wa uelewa na ukosefu wa elimu ndio kinachowasumbua,
@IbnuAlly-cg2gn
@IbnuAlly-cg2gn Жыл бұрын
Ww mwenye uelewa mkubwa waeleweshe wenzako
@abdulmohamed9034
@abdulmohamed9034 Жыл бұрын
Nyinyi hamuna kuilimisha munapotosha tuu,mwenye kusoma maulidi asome,asotaka anyamaze akhera ndio tutakutanahuko.nyinyi endeleeni tafuteni umaarufu
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp Жыл бұрын
Yan watu wakikuona upo kimya wanakutafuta makusud kisha wasem huna adabu. Wabamize vizul tu ili wakaee kwa kutulia
@ZQTANZANIA
@ZQTANZANIA Жыл бұрын
Kaongea pumba tupu
@artanahm3389
@artanahm3389 Жыл бұрын
@@ZQTANZANIA pumba ipi au ukweli wauma?
@ahmedshkeli85
@ahmedshkeli85 Жыл бұрын
@@ZQTANZANIA pumba ipi hapo, tuache ufusi sklza points halaf utafakar
@user-ho1oz3wx1r
@user-ho1oz3wx1r 11 ай бұрын
Bacho, mungu akubarique. Na siache dawa hii.insha anlah.
@user-ho1oz3wx1r
@user-ho1oz3wx1r 11 ай бұрын
Bacho, mungu akubarique. Na siache dawa hii.insha anlah.
@bintshariffmuhammad620
@bintshariffmuhammad620 Жыл бұрын
Khatari ni kwako ambae wakosoa barzanji wala hujaifahamu lugha
@khamissmohd
@khamissmohd Жыл бұрын
Unatuaibisha Muhammad, tulia tu.
@saidimadzumba2266
@saidimadzumba2266 Жыл бұрын
Hakuna kutulia vitabu vyao vinatbu wacha watu waelimike! Uchafu mtupu kumbe haki iko wazi!
@salimabdallah5176
@salimabdallah5176 9 ай бұрын
Bachu TUPE USHAHIDI WAPI MTUME KALA UROJO
@ElMafunzoTv770
@ElMafunzoTv770 Жыл бұрын
Nenda kasome tena hunaunachokijua katka tafsiri ya rugha we we
@jumakumala1337
@jumakumala1337 Жыл бұрын
Ma ashaa ALLAH , tutoeni taka za masikio mn tulikuwa tumejazwa fikira mbaya , Allhamdhullillaih kwa kutuilimisha ktk hayo , na ALLAH awazidishie elimu zaidi mutufikishie nasi mn tulikuwa twazolewa km takataka za Mombasa County
@saidimpako5186
@saidimpako5186 Жыл бұрын
ظنوا بالمؤمنين خيرا Wadhanieni mazuri wamini wenzenu , HII NI HADITHI YA MTUME.
@selemanmartin
@selemanmartin Жыл бұрын
Si mahali pake
@dasadremandad9208
@dasadremandad9208 Жыл бұрын
Waslaam mnatudhalilisha wenzenu haya sio mambo ya msingui ya dini yetu,yani vurugushani?
@talibabdallah6350
@talibabdallah6350 Жыл бұрын
Kitabu cha barzanj hukutunga ww kwaio ulitakiwa usome fani alotumia barzanj ..kwanz soma lugha ...unajitukanusha sana عبد tu umeshindw kutafsri..je utawez mengne? Kasome kwanza
@bintshariffmuhammad620
@bintshariffmuhammad620 Жыл бұрын
Ataka kusomeshwa tena hana ajualo atafsiri apendavyo yeye na kupotosha ambao hawaja soma
@massoudabdallah5138
@massoudabdallah5138 Жыл бұрын
Hujatoa points wenzako wanapo toa tafsir wanafafanua irabu .
@theolonesome9768
@theolonesome9768 Жыл бұрын
Huyu mshirikina
@murtalla2826
@murtalla2826 Жыл бұрын
Niliwah kuwasikia wanawazuoni wanasema marhem BACHU aliota ndoto …. Naomba kujua kwani ilikua ndoto gani hiyo
@sohrabtajadin3402
@sohrabtajadin3402 Жыл бұрын
WEWE KUWA KAMA BABAKO. HUU SI WAKATI WA KULETA DARSA ZA KUGAWANYA WAISLAMU. LETA HOJA ZA UMOJA. KILA MARA UPUUZI. MAADUI WANATUCHEKA. RUDI SHULE USOME SAYANSI PIA. WACHANA NA MAMBO YA. MAWLIDI
@yussufsaid8223
@yussufsaid8223 Жыл бұрын
بارك الله فيكم،Naam lazima haki isemwe na hii ndio dini
@mohammedalnabahan.4127
@mohammedalnabahan.4127 Жыл бұрын
A/aleykum Shekhe Muhammad Nassor Bachu natamani nije nisome kwako niambie upo wapi kwenye madarisi yako happy Unguja
@sefuriyembe7864
@sefuriyembe7864 Жыл бұрын
Huyu mtoto wa Bachu hana mawaidha mengine zaidi ya UBISHI wa.MAULIDI !!?. Mzee wake alikuwa ni mtu mwenye busara kubwa !!
