MAKONDA "Natoa Amri OCD Kamata Huyu Mwenyekiti ni Mwizi" SINA MUDA WA KUCHEKA na WALA RUSHWA,.🙌🙌

  Рет қаралды 73,897

HABARIMPYA TV

HABARIMPYA TV

Ай бұрын

Пікірлер: 68
@evidencekangimba1538
@evidencekangimba1538 Ай бұрын
Hongera sana mkuu wa mkoa! Tanzania 🇹🇿 kuna mkuu wa mkoa mmoja tu Bw. Makonda na ndiye Rais wa nchi ya Arusha!
@asedimaketa8694
@asedimaketa8694 Ай бұрын
Aseee huyu Makonda namuona mbali sana
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 Ай бұрын
Mushapata Raisi wenu kwenye nchi ya Arusha hongereni sana😂😂😂😂
@user-xn1ly2yx7j
@user-xn1ly2yx7j Ай бұрын
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
@user-xn1ly2yx7j
@user-xn1ly2yx7j Ай бұрын
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
@user-xn1ly2yx7j
@user-xn1ly2yx7j Ай бұрын
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
@Masta313
@Masta313 Ай бұрын
Safari hii mtayanywa haswaa ...hongera mkuu wa mkoa
@johnmeshack4431
@johnmeshack4431 Ай бұрын
Makonda mungu akubariki sana zaidi ya sana unafanya kazi poa ❤❤❤❤
@MezdDimoso
@MezdDimoso Ай бұрын
Safi sana mkuu chapa kazi nasisi tunakuombea kwa mungu akupatie ulinzi wake🎉
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im Ай бұрын
HONGERA BABA MAKONDA KWA KAZI NZURI UNAYOIFANYA. UMEWAPA SAUTI WATU WASIOKUWA NA SAUTI.
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im Ай бұрын
Tanzania bila ya watu Kama Makonda ni dhuruma tupu. Watu hawana haya kudhurumu wengine bila AIBU
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw Ай бұрын
Hongera sana makonda
@juliussamwel6606
@juliussamwel6606 Ай бұрын
Big up makonda Mungu aendelee kukuinua
@sarahdeograthias9097
@sarahdeograthias9097 Ай бұрын
Viva Makonda vivaaaaa
@shamtenyambega2944
@shamtenyambega2944 Ай бұрын
MHESHIMIWA mkuu wa mkoa huko pembeni kuna Madudu mengi sana wananchi tunateseka sana
@NeemaMushi-wj1zn
@NeemaMushi-wj1zn Ай бұрын
Safi Sana tumechoka na Wala rushwa wa nchi
@adamshilinde2529
@adamshilinde2529 Ай бұрын
Faida na hasara za utendaji wa connection. Watu wenye uwezo wanaachwa wasio na uwezo wanaingia kwenye mfumo wa serikali matokeo yake wanafanya kazi bila woga
@user-bl3ee2vx4d
@user-bl3ee2vx4d Ай бұрын
Mungu mwemw wakati wote
@user-yl2br2ts3i
@user-yl2br2ts3i Ай бұрын
makonda nmekukubali laaana.....ukikaa miaka10 arusha tutakua km ulayaaaa
@SadaKigwangala
@SadaKigwangala 12 күн бұрын
Hahaaaaaa hongeren Wana arusha migogoro itaisha
@paulmaganga9700
@paulmaganga9700 Ай бұрын
Bonge Moja la KIONGOZI
@OnesmoEmmanuel-xr2rf
@OnesmoEmmanuel-xr2rf Ай бұрын
Nabora walikupeleka.arusha kulikua na.matukio sana.arusha
@njaujustin56
@njaujustin56 Ай бұрын
Mh Makonda hili ni tatizo baada ya kusikiliza changamoto zote kaa na watendaj na watumishi katika ngazi zote piga brush kwa maana kufuata muhtasar wa utendaji kazi kuanzia upokeaji wa fedha za miradi and then fanya ukaguzi na hii ofanyike katika halmashaul zote ukipendekeza kwa maana wananchi wengi wanaumia sana na hawajui taratibu sheria na miongozo hivyo wasomi kutumia fursa kuwapiga wananchi
@FrolahRimo-cm3tu
@FrolahRimo-cm3tu 28 күн бұрын
Mungu akulinde kila silaha itakayoinuka ju yako haitafanikiwa
@MariumChristopher
@MariumChristopher 29 күн бұрын
Ndio ni mungu amekutuma mkuu wa mkoa makondo ndye yeyeye akulinde nakukufinikab
@zubedahussain2133
@zubedahussain2133 29 күн бұрын
Majitu yanyakati hizi wezi sana hawana hata uogaa na vitu vya serekali
@aminielimushi8709
@aminielimushi8709 Ай бұрын
Hii nimeipenda
@shamtenyambega2944
@shamtenyambega2944 Ай бұрын
hakika wewe ni mkuu wa mkoa kweli na raisi wa Mkoa wa ARUSHA
@KulwaFadhiri
@KulwaFadhiri Ай бұрын
Mungu akutuze meler
@octiminja5260
@octiminja5260 29 күн бұрын
mmeyakanyagaaaaaaa big up mkuu wa mkoa
@unclegmihale455
@unclegmihale455 Ай бұрын
Safi san mkuu
@user-mm4uy7cy9w
@user-mm4uy7cy9w Ай бұрын
Mpaka wasemee
@HashimYahaya-hd3zm
@HashimYahaya-hd3zm 21 күн бұрын
Mku hongera
@zubedahussain2133
