Kweli samia ni bonge la kiongozi mitano tena watanzania tuna wajua walio na nia mbov na nchi yetu
@abujamalaalghammawiy74704 күн бұрын
AHSANTE SHEIKH MWAIPOPO, TUTAGAWANA MBAO SOON NA CHAGADEMA TAWI LA KANISA
@BeniJohn-xd3cn5 күн бұрын
Ametukosea heshima kanisa
@RBMBAKARI-bv6wn4 күн бұрын
Tunakushukuru sana mhadhiri mwaipopo kwa kuweka ukweli bayana hawa wachungaji michongo watatuletea balaa sana
@saidymbila577 күн бұрын
Hata Mimi nauugana sana na Mr msiba kwa hili hao chadema wanahusika sana kwenye haya mbo ya utekaji serekali wafatilie tu
@aasatt787 күн бұрын
Kama chadema wanahusika washakamatwa zamani ni hao hao usalama wa taifa ndio wenye uwezo wa kufanya wanachotaka na hakuna anaeweza kuwafanya chochote
@JoshuaSalimu6 күн бұрын
@@saidymbila57 unatombwa sio bure
@JoshuaSalimu6 күн бұрын
@@saidymbila57 kama chadema ndo wanaoteka polis si iwakate, kz ya polisi nini?
@RubyMasuku-x5r4 күн бұрын
Jamani huu siyo mzaaa Nani mzuri Nani mbaya kinacho takiwahuu utekaji ufike mwisho wanakufa nibinadamu kama sisi
@RubyMasuku-x5r4 күн бұрын
Muache kuchochea udini tushikama nekutokomezeza h uuukatili
@mohamedS-yd9wh6 күн бұрын
Sheikh Mwaipopo sisi tunajau Nabii huchaguliwa na Mwenyezi Mungu tu. Nabii anayejitangaza ni nabii kidhabu, hayo yanajulikana,
@chedielimrutu69553 күн бұрын
Hongera sana Sheikh wewe ni mzalendo na umesema ukweli. Rais Samia ni mwema na mtulivu sana. Mungu amlinde
@HASSANWAZIRIGAO7 күн бұрын
CHADEMA WALIAMUA KUMTEKA MUISLAM ILI WAUNGWE MKONO NA WAISLAAM NA WAMEVAA KANZU NA BARAGHASHIA ILI KUWASHAWISHI WAISLAAM KIJIUNGA NA CHADEMA
@GaboGabby6 күн бұрын
DUU UWEZO MDOGO WA AKILI...KILAZA KWELII WEWE.
@HASSANWAZIRIGAO6 күн бұрын
@@GaboGabby WEWE HUWAJUI CHADEMA PIA HUMJUI MBOE MAKOMANDOO ALIWATAFUTA KW KAZI GANI
@user-bo2ms3pu6u6 күн бұрын
Kweli hawana jengine isipokuwa ni udini tuu kwa samia ili waislam wamchukie @@HASSANWAZIRIGAO
@thamani58426 күн бұрын
Jazakallahulkheir Sheikh, TUNAKUELEWA SANA.
@madetetv65766 күн бұрын
Kweli ww ni mpumbavu ndugu yangu kwahio chadema wanamiliki silaha nzito kama zile ambazo zinatumiwa na usalama wa taifa? Chadema wasimqmishe gari barabarani na serikali isiwafanye chochote tuache utoto@@HASSANWAZIRIGAO
@HassanSalim-hl8qs5 күн бұрын
Huyu si mchungaji bali ni mpuuuzi hili jizeee latokea wapi?
@user-gy5en6cy8o3 күн бұрын
Jazakhalakher ustadh wang Allah akulinde 🙏
@mohdsaid87445 күн бұрын
Mama Samia ni Rais Mzuri hawa wote wanafanza kutaka kumharibia kwanza kwa sababu ni Mzanzibar, Muislam na Anaongoza uzuri na Anaganza mazuri, sisi tunampenda na tuko nae na tunampa kura zote hao wameumia sana, Shekh maneno yako ni kweli ni chuki tu
@rashidmohamed19496 күн бұрын
Huyu kafiri chungaji lilaaniwe na watu wote waseme aamin
@rashidmohamed19496 күн бұрын
Aaaamin
@Kuminamoja19957 күн бұрын
Mama samia mitano tena atakama watachukia
@zedyabdulrwabilingo90426 күн бұрын
We kiazi kabisa wala hufai kuendelea kuishi, Namuomba Allah akufishe kabra ya huo uchaguzi kufika Insha Allah.