@abuutasniym2675
@abuutasniym2675 Жыл бұрын
السؤال أكره التعامل مع الكثير من الناس، يضيق صدري، أشعر بأن أغلبهم منافقون، يتحدثون عني، يضحكون في وجهي! لا أعرف المجاملة، وبتعاملي معهم بطيبة أشعر بأني أمثل، ولا أطيق ذلك، أحاول أن أجعل علاقتي رسمية مع الأشخاص في مجال عملي، لا أثق في أحد، ربما كان ذلك بسبب تجربة مررت بها، بعد فسخ عقد قراني من شخص كاذب منافق. هل علي إثم في ذلك؟ بارك الله فيكم. الإجابــة الحمد لله، والصلاة والسلام على رسول الله، وعلى آله، وصحبه، أما بعد: فنسأل الله أن يوفقك، وأن يطهر قلبك، واعلمي أنه يجب على المسلم أن يحسن الظن بالناس، ويحمل أمورهم على السلامة؛ فقد روى أحمد وأبو داود وغيرهما عن أبي هريرة قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: حسن الظن من العبادة. والحديث ضعف إسناده الألباني، ولكن معناه صحيح، ولا شك. وقد جاء في عون المعبود شرح سنن أبي داود: ( حسن الظن) أي بالمسلمين، وبالله تعالى (من حسن العبادة) أي من جملة حسن العبادة التي يتقرب بها إلى الله تعالى. وفائدة هذا الحديث الإعلام بأن حسن الظن عبادة من العبادات الحسنة، كما أن سوء الظن معصية من معاصي الله تعالى، كما قال تعالى: إن بعض الظن إثم. أي وبعضه حسن من العبادة. كذا في السراج المنير. انتهى. وأما سوء الظن بالمسلمين، فهو محرم؛ لقوله تعالى: يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اجْتَنِبُوا كَثِيرًا مِنَ الظَّنِّ إِنَّ بَعْضَ الظَّنِّ إِثْمٌ وَلَا تَجَسَّسُوا وَلَا يَغْتَبْ بَعْضُكُمْ بَعْضًا أَيُحِبُّ أَحَدُكُمْ أَنْ يَأْكُلَ لَحْمَ أَخِيهِ مَيْتًا فَكَرِهْتُمُوهُ وَاتَّقُوا اللَّهَ إِنَّ اللَّهَ تَوَّابٌ رَحِيمٌ {الحجرات:12}. وفي الصحيحين عن أبي هريرة عن النبي صلى الله عليه وسلم قال: إياكم والظن؛ فإن الظن أكذب الحديث. لكن المحرم هو تحقيق سوء الظن بمسلم معين دون ريبة، لا مجرد ما يدور في النفس دون أن يستقر فيها. فقد جاء في شرح مسلم للنووي، في الكلام على حديث أبي هريرة: المراد النهي عن ظن السوء. قال الخطابي: هو تحقيق الظن، وتصديقه دون ما يهجس في النفس؛ فإن ذلك لا يملك. ومراد الخطابي أن المحرم من الظن ما يستمر صاحبه عليه، ويستقر في قلبه دون ما يعرض في القلب ولا يستقر؛ فإن هذا لا يكلف به. كما سبق في حديث: تجاوز الله تعالى عما تحدثت به الأمة ما لم تتكلم، أو تعمد. وسبق تأويله على الخواطر التي لا تستقر، ونقل القاضي عن سفيان أنه قال: الظن الذي يأثم به هو ما ظنه، وتكلم به. فإن لم يتكلم، لم يأثم. اهـ. ولعل من المفيد أن نُذكِّر بما جاء عن أبي هريرة أن رسول الله صلى الله عليه وسلم، قال: إذا قال الرجل: هلك الناس، فهو أهلكهم. أخرجه مسلم. قال النووي: روي أهلكهم على وجهين مشهورين، رفع الكاف، وفتحها. والرفع أشهر، ويؤيده أنه جاء في رواية رويناها في حلية الأولياء، في ترجمة سفيان الثوري، فهو من أهلكهم. قال الحميدي في الجمع بين الصحيحين: الرفع أشهر، ومعناها أشدهم هلاكا. وأما رواية الفتح، فمعناها هو جعلهم هالكين، لا أنهم هلكوا في الحقيقة. واتفق العلماء على أن هذا الذم، إنما هو فيمن قاله على سبيل الإزراء على الناس، واحتقارهم، وتفضيل نفسه عليهم، وتقبيح أحوالهم؛ لأنه لا يعلم سر الله في خلقه. قالوا: فأما من قال ذلك تحزنا لما يرى في نفسه، وفي الناس من النقص في أمر الدين، فلا بأس عليه. كما قال أنس: لا أعرف من أمة النبي صلى الله عليه وسلم إلا أنهم يصلون جميعا. هكذا فسره الإمام مالك، وتابعه الناس عليه. وقال الخطابي: معناه لا يزال الرجل يعيب الناس، ويذكر مساويهم، ويقول فسد الناس، وهلكوا ونحو ذلك. فإذا فعل ذلك، فهو أهلكهم: أي أسوأ حالا منهم بما يلحقه من الإثم في عيبهم، والوقيعة فيهم، وربما أداه ذلك إلى العجب بنفسه، ورؤيته أنه خير منهم .اهـ.
