MAKONDA AKASIRIKA-"MWEKAHAZINA NI NINAOMBA UNIAMBIE BILIONI 4 Za MRADI Ziko WAPI NAWAPIGA SPANA"

  Рет қаралды 33,107

Wasafi Media

Wasafi Media

Ай бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 71
@dubariz_mic_killa
@dubariz_mic_killa Ай бұрын
Mji wa Arusha umepata mganga wake wagonjwa wapo kibaaao,Mungu amlinde kwenye utatuzi wa kero za wananch wake Makonda ni mwamba❤❤❤❤❤🇹🇿🎤
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s Ай бұрын
Makonda be blessed,wakuu wa mikoa mingine waige mfano wa makonda,
@Ericomtz5
@Ericomtz5 4 күн бұрын
huyu jamaa anahofu ya Mungu ameisha nusurika kifo kutoka kwa watu wasiyo wema
@CikeTanzania
@CikeTanzania Ай бұрын
Yaan Makonda utanimalizia pesa muda wote natamani nikuckilize
@BuruhaniKitomozi-gb7fb
@BuruhaniKitomozi-gb7fb Ай бұрын
Asee mimi ni wakwanza mwenyewe kanimalizianyingisana kilamuda niponaenafyatilia
@istambulahmed6664
@istambulahmed6664 Ай бұрын
Hata mimi sijui nifanyeje maana nashindwa kujizuia
@laurian27
@laurian27 Ай бұрын
Nimeingia mkataba na mwarabh mmoja jirani mwisho wa mwez namlipa elfu 28 kwaajil ya WI-FI, kisa makonda ayseee daaaah?!
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 Ай бұрын
Hata mimi bando langu linaishia kwake.
@babalevinerlameki5425
@babalevinerlameki5425 Ай бұрын
Makonda the future president from god, makonda I see you fare we are waiting you one day
@faustinaurio3703
@faustinaurio3703 Ай бұрын
Me too 🤲🙏
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Ай бұрын
Akiwa rais hataweza haya Watendaji watamuangusha
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Ай бұрын
Huyu anatakiwa aende kwenye majiji yote Kwanza
@sosmakanya4901
@sosmakanya4901 Ай бұрын
RAIS NAKUOMBA MAKONDA AWE MKUU WA MIKOA YOTE YA TANZANIA ILI AWEZE KUKUSAIDIA KAZI
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 Ай бұрын
Muongo huyo hawakuombei, sisi wa hali ya chini ndio tunakuombea makonda wetu
@ernestaassenga9646
@ernestaassenga9646 Ай бұрын
Mh,Mama Samia Raisi wetu umetishaaa!! Tutafutie makonda wengine kama huyu mama plse
@Mpendahaki
@Mpendahaki Ай бұрын
Huyu rais makonda anachapa kazi vizuri sana
@EmanuelMinja-fv9dn
@EmanuelMinja-fv9dn Ай бұрын
Tunakuomba makonda wew ni role model wa magufuli usiwe chawa wa yeyote
@jbdedon
@jbdedon Ай бұрын
Wasafi bana kila mnachokiandika sicho kinachozungumzwa daaah mnaboa
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa Ай бұрын
Yaan hawa wana asiri ya kaumbea mbea tu
@furahinimbise7969
@furahinimbise7969 Ай бұрын
Makonda unanimalizia bando👏👏
@Damian-tt8fv
@Damian-tt8fv Ай бұрын
Wote wanaohusika kuanzia Mkurugenzi na wa chini yake wachukuliwe hatua akili zao zimeganda zimedumaa haziwezi kuchakata mambo. Wanapwaya kwenye nafasi zao wakachunge ng'ombe
@msafiriomary893
@msafiriomary893 Ай бұрын
Wapigaji hao nakumbuka magufuli wetu arkuwa haxhereweshi
@ipepeetube449
@ipepeetube449 Ай бұрын
Njoo Nyamongo utusaidie tukwisha kaka tarime
@mohamedali7544
@mohamedali7544 Ай бұрын
Hela iko fix deposit wanakula
@DeboraNyari
@DeboraNyari Ай бұрын
Mtego una andaliwa
@JosephMargareth
@JosephMargareth Ай бұрын
Spana, Spana, naona Ndita kwenye nyuso!