@mwawekomiuda97796 күн бұрын
Kutekwa kwa watu ni kitendo cha kishetani na hakikubaliki. Ila kutekwa watu ni kwa Awamu zote tena mauwaji ya wazi2 yaliyotokea kbl ya Rais Samia. Hizo ni chuki za viongozi wa wakiristo kutoa kauli za kashfa na na matusi kumchafua Rais kwa sababu ni muislamu. Mwaipopo kweli umenena jambo.
Ndo Maana nachukia siasa baba yangu alikuwa kada Wa cuf kwel kwel mie ulikuwa hunambii kitu kuhusu chadema lakn Sasa sitak kusikia Chama chochote Sabab inanfanya nakuwa mbali na mungu wangu uongo mwingi mbinu chaf nying lengo Kumfanya kiongoz Wa Nchi aonekane mbaya wapo tayar kuharibu ofic hata kudhur Wa karib ktk wafuas wao ili aonekane mtawala Wa serikali mbovu kiongoz Wa Nchi hafai ilhal mbinu wanazifanya wao washenz Wa kubwa sitak kusikia siasa utakuta a kwa muumba wetu ukwel utakuwa wazi
@abdillahiabdallah4387 күн бұрын
TUNAMZOMEA BABA YAKO NA MAMA YAKO ALOKUZAA ,WOOO WOOO WOOO , NI HASARA KUZAA BINADAM KAMA HUYUU , UZIDI KUZOMEWA WOOOOOOOOOO
Jamani msameheni huyo mchungaji hajui alitendalo because hakuna mtume kwa wakati huu so huyu ni kama kiboko ya wachawi tu 😅
@HanifaOman-oo4pl5 күн бұрын
😂😂
@binseif22166 күн бұрын
Huyo askofu kashindwa kuwapa andiko ukristo dini ya Mungu ndani ya bible kaamua kuingilia siasa
@franciscarsongea79485 күн бұрын
Shehe usiseme wakristo wote hapo znapoongea wapo wangapi anaongea pèke Yake kwaakili Yake kwanini useme wakristo wewe ndio mchochezi kuchanganya wakristo wote 😂
@JumaHiza-mq7ch5 күн бұрын
Huyu nimchungaji mbwa aliyo zungumzwa ktk kitabu cha isaya15 45
@salehesalehe29674 күн бұрын
Ngumaninananyokwenaengumaniaaaaaaaaaaaa
@user-sc4ql5kf9v7 күн бұрын
Mama Samia mitano tena
@hamidmussa8386 күн бұрын
Tuko Makini Waislam.
@jumakapilima72954 күн бұрын
We stand with Palestine! We stand with Samia 2025!
@user-lb1nb2ls9g4 күн бұрын
Uislam hauna chama chake chakuunga mkono, nachama ambacho uislam hauungi mkono, ila waislama kila mmoja anachama anachokiunga mkono yeye kama yeye, hivyo hoja yako haina uhalisia wowote, kuweni makini na udini.
@salehesalehe29674 күн бұрын
Kalale mjinga namba moja
@lulumatawalo78055 күн бұрын
Mchungaji kachemka.Biblia inaainisha wazi kwamba ;"Mamlaka zote zilizopo zimewekwa na Mungu " , vilevile tumeagizwa tutii hizo mamlaka. Huyu aombe rehema,hajitambuwi.
Sasa kama mchungaji anasema kweli, kwanini aseme kupitia Biblia? Vipi yeye mchumgaji akitumia Biblia kuuzomea Samia halafu iwe kosa kwa Mwaipopo kuutumia Uislam kumtetea Samia?
@RamadhanMakame-ke4cf4 күн бұрын
Wacha kusapoti ujinga ww na iyo mchungaji sio Watanzania tuwachieni amani yt na muondoke pandikizi tu nyinyi
@asbornkaduga60012 күн бұрын
Nimemshangaa sana askofu huyu,labda kama ni askofu wa Chadema anawakilisha dini yake ya Chadema sio anawasemea watanzania .
