MAMA WA SELEMANI AFUNGUKA MAZITO| ALINIACHIA HELA YA KIWANJA|SIJAWAI KUMWONA MJUKU WANGUN

  Рет қаралды 22,665

Maximum Tv Online

Maximum Tv Online

Күн бұрын

Пікірлер: 179
@munakhamis982
@munakhamis982 2 жыл бұрын
Pole mom na familia kwa ujumla na sisi tupowe kwa pamoja kaz ya mung hainaga makosa sifa zote njema zinamstahik mung muumba wa viumbe wot tuseme Alhamdulillah
@zamzamabdi5279
@zamzamabdi5279 2 жыл бұрын
Kweli kabisa.kazi ya mungu ndo vile uliposema
@salamanauthar480
@salamanauthar480 2 жыл бұрын
Alhamdulillah
@salamanauthar480
@salamanauthar480 2 жыл бұрын
Alhamdulillah🤲
@salamanauthar480
@salamanauthar480 2 жыл бұрын
Pole sana Mama yetu kipenzi' ALLAH Akujaze nguvu inshaallah
@mosesmwaisumo2838
@mosesmwaisumo2838 2 жыл бұрын
Dah😭😭😭😭 duniani Kuna mingi mitihani watoto wote kumi kiukweli tuombeni Mungu atupe mwisho mwema,dunian tukumbukane huyu mama anahitaji faraja ya Hali ya juu😭😭😭😭😭
@sophiamirambo9656
@sophiamirambo9656 2 жыл бұрын
Mnooo
@janethkomba4485
@janethkomba4485 Жыл бұрын
sanaa
@sharifanyumayo6314
@sharifanyumayo6314 2 жыл бұрын
Pole sana mamayngu kwa matatizo makubwa yalokupata! Ila yote ni mipango ya mungu na inaumiza sana kwani Selemani alikuahidi mengi ila ndo mipango ya mungu! Mbele yke nyuma yetu. Na nimekupenda mama wajieleza vzr kwa ujasir mkubwa.!
@munirachangawa2928
@munirachangawa2928 2 жыл бұрын
Pole mamangu.mungu atakufanyia wepesi na atakupa subra katika kipindi hiki kigumu.
@ziadakisanga1011
@ziadakisanga1011 2 жыл бұрын
Pole sana mama Allah akupe nguvu
@shi5a_
@shi5a_ 2 жыл бұрын
Pole sana mama angu m mungu awape subira na amrehem amlaze pema pepon amiin na waislam wote amiin
@salamanauthar480
@salamanauthar480 2 жыл бұрын
Aamin🤲
@florakishiwa4000
@florakishiwa4000 2 жыл бұрын
masikin mama pole sana kaka zahili nakuomba huyu mama tumsaidie buku moja tu linampa falaja
@douglasvernon9492
@douglasvernon9492 2 жыл бұрын
💕💕💕
@habibaa9503
@habibaa9503 2 жыл бұрын
Inauma sana 😭😭mungu akupe nguvu mama yetu
@steramwanakira7183
@steramwanakira7183 2 жыл бұрын
Pole sanaa mama Pole mnooo
@shameemrashid5219
@shameemrashid5219 2 жыл бұрын
Kuna siri kubwa sana juu ya kifo cha Selemani yaan haiwezekan mtu apigwe mapanga na boda wake na pikipiki ikutwe masikin Allahu yaa alam Allah ndio anajua kila kitu ... pumzik sele wamekuua kikatili san
@rahmaramadhani3470
@rahmaramadhani3470 2 жыл бұрын
Subhana Allah ainahitajika tumsaidie
@olivajoseph1697
@olivajoseph1697 2 жыл бұрын
Mama anamitihani huyu. kweli kilajalibu anarokupa Mungu ameona unaliweza. 😭😭😭😭😭
@irenewile
@irenewile 2 жыл бұрын
Amezaa watoto wengi Sana na wote amewazika,,Mungu wangu msimamie huyo mama
@mariamissa4029
@mariamissa4029 2 жыл бұрын
Subhannallah😭😭😭😭,pole sana mama angu allah akutie nguvu katika kipendi hichi kigumu
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 2 жыл бұрын
Pole mama m mwenyezi mungu atawahukumu wote walio mdhulumu mtoto wako
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 2 жыл бұрын
Tuwachangie jamani, chochote
@qwqw1665
@qwqw1665 2 жыл бұрын
Pole sana mama yangu tunaumia sana kifo cha seleman. Jaman😭😭😭😭👍👍👍
