Usijihesabie haki na kujiita mwana wa Mungu peke yako wote ni wana wa Mungu siasa haifanyiki kanisani
@husseinally58805 жыл бұрын
Ww ni mwamba ..hata mzee unampiga mungu atakulipa tu unavyostahili
@johnmalembo64643 жыл бұрын
éee Mwanadamu... mmmmh.. éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@noeldifson97135 жыл бұрын
Jamaa anayumba..
@0fficialcza7385 жыл бұрын
Naombeni like jamn nimekuwa wa kwanza kuview na kucoment
@moudymchemia65985 жыл бұрын
Sasa like zitakusaidia nini
@abubakarjuma4435 жыл бұрын
Ivi apa watu wa siasa tayari wanakubiri kanisni?
@emanuelarbelto82622 жыл бұрын
Kaokoka jaman yesu mwenyewe arisema hakuja duniani kuhukumu urimwengu bari urimwengu uokorewe katika yeye
@Rashidmhedhery5 жыл бұрын
Kuti kavu! Karibu sana kuanguka!!😜
@estareliya58185 жыл бұрын
Uko sawa
@francismengomwapashi3194 жыл бұрын
Sawa
@ndorobo2055 ай бұрын
Ndo mana wamekuficha kwa kiburi chako
@yohanachacha42892 жыл бұрын
Hata shetani ukimuuliza sasahivi atakwambia hakufanya dhambi yoyote kwani kuna mtu anaweza kubali kuwa alifanya kitu hata kama umemshika na ushahidi badobatakataa tu
@maryamfarhaji94915 жыл бұрын
🤔🤔
@adepoul76915 жыл бұрын
kanisani na siasa wapi na wapi jamani
@harrisonsamwel31125 жыл бұрын
kwani hana maisha nje ya siasa?
@pjaxnorthbook66955 жыл бұрын
Work hard be nice 👍 to people
@evamlay89975 жыл бұрын
Kama ulimpiga kweli nikumuomba tu msamaha basi hakuna mkamilifu chini ya jua
@janekidibule31915 жыл бұрын
Jamani tunaomba huyoo wa music awe kimya saa ya mahubiri
@Rashidmhedhery5 жыл бұрын
jane kidibule : kumbe ni mahubiri ya dini?⛅️⛅️⛅️😇
@consolathammari81865 жыл бұрын
Jamaa anakwama wapi🤭
@leitonyngayama68825 жыл бұрын
Mbona haukujitetea kipindi kile? Ulimpiga mzee, leo kaenda kuwadanganya waumini