@hasanimkamba8377Күн бұрын
chadema wanapenda kutafuta kiki sana haswa ikikalibia uchaguzi
@azizikalembo93110 сағат бұрын
Huyu mchungaji ni mpuuzi, ni msenge, anafirwa.
@sharifajosia8793 күн бұрын
CHADEMA MKOME TUMESHAWAJUA HATUWATAKI MSITUGOMBANISHE NA SERIKALI SISI TUNAWAPENDA VIONGOZI WOTE WA SERIKARI KUANZIA RAIS MPAKA POLICE NA MAJESHI YOTE TUNAWAHESHIM SANA NYIE CHADEMA MMEFERI ALIWATUMA KACHEMKA MTAUMBUKA NA BADO MTAUMBUKA KAMA BABU YENU FIR AUN.
@humphreybilly74374 сағат бұрын
Uyu jamaaa Afai kuwa kiongozi,nisawa na kiboko wa wachawi anapenda sana kujionesha kujua sana kumbe zero.acha Udharimu.Kwa haya ulio ongea una faida ya sh ngapi? Kama so ufukra?Sikupendi maana unatabia za ovyo.
@zuberisalum2004Күн бұрын
Bange
@AllyMsafari4 күн бұрын
Chadema wanajitekenya na kucheka , wenyewe ,wameona KUPATIA sera zao hawawezi KUPATA ushindi kwenye uchaguzi na kukamata Dola, sasa Wana Fanya njia za kudeka watu ili wananchi waichukie serikali Yao ili wawachague wao. Wanataka ushindi nje ya uwanja kwa mbinu za kudeka watu kuichafua serikali
@AnnaMahene4 күн бұрын
CCM oyee mama Samia nakupenda nakupa mitano tena mimi ni mkristo huyo mchungaji na kanisa lake afungiwe analiaibisha kanisa
@BjleonardBhianda3 күн бұрын
Dr Samia Suluhu Hassan wewe ni raisi wa Watanzania wote,na sisi tulio wengi miongoni mwa wakristo tunakupenda na tunakuunga mkono,hawakosekani baadhi ya watu wachache wenye mtazamo wa kidini,kikabila na kimaeneo,wamevaa majoo ya uaskofu kumbe ndani yao ni wanasiasa wenye siasa za chuki,raisi Dr Samia Suluhu ni raisi muungwana mwenye ubinadamu sana alimfuata Tundu Lisu Ubeligiji arudi nchini kwa amani,kuna usemi unasema tenda wema nends zako!Samia si wa kufanyiwa vitimbi kama hivi ni mwema sana,lakini usijali mama fanya kazi Mungu atakulipa,Muhammad pamoja na wema wao walitendwa mabaya.usijali sisi tulio wengi tupo pamoja na wewe.Biblia takatifu au Yesu mwenyewe hakuwa na chuki hata walipomtenda mabaya yeye aliwabariki,huyu mchungaji hakutumwa na Yesu kajituma mwenyewe!,kumzomea kiongozi ambaye kwa kweli Mungu ndiye kamweka hapo ni dhambi,hakujipeleka Ikulu mwenyewe,kuna wa ngapi walitamani sana kuwa maraisi lakini hawakupata?! ni Mungu mwenyewe ndiye aliyeridhia mama yetu kuwa katika jumba hilo jeupe,watu wote ni wajibu wetu kumpenda na kumwombe...kama kweli unampenda Mungu huwezi kuacha kumwombea raisi na srrikali yake..Mimi naungana na watanzania walio wengi kumuunga mkono raisi wetu...raisi wetu ni Mtanzania hakutoka Nigeria au nchi yoyote..eitha raisi atatoka Tanzania bara au Zanzibar..anapotokea sehemu moja wapo ya muungano huyo ni raisi wetu wote..zinapotokea kauli za kibaguzi tuzipinge..Mimi kama Mkristo na wakristo wote tumpinge huyu mchungaji kwa sababu kauli zake ni za kibaguzi na kutaka kuligawanya taifa letu kwa misingi ya dini,ukabila na ukanda..Nyerere aliwahi kusema ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu,tuache kabisa mambo hayo ya ubaguzi ni dhambi. Mungu mbariki na kumlinda raisi wetu,muungano wetu na watu wake,upendo na mshikamano.Amina.
