MAKONDA ATINGA NGORONGORO kwa WAMASAI, UKAGUZI MRADI wa MAJI, ni MSAADA KUTOKA UARABUNI,.

  Рет қаралды 13,499

HABARIMPYA TV

HABARIMPYA TV

27 күн бұрын

Пікірлер: 86
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 25 күн бұрын
Hongera sana Mh Makonda piga kazi Mungu akusimamie
@kadokemarco9966
@kadokemarco9966 25 күн бұрын
Kumbe kweli Ngorongoro kuna waDubai😭😭😭😭😭
@Olengujati-uo6gx
@Olengujati-uo6gx 24 күн бұрын
Dubai ndogo ngorongoro
@user-jf1sq7lk4g
@user-jf1sq7lk4g 25 күн бұрын
Hongera sana mh. Makonda
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 21 күн бұрын
Kumbe wamasai siku hizi hawavai tena lubega na mashuka mekundu, bali kanzu nyeupe na vilemba. Hongera sana wamasai wa Ngorongoro, mmependeza sana!
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 25 күн бұрын
Mh sijui kilicho ndani ausili yawatu wa ngorongoro selikali hii Yani Hawa walabu wanataka nini kwani hio miladi yamaji selikalin umeshindwa kupeleka hayo maji mpaka mpigie makofi walabu Yani selikali ichimbiwe visima niajabu tanzaniayetu nitajili hatuwezi kuchimbiwa visima Yani Kuna kitu nyuma yapanzia Yani hapo ndo wameanza kutambulishwa bila wanangorongoro kujua ,mungu ilaze loho ya jpm mahali pazuli
@wilfredmaimu1958
@wilfredmaimu1958 25 күн бұрын
Hongera sana mkuu
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 25 күн бұрын
Kuweni makini Wana ngorongoro uchaguzi ukipita mtashughulikiwa kama ilivyopangwa shauri zenu
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 24 күн бұрын
Tatizo waarabu ila wazungu na wachina si tatizo,kazi kweli kwwli
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 23 күн бұрын
Waarabu ni wakorofi sana wamewafukuza masai wetu ngorogoro
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 25 күн бұрын
Ngoja nisiongee
@emmanuelaloyce932
@emmanuelaloyce932 24 күн бұрын
Hata kama wanafanya uwekezaji ,waache kuwaondoa wenyeji. Waarabu ni wanafiki sanaa,kuja kwao kunajambo.mama samia naomba uwaachoe wnyeji wa ngorongoro mji wao.zipo sehem nyingi hasa za serikali zilizopo wazi. Msisumbue wananchi
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 24 күн бұрын
Mnapandikiziwa chuki bila ya kujua.
@DanielNdaluboneye-wc5st
@DanielNdaluboneye-wc5st 25 күн бұрын
Ndo nimeamini Ngorongoro imeuzwa.
@nahlaaasidee1848
@nahlaaasidee1848 24 күн бұрын
Angekuwa mzungu usingesema... Ni maeneo mangapi yapo maeneo potential hpa Tz. Acha chuki.
@victorkisenha5933
@victorkisenha5933 23 күн бұрын
Duh! Waarabu wa dubai kumbe wapo ngorongoro!
