Hongereni kwa kazi nzur sana nishauri jambo Fanyeni mpango kuwa na mobile App kwaajili ya wakata tiketi ili kurahisisha utaratibu wa kupata tiketi Asante.
@mussamapesa886315 күн бұрын
Hii umekaa vzr sisi tunahitaji huduma sio nani anaindesha wapewe tu safi sana
@mwalimumstaafu852915 күн бұрын
Walipewa viwanda vya sukari sasa mnalia. Yetu macho.
@salimnjowoka435715 күн бұрын
@@mwalimumstaafu8529huyu. Atakua mkenya,mwalimu nenda ka andamane,hukutz hupa wezii
@IkoUwasi-it6qy12 күн бұрын
Basi wakupe wewe @@mwalimumstaafu8529
@abdallahshariff65555 күн бұрын
Nakubaliana na wewe,Serekali yake Kodi,sio biashara,wanao ajiruwa na Serekali watakuwa walaji,Kwa mtu binafsi huwezu kuchezea kazi
@tanzaniacarschannel697515 күн бұрын
Very clear explanations
@BarakerZeonlist15 күн бұрын
hii nimeipenda ntanunua kichwa cha treni, very good aproach
@faridaltamimi745415 күн бұрын
Labda cha ubo
@noorbazaar906315 күн бұрын
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
@PeninsulaHouses13 күн бұрын
Unavichwa viwili tu na vinakuendeshaa vibay Aya na ikiwa na icho kengine sasa😂
@BarakerZeonlist13 күн бұрын
@@PeninsulaHouses kichwa mchongoko hahaha
@BlackPanther-xx8dn14 күн бұрын
jamaa anacho ongea Ilikuwa ni vision ya mzee mwinyi ila alipo ingia mkapa Alivuruga sana hii logistic Ya treni akaruhusu malori Ila kama wanairudisha Tena Ni wazo zuri.
@mwalimumstaafu85299 күн бұрын
@@BlackPanther-xx8dn wapeni mtaona kama shirika la reli litaendelea kuwepo. Suala hili zuri lakini zitungwe sheria za kulinda masilahi ya taifa. Kumbukeni sisi kama wananchi ni wabia, tumewekeza kodi zetu. Ni lazima wabunge wakae na kutafakari kwa kina kabla ya maamuzi hayo. Mungu ibariki Tanganyika.
@magorymara55156 күн бұрын
@@mwalimumstaafu8529watanganyika walirudi ujeruman sijui mwenzetu ni mmoja wao
@DM_1515 күн бұрын
Safi sana wapewe binafsi waendeshe shughuli zao wenyewe sisi tupige mishe town
@BarakerZeonlist15 күн бұрын
big up utaifa ni kitu muhimu kliko uchawa
@SamwelMahene9 күн бұрын
Mzee upo clear sana. Safi
@utopolo54315 күн бұрын
Kumbe unaweza panda EMU train kwa 50k tsh kwenda Dodoma. Hio ni reasonable... Kuna 31k kuna 50k kuna 70k kuna laki sasa sijui watu wanalalamika nini.
@kazikazini104215 күн бұрын
Unaona ni hela za madafu eti
@nashirkamugisha942515 күн бұрын
Basi tunapanda shabiby 50000
@elinamilyatuu733715 күн бұрын
Ilmradi tu waongee
@salimnjowoka435715 күн бұрын
Acha tuone,kuongea si utendaji,hiindoTz bwana
@jamesmzaki604115 күн бұрын
Duniani kote usafiri wa treni ni bei nafuu na lengo ni kuwasaidia wananchi kwa kuwa imejengwa kwa kodi za wananchi hivyo naul inapaswa kuwa chini,,,Toa kamasi kichwani humo uweke akili.
@aloycesamba99815 күн бұрын
Wazo zuri sana hongereni
@ilynpayne749115 күн бұрын
Mo dewji msimpe ni mshenzi sana
@carmp315 күн бұрын
Hahaha kafanya nn
@stephenndagalla818315 күн бұрын
Ushenzi wa Mo Dewji ni upii?? Eleza acha chuki Binafsi. Wakupe wewe kwa Weledi na uwezo upi ulionao??
