MALAIKA KATIKA HALI ZA UBINADAMU {PART TWO}

  Рет қаралды 34,920

Apostle Mtalemwa Bushiri

Apostle Mtalemwa Bushiri

4 жыл бұрын

Пікірлер: 98
@rachaellusava9326
@rachaellusava9326 3 жыл бұрын
Natama kutoka Kenya, mungu anisaidie kuwatambua malaika wangu asante mtumishi wa mungu umebadilisha maisha yangu ya kiroho sana ubarikiwe apostle
@robertmusee1680
@robertmusee1680 4 жыл бұрын
Hallelujah Ameeeeeen connecting from Switzerland shalom Chief Apostle
@godianmande4920
@godianmande4920 4 жыл бұрын
What a revelation, what a teaching!! Am really blessed by this sermon from Chief Apostle, I give Jesus much praise for you...May God of Major1 make more use of you...amen.
@susunsusy8872
@susunsusy8872 3 жыл бұрын
Amen...Amen..be blessed so much pastor
@hillash74
@hillash74 4 жыл бұрын
Chief Apostle you have done it, Am so blessed.
@agapeishabakaki4748
@agapeishabakaki4748 4 жыл бұрын
Thank you my Apostle for knowledge and revelations on this amazing sermon. Powerful.
@jemimatumaini7026
@jemimatumaini7026 5 ай бұрын
Amen Apostle Mungu akutunze tuzidi kupata haya Maarifa
@studentagency2185
@studentagency2185 4 жыл бұрын
Thank you my Apostle for the revelation
@noorkmab2005
@noorkmab2005 4 жыл бұрын
Ameen Mungu akubarki
@rosemarylamsy3230
@rosemarylamsy3230 4 жыл бұрын
Malaika wangu awe active kwa jina la Yesu,sijui nilimlaza wapi mimi!!! Mungu nisamehe,yaani uliyoongea Apostle ni ukwel mtupu kama umeniongelea mimi!zamani nikifika mahali hata kama sikuwahifika nilikuwa najiuliza mbona hapa nilishawahi kufika??? Hata maongezi mpaka mavazi najiuliza mbina tulishawahi kuongea na tulivaa hivihivi? Sasa ndio nimeelewaaaaaaaa!!!!!!
@jmusic7132
@jmusic7132 4 жыл бұрын
Ooohyes Apostle, I receive
@graceshayo2280
@graceshayo2280 4 жыл бұрын
Mtumishi naomba uandike kitabu kuhusu hili somo ili wengi waelimike,
@joycemaige8683
@joycemaige8683 3 жыл бұрын
Tuko pamoja kabisa ✔️
@lilianwilliam4251
@lilianwilliam4251 3 жыл бұрын
Hakika
@farajamkuchu8458
@farajamkuchu8458 4 жыл бұрын
Yaaani ktk vitu navipenda nikusikiliza mahubili yako Apostle Asante maana unanibariki naumenisaidia sanaa kiroho, Mungu akubariki sana Apostle
@kisukumamahubiri6229
@kisukumamahubiri6229 2 жыл бұрын
Amen Barikiwa sana mwana wa Mungu,,
@alexnyamwoma4442
@alexnyamwoma4442 4 жыл бұрын
PST it's amazing massage you give to as, these is the point we have on our church today God bless you Amen
@edwardlaizer5142
@edwardlaizer5142 4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi kwa huduma yako njema
@ctuniversityfellowship4947
@ctuniversityfellowship4947 4 жыл бұрын
Amen Chief...nakupenda sana na nimekuelewa sanaa
@user-cg1wb3jj2n
@user-cg1wb3jj2n 2 жыл бұрын
Amen and ameeen god blesse pastor
@framsirona
@framsirona 4 жыл бұрын
THIS WISDOM IS ON ANOTHER LEVEL KWAKWELI
@luciusnditi5612
@luciusnditi5612 4 жыл бұрын
Highier levels
@jemimahjamilay.m6239
@jemimahjamilay.m6239 3 жыл бұрын
Ahsante Chief umenifundisha kitu
@melesianageorge2012
@melesianageorge2012 2 жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏 MUNGU akubariki
@lenaambros7372
@lenaambros7372 4 жыл бұрын
Nakupenda buree... You are too much... Am blessed Daddy
@maglindaanyango
@maglindaanyango Жыл бұрын
Amen amen barikiwa
@elizabethsolomon8620
@elizabethsolomon8620 4 жыл бұрын
Powerful
@dayannatheonest8461
@dayannatheonest8461 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@suzanalukoomd2369
@suzanalukoomd2369 3 жыл бұрын
This revelation Is🔥🔥🔥.. God of Major one help me
@lilianlubanga4010
@lilianlubanga4010 2 жыл бұрын
Wonderful teachings . More Grace to reach the world.
