Kuzeeka ni mumbile nimeamini sasa watoto 11 nabado unavutiya nilikuwa nafikiri mwanamke akizaa sana ndo uzeeka mapema kumbe niogo wawanawake wengi,sio taka kuzaa.
@kutailass66713 ай бұрын
😂😂😂😂😂sijui ata kilicho nichekesha, sijui kutoa mimba najua kuzaa Duu na kweli
@ElneySheddy-is1dv3 ай бұрын
Hivi makonda kwann tusimuite raisi japo nimkuu wamkoa jamani kama kunamtu mwenyemaono yakuona makonda anafaa kuitwa raisiwetu kabra gonga raiki👊💪🙏🤝
@alzawahirabdallah22993 ай бұрын
Labda awe padri tumpe kanisa
@agnesspaul186613 күн бұрын
❤❤❤❤
@thomastemu33323 ай бұрын
Hao polisi waondoke hapo
@moimojamojanakupacongolera72573 ай бұрын
Bro mwenye watoto natoa 200000
@happymrema74873 ай бұрын
Naomba hiyo laki mbil mimi nao Tisa sin mume
@barikimollel78903 ай бұрын
Barikiwa
@temuramadhani51343 ай бұрын
Polisi wars rushwa
@philemornmutta15973 ай бұрын
Nawapongeza wanchi wastaarabu vinginevyo angekuwa amebadilishiwa jina
@subo26673 ай бұрын
"mengine sio ya kwenye mic" Nimeelewa sana hii kauli
@OscarRabison3 ай бұрын
Huyo wocd amejificha,atafichuliwa tu
@AishaHussein-en3wf3 ай бұрын
Makonda hawa walinzi shirikishi,wasimamiwe juu ya mishahara yao,wanateseka juu ya malipo yao,wanalinda mwezi ukifika kulipwa iyo laki ni shuhuli,naomba siku muamue kila mkoa mufanye vikao na walinzi shirikishi akiamungu wakuu mtalia tunaona mitaani naomba msilipuuzie muwatafute muwasikikilize awana pa kusemea
@OmanOman-dn6dj3 ай бұрын
Makonda Anatakiwa Kuwa WAZIRI WA ULINZI NA USALAMA
@imeldasamwel5393 ай бұрын
😂😂😂😂😂police oyee
@angellomarcel56773 ай бұрын
Duh huyu Dada...asee watoto 11 in 30 yrs..? Hivi hao Police wanajielewa kweli..? RC PIGA CHINI hamna ASKARI hapo..Mmeishapata Information..alafu mnambwela tu.
@camilomassao89713 ай бұрын
39
@kilogreekachananawatuwasio40543 ай бұрын
GARI YA POLISI KITONGOJI CHAO MUIMU KIONGOZI MAKONDA ❤
@RhodaLema-z8w3 ай бұрын
Jamani mh makonda kongole sanah yaani unavyoweza kuwabana kwa maswali wanaishia kutetemeka na kushindwa kujieleza kwa sababu wenyewe hawako vizuri kiutendaji
@davidmalisa80433 ай бұрын
Makonda unaona majibu ya huyo mkuria ndio tunavyotishiwa anasema mm naerewa unataka kunifundisha Kaz
@AnnaMinja-zp7ti3 ай бұрын
Makonda mtetezi wetu wanyonge
@loner_wolf3 ай бұрын
Kiongozi wa polisi hamna kitu , unaongea habari ya shirikishi wakati wewe ni polisi 😅...... inamaana polisi hawatoshi na jeshi la polisi ni dhaifu ? Ni ujinga sana kutoa visababu vingine vya kijinga.
@mohamedomari61293 ай бұрын
Askari msaidizi wa wezi
@khamisali59783 ай бұрын
Hii nchi watendajii wengi hawafanyi kz ipasavyo,ndo mn akitokea mtu km Mh Makonda ndo unaliona hilo.
@JuliusHatari3 ай бұрын
Duh miaka 30 watoto 11 , aiseee ,sema ni mbaraka hongera dada MUNGU atakusaidia
@patrickmathiasnsalanga34013 ай бұрын
Makonda ni kiongozi
@HosianaMarwa-sd6yw2 ай бұрын
Mtu anaamua tu kujenga anavyotaka anaziba njia za vichochoro vya mtaa na ukimfata balozi,mwenyekiti wa mtaa,wote hawajali njoo tu utsaidie
@glorymungure77403 ай бұрын
Police wana siasa sana
@zidinayusuphyusuph3 ай бұрын
Tungepata makonda 7 nchi Tanzania ingenyookaj
@alzawahirabdallah22993 ай бұрын
Samia 2 tu nchi ingenyooka
@JosephineAlex-d8f3 ай бұрын
Hatawatatu tu wangetunyoshea
@sandalakabalo54423 ай бұрын
Safi sana kadada
@HosianaMarwa-sd6yw2 ай бұрын
Mi naomba Mungu uje na mkoa wa Mara nasie tupate pakusemea
@eliamwankenja70873 ай бұрын
Nakupenda sana
@mohamedomari61293 ай бұрын
IGP bado kama nchi haina.