@samwelsimon739215 күн бұрын
wampe mama yako
@salimmalaka25611 күн бұрын
NANI ATAKUSIKILIZA FALA WEWE
@elinamilyatuu733715 күн бұрын
Hongera kwa kazi na maelezo kuntu
@Assu89Ma2ly-xt4np15 күн бұрын
Mbona kila kitu kinaanza ilala au kinondon hii mi naona ingeanzia steshen hadi mbagala hadi kisemvule maana ndo sehemu inaongoza kwa watu wengi na changamoto ya usafiri kuliko sehemu zote kati ya dar na pwani
@labanhezekiel562712 күн бұрын
Shidah ya huko hamkawii kuiba nyaya za kpoa, screpa, kuna tren hapo😂 ndo maana mjifunze Kwanza Kwa wenzenu
@Assu89Ma2ly-xt4np8 күн бұрын
Mradi kama huo unakuwa na ulinzi na elimu hutolewa,mkurugenzi hapo kazungumza fiber wire na cable zinakatwa na kuibiwa wakat sgr kwa sasa ipo huko kwa wastaarabu na haijafika bado kwa wenye tabia hizo? Wezi wapo dunian kote kaka!
@BIGBOSS-hl3bu15 күн бұрын
Sawa kabisa na nijambo ZURI
@BarakerZeonlist15 күн бұрын
usikoma kwenye classifided document ya marekani... mojaya changamoto ya tanzania ni issue ya usafirishaji kwenye nchi za wenzetu wanaotuzunguka
@raymondjude608815 күн бұрын
True
@nathanielmboje14798 күн бұрын
Tunaweza kuwekeza nchi jirani kuziunga na TZ kama Rwanda, Butundi , Uganda, DRC, Zambia, Malawi, Zim na Angols
@nathanielmboje14798 күн бұрын
I mean Burundi na Angola pia
@fredmbossa-kc3qn15 күн бұрын
mngetengeneza pia ya umeme kutoka dar kwenda mbeya ya abiria shirika hilohilo la reli ya kati alafu Tazara ibaki iwe ya kubebea mizigo tu,,
@reveliusmuchruza79527 күн бұрын
Yani mambo yako sawa kaka hata sgr ipo ya umeme ya mizigo inatembea kama mwewe mizigo inafika on time sio siku tatu kama ilivyo ya zamani
@polloz7710 күн бұрын
Muhimu TRC kuwa na askari police wake wenyewe ambao wamehajiriwa na TRC ni police kama police wetu na watakuwa na hadhi kama police wa kawaida kuweza kukamata mtu yeyote hatskaye fanya kosa na kuwakilisha mahakamani Pia kuwa na plain police ushauti naona kutatoa mZigo mkubwa wa mapolice wetu ambao wanafanya kazi kubwa kulinda wananchi na mali zao
@user-yj7uf3zq7b15 күн бұрын
Kwa nini isifike Bagamoyo wajitahidi ifike huko saadani
@omarseif192014 күн бұрын
Nimekufahamu kiongozi
@safariweekends15 күн бұрын
Dar - Sadaani - Dar - Mikumi - Ruaha - Selous - Dar
@user-ui1qs9yl1n9 күн бұрын
hii ni vizuri sana private hakuna wizi
@ahz69076 күн бұрын
Usijidanganye😂
@DadysBoy.10 күн бұрын
nguvu ingewekwa kivukoni to kigamboni ingependeza zaid mana watu wanateseka sana pale feri.
@ndimimaskati364113 күн бұрын
Kwa nini hamuwezi kufika Tanga na Kilimanjaro kwa train?
@abuubilal264611 күн бұрын
Wachaga mutaihujumu kwa ajili ya mabasi yenu😂
@eugenemtaza20113 күн бұрын
Pitisheni izo sheria na mziweke sehemu husika ili mtu ajue kwamba aki fanya kinyume kwamba ana enda jela .