@abuutasniym2675
@abuutasniym2675 Жыл бұрын
Kwamaelezo yahapo juu sidhanii kama kua nadhana nzuri kwamuislamu ndio unaingia kwenye shirki
@abuutasniym2675
@abuutasniym2675 Жыл бұрын
Nakama hukumu itakua hivyo basi ata wewe mzungumzaji basi utaingia ktk hio shirki kwasababu naamini yakwamba tabia yakuwadhania watu dhana nzuri uko nayo
@yaziduhamisi4096
@yaziduhamisi4096 Жыл бұрын
We mhuni tu huna lolote wewe ndo ujuwa haki kushinda wanachuoni kina suyuti kina taymia wasijuwe kama ni shiriki ujue we kweli nimtihani kuwa na madai kama nyinyi
@ibrahimmussa2812
@ibrahimmussa2812 Жыл бұрын
Asalam aleykum ndg zangu hii ni dini ya Allah si yamtu
@shaibhemed4152
@shaibhemed4152 Жыл бұрын
Allah akuzidishie kheri akuhifadhi endelea kuwakumbusha hakika ukumbusho utawafaa waumini ingawa wengine ukiwatajia barazanje heee wanaona ndio ibadatu. Hata kama kitabu hicho kinamaneno yashirki hawataki kuambiwa. Kumbusha shk usjijali lawama watasemasana hao has ukiwagusa kwenye maulidi
@ghulamsoud6331
@ghulamsoud6331 Жыл бұрын
Utawabuluza wasiojua au maanswari wenzako ndio waongopee
@abuubabamzazi
@abuubabamzazi Жыл бұрын
Nakubali sheikhe mungu akulinde
@mussaissa6796
@mussaissa6796 Жыл бұрын
NA HIYO NDIO INAONYESHA KUWA NI KWELI UKO MTUPU KABISAA MTU KAONGEA DAKIKA KUMI WEWE KUMJIBU UNAHITAJI MIHADHARA MITATU TENA KWA UFUPI VINGINEVYO UNGEHITAJI MIHADHARA SABA NA KUENDELEA ACHA KUMSINGIZIA MTUME S.A.W NI ELIMU TU HUNA SIO MAKOSA YA HICHO KITABU WALA MTUNGAJI
@mwalimjecha6893
@mwalimjecha6893 Жыл бұрын
Nyinyi watoto kaeni kimya nyinyi hamjui kitu kaeni kimya,dini haiwi hivyo.nyinyi mnapaswa muzuwiwe kwani mnasababisha machafuko ktk dini.kwanza kasomeni msiropokwe TU, msione mnatengeneza ili Hali mnabomoa.
@ibrahimsaad617
@ibrahimsaad617 Жыл бұрын
Soma somo la عروض والقافية ndio utaijua barazanje kasome Kwa shekhe Alhatmiyyi wwe bado sana kielimu inamaana watu wote waliokufa haliyakua wanasoma maulidi wamekufa washirikina?
@ibrahimsaad617
@ibrahimsaad617 Жыл бұрын
Una baleghe ya elimu
@abdurahmanabdallah2403
@abdurahmanabdallah2403 Жыл бұрын
MUHAMMAD bachu hadith unazozitoa tafauti na maada unao zungumza,kisha HADITHI DHAIFU KWENU ZINA TUMIKA
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Anazisoma sindiyo zimeandikwakwenye Balazenji yenu mnayoitumia kwenye mauridi zenu
@cholomonmedia2199
@cholomonmedia2199 Жыл бұрын
Ukweli usemwe
@iddswalehomar1323
@iddswalehomar1323 Жыл бұрын
Naam radi tuliona tukajua kweli na haki kumbe barzanji hakukosea ww ndio hujafahamu Assalamu alaika yaa mahyadhunuub Al hatimi asema Al isnaadu isnaadan majaaziyan ilaakatuhu sababiya mola akubariki kijana sababu ulichokoza ukaelimishwa na SS pia tukaata faida mola akubariki Sana musikosowe kumbe hamuja fahamu mutafuteni Al hatimi mumuulize awaelekeze mm naona hili jawabu la yaamahya dhunuub nahaya unayo ongea Leo kama ulielewa lile darasa la kwanza hapa hungetatizika
@dailyhadithonline9171
@dailyhadithonline9171 Жыл бұрын
صُمٌّ بُكْمٌ عُمْيٌ فَهُمْ لَا يَرْجِعُونَ
@sulaimaanunda2840
@sulaimaanunda2840 Жыл бұрын
muogopeni Allaah katika kile alichowaneemeshea ktk i'lmu nyie...!!! yaani hata hili nalo mungali mwakosoa??? hata hivyo tungali twawaombea saana watu nyote wa bid'a muongozo kutoka kwa Allah.... aamiyn
@amissandayishimiye-su4wm
@amissandayishimiye-su4wm Жыл бұрын
Sio mizozo nikuwafunza watu waache bid'aa
@amissandayishimiye-su4wm
@amissandayishimiye-su4wm Жыл бұрын
Swadaka,mngekaa kimya tungeelewa kwamba ni haqi.kumbe sio haqi.sisi tusiekuwa nailimu inatusaidia kuwajuwa ni masheikh gani tuwafwate kwakuwasikiza.
