MAKONDA Akimuomba Msamaha MBOWE, Askofu AWAPATANISHA!

  Рет қаралды 195,516

Global TV  Online

Global TV Online

5 жыл бұрын

MAKONDA Akimuomba Msamaha MBOWE, Askofu AWAPATANISHA!
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amemuomba
Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe na watanzania wote kwa ujumla kufuatia kauli yake aliyoitoa juzi katika viwanja vya Karimjee katika hafla ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa IPP Media, Reginald Mengi, ambapo alisema kuwa hajawahi kuona Mchaga mwenye roho kama ya Mengi kwani ameweza kutoa pesa ya kuwasaidia walemavu....
#RIPMENGI
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 103
@neitherherenorthere8367
@neitherherenorthere8367 5 жыл бұрын
Yaani napenda sana Watanzania. Lugha nzuri, matamshi ya taratibu. Mumebarikiwa sana Watanzania. Yaani mimi nikutamani tu. Ila ningekuwa na uwezo ningehama nije huko. Mwenyezi Mungu amurehemu Dktr. Mengi. Sio matajiri wengi wana upendo usio na kifani kama yeye.
@elfacechongera6648
@elfacechongera6648 5 жыл бұрын
Bigup brother makonda umesema kweli na kweli hakika Amesema mengi ni mchaga Bora kabisa kuliko wengine maana yake aliowahi kuwaona wakifanya aliyofanya mzee mengi-kwani kina mbowe siwapo wameshafanya nn kwa jamii chenye direct Impact? Na je hao si matajiri pia Iwish I could be him there before. Piga kazi Braza makonda God bless you.
@fredreckmwakalinga3475
@fredreckmwakalinga3475 5 жыл бұрын
elface chongera unamatatizo ya kiupeo pole cna
@elfacechongera6648
@elfacechongera6648 5 жыл бұрын
Fredreck Mwakalinga Asante.
@julessebintu6525
@julessebintu6525 5 жыл бұрын
Lakini hiki kimakonda wa tanzania munakipendea nini mbona kichani kina maji ?hakika nawapenda wa tanzania lakini hiki kiongozi chenu kinalopoka hakina uzalendo wa kitanzania.mara kinasema wasani,mara kinasema mobeto,mara kinasema mange. Kinajitia juu hakina hakili.sijui kwajua nini MAGUFULI alikitewuwa kikuwe mukua wa daressalaam
@johnbernad1529
@johnbernad1529 5 жыл бұрын
Pole rc Makonda hizo ndio changamoto za kazi Mungu atakutia nguvu
@witnessjosephmtanke4757
@witnessjosephmtanke4757 5 жыл бұрын
John John hahahaaa pole tena
@angelsgabriely3575
@angelsgabriely3575 5 жыл бұрын
Mbowe acha siasa msibani!..km unabifu zako na makonda kazmalizieni huko gengeni lkn cyo msibani!..umeamua kumzalilisha makonda hazaran iliuonekane we ni safi hauna usafi wowote!.msiban cyo mahali pa kufanyia siasa!.
