Sheikh wa ukweli asiye pindisha maneno! Ubarikiwe sana mkuu
@HafidhKhamis-ph8qg18 күн бұрын
Shekh ponda Allah akuhifadh zaid ili utetee watu wetu Tanzania.
@benjaminmichael81118 күн бұрын
Nilikusikiliza sana Khelef ukiwa DW ukiongoza mada kadhaa mchana ule..kazi njema sana
@albethoildefonce911719 күн бұрын
Mungu azidi kukubariki Skh.Ponda ni kweli kabisa polisi na vyombo vya usalama vinahusika moja kwa moja na haya matukio ya utekaji..
@Yussuf-b3b19 күн бұрын
Ni kweli kabisa
@albethoildefonce911719 күн бұрын
Watanzania tunatakiwa kuja kwa pamoja na kupaza sauti na kupinga haya mambo@@Yussuf-b3b
@raymondjohn379812 күн бұрын
Following from Madagascar ,2unaumia Sana, nchi yetu kwakweli 😢!!!
@rashidomar277118 күн бұрын
Shukran shekh Ponda allah akupe kila la kheri ,,waache hao mashekh kusifu na kutafuta kiki, wajikombe tu kwa watawala kwa maslahi ya matumbo yao allah ipo siku atahukumu haki
@mariaanthoniangowi937618 күн бұрын
Shehe nakubariki sana mtu wa Mungu . Tunakupenda toka chinini ya kiini cha mioyo yetu❤❤❤❤❤❤
@azizajuma163318 күн бұрын
Allah akulipe shekhe wetu
@nasramusaro18 күн бұрын
Nakupenda kwa ajili ya Allah Shekhe wangu Allah akujaalie jannat firdausi kwa kupigania haki za watu wote bila kujali dini wala kabila unatekeleza ukhalifa ipasavyo
@BonifaceSambo19 күн бұрын
Shekhe ponda uko vizuri wewe ni kiongozi MUNGU amekutama kutetea watu MUNGU kweli.
@estachengula390219 күн бұрын
Hapo kunaviongozi wengine wanasema nchi hii Ina amani na utulivu wamogope mungu Kuna maisha watakapo toweka Dunia I watakwenda kwa muumba kutoleya hayo wanayo yafanya
@PeterMahona-zd3oz10 күн бұрын
Viongozi wahivyo wamekalia udini hawanyoki namada washindwa kwajina la yesu
@petermunuo223919 күн бұрын
Hatua ya kwanza ni kumuondoa waziri wa ulinzi na mkuu wa jeshi polisi,wameshindwa jukumu la kulinda wananchi
@PeterMahona-zd3oz10 күн бұрын
Shehe mungu akulinde nayesu akuifadhi
@estachengula390219 күн бұрын
Asante mtu wa mungu kutusemea tunaangamia sana na watekaji heri msrma ukweli huyo ni mpenzi wa mungu msema uwongo ni mpenzi wa shetani
@GodfleiElias18 күн бұрын
MUNGU akulinde naubaya wowote shehe wetu na wewe ndo unae faa kua shehe mkuu
@Masjidfirdous-onlinetv19 күн бұрын
Nice
@mariaanthoniangowi937618 күн бұрын
Mnaoona anachokifanya Shehe Ponds si sawa ninyi ndio vibaka wenyewe kwahiyo hatushangai, lakini nawaambia Mungu alieziumba mbingu na Arthur atawachoka, na aamekwisha kuwachoma ni dakika ya kuwamwaga iliobakia na kimwago chenu kitakuwa cha ainu mile.
@TomasiklistophaMwinuka18 күн бұрын
Shekh Ponda kwer weunahofu ya mungu unaongea ukwer naunajua umhim wabinadam kuishi ubarikiwe
@rajabumwinyi805018 күн бұрын
Pili katika kutowa maoni yetu katika ukurasa hu hatufai kumkosowa Sheikh Ponda ktk anacho kiongelea hapa anayo sema sheikh hapana anaye weza kuthubutu kuya sema hata kwa kujificha acheni uhasidi.
@DoraNyandamba7078-ef2rz18 күн бұрын
Mungu azidi kukupa he kima mwisho wako uwe mwema
@KassimAlly-xp4dz19 күн бұрын
Kinacho endelea kwenye hii nchi ni mtihani sn kwa Taifa hili kuna siku Allah atawahukum moja moja hadharani uonevu ukizidi mtihani kwa Taifa
@rashidomar277118 күн бұрын
Hicho kitabu kinapatikanaje
@humaidalnaamani785918 күн бұрын
Na ikiwa mzee ponda ana sema uwongo achukuliwe hatua kali zaidi
@Hussein-gx4qu19 күн бұрын
Huyo mufwere ndio kiongozi wao anaongoza utekaji kwanini na yeye msimteke ili na yeye alipie?
@MohdHamad-zr8ll18 күн бұрын
Haowanaoteka ndiomkonomrefu wenyewe wa Serekali
@jumanesaidi763512 күн бұрын
Masikini mama Tz ! !
@ceciliamagalabajimmy439119 күн бұрын
😢😢😢😢Ni huzuni kubwa.