@AliAhmed-vd6qp
@AliAhmed-vd6qp Жыл бұрын
Umesema kweli ni haki
@salimabdallah5176
@salimabdallah5176 9 ай бұрын
TUPE USHAHIDI WAPI MTUME KALA UROJO
@lusitamagora23
@lusitamagora23 Жыл бұрын
Wewe kijana unajifanya jasiri mbele ya macho ya watu, lakini kwa mwenendo huo naxulimi wako huo mbovu usio wa heshima na adabu mbele ya Wanazuoni wakubwa una mwisho mbaya sana wewe na ulimi wako huo mchafu kama shimo la choo cha kienyeji na mwisho wako utakuwa mbaya sana utahiliki
@mahfoudhcalender2747
@mahfoudhcalender2747 Жыл бұрын
hhhhhhhhhhhh, umeumia enh, Allah akuongoze.
@eastzooadmin6416
@eastzooadmin6416 Жыл бұрын
Haki inawachomeni nyoyo zenu
@mwalimumuhidini1544
@mwalimumuhidini1544 Жыл бұрын
@@eastzooadmin6416 hakki ya CUF au
@sahimm4767
@sahimm4767 Жыл бұрын
Mwisho wako hujaujua halafu unaanzaje kumtabiria au kumsema mwemzako eti ataishia vibaya 😢... mbona unajisahau
@eastzooadmin6416
@eastzooadmin6416 Жыл бұрын
@@mwalimumuhidini1544 Ndio yenu hayo, eti mbuzi na ngamia walizungumza kiarabu fus'ha alipozaliwa mtume 😂
@suleali4915
@suleali4915 Жыл бұрын
Kudadeki zenu hamna hekma dini munaiharibu munawafanya wasiojua waone kumbe dini haieleweki
@alaminfadhil9031
@alaminfadhil9031 Жыл бұрын
Wewe ni mbwa
@mwalimumuhidini1544
@mwalimumuhidini1544 Жыл бұрын
Huyu jamaa lugha iko wazi labda hajui balagha lakini sishangai maana alisema Mtume (S A W)hajui chochote kwenye lawhi L mahfudhi wakati Qur.ani ipo kwenye lawhi L mahfudhi kasuku huyu
@jumahamad696
@jumahamad696 Жыл бұрын
uckurkupuke utangukia pua
@mwalimumuhidini1544
@mwalimumuhidini1544 Жыл бұрын
@@jumahamad696 wapi nimekurupuka au nimesema uongo huyu jamaa hafai hata kupewa watoto wadogo awafundishe
@mwalimumuhidini1544
@mwalimumuhidini1544 Жыл бұрын
Hii hadithi wadhanieni mema waumini hii hadithi tuiweke makazi gani
@ramadhanomar8093
@ramadhanomar8093 Жыл бұрын
Balagha gani sasa...hii ndo mbinu chafu mnazozitumia kuwapotoa watu
@mwalimumuhidini1544
@mwalimumuhidini1544 Жыл бұрын
@@ramadhanomar8093 hujui Kama mwenye elimu ndogo na anataka kusimamia Mambo ya elimu amepotea na amewapoteza wengine
@accramyunus5349
@accramyunus5349 Жыл бұрын
Hakuna ulijualo kaa chini usomeshwe
@YusufuGoma
@YusufuGoma Жыл бұрын
DOGO HUNA ELIMU NITAKUFUNZA MUDA MFUPI UJAO
@selemanmartin
@selemanmartin Жыл бұрын
Wewe ndo Huna Elimu,Ahl-Bi'daa we.
@YusufuGoma
@YusufuGoma Жыл бұрын
@@selemanmartin we na huyo dogo hali moja
@mwinyikitupa167
@mwinyikitupa167 Жыл бұрын
Twataka qawla llayina apo atutaki makasiriko na maneno machafu mtume hakuwa ivo eleweni
@saidmadizi9152
@saidmadizi9152 Жыл бұрын
Hana makasiriko ndio uslubu wake wakufikisha da'awa kila mtu alijaaliwa namna ya ufikishaji hatuezi fanana
@ramadhanimbulu4941
@ramadhanimbulu4941 Жыл бұрын
Huyu kijana ni kichaa!! eti wanaosoma maulidi na wanaohudhuria wanamkufuru Mungu hivyo wanaenda motoni.Huyu anakaribia kutembea uchi.
@jumamahmoud9271
@jumamahmoud9271 Жыл бұрын
Na atakae potoshwa na Allah hakuna wa kumuongoza,sheikh kashafikisha ujumbe kazi yake ishakwisha kwaio ukiamua kufuta sawa na ukiamua kukanusha sawa.m/mungu anasema kua jema unalo lifanya ni kwa ajili ya nafsi yako na ovu unalo fanya ni kwa ajili ya nafsi yako na hakuna atakae beba mzigo wa mwenzake.
@ramadhanimbulu4941
@ramadhanimbulu4941 Жыл бұрын
@@jumamahmoud9271 huyo ni mpumbavu tu!! eti wanaosoma maulidi wataingia motoni, hana elimu na atawadanganya wajinga wenzie.