@barikieliselemani562410 күн бұрын
SGR haijaja ku replace model nyingine za transport.Hichi ni kichwa hakika
@MohamedRashid-py7ro15 күн бұрын
Je tiketi zitakuwa za campuni yao au ya TCR kama huku Ulaya campuni binafsi tiketi zinakuwa za Serikali kama TCR hukuti tiketi za campuni binafsi sehemu ya kukata ni moja
@NM-yl2uw15 күн бұрын
sio ulaya yote, italy kuna tren ya binafsi inaitwa Italo na wana ticket zao na operation zao haziingiliani na tren za serikali
@tanzcanmediatv447313 күн бұрын
Nchi sio zote toronto marekani sio kama usemavyp nchi ipi hap sasa iran au wapi
@super81515 күн бұрын
Kadogosa kajitahidi sana hajaleta tamaa mpaka mradi umekamilika
@reveliusmuchruza79527 күн бұрын
Ogopa nkoi kukamata fulsa lazima muimbe
@hajjiomary238314 күн бұрын
Imekaa vizuri sana
@deogratiusprosper479615 күн бұрын
Hyo ya majaribio yenyewe bdo hata hamjamaliza na kujua changamoto zake mwakimbilia tegeta-mwenge
@huyu199313 күн бұрын
Mbona hamna jema kila kitu kinachofanyika mnakosoa? Au upinzani unapungua nguvu?
@tanzcanmediatv447313 күн бұрын
Akili minyoo inatokeana mnyoonumejinyonga viipi kwenye ibongo unacomment
@deokibona283514 күн бұрын
Uswahili umetuzidi sana sie. Watu wanahujumu miundombinu ya reli, wewe unasema tutaendelea kumassage kidogo!!! Chukulieni hao wahalifu hatua kali iwe fundisho kwa wengine.
@ikulunimahalipatakatifu764215 күн бұрын
Idea- Innovation - Action is a way to success .. GO TANZANIA GO.
@samuelemmanuel340014 күн бұрын
The guy is smart and muandishi anahoji dumb Questions
@hamudzakuwani414914 күн бұрын
safii I bei powaa kabisaa
@fredymapunda176815 күн бұрын
Mkurudenzi tena
@niolaussdavid7 күн бұрын
@masanjakadogosa kuhusu sgr mamaeja wa vituo walivyokabidhiwa ndivyo vinatakiwa viwe hvyo muda wote
@hashimpalekar15656 күн бұрын
Very constructive ideas
@AziziMsuya12 күн бұрын
Hii imekaa poa sana. Wenye uwezo wapewe tu
@isacklaizer677615 күн бұрын
Wapi Askofu Gwajima? Hajajitokeza?
@idrissamohamed110012 күн бұрын
Ifike hadi Bagamoyo
@tanzcanmediatv447313 күн бұрын
Hata toronto the same railways nyingi zina open access
@user-ui1qs9yl1n9 күн бұрын
kadogoso mkurugenzi ameongea kiswahili na kama wewe mswahili kama mimi nafikili mmemwelewa
@komuhsengo979614 күн бұрын
Happy nimekuelewa
@suleimanbalemba3348Күн бұрын
Hiyo tegeta posta mpaka airport itapita wapi jaman mwendokasi umemaliza Barabara au ndo tutabomoa nyumba na magorofa ya mjini
@usamaahmed26244 күн бұрын
Umeme bado uko monopolized aichieni private sector pia kama Kuna wa tanzania wawekeze.. Na pia tuachane na fikra za kutumia mafuta tena.. Dunia imeshahama tuwe na fikra za kutumia green energy ⚡ pls pls mheshimiwa pls
@emmanuelakutulaga975615 күн бұрын
Kati ya hao uliowataja MATAJIRI ni wawili TU; MO na Bharesa,...HUYU GSM Bado ni mjasiriamali TU.
@salimnjowoka435715 күн бұрын
😂😂😂 yanga ume wa acha hapa. ungeza. sauti
@aminata370215 күн бұрын
Lakini ndo humpati sasa
@saidbakar-qo6ri13 күн бұрын
Mo Mali za nyumbani
@paulokateme761511 күн бұрын
Milembe bado nafasi zipo.