@zubedahussain2133 29 күн бұрын
Hata wanunuzi hamna Akili wewe unatoa hela bila kuwachunguza siungechunguza kwaza
@zariadunia6328
@zariadunia6328 28 күн бұрын
Haya mambo yapo nchi nzima sema viongozi wengi ni corrupt na waoga hawa watu wanao itwa watendaji ni hatari ni majambazi pamoja na wenyeviti wao wa vijiji
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 5 күн бұрын
Mambo ni moto Arusha kwa Makonda.
@octiminja5260
@octiminja5260 29 күн бұрын
DADA ZUUUUU 😮😊😊 HAPO IKULU UPOOO LIVE 😊 UNAYAONA MAMBO YA UTEUZI WAKO UKISHAURIANA NA MAMA YETU MKUU WA NCHI?????? Hapa MMEPIGA KWENYE MSHONO HONGERAAA SANAAAAA DADA ZUUU KATIBU MKUU IKULU❤
@shamtenyambega2944
@shamtenyambega2944 Ай бұрын
kaka yangu Piga kazi
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn 26 күн бұрын
Mh mkuu wa mkoa Kuna kijiji Cha sekei Kuna uchauchafu mwingi mno kwa viongozi kuweka Saini mara mbilimbili
@devisshirima6780
@devisshirima6780 27 күн бұрын
Magufuli is alive !! Hakika Mh. Magufuli bado yupo hai !! Huyo ni Mh. Makonda lakini ndani yake yupo Magufuli kabisa !!
@laylayl5166
@laylayl5166 25 күн бұрын
Jamani nyie dhulma mbayaaa hamnahata khofu ya mungu wala huruma hamna
@user-qv2tg9cz8c
@user-qv2tg9cz8c Ай бұрын
Aiseeeee
@honoratusmodest285
@honoratusmodest285 Ай бұрын
Mama samia makonda akimaliza Arusha tuletee lindi huku
@thomaschengena6369
@thomaschengena6369 Ай бұрын
utawaua wamwera
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf 28 күн бұрын
Makonda kazi ipo nibora unge tumika kama mtumishi wakazi ya mungu mbona mungu alikuchagua mda kaka tukatae tukubali serikali ya jamuuri nawatumishi wake uto waweza kwani nitamaduni ya nchi kufaki watakushangaa nauto weza kuzibiti japo niaki na kweli
@RashidMadoti
@RashidMadoti Ай бұрын
Wapige supana tu mshua hata mimi nimekuluhusu wagonge subana wajinga kabisa
@sospeteralex378
@sospeteralex378 Ай бұрын
Piga kazi
@user-ib2ew9ec3d
@user-ib2ew9ec3d 24 күн бұрын
Kunajitu linacheka kwanyuma yajamaa lingefukuswa bhana
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 27 күн бұрын
KULA KICHWA MKUU WA MKOA HAWA NDIYO WEZI NA WANAOSABABISHA MIGOGORO
@ShabanShabanmpil
@ShabanShabanmpil Күн бұрын
Akuna Kama makonda
@jumakilongo-qz1jb
@jumakilongo-qz1jb 9 күн бұрын
Jizi hilo beba likapate haki yake kupapapake
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w Ай бұрын
Shida samia makonda chapa kanzi
@RASHIDMPUMU
@RASHIDMPUMU 13 күн бұрын
Mzee wa spana kaza nati
@RobsonEnock
@RobsonEnock 26 күн бұрын
Mh.makonda wewe ni magufuri wa Tanzania tunazidi kukuombea uje uwe rais wa nchi.
@ShamsiKasoma-fn4cl
@ShamsiKasoma-fn4cl Ай бұрын
Mtaanyooka Arusha mpaka mseme
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w Ай бұрын
Makonda upo injuries
@KabikamjukuuInagamlyambelele
@KabikamjukuuInagamlyambelele 4 күн бұрын
Niponipo
@snipershort6988
@snipershort6988 Ай бұрын
Rais wa WADUDU umeiona hiyo barabara waliokupitisha utazani njia ya kuelekea shambani, huku ndo tunapokaa wananchi wako hata pakitokea mlipuko wa magonjwa kufika mjini ni masaa matatu tusaidie mkuu wetu barabara mbovu
@sfggf468
@sfggf468 Ай бұрын
Matapeli ni wengi hii nchi sio Arusha tu
@SadaKigwangala
@SadaKigwangala 12 күн бұрын
Namkumbuka alivyo kuwa mkuu wa .koa wa daresa Salam wewe walio terekeza watoto wailiipata😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ RC makonda
@ExaudyMwalongo
@ExaudyMwalongo 3 күн бұрын
Hongera sana makonda
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb Ай бұрын
Mbona shamba hammpi mpaka mnajengea pesa yake ofisi wezi nyie
Неприятная Встреча На Мосту - Полярная звезда #shorts
00:59
Полярная звезда - Kuzey Yıldızı
Рет қаралды 7 МЛН
ИРИНА КАЙРАТОВНА - АЙДАХАР (БЕКА) [MV]
02:51
ГОСТ ENTERTAINMENT
Рет қаралды 5 МЛН
MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA
11:59
PROF JANABI AMSANUA MAKONDA KUHUSU HUDUMA YA KUSHUSHA KORODANI,.
9:25
"KWELI NIMEUA KIMAKOSA" KIJANA AKIRI MBELE YA RC MAKONDA
8:01