@user-sc4ql5kf9v7 күн бұрын
Waislam tupo makini .......
@hemedmwipopo7807 күн бұрын
Sheikh Mwaipopo,huo ndiyo ukweli Baadhi ya jamii za Kikristo na Wachungaji wao wanachochea kwa wananchi kuichafua na kuto kuipenda Serikali. Hii ni mbaya tunako elekea siyo kuzuri.
@binseif22166 күн бұрын
Huyo mchungaji mwehu
@Omarjumanne-zm9zh17 сағат бұрын
Weye uliona kama wanajiteka mmmmm? Chunga ulimi kama mwisilam shuruti za kusema jambo kuzomea ni kosa lakini kujiteka siyo sawa
@sharifajosia8793 күн бұрын
Chadema tulishawajua siku nyingi lengo lao sio zuri hatuwezi kuwachagua sisi tuna akili timam Mama Samia ni Raia mwenye baraka kubwa neema zimeenea Tanzania tangu alipoingia madarakani huyu Samia kaletwa na Mungu kama zawadi kwetu wanyonge tunashukuru baraka zimekuwa kubwa Alhamdulillah tunatamani aongoze miaka yote mpa siku mungu akimchukua ila tunafata katiba ya nchi Samia mitano tenaaaaaa😊😊
@SeifAlly-g9i18 сағат бұрын
Sisi niwenye utambuzi shekhe endelea usiwe nawasi hao niwale ambao wanachukisana hayoniyao jump makanisani
Huyu mchunguji mjinga sana, amejidhihirisha mwenyewe km ni muongo nabii gani anaongea ushetani, akapimwe akili huyu
@VenerandaKundi-ph4hg4 күн бұрын
Mama Samia bigup Wanataka kukuchafulia cv yako hao karibu wataumbuka TU katibuni waangalie Kwa ukaribu mchungaji feki huyo
@LusiaThom2 күн бұрын
Jamani chadema wanataka kuchafua ali ya ewa wambieni ukwer
@IssaShaban-y7h10 сағат бұрын
Angekua muislamu ilikua tiari yupo sero
@OmaryMnangwa4 күн бұрын
Wew ni shetani wala wew si binadamu wa kawaida wala aliekufa ni muisilamu wala wakiristo hamuhusiki nae kafiri mkubwa wew shetani
@abdulhakimhassan17953 күн бұрын
Mwaipopo waambie ukweli hao wanatamani fujo itokee nchini na kwao tatizo kubwa ni uislamu ukweli chadema wanatekana wenyewe kwa wenyewe
@wellnesstransportation14907 күн бұрын
Mwaipopo unaongea pumba ndo maana hata huna view za kutosha. Huna maana kabisa. Natamani wanao watekwe wauawe halafu urudi hapa tukusikie
@user-td3xz9ej7r6 күн бұрын
Sisi huwa hatuangalii namba za views tunachoangalia ni ujumbe wa kweli umefika suala la kukubaliwa na kutokukubaliwa na kazi ya mwenyezimungu.
@AliAhmed-m1o2u5 күн бұрын
Wewe ni mfuasi wa shetani km huyo mchungaji chizi na mbowe mtoto wa ibilisi
@RamadhanMakame-ke4cf4 күн бұрын
Aliongea pumba huyo mchungaji wk hata na ww kondoo wake hujielewi unakula nyama badala majani Mungu awaangamize wote wenye nia ovu kwa nchi yt
@hamidudongo18793 күн бұрын
Ukiongea mambo ya kipumbavu, utapata views tu. Mwaipopo hajali mambo ya Views. Tulia wewe KAFIRI.... Mambo ya Waislam yana kuhusu nini wewe Kuffar??
