DUDU BAYA ACHUKIZWA NA SWALI LA HARMONIZE NA KAJALA KURUDIANA UMALAYA MALAYA SITAKI MIMI SIYO CHAWA

  Рет қаралды 9,896

Maks Media

Maks Media

Күн бұрын

Пікірлер: 28
@Younomane
@Younomane 4 сағат бұрын
Kabisa Iro ndiro dudubaya ninarorijuwa mimi makofi kwadudubaya hataki umaraya
@johnfelixnatala6777
@johnfelixnatala6777 Күн бұрын
Dudu Baya! Bado Nakupenda Tuu!!! Hazina iliyosalia🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@zachariamakoba8368
@zachariamakoba8368 Күн бұрын
Uko sawa kabisa my brother dudu yaani God bless you dudu
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 Күн бұрын
Niliona sura ya dudubaya wskati mtangazaji akiuliza kuhusu harmonize 😂😂😁
@AmanaHussein
@AmanaHussein 22 сағат бұрын
Dudu baya nakupenda 🇰🇪🤣🔥
@richardJanson-h7c
@richardJanson-h7c Күн бұрын
Dudu baya huna baya brother upo vizuri
@mitinjemaziku
@mitinjemaziku Күн бұрын
Hahahaha nzuri sana huyu jamii ikae hivo nakupenda mkuuuuuu upo good Mwandishi kachoka kabisa anaona aibu hatorudia u comedian Kwa huyu mwanza
@adamswafi5149
@adamswafi5149 Күн бұрын
Ushasema mamba
@ThabisoMbhele-oj7zd
@ThabisoMbhele-oj7zd 3 сағат бұрын
Harmoniz and kajala wote ni maraya
@BinSultan-t5g
@BinSultan-t5g Күн бұрын
Ndo kashajibu kiutu uzima ...akili kubwa sana
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 Күн бұрын
😂😂😂😂dudu baya NAKUPENDA bure
@paulrichard2076
@paulrichard2076 19 сағат бұрын
Dudu baya ni mkweli kinoma
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 3 сағат бұрын
Dudu mpiga kwenye mshono
@benotayari5970
@benotayari5970 Күн бұрын
Kama taifa ni lazma tufike mahali tukemee haya yanayotokea mwisho wake ndiyo maana watoto wetu wanapotoka kimaadili. Huyo kajala ni Malaya tu tena ana akili hata kidogo sijui ni mwanamke alielelewa ktk maadili gani kwenye hii dunia. Mwanamke unafanywa kama tishu ya chooni! Viongozi wa serikali wakemeeni awa wasanii wanatuletea tabia mbaya kabisa kwenye jamii yetu halafu wanaitwa kioo cha jamii pumbuva.
@tigejuma9865
@tigejuma9865 Күн бұрын
Ongeleeni ata mmbo ya msingi....c ata kuna uchaguzi wa serikali za mtaa uko? Mbn wana habri hamjielewi
@emmyaketch8598
@emmyaketch8598 Күн бұрын
Dudu baya,umegonga ndipo, hao wote nii malaya
@SeverinoLuis-j1h
@SeverinoLuis-j1h Күн бұрын
Kwani anakujwa gongo sauti inakwaluza
@zachariamakoba8368
@zachariamakoba8368 Күн бұрын
Dudu ni hazina bana yaani huyu dudu mtunzeni xn
@westmanmoses541
@westmanmoses541 Күн бұрын
Leo Kawa mkali kweli kweli
@KhalfanSalim-v1x
@KhalfanSalim-v1x Күн бұрын
kasema point kabisa uyo dogo ajielewi kazi zake uhuni tu ivi kweli anakwenda kuwaona wazazi wake kweli maana mdawake wote kwa wanawake akisha pigwa matukio ndo anawaza wazazi wake yule dogo anatoa nyimbo zake hata promotion afanyi video zake lo bajet zitafika wap au zitafika gym angekua bado WCB angekua Zaid ya hapo alipo mboso mwenyewe kaisha mshimda kwenye kazi zako unamuingiza mwanamke
@FATUMABACARCADANGE
@FATUMABACARCADANGE Күн бұрын
kajalahuyo njaa halafu hajitambui
@OmanOman-bx5du
@OmanOman-bx5du Күн бұрын
Uyo kajara akiludi akiludi kwa konde. Mmmh njaa mbaya
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq Күн бұрын
Wewe una umri gani ndugu mbona unaandika kama mtoto. Kajara ni nani. Kuludi ni kufanya nini? Nakushauri ujitahidi. Kiswahili si mali yako ya kuvuruga utakyo. Nenda shule, tumia kamusi uliza watu wakusaidie.
@OmanOman-bx5du
@OmanOman-bx5du Күн бұрын
@@Brunn-mh2bq komenti kivyako
@VenanceKotta-c5h
@VenanceKotta-c5h Күн бұрын
Sema huyu ni babu sasa ameshaanza kubweka
@dostovan5142
@dostovan5142 Күн бұрын
Bongo imekufa pia
@EmmanuelRutyaza-iy5rr
@EmmanuelRutyaza-iy5rr Күн бұрын
Mwandishi kayakanyaga
@RAKIIMRAKIIM
@RAKIIMRAKIIM Күн бұрын
Hazina Iliyobaki ....
World‘s Strongest Man VS Apple
01:00
Browney
Рет қаралды 39 МЛН
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 3,6 МЛН
PROPHET IPM AMWAGA  UCHAFU WOTE WA DIDDY/ VIJANA ACHENI TAMAA
24:57
MAMA TERRY: NA UZEE WANGU HUU NATONGOZWA KULIKO NILIVYOKUWA BINTI
24:50