@mwalimumstaafu852911 күн бұрын
Hahaha. Mo ameshindwa kuendesha viwanda vya chai na wakulima wanalia na soko. Mwekezaji makini ni Bakhresa.
@hakarim7863 күн бұрын
When is TRC planning goods movement?
@user-oz6oo3qw9u9 күн бұрын
Hifadhi ya reli ya kutokea Pugu Hadi Tanganyika Packers kiwandani Kawe ilikuwa kwa ajili ya mifugo ulikuwa mpa ngo wa serikali ya Mwalimu JEE mna mpango Gani mbadala kwa ajili ya maendeleo ya usafirishaji abiria katika Jiji?
@mussamussa81813 күн бұрын
Mngewaambia sasa kua mnaweka fensi mliwaoji af amkuwaweka waz
@JimmyWilliam-mf4of15 күн бұрын
Ushauri wangu hii tren nimepanda kuna seheem wasimamiz wa hii tren wamekosea wameweka pis mbovu kwel piss kari zote ziko kwenye ndege tunaomba tuletewe piss kar kwenye tren hii ya mwendo kasi😮😮
@davidanselmo404114 күн бұрын
Acha umalaya wewe dada zako pisi kali😅
@philemonmagesa554813 күн бұрын
Acha akili za ngono ww unaenda kupanda upate usafiri wa haraka au unaenda kuangalia wanawake??
@tanzcanmediatv447313 күн бұрын
Unawaza ngono tu
@johanesmvula439012 күн бұрын
Ukimwi unakunyemelea
@salimmalaka25611 күн бұрын
UNAWAZA KUMA TU FALA WEWE
@erickpeter719013 күн бұрын
Maan halis ya mkurugez mkuu.umeeleza vizur san
@user-pd5hl9di2q15 күн бұрын
Mother safi Sana, utadhani tuko ulaya
@salimnjowoka435715 күн бұрын
maongezi si UTENDANDAJI nipo keko nawa angalia,
@mimiraia253115 күн бұрын
Kazi za Magufuli, siyo ROYAL TOUR HII
@salimmalaka25611 күн бұрын
@@mimiraia2531BASI NGOJA AFUFUKE AJE AJENGE 😂😂😂
@mattyhappy15818 күн бұрын
Tumeshindwa kuiendesha
@abrahamagapith4664Күн бұрын
Magufuli alilionglelea ili nakumbuka ilikuwa ni vikindu mjini Bagamoyo mjini na Kibaha mjini
@innocentrichard294515 күн бұрын
For the first time ameongea kitu nkamwelewa uyuu mzee
@ALiBAba-zz2td15 күн бұрын
wazo zuri.
@kelvinvanremmy26315 күн бұрын
Tajiri nipo 😂
@ndimimaskati364113 күн бұрын
Sheria zote zinatakiwa zibadilishwe zimepitwa na wakati.
@chollozanton8 күн бұрын
Safi sana
@masoudalriyamy629811 күн бұрын
Msuwahili kweli akiliyake inamtosha mwenyewe wewe pesa ya kipanda cha muhugo huna halafu unasema fulani mjasiria mali
@BarakerZeonlist15 күн бұрын
Nafikiri kwenye swala la elimu liongezwe kuhusi transpass... even me nlikuwa sijui na ningekamatwa napita ningehisi naonewa
@sylvestercameo626315 күн бұрын
"transpass"? Ndiyo kufanyaje? Tupe ufafanuzi, ni kosa gani kwa sheria ipi? Au ni "trespassing"?
@BarakerZeonlist14 күн бұрын
@@sylvestercameo6263 ni kupita juu ya reli. hiyo treni inakimbia speed sana inaweza sababisha ajali ndio maana wanakataza
@letgodlead793015 күн бұрын
❤❤❤
@godfreymwikola823215 күн бұрын
Mwenge tegeta mnajenga mwendo kasi alafu hiyo ya umeme inakuwaje
@abuubilal264611 күн бұрын
Ili uchague mwenyewe unataka usafiri gani
@UhaiLegeza12 күн бұрын
Text interview weka matangazo ya TRC nyuma yako
@BarakerZeonlist15 күн бұрын
upo smart sana nimekupenda bure
@worldtechlab15 күн бұрын
Mchongoko utaanza pia?
