Hivi watu weusi tunashangamoto sanasana.... Utapeli ni mwingi na ni sisi Kwa sisi... Wazungu wanatuchekaaaaaa!!!!
@devothaignatius52564 ай бұрын
Tupa ndani mzee uyo
@HulumaKisakali4 ай бұрын
Wewe kwel mtetez wa wwanyonge natamani ungekuwa iringa tunanyanyaswa akuombea kwa mungu uje uwe rais. Utete inchi nzima mahakamani hakuna haki mwenenacho ndo anasikilizwa masikin tunaonewa sana
@AhlamKilema4 ай бұрын
Duuuh
@OmanOman-vb4uj4 ай бұрын
Ninakesi km hyo naomba unisaidie 😢😢😢
@saidmushehe4 ай бұрын
MAKONDA ana stahili kuwa waziri wa ardhi kabisaa....huyu jamaa Aishi miaka mingi
@angellomarcel56774 ай бұрын
DADEKI 😂😂😂weka ndani
@ZephaniaLaizer-vk1it4 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@InnocentLeonard-gy1mn4 ай бұрын
Huyu Mzee tapeli Sana anazeeka vibaya aisee
@seller40114 ай бұрын
Yan kuna wazee wanajotafutiaga matatizo badala ya kutafuta amani kutokana umri wao
@DanielKagoma-nx8ff4 ай бұрын
Mweshimiwa makonda Mimi ni mchungaji Niko Tabora mjini Nakuombea Sana Huwa nakufatilia Sana tangu Cha makufuri uishi miaka mingi mnoo pokes baraka zangu
Mzee kayataka mwenyewe kwenda lock up.mi naangalia mazuri yako tu baba kegani😂
@MajiraRaphael4 ай бұрын
Baikoko
@michaelkitebo93054 ай бұрын
Watu kama makonda ni Mali yenye thamani kubwa katka taifa letu
@TimotheoEnocy4 ай бұрын
Nakupenda hyo yaan kwa akili ya mkuu wa mkoa
@pendomahundi46784 ай бұрын
Tunakuombea mkuuu
@mussajuma74604 ай бұрын
Huyu mzee asa😂😂😂 yani hapo makonda hana jinsi ya kufanya seroo tu
@massawejacob4 ай бұрын
Watu wa chuga .....kichwa ...ngum saana
@yaredyndaga64834 ай бұрын
Huyu mtoa maelezo kwa RC yupo vizuri sana ( RC ametoa maamuzi ya busara na ya hekima hongera sana Makonda )
@ZakayoMollel-sg6tw5 күн бұрын
😅
@josephpeter85114 ай бұрын
sasa moyo wangu umeanza Kufarijika. tulioyakosa tangu friend of mine Mangufuli apoondoka. More Glory More wisdom More Level of elevations to your sir. Jesus loves You so Much ❤️ 💖 💕 💗
@neliusgosbertbaguma86934 ай бұрын
Unajua sasa naanza kumuona makonda kwenye Uraisi, Magufuli alimjua tangia zamani, Watanzania wanataka watu kama hawa hawataki vyama
@massawejacob4 ай бұрын
Mh makomda oyeee ! Chuga mnasemajeeeeeee
@aboudasilver65414 ай бұрын
Mwamba yupo juu sana mungu Ampe maisha marefu zaidi yenye Amani na Afya njema
@jonasfrank17584 ай бұрын
Isseee we bro unatisha, kila sehem unafiti, hongera kwa kaz nzuri
@itiamekimbui7224 ай бұрын
kwakweli kiongozi makonda is very intelligent he has full administration wisdom and leadership skills and he is listening his people and solving their problems excellently and at equity hana ubaguzi katika maamuzi yake anahegemea haki na sheria . congratulations kiongozi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪tunafuatilia sana uongozi wako
@massawejacob4 ай бұрын
Heshimuni teuzi ....anaeteuaaa anajuaaaaaaa
@NuriaabdiAbduba4 ай бұрын
Wish we hve someone like makonda in Kenya.
@solomonsamuel35844 ай бұрын
Nafasi uliyonayo sasaiv na na uwezo ulionao ni tofauti Mwenyezi Mungu akujaalie nafasi ya juu zaidi ili ukawaguse watu wengi
@josekinyamagoa-sv4jh4 ай бұрын
mama yet tunakiomba uyu makonda usije kumuachisha kaz wala usimfkuze. Uyu ni zaidi ya majaliwa.
