RC MAKONDA KUNA MTU ANAITWA BARAKA ANATUIBIA VITU NDANI | POLISI WAMKAMATE HUYU AFUNGWE MIAKA 30

  Рет қаралды 65,961

RAI TV

RAI TV

Күн бұрын

Пікірлер: 83
@lunangabenjamin3121
@lunangabenjamin3121 3 ай бұрын
Kuzeeka ni mumbile nimeamini sasa watoto 11 nabado unavutiya nilikuwa nafikiri mwanamke akizaa sana ndo uzeeka mapema kumbe niogo wawanawake wengi,sio taka kuzaa.
@kutailass6671
@kutailass6671 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂sijui ata kilicho nichekesha, sijui kutoa mimba najua kuzaa Duu na kweli
@ElneySheddy-is1dv
@ElneySheddy-is1dv 3 ай бұрын
Hivi makonda kwann tusimuite raisi japo nimkuu wamkoa jamani kama kunamtu mwenyemaono yakuona makonda anafaa kuitwa raisiwetu kabra gonga raiki👊💪🙏🤝
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 3 ай бұрын
Labda awe padri tumpe kanisa
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 13 күн бұрын
❤❤❤❤
@thomastemu3332
@thomastemu3332 3 ай бұрын
Hao polisi waondoke hapo
@moimojamojanakupacongolera7257
@moimojamojanakupacongolera7257 3 ай бұрын
Bro mwenye watoto natoa 200000
@happymrema7487
@happymrema7487 3 ай бұрын
Naomba hiyo laki mbil mimi nao Tisa sin mume
@barikimollel7890
@barikimollel7890 3 ай бұрын
Barikiwa
@temuramadhani5134
@temuramadhani5134 3 ай бұрын
Polisi wars rushwa
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 3 ай бұрын
Nawapongeza wanchi wastaarabu vinginevyo angekuwa amebadilishiwa jina
@subo2667
@subo2667 3 ай бұрын
"mengine sio ya kwenye mic" Nimeelewa sana hii kauli
@OscarRabison
@OscarRabison 3 ай бұрын
Huyo wocd amejificha,atafichuliwa tu
@AishaHussein-en3wf
@AishaHussein-en3wf 3 ай бұрын
Makonda hawa walinzi shirikishi,wasimamiwe juu ya mishahara yao,wanateseka juu ya malipo yao,wanalinda mwezi ukifika kulipwa iyo laki ni shuhuli,naomba siku muamue kila mkoa mufanye vikao na walinzi shirikishi akiamungu wakuu mtalia tunaona mitaani naomba msilipuuzie muwatafute muwasikikilize awana pa kusemea
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 ай бұрын
Makonda Anatakiwa Kuwa WAZIRI WA ULINZI NA USALAMA
@imeldasamwel539
@imeldasamwel539 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂police oyee
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 3 ай бұрын
Duh huyu Dada...asee watoto 11 in 30 yrs..? Hivi hao Police wanajielewa kweli..? RC PIGA CHINI hamna ASKARI hapo..Mmeishapata Information..alafu mnambwela tu.
@camilomassao8971
@camilomassao8971 3 ай бұрын
39
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 3 ай бұрын
GARI YA POLISI KITONGOJI CHAO MUIMU KIONGOZI MAKONDA ❤
@RhodaLema-z8w
@RhodaLema-z8w 3 ай бұрын
Jamani mh makonda kongole sanah yaani unavyoweza kuwabana kwa maswali wanaishia kutetemeka na kushindwa kujieleza kwa sababu wenyewe hawako vizuri kiutendaji
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 3 ай бұрын
Makonda unaona majibu ya huyo mkuria ndio tunavyotishiwa anasema mm naerewa unataka kunifundisha Kaz
@AnnaMinja-zp7ti