@godfreylyimo4177
@godfreylyimo4177 5 жыл бұрын
Mungu amsaidie ndg yetu Makonda!! Na amini ni kiongozi mzuri sn lkn kila mtu ana udhaifu wake....Kubali kubadilika ndg
@user-sc8je2kp9y
@user-sc8je2kp9y 3 ай бұрын
Mungu awabariki
@sanurahyusuph6149
@sanurahyusuph6149 4 жыл бұрын
Nimeipenda hiyo
@saidmathias8850
@saidmathias8850 5 жыл бұрын
Makonda jaribu Sana kuwa unafikiria kabla kuongea .kiukwel ulimsifia mpaka ukarbu
@josephmateru8892
@josephmateru8892 5 жыл бұрын
Kusema Za Kweli Makonda Kiburi Cna Hakibadilika Hapo tu Nimtu poa Cna Hapunguze Kujikweza Lakin Kulewa Madaraka
@mamiimangeshomangesho3902
@mamiimangeshomangesho3902 5 жыл бұрын
Mungu amsaidie sana Makonda ! Hata hayo mavazi hayafanani na kiongozi wa nchi ! Mavazi ya kihuni hayo ! Yana wenyewe !mmmmh
@momylaviel
@momylaviel 5 ай бұрын
Vipi Kwan Una chuki nae
@amosthomas1851
@amosthomas1851 5 жыл бұрын
mbowe Mbinafsi umetaka kuleta ukabila kisa makonda alikuwa kwenye himaya yenu na wew makonda msubilie dar na mbowe tumemnukuu kauli Zake kwa taarifa kambi ya upinzani mlipanga na mkamwambie mbowe awakilishe jaman nasema uongo kama ni uongo abishe Nitoe ukweli wake hapa chini
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 4 жыл бұрын
Kazidi kuwatusi wachaga tatizo utawala huu ni wa digiirii 3 wengi wao ni masuti mazuri tu kichwani hamna jambo,
@frozen4rozen475
@frozen4rozen475 5 жыл бұрын
Hehehe makonda na mbowe niwachekeshaji sana
@IssaMtambalike-kw3om
@IssaMtambalike-kw3om 8 ай бұрын
😢
@aminabalamamnyawasatnzania876
@aminabalamamnyawasatnzania876 5 жыл бұрын
Kwanza bado hajaomba samahani km mmemsikikiliza kwa makini
@elfacechongera6648
@elfacechongera6648 5 жыл бұрын
Kwani kakosea nn
@khalekichambo1131
@khalekichambo1131 5 жыл бұрын
Kwa kweli wamemdhalilisha sana ingawa alikua ana rekebishwa. Kisha wa kumshauri mavazi?
@Pihansmo1129
@Pihansmo1129 4 жыл бұрын
Duhhh!!! Jamani mambo ya aibu mhhhh!!🏃
@lightnesselirehema1464
@lightnesselirehema1464 5 жыл бұрын
Huyo ni wa kusamehe tu maana hajui hata kama amekosea...
@cherilydavid3066
@cherilydavid3066 5 жыл бұрын
WATZ sisi wote ni binadamu tunafanya makosa saa nyinginge kwa makusudi mwingine bila kujua. Mkuu wetu wa mkoa ni kijana mwenye nguvu, mchapakazi na ana hofu ya Mungu. Kwa hiyo kama amekiri kosa apongezwe mnataka nini tena?
@brightnesskajuna7716
@brightnesskajuna7716 5 жыл бұрын
Cherily David
@petermarco9559
@petermarco9559 5 жыл бұрын
jinga sana hili limejawa na kiburi,halijajua pesa ,vyeo vyote tunakufa tunaviacha
@nicksongerson1707
@nicksongerson1707 3 жыл бұрын
Huyo nahisi mapungufu yake mpka ndani ndio maana hata kuzaa ni shida huyu.. Maana anajiona kama vile anajua sana ..kumbe haeleweki mbele ya jamii .. Mwisho kajitumbua mwenyewe wakati watu wanaogopa kutumbuliwa.
@charlesmartin9522
@charlesmartin9522 5 жыл бұрын
Askofu anaakili sana
@priscaurassa5847
@priscaurassa5847 5 жыл бұрын
Unavaa jinsi lililochanika magotini alafu msibani ndani ya kanisa muhuni mkubwa
@khamisfaki4640
@khamisfaki4640 4 жыл бұрын
Itakua hyo sehemu ni ya kihun
@thomasysanga2420
@thomasysanga2420 5 жыл бұрын
Atari sana
@jassonbrown3017
@jassonbrown3017 5 жыл бұрын
Liquid konk konk masta
@wilfredmmbando689