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Mtihani mungu atawafanyia wepesi ishaalah kwa uwezo wa mungu ishaalah mama wa marehem suleiman
@queenhuu2852
@queenhuu2852 2 жыл бұрын
Inaumiiza Sana huu msiiba wa seleiman ,, ila tumtegeemee Allah Kwa Zulma alizofanyiiwa seleiman ,ila Allah anatosha na nimbora wakutegeemeewa ila inaumiiza sn ,huyu mama atia huruuma
@maimonamaimona1177
@maimonamaimona1177 2 жыл бұрын
Polemama inauma sana
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 жыл бұрын
Pole sana mom
@rachelsika9588
@rachelsika9588 2 жыл бұрын
pole sana mama, tumsaidie huyo mama
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Mtihani mungu afanyie wepesi ishaalah
@hebronsdaughter1661
@hebronsdaughter1661 2 жыл бұрын
Pole sana mama kwa kumpoteza mwanao mwenyezi Mungu akufariji
@mariamjuma4183
@mariamjuma4183 2 жыл бұрын
Napenda sana mahojiano ya fabi jaman yaan unamsikiliza vizur sana mtu
@maximumtvonline
@maximumtvonline 2 жыл бұрын
@@mariamjuma4183 asante
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
@@mariamjuma4183 sana🤝🤝
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
@@maximumtvonline Allah awajaalie wote 🙏🏿🤝
@aminasuleiman8120
@aminasuleiman8120 2 жыл бұрын
Mamaake Sele anahitaji msaada kwakweli 😥😥😥 Pole sana mamaangu 😭😭😭
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 2 жыл бұрын
Kuna alie sema kuwa kuliwa mtamani kwake kibaha natukitaka kujua ukweli kinazahiri waaende ndugu wanasema kuliwa. Njiani kuna alie niambia kuliwa. Mtamani kwake
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
@@زيتونتنزانيا Subuhanallah Allahu Akibar basi uwenda a nawajua walio mfanyiahivyo Allah awakamatishe na polisi nawao wauliwe lnshaallah
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 2 жыл бұрын
@@hanifatanzania7258 watakuwa wameona tukio zima
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
@@زيتونتنزانيا mtihani janin nimeliampakanimeshindwskimdikiliza mamayake Sele ,,, sijui binaadam tutamwambianini Mungu ......... Nahao wanawake zake mm Nina wasiwasi nao kwaniniwasikatwe
@maximumtvonline
@maximumtvonline 2 жыл бұрын
Mbona umekomalia sisi tuende? Ndugu zake marehemu kwann hawajaenda?..
@aminaali792
@aminaali792 2 жыл бұрын
Subhannah ALLAH tunawashkur maximum tv wote kwa kumpata huyu mama yaani inaskitisha sana kumuona huyu mama anawatoto wote lkn hakuna alieweza kusaidia ya Rabbi amsimamie huyu mama Etu🤲🏼pia naomba kama una number ya huyu mama tuwekee tuweze kusaidia kitu chochote please🥺❤️
@beatricemdoe2850
@beatricemdoe2850 2 жыл бұрын
Watoto walikufa amebaki mmoja
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Mm nawaomba kina Zahiri kuwe waangalifu sana tena sana. Hamuezi kujua mnakera wangapi kwenye kufatia habari haswa hizo zinazohusiana na mauaji. Kuweni waangalifu sana. Allah akulindeni nyote, amiin.
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 2 жыл бұрын
Unamaanisha nini ? Kwan wao si wanatuletea mrejesho
@queenhuu2852
@queenhuu2852 2 жыл бұрын
Ata sijamueleewa kabisa mm
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 2 жыл бұрын
Unaongea Nini?
@tatotato506
@tatotato506 2 жыл бұрын
Mbona tv nyingi zinafatilia mauwaji au wewe umeona kwa zahir tuu
@charityjoshua6135
@charityjoshua6135 2 жыл бұрын
Mmmm nmeingiwa mashaka na wewe kwann umekereka na haya mauajiiii🙄🙄🙄🙄🙄
@shabanwolf4986
@shabanwolf4986 2 жыл бұрын
Pole sana mama
@asiacruiz5165
@asiacruiz5165 2 жыл бұрын
Pole Sana 😭😭😭bi mkubwa Allah akupe subra
@himbehimbe4266
@himbehimbe4266 Жыл бұрын
Pole sana mama Kwa mitihan
@mwajomaessa7513
@mwajomaessa7513 2 жыл бұрын
Pole san mama 😭😭
@khadjaiddlis283
@khadjaiddlis283 2 жыл бұрын
Kwakweli inauma sana yaani nimeumia mno
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Inaumiza nashindwahatakusikiliza hadi mwisho mama inaniuma. Sana 😭😭
@فاطمةسعيد-ث2ق
@فاطمةسعيد-ث2ق 2 жыл бұрын
😭😭😭😭
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Pole bibi
@pilikhamis2924
@pilikhamis2924 2 жыл бұрын
Pole sana mama yetu kwa kupoteza kijana wako mpendwa mungu ampe kauli sabiti inshaallah mbele yake nyuma yetu amen
@mwanaishamande8880
@mwanaishamande8880 2 жыл бұрын
Pamoja nayote lkn alikuwa anamjali mama yake mungu amjaae pepo huko aliko
@salhaali9284
@salhaali9284 2 жыл бұрын
Amin yarrab
@pilimusa3217
@pilimusa3217 2 жыл бұрын
Amiin
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
@@pilimusa3217 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@mariamahmad8261
@mariamahmad8261 2 жыл бұрын
Jaameni duuu pole sana mama jaameni ni uchngu mkubwa sana
@abelmange5430
@abelmange5430 2 жыл бұрын
Dah..! Huyu mwamba kavutaa, Asee Imenigusa sana...!! Kweli dunia tunapita tu,
@husnamtitiko9312
@husnamtitiko9312 2 жыл бұрын
Daah acha tu tena kwa kuuliwa😭😭
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 2 жыл бұрын
Itakuwa hao waliomua ndo ndo walichukuwa mobail yake ndo waliokuwa wametoa salam za kufa kwa sababu waliipata vipi mobail yake
@omanoman2044
@omanoman2044 2 жыл бұрын
Jaman pole san sie tuna wazazi tumewajengea lakin hata shukuran hawan mungu atupe mwisho mwem
@happynessswai3922
@happynessswai3922 2 жыл бұрын
Jaman pole nying kwa family yake Zaid kwa mama ake Mungu ampumzishe salama
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 2 жыл бұрын
Daaaaaaaa nimeumia sna pole mama Kaz ya mungu hiii aina makosa 😭😭😭
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@marymuchina1481
@marymuchina1481 2 жыл бұрын
Hongera kaka Kazi zuri
@twix1404
@twix1404 2 жыл бұрын
Pole Sana mama najua uchungu unaoupitia sie tulizaliwa 6 watano woke wamefarik Mei na wazazi wangu, na wao wameondoka nimebaki peke yangu nashukuru Nina wajokba mababa wadogo na wakubwa mashangazi wananipenda wamenisomesha nje
@sadasambuka7814
@sadasambuka7814 2 жыл бұрын
Pole sana mpenzi
@twix1404
@twix1404 2 жыл бұрын
@@sadasambuka7814 Asante
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 2 жыл бұрын
pole sana mama Mungu akupe subra lnshallha
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 2 жыл бұрын
Selemani yaani umetoka gerezani ufe, isijekuwa yule mama aliekufunga ndie kakumaliza.
@mamawawili4069
@mamawawili4069 2 жыл бұрын
Kwan huy mma yup wap huy aliomfunga 🙄 wend akaw kwel na marehem si aliongeg kusema huy bint sio mwanae ila ni roh mbay yk 2 duuuuh umeona mbal my 😭😭😭😭😭
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 2 жыл бұрын
Kuna alie niambia wameuliwa mtamani kwao Siokama kwenye poli natukitaka tujue ukweli kinazahiri waaende kibaha. Ni kajalibu kumbembeleza aniambie kakataa ujue kunakitu
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 2 жыл бұрын
Kweli yule bibi hakufurah kurud anaona atakuwa closed na mtt
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 2 жыл бұрын
@@fatmamsiliwa8485 inaonyesha aliyemfunga selemani Wala Hana ukaribu Sana na Ile familia.kwasababu ilionyesha ni kama vile yule mama mtoto alikuwa anafanya kazi TU kwake.
@asmarajabu5786
@asmarajabu5786 2 жыл бұрын
mnalazimisha zahiri aende kufatilia porisi kwiyo mbona ndugu zake hawaende ,mnafikiria rahis,i subutu mwacheni apambane na vipindi vyake
@anasitacianjerianasitacia4367
@anasitacianjerianasitacia4367 2 жыл бұрын
Fabby anaongea na huyu mama kama mtu mzima kabisa,Maximum family God bless you
@maximumtvonline
@maximumtvonline 2 жыл бұрын
😁 naongea kama ninavyo ongea na mama yangu
@rayaali9729
@rayaali9729 2 жыл бұрын
Ma sha Allah anaongea kwa umakini
@sylviermuhonjah8411
@sylviermuhonjah8411 2 жыл бұрын
Hapo zahir hawezi,,ana maneno 10 kwa sekunde😀
@rayaali9729
@rayaali9729 2 жыл бұрын
@@sylviermuhonjah8411 hahaha
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
@@rayaali9729 sana
@laymashabani832
@laymashabani832 2 жыл бұрын
Inaumiza sana kwakweli 😭😭 pole mamaangu
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 Жыл бұрын
Allahu akbar 😭😭😭😭
@faithkapondo5383
@faithkapondo5383 2 жыл бұрын
Dah watoto 10 kuzika tujifunze ktu
@mrsliverpool4235
@mrsliverpool4235 2 жыл бұрын
dah maskini
@shameemrashid5219
@shameemrashid5219 2 жыл бұрын
😭😭😭😭jamn nimelia kwa uchungu
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 жыл бұрын
Ila fabi umenifanya nimecheka eti kuna yule askari magereza amezaa nae,mama nae kaongeza chumvi ee huyo siyo askari ni mchaga🙈🙈
@mamushemshami1018
@mamushemshami1018 2 жыл бұрын
Kaka kaniliza Sana uyu jaman..historia yake maskin urain kaishi maisha mafup san😪😥😥
@sophiamirambo9656
@sophiamirambo9656 2 жыл бұрын
Sana kaishi miaka 20 ndani 20 nje kwaheri dunia mungu amrehemu
@janethkomba4485
@janethkomba4485 Жыл бұрын
yani kaacha majozi kwakila mtu😭😭😭
@shanifesto9037
@shanifesto9037 2 жыл бұрын
Dahhh 😭😭😭😭😭pole mama
@swadatimmbaga7435
@swadatimmbaga7435 8 ай бұрын
Akiwa gerezan Amezaaje?
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 2 жыл бұрын
Zahiri.... Fabi. Mfanye muende kibaha tutajua mengi
@naaalovee3910
@naaalovee3910 2 жыл бұрын
Kashakukatalia. Ndugu wenyew wamegoma kwenda sembuse huyo zahir.
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 2 жыл бұрын
Maximum tv mumumsa8die kumjengea hiyu mama ake selemani mtowe kwa mawazo ya mwanawe alikuwa anapambana kwa haraka ni muda tu stoke gerezani karat mpaka kumuona mwanaye natafuta kazi kw bibi iliamuweke mama yake kwa nyumba lakini mungu amemuhitaji zahiri amsaidie huyu mama
@evawilliamchatila8211
@evawilliamchatila8211 2 жыл бұрын
Pole sans daaa,!
