Haloo uyu apa kiongozi makini m'bunifu mwenye roho moja ya kizalendo na watanzania hakika mm nina kuombea siku moja ukamate nchi hii yaani sijui itakuaje ivi awa jamaa kwann awakuigi mkuu aisee ww ni hatari ongera mungu akubariki sisi tunasema tupo pamoja na ww salute mh. Paul makonda
@user-dd8ud2gk4l10 күн бұрын
Jaman tunaomba mipango namikakati kama hii ifanyike hata jijini kwetu Dodoma, Mungu akubariki sana mh Paul makonda
@merymbise576310 күн бұрын
Magufuli mwingine huyu ,Mungu azidi kukulinda kwa utendaji kazi wak mzuri 😘🙏🙏 zoezi hilo litakua maeneo gani
@sabinajoseph929711 күн бұрын
Amina mungu akulinde na akuongoze katika KAZI zako unazozifanya akuepushe na watu wabaya
@johnmalembo646411 күн бұрын
Naamini ukipata nafasi ya u Rais...tulikokuwa tunaelekea na JPM tutafika kwa Kasi kubwa.... Mungu nipe hekma ya kutenda na kuongoza vema watu uliowaweka katika usimamizi na utegemezi wangu.,..ili ukiniweka juu ya wengi utukufu upewe wewe uumbae mioyo ya heri kwa waja wako...
@user-dd8ud2gk4l10 күн бұрын
Nakumbuka Kuna sku pindi magu ametutoka, Nape alizungumza bungen yakuwa legas yakiongoz Huwa haipotei ikiwa nzri hvyo legas yamagu haitopotea kwakuwa makonda ni miongon mwaviongoz wachache sana tz wanaoienzi legas hiyo. Anafanya kwavitendo ingawaje najua pia kwake kuna vita kubwa sana unaendelea kuififisha legasi hyo, barikiwa sana mkuu
@stephanokanyika632111 күн бұрын
Hongera makonda kwa kazi nzuri iyo
@gladistaemanueliy633611 күн бұрын
Amina makonda mungu akubariki
@MubinaRoshan11 күн бұрын
Amin amin amin
@robsonlotyloy567811 күн бұрын
Safi sana kaka. Du! Mungu hakubariki sana na hakuepushe na mabaya.
@user-bc2hc4xn9v10 күн бұрын
❤❤
@esthersissamo112011 күн бұрын
Amina mkuu wetu Makonda asante sana kwa hilo ni faraja kubwa sana Mungu akupe maisha marefu yenye afya tele pamoja na familia yako Mungu ibariki Tanzania na wananchi wake
@user-qp6so3bf3p11 күн бұрын
Hongera jembe
@user-ym6hd7xh3g11 күн бұрын
Makonda ana heka heka jamani.
@daudimichael733811 күн бұрын
Kiongozi wa mfano!!
@user-qj2fz8uq3j11 күн бұрын
Hv kna sababu gan ya makonda kutopewa kit Cha urais mm nashindwa kuelewa rais anatakiwa awe na sifa zipi