@osmundmtavangu15 күн бұрын
Sina shaka na Bahresa na GSM ila Mo msimuamini kamwe huyo Mo ngonjera nyingi sana.
@richardbegga667915 күн бұрын
MO ndo Mwenye pesa Nyingi kuwashinda Wote Sasa na Biashara unangalia faida Sio Sifa
@muzneali474715 күн бұрын
JAMANI IFIKE BUNJU
@user-gc1ez1yv4k15 күн бұрын
Yanaongea yanakunywa maji,kumbe hamna kitu.Train yenyewe inaonekana kupitwa na wakati.Siti ya watu watatu nani.apande(Ushamba) Watching wamevqmia kila kona wameleta mabasi ya kisasa.
@MohammedAwadh-gq9si15 күн бұрын
Kweli unapata shidaa! Uko wapi unauguahivyo ,?moyo unawaka ! Nyoyo za kishetani ,inaonekana hata mama yako unamwonea wivu kuolewa na kazee
@yustomwaisomania258715 күн бұрын
Mbwa wewe kwenu Kenya mnayo kama hii mjinga wewe
@abuubilal264611 күн бұрын
We jamaa una roho mbaya sana siajabu wewe ni mchawi au ukizeeka utakuwa mchawi😮
@Chrisblaze-beats15 күн бұрын
Pelekeni mikoani kama kaskazin na kwingine. Tanzania sio dar tu
@philemonmagesa554813 күн бұрын
Dar ndo inaongoza kwa mapato ndo maana wanaijali zaidi
@abuubilal264611 күн бұрын
Tulieni kwanza nyie watu wa shamba mambo yanaanzia mjini huku
@shehafa15 күн бұрын
Huyu huyu wa bilion wa 20 za simba 😅😅😅😅
@Yayouselim15 күн бұрын
Mwendo kasi zimekuwa mbovu maintenance wameshindwa na hizi cjui itakuweje
@exprodigitaltechtv557115 күн бұрын
Mnaanzaga hiv hiv lakin baadae utasikia kapewa mtu toka nje
@huyu199313 күн бұрын
Kwani vibaya kama wa ndani hawana uwezo jee tufanyeje ? Kama wapo watu wanaweza kuwekeza kwanini tusiwape acheni ubinafsi nyinyi watu
@ScopionScopion-zj9cd15 күн бұрын
lakini magufuli alipoanza SGR alitunwa sana alionekana mawazo yake mabovu2 ila sasa ivi Ndio watu wanajua kwamba tulipga teke fuko rapesa
@selemanisalum768515 күн бұрын
Hakuna kumtaja maghufuri hata angekosa yeye angetokea kiongozi mungine angejega tu mana sasa kila kitu yeye wengine hawana akili mbona kaviacha havijajengwa mama kamalizia vyote mboni yupo kimiya hacheni hizo
@NDEWARA15 күн бұрын
Magufuli alikuta mipango yote ya kujenga SGR imekamilika na hata wakandarasi wa kujenga walishapatikana. SGR halikuwa wazo la JPM peke yake
@uwembatvonline15 күн бұрын
SGR Wazo lilianza na Kikwete, Magufuli kaanza, mama kamalizia so hua ni mchakato wa muda
@NDEWARA15 күн бұрын
@@uwembatvonline umenena ukweli mtupu 👏👏
@gabapentin807015 күн бұрын
@@selemanisalum7685acha upumbavu miradi mingi maraisi hawajafanya jamaa kaonyesha uthubutu wa mambo mengi sana bwawa la nyerere wameliimba tangu nyerere akiwa hai kaja kujenga yeye alafu unasema asitajwe mbon kama una lana sele
@NOORMOHAMED-sg9lo15 күн бұрын
Hao matajiri wamepata wapi hela? Nyinyi ni wezi mnaiba mali za jasho la mwalimu Nyerere na wannanchi waliojitahidi kuleta uhuru na ukombozi. Mtaondoka wote na matajiri wenu. Vibaraka mnaojitia kuongelea siasa za nchi na hamna lolote. Wananchi sasa tuamke na tukomboe maisha yetu mema bila matajiri kututumilia kupata kipato kwa faida zao.
