Kabisa Iro ndiro dudubaya ninarorijuwa mimi makofi kwadudubaya hataki umaraya
@johnfelixnatala6777Күн бұрын
Dudu Baya! Bado Nakupenda Tuu!!! Hazina iliyosalia🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@zachariamakoba8368Күн бұрын
Uko sawa kabisa my brother dudu yaani God bless you dudu
@johnmichaellukindo21Күн бұрын
Niliona sura ya dudubaya wskati mtangazaji akiuliza kuhusu harmonize 😂😂😁
@AmanaHussein22 сағат бұрын
Dudu baya nakupenda 🇰🇪🤣🔥
@richardJanson-h7cКүн бұрын
Dudu baya huna baya brother upo vizuri
@mitinjemazikuКүн бұрын
Hahahaha nzuri sana huyu jamii ikae hivo nakupenda mkuuuuuu upo good Mwandishi kachoka kabisa anaona aibu hatorudia u comedian Kwa huyu mwanza
@adamswafi5149Күн бұрын
Ushasema mamba
@ThabisoMbhele-oj7zd3 сағат бұрын
Harmoniz and kajala wote ni maraya
@BinSultan-t5gКүн бұрын
Ndo kashajibu kiutu uzima ...akili kubwa sana
@agwalubifaridah7079Күн бұрын
😂😂😂😂dudu baya NAKUPENDA bure
@paulrichard207619 сағат бұрын
Dudu baya ni mkweli kinoma
@husseinkonz51923 сағат бұрын
Dudu mpiga kwenye mshono
@benotayari5970Күн бұрын
Kama taifa ni lazma tufike mahali tukemee haya yanayotokea mwisho wake ndiyo maana watoto wetu wanapotoka kimaadili. Huyo kajala ni Malaya tu tena ana akili hata kidogo sijui ni mwanamke alielelewa ktk maadili gani kwenye hii dunia. Mwanamke unafanywa kama tishu ya chooni! Viongozi wa serikali wakemeeni awa wasanii wanatuletea tabia mbaya kabisa kwenye jamii yetu halafu wanaitwa kioo cha jamii pumbuva.
@tigejuma9865Күн бұрын
Ongeleeni ata mmbo ya msingi....c ata kuna uchaguzi wa serikali za mtaa uko? Mbn wana habri hamjielewi
@emmyaketch8598Күн бұрын
Dudu baya,umegonga ndipo, hao wote nii malaya
@SeverinoLuis-j1hКүн бұрын
Kwani anakujwa gongo sauti inakwaluza
@zachariamakoba8368Күн бұрын
Dudu ni hazina bana yaani huyu dudu mtunzeni xn
@westmanmoses541Күн бұрын
Leo Kawa mkali kweli kweli
@KhalfanSalim-v1xКүн бұрын
kasema point kabisa uyo dogo ajielewi kazi zake uhuni tu ivi kweli anakwenda kuwaona wazazi wake kweli maana mdawake wote kwa wanawake akisha pigwa matukio ndo anawaza wazazi wake yule dogo anatoa nyimbo zake hata promotion afanyi video zake lo bajet zitafika wap au zitafika gym angekua bado WCB angekua Zaid ya hapo alipo mboso mwenyewe kaisha mshimda kwenye kazi zako unamuingiza mwanamke
@FATUMABACARCADANGEКүн бұрын
kajalahuyo njaa halafu hajitambui
@OmanOman-bx5duКүн бұрын
Uyo kajara akiludi akiludi kwa konde. Mmmh njaa mbaya
@Brunn-mh2bqКүн бұрын
Wewe una umri gani ndugu mbona unaandika kama mtoto. Kajara ni nani. Kuludi ni kufanya nini? Nakushauri ujitahidi. Kiswahili si mali yako ya kuvuruga utakyo. Nenda shule, tumia kamusi uliza watu wakusaidie.