@mwalimumuhidini1544
@mwalimumuhidini1544 Жыл бұрын
@@jumamahmoud9271 huo si ujumbe ni mipasho keshawapasha huyo ni malkia wa mipasho mwenziwe Khadija kopa
@benjaminkangolo2017
@benjaminkangolo2017 Жыл бұрын
Wa penda maulid wote ni njaa ndomana una ona wana pika wali mwingi
@mwalimumuhidini1544
@mwalimumuhidini1544 Жыл бұрын
Wafanya kazi wote ni njaa
@swalehkhalid6916
@swalehkhalid6916 Жыл бұрын
Wacha kuita watu washirikina hujui mwisho wako Allah ndo anajua tupo sawa ama hatupo sawa mi siachi maulidi hauna hoja zozote
@selemanmartin
@selemanmartin Жыл бұрын
Swalehe, kwani wewe mshirikina? Mbona unahamaki
@chabunu3367
@chabunu3367 Жыл бұрын
Vitu shikivoko
@mussaissa6796
@mussaissa6796 Жыл бұрын
SASA UGENI NDIO KUTUNGA UONGO NA KUTOA TAFSIRI ZA KUTUNGA KUDANGANYA WATU KUHUSU MAANA YA MANENO SIO??
@mwalimumuhidini1544
@mwalimumuhidini1544 Жыл бұрын
Sayidna ALLY anasema انا عبد لمن علمني حرفا
@salimkhatib4119
@salimkhatib4119 Жыл бұрын
Lazima useme ukweli
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 Жыл бұрын
Haya tunamsubiri malemba aje kujibu haya
@mwalimumuhidini1544
@mwalimumuhidini1544 Жыл бұрын
Malemba Yuko sawa alimnyoosha kishki mpaka leo katulia Kama moja kaachana na elimu za mijadala afadhali yake kishki anajielewa huyu kasuku bachu yeye hajielewi sijui Kama Hana cheti Cha mental
@kadizosea6250
@kadizosea6250 Жыл бұрын
Maulidi halali na dufu nazipenda sana
@jumamahmoud9271
@jumamahmoud9271 Жыл бұрын
@@mwalimumuhidini1544 tusubiri tuone nani atamkimbia mwenzake lakini tujue kua m/mungu haipi nguvu batwil wala hampi nguvu mwenye kufanya batwil(ovu)
@mwalimumuhidini1544
@mwalimumuhidini1544 Жыл бұрын
@@jumamahmoud9271 Kweli ndio maana huyu hana nguvu wala ushawishi
@mwalimumuhidini1544
@mwalimumuhidini1544 Жыл бұрын
@@jumamahmoud9271 unajua sisi watu wa zama hizi tunaitwa Mukalliduna ni watu tunaofuata tayari yeshaandikwa na yeshatungwa kutokana na kiwango chetu Cha elimu sisi huchukuwa katika vitabu sasa alikua azungumze ni mwana chuoni gani amesema au kitabu gani Cha mwanachuoni kilichosema ndani ya barzanji mna shirki? Kama ni maneno yake tu basi yeye mwenyewe anajijua kuwa yeye ni mukalid Hana istinbatwi wala hawezi
@salumasaa7933
@salumasaa7933 Жыл бұрын
Hivi tumkumbilie Nan Kama so mtume
@kichuyaa8761
@kichuyaa8761 Жыл бұрын
Mkimbile Allah subhanahu wataala ndie anaestahiki kukusudiwa na viumbe vyote
@aminahmed678
@aminahmed678 Жыл бұрын
Kasome dini vizuri
@centralzonetvtanzania7313
@centralzonetvtanzania7313 Жыл бұрын
Hayo mambo ulishajibiwa hapa na Muhammad Hussein link nimekuekea chini kzbin.info/www/bejne/h6CTkHyqmL-mhLc
@omarshariff4417
@omarshariff4417 Жыл бұрын
Tafsiri duni kasome lugha vizuri Mungu akusanehe wewe usojua wapinga nini
@suleimanmbwana7573
@suleimanmbwana7573 Жыл бұрын
ama kweli tunahitaji kusoma mana uko ulikokwenda cko kabisa
@KHALIFAMPYA-TV
@KHALIFAMPYA-TV Жыл бұрын
Leo ndo nimeamini huyu jamaa kiarabu hajui na wajinga wenzie wanampa big up, yaan huu ni mtihani maafa katika dini.
@aminahmed678
@aminahmed678 Жыл бұрын
Mimi ni mwarabu na huyu sheikh wajuwa kiarabu vizuri sanaa
@KHALIFAMPYA-TV
@KHALIFAMPYA-TV Жыл бұрын
Kama we ni mwarabu basi hata we lugha yako hujui rudi kwenu ukajifunze vizuri kiarabu na balagha Yaani we hujui hapo عبد ilipotumika ilikusudia nini sio hivo huyo kijana anavoitafsiri
@KHALIFAMPYA-TV
@KHALIFAMPYA-TV Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/i2mvmXyDd96Nmrc
@centralzonetvtanzania7313
@centralzonetvtanzania7313 Жыл бұрын
Sasa hapo ghurabaa ni Masalafi au maanswari Sunna maana wote mnatoana ktk dini
@sidrasidra8616
@sidrasidra8616 Жыл бұрын
Subhan'Allah kama wale wanao muabudi Yesu!🤦‍♀️
@user412
@user412 Жыл бұрын
Pia fanyeni insaf ya kumraddi na Imamu Albany ambaye amehalalalisha punyeto mchana wa Ramadhan.