@ikramalmas7039Күн бұрын
Wakati wa magufuri mpikuwa hamsemi mmeficha visimi vyenu
@RaheliMollel-v3d6 күн бұрын
CCM oyee nijeshii letu yaani wewe mchungaji ujipendi utafichwa
@lamecklugodi64724 күн бұрын
Si swala la ukristo Wala uislam ni lazima kuitii mamlaka
@RamadhanMakame-ke4cf4 күн бұрын
Hivi huyo anaejiita mchungaji ni kweli anawafuasi funga kanisa la wachochezi
@mrok2843 күн бұрын
Ili askofu kweli ongo. Tanzania c Tanganyika bali ni muungano wa Jamhuri ya watu Zanzibar na Tanganyika.
@SalimMsuya-yg8gu3 күн бұрын
Duu kumbe huyo Mchungaji anaongea na Watanganyika tu anajiita Mtume amepata Wahayi huyu.
@memorataedson78952 күн бұрын
waislam si ndo walimkataa raisi mwanamke mwanzo
@mbikamtanganaki4 күн бұрын
Hizi zama za sasa hakuna mitume wala nabii wote ni vibokobya wachawi mbwasana
@Frank-b2d6u3 күн бұрын
Usiwalazimishe watu kipenda samia ameshindw
@RamadhanMakame-ke4cf4 күн бұрын
Huyo simchungaji ni mbabaishaji vyombo vinavyohusika vichukue hatua dhidi ya wavunjaji wa amani yt Tanzania
@BeniJohn-xd3cn5 күн бұрын
Wewe si mtu mwema akuna kitu kama hiko umepungukiwa na hekima akuna Mtume wala Nabii kama wewe Yesu ni wa Amani kama watumishi wengine wa Mungu usitumiye Biblia kwa kutafri vibaya
@ShekhMufyd-mn9zn4 күн бұрын
Waislam msitumike na chadema
@abdallaabdalla44164 күн бұрын
Huyu mchungaji sijui mtume Mimi nitamteka anamtukana mama etu chadema ni chama Cha watekaji wanatumia macenaries WA south serikali tumia JWTZ hii ni taasisi yenye nidhamu NA uwezo WA kupeleleza NA kumkamata yoyote popote mama usipate TABU wajanja vidume vyenye BUSARA yaani JW watumie watakomesha unyama huu ahsante
@mdidiomari73514 күн бұрын
Hapo nampigia kura samia kumbe wakristo kuna udini sana
Naona kizunguzugu viongozi wa dini zote wanajibishana ,viongozi wa vyama nao pia wajibishana pasi majibu yenye tija na sisi wanachi tuongozwa na hao wanalumbana mnatakia nn wanaotuongoza? Mm nashauri viongozi wa dini na wa vyama pia tuache serekali ichukue nafasi kupitia vyombo vyake virfanye kazi
@thamani58426 күн бұрын
Chadena wana chuki na wanaubaguzi wa kikanda na dini. Na ao wanojifanya wachungaji hawana uchungaji mmoja. Na huenda wao ndo wana yafanya utekaji na uuwaji ili ionekane serikali ndo inafanya ayo. Hawa wanataka kutuchafulia amani yetu. WATANZANIA amkeni chadema wanajifanya wana akili sana, pengine wao ndo wamemuua, halafu wanajitia kulia.
