ahlul beit lamu basi hata sio makkah na madina subhanallah...
@hilalkhalfan1452 Жыл бұрын
Kwani Ahlu lbait walikatazwa kusafiri?, kwani walioeneza dini ilikuwa Ahlu baiti hawamo au
@abubakarymaulidy568110 ай бұрын
Huyu bwna hana akili anahoja mufu
@الزغويالزغوي-ض3ن2 жыл бұрын
SHEIKH MOHAMMAD SAIID AL-BEIDHI AL-LAAH AMRAHAMU.
@fatmamombo31392 жыл бұрын
Rudisha hati za viwanja ulivowapora wale jamaa wa Moshi.Barahian we humuogopi Mungu wewe unafanya dhulma ya wazi wazi.
@mafiatv5479 Жыл бұрын
ambazi kumbe huyu, alafu ajitia sheikh kumbe mshenzi tu
@9119-r4t2 жыл бұрын
Huyo mzee kweli mshirikina akubali watu waombe kwa makaburi subhanaallah
@hassanalhussein39822 жыл бұрын
Watu waandika nawe umo Kati ?
@zuheorsalim77592 жыл бұрын
Anaesoma quran ktk makaburi sio mshirikina akhy ni kosa lakin sio ya kumtoa muislam ktk uislam
@الزغويالزغوي-ض3ن2 жыл бұрын
UMEKOSA WA KUMTUKANA NDO UKAONA UMTUKANE HUYO SHEIKH ALO FARIKI MIAKA MINGI ILIO PITA ?! HAPO KASEMA WAPI KUOMBA MAKABURI?! UKIWA NA CHUKI HATA MAZUNGUMZO YA MTU HUYAELEWI WAJISEMEA TU, TUMUOGOPE AL-LAAH NA TUCHUNGE NDIMI ZETU !
@mafiatv5479 Жыл бұрын
mshirikina babako na mamako
@mafiatv5479 Жыл бұрын
mawahabi washenzi sana halafu huyo ni maiti wamsema maiti wanipe dalili ya kumsema maiti
@neemafatu78852 жыл бұрын
Subhanallah
@jamalbahdela5242 жыл бұрын
Barahiyani ni mropokaji tu hana ilmu.
@jailaniramadhan17882 жыл бұрын
Mzee haujui 1 katika dini
@Mohamedmjenga Жыл бұрын
Al beidhi elimu yake ni pana hamutomuweza
@amaxyz1382 жыл бұрын
🤣 watu wamejifanya ahlul beiyti? watu ni ahlil beiyt penda usipende meza vijembe una uwivu na ahlul beiyti
@sleemhamoud43942 жыл бұрын
Kumbe mate ya mtume watu wakiyanywa hhh
@akthammuhammad78442 жыл бұрын
Huyu Barahiyaan ni zuzu tuuu hana moja ajuwalo kazi kuiba misikiti na kula riba
@khalfanikishki26462 жыл бұрын
Watu wa Bid'aah mna matatizo
@mussaswai88722 жыл бұрын
Ha ha ha ha ha haaa
@doza10312 жыл бұрын
wacha kiherehere wewe mzee wapotosha watu na ujinga wako huo
@abiabi9353 Жыл бұрын
Wewe wahabi utamjua tu
@9119-r4t2 жыл бұрын
Ako kaburini mwache akaone huko chini
@hassanalhussein39822 жыл бұрын
Aone kitu gani? Wewe ndie hakimu?unalipi ulilofanya la muhimu? Unayo madarsa unayofunza watu dini? Uko na kiwango gani Cha elimu.
@barkehussein7732 жыл бұрын
Yeye ashajijua alipo jipange na ww
@salim-fv4yg2 жыл бұрын
Rasul (swallawatullahi aleyhi)alifafanua ahlu beit ni Yeye,ali,fatima abbas hassan na hussein (radhiallahu anhum) na hakuna baada yao. Maanake vizazi vya hao wasita watakua hawana fadhila za ahlu beit. Ahlu beit iliisha kwa hussein r.a. Shida ni ahlu beit wa karni zetu wanapigania cheo (fadhila za ahlu beit) ilio tamati kwa Hussein.Alu sunnah Wanapinga uzushi wa ahlu beit bandia kueneza kuwa fadhila ya ahlu beit haikutamati kwa hussein bali inaendelea kwao pia. Hii ni uwongo wao na wanampinga Rasul kilazima. sababu wanakataa aliosema Rasul kuwa ahlu beit ni wao sita na hakuna baada ya wao sita.
@abdallahsaid49972 жыл бұрын
Imam mahdi ni katika kizazi cha mtume hilo halipingiki nasaba yake itajulikana Hiyo ni dalili tosha nasaba ya mtu imehifadhika
@hassanalhussein39822 жыл бұрын
Wewe huna ujuwalo .Ndio nyinyi madebe matupu. Nenda kasomeshwe upatekujuwa kuwa kizazi cha mtume kitaendelea hadi siku ya mwisho.