@geoffreyobaigwa7794 ай бұрын
Mzee mlagai huyu Tia yeye ndani miaka Miami moja
@octiminja52604 ай бұрын
Mama Samia plzzzzz unamuona kijana wako. HUWA MAMA HUKOSEI HATA DADA YUU (KATIBU MKUU WAKO) HACHOMOI BETRY KIZEMBE) BIG UP MAMA SAMIA
@lilyngowi34832 ай бұрын
Kiongozi wangu. Akitoka magufuli ni wewe♥️♥️♥️♥️♥️
@nellyjuju53254 ай бұрын
😂😂😂😂 nilifika pale wale walokole wakataka kuniombea😂😂😂😂😂😂😂
@YamunguMuha4 ай бұрын
😂😂😂
@MandelaMwashoma4 ай бұрын
Amina
@zomasamweli4 ай бұрын
😂😂😂
@Ahmed-g2b4 ай бұрын
Kwani alikuwa na mapepo😂😅😊
@miriamdavis38934 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@smartonlinetv1274 ай бұрын
Saf Makonda Team
@RamaRashid-ym1yz3 ай бұрын
Naomba siku moja mungu ajalie nikuone nasi tumezurumiwa nyumba
@aloycesilwela34854 ай бұрын
Kwa kweli hata mkimsema makonda vibaya kwangu mm naona anafanya vizuri sana
@ShinjeMackenzie4 ай бұрын
Huyo mzee hata aibu jamani hana wakati umri wenyewe umemtupa mkono anakisogelea kifo na midhambi yote hiyo 😂😂😂😂😂zeee la ovyo kabisa hili
@happypiusi38014 ай бұрын
Mungu akubariki makonda hizi baraka zimiminike hadi kwenye uzao wako❤
@peterkichochi75104 ай бұрын
KWANINI MAKONDA WANAMPA CHEO CHA UKUU WA MKOA, UYU JAMAA ANAFAA KUWA RAISI WA NCHI. ANAWEZA ANA UWELEWA ANAJUA..
@G24TZ4 ай бұрын
Akili zako fupi sana wewe, unadhani kuwa raisi wa nchi ni mchezo mchezo, nyie ndio mnaliwaga kirahisi akili hamnazo, mnaishi kwa mihemko
@awadhally10524 ай бұрын
Kwel kabisaa
@rommyshabby39594 ай бұрын
Ni swala la muda tu kuwa na subra
@robertzamani56124 ай бұрын
Ccm wajanja sana siku wakiona wanaweza kushindwa urais watampa hiyo nafasi ya kugombea hiyo nafasi kama ilivyokuwa Kwa Magufuli huwa wanasoma upepo wa siasa
@R10_Rajab4 ай бұрын
Na kama hajampatia mkataba sababu ndio hiyo alitaka kuliuza tena kwa mtu mwengine dah Tanganyika kuna watu makauzu kweli
@FmYiu-vx2cs3 ай бұрын
Kaka uko vzr mtangulize mungu Zaid Ili ufike mbal
@OmarySingano-w4k4 ай бұрын
Kwa unayoyafanya Makonda Arusha Mungu Akubariki
@hidayatshukuruSanga2 ай бұрын
Kaka yanii umenyooka zaidi ya rula, Mungu akupe afya
@neemanziku54034 ай бұрын
Da wanyonge tunaonewa na wenye pesa Asante brother Makonda
@pastorbundala16004 ай бұрын
Rc binfsi na pendezwa na kazi yako ..ni mtu wa wanyonge
@WAKRISTOKANISALAMUNGU4 ай бұрын
Makonda wewe kamanda kweli.
@SAMPonda4 ай бұрын
Saafi sana mkuu wa mkoa mungu akusimamie
@aidankamugisha51074 ай бұрын
Piga Kazi makonda.Mungu akutangulie🎉
@africanasplumbing87804 ай бұрын
Makonda jenga tukufanyie jazi ya bomba bure UNAMALIZA MIGOGORO KIBINGWA
@FortunataNguma4 ай бұрын
⁹hivi wakuu wa Mikoa wengine mbona wamelala maofisini awaongei na wananchi wao? Igeni utendaji wa makonda
@MatthewSimonKanyanzulu4 ай бұрын
Enguzuberri wewe umeona kuna hukumu ya kumzalilisha mtu hapo au ndio nyinyi mnao taka ukweli uongelewe chumbani ??acha maneno yako hayo
@magazimahushi64174 ай бұрын
Mungu akulinde mh.Makonda piga kazi
@AwaziRajab4 ай бұрын
Watu Mnaosema Eti Kuzalilishwa Ivi Nyinyi Sio Wale Kula Kunya Kuoga Kila Kitu Mnapewa Bule Na Ndugu Zenu Sasa Amjui Uchungu Wa Kutafuta Mpaka Hao Tegemezi Wenu Wakifa Apo Ndipo Mtajua Kama Haki Aizlilishi Mtu Isipokua Mwenye Kukiuka Haki Ndio Anayeizalilisha Haki
@RudelphZabron4 ай бұрын
Makonda uje na kwetu Geita Tunakuombeeni Kwa Mungu na Mungu akulinde Tanzania tunapaswa tupate viongozi wa Kariba Yako tutasonga mbele Kwa hakika Simamia unachokiamini daima endelea kusimama upande wa haki Kwa kauli iliyonyooka bila Shaka.
