Рет қаралды 195,516
MAKONDA Akimuomba Msamaha MBOWE, Askofu AWAPATANISHA!
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amemuomba
Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe na watanzania wote kwa ujumla kufuatia kauli yake aliyoitoa juzi katika viwanja vya Karimjee katika hafla ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa IPP Media, Reginald Mengi, ambapo alisema kuwa hajawahi kuona Mchaga mwenye roho kama ya Mengi kwani ameweza kutoa pesa ya kuwasaidia walemavu....
#RIPMENGI
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho