Amina mtumishi Mungu azidi kuwainua kwa viwango vya juu
@barakamanu15142 жыл бұрын
Imani na uvumilivu katika changamoto kali. asante kwa ushuhuda huu, waliookoka tujifunze.
@mindenlightenment2 жыл бұрын
Kai! It's so nice ,
@baya70672 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu na akuzidishie zaidi
@franciscamakau63442 жыл бұрын
God bless you for faithful to God servant of God
@paulmwati75392 жыл бұрын
Amina mtumishi
@pastornadine74752 жыл бұрын
Amen. Mungu mkuu
@myself41282 жыл бұрын
nimemsikiliza dakika5 tuu nikajua huyu mtumishi na ushuhuda wake wa kweli hata hafikirii anaposimulia sababu ni maisha halisi aliyoyapitia!
@HappyPaul-nj9ri9 ай бұрын
Vizuri kweli mnamtumikia Mungu
@drnow15282 жыл бұрын
Hallelujah
@mildredakinyi98552 жыл бұрын
Mimi pia mungu amekua akiniwezeshea kupata pesa kimajabusana. Mungu wangu asifiwe milele amen 🙏
@millicentnaliaka2 жыл бұрын
Waah Mungu sio mwanadamu kweli na Mungu atusaidie kweli
@shalomkind45752 жыл бұрын
Asante kwa ushuhuda huu !naomba namba ya mtu.mishi huyu jamani
@ibrahimumwatwambo10582 жыл бұрын
Amen ushuhuda wa kweli tumesali wote na kuimba praise pamoja hata siku aliyofunguliwa nilikuwepo kanisa lilikua nyuma ya kiwila motel Soweto Ubarikiwe Mungu akubariki Sana
@blessedlovedandfavoured41292 жыл бұрын
Amina Bwana yesu asifiwe
@leahenockmrina53812 жыл бұрын
Safi sana Kuhani na mama kuhani Mungu muumba wetu azidi kuwatumia kupita kawaida
@zenaalex58242 жыл бұрын
Mungu akubariki na uzidikumtumikia Mungu ,Ameen.🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@manyanyazakaria2 жыл бұрын
Amen ushuhuda mzito sana huu
@petronyereresaliboko404710 ай бұрын
Manyanya nakuona
@sharonwalubengo76282 жыл бұрын
Yesu akurudishe hiyo paradiso kwa mara nyingine kwa kua sahizi una wokovu uje utusimulie jamani
@elpidiusezekiel27292 жыл бұрын
Great Testmony 👍
@sharonwalubengo76282 жыл бұрын
Hii story ni nzuri sana ila pastor ako na haraka sana ya nini kweli tulia step by step
@rmaryp62692 жыл бұрын
Ila hakueleza km alifunga ndoa...!
@furahamwangosi38962 жыл бұрын
Hiyo ni changamoto mtangazaji sio mdadisi na yeye amenogewa na shuhuda
@heritier51192 жыл бұрын
Kwa Dunia ya sasa wanawake aina yako katika milioni unapata mmoja
@kimsamespa84902 жыл бұрын
Ushuhuda mkubwa Sana kwa yoyote alie okoka azidi kutia bidii katika wokovu wake asianguke Tena kwa dhambi
@elvamasherano81222 жыл бұрын
Amen
@salomekemunto13732 жыл бұрын
Mungu na akubariki Sana kuani .
@favourndila84742 жыл бұрын
Ameeen
@myself41282 жыл бұрын
Kama majini yanaweza kumletea mchawi au mshirikina pesa basi hakika Malaika wanaweza kufanya makubwa kuliko hayo!!!
@kimsamespa84902 жыл бұрын
Wanawake milio okoka mumemuona mama kuhuni alivyo Kaa
@geitandelwa2992 жыл бұрын
Waambie WENZIO wake za wachungaji wanaji hubua KUVAA muwigi mihereni na mitaka taka MINGIwanafundisha NN KWA waumini
@laurianpancras49532 жыл бұрын
Mutumishi wa Mungu umetoa ushuuda waunabii wengi kweli awatambu mkonowa mungu tujitaidi usikia sauti yake ataki amtupi mjawake
@rhodamwafongo66602 жыл бұрын
kuishi kwingi kuona mengi
@kimsamespa84902 жыл бұрын
Haki saa zingine mambo ya rohoni walio rohoni tu huelewa nimecheka 🤣🤣🤣 Sana ati alikua anawachiwa Kodi tu naanaishi shidani
@blessedlovedandfavoured41292 жыл бұрын
HalleluYah
@eliasmoisesmbedo72972 жыл бұрын
Kuhusu mahusiano yalikuwaje: walifunga ndoa au ilikuwaje ... Hila Mungu awabariki sana watumishi hawa.
@shalomkind45752 жыл бұрын
Naomba namba jamani ...
@shalomkind45752 жыл бұрын
Wanawake kweli wameruhusiwa kua pastor?
@bonifasemmanuel47002 жыл бұрын
Jactan mdogo wangu,mbona tulikuamini sana kWa kuleta,shuhudia za kweli na kuaminika kama zile za omali,Katekela,n,k lakini hawa wasanii vya nini tena,wapi na lini,Mbingu zikahusika na mambo ya kaisali Yesu mwenyewe hakugusa hela.
@barakamanu15142 жыл бұрын
Yesu pia alienda kuchukua hela ndani ya samaki. mmezoea kusikia mashetani wakipeana pesa, leo mkisikia malaika pia wanaweza kutoa fedha mnaanza kushangaa. kwani shetani anashinda malaika wa mbinguni?
@kimsamespa84902 жыл бұрын
Nikweli nilisikia bishop Gwajima akisema wakati alikua na shida akilala chini kwa one room Kila siku asubuhi alikua akipewa sukari akunywe chai naanasema ilikua haiongezeki na hajui huyo mtu alikua anatoka wapi
@lovenesswalter66502 жыл бұрын
Tunaomba kufahamu walifunga ndoa lini? Pia kanisa alilohubir kuhan linaitwaje? Pia ameitwa ilkuwa mwaka gan? Haya maswali tunaomba utawauliza Mbarikiwe ushuhuda mzur
@LoFi_1202 жыл бұрын
Zaburi 34:6Maskini huyu aliita, BWANA akasikia, Akamwokoa na taabu zake zote. 7 Malaika wa BWANA hufanya kituo Akiwazungukia wamchao na kuwaokoa.
@millicentnaliaka2 жыл бұрын
Sehemu ya pili twangoja kweli
@martinzegele69252 жыл бұрын
AZh
@yvettekyalika9072 жыл бұрын
....❤️❤️💃💃🔥🔥🔥❤️❤️❤️...
@samuelmussa48092 жыл бұрын
Malaika hakujitambulisha 😛😛😛😛
@glorytoGod639 Жыл бұрын
Mbinguni uliendaje, na ulirudije duniani, ulipewa maelekezo gani na Mungu huko? Unasema mkeo alikuta elfu 4 chini ya kitanda, yeye anasema alikuta elfu 2, hii no, kuna uongo ndani yake
@mauwajeanpierre78322 жыл бұрын
Hasante nimefurahi na husuhuda wako.
@lovenesswalter66502 жыл бұрын
Wakat mwingine manyanya ukiwa unawauliza maswal usikae krb na unayemuhoji kwasababu hawaangalii camera sasa inakuwa kma mnasimuliana ushuhuda nyie wawili
@shambebro3822 жыл бұрын
Hyo anatupanga .... story za upuz
@glorytoGod639 Жыл бұрын
Huu ushuhuda wa kutengeneza, Kuna maswali anaulizwa anayapanchi
@kimsamespa84902 жыл бұрын
Ushuhuda mkubwa Sana kwa yoyote alie okoka azidi kutia bidii katika wokovu wake asianguke Tena kwa dhambi