@user-lu8ny2gu7t
@user-lu8ny2gu7t 23 күн бұрын
Sijuwi tumerogwa na nani nchi imeshindwa kupatia maji wanachi mpaka tusaidiwe na wawekezaji hakuna msaada usiokuwa na malengo
@BoisDonkoil-rk8lr
@BoisDonkoil-rk8lr 23 күн бұрын
Mwanzo chabure nchini ya jua sahau
@rahplenyengerahplenyenge722
@rahplenyengerahplenyenge722 23 күн бұрын
Nadhani wasiojua Ngorongoro imeuzwa na Mama mmejionea wenyewe wasrabu hao hapi ccm wanatafuta Kura maana Ngorongoro ishachukuliwa Mwarabu
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 25 күн бұрын
Haya yote wa tz tunaweza kuyafanya bila msaada wa mataifa mengine
@saidiathuman-og6bc
@saidiathuman-og6bc 24 күн бұрын
Makonda leo kunakitu ndani yako kinakuumiza hapo lakin dah? Ndioivyo tena ila kiukweli inaumiza saana
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 23 күн бұрын
Hawa wanaocheza sio kwa mapenzi yao wame....... Uwiiiiiii arabun ndani nchi
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg 24 күн бұрын
Miaka sitini mnaagaika namaji tena kwa misaada, wezenu wanaagaika natecknologia
@FunnyHikingWaterfall-wv7dc
@FunnyHikingWaterfall-wv7dc 25 күн бұрын
Nilijua umepumuzika kupika sipana kumbe Bado zinaenderea sipana
@masoudsalum
@masoudsalum 23 күн бұрын
Ngorongoro kwa wamasai au kwa waarabu wamasai wapo msomera
@BoisDonkoil-rk8lr
@BoisDonkoil-rk8lr 23 күн бұрын
Hapa akili kichwani kwa wote sio wananchi sio waarabu sio mweshimiwa Paul Makonda,kila mtu anajiuliza nijinsi gani ______????
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 23 күн бұрын
Kumbe kweli inchi imee......Leo ndio ni eamini
@philipjoseph5931
@philipjoseph5931 23 күн бұрын
Waarabu ndiyo wamefilisi tembo wetu wakati wa Biashara ya Utumwa, waliua tembo wetu wakachukua na mababu zetu wakiwabebesha meno ya tembo wakiwa wamefungwa minyororo, Je wamekuja tena kumalizia hata kidogo kilichobaki?
@melkiorykweka438
@melkiorykweka438 23 күн бұрын
Hawa waarabu wanafanya nini humo ngorongoro???? au ndio wameshauziwa kweli?
@dilludillu2747
@dilludillu2747 25 күн бұрын
Wamechukua port wamehamia Ngorongoro
@YangaNews
@YangaNews 24 күн бұрын
Sasa hao waarabu wanafanya nn huko
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 24 күн бұрын
Duh! Tumekwisha!, ngorongoro imeuzwa!
@user-pv2jh5wb1o
@user-pv2jh5wb1o 24 күн бұрын
Sasa maji ya Nini wakat watu wamehamishwa
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 23 күн бұрын
REST IN PEACE 😮😢 NGORONGORO umeuzwa kwa wageni wenyeji wanagukuzwa kwama vakimbizi katika nchi yao TUTAKUKUMBUKA JPm 😢
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 24 күн бұрын
Kwani. Mafisiyemu yanapeleka wapi kodi zetu mpk. Yalete waarabu kuchimba kisima utumwa wa pili umeingia tanganyika masai wanarukaruka tu kama swala hawajitambui
@carolthomas9243
@carolthomas9243 24 күн бұрын
Unajua watu hawajuwi huwa wanakurupuka kutoa taarifa ambazo sio sawa ngorongoro wanapoamishwa ni kreta tu sehemu ya bonde la ufa sehemu nyingine wamasai wapo na kazi inaendelea sababu ya kuwahamisha ni ongezeko na shughuli za kibinadamu kreta inasababisha huoto wa asili kupotea na kusabaisha hualibifu mkubwa wa mazingila ya hifadhi hiyo
@user-wr3jp6tg4p
@user-wr3jp6tg4p 24 күн бұрын
Shida ya watu wanaishikimazoeya lini mtabalika Na vipi mtapata maendeleo Bila kubadilika