@fatmamansour676
@fatmamansour676 2 жыл бұрын
Selemani Alesha tangulia mbele ya haki ila mwisho aliwageukia kina zahir mambo yake alikuwa hawashirikishi na akifanikiwa kupata pesa nyingi sana
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 2 жыл бұрын
Poleni na msiba, mie naomba kuwaza tofauti Kaka Zahir ulienda kuangalia maiti kuhakiki? Maana kumezuka maigizo mengi hapa mjini za kutafuta kiki, Kuna wale walituaminisha ndoa kumbe sio, Mimi Nina wasiwasi, kama mnaakumbuka Sele alisema alivyotoka jela alikuta wazazi wamefariki
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 2 жыл бұрын
Fabi alienda muhimbili na akaiona maiti ya selemani fabi alisema kweneye ile clip ya kutoka muhimbili na maiti ya sele km sikosei😢😢😢
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 2 жыл бұрын
duh😭😭😭mama anazika wanae yy anabaki wallah inauna sn yy mama na ali ngumu sn jmn dah maisha anaewategemea ndio wanatoeweka😢mungu nyie mliotoa uhai kaka wawatu mungu awalaan sn😢
@uwimanauwimana7692
@uwimanauwimana7692 2 жыл бұрын
Selemani alisema babake ndie aliefariki sio mamake
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 жыл бұрын
When we plan God plan us
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk Жыл бұрын
Aslamu alaikum kwaupande wapili bwanayesu asifiwe jamani mimi wasiwasi wangu kwahawa wanahabali nikulekumwambia mtu aseme kiasi alicho pata hapo hamuoni kua munamtafutia mtu mashaka ya dunia wakati dini yasema ukitowa kulia kushoto isijue samahanini jamani kama nimekukeleni maana hata yulemama wakihindi alitapeliwa munisamehe bule
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 2 жыл бұрын
Duu jamani alifungwa sababu ya kumpa mimba mtoto WA watu Sasa na gerezani akenda kumpa mwanamke mwingine mimba haaa jamani nye hizi
@queenhuu2852
@queenhuu2852 2 жыл бұрын
Nimecheka mm ,,😆ss miak 20 bila y kujistareehesha buree hii ,, kwnz seleman alikua mjanja Sana ndio maana alipata mwanamke gerezan
@wemasamir9451
@wemasamir9451 2 жыл бұрын
Kaka zahir jana nimekuona jmn nimejickia raha mungu akutieni nguvuuu sanaaaa wewe na team yko yote
@everlyneiminza5722
@everlyneiminza5722 2 жыл бұрын
Eeeeh Mungu 😭😭😭😭
@maryamsaid8152
@maryamsaid8152 2 жыл бұрын
Nyie jamaniiiiiiii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@tatumussa651
@tatumussa651 2 жыл бұрын
Pore mama
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 2 жыл бұрын
Polen wafiwa hiv yule mke wake wa oman walipeana talaka?
