Рет қаралды 553
ARUSHA: Naibu Waziri wa Afya Dk Godwin Mollel amesema wakuu wa mikoa wana mambo mengi ya kujifunza kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda kutokana na namna ambavyo amekuwa akifanikiwa kwenye programu mbalimbali za kuhudumia wananchi na kutekeleza maelezo ya serikali kuu kikamilifu.
Imeandaliwa na Samwel Mmbaga
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09