Hongera sana Mh Makonda piga kazi Mungu akusimamie
@kadokemarco996625 күн бұрын
Kumbe kweli Ngorongoro kuna waDubai😭😭😭😭😭
@Olengujati-uo6gx24 күн бұрын
Dubai ndogo ngorongoro
@user-jf1sq7lk4g25 күн бұрын
Hongera sana mh. Makonda
@sylvestercameo626321 күн бұрын
Kumbe wamasai siku hizi hawavai tena lubega na mashuka mekundu, bali kanzu nyeupe na vilemba. Hongera sana wamasai wa Ngorongoro, mmependeza sana!
@davidmalogo710025 күн бұрын
Mh sijui kilicho ndani ausili yawatu wa ngorongoro selikali hii Yani Hawa walabu wanataka nini kwani hio miladi yamaji selikalin umeshindwa kupeleka hayo maji mpaka mpigie makofi walabu Yani selikali ichimbiwe visima niajabu tanzaniayetu nitajili hatuwezi kuchimbiwa visima Yani Kuna kitu nyuma yapanzia Yani hapo ndo wameanza kutambulishwa bila wanangorongoro kujua ,mungu ilaze loho ya jpm mahali pazuli
@wilfredmaimu195825 күн бұрын
Hongera sana mkuu
@nelsonnyamle25 күн бұрын
Kuweni makini Wana ngorongoro uchaguzi ukipita mtashughulikiwa kama ilivyopangwa shauri zenu
@hadijamandanje618924 күн бұрын
Tatizo waarabu ila wazungu na wachina si tatizo,kazi kweli kwwli
@m.m.tvmbebamaono23 күн бұрын
Waarabu ni wakorofi sana wamewafukuza masai wetu ngorogoro
@zobakazizi763725 күн бұрын
Ngoja nisiongee
@emmanuelaloyce93224 күн бұрын
Hata kama wanafanya uwekezaji ,waache kuwaondoa wenyeji. Waarabu ni wanafiki sanaa,kuja kwao kunajambo.mama samia naomba uwaachoe wnyeji wa ngorongoro mji wao.zipo sehem nyingi hasa za serikali zilizopo wazi. Msisumbue wananchi
@rayisadesigns264624 күн бұрын
Mnapandikiziwa chuki bila ya kujua.
@DanielNdaluboneye-wc5st25 күн бұрын
Ndo nimeamini Ngorongoro imeuzwa.
@nahlaaasidee184824 күн бұрын
Angekuwa mzungu usingesema... Ni maeneo mangapi yapo maeneo potential hpa Tz. Acha chuki.
@victorkisenha593323 күн бұрын
Duh! Waarabu wa dubai kumbe wapo ngorongoro!
@user-lu8ny2gu7t23 күн бұрын
Sijuwi tumerogwa na nani nchi imeshindwa kupatia maji wanachi mpaka tusaidiwe na wawekezaji hakuna msaada usiokuwa na malengo
@BoisDonkoil-rk8lr23 күн бұрын
Mwanzo chabure nchini ya jua sahau
@rahplenyengerahplenyenge72223 күн бұрын
Nadhani wasiojua Ngorongoro imeuzwa na Mama mmejionea wenyewe wasrabu hao hapi ccm wanatafuta Kura maana Ngorongoro ishachukuliwa Mwarabu
@johnmalembo646425 күн бұрын
Haya yote wa tz tunaweza kuyafanya bila msaada wa mataifa mengine
@saidiathuman-og6bc24 күн бұрын
Makonda leo kunakitu ndani yako kinakuumiza hapo lakin dah? Ndioivyo tena ila kiukweli inaumiza saana
@sebastiansalamba31323 күн бұрын
Hawa wanaocheza sio kwa mapenzi yao wame....... Uwiiiiiii arabun ndani nchi
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg24 күн бұрын
Miaka sitini mnaagaika namaji tena kwa misaada, wezenu wanaagaika natecknologia
@FunnyHikingWaterfall-wv7dc25 күн бұрын
Nilijua umepumuzika kupika sipana kumbe Bado zinaenderea sipana
@masoudsalum23 күн бұрын
Ngorongoro kwa wamasai au kwa waarabu wamasai wapo msomera
@BoisDonkoil-rk8lr23 күн бұрын
Hapa akili kichwani kwa wote sio wananchi sio waarabu sio mweshimiwa Paul Makonda,kila mtu anajiuliza nijinsi gani ______????
@sebastiansalamba31323 күн бұрын
Kumbe kweli inchi imee......Leo ndio ni eamini
@philipjoseph593123 күн бұрын
Waarabu ndiyo wamefilisi tembo wetu wakati wa Biashara ya Utumwa, waliua tembo wetu wakachukua na mababu zetu wakiwabebesha meno ya tembo wakiwa wamefungwa minyororo, Je wamekuja tena kumalizia hata kidogo kilichobaki?