@lwizakonongo8464
@lwizakonongo8464 3 жыл бұрын
Daaaa Mungu mwema Sana siamini natamani kusikia kua siyo kweli.
@queenbundala6188
@queenbundala6188 4 жыл бұрын
Ameen and ameen
@johnshija2157
@johnshija2157 2 жыл бұрын
Amina Mungu akutunze mtumishi
@shedrackmgude5972
@shedrackmgude5972 4 жыл бұрын
Nakukubari sana Apostle
@eunicemarugu3595
@eunicemarugu3595 2 жыл бұрын
Naendelea kuvuna mavuno nondo za maana sana Mungu akupeleke viwango vingine
@dilurai4204
@dilurai4204 3 жыл бұрын
Amen Amen
@Deedee88110
@Deedee88110 3 жыл бұрын
Apostle yur th best, Wewe ni mtumishi wa Mungu alieHai
@samuelnduati9792
@samuelnduati9792 4 жыл бұрын
Ameen mtumishi ubarikiwe sana.
@neemahamisi4302
@neemahamisi4302 4 жыл бұрын
Mungu analisafisha kanisa kupitia Mtumishi wake mteule uwe macho mwenye sikio na asikie Roho anasema na kanisa
@re.emmanuelmdoe3345
@re.emmanuelmdoe3345 Жыл бұрын
Luka 17-7-8 Nifuraha Mbinguni, Kutoka malaika ni kwaajili Yangu Mimi
@penuelfullsalvationchurch3350
@penuelfullsalvationchurch3350 3 жыл бұрын
Nice broo
@florencependo5998
@florencependo5998 3 жыл бұрын
Nashukuriwe mungu kwakukupa huduma hiyo🙏🙏
@alicekhamayo1991
@alicekhamayo1991 3 жыл бұрын
Aamen hallelujah ubarikiwe I'm blessed
@annekangaikathuni9523
@annekangaikathuni9523 3 жыл бұрын
....jamani mimi ningekuwa mshirika wa kanisa hili...ninhekuwa mbali ....Asante..na pekula masomo yote 😂...Mungu aku bariki zaidi Apostle.
@maglindaanyango
@maglindaanyango Жыл бұрын
Kweli aman
@upendokulwa1294
@upendokulwa1294 4 жыл бұрын
Ohhhh! Yes teach Daddy.
@ceciliajohn1452
@ceciliajohn1452 4 жыл бұрын
Amen...Chief...I really connect... Please Chief usiache kupost haya masomo....wengine tumekatazwa kuja kwenye ibada za jioni....please please my Apostle
@myself4128
@myself4128 3 жыл бұрын
Hakuna mtu anaitwa chief appostle imeandikwa wapi? Au major prophet umeyatoa wapi hayo maneno? Injili sio siasa kuwapa watu Tittles,Hakuna aliye mkuu kuliko mwingine! Isipokuwa mitume Tena wale Tenashara na katika wao hakuna aliyekuwa mkuu kuliko wote bali Mungu alitoa hekima na huduma ya Uchungaji kwa peter!
