Natama kutoka Kenya, mungu anisaidie kuwatambua malaika wangu asante mtumishi wa mungu umebadilisha maisha yangu ya kiroho sana ubarikiwe apostle
@robertmusee16804 жыл бұрын
Hallelujah Ameeeeeen connecting from Switzerland shalom Chief Apostle
@godianmande49204 жыл бұрын
What a revelation, what a teaching!! Am really blessed by this sermon from Chief Apostle, I give Jesus much praise for you...May God of Major1 make more use of you...amen.
@susunsusy88723 жыл бұрын
Amen...Amen..be blessed so much pastor
@hillash744 жыл бұрын
Chief Apostle you have done it, Am so blessed.
@agapeishabakaki47484 жыл бұрын
Thank you my Apostle for knowledge and revelations on this amazing sermon. Powerful.
@jemimatumaini70265 ай бұрын
Amen Apostle Mungu akutunze tuzidi kupata haya Maarifa
@studentagency21854 жыл бұрын
Thank you my Apostle for the revelation
@noorkmab20054 жыл бұрын
Ameen Mungu akubarki
@rosemarylamsy32304 жыл бұрын
Malaika wangu awe active kwa jina la Yesu,sijui nilimlaza wapi mimi!!! Mungu nisamehe,yaani uliyoongea Apostle ni ukwel mtupu kama umeniongelea mimi!zamani nikifika mahali hata kama sikuwahifika nilikuwa najiuliza mbona hapa nilishawahi kufika??? Hata maongezi mpaka mavazi najiuliza mbina tulishawahi kuongea na tulivaa hivihivi? Sasa ndio nimeelewaaaaaaaa!!!!!!
@jmusic71324 жыл бұрын
Ooohyes Apostle, I receive
@graceshayo22804 жыл бұрын
Mtumishi naomba uandike kitabu kuhusu hili somo ili wengi waelimike,
@joycemaige86833 жыл бұрын
Tuko pamoja kabisa ✔️
@lilianwilliam42513 жыл бұрын
Hakika
@farajamkuchu84584 жыл бұрын
Yaaani ktk vitu navipenda nikusikiliza mahubili yako Apostle Asante maana unanibariki naumenisaidia sanaa kiroho, Mungu akubariki sana Apostle
@kisukumamahubiri62292 жыл бұрын
Amen Barikiwa sana mwana wa Mungu,,
@alexnyamwoma44424 жыл бұрын
PST it's amazing massage you give to as, these is the point we have on our church today God bless you Amen
@edwardlaizer51424 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi kwa huduma yako njema
@ctuniversityfellowship49474 жыл бұрын
Amen Chief...nakupenda sana na nimekuelewa sanaa
@user-cg1wb3jj2n2 жыл бұрын
Amen and ameeen god blesse pastor
@framsirona4 жыл бұрын
THIS WISDOM IS ON ANOTHER LEVEL KWAKWELI
@luciusnditi56124 жыл бұрын
Highier levels
@jemimahjamilay.m62393 жыл бұрын
Ahsante Chief umenifundisha kitu
@melesianageorge20122 жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏 MUNGU akubariki
@lenaambros73724 жыл бұрын
Nakupenda buree... You are too much... Am blessed Daddy
@maglindaanyango Жыл бұрын
Amen amen barikiwa
@elizabethsolomon86204 жыл бұрын
Powerful
@dayannatheonest84612 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@suzanalukoomd23693 жыл бұрын
This revelation Is🔥🔥🔥.. God of Major one help me
@lilianlubanga40102 жыл бұрын
Wonderful teachings . More Grace to reach the world.
@lwizakonongo84643 жыл бұрын
Daaaa Mungu mwema Sana siamini natamani kusikia kua siyo kweli.