@melkiorykweka43823 күн бұрын
Hawa waarabu wanafanya nini humo ngorongoro???? au ndio wameshauziwa kweli?
@dilludillu274725 күн бұрын
Wamechukua port wamehamia Ngorongoro
@YangaNews24 күн бұрын
Sasa hao waarabu wanafanya nn huko
@justardzelphine652624 күн бұрын
Duh! Tumekwisha!, ngorongoro imeuzwa!
@user-pv2jh5wb1o24 күн бұрын
Sasa maji ya Nini wakat watu wamehamishwa
@m.m.tvmbebamaono23 күн бұрын
REST IN PEACE 😮😢 NGORONGORO umeuzwa kwa wageni wenyeji wanagukuzwa kwama vakimbizi katika nchi yao TUTAKUKUMBUKA JPm 😢
@rebekakulwa615924 күн бұрын
Kwani. Mafisiyemu yanapeleka wapi kodi zetu mpk. Yalete waarabu kuchimba kisima utumwa wa pili umeingia tanganyika masai wanarukaruka tu kama swala hawajitambui
@carolthomas924324 күн бұрын
Unajua watu hawajuwi huwa wanakurupuka kutoa taarifa ambazo sio sawa ngorongoro wanapoamishwa ni kreta tu sehemu ya bonde la ufa sehemu nyingine wamasai wapo na kazi inaendelea sababu ya kuwahamisha ni ongezeko na shughuli za kibinadamu kreta inasababisha huoto wa asili kupotea na kusabaisha hualibifu mkubwa wa mazingila ya hifadhi hiyo
@user-wr3jp6tg4p24 күн бұрын
Shida ya watu wanaishikimazoeya lini mtabalika Na vipi mtapata maendeleo Bila kubadilika
@SAIDIMUKSIN-iy2op23 күн бұрын
Masai wa kiarabu
@salama111324 күн бұрын
Siamini kama hawa wamasai
@user-gy5gu1mn4x25 күн бұрын
Nchi ya kirabu 😂😂
@user-tx6dh6ii3m24 күн бұрын
Hao waarabu jamani mtakuja kujuta hapo staki
@vladimirputn180925 күн бұрын
Waarabu sio wabaya Kama marekani naulaya marekani nimashetani
@rayisadesigns264624 күн бұрын
😂😂😂 wazungu hivyo visima wasingewachimbia bure bure wangewatilia na ushoga juu... mammaee 😂😂😂😂 majamaa mashenzi sana yale 😂😂😂
@user-ym6hd7xh3g23 күн бұрын
Tangu mwanzo wa dunia haijawa hivyo Waliotia maksai wazee wetu si waarabu Tangu wamekaa nchi hii walifanya nini? Afadhali wazungu walijenga shule kujenga barabara,reli hayo ya kuvaa ngata kichwani si yalitesa ndugu zetu tuu au unaongea vile huna kitu kichwani.Unafikiri tumesahau tabia zso za kikatili. Usitufanye mazuzu
@rebekakulwa615924 күн бұрын
Waarabu wamingia tanganyika tumerudi utumwani chadema waliambiwa ngorongoro hakuna usalama makonda katia timu na waarabu
@nabukyeKanefu25 күн бұрын
Ishudogo serikali inashidwa kufafa hamunakitu hapo
@user-ce3eo4lu1k24 күн бұрын
Ina maana viongozi waserikali hawapo ngorongoro isipokua wapo waarab
@MonayLai25 күн бұрын
Hiyo ni kuwafumba macho tuu wanangorongoro hizo hela ni zenu wenyewe wanawapoza tuu muone wamewasaidia
@dullayomwinyi335925 күн бұрын
Hao waarabu wanafanya nn nchini kwetu wamasai wameteseka ajili yao watoke nchini kwetu
@froma373224 күн бұрын
Wazungu pia wapo nchi nzima mpaka kwenye Hoteli ya Ramada hebu fatilia tuwandoshe hao wa Ramada bila Shaka utanielewa
@rayisadesigns264624 күн бұрын
@@froma3732tena wanawaletea na ushoga lakini hawasemi wamekaa kimya
@ayububakari994224 күн бұрын
@@froma3732 HIYO RAMADA HOTEL YA WAZUNGU SI ILE HOTEL YA MASHOGA ?!!
