Mji wa Arusha umepata mganga wake wagonjwa wapo kibaaao,Mungu amlinde kwenye utatuzi wa kero za wananch wake Makonda ni mwamba❤❤❤❤❤🇹🇿🎤
@user-ze6lx9ng6sАй бұрын
Makonda be blessed,wakuu wa mikoa mingine waige mfano wa makonda,
@Ericomtz54 күн бұрын
huyu jamaa anahofu ya Mungu ameisha nusurika kifo kutoka kwa watu wasiyo wema
@CikeTanzaniaАй бұрын
Yaan Makonda utanimalizia pesa muda wote natamani nikuckilize
@BuruhaniKitomozi-gb7fbАй бұрын
Asee mimi ni wakwanza mwenyewe kanimalizianyingisana kilamuda niponaenafyatilia
@istambulahmed6664Ай бұрын
Hata mimi sijui nifanyeje maana nashindwa kujizuia
@laurian27Ай бұрын
Nimeingia mkataba na mwarabh mmoja jirani mwisho wa mwez namlipa elfu 28 kwaajil ya WI-FI, kisa makonda ayseee daaaah?!
@jumamustapha8254Ай бұрын
Hata mimi bando langu linaishia kwake.
@babalevinerlameki5425Ай бұрын
Makonda the future president from god, makonda I see you fare we are waiting you one day
@faustinaurio3703Ай бұрын
Me too 🤲🙏
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Akiwa rais hataweza haya Watendaji watamuangusha
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Huyu anatakiwa aende kwenye majiji yote Kwanza
@sosmakanya4901Ай бұрын
RAIS NAKUOMBA MAKONDA AWE MKUU WA MIKOA YOTE YA TANZANIA ILI AWEZE KUKUSAIDIA KAZI
@gladistaemanueliy6336Ай бұрын
Muongo huyo hawakuombei, sisi wa hali ya chini ndio tunakuombea makonda wetu
@ernestaassenga9646Ай бұрын
Mh,Mama Samia Raisi wetu umetishaaa!! Tutafutie makonda wengine kama huyu mama plse
@MpendahakiАй бұрын
Huyu rais makonda anachapa kazi vizuri sana
@EmanuelMinja-fv9dnАй бұрын
Tunakuomba makonda wew ni role model wa magufuli usiwe chawa wa yeyote
@jbdedonАй бұрын
Wasafi bana kila mnachokiandika sicho kinachozungumzwa daaah mnaboa
@mwanaidimussaАй бұрын
Yaan hawa wana asiri ya kaumbea mbea tu
@furahinimbise7969Ай бұрын
Makonda unanimalizia bando👏👏
@Damian-tt8fvАй бұрын
Wote wanaohusika kuanzia Mkurugenzi na wa chini yake wachukuliwe hatua akili zao zimeganda zimedumaa haziwezi kuchakata mambo. Wanapwaya kwenye nafasi zao wakachunge ng'ombe
Huyu no mtetez was wanyonge Sina chakukupa Ila nakuombea Manisha marefu uzid kutusaidia
@jacobletema3681Ай бұрын
Mh. Makonda tunaomba utuazime na sisi hizo spana huku kwetu kwa angalau wiki mbili
@bizzyjunior_tzАй бұрын
🌟🌟🌟
@mohamedali7544Ай бұрын
Hawa wanahujumu chamaa cha CCM mjini Arusha
@eleonorashirima1604Ай бұрын
Dhu pitia na vyeti vyao mkuu
@user-ij2lp1om6iАй бұрын
Huyu awe waziri mkuu hata kwa miezi mi3
@RafaelNelson-ye3jk29 күн бұрын
Hizo bila Makonda zingepigwa
@EmanuelMinja-fv9dnАй бұрын
Makonda Kuna waliosoma huku mtaan achana hao wababaishaji
@mohamedali7544Ай бұрын
Wanaweka fix deposit wakila interest
@mybrain894029 күн бұрын
Shida ya sabaya ni mafujo but good central forward 😂😂
@chrismassawe2939Ай бұрын
Ni hatari
@selinakatega6691Ай бұрын
Niko napanga mabegi apa niende zangu arusha Uko ela ipo jamani 😂😂
@irenembise541Ай бұрын
😃😃 karibu
@SadaKigwangala17 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅sawa mm nyuma❤❤❤❤
@SadaKigwangala17 күн бұрын
Mm nabeba na godoro😂😂😂😂😂😂😂
@rajabmwasangala5472Ай бұрын
Walio wengi wana chukina hao ndio wezi wakubwa wa Nchi hii,na hawawezi wakampenda Makonda na ndio maana wanamtafutia kila chanzo ili wamg'oe sehemu hiyo ya Mkuu wa Mkoa, nawaomba wana Arusha msikubali kuipoteza baati hiyo.