@queenbundala61884 жыл бұрын
Ameen and ameen
@johnshija21572 жыл бұрын
Amina Mungu akutunze mtumishi
@shedrackmgude59724 жыл бұрын
Nakukubari sana Apostle
@eunicemarugu35952 жыл бұрын
Naendelea kuvuna mavuno nondo za maana sana Mungu akupeleke viwango vingine
@dilurai42043 жыл бұрын
Amen Amen
@Deedee881103 жыл бұрын
Apostle yur th best, Wewe ni mtumishi wa Mungu alieHai
@samuelnduati97924 жыл бұрын
Ameen mtumishi ubarikiwe sana.
@neemahamisi43024 жыл бұрын
Mungu analisafisha kanisa kupitia Mtumishi wake mteule uwe macho mwenye sikio na asikie Roho anasema na kanisa
@re.emmanuelmdoe3345 Жыл бұрын
Luka 17-7-8 Nifuraha Mbinguni, Kutoka malaika ni kwaajili Yangu Mimi
@penuelfullsalvationchurch33503 жыл бұрын
Nice broo
@florencependo59983 жыл бұрын
Nashukuriwe mungu kwakukupa huduma hiyo🙏🙏
@alicekhamayo19913 жыл бұрын
Aamen hallelujah ubarikiwe I'm blessed
@annekangaikathuni95233 жыл бұрын
....jamani mimi ningekuwa mshirika wa kanisa hili...ninhekuwa mbali ....Asante..na pekula masomo yote 😂...Mungu aku bariki zaidi Apostle.
@maglindaanyango Жыл бұрын
Kweli aman
@upendokulwa12944 жыл бұрын
Ohhhh! Yes teach Daddy.
@ceciliajohn14524 жыл бұрын
Amen...Chief...I really connect... Please Chief usiache kupost haya masomo....wengine tumekatazwa kuja kwenye ibada za jioni....please please my Apostle
@myself41283 жыл бұрын
Hakuna mtu anaitwa chief appostle imeandikwa wapi? Au major prophet umeyatoa wapi hayo maneno? Injili sio siasa kuwapa watu Tittles,Hakuna aliye mkuu kuliko mwingine! Isipokuwa mitume Tena wale Tenashara na katika wao hakuna aliyekuwa mkuu kuliko wote bali Mungu alitoa hekima na huduma ya Uchungaji kwa peter!
@damianomandoo92682 жыл бұрын
We ni jembe la bwana wa majeshi
@gloriatoo223 жыл бұрын
U have really enlighten me
@japhetjoseph17724 жыл бұрын
Nilikuwa na wait
@alfredjoshua86252 жыл бұрын
napokea ufunuo juu ya malaika. na malaika kujifunua kwangu.
@maglindaanyango Жыл бұрын
Amen amen
@rosemarylamsy32304 жыл бұрын
Yaaniiiii!!!!!!! Muñgu akubariki mtumishi wa Jehova.
@everjohn8334 жыл бұрын
Natamani siku moja nikanyage tu hapo kila kitu kibaya kitavulika kama ngozi kwangu.
@joycemaige86833 жыл бұрын
✔️
@stewartmosha49594 жыл бұрын
Ooohhh yeeeesss!!!!!!!!
@lwizakonongo84643 жыл бұрын
Nimejifuza namna ya kumuishia Mungu.
@clairemuchai6233 жыл бұрын
Powerful teaching be blessed 🙏🙏😂
@yusuphkayoka54524 жыл бұрын
Aksante Sana mtumishi nimepokea kitu kizuri sana
@mkramazani27593 жыл бұрын
God blesses you pastor ✨👌
@sallygrace14953 жыл бұрын
Psalm 91: 11
@mussastephano49384 ай бұрын
Kwa nn mwili wa yesu haukubakia kaburini.