@wilfredmmbando689 Жыл бұрын
😮
@janesuma2193
@janesuma2193 5 жыл бұрын
makonda apunguze kukurupuka na kauli zake za hovyo ni mchapakazi mzuri ila mdomo mmh ana kauli mbaya sana
@frankmwalukuta8888
@frankmwalukuta8888 5 жыл бұрын
asante katibu wa ccm lakini hayo ya alikuja ofisini kwako aklia mmm yanahusu nini. kama alitubu pale huwa kati yako na yeye
@amosthomas1851
@amosthomas1851 5 жыл бұрын
Kwani mnamsema makonda alikuwa uchi mbona ni vitu vya kawaida wewe ulitaka avaaje
@immahkobeh1276
@immahkobeh1276 4 жыл бұрын
duh
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 3 жыл бұрын
Kaka ako wapi Mbowe fala wewe umeshiliki kubomoa Club yake kisa chuki zako tu sasaivi kumekua parking za magari tu mungu nae hamtupi mja wake awamu ya 5 chali imebaki story tu
@johnsonjusto9564
@johnsonjusto9564 5 жыл бұрын
makonda alikuwa hasikii anavyoitwa au ila wamesameheana tena madhabahuni
@sophicatesalim9757
@sophicatesalim9757 5 жыл бұрын
Nimefurahi huo ndio ubinadamu hakuna alie kamili hongera
@user-fe9po2tr5v
@user-fe9po2tr5v 5 ай бұрын
Makonda. Hajafunzwa. Dah. Anaropoka. Sana.. Kywazidi. Wote
@paulmwarabu6685
@paulmwarabu6685 2 жыл бұрын
Dr Shoo anakuita uombe radhi, unauliza kwanini? Hujui? Jamaa alikua na dharau sana
@beatricehenry7101
@beatricehenry7101 5 жыл бұрын
Ukweli unauma Mbowe.hujafanya chochote.huko kimekuchana na wembe
@andrewmhagama1042
@andrewmhagama1042 5 жыл бұрын
aliyeitwa ni Makonda Muro unaenda wapi mbona hutulii?
@faustinelutwe6901
@faustinelutwe6901 3 жыл бұрын
Maigizo hayo ! Msamaha unakuwaga mwepesi kiasi hicho ? Sikia hiyo "TAFSILI NI TATIZO"...... !!
@fahminasser3855
@fahminasser3855 5 жыл бұрын
Halafu huyu makonda kiongozi mkuu wa mkoa mnajua hana heshima kabisa kiongozi mkuu wa mkoa unaenda msibani umevaa kihuni nguo za kuchanika magotini kweli jmn kiongozi gani kuvaa mavazi ya kihuni kama mvuta bangi jirekebishe Makonda ww kiongozi usijafananishe kama muokota makopo mvuta unga
@fredreckmwakalinga3475
@fredreckmwakalinga3475 5 жыл бұрын
Hii ni mpya toka niijuwe dunia
@fatmaaly3056
@fatmaaly3056 4 жыл бұрын
Kwani makonda dini ngani jaman
@eliahiluka830
@eliahiluka830 Жыл бұрын
Heri wapatanishi matayo 5:8
@kyaro5945
@kyaro5945 5 жыл бұрын
Huyu hawajui wachaga kwa kuvunja chungu. Ameogopa huyo, tutavunja chungu tuu hawawajui wachaga
@jamesswai6583
@jamesswai6583 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@amosthomas1851
@amosthomas1851 5 жыл бұрын
Acheni unafiki bila Shaka na ninyi ni wachaga
@priscaurassa5847
@priscaurassa5847 5 жыл бұрын
Kiswahili shida eti tafasiri
@fidelfemba1643
@fidelfemba1643 4 жыл бұрын
Siasa hadi kanisani
@AliBaba-zb3tg
@AliBaba-zb3tg 5 жыл бұрын
Nyege zitamuisha Makonda Next time atajua jisi yakuongea 😂😂😂😂👌👌
@hensongunman1680
@hensongunman1680 5 жыл бұрын
Ngwajima anajichafua mwenyewe, nahizopicha zauchi nakufanya uzinzi live ni Makonda? Achahizooo
@AliBaba-zb3tg
@AliBaba-zb3tg 5 жыл бұрын
@@hensongunman1680 Uliona hapa nime mzungumzia gwajima?
@aureliabernadi4170
@aureliabernadi4170 4 жыл бұрын
Mbona hajaomba msamaha sasa?
@kassimukipingu5343
@kassimukipingu5343 4 жыл бұрын
Makonda amevaa suruali ya chambuu imepasuliwa kwenye magoti.