@SanteMbawala3 ай бұрын
Hongera makonda Kwa kutupigania wanyonge
@Amryasser-s5d4 ай бұрын
Haya ni matatizo yanatokea sana kwetu tz,hongera sana Mheshimiwa Makonda.endelea hivyo hivyo.kuna wengi kama huyu jamaa,
@FredMwamgogwa-td6ni4 ай бұрын
Watu wenye vihela wanatunyanyasa sana safi sana Makonda
@emazacharia44554 ай бұрын
Baba keagan ...hii n arusha tu Iko hv vip mikoa mwingne vipi kule vjijin ambalo hakuna mtu kama makonda 😢😢
@azadinzunda43274 ай бұрын
Kama Tanzania nzima tungekuwa na viongozi wenye busara na haki kma Malinda tungekuwa Kama china
@liberatusjackson50454 ай бұрын
Makonda nakuchukia wakati wote ilaa leo nsamehe kweli ww nmtenda haki❤❤❤❤❤
@ziggertv31854 ай бұрын
Unajua siku zote usiwe na chuki na m2 bila sababu na hili tunalo watanzania wengi
@gracegrace65104 ай бұрын
Chukia hiyo Veep apewe Maua yake bana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉wewe kuweza
Usimchukie mtu bila kumfahamu alivyo.... Usimchukie mtu kwa maneno ya kuambiwa na wanasiasa
@josephmacha68534 ай бұрын
Dah makonda kaka unakazi mungu akujalie
@saliminyusuph61224 ай бұрын
Uzuri wa makonda 1. Amuogopi MwanaAdam yeyote. 2. Ana aibu na MwanaAdam yeyote. Hizo ndizo sifa za kuitwa Kiongozi. 2025. Chukua fom ubunge Jimbo Arusha mjini ili uje uwe waziri Mkuu.
@AliKalumbulwa4 ай бұрын
Mungu akubarili mweshimiwa Paul makunda na akupe maisha marefu.amen
@abeidmsimange78404 ай бұрын
Makonda nimwamba sana anafuwata njia zilezile zamagufuli huyu anastahili kuwa kwenye ngazi zajuu kwenye uongozi panapo haki toa haki usipepesemacho
@HumphreyKarua4 ай бұрын
Kwa sasa Rc wa Tanzania ambaye nijembe ni Rc Makonda muda wote ni kutahoa maratixo papoose hapo kwa wanyonge wote wa jiji la Aruxha wananvhi wana inanimate nawe jembe Rc Makonda
@massawejacob4 ай бұрын
Hao ndio chuga bana ......wanahitaji kichwa ...watu wanahitaji....mtu ngangali
@joliapantaleo3494 ай бұрын
Yani Mungu akulinde baba makonda
@edislauskambona65244 ай бұрын
Makonda ww na slaa naona combination yenu mwaka 2030 ..ww Rais na slaa wazir mkuu.. Makonda umefaulu mtiani wa Anko
@MwanaishaShattry2 ай бұрын
Mtu mzima tapeli leo ukaonje kunyea debeni. Na ukipelekwa maabusu ya gerezani mzee agizia dippers ama sivyo asubuhi yamekutapakaaa.
@SabraAbdilnasir4 ай бұрын
M/MUNGU AKUJALIYE UMRI MREFU WENYE AFYA NA IMANI UZIDI WASAIDIA WANYONGE TUNAFURAHIA UNAVYOCHAPA KAZI KUSAWASAIDIA WANYONGE NA WEWE UTAPATA STARA
@HumphreyKarua4 ай бұрын
Onera Rc huu ni utaperi heliopolis jiji la Arudha wewe ni jembe kuomfoa utaperi huo
@piuskusenge-jf2ob4 ай бұрын
Aaah Makondaaaa aisee unanifurahisha sana
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg4 ай бұрын
Tamaa mbaya
@emmanuelmmbaga52094 ай бұрын
Tamaa mbaya sana, inakupeleka shimon huku unajiona
@graceshayo57634 ай бұрын
🤣🤣🤣makonda Hadi anashangaa Yan Kun vitu mpk unajiuliza hivi watu km wamejiumba