@singifridrutatina83734 жыл бұрын
Oooh yes, apostle fireeeeee
@edwinonsombi Жыл бұрын
Napokea
@annekangaikathuni95233 жыл бұрын
kweli kabisa kabisa 😂😂😂💯
@levinarutashongerwa80412 жыл бұрын
Merkesedek
@neyhmrs77042 жыл бұрын
AMEEN
@jacquelinenyange55494 жыл бұрын
Thank you Apostle
@vickymahanga77343 жыл бұрын
Thx chief nimekuelewa
@jemimahjamilay.m62393 жыл бұрын
Napokea malaika awe hakimu kwenye kesi tarehe 28/1/21
@fatumasaleh94912 жыл бұрын
Waaaaa!
@Rose-xv8ym2 жыл бұрын
Na banalikiwa nahuduma yako mtumishi
@tumpelukongolukongo40693 жыл бұрын
Ooh Jesus this is deep revelation
@everwasike6553 жыл бұрын
Amen thank you Jesus
@leerimoy54774 жыл бұрын
Asante Mungu Kwa NENO hili!! Hakika Nimejifunzaaa Sana’a .
@galaxyboyofficial97854 жыл бұрын
Mungu nisaidie kuwajua malaika
@janejoseph90094 жыл бұрын
oooh jaman Leo ndiyo najua
@enockbruno85664 жыл бұрын
Zaburi 91:11
@enockbruno85664 жыл бұрын
Apostle Mtalemwa Mungu Akupe maono Mapya kila paitwapo leo Nakupenda sana and you Inspire me so Much 🥰😍
@mchungajisecilia80293 жыл бұрын
This 20 G
@angelangare8634 жыл бұрын
Amen
@sarahnnko64404 жыл бұрын
Thats truu papa
@GIHONTZTV4 жыл бұрын
Tunakusikia baba
@yusuphstephenkulwa52174 жыл бұрын
Mtumishi somo lako zuri sana, Mimi napenda nipate ufafanuzi kwa kile alicho kisema YESU mwenyewe, (roho haina mwili)na wala siyo watu wengine wanasema tu. Hapa chini na nukuu maandiko. "Sikia Bwana yesu anavyo waambia wanafunzi wake. ; Tazameni mikono yangu na miguu yangu, ya kuwa ni mimi mwenyewe. Nishikenishikeni, mwone; kwa kuwa roho haina mwili na mifupa kama mnavyoniona mimi kuwa nayo. Luka 24:39 Hapa alikuwa ana maanisha nini?
@mariammanasi97354 жыл бұрын
PP
@njaujustine4 жыл бұрын
Bwana Asifiwe, video hiyo ni mwendelezo na sehemu ama part tu ya Yale tunayofundishwa lakini nitakumegea kwa sehemu ambacho tayari baba alikuwa ameshafundisha ambapo pia alielezea kwa vizuri kabisa Hilo swali lako...
@njaujustine4 жыл бұрын
Katika andiko ulilolitoa POINT NI HII Luka 24:39 kwa kuwa ROHO haina mwili na mifupa KAMA mnavyoniona mimi kuwa nayo. Notice hajasema Roho Haina Mwili Bali Roho haina Mwili "KAMA" huu mnaoniona nao sasa Wala hakusema yeye Yesu mwenyewe hana Mwili wa Rohoni Luke 24:39 See My hands and My feet, that I am He. Touch Me and see, for a spirit does not have flesh and bones, AS YOU SEE ME HAVING (NOW). Yesu hakukataa kuwa Roho haina mwili NO! Kwani maandiko husema vile vile: 1 KOR 15:44 Ikiwa uko MWILI WA ASILI, na WA ROHO pia uko. [As surely as] there is a PHYSICAL BODY, there is also a SPIRITUAL BODY. Ila Yesu alikuwa anasema Roho haina mwili KAMA Huu Wala Roho haina mifupa Kama hii, na ndio maana Yesu alivyofufuka alikuwa anatokea au ana appear katika miili miwili: 1) Mwili wa kawaida walioweza kumgusa 2) Mwili mwingine ambao aliweza kudissapear ama kupotea yaani ule wa rohoni. Tukisema