@davidmalisa80433 ай бұрын
Hao jamaa wanatuonea Sana police we acha tu
@Jal2103 ай бұрын
IGP haupo sawa kama siro
@mcgabby3 ай бұрын
Hivi ni yupiii mbona simjui hata😂😂😂
@OmanOman-dn6dj3 ай бұрын
Afande kajichanganya😂😂😂
@alexjackson59603 ай бұрын
Makonda hiyo Sasa sio spana ni vise 😅😅😅😅
@haronbakora71563 ай бұрын
Huyo mwizi kumalisana naye ni rahisi, maalizia yeye Kwa kumtia moto na tyres na petrol case finished
@ErnestNgaire3 ай бұрын
Eeer kama Kule kenya😅😅😅
@haronbakora71563 ай бұрын
@@ErnestNgaire kabisa
@ilynpayne74913 ай бұрын
Watanzania maskini sana😢😢 1:06 ame zaa vipi watoto 11😂😂
@mwizaluchiba62643 ай бұрын
hajui kutoa ndomaana amezaa hao 11😅
@lawrencegwerino16563 ай бұрын
Huyo asikali hafai fukuza kazi..
@kwzjkwz35323 ай бұрын
Exactly
@kwzjkwz35323 ай бұрын
exactly
@AzhadSaid-j1t3 ай бұрын
Rais wa wanyonge
@RashidiSaidi-h4q3 ай бұрын
Bigup mh makonda
@khamisswalehe3 ай бұрын
weww tutakupa kura gombea tu
@FurahaMwajeka3 ай бұрын
Huyo askari zero
@stefanomasolwa89793 ай бұрын
Askari mla Rushwa huyu Askari hana lolote
@alexrwezaula88573 ай бұрын
Uyo dogo kafa awaulize alivo kua mkuu wa mkoa dar vishandu waliisha uyo dogo mzee wake andae sehemu ya kuzika
@geey78933 ай бұрын
😂😂😂Hajui, huyo wamuandae Mchungaji kama ni mkiristo😂
@kwzjkwz35323 ай бұрын
hata mimi ningeagiza apotezwe
@JUU-lw2je3 ай бұрын
Ila jaman kesi nyingine hata sio za kuleta kwa makonda eti hadi kesi za wizi mnashindwa kusolve hadi mzilete kwa makonda lack of seriousness!!!!
@AbuodSeleman3 ай бұрын
5/10 paka 20
@RashidaRashida-sy9kp3 ай бұрын
Asimwi
@nyerere12593 ай бұрын
Kuanzia sekunde 12:52 kama umeelewa ww ni mcuba kabisaa wengine endelezeni blabla uyo mwizi kwisha habar yake.
@stefanomasolwa89793 ай бұрын
Makonda ni Magufuli kabisa 100%❤❤❤
@temuramadhani51343 ай бұрын
Anafakua raisi
@esterswai94543 ай бұрын
Hiv watu hapo ni usiku au
@NeemaNeemaAyo3 ай бұрын
Tumekaa hapo adi saambili
@esterswai94543 ай бұрын
@@NeemaNeemaAyo polen
@khamisswalehe3 ай бұрын
Allah anatutetea sana wanadamu wake lakin sisi ni bure kabisa
@davidmalisa80433 ай бұрын
Mwananchiii hoyeee
@alumonkisinda45743 ай бұрын
piga spana hao bila kujali shingoni humo
@godfreybeatus83963 ай бұрын
Baraka huna bahati round hii hutoboi
@SeleBadi-x4g3 ай бұрын
Nakonda nakupa nafasi ya rais kbc
@RachelMgimba-ge4jh3 ай бұрын
shida ni baraka na cio ulinzishilikishi
@YusuphMwangobola3 ай бұрын
Toa pereka vijijini leta wengine hapo.
@BOYKAJONATHAN2433 ай бұрын
Makonda I love you 💞 kutoka congo DRC
@kwzjkwz35323 ай бұрын
huyu police wa kwanza huyu
@FurahaMwajeka3 ай бұрын
Hamna polisi hapo
@onesmolwambano93493 ай бұрын
Mpaka hapo baraka kasha .......... malizia😂😂😂😂
@aminielimushi87093 ай бұрын
Atakuwa mirongo kwa mbele na mia
@AnatoriaRwabatwa3 ай бұрын
Pole
@davidmalisa80433 ай бұрын
Mi naerewa
@sabatoelia3123 ай бұрын
😅
@BarakaWaziri-oj3uc3 ай бұрын
Makonda ni mwamba Tena endeleza kaxi yako mwamba we ni noma mzee
@AlHamra-k4u3 ай бұрын
@angellomarce hujasikia vizur wamesema ana miaka 39