@damianomandoo9268
@damianomandoo9268 2 жыл бұрын
We ni jembe la bwana wa majeshi
@gloriatoo22
@gloriatoo22 3 жыл бұрын
U have really enlighten me
@japhetjoseph1772
@japhetjoseph1772 4 жыл бұрын
Nilikuwa na wait
@alfredjoshua8625
@alfredjoshua8625 2 жыл бұрын
napokea ufunuo juu ya malaika. na malaika kujifunua kwangu.
@maglindaanyango
@maglindaanyango Жыл бұрын
Amen amen
@rosemarylamsy3230
@rosemarylamsy3230 4 жыл бұрын
Yaaniiiii!!!!!!! Muñgu akubariki mtumishi wa Jehova.
@everjohn833
@everjohn833 4 жыл бұрын
Natamani siku moja nikanyage tu hapo kila kitu kibaya kitavulika kama ngozi kwangu.
@joycemaige8683
@joycemaige8683 3 жыл бұрын
✔️
@stewartmosha4959
@stewartmosha4959 4 жыл бұрын
Ooohhh yeeeesss!!!!!!!!
@lwizakonongo8464
@lwizakonongo8464 3 жыл бұрын
Nimejifuza namna ya kumuishia Mungu.
@clairemuchai623
@clairemuchai623 3 жыл бұрын
Powerful teaching be blessed 🙏🙏😂
@yusuphkayoka5452
@yusuphkayoka5452 4 жыл бұрын
Aksante Sana mtumishi nimepokea kitu kizuri sana
@mkramazani2759
@mkramazani2759 3 жыл бұрын
God blesses you pastor ✨👌
@sallygrace1495
@sallygrace1495 3 жыл бұрын
Psalm 91: 11
@mussastephano4938
@mussastephano4938 4 ай бұрын
Kwa nn mwili wa yesu haukubakia kaburini.
@singifridrutatina8373
@singifridrutatina8373 4 жыл бұрын
Oooh yes, apostle fireeeeee
@edwinonsombi
@edwinonsombi Жыл бұрын
Napokea
@annekangaikathuni9523
@annekangaikathuni9523 3 жыл бұрын
kweli kabisa kabisa 😂😂😂💯
@levinarutashongerwa8041
@levinarutashongerwa8041 2 жыл бұрын
Merkesedek
@neyhmrs7704
@neyhmrs7704 2 жыл бұрын
AMEEN
@jacquelinenyange5549
@jacquelinenyange5549 4 жыл бұрын
Thank you Apostle
@vickymahanga7734
@vickymahanga7734 3 жыл бұрын
Thx chief nimekuelewa
@jemimahjamilay.m6239
@jemimahjamilay.m6239 3 жыл бұрын
Napokea malaika awe hakimu kwenye kesi tarehe 28/1/21
@fatumasaleh9491
@fatumasaleh9491 2 жыл бұрын
Waaaaa!
@Rose-xv8ym
@Rose-xv8ym 2 жыл бұрын
Na banalikiwa nahuduma yako mtumishi
@tumpelukongolukongo4069
@tumpelukongolukongo4069 3 жыл бұрын
Ooh Jesus this is deep revelation
@everwasike655
@everwasike655 3 жыл бұрын
Amen thank you Jesus
@leerimoy5477
@leerimoy5477 4 жыл бұрын
Asante Mungu Kwa NENO hili!! Hakika Nimejifunzaaa Sana’a .