@SAIDIMUKSIN-iy2op
@SAIDIMUKSIN-iy2op 23 күн бұрын
Masai wa kiarabu
@salama1113
@salama1113 24 күн бұрын
Siamini kama hawa wamasai
@user-gy5gu1mn4x
@user-gy5gu1mn4x 25 күн бұрын
Nchi ya kirabu 😂😂
@user-tx6dh6ii3m
@user-tx6dh6ii3m 24 күн бұрын
Hao waarabu jamani mtakuja kujuta hapo staki
@vladimirputn1809
@vladimirputn1809 25 күн бұрын
Waarabu sio wabaya Kama marekani naulaya marekani nimashetani
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 24 күн бұрын
😂😂😂 wazungu hivyo visima wasingewachimbia bure bure wangewatilia na ushoga juu... mammaee 😂😂😂😂 majamaa mashenzi sana yale 😂😂😂
@user-ym6hd7xh3g
@user-ym6hd7xh3g 23 күн бұрын
Tangu mwanzo wa dunia haijawa hivyo Waliotia maksai wazee wetu si waarabu Tangu wamekaa nchi hii walifanya nini? Afadhali wazungu walijenga shule kujenga barabara,reli hayo ya kuvaa ngata kichwani si yalitesa ndugu zetu tuu au unaongea vile huna kitu kichwani.Unafikiri tumesahau tabia zso za kikatili. Usitufanye mazuzu
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 24 күн бұрын
Waarabu wamingia tanganyika tumerudi utumwani chadema waliambiwa ngorongoro hakuna usalama makonda katia timu na waarabu
@nabukyeKanefu
@nabukyeKanefu 25 күн бұрын
Ishudogo serikali inashidwa kufafa hamunakitu hapo
@user-ce3eo4lu1k
@user-ce3eo4lu1k 24 күн бұрын
Ina maana viongozi waserikali hawapo ngorongoro isipokua wapo waarab
@MonayLai
@MonayLai 25 күн бұрын
Hiyo ni kuwafumba macho tuu wanangorongoro hizo hela ni zenu wenyewe wanawapoza tuu muone wamewasaidia
@dullayomwinyi3359
@dullayomwinyi3359 25 күн бұрын
Hao waarabu wanafanya nn nchini kwetu wamasai wameteseka ajili yao watoke nchini kwetu
@froma3732
@froma3732 24 күн бұрын
Wazungu pia wapo nchi nzima mpaka kwenye Hoteli ya Ramada hebu fatilia tuwandoshe hao wa Ramada bila Shaka utanielewa
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 24 күн бұрын
​@@froma3732tena wanawaletea na ushoga lakini hawasemi wamekaa kimya
@ayububakari9942
@ayububakari9942 24 күн бұрын
​@@froma3732 HIYO RAMADA HOTEL YA WAZUNGU SI ILE HOTEL YA MASHOGA ?!!
@froma3732
@froma3732 22 күн бұрын
@@ayububakari9942 Ndio hiyo hiyo lkn wao huwa hawaoni Wazungu Wakiharibu nchii ni kasumba wameekewa na Mkaburu kuwa Waarabu wabaya
@muhsinikoki4060
@muhsinikoki4060 25 күн бұрын
hakiamungu masai mnaruka nini badala yakulia jaman mmepigwa
@elioimer8423
@elioimer8423 25 күн бұрын
Ngorongoro ya wapi hiyo. Mbona sielewi kitu. Tumeambiwa hakuna miradi yeyote inayoendelezwa na serikali. Sio shule , sio maji , na miradi yote mingine ya maendeleo imesitishwa. Sasa hii ni Ngorongoro ya wapi?
@Veni584
@Veni584 25 күн бұрын
Ya uarabuni
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo 25 күн бұрын
Mhhhh!!!!
@VitalisMmassi-oh4jb
@VitalisMmassi-oh4jb 24 күн бұрын
Ngorongoro pamekua uwarabuni
@leylasaid9641
@leylasaid9641 25 күн бұрын
WAZUNGU WAPO WANGAPI NA WANAMILIKI VINGAPI MBONA HAMUONI MNAWAONA WAARABU?WAZUNGU WAJANJA WALIPANDIKIZIA CHUKI KWA WAARABU NDO KINACHOENDELEA.
@abednego3876
@abednego3876 23 күн бұрын
Eeh utumwa mtupu
@simongwandu7392
@simongwandu7392 25 күн бұрын
Waarabu ni hatari
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 25 күн бұрын
Wazungu Ni wazuri sio?