@ceciliamagalabajimmy439119 күн бұрын
Isitoshe polisi ni watoto wetu, wapo wasioyapenda mambo hayo wanayofanyiwa ndugu zao. Lakini jitu katili hata lisipokuwa polisi ni katili tu. So sad.
@petermunuo223919 күн бұрын
Kwanini Kuna kigugumizi kuhusu uchunguzi,mbona raisi anashindwa kutupa uchunguzi wa Scotland,anaogopa Nini?
@MohdHamad-zr8ll18 күн бұрын
Mama samia kuamakini mtego huo wakuonekana hufai
@chussehussein394418 күн бұрын
!!!!!!!!
@rajabumwinyi805019 күн бұрын
Hi ndiyo maangamivu ya jamii hi kuonewa mavazi ya ucha Mungu ndiyo alama ya maovu,uhuni,na ujambazi lakini kufuga marasta kichwani kunyoa viduku kufavaa mwaarisho yaa'ni nusu makalio,vipensi kwa wanawake na na wanaume Kuna onyesha wema na maendileo kilimwengu kuonyesha vipi ulimwengu umegeuza mabaya kuwa mazuri na picha ya mambo yenye kupongezwa.
@petermunuo223919 күн бұрын
Kwanini bado ameshindwa kuwajibisha viongozi husika?
Shekh Ponda hajawahi kuwa mnafiki ataa siku 1 yy huongea yale ya ukweli m2pu
@judithmwamukinga444819 күн бұрын
Wamedhamiria kutumaliza
@Mosmwampa19 күн бұрын
Shekh ponda, huyu ni shekh ambae siku zote anasimama na ukweli
@daviddsouza73512 күн бұрын
Mama
@PeterMahona-zd3oz10 күн бұрын
shehe ubalikiwe hujikanyagi hujafanya udini yesu akulinde namajasusi
@rajabumwinyi805019 күн бұрын
Jambo lakutahadhari ndugu zangu mtanisamehe kwani hili suala la ugaidi halikuwa na mlengwa ila kwa waislamu tu na ndio wakawa maelezo ya kumtambua gaidi ni kanzu vipi, kufuga videfu na kunyoa vipara.
@PeterMahona-zd3oz10 күн бұрын
Magaidi wanava suti wale waselekalini wanamagali .yakuteka watu well wasiyojulikana wakati wanajulikana
@shabanipanya103318 күн бұрын
Huyu ndio muislamu sio kina mziwanda
@HafidhKhamis-ph8qg18 күн бұрын
SI vema kugawa maskh Kwani mziwanda nae yupo vzr kiimani
@shabanipanya103318 күн бұрын
@@HafidhKhamis-ph8qg vizuri kiimani kutetea serikali isiyo na dini na chama kinacho fanyia watu dhulma ilimradi tu wafalme wakuone upate kupona njaa
@BonifaceSambo19 күн бұрын
Wewe unayesema shekhe ponda wapinzani wanajiteka,nataka nikwambie kwamba wewe hujitambui,au huelewi,hebu tuachie nafasi tuchangie,tena tuanzia kwako kuwa wewe ni mhusika,na na Kama ni mhusika basi hauna ndugu,na kama una ndugu basi una roho mbaya.
@BonifaceSambo19 күн бұрын
Nashangaa uongozi wa sasa,mbona hawafuati utaratibu wa kujiuzuru🎉 siku hizi ni kwa nini?.
@knight675718 күн бұрын
🤑🤑
@sautikuu21215 күн бұрын
Hicho kitabu cha waliotekwa kinapatikana wapi na ni bei gani?
@omarizuberi716319 күн бұрын
😢😢😢😢
@sautikuu21215 күн бұрын
Huyu ndiye anafanya majukumu sheikh sio tu kusoma khutba za ijumaa na qaala llahu taala zisizo na matendo nwala matokeo
@Haarun-h4q19 күн бұрын
Polisi wa Tanzania ni vikaragosi wa UVCCM.
@knight675718 күн бұрын
🙆♂️
@ThomasAssey-uq2ur18 күн бұрын
Shehe Ponda ninakukubali mno! Watu Kawa wewe ndio wanastahiki kuwa maraisi wa Tanzania Kwa kweli unafaa sana , unaakili kubwa, unabusara sana, Sio muoga, Ni mbunifu sana na mkweli sana Pia huna udini ukweli ni kuwa wengi wetu hujali upande badala ya utu kwani wanaoteswa na kuuawa ni WA Islam na wakristo Binafsi Mimi ni mkristo ila kifo Cha kibao kimeniuma sana Ukweli polisi wanahusika na hasa serikali ndio mhusika mkuu Kwasababu hawachukui hatua wakati ni uhai wa watu Hata majibu ya viongozi ni ya kujihani na kuficha ukweli Jitihada kubwa zinafanywa na serikali kutaka polisi wachunguze ili kupoteza ushahidi Kwa kujilinda serikali
@humaidalnaamani785918 күн бұрын
Kusema ukweli kwa kauli ya mzee ponda kuhusu majebu ya police ukweli ni haki familia ya wa mteke police alie wajibu majibu ya kujionyesha yy ana nguvu zaidi na akiuwawa mtu wao na wao wamuuwe police hii itakomesha utekaji kwa sbb haki husema kheri kwa kheri shari kwa shari imemwagwa damu mwaga damu hapo mtaenda sambamba na kili mtu atamuheshimu mwezake kwa sehem yake na itaenda haki kwa biziri
@rashidomar277117 күн бұрын
Mimi sitaki kuamini kama Polisi ndio wenye tatizo kwa sababu polisi ni watu wa kupewa amri tu ,,na wanaotoa amri ni wiongozi wa serikali na chama tawala,,hapa polisi wanataka kutupiwa zigo la kinyesi tu,,
@PeterMahona-zd3oz10 күн бұрын
sawa katiba hailusu wamekubali kujiunga nasiasa waache.