@salimmalaka25611 күн бұрын
USITULETEE HABARI ZA MAITI HAPA UTAKUFA KWA ROHO CHAFU MWANGA MKUBWA WEWE
@margarethpolepole743815 күн бұрын
Hatutaki Wahindi matapeli waliua Treni yetu ya Dar Kigoma
@rayisadesigns264615 күн бұрын
Dah hizi chuki za propaganda mpaka lini jamani? Ile ya Tanga na ile ya kusini aliyeua nani?! Tuwe wa kweli!!
@tanzcanmediatv447313 күн бұрын
Hawa ni watanzania wahindi unamaanisha nini
@salimmalaka25611 күн бұрын
MAJITU YA KIGOMA MNA ROHO CHAFU SANA NYIE
@nemesjosephat561214 күн бұрын
Yale yaleeee
@timothmatiku611515 күн бұрын
Mbona sioni mwekezaji mwaafrica au uwekezaji ni rangi? Aliyeweka hizo picha ana inferiority complex, japo hajijui. Sera zetu lazima ziseme kwa kutumia bajeti ya nchi tutawawezesha WAAFRIKA au watu weusi kuwa wawekezaji. Na sio kuishia kusema mwekezaji ni mtu mwenye mtaji. Wakimkosa Tanzania watamtafuta Europe.
@Sheba465115 күн бұрын
Kwani baharesa yeye si mzawa, sema hujaona mkristo tu, kwani nyie si wafanya biashara, subirini nafasi za ajira serikalini mpeane wenyewe kwa wenyewe. Waislamu wacheni wajitume kwenye hizo sekta binafsi watapata neema na baraka huko huko mnakolazimisha wawepo. Tena mkiwaona wanaingia kwenye uwekezaji mseme mbona hakuna mtu mweusi.
@rebbywealth986915 күн бұрын
Huna akili....
@rebbywealth986915 күн бұрын
@@Sheba4651we nawe huna akili..... kichwa yako ndo imeona udini, yeye ameona rangi usilazimishe udini. Hao waisilamu weusi mbona hamna sasa
@sylvestercameo626315 күн бұрын
@@Sheba4651Majibu yako ndiyo yanadhihirisha "inferiority complex" ambayo mwenzetu kaitolea maoni. Haya mawazo ya udini ni ya kijinga, ni ushamba na upumbvu"! Hivi wanaofanya kazi maofisini wanaajiriwa kwa sifa ya Imani yao ya dini au sifa za kitaaluma na ujuzi wa kazi husika? Kwa hiyo wanaobarikiwa katika kazi zao ni wafanyabiashara waislamu tu tena wenye asili ya kiasia? Mawazo ya kipumbavu sana!
@salumalriyamy15 күн бұрын
@@rebbywealth9869Kuna aliyokatazwa?. Sheria imetengenezwa ili kuruhusu, wewe ulijaribu ukanyimwa?, au sio mweusi?
@altentic861615 күн бұрын
Mbona umewaweka Waasia kwenye cover la video hii na sio watanzania?
@elinamilyatuu733715 күн бұрын
Omba bid kama unauwezo
@altentic861615 күн бұрын
@@elinamilyatuu7337 ... unachozungumzia wewe mjinga, Tanzania ni nchi barani Afrika na idadi ya watu wake ni wengi weusi
@salimmalaka25611 күн бұрын
ULITAKA IWEKWE PICHA YAKO MUUZA MKAA WEWE??? 😂😂😂😂 ACHA UBAGUZI WOTE NI WATANZANIA
@mwalimumstaafu852915 күн бұрын
Baadhi ya wawekezaji sio wazalendo ni corrupt wanaenda kuliua shirika. Kama watakuwa treni zao hii inanipa picha wanaenda kuchukua sehemu kubwa ya mizigo na treni faida kubwa iko kwenye mizigo Management ya trc kuweni makini sana katika kusamamia kwani wananchi wamewekeza pesa nyingi wanataka matokeo .