tukamate andiko Roho haina Mwili, Je? Ule Mwili wa mbinguni tunauvaa wapi? Kwa hiyo tunagundua Mwili wa Rohoni haupo Kama huu Wala hauna mifupa Kama huu, kwa hiyo Yesu alivyotokea kwa wanafunzi wake ili wamtambue alijidhihirisha pia katika Mwili ule wa kibinadamu, Ila alikuwa na uwezo wa kuingia katika Mwili wa Rohoni yaani spiritual au angelic body. So hakukataa kuwa Roho hazina Mwili hapana Ila kwa muda na wakati huo alipowatokea kuongea na Thomaso na wengine alitokea na mwili ambao wanaweza kugusa. Ule mwingine wasingeweza kugusa maana sababu hiyo unaitwa mwili wa Rohoni
@njaujustine4 жыл бұрын
@@mariammanasi9735 Katika andiko ulilolitoa POINT NI HII Luka 24:39 kwa kuwa ROHO haina mwili na mifupa KAMA mnavyoniona mimi kuwa nayo. Notice hajasema Roho Haina Mwili Bali Roho haina Mwili "KAMA" huu mnaoniona nao sasa Wala hakusema yeye Yesu mwenyewe hana Mwili wa Rohoni Luke 24:39 See My hands and My feet, that I am He. Touch Me and see, for a spirit does not have flesh and bones, AS YOU SEE ME HAVING (NOW). Yesu hakukataa kuwa Roho haina mwili NO! Kwani maandiko husema vile vile: 1 KOR 15:44 Ikiwa uko MWILI WA ASILI, na WA ROHO pia uko. [As surely as] there is a PHYSICAL BODY, there is also a SPIRITUAL BODY. Ila Yesu alikuwa anasema Roho haina mwili KAMA Huu Wala Roho haina mifupa Kama hii, na ndio maana Yesu alivyofufuka alikuwa anatokea au ana appear katika miili miwili: 1) Mwili wa kawaida walioweza kumgusa 2) Mwili mwingine ambao aliweza kudissapear ama kupotea yaani ule wa rohoni. Tukisema tukamate andiko Roho haina Mwili, Je? Ule Mwili wa mbinguni tunauvaa wapi? Kwa hiyo tunagundua Mwili wa Rohoni haupo Kama huu Wala hauna mifupa Kama huu, kwa hiyo Yesu alivyotokea kwa wanafunzi wake ili wamtambue alijidhihirisha pia katika Mwili ule wa kibinadamu, Ila alikuwa na uwezo wa kuingia katika Mwili wa Rohoni yaani spiritual au angelic body. So hakukataa kuwa Roho hazina Mwili hapana Ila kwa muda na wakati huo alipowatokea kuongea na Thomaso na wengine alitokea na mwili ambao wanaweza kugusa. Ule mwingine wasingeweza kugusa maana sababu hiyo unaitwa mwili wa Rohoni
@njaujustine4 жыл бұрын
1) Mifano ya Yesu kujizihirisha kwa mwili wa kiroho. a) Aliweza kupita sehemu hata zilizofungwa YOHANA 20:19 milango imefungwa kwa hofu ya Wayahudi; akaja Yesu, akasimama katikati, akawaambia, Amani iwe kwenu. b) Alikuwa na uwezo wa kupotea au kutoweka LUKA 24:31 Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha AKATOWEKA mbele yao. c) Aliweza kupaa mbinguni MATENDO 1:9 Akiisha kusema hayo, walipokuwa wakitazama, akainuliwa, wingu likampokea kutoka machoni pao. d) Hutokea katika katika utukufu hivyo Ni rahisi kumjua. kwenye kitabu Cha ufunuo na Mdo 7:55.. Akauona utukufu wa Mungu, na Yesu akisimama upande wa mkono wa kulia wa Mungu. Haya yote hayafanyiki kwa mwili wa kawaida