@eleonorashirima1604Ай бұрын
Mheshimiwa makonda nakwambia ondoeni wote ajirini wengine Kuna wasomomi wengine jamani wapeni na wototo wetu hao wamwsharidhika
@saadatiyahyashabani-yg2xyАй бұрын
Muwekeni sabaya awe mkuu wa wilaya
@baishibybaishi578229 күн бұрын
Mshimiwa raisi nakuomba ikikupedeza mchague makonda awe mkuu wamiko ya Tanzania yote Huku chini kunamadudu megi sana
@SofiaMvungi-zu5tgАй бұрын
Watumishi wenye roho mbaya wanakalia pesa kisa uzembe tu kujichubua tu hata sura haing,ai
@eleonorashirima1604Ай бұрын
Dhu pitia na vyeti vyao vipo sawa kwanza wengine wamezeeka anagalia mkuu kagua hivyo vyeti jamani
@fulgenceoswald3866Ай бұрын
Kuna mda hata hao wakuu wa Wilaya wanazingua Mama Samia tumbua hawa wapo kwenye mamlaka yako
@FedyKafyulilo-iz2nwАй бұрын
Cku hizi bando anakula makonda hasa zangu maana cwez lala bila kumfuatilia
@godfreymasanja354Ай бұрын
Haya ni matatizo ya halmashauri zote janjajanja nyingi
@jumamustapha8254Ай бұрын
Hela hizo mkuu, huwa wanaziweka fiksi akaunti zinazalishwa kisha faida wanachukuwa wao pumbavu hawa.
@yhasintakalenyula970Ай бұрын
😂😂😂😂....Nimecheka hapo kwenye maombi😂😂😂😂
@mwanaidimussaАй бұрын
Apooo moyoni wanajua waoo na mungu wao!
@user-xn8jh1yw1hАй бұрын
Asituchanganye. Ndiyo maana kila mwaka wa serikali kuna Budget yake. Kama pesa ipo kwa nini kazi isifanyike?
@muziki228Ай бұрын
NANI KASIKIA WATUKOPESHE 😂😂😂
@yothamgwanika9530Ай бұрын
Kuna ubaya wengine kuigaaa hivi. Et wakuu wa mikoa
@josphatnduati7868Ай бұрын
makonda siku moja awe raisi wa watazania.
@kelvinmboya5846Ай бұрын
😢😢
@WilsonOmbati-jc6llАй бұрын
Tunataka mtu kama uyo Kenya
@eleonorashirima1604Ай бұрын
Hawa watu wanapeana kijiti Kwa mtu aliyesoma hawezi kufanya hayo madudu
@josephatemmanuel458Ай бұрын
Walikuwa wajiandaa kuzipiga
@gracemima5234Ай бұрын
Wapigaji na wala rushwa wameiteka Arusha.
@lilianmosha-ph3mp13 күн бұрын
Makonda anafaa kuwa raisi anawanyoosha mafisad
@HappizoАй бұрын
😢Arusha inanuka rushwa na ni jiji la kitalii..
@user-fu3hn1ms2jАй бұрын
Lakini nani anawateuwa Hawa watu
@wadhhasuleiman2621Ай бұрын
Bro Kila mtu ale Kwa urefu WA kamba Yake huko juu tunaliwa vibaya pia Samia anaweka pesa nje yote Bandar imetolewa
@rukiauwonde7062Ай бұрын
😅😅😅😅ilo dua siyo mkuu 😂
@raymondmbassa1247Ай бұрын
😅😅😅😅😅
@chesconkwera2005Ай бұрын
Wajinga wengi wako kundi la wasomi
@eliasinnocent622929 күн бұрын
Hiv kweli jaman mbn sisi tukiwa tunatoa Hela zetu za Kodi hawasikilizi kelo tukavumiliwa iweje wao Hela zetu ziwe na changamoto za kimfumo
@lilianmosha-ph3mp13 күн бұрын
Huyu no mtetez was wanyonge Sina chakukupa Ila nakuombea Manisha marefu uzid kutusaidia