@iddyjohn1032
@iddyjohn1032 Жыл бұрын
Wahuni tu nyie hamna lolote
@eastzooadmin6416
@eastzooadmin6416 Жыл бұрын
Ahlu bida'a nyie sawa sawa na wakristo, hata mkakatazwa vipi katika batwil mnayoifanya hamtakubali kuiacha na kujiunga nasi kwenye ibada ilyosimama kwenye tawhid na Sunnah, Kumwambia ahlu bid'aa aache kumwabudu Mtumi SAW na Sayyidna Ali ni sawa na kumwambia mkiristo aache kumwabudu Yesu na Paulo 😭
@kavumohemedi871
@kavumohemedi871 Жыл бұрын
Hii dini ya Allah lazma ipate wasemaji kama hawa bila hivyo wajinga wataiharibu lazma Tauhid ifundishwe sanaaa na Bidaa ikemewe ili umma usije angamia InshaAllah .
@mwalimumuhidini1544
@mwalimumuhidini1544 Жыл бұрын
Huyu keshauangamiza maana dereva wa bodaboda kapewa meli aendeshe unatarajia nini?
@kavumohemedi871
@kavumohemedi871 Жыл бұрын
Ujinga sio tusi ndugu yangu bali maana ya ujinga ni kutolijua jambo ukiangalia hapo kasifiwa mtume sifa anazostahili Allah na hiyo ni shirki na ndio maana tukasema ni ujinga kutokujua cheo cha Allah na cheo cha mtume
@mwalimumuhidini1544
@mwalimumuhidini1544 Жыл бұрын
@@kavumohemedi871 umezungumza kwa kiasi Cha elimu yako sifa Mara nyingi Sana Zina mafungamano baina ya ALLAH na waja wake ALLAH mkarimu na ukimwita mtu mkarimu vipi? ALLAH mpole je ukimwita mtu mpole vipi?ALLAH ndie mwenye kuombwa msaada je!ukimuomba mwanaadamu mwenzio msaada naamini tatizo lenu nyinyi mnajengwa misimamo na si kufundishwa dini ndo maana ata akili zenu zimefumbwa katika Mambo maalum
@kavumohemedi871
@kavumohemedi871 Жыл бұрын
@@mwalimumuhidini1544 kumuomba mtu msaada hiyo ipo ila ukiitikadi kua bila yeye hueezi pata jambo hilo ni kosa rizki anatoa Allah mtu ni sababu hata wewe wazazi wako ni sababu ya kukulea na kukupa chakula ila vyote ivyo mtoaji Allah
@kavumohemedi871
@kavumohemedi871 Жыл бұрын
@@mwalimumuhidini1544 shehe ukisema mtume anafuta madhambi ukasema ndio kimbilio na kubwa ukasema anajua ghaib hali yeye mwenyewe asema hajui ghaib hilo ni kosa ama si kosa
@allymduma1629
@allymduma1629 Жыл бұрын
Dàa muhamad yaani elimu yako wewe kila neno abdu maana yake ni mja daa kasome kwanza usiwapotezee watu muda na wala huna elimu ya kufasiri maneno hayo na hayo mambo haya kunyanyua bali una zidi kuji dharaulisha kaanza baba yako na hajaeleweka utakua wewe kinying'inya
@mahfoudhcalender2747
@mahfoudhcalender2747 Жыл бұрын
chuki izoooo, Allah akuongoe
@khamisjuma7616
@khamisjuma7616 Жыл бұрын
Yaani sheikh nassor hakueleweka ?labda hujaeleweka wewe sh nassor alikua simba katika masimba wa zbar kwa utetezi wa sunna
@eastzooadmin6416
@eastzooadmin6416 Жыл бұрын
Abdu ama Abd ina maana ya mja au mtumwa, hamna maana nyengine
@mwalimumuhidini1544
@mwalimumuhidini1544 Жыл бұрын
@@eastzooadmin6416 huo ndio mwisho wa elimu yako ndogo
@eastzooadmin6416
@eastzooadmin6416 Жыл бұрын
@@mwalimumuhidini1544 Enhe wewe mwenye ilm kubwa ndo la kutuambia sasa, nini maana ya Abdu 😀
@abduomar8438
@abduomar8438 Жыл бұрын
Kweli mtume alisema kweli karne bora ni ile iliyotangulia kuliko ijayo watu wasiyokuwa na ndio wanazidi km huyu muhammad bachu huna elimu ya kushindana shekhe muhammad alihatamy mwenzako kishki katulia toka alipoekwa sawa kajuwa kweli hana elimu utakuwa ww baleghe inakusumbuwa huna ujuwalo hapo jibu hoja km unaweza tafsiri maneno kw fani za kiarabu balagha nahau swarfu mantwiki
@artanahm3389
@artanahm3389 Жыл бұрын
Kweli nyinyi mumepotea. Huyo alhatimi kawapoteza kweli. Kwa ajili kishk siyo mtu wa kujibizana mnaona alimshinda. Sasa mumepata wakuwajibia. Kila huyo hatimi wenu akija na upuuzi wake anaekwa Sawa.