@AnnaMinja-zp7ti 3 ай бұрын
Makonda mtetezi wetu wanyonge
@loner_wolf
@loner_wolf 3 ай бұрын
Kiongozi wa polisi hamna kitu , unaongea habari ya shirikishi wakati wewe ni polisi 😅...... inamaana polisi hawatoshi na jeshi la polisi ni dhaifu ? Ni ujinga sana kutoa visababu vingine vya kijinga.
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 3 ай бұрын
Askari msaidizi wa wezi
@khamisali5978
@khamisali5978 3 ай бұрын
Hii nchi watendajii wengi hawafanyi kz ipasavyo,ndo mn akitokea mtu km Mh Makonda ndo unaliona hilo.
@JuliusHatari
@JuliusHatari 3 ай бұрын
Duh miaka 30 watoto 11 , aiseee ,sema ni mbaraka hongera dada MUNGU atakusaidia
@patrickmathiasnsalanga3401
@patrickmathiasnsalanga3401 3 ай бұрын
Makonda ni kiongozi
@HosianaMarwa-sd6yw
@HosianaMarwa-sd6yw 2 ай бұрын
Mtu anaamua tu kujenga anavyotaka anaziba njia za vichochoro vya mtaa na ukimfata balozi,mwenyekiti wa mtaa,wote hawajali njoo tu utsaidie
@glorymungure7740
@glorymungure7740 3 ай бұрын
Police wana siasa sana
@zidinayusuphyusuph
@zidinayusuphyusuph 3 ай бұрын
Tungepata makonda 7 nchi Tanzania ingenyookaj
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 3 ай бұрын
Samia 2 tu nchi ingenyooka
@JosephineAlex-d8f
@JosephineAlex-d8f 3 ай бұрын
Hatawatatu tu wangetunyoshea
@sandalakabalo5442
@sandalakabalo5442 3 ай бұрын
Safi sana kadada
@HosianaMarwa-sd6yw
@HosianaMarwa-sd6yw 2 ай бұрын
Mi naomba Mungu uje na mkoa wa Mara nasie tupate pakusemea
@eliamwankenja7087
@eliamwankenja7087 3 ай бұрын
Nakupenda sana
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 3 ай бұрын
IGP bado kama nchi haina.
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 3 ай бұрын
Hao jamaa wanatuonea Sana police we acha tu
@Jal210
@Jal210 3 ай бұрын
IGP haupo sawa kama siro
@mcgabby
@mcgabby 3 ай бұрын
Hivi ni yupiii mbona simjui hata😂😂😂
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 ай бұрын
Afande kajichanganya😂😂😂
@alexjackson5960
@alexjackson5960 3 ай бұрын
Makonda hiyo Sasa sio spana ni vise 😅😅😅😅
@haronbakora7156
@haronbakora7156 3 ай бұрын
Huyo mwizi kumalisana naye ni rahisi, maalizia yeye Kwa kumtia moto na tyres na petrol case finished
@ErnestNgaire
@ErnestNgaire 3 ай бұрын
Eeer kama Kule kenya😅😅😅
@haronbakora7156
@haronbakora7156 3 ай бұрын
@@ErnestNgaire kabisa
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 ай бұрын
Watanzania maskini sana😢😢 1:06 ame zaa vipi watoto 11😂😂
@mwizaluchiba6264
@mwizaluchiba6264 3 ай бұрын
hajui kutoa ndomaana amezaa hao 11😅
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 3 ай бұрын
Huyo asikali hafai fukuza kazi..
@kwzjkwz3532
@kwzjkwz3532 3 ай бұрын
Exactly
@kwzjkwz3532
@kwzjkwz3532 3 ай бұрын
exactly
@AzhadSaid-j1t
@AzhadSaid-j1t 3 ай бұрын
Rais wa wanyonge
@RashidiSaidi-h4q
@RashidiSaidi-h4q 3 ай бұрын
Bigup mh makonda
@khamisswalehe
@khamisswalehe 3 ай бұрын
weww tutakupa kura gombea tu
@FurahaMwajeka
@FurahaMwajeka 3 ай бұрын
Huyo askari zero
@stefanomasolwa8979