@mayungaiswaga4477
@mayungaiswaga4477 4 жыл бұрын
Mayunga m maziku
@japhetbarton8268
@japhetbarton8268 3 жыл бұрын
Naangalia hii kitu leo nacheka saaana
@makachamusic
@makachamusic 8 ай бұрын
Altareni
@elishafilipo1887
@elishafilipo1887 4 жыл бұрын
Tatizo huyo makonda ana ubinafs na chama chao
@godwinchengula3621
@godwinchengula3621 5 жыл бұрын
Makonda hata boss wako anaona kibri kimezidi unampa raisi watu wakati mugum
@amosthomas1851
@amosthomas1851 5 жыл бұрын
Godwin Chengula kibuli kipi kwani hayo mambo yapo kiserikali
@godwinchengula3621
@godwinchengula3621 5 жыл бұрын
@@amosthomas1851 hatakama selika ni sisi bila sisi selikali haiwezi kuwepo
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 4 жыл бұрын
Sijaelewa msamaha ya nini
@mariamsuma3003
@mariamsuma3003 3 жыл бұрын
Simpend makonda mtu mbaya huyu bora ya wachawi kulko makonda
@piere6250
@piere6250 5 жыл бұрын
Anaelekezwa kama mtoto wa shule ya msingi daa
@alyhamad63
@alyhamad63 5 жыл бұрын
Mm sielewi aricho kisema makonda nanukuru maneno ya makonda mzee mengi ni mchaga bora iro ndio neno baya jamani mbowe nikipi aricho kichukia mbowe ana ela kibao sijawai kumwona ana waita walemavu na kula nae chakula kwa pamoja eeh tuache kumchukia makonda bira sababu mbona ata marais uwa tunasikiaga rais kutajwa rais Bora jee awo wengine sio marais apana ila watu wanaangaria kafanya kitu gani na ndumana wakakupendekeza kukuchagua rais Bora na ata wachezaji na Kuna mchezaji Bora kwani wale wengine sio wachezaji acheni kumchukia mtu bira sababu na mm nasema Tena mzee wetu mengi ni mchaga bora na ata tokea Tena mchaga Kama yule kuita walemavu na kula nae chakula mm namsapoti makonda
@witymuro4904
@witymuro4904 Жыл бұрын
Mhhhh
@mwanshageorge2983
@mwanshageorge2983 4 жыл бұрын
Acha zalau wewe kamera zilikunasa unamfunga MTU kiatu,Mh,mbowe tunajua busara zako wakati mwingine kuonyesha nawewe ni binadam mwenye royo maumivu usingeenda at a mazabahuni apo
@abuubakalmtangenange4389
@abuubakalmtangenange4389 2 жыл бұрын
Jambazi makonda
@user-fe9po2tr5v
@user-fe9po2tr5v 5 ай бұрын
M
@allymsuya6655
@allymsuya6655 5 жыл бұрын
Kwani kulikuwa na bifu kati ya Bashite na Mbowe au Bashite aliropoka?!?! Na nyie ripotas kuweni na akili basi. Acheni uchurouchuro
@hemrodngunga9967
@hemrodngunga9967 5 жыл бұрын
msamaha ni neno dogo lkn linauzito ndan yake.. plz, 2samehe na kumwombea mzee we2 apate raha ya milele na mungu amwangazie nuru yake huko alipo
@mohamedkaraturamohamedkara1085
@mohamedkaraturamohamedkara1085 3 жыл бұрын
Safisanaaaaa mchungaj
@cleopamsuya1560
@cleopamsuya1560 5 жыл бұрын
Poleni kwa msiba mm mkazi wa moshi lakini nampenda makonda mpenda haki
@martinhp1530
@martinhp1530 4 жыл бұрын
Wanatuletea comedy katka inch yetu .sasaivyo c vtuko
@magrethmollel1078
@magrethmollel1078 4 жыл бұрын
wewe huwezi kubali madhaifu yako una kiburi cha uzima Makonda
@victormushi6641
@victormushi6641 3 жыл бұрын
gonda boy
@nessa4899
@nessa4899 5 жыл бұрын
Makonda achana na Gwajima wewe unapata mikosi ya bureee,
@HandwrittenMemories
@HandwrittenMemories 5 жыл бұрын
Ila kwel eeh
@angelsgabriely3575
@angelsgabriely3575 5 жыл бұрын
Mbowe acha siasa msiban!..km unabifu zako na makonda kazmalizieni huko gengeni lkn cyo msiban!.umeamua kumzalilisha mwenzio msiban ili uonekane we n safi!.hauna usaf wowote!acha siasa mcbani!