@abduomar8438
@abduomar8438 Жыл бұрын
@@artanahm3389 unaongea nini mtovu wa adabu km muhammad bachu kwanza kuweni na adabu na heshima
@artanahm3389
@artanahm3389 Жыл бұрын
@@abduomar8438 adabu na heshima hutokana na adabu na heshima, kuitwa muongo wakati umedanganya ni ukweli, siyo utovu wa adabu. We ulitaka abu hatim aitwe aje? elmu gani hiyo alo naye ambaye anapata kudanganya uma, hiyo itakuwa siyo ilmu nafi'an.
@abduomar8438
@abduomar8438 Жыл бұрын
@@artanahm3389 tupu nendeni musitushulishe watovu wa adabu elimu hamuna adabu hamuna
@abduomar8438
@abduomar8438 Жыл бұрын
@@artanahm3389 tupu nendeni musitushulishe watovu wa adabu elimu hamuna adabu hamuna
@abuutasniym2675
@abuutasniym2675 Жыл бұрын
Baaraka Llaahu Lakum umejitahidi sana kuelezea ustadh lakini suala la dhanna apo ningekuomba upitie tena vuzuri kusema kua kua nadhana nzuri kwa Mtume Swalla Llaahu Alayhi Wasallam ama kwa Muislamu ni shirki apo sikuungi mkono kwasababu nimaneno yanayokwenda kinyume kwamujibu wa Qur'an na Sunnah
@diinkimanxariifa3842
@diinkimanxariifa3842 Жыл бұрын
Masheqi hawa. Wanafanya da awa kalego lawo binnafsitu
@umarsudeispapytex9566
@umarsudeispapytex9566 Жыл бұрын
Assalam aleikum,nime msikia alhatimy hapo memwisho akisema ati cheo sio tatizo,tatizo ni daraja.yaani kamaanisha cheo cha Allah (SW)na Mtume (SAW) iko sawa isipokua wana daraja tofauti,Allah amsamehe,,,Wallahi msikizeni hilo jamaa line kufruu....(kzbin.info/www/bejne/jYLcpHtnmL2UoaM)
@abiabi9353
@abiabi9353 Жыл бұрын
Ina maana ukimuekea ndegu yako dhana nzuri kuwa atakusaidia kitu fulani hiyo nishirki, kivipi ? Maanake kinyume chake unatwambia tudhaniane vibaya.hiyo kwanza nikinyume cha Quran. Sasa kama kwa ndugu yako tu mnamdhania Dhana njema, vipi kwa mtume.Jamani mawahabi tumewachoka na upotoshaji wenu. Alafu ukome kumfanana nisha mtume na homeless mjinga kabisa
@jumamahmoud9271
@jumamahmoud9271 Жыл бұрын
Hii yani wewe ndugu yetu ndio hujafahamu kabisaaaa.tejea tena kusikiliza
@abiabi9353
@abiabi9353 Жыл бұрын
@@jumamahmoud9271 nimemsikiliza mara nyingi sana.Hawajama na kiarabu chao chakuombea pesa Saudi Arabia ndo wanajifanya wanaweza kumkosoa sheikh barazanji.waende wakasome tena. Na sasa hivi utamuina bingwa sheikh AlHatimi akiwaweka sawa majahili hawa wakiwahabi
@hamisishirikisho2199
@hamisishirikisho2199 Жыл бұрын
Wahabi mtapewa tu elimu soon mtaelewa
@nassorbinfundi1196
@nassorbinfundi1196 Жыл бұрын
Wewe mtt wa Shekh baba yako alieshimika lkn wewe leo, nidhamuimeku hauna kabisa acha mambo hayo usiwe sababu ya fitna kama walivyo salaf wanafik!
@allymwinkyambi9689
@allymwinkyambi9689 Жыл бұрын
kiukwel wewe bado hujaelewa, kuwa kuna mafhumi na tafsiri
@ibrahimomar1073
@ibrahimomar1073 Жыл бұрын
Kaeni muelemishe watu muwache mizozo
@raymondmalindi7090
@raymondmalindi7090 Жыл бұрын
Wataka kuelimisha gani zaidi ya huku? Huu sio mzozo ndugu
@omarsima2763
@omarsima2763 Жыл бұрын
Hapa ndiko anaelimisha na si mzozo
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Hivyo ndiyo vizuri wasiyojua wanasikia wanaelemika wanaacha ikifanyakimyakimya kuna wario poyea hawajui itakuaje sindiyo wataemdele kumshilikisha Allah
@ogenylaurent7961
@ogenylaurent7961 Жыл бұрын
Nilicho kigundua wewe ndio Hujamuelewa Mwandishi wa Kitabu
@mwalimumuhidini1544
@mwalimumuhidini1544 Жыл бұрын
Kweli huyu kasuku elimu Hana lakini alikua atumie japo wanazuoni anao wategemea ambao walisema barzanji Ina shirki ili apate kujenga hoja vizuri hata Kama za makosa
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
@@mwalimumuhidini1544 utamlipa kwahilojina unalomuita
@mwalimumuhidini1544
@mwalimumuhidini1544 Жыл бұрын
@@hanifatanzania7258 nikulipeni shilingi ngapi na wewe pia nahitaji kukulipa
@abiabi9353
@abiabi9353 Жыл бұрын
Imam Jaffar Sadiq Sadid anawataja miongoni mwa maswahaba waongo katika hadith ni abu ghuraira (angalia bukhari hadith no.5355) na Anas bin malik.kwahiyo hadith za anas bin malik hazina mashiko