@sylvestercameo626315 күн бұрын
Angalia kwa jicho la mbali zaidi! Hawa Hawa viongozi wetu ambao wanachota mabillion serikalini ndiyo haohao wataingia ubia na matajiri waliyotajwa kuendesha biashara ya usafirishaji kupitia SGR, halafu sisi wananchi tuambulie kubebeshwa mzigo wa kulipa madeni ya ujenzi wa mradi huu. Kama serikali imekopa kujenga reli inashindwa nini kuliwezesha TRC kuendesha mradi ukafanya kazi "to the maximum capacity"? Mfano, Bakhressa ndiye msafirishaji mkubwa wa mizigo na ndiye angekuwa mteja mkubwa wa TRC Sasa unapompa njia na kumshundanisha na TRC, TRC tayâri kafubgwa miguu!
@eddyrich.331215 күн бұрын
Ninahofia pia hao matajiri wataanza kwenda kuingia ubia na waleta mizigo huku kwetu ili ikifika iende moja kwa moja kwao kwa hiyo TRC watakosa na watabaki kuangalia tu mizigo ikija na kupitiliza kwa hao wasafirishaji binafsi
@sylvestercameo626315 күн бұрын
@@eddyrich.3312 Huo ni mnyororo mrefu ukifunganishwa na DP WORLD bandarini!
@Kabwela77615 күн бұрын
Kuna tatizo kubwa sana kufikiria , kukosa uzalendo Na corrupt minds yaani akili zilizokuwa zimejaa rushwa, kwa Nini muwape njia za reli au wahindi Na magachori na muanze kugombea wateja mwisho wa siku hao wahindi waarabu Na magabachori watachukua wateja wote wa mizigo Na TRC ishindwe kujiendesha kwa kukosa wateja wa mizigo tena kwa mambo ya ovyo ovyo ya Tanzania hata wafanyakazi wasio wazalendo wa TRC wanaweza kuwa wanalipwa pesa Na hao magabacholi na kuwapeleka kwenye treni za magabacholi! Huu ni upuuzi Na upumbavu kabisa kufanya huu uamuzi hivi huko serikalini wanaofanya maamuzi ni vichwa maji au wana masilahi yao sidhani kama Rais yeyote makini angekubali huu upumbavu mrefu !
@pauloillakwahhi180213 күн бұрын
Yaani mo bil 20 zimemshinda treni ataweza
@salimmalaka25611 күн бұрын
BILIONI 20 ZA BABAKO AU
@paulokateme761512 күн бұрын
Huyo Mohd kashindwa kuendesha viwanda vya chai na kavifunga huoni aibu kumtaja? Na unaongea kitaalamu hapo siasa haijaja utatoboa na hilo ?
@salimmalaka25611 күн бұрын
USITULETEE MAMBO YA MAJANI YA CHAI HAPA WACHA UJINGA
@Kabwela77615 күн бұрын
Kwa hiyo ni mantiki gani kuwaachia hao wahindi na magabacholi kuleta treni zao za mizigo hamuani mtaanza kugombea wateja Na nyie mtakosa wateja, Tanzania 🇹🇿 inakufa kwa watu serikalini kukosa uzalendo na wako corrupt !
@salimmalaka25611 күн бұрын
WEKEZA NA WEWE KAMA UNA HELA HUJAKATAZWA.
@Kabwela77611 күн бұрын
@@salimmalaka256 uzalendo kwanza sio nchi hii ya wahindi Na magabacholi ingekuwa enzi za mzalendo Magufuli asingekubali usenge huu mna rais Samia mpumbavu Na sio mzalendo ndio maana kuna mipango kama hii ya kisenge
@sule179429 күн бұрын
imagine angekuwepo magufuli train hizi sasahivi zingekuwa kama daladala tanzania , umeme kama wote
@stanleymadata876715 күн бұрын
mtupatie pia mabeewa yalio matupu kakusimama na bei ziwe chini ya 6000 watanzania wanatumia sana na pia isisimame mda wote hiitembee umeme upo