@olivajoseph1697
@olivajoseph1697 2 жыл бұрын
Nimzee lakini anajua kujieleza. kumbe jela wako huru tu jamani
@khadijamohammed2855
@khadijamohammed2855 2 жыл бұрын
Poleni wafiwa
@noorlheyaljabri602
@noorlheyaljabri602 2 жыл бұрын
polrsana mama allh akupesubra kwamtihani
@ayshachondo9090
@ayshachondo9090 2 жыл бұрын
😭😭😭
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
Pole sana mama yangu Allah Awape subira kwa wakat huu mgum kwetu sote😭😭 Amlaze kakaetu mahali pema kwenye wema 🙏🏿🙏🏿💔💔 bro wangu fabi nmepeana no kwa mdogo wetu atakupigia cm jina aitwa saida atakwambia nmemtuma mie tumusaidie mamaetu 🙏🏿🤝
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
Ndugu zangu najuwa mtajiuliza masuali lkn mie kwa saahii nipo jordan na xina Em pesa 🤝🤝 sana
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 2 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 fanyaa kutuma money glam my ndio njia tunaiyotumia pesa unafika kwenye moja kwa moja
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
@@ukhutfatumah1154 paka wantumie majina kamili ya kitambulisho ndiyo naeza wstumia hukuu🤗
@qwqw1665
@qwqw1665 2 жыл бұрын
Lakin hilijambo likifwatiliwa kiunda itajulikana tatizo lilikua nnn jaman
@babesangarefans6983
@babesangarefans6983 2 жыл бұрын
Sauti ya mama kama ya kijana . Pole na matatizo
@StAr-yu3vz
@StAr-yu3vz 2 жыл бұрын
Pore sana mama
@tatutatu1570
@tatutatu1570 2 жыл бұрын
Pole sana mama 😭💔
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 жыл бұрын
Dah inaumiza sana ila huyu mama asikatae mjukuu yeyote atakayeletwa ni mtoto iwe aliambiwa hajaambiwa ila awapokee hapo mwenyewe wanae wote 10 nzima imelamba udongo amebakia mmoja kizazi chake kinaenda kupotea huyu Mungu jamani atuepushie kama ni laana imwondoke siyo bure kabisa 😭😭😭
@khadijashabani5509
@khadijashabani5509 2 жыл бұрын
Yani hao watoto wabaki tu kwa mamazao maana hata huko kwa bibiyake nazani kuna mzim unamtafuta
@sophiamirambo9656
@sophiamirambo9656 2 жыл бұрын
Kabisaa mungu ampe ukombozi
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 жыл бұрын
Marehemu alikuwa ni mtu wa aina gani na kazi yake ni nini na marafiki zake ni akina nani na tabia yake ulikuwa ni ya aina gani .ila kifo lazima kiwe na sababu mbalimbali.ila Mungu amsamehe dhambi zake
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 2 жыл бұрын
Ungefuatilia toka mwanzo kadhia alizopitia nadhani ungeelewa nini kimetokea.Andika hivi.Aliyefungwa miaka 30 atoka jela.Utaletewa histori zote kisha utapata ufahamu nini kimetokea kwa huyu kijana.
@عبداللهالعازمي-ع3ش
@عبداللهالعازمي-ع3ش 2 жыл бұрын
😭😭
@fatuma5208
@fatuma5208 Жыл бұрын
Innalilahwainnalilahranjaun😭😭😭😭😭😭😭
@olivajoseph1697
@olivajoseph1697 2 жыл бұрын
Kumbe zile pesa alimpelekea na mama ake 😭😭😭😭😭
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 2 жыл бұрын
Jani zahiri kuna alie niambia huyu sele kuliwa mtamani kwake kibaha natukitaka tujue ukweli uende nikambembeleza aniambie alimkataa katu ilq kasema muende ndio mtajua ukweli lazima kutakuwa NA kitu
@aminaam281
@aminaam281 2 жыл бұрын
Hakika
@asinakassim1548
@asinakassim1548 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😥😥😥😥
@olivajoseph1697
@olivajoseph1697 2 жыл бұрын
Aki hii Dunia kunawatu wanayapitia 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 2 жыл бұрын
Sasa huyo mwanamke aliempa mimba akiwa gerezani alikuwa askari magereza. Au alikuwa mfungwa au nini???
@pilimusa3217
@pilimusa3217 2 жыл бұрын
😆😆😆😆😆
@alhabsi6430
@alhabsi6430 2 жыл бұрын
Hata mimi najiuliza na kushangaa
@gracemadondola7331
@gracemadondola7331 2 жыл бұрын
Alikua mchaga
@irenewile
@irenewile 2 жыл бұрын
Uchungu wa kukaa watoto wote hao .