@froma373222 күн бұрын
@@ayububakari9942 Ndio hiyo hiyo lkn wao huwa hawaoni Wazungu Wakiharibu nchii ni kasumba wameekewa na Mkaburu kuwa Waarabu wabaya
@muhsinikoki406025 күн бұрын
hakiamungu masai mnaruka nini badala yakulia jaman mmepigwa
@elioimer842325 күн бұрын
Ngorongoro ya wapi hiyo. Mbona sielewi kitu. Tumeambiwa hakuna miradi yeyote inayoendelezwa na serikali. Sio shule , sio maji , na miradi yote mingine ya maendeleo imesitishwa. Sasa hii ni Ngorongoro ya wapi?
@Veni58425 күн бұрын
Ya uarabuni
@evelynmwaimu-vd9jo25 күн бұрын
Mhhhh!!!!
@VitalisMmassi-oh4jb24 күн бұрын
Ngorongoro pamekua uwarabuni
@leylasaid964125 күн бұрын
WAZUNGU WAPO WANGAPI NA WANAMILIKI VINGAPI MBONA HAMUONI MNAWAONA WAARABU?WAZUNGU WAJANJA WALIPANDIKIZIA CHUKI KWA WAARABU NDO KINACHOENDELEA.
@abednego387623 күн бұрын
Eeh utumwa mtupu
@simongwandu739225 күн бұрын
Waarabu ni hatari
@ndukulusudikucho_25 күн бұрын
Wazungu Ni wazuri sio?
@modyworldmody429725 күн бұрын
Wazungu Wana leta ushoga
@simongwandu739225 күн бұрын
@@modyworldmody4297 wote wanahusika scandal ya Loliondo itafute Wazungu hawakututoboa miguu
@joscamwoshezi298625 күн бұрын
Waarabu kwani wanatofauti gani na wazungu au waafrika wanaopewa uwezekezaji karika kutuletea maendeleo
@halimamasai223425 күн бұрын
Wazungu wanaleta ushoga
@rayisadesigns264624 күн бұрын
Tena wazungu hivyo visima wasingetoa bure bure... wangeleta na ushoga juu
@HashimYahaya-hd3zm25 күн бұрын
Wamarekani mbona amuwasemi
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg24 күн бұрын
Wanawalagai hao
@MonayLai25 күн бұрын
hawa wamechukua mali zetu nyingi sana wanajichotea tuu
@ayubumoha631325 күн бұрын
Jamaa mpambanaji alipoa kidogo
@user-vv4wo5fu9t25 күн бұрын
Ndio makonda lakini hao warabu sio kabisa hawawezi kutuletea tena ukoloni uku wakitawala nchi kama yao hiyo hawezekani wananchi tunatabika warabu wanatutawala na kuchukuwa aridh zetu uku watanzania tunatabika wanatuibia na kupeleka kwao hii awezekani...tena acha kumpamba wewe makonda hao ni wezi tuu kama wezi wengine yasikutishe hayo mavazi ya ushoga hao wezi tuu ndugu yangu makonda kivipi wapewe aridh ktk mbunga zetu hapa kuna nini nyuma ya Pazia?
@modyworldmody429725 күн бұрын
Wazungu wanateta ushoga
@leylasaid964125 күн бұрын
WALA SIO MAMA WAPO TANGIA UTAWALA WA AWALI KABLA YA MAMA
@samwellenasi781725 күн бұрын
Warabu niwamasai au
@kibwetere141825 күн бұрын
Waarabu wanawapenda sana wanangorongoro
@user-us5xl4zu3r25 күн бұрын
Hivi kumbe Waraabu ni kweli wapo Ngorongoro.
@HusseinKarumna25 күн бұрын
Wapo Kariakoo pia
@zully75625 күн бұрын
Wapo bongo kote
@lulanjamd388625 күн бұрын
Nilikuwa najuwa ni utani kumbe mama kaleta waarabu ngorongoro dah😢😢
@salehesalehe296725 күн бұрын
Wapo na wataendelea kuwepo kamahutaki kufaaaaaaaaaa
@mrafm728524 күн бұрын
Waarabu oyeee hawataki ushoga Wala usenge misaada Yao Haina masharti ushoga isipokua Kuna chuki tu binafsi tu dhidi Yao lkn huo ndio ukweli mtake msitake
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg24 күн бұрын
Ngorgr ni inchi ya waarabu,
@user-ze6lx9ng6s25 күн бұрын
Hawa waarabu mbona wako wengi nchi hii, hivi sisi watanzania ni maskini?
@ayububakari994224 күн бұрын
MIE NASHANGAA HATA WAZUNGU NA WACHINA WAMEKUWA WENGI..
@hildandumbalo582724 күн бұрын
Wamesaidia kidogo sana wanachokuwa Tanganyika hao waarabu ni kikubwa sana mmh