@modyworldmody4297
@modyworldmody4297 25 күн бұрын
Wazungu Wana leta ushoga
@simongwandu7392
@simongwandu7392 25 күн бұрын
@@modyworldmody4297 wote wanahusika scandal ya Loliondo itafute Wazungu hawakututoboa miguu
@joscamwoshezi2986
@joscamwoshezi2986 25 күн бұрын
Waarabu kwani wanatofauti gani na wazungu au waafrika wanaopewa uwezekezaji karika kutuletea maendeleo
@halimamasai2234
@halimamasai2234 25 күн бұрын
Wazungu wanaleta ushoga
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 24 күн бұрын
Tena wazungu hivyo visima wasingetoa bure bure... wangeleta na ushoga juu
@HashimYahaya-hd3zm
@HashimYahaya-hd3zm 25 күн бұрын
Wamarekani mbona amuwasemi
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg 24 күн бұрын
Wanawalagai hao
@MonayLai
@MonayLai 25 күн бұрын
hawa wamechukua mali zetu nyingi sana wanajichotea tuu
@ayubumoha6313
@ayubumoha6313 25 күн бұрын
Jamaa mpambanaji alipoa kidogo
@user-vv4wo5fu9t
@user-vv4wo5fu9t 25 күн бұрын
Ndio makonda lakini hao warabu sio kabisa hawawezi kutuletea tena ukoloni uku wakitawala nchi kama yao hiyo hawezekani wananchi tunatabika warabu wanatutawala na kuchukuwa aridh zetu uku watanzania tunatabika wanatuibia na kupeleka kwao hii awezekani...tena acha kumpamba wewe makonda hao ni wezi tuu kama wezi wengine yasikutishe hayo mavazi ya ushoga hao wezi tuu ndugu yangu makonda kivipi wapewe aridh ktk mbunga zetu hapa kuna nini nyuma ya Pazia?
@modyworldmody4297
@modyworldmody4297 25 күн бұрын
Wazungu wanateta ushoga
@leylasaid9641
@leylasaid9641 25 күн бұрын
WALA SIO MAMA WAPO TANGIA UTAWALA WA AWALI KABLA YA MAMA
@samwellenasi7817
@samwellenasi7817 25 күн бұрын
Warabu niwamasai au
@kibwetere1418
@kibwetere1418 25 күн бұрын
Waarabu wanawapenda sana wanangorongoro
@user-us5xl4zu3r
@user-us5xl4zu3r 25 күн бұрын
Hivi kumbe Waraabu ni kweli wapo Ngorongoro.
@HusseinKarumna
@HusseinKarumna 25 күн бұрын
Wapo Kariakoo pia
@zully756
@zully756 25 күн бұрын
Wapo bongo kote
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 25 күн бұрын
Nilikuwa najuwa ni utani kumbe mama kaleta waarabu ngorongoro dah😢😢
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 25 күн бұрын
Wapo na wataendelea kuwepo kamahutaki kufaaaaaaaaaa
@mrafm7285
@mrafm7285 24 күн бұрын
Waarabu oyeee hawataki ushoga Wala usenge misaada Yao Haina masharti ushoga isipokua Kuna chuki tu binafsi tu dhidi Yao lkn huo ndio ukweli mtake msitake
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg 24 күн бұрын
Ngorgr ni inchi ya waarabu,
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 25 күн бұрын
Hawa waarabu mbona wako wengi nchi hii, hivi sisi watanzania ni maskini?
@ayububakari9942
@ayububakari9942 24 күн бұрын
MIE NASHANGAA HATA WAZUNGU NA WACHINA WAMEKUWA WENGI..
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 24 күн бұрын
Wamesaidia kidogo sana wanachokuwa Tanganyika hao waarabu ni kikubwa sana mmh
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 9 МЛН
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA
11:59
MSIMAMO WA MALAIGWANANI KUHUSU NGORONGORO;Watoa tamko zito
6:50
WATETEZI TV
Рет қаралды 56 М.
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22