@abiniyerdmnyaga5352
@abiniyerdmnyaga5352 4 жыл бұрын
Makonda unajua bana wasikuxumbue hao Kama Kuna moja umekosea lixifte mazur yote
@salimmwaim3816
@salimmwaim3816 5 жыл бұрын
sojaona kosa la makonda,kwel tz n vichwa vya,wendawazim siasa msiban diiih
@witnessjosephmtanke4757
@witnessjosephmtanke4757 5 жыл бұрын
salim Mwaim ungekuwa.mchaga ungejua maana
@dianacornely8666
@dianacornely8666 5 жыл бұрын
Mm mwenzio pia nilikusikiliza tu nikasema huyu hawajui wachaga
@aishahayata6131
@aishahayata6131 5 жыл бұрын
Wachaga wana nini??
@kadriaswed7368
@kadriaswed7368 5 жыл бұрын
@@aishahayata6131 wana pesa
@juliusswai8363
@juliusswai8363 5 жыл бұрын
ange koma mjinga sana huyo
@abubakariomari6373
@abubakariomari6373 4 жыл бұрын
Ml
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 5 жыл бұрын
Naona jamaa amechomolewa na Baba Askofu
@geraldkalima7183
@geraldkalima7183 5 жыл бұрын
Tatizo shule
@tedikimario7616
@tedikimario7616 5 жыл бұрын
usimpe mkono wako uyo mnafiki atakutia gundu bure hamna tafasiri ulimaanisha.
@kyaro5945
@kyaro5945 5 жыл бұрын
Tedy nyinda kyaa
@kyaro5945
@kyaro5945 5 жыл бұрын
Tedy vipi?
@eliasisaya5846
@eliasisaya5846 5 жыл бұрын
Acheni unafiki ni kweli makonda yuko sahihi wachaga ni wagumu kutoa ila siyo wote wapo wachache akina mengi
@mbwanarajab7238
@mbwanarajab7238 5 жыл бұрын
Hivi kweli msibani watu wataogopa kwenda sasa..tumegeuza misiba kuwa majukwaa ya kuwadhalilisha na kuwalipizia watu visasi,hii haikuwa desturi ya waafrika..kwani mngemwita makonda huko ndani na wakaongea tofaut zao na kumalizana heshima yake km mkuu wa mkoa ingebak pale pale..lkn si mbele za watu na huku kuna msiba...angalia michango ya watu kwenye hili tukio utajua madhara hapo..kuna ukabila umeingia hapo,kuna udini mambo ya gwajma,kuna siasa, kuna waliojeruhiwa ktk matukio ya kurekebishana juu ya sheria mbalmbl ....
@yusuphhassan7493
@yusuphhassan7493 5 жыл бұрын
kiukweli namsifu makonda.kaongeaukweli.kabiragumu kutoapesa hapa tz niwachaga.nambamoja bigap kakamakonda..hakuna arichokosea
@josephmateru8892
@josephmateru8892 5 жыл бұрын
Kusema Za Kweli Makonda Kiburi Cna Hakibadilika Hapo tu Nimtu poa Cna Hapunguze Kujikweza Lakin Kulewa Madaraka
@nessa4899
@nessa4899 5 жыл бұрын
Makonda unamchafua Gwajima unapata mikosi.
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 134 МЛН
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 43 МЛН
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 51 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 10 МЛН
Zuchu - Tanzania Ya Sasa (Official Audio)
3:44
Zuchu
Рет қаралды 2 МЛН
Makonda Akataa Kuomba Radhi Clouds Media Sababu Hizi Hapa
9:16
Global TV Online
Рет қаралды 176 М.
Ruge Mutahaba: Kama Makonda Hakutaka Nije Hapa Kwanini TEF Mliniita?
7:41
Manji Ajisalimisha Polisi Sakata la Madawa ya Kulevya
1:50
Global TV Online
Рет қаралды 28 М.
LIVE SCENE, NAPE akitolewa Bastora Hadharani. KITENGE AAMULIA
2:27
Junior Syaary
Рет қаралды 621 М.
Rachel aomba talaka- Kapuni | Maisha Magic Bongo
3:52
Maisha Magic Bongo
Рет қаралды 1,3 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 134 МЛН