@majidabas384316 күн бұрын
HIVI UNAVYOSEMA SAWA KABISA HAWA VIUMBE NI WATATA SANA WAO WANAISHI KWA AMANI BALI WENGINE WANAWAUWA HOVYOHOVYO BAS MUNGU NDIO ANAJUA TUMUACHIE MOLA
@adamlubawa128118 күн бұрын
Huyu Shehe ni mnafiki sana achana na hilo tukio
@sadih533318 күн бұрын
Mkundu wa mamayo wewe usiependa kusikia ya ukweli.
@hadjihadji19718 күн бұрын
Unafiki wake upo wapi kaka?
@adamlubawa128118 күн бұрын
@@sadih5333 MATUSI SIO HOJA NA SIO UJANJA INAONYESHA NI KWA JINSI GANI WAZAZI WAKO WAMESHINDWA KUKULEA NA KUKUPA MIONGOZO ILIYO BORA ILA SIO KOSA LAKO KOSA NI KUTOKUMJUA BABA YAKO WA HALALI HIVYO MUULIZE MAMA YAKO AKUTAJIE AU KUKUONYESHA BABA YAKO WA HALALI NA AKIKUONYESHA PIMA NAE DNA KUTHIBITISHA
@adamlubawa128118 күн бұрын
@@hadjihadji197 Hadji huyo shekh hakuanza leo yaaani Tawala zoote za ISLAMIC Yeye hazikubali Na ndiyo maana tawala ya KIKWETE ALIPIGWA RISASI YA BEGA KWA USHAMBENGA WAKE
@mr.yahzadochuno791419 күн бұрын
💔😭🇹🇿🩸
@salehali97618 күн бұрын
Kuna haja ya Masauni na IGP kufukuzwa kazi mara moja. Nina wasiwasi Samia ana mkono katika hii kadhia na kama hana basi awaondoe hawa na aunde tume huru ya uchaguzi. Tusubiri tuone ukweli
@salmyhussein625516 күн бұрын
Shekhe wa democrasi😂
@jumamustapha825418 күн бұрын
Shekhe achana na siasa za upande mmoja, mbona kwa wasio wanachama hawawapigii kelele.
@chussehussein394418 күн бұрын
Kwani Shekhe hapo anazungumzia siasa?? Duu uza cm update ada yashule
@hassanharith244314 күн бұрын
Shevhe ponda kuwa muwazo wewe ni sheghe au mwanasiasa hatuelewi hapa Tanzania tuna masheghe wengi na hawazingu mzii siasa isipokuwa wewe Toka hadharani ujitangaze wewe ni Chama Gani usheghe na siasa vitu tafauti nampaka hapo wewe huelewi dini ndio maama uko hukokwenye siasa umevaa koti LA dini eti shehe
@Hemedally-o9x19 күн бұрын
Shehe ponda siowatu wote ni watekaji na pia kua chama Cha upizani pia kinaweza kufanya njama ili kipate sifa naje huyu slaha alie sema kua anajua watekaji humuoni waogopa kumhoji wewe ataka utupeleke libia
@kassimrajabu780519 күн бұрын
Ukapimwe mkojo fara ww,unafikiri ingekuwa kweli Chadema ndo wanateka watu hao polisi wangewaacha??
@albethoildefonce911719 күн бұрын
Kwanza unatakiwa ufikirie kabla hujaonges jambo hivi unadhani huyo Dr Slaa anafanya kazi chini ya nani kama sio china ya serikali ya Samia na CCM je unsdhani ataongea mabaya kuihusu serikali yake?? Ikiwa na yeye ni mfuasi au mshukiwa mojawapo,? Alichokiongea huyo Slaa ni Propaganda tu ili kuficha maovu ya serikali na kuwapunguza nguvu Chadema.. Nadhani uwezo wako wa kufikiri uko finyu kidogo ...
@KassimAlly-xp4dz19 күн бұрын
Kweli chama pizani kiwe na nguvu ya kuteka wa2 na kuwauwa serekali inyamaze kweli wapizani wamiliki silaha serekali wanyamaze kimya huoni kama ni shutuma nzito sn maana ikiwa wapizani wanahusika bc jeshi le2 ni dhaifu sn sn