@lilianmosha-ph3mp
@lilianmosha-ph3mp 13 күн бұрын
Huyu no mtetez was wanyonge Sina chakukupa Ila nakuombea Manisha marefu uzid kutusaidia
@jacobletema3681
@jacobletema3681 Ай бұрын
Mh. Makonda tunaomba utuazime na sisi hizo spana huku kwetu kwa angalau wiki mbili
@bizzyjunior_tz
@bizzyjunior_tz Ай бұрын
🌟🌟🌟
@mohamedali7544
@mohamedali7544 Ай бұрын
Hawa wanahujumu chamaa cha CCM mjini Arusha
@eleonorashirima1604
@eleonorashirima1604 Ай бұрын
Dhu pitia na vyeti vyao mkuu
@user-ij2lp1om6i
@user-ij2lp1om6i Ай бұрын
Huyu awe waziri mkuu hata kwa miezi mi3
@RafaelNelson-ye3jk
@RafaelNelson-ye3jk 29 күн бұрын
Hizo bila Makonda zingepigwa
@EmanuelMinja-fv9dn
@EmanuelMinja-fv9dn Ай бұрын
Makonda Kuna waliosoma huku mtaan achana hao wababaishaji
@mohamedali7544
@mohamedali7544 Ай бұрын
Wanaweka fix deposit wakila interest
@mybrain8940
@mybrain8940 29 күн бұрын
Shida ya sabaya ni mafujo but good central forward 😂😂
@chrismassawe2939
@chrismassawe2939 Ай бұрын
Ni hatari
@selinakatega6691
@selinakatega6691 Ай бұрын
Niko napanga mabegi apa niende zangu arusha Uko ela ipo jamani 😂😂
@irenembise541
@irenembise541 Ай бұрын
😃😃 karibu
@SadaKigwangala
@SadaKigwangala 17 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅sawa mm nyuma❤❤❤❤
@SadaKigwangala
@SadaKigwangala 17 күн бұрын
Mm nabeba na godoro😂😂😂😂😂😂😂
@rajabmwasangala5472
@rajabmwasangala5472 Ай бұрын
Walio wengi wana chukina hao ndio wezi wakubwa wa Nchi hii,na hawawezi wakampenda Makonda na ndio maana wanamtafutia kila chanzo ili wamg'oe sehemu hiyo ya Mkuu wa Mkoa, nawaomba wana Arusha msikubali kuipoteza baati hiyo.
@eleonorashirima1604
@eleonorashirima1604 Ай бұрын
Mheshimiwa makonda nakwambia ondoeni wote ajirini wengine Kuna wasomomi wengine jamani wapeni na wototo wetu hao wamwsharidhika
@saadatiyahyashabani-yg2xy
@saadatiyahyashabani-yg2xy Ай бұрын
Muwekeni sabaya awe mkuu wa wilaya
@baishibybaishi5782
@baishibybaishi5782 29 күн бұрын
Mshimiwa raisi nakuomba ikikupedeza mchague makonda awe mkuu wamiko ya Tanzania yote Huku chini kunamadudu megi sana
@SofiaMvungi-zu5tg
@SofiaMvungi-zu5tg Ай бұрын
Watumishi wenye roho mbaya wanakalia pesa kisa uzembe tu kujichubua tu hata sura haing,ai
@eleonorashirima1604
@eleonorashirima1604 Ай бұрын
Dhu pitia na vyeti vyao vipo sawa kwanza wengine wamezeeka anagalia mkuu kagua hivyo vyeti jamani
@fulgenceoswald3866
@fulgenceoswald3866 Ай бұрын
Kuna mda hata hao wakuu wa Wilaya wanazingua Mama Samia tumbua hawa wapo kwenye mamlaka yako
@FedyKafyulilo-iz2nw
@FedyKafyulilo-iz2nw Ай бұрын
Cku hizi bando anakula makonda hasa zangu maana cwez lala bila kumfuatilia
@godfreymasanja354
@godfreymasanja354 Ай бұрын
Haya ni matatizo ya halmashauri zote janjajanja nyingi
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 Ай бұрын
Hela hizo mkuu, huwa wanaziweka fiksi akaunti zinazalishwa kisha faida wanachukuwa wao pumbavu hawa.