@yunusramadhan2546
@yunusramadhan2546 Жыл бұрын
Wewe bila shaka nishia nashia nimakuffaar
@abiabi9353
@abiabi9353 Жыл бұрын
@@yunusramadhan2546 kwanini shia ni kafiri
@abiabi9353
@abiabi9353 Жыл бұрын
@@yunusramadhan2546 Tatizo mawahabi hawajui lugha. Neno moja la kiarabu linaweza kuwa na maana zaidi ya moja. Neno mja silazima liwe na maana ya mungu na kiumbe chake. Neno mja pia linaweza kutumika kwamaana ya mtiifu kwa mwenye kutwiiwa. Je sisi wsislam si watwiifu kwa mtume? Kwamaana hiyo sisi ni waja wake. Mawahabi hawana wajuacho ndo maana wakawa na mungu wa kiyahudi. Mungu wa mawahabi ana viungo kama binadamu tena anapanda na kushuka kama ndege.tena mungu wao anakaa mbinguni kama mbinguni kama mawingu. Pia mungu wao huchoka alajitaji msaada wa malaika. Pia mungu wao ana godoro na ndala za dhahabu. Na zaidi ya hayo. Kweli hizi ni sifa za Allah au mungu wakiyahudi.huu ni ushirik8na na ukafiri uliowazi.ukiyata haya soma kitabu cha ibn Taymiyah majmaul fatawa vol.2, vol 3 had 7
@mwanaishamuhaji
@mwanaishamuhaji Жыл бұрын
Imam jafar hawezi sema maneno hayo
@fatibra7768
@fatibra7768 Жыл бұрын
Mkweli ni yy Aliesema ni Hali kumuingilia mke Kwa nyuma?
@comredmuslimmputa2275
@comredmuslimmputa2275 Жыл бұрын
Nini maana ya Tawassul? Nini maana ya khitwaab Nini maana ya majaziyyah Unajibu sawa lakini sio kielimu saana unatumia akili kutafsiri khadith na aya badala ya kutumia qiyaas,ukitafsiri aya hivyo na khadith Dini itakua ngumu kweli hii Mfano maendeleo ya technology leo utayaharamisha mengi,hata hijjah tunakwenda kwa ndege na mtume hakuwahi kuitaja ndege kwa jina bali kaitaja kwa khitwab na majazi na makkah ni ibada tena inaanzia kwenye dhannah kwa maana ya nia Sasa iko wapi ile aya katika tawbah Allaha anamwambia mtume Qul yaa Muhammad inkuntum tuhibbunallah fattabiun yuhibibukumullah Sema Muhammad kuwambia watu wako kua ikiwa wanampenda mungu basi starti wakupende wewe ndo mungu atampenda mja huyo na ndo atapendwa na mungu na kusamehewa dhambi zake Hii ni khitwab kuwa mambo yote ya ibada yapitie kwa mtume Muhammad na khitwab hiyo kampa mungu mwenyewe,basi kama ni shirk karuhusu mungu mwenyewe Kusoma kote huko Sheikh wangu unashindwaje kuelewa haya?sisi wanafunzi wako wadogo wadogo kabisa tunaelewa?
@hashimkhalifa8734
@hashimkhalifa8734 Жыл бұрын
Tusomeni jamani ila hupaswi kumtia doa mwanazuoni mkubwa inapaswa umfuate alipo tena mwanandani huko umuulize alivyokusudia halafu uje kumkosoa baada ya yy kukuelekeza maana yake .
@user412
@user412 Жыл бұрын
BACHU kosoa vitabu vya Imamu Albani ili tujue mapungufu yake pia.
MAJIBU KWA MUHAMMAD AL-HATIMIY | SEHEMU YA PILI | Muhammad Bachu
1:13:26
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 15 М.
MATUKIO YA SIKU YA KIAMA || Muhammad Bachu || MOMBASA  || 14/7/2022
1:20:43
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 4,5 М.
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 57 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 19 МЛН
MAJIBU KWA MUHAMMAD AL-HATIMIY | SEHEMU YA TANO |Muhammad Bachu
42:09
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 43 М.
USHIRIKINA-SHEIKH SAID BAFANA
42:03
Peacefm Matukio
Рет қаралды 346
JE KUNA MAKOSA KUMUOMBEA DUA WILLIAM RUTO || Muhammad bachu.
53:07
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 46 М.
KUFRU ZILIZOPO KWENYE KITABU CHA BARZANJI | MOHAMMED NASSOR BACHU
1:05:14
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 7 М.
MAJIBU KWA MUHAMMAD AL-HATIMIY|| USTADH ALI ABUBAKAR AFAFANUWA MAANA YA HIKMA
27:42
UBORA WA DHIKRI YA ALHAMDULILLAH / SHEIKH HASSAN AHMED
33:58
FADHAKKIR CHANNEL
Рет қаралды 129 М.
UHARAMU WA ANAASHIID || Muhammad Bachu || MOMBASA KENYA 16/12/2022.
1:18:01
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 29 М.
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 57 МЛН