@stefanomasolwa8979 3 ай бұрын
Askari mla Rushwa huyu Askari hana lolote
@alexrwezaula8857
@alexrwezaula8857 3 ай бұрын
Uyo dogo kafa awaulize alivo kua mkuu wa mkoa dar vishandu waliisha uyo dogo mzee wake andae sehemu ya kuzika
@geey7893
@geey7893 3 ай бұрын
😂😂😂Hajui, huyo wamuandae Mchungaji kama ni mkiristo😂
@kwzjkwz3532
@kwzjkwz3532 3 ай бұрын
hata mimi ningeagiza apotezwe
@JUU-lw2je
@JUU-lw2je 3 ай бұрын
Ila jaman kesi nyingine hata sio za kuleta kwa makonda eti hadi kesi za wizi mnashindwa kusolve hadi mzilete kwa makonda lack of seriousness!!!!
@AbuodSeleman
@AbuodSeleman 3 ай бұрын
5/10 paka 20
@RashidaRashida-sy9kp
@RashidaRashida-sy9kp 3 ай бұрын
Asimwi
@nyerere1259
@nyerere1259 3 ай бұрын
Kuanzia sekunde 12:52 kama umeelewa ww ni mcuba kabisaa wengine endelezeni blabla uyo mwizi kwisha habar yake.
@stefanomasolwa8979
@stefanomasolwa8979 3 ай бұрын
Makonda ni Magufuli kabisa 100%❤❤❤
@temuramadhani5134
@temuramadhani5134 3 ай бұрын
Anafakua raisi
@esterswai9454
@esterswai9454 3 ай бұрын
Hiv watu hapo ni usiku au
@NeemaNeemaAyo
@NeemaNeemaAyo 3 ай бұрын
Tumekaa hapo adi saambili
@esterswai9454
@esterswai9454 3 ай бұрын
@@NeemaNeemaAyo polen
@khamisswalehe
@khamisswalehe 3 ай бұрын
Allah anatutetea sana wanadamu wake lakin sisi ni bure kabisa
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 3 ай бұрын
Mwananchiii hoyeee
@alumonkisinda4574
@alumonkisinda4574 3 ай бұрын
piga spana hao bila kujali shingoni humo
@godfreybeatus8396
@godfreybeatus8396 3 ай бұрын
Baraka huna bahati round hii hutoboi
@SeleBadi-x4g
@SeleBadi-x4g 3 ай бұрын
Nakonda nakupa nafasi ya rais kbc
@RachelMgimba-ge4jh
@RachelMgimba-ge4jh 3 ай бұрын
shida ni baraka na cio ulinzishilikishi
@YusuphMwangobola
@YusuphMwangobola 3 ай бұрын
Toa pereka vijijini leta wengine hapo.
@BOYKAJONATHAN243
@BOYKAJONATHAN243 3 ай бұрын
Makonda I love you 💞 kutoka congo DRC
@kwzjkwz3532
@kwzjkwz3532 3 ай бұрын
huyu police wa kwanza huyu
@FurahaMwajeka
@FurahaMwajeka 3 ай бұрын
Hamna polisi hapo
@onesmolwambano9349
@onesmolwambano9349 3 ай бұрын
Mpaka hapo baraka kasha .......... malizia😂😂😂😂
@aminielimushi8709
@aminielimushi8709 3 ай бұрын
Atakuwa mirongo kwa mbele na mia
@AnatoriaRwabatwa
@AnatoriaRwabatwa 3 ай бұрын
Pole
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 3 ай бұрын
Mi naerewa
@sabatoelia312
@sabatoelia312 3 ай бұрын
😅
@BarakaWaziri-oj3uc
@BarakaWaziri-oj3uc 3 ай бұрын
Makonda ni mwamba Tena endeleza kaxi yako mwamba we ni noma mzee
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 3 ай бұрын
@angellomarce hujasikia vizur wamesema ana miaka 39
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 17 МЛН
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,2 МЛН
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
00:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 10 МЛН
GIANT Gummy Worm Pt.6 #shorts
00:46
Mr DegrEE
Рет қаралды 94 МЛН
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 17 МЛН