@yhasintakalenyula970
@yhasintakalenyula970 Ай бұрын
😂😂😂😂....Nimecheka hapo kwenye maombi😂😂😂😂
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa Ай бұрын
Apooo moyoni wanajua waoo na mungu wao!
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h Ай бұрын
Asituchanganye. Ndiyo maana kila mwaka wa serikali kuna Budget yake. Kama pesa ipo kwa nini kazi isifanyike?
@muziki228
@muziki228 Ай бұрын
NANI KASIKIA WATUKOPESHE 😂😂😂
@yothamgwanika9530
@yothamgwanika9530 Ай бұрын
Kuna ubaya wengine kuigaaa hivi. Et wakuu wa mikoa
@josphatnduati7868
@josphatnduati7868 Ай бұрын
makonda siku moja awe raisi wa watazania.
@kelvinmboya5846
@kelvinmboya5846 Ай бұрын
😢😢
@WilsonOmbati-jc6ll
@WilsonOmbati-jc6ll Ай бұрын
Tunataka mtu kama uyo Kenya
@eleonorashirima1604
@eleonorashirima1604 Ай бұрын
Hawa watu wanapeana kijiti Kwa mtu aliyesoma hawezi kufanya hayo madudu
@josephatemmanuel458
@josephatemmanuel458 Ай бұрын
Walikuwa wajiandaa kuzipiga
@gracemima5234
@gracemima5234 Ай бұрын
Wapigaji na wala rushwa wameiteka Arusha.
@lilianmosha-ph3mp
@lilianmosha-ph3mp 13 күн бұрын
Makonda anafaa kuwa raisi anawanyoosha mafisad
@Happizo
@Happizo Ай бұрын
😢Arusha inanuka rushwa na ni jiji la kitalii..
@user-fu3hn1ms2j
@user-fu3hn1ms2j Ай бұрын
Lakini nani anawateuwa Hawa watu
@wadhhasuleiman2621
@wadhhasuleiman2621 Ай бұрын
Bro Kila mtu ale Kwa urefu WA kamba Yake huko juu tunaliwa vibaya pia Samia anaweka pesa nje yote Bandar imetolewa
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 Ай бұрын
😅😅😅😅ilo dua siyo mkuu 😂
@raymondmbassa1247
@raymondmbassa1247 Ай бұрын
😅😅😅😅😅
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 Ай бұрын
Wajinga wengi wako kundi la wasomi
@eliasinnocent6229
@eliasinnocent6229 29 күн бұрын
Hiv kweli jaman mbn sisi tukiwa tunatoa Hela zetu za Kodi hawasikilizi kelo tukavumiliwa iweje wao Hela zetu ziwe na changamoto za kimfumo
@lilianmosha-ph3mp
@lilianmosha-ph3mp 13 күн бұрын
Huyu no mtetez was wanyonge Sina chakukupa Ila nakuombea Manisha marefu uzid kutusaidia
Василиса наняла личного массажиста 😂 #shorts
00:22
Денис Кукояка
Рет қаралды 10 МЛН
Tom & Jerry !! 😂😂
00:59
Tibo InShape
Рет қаралды 61 МЛН
Must-have gadget for every toilet! 🤩 #gadget
00:27
GiGaZoom
Рет қаралды 12 МЛН
🔴#LIVE: SPORTS ARENA NDANI YA WASAFI FM  04JULY 2024
Wasafi Media
Рет қаралды 1,3 М.
ЗА ЧТО ЧАПИТОСИКИ ТАК?🥹🥹
0:22
Chapitosiki
Рет қаралды 54 МЛН
😨 24 ЧАСА чтобы найти школьную ПИЦЦУ
0:41
Настя, это где?
Рет қаралды 4,5 МЛН
Люди были шокированы от увиденного 🤯
0:29
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 2,2 МЛН
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
0:31
PANDA BOI
Рет қаралды 18 МЛН