@galaxyboyofficial9785
@galaxyboyofficial9785 4 жыл бұрын
Mungu nisaidie kuwajua malaika
@janejoseph9009
@janejoseph9009 4 жыл бұрын
oooh jaman Leo ndiyo najua
@enockbruno8566
@enockbruno8566 4 жыл бұрын
Zaburi 91:11
@enockbruno8566
@enockbruno8566 4 жыл бұрын
Apostle Mtalemwa Mungu Akupe maono Mapya kila paitwapo leo Nakupenda sana and you Inspire me so Much 🥰😍
@mchungajisecilia8029
@mchungajisecilia8029 3 жыл бұрын
This 20 G
@angelangare863
@angelangare863 4 жыл бұрын
Amen
@sarahnnko6440
@sarahnnko6440 4 жыл бұрын
Thats truu papa
@GIHONTZTV
@GIHONTZTV 4 жыл бұрын
Tunakusikia baba
@yusuphstephenkulwa5217
@yusuphstephenkulwa5217 4 жыл бұрын
Mtumishi somo lako zuri sana, Mimi napenda nipate ufafanuzi kwa kile alicho kisema YESU mwenyewe, (roho haina mwili)na wala siyo watu wengine wanasema tu. Hapa chini na nukuu maandiko. "Sikia Bwana yesu anavyo waambia wanafunzi wake. ; Tazameni mikono yangu na miguu yangu, ya kuwa ni mimi mwenyewe. Nishikenishikeni, mwone; kwa kuwa roho haina mwili na mifupa kama mnavyoniona mimi kuwa nayo. Luka 24:39 Hapa alikuwa ana maanisha nini?
@mariammanasi9735
@mariammanasi9735 4 жыл бұрын
PP
@njaujustine
@njaujustine 4 жыл бұрын
Bwana Asifiwe, video hiyo ni mwendelezo na sehemu ama part tu ya Yale tunayofundishwa lakini nitakumegea kwa sehemu ambacho tayari baba alikuwa ameshafundisha ambapo pia alielezea kwa vizuri kabisa Hilo swali lako...
@njaujustine
@njaujustine 4 жыл бұрын
Katika andiko ulilolitoa POINT NI HII Luka 24:39 kwa kuwa ROHO haina mwili na mifupa KAMA mnavyoniona mimi kuwa nayo. Notice hajasema Roho Haina Mwili Bali Roho haina Mwili "KAMA" huu mnaoniona nao sasa Wala hakusema yeye Yesu mwenyewe hana Mwili wa Rohoni Luke 24:39 See My hands and My feet, that I am He. Touch Me and see, for a spirit does not have flesh and bones, AS YOU SEE ME HAVING (NOW). Yesu hakukataa kuwa Roho haina mwili NO! Kwani maandiko husema vile vile: 1 KOR 15:44 Ikiwa uko MWILI WA ASILI, na WA ROHO pia uko. [As surely as] there is a PHYSICAL BODY, there is also a SPIRITUAL BODY. Ila Yesu alikuwa anasema Roho haina mwili KAMA Huu Wala Roho haina mifupa Kama hii, na ndio maana Yesu alivyofufuka alikuwa anatokea au ana appear katika miili miwili: 1) Mwili wa kawaida walioweza kumgusa 2) Mwili mwingine ambao aliweza kudissapear ama kupotea yaani ule wa rohoni. Tukisema tukamate andiko Roho haina Mwili, Je? Ule Mwili wa mbinguni tunauvaa wapi? Kwa hiyo tunagundua Mwili wa Rohoni haupo Kama huu Wala hauna mifupa Kama huu, kwa hiyo Yesu alivyotokea kwa wanafunzi wake ili wamtambue alijidhihirisha pia katika Mwili ule wa kibinadamu, Ila alikuwa na uwezo wa kuingia katika Mwili wa Rohoni yaani spiritual au angelic body. So hakukataa kuwa Roho hazina Mwili hapana Ila kwa muda na wakati huo alipowatokea kuongea na Thomaso na wengine alitokea na mwili ambao wanaweza kugusa. Ule mwingine wasingeweza kugusa maana sababu hiyo unaitwa mwili wa Rohoni
@njaujustine
@njaujustine 4 жыл бұрын