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 2 жыл бұрын
MUNGU wangu 😭😭 watoto wote 10 Kwisha
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk Жыл бұрын
Hunimtihani mzito yani ndiomaana mtu usimuite mgumba huwezijua hapo s'imposa attelée kama hivyo
@olivajoseph1697
@olivajoseph1697 2 жыл бұрын
Maskini bado amepanga. Maximum TV msaidiane huyu bibi
@omanoman2044
@omanoman2044 2 жыл бұрын
Tuwakumbuke wazazi wetu japo kwa sim jaman
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 2 жыл бұрын
Kama aliishi kibiti inawezekana Yale mauaji ya kibiti alikimbia ndio wamemfuata huko. kifo chake ni Siri kubwa
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 2 жыл бұрын
Kuna alie niambia huyu SELEMANI kafia mtaani kwake yeye Huyo mtu akasema tukitaka kujua ukweli kinazahiri waaende nikajua hapo kunakitu
@pilimusa3217
@pilimusa3217 2 жыл бұрын
Aliuwa mtu kibiti?
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 2 жыл бұрын
@@pilimusa3217 mbona wengi Sana walikuwa wakichinjwa kama kuku watu wengi waliopona wakakimbia
@pilimusa3217
@pilimusa3217 2 жыл бұрын
@@fatmaabdallah7709 he hatari. Kwa nini walikuwa wanachinjwa?
@pilimusa3217
@pilimusa3217 2 жыл бұрын
@@fatmaabdallah7709 selemani na yeye aliuwa watu huko kibiti?
@uwimanauwimana7692
@uwimanauwimana7692 2 жыл бұрын
Bibi anamaisha magumu sana 😭
@asmarajabu5786
@asmarajabu5786 2 жыл бұрын
sana kama kumsaidia Huyu bibi lakini mambo ya porisi achana nayo
@sophiamirambo9656
@sophiamirambo9656 2 жыл бұрын
Kwakweli Bibi maisha yake magumu sanaaa kweli hujafa hujaumbika
@aishachambo8663
@aishachambo8663 2 жыл бұрын
Tuwachangie jaman dah
@fatmamamlo7882
@fatmamamlo7882 2 жыл бұрын
Sauti inazingua
@munakhamis982
@munakhamis982 2 жыл бұрын
Umelala umuumu congole😍
@fatmamamlo7882
@fatmamamlo7882 2 жыл бұрын
@@munakhamis982 kiukweli msiba huu umenipa mawaidha tosha tena nimeumia kanakwamba ndugu yangu wa damu mtu kaushi jela miaka kibao katoka sallama salimin anakuja kuuliwa kikatili 🤔🤔🤔🤔
@sweetie6934
@sweetie6934 2 жыл бұрын
Simu yako ndo inazingua
@fatmamamlo7882
@fatmamamlo7882 2 жыл бұрын
@@sweetie6934 saizi nasikia saut
@munakhamis982
@munakhamis982 2 жыл бұрын
@@fatmamamlo7882 Haki mm zaidi hii ndio mitihan tuliyoambiw itatupat unapimwa Imma shaakira waimma kafura 😥
@salmasalim6055
@salmasalim6055 2 жыл бұрын
Pole sana mama Allah akupe subra
@DativaMbowe
@DativaMbowe 4 ай бұрын
😭😭😭😭
@Elizabeth-777-r3p
@Elizabeth-777-r3p 2 жыл бұрын
😭😭😭
TANZIA| SELEMANI AFARIKI DUNIA KWAKUPIGWA MAPANGA NA WATU WASIO JULIKANA
25:14
Life hack 😂 Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:17
Leisi Crazy
Рет қаралды 80 МЛН
怎么能插队呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:12
火影忍者一家
Рет қаралды 46 МЛН
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 22 МЛН
How to whistle ?? 😱😱
00:31
Tibo InShape
Рет қаралды 16 МЛН
HAPA NDIPO ANAPOISHI MUNIRA KWASASA
5:28
FABIAN KISAKA
Рет қаралды 21 М.
Hii nyumba haina kasoro
3:34
DALALI WA TAIFA KIGAMBONI
Рет қаралды 25 М.
GENERIC PROMO YA REALITY SHOW YA GIGY MONEY
2:21
ZamaradiTV
Рет қаралды 42 М.
Life hack 😂 Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:17
Leisi Crazy
Рет қаралды 80 МЛН