@AlexMlaba6 күн бұрын
wachunguze na watuambie watu wote waliotekwa wako wapi na waliompiga lissu risasi tuwajue
@user-ej5ir5pu7r4 күн бұрын
Kamwambie kwanza magufuli achunguze waliopotea wakina sanane
@RamadhanMakame-ke4cf4 күн бұрын
Kwa njia hizo chadema hamtoboi sisi Watanzania sio wajinga bora ya Musa kuliko Firauni
@fatmafatu11287 күн бұрын
Mimi nimwislam lakin serikali yetu tumewachoka watu wabaya sana wengi wao wamepoteza watu wengi akiwemo ndugu yangu huu mwaka wanane nae alichukuliwa na usalama wataifa tena akiwa msikitini hii sio serikali bali wauwaji
@RamaKimbeu-tw4po7 күн бұрын
NDUGU HUYO NDUGUYO ALIKUA ANAJISHUHULISHA NA NN AU ANAFANYA KAZI WAPI
@thamani58426 күн бұрын
Hujijui wala hujitambui
@Tupena-ov7xq6 күн бұрын
Mbona unalamba lips kila mara
@HanifaOman-oo4pl5 күн бұрын
Kunakitu haiwexekani wamchukuetu bilasababu nakama wamemchukua wao basi Allah karim. Atamlipatu kwaxurma bihiznillah
@fatmafatu11285 күн бұрын
@@HanifaOman-oo4pl nimwambie kitu kuna kipindi walikuwa wanakata waislaam wenye msimamo wengi walipotezwa ndugu yangu nae Allah alikuwa kamjalia kushikamana na dini hakuwahi kuwa mwana siasa kazi yakealikuwa mfanya byishara alikuwa na duka la spare mwanza alikuwa mtu wa watu nasio yeye peke yake niwengi waislaam walipotzwa ajabu walikuja kumkamata mwezi wa Ramadan akiwa msikitini hicho kipindi walikuwa wakuona mtu kafuga ndevu kavaa kazu yake fupi kiasi wanamwita gaidi ila yote kwa yote tulimkabidhi Allah yeye ndie ajuae imepita myaka nane sasa watoto wanabaki kuuliza kwani sisi hatuna baba? Kadogo kalikuwa ndio kamezaliwa kengine kalikuwa na myaka miwili na nusu
@ANGELUSLIJUJA3 күн бұрын
Uhu shekh ANAJUWA VITU kidogo KILA WAKATI WA KALIBU na uchaguzi WATU wanauw KUPATA kiki AQLIN AQLIN MWANGOSI SANANE shekhe kajuwa MBINU zao
@ahmedomar30202 күн бұрын
mchungaji gani mwizi huyoo
@godfreymasele88534 күн бұрын
Mchungaji feki yule mganga njaa. Hakuna nabii wa tanganyika hapa yule shetani tuu.akamzimee mama yake alomzaa. Halafu asiseme Wakristo ajiseme mwenyewe na mahana yake ya kishenzi na kishetani. Ashughulikiwe huyo kibaraka wa Chadema chama cha Mtei na mbowe
@Elecovid9 сағат бұрын
Ww mpinga kristo acha kutafuta kiki
@AthumanKinyange4 күн бұрын
Huyo mtume mjing a ametoka wapi hana elimu hata kidogo huyo mchungaji ni shetani mbaya sana
@MoshNtabwenke4 күн бұрын
Mwaipopo acha njaa
@ndimizarohomtakatifurichar98025 күн бұрын
Sasa shehe unataka watu wakitendewa ubaya wasiseme
@firo0ozdawah3784 күн бұрын
NJIA aliyotumia kufikisha ujumbe si SAWA
@firo0ozdawah3784 күн бұрын
Anastahili kuchukuliwa hatua za kinidhamu ILI ajifunze NJIA za ufikishaji KATIKA nidhamu hususan ukimuongelea MKUU WA NCHI RAIS
@hamisachacha81044 күн бұрын
Huyu nabii mtanganyika ametendewa ubaya gani zaidi ya kujawa na ibirisi wa uchonganishi
@dudejuma4 күн бұрын
Ati Rais wetu mpenzi wakristo wamzomee, hivyo huyu jamaa anajua kwamba ametutusi watu wengi Tanzania? Mshenzi sana huyu gay.
@RashidShedaffa-v9x3 күн бұрын
Huyu "nabii"anaongea upuuzi mtupu. Uchochezi wako haufai na hauna faida kwa nchi. Nabii kama huyu ni wale Wanaowanyoa wa mama maeneo nyeti hadharani katika baadhi ya makanisa. Serikali iwe makini nao.
@user-sc4ql5kf9v7 күн бұрын
Wafaham tu nasisi waislam tuna yaona matusi yao
@SHUKURUMahiki7 күн бұрын
Mwaipopo dereva wa gari ndio alieijulisha familia dereva wa gari ndie anaemfaham huyo askari
@mbikamtanganaki4 күн бұрын
Mama makanisa yote yasioeleweka funga mbwa hizi zinachochea machafuko
@Frank-b2d6u3 күн бұрын
Utumbo tu hapo sio dini uwajibikaji hapo dini yoyote hausiki sasa yule mama atoke mambo yamemshinda