@@mariammanasi9735 Katika andiko ulilolitoa POINT NI HII Luka 24:39 kwa kuwa ROHO haina mwili na mifupa KAMA mnavyoniona mimi kuwa nayo. Notice hajasema Roho Haina Mwili Bali Roho haina Mwili "KAMA" huu mnaoniona nao sasa Wala hakusema yeye Yesu mwenyewe hana Mwili wa Rohoni Luke 24:39 See My hands and My feet, that I am He. Touch Me and see, for a spirit does not have flesh and bones, AS YOU SEE ME HAVING (NOW). Yesu hakukataa kuwa Roho haina mwili NO! Kwani maandiko husema vile vile: 1 KOR 15:44 Ikiwa uko MWILI WA ASILI, na WA ROHO pia uko. [As surely as] there is a PHYSICAL BODY, there is also a SPIRITUAL BODY. Ila Yesu alikuwa anasema Roho haina mwili KAMA Huu Wala Roho haina mifupa Kama hii, na ndio maana Yesu alivyofufuka alikuwa anatokea au ana appear katika miili miwili: 1) Mwili wa kawaida walioweza kumgusa 2) Mwili mwingine ambao aliweza kudissapear ama kupotea yaani ule wa rohoni. Tukisema tukamate andiko Roho haina Mwili, Je? Ule Mwili wa mbinguni tunauvaa wapi? Kwa hiyo tunagundua Mwili wa Rohoni haupo Kama huu Wala hauna mifupa Kama huu, kwa hiyo Yesu alivyotokea kwa wanafunzi wake ili wamtambue alijidhihirisha pia katika Mwili ule wa kibinadamu, Ila alikuwa na uwezo wa kuingia katika Mwili wa Rohoni yaani spiritual au angelic body. So hakukataa kuwa Roho hazina Mwili hapana Ila kwa muda na wakati huo alipowatokea kuongea na Thomaso na wengine alitokea na mwili ambao wanaweza kugusa. Ule mwingine wasingeweza kugusa maana sababu hiyo unaitwa mwili wa Rohoni
@njaujustine
@njaujustine 4 жыл бұрын
1) Mifano ya Yesu kujizihirisha kwa mwili wa kiroho. a) Aliweza kupita sehemu hata zilizofungwa YOHANA 20:19 milango imefungwa kwa hofu ya Wayahudi; akaja Yesu, akasimama katikati, akawaambia, Amani iwe kwenu. b) Alikuwa na uwezo wa kupotea au kutoweka LUKA 24:31 Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha AKATOWEKA mbele yao. c) Aliweza kupaa mbinguni MATENDO 1:9 Akiisha kusema hayo, walipokuwa wakitazama, akainuliwa, wingu likampokea kutoka machoni pao. d) Hutokea katika katika utukufu hivyo Ni rahisi kumjua. kwenye kitabu Cha ufunuo na Mdo 7:55.. Akauona utukufu wa Mungu, na Yesu akisimama upande wa mkono wa kulia wa Mungu. Haya yote hayafanyiki kwa mwili wa kawaida
@angelkanoga2175
@angelkanoga2175 2 жыл бұрын
Powerful
@faidaimmaculee28
@faidaimmaculee28 4 жыл бұрын
Amen
NITAJUAJE KUNA JAMBO BAYA MBELE YANGU?
31:44
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 16 М.
MAFUNDISHO -- UNAJUA KWA NINI WATU HAWANA AKIBA BENKI?
1:51:48
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 26 М.
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 54 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 10 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 24 МЛН
SADAKA NA FUNGU LA KUMI
48:56
RGC-TOANGOMA
Рет қаралды 19 М.
SABABU ZA KUPAKA MAFUTA
54:08
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 13 М.
LIVE#MITUME NA MANABII
GeorDavie TV
Рет қаралды
KUFICHUA SIRI ZA WACHAWI PART 4
1:40:24
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 32 М.
KUFUKUA YALIYO FUKIWA(Hatua tatu za kushinda vita vya maadui zako)
57:51
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 3,8 М.
KUNA SIRI KUBWA KATIKA ARDHI/UDONGO.
54:29
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 227 М.
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 54 МЛН