Pole mom na familia kwa ujumla na sisi tupowe kwa pamoja kaz ya mung hainaga makosa sifa zote njema zinamstahik mung muumba wa viumbe wot tuseme Alhamdulillah
@zamzamabdi52792 жыл бұрын
Kweli kabisa.kazi ya mungu ndo vile uliposema
@salamanauthar4802 жыл бұрын
Alhamdulillah
@salamanauthar4802 жыл бұрын
Alhamdulillah🤲
@salamanauthar4802 жыл бұрын
Pole sana Mama yetu kipenzi' ALLAH Akujaze nguvu inshaallah
@mosesmwaisumo28382 жыл бұрын
Dah😭😭😭😭 duniani Kuna mingi mitihani watoto wote kumi kiukweli tuombeni Mungu atupe mwisho mwema,dunian tukumbukane huyu mama anahitaji faraja ya Hali ya juu😭😭😭😭😭
@sophiamirambo96562 жыл бұрын
Mnooo
@janethkomba4485 Жыл бұрын
sanaa
@sharifanyumayo63142 жыл бұрын
Pole sana mamayngu kwa matatizo makubwa yalokupata! Ila yote ni mipango ya mungu na inaumiza sana kwani Selemani alikuahidi mengi ila ndo mipango ya mungu! Mbele yke nyuma yetu. Na nimekupenda mama wajieleza vzr kwa ujasir mkubwa.!
@munirachangawa29282 жыл бұрын
Pole mamangu.mungu atakufanyia wepesi na atakupa subra katika kipindi hiki kigumu.
@ziadakisanga10112 жыл бұрын
Pole sana mama Allah akupe nguvu
@shi5a_2 жыл бұрын
Pole sana mama angu m mungu awape subira na amrehem amlaze pema pepon amiin na waislam wote amiin
@salamanauthar4802 жыл бұрын
Aamin🤲
@florakishiwa40002 жыл бұрын
masikin mama pole sana kaka zahili nakuomba huyu mama tumsaidie buku moja tu linampa falaja
@douglasvernon94922 жыл бұрын
💕💕💕
@habibaa95032 жыл бұрын
Inauma sana 😭😭mungu akupe nguvu mama yetu
@steramwanakira71832 жыл бұрын
Pole sanaa mama Pole mnooo
@shameemrashid52192 жыл бұрын
Kuna siri kubwa sana juu ya kifo cha Selemani yaan haiwezekan mtu apigwe mapanga na boda wake na pikipiki ikutwe masikin Allahu yaa alam Allah ndio anajua kila kitu ... pumzik sele wamekuua kikatili san
@rahmaramadhani34702 жыл бұрын
Subhana Allah ainahitajika tumsaidie
@olivajoseph16972 жыл бұрын
Mama anamitihani huyu. kweli kilajalibu anarokupa Mungu ameona unaliweza. 😭😭😭😭😭
@irenewile2 жыл бұрын
Amezaa watoto wengi Sana na wote amewazika,,Mungu wangu msimamie huyo mama
@mariamissa40292 жыл бұрын
Subhannallah😭😭😭😭,pole sana mama angu allah akutie nguvu katika kipendi hichi kigumu
@sabihahamadi22872 жыл бұрын
Pole mama m mwenyezi mungu atawahukumu wote walio mdhulumu mtoto wako
@oliviaseth46522 жыл бұрын
Tuwachangie jamani, chochote
@qwqw16652 жыл бұрын
Pole sana mama yangu tunaumia sana kifo cha seleman. Jaman😭😭😭😭👍👍👍
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Mtihani mungu atawafanyia wepesi ishaalah kwa uwezo wa mungu ishaalah mama wa marehem suleiman
@queenhuu28522 жыл бұрын
Inaumiiza Sana huu msiiba wa seleiman ,, ila tumtegeemee Allah Kwa Zulma alizofanyiiwa seleiman ,ila Allah anatosha na nimbora wakutegeemeewa ila inaumiiza sn ,huyu mama atia huruuma
@maimonamaimona11772 жыл бұрын
Polemama inauma sana
@MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын
Pole sana mom
@rachelsika95882 жыл бұрын
pole sana mama, tumsaidie huyo mama
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Mtihani mungu afanyie wepesi ishaalah
@hebronsdaughter16612 жыл бұрын
Pole sana mama kwa kumpoteza mwanao mwenyezi Mungu akufariji
@mariamjuma41832 жыл бұрын
Napenda sana mahojiano ya fabi jaman yaan unamsikiliza vizur sana mtu
@maximumtvonline2 жыл бұрын
@@mariamjuma4183 asante
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
@@mariamjuma4183 sana🤝🤝
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
@@maximumtvonline Allah awajaalie wote 🙏🏿🤝
@aminasuleiman81202 жыл бұрын
Mamaake Sele anahitaji msaada kwakweli 😥😥😥 Pole sana mamaangu 😭😭😭
@زيتونتنزانيا2 жыл бұрын
Kuna alie sema kuwa kuliwa mtamani kwake kibaha natukitaka kujua ukweli kinazahiri waaende ndugu wanasema kuliwa. Njiani kuna alie niambia kuliwa. Mtamani kwake
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
@@زيتونتنزانيا Subuhanallah Allahu Akibar basi uwenda a nawajua walio mfanyiahivyo Allah awakamatishe na polisi nawao wauliwe lnshaallah
@زيتونتنزانيا2 жыл бұрын
@@hanifatanzania7258 watakuwa wameona tukio zima
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
@@زيتونتنزانيا mtihani janin nimeliampakanimeshindwskimdikiliza mamayake Sele ,,, sijui binaadam tutamwambianini Mungu ......... Nahao wanawake zake mm Nina wasiwasi nao kwaniniwasikatwe
@maximumtvonline2 жыл бұрын
Mbona umekomalia sisi tuende? Ndugu zake marehemu kwann hawajaenda?..
@aminaali7922 жыл бұрын
Subhannah ALLAH tunawashkur maximum tv wote kwa kumpata huyu mama yaani inaskitisha sana kumuona huyu mama anawatoto wote lkn hakuna alieweza kusaidia ya Rabbi amsimamie huyu mama Etu🤲🏼pia naomba kama una number ya huyu mama tuwekee tuweze kusaidia kitu chochote please🥺❤️
@beatricemdoe28502 жыл бұрын
Watoto walikufa amebaki mmoja
@alhamdulillah57962 жыл бұрын
Mm nawaomba kina Zahiri kuwe waangalifu sana tena sana. Hamuezi kujua mnakera wangapi kwenye kufatia habari haswa hizo zinazohusiana na mauaji. Kuweni waangalifu sana. Allah akulindeni nyote, amiin.
@fatmamsiliwa84852 жыл бұрын
Unamaanisha nini ? Kwan wao si wanatuletea mrejesho
@queenhuu28522 жыл бұрын
Ata sijamueleewa kabisa mm
@jovanafidelis28022 жыл бұрын
Unaongea Nini?
@tatotato5062 жыл бұрын
Mbona tv nyingi zinafatilia mauwaji au wewe umeona kwa zahir tuu
@charityjoshua61352 жыл бұрын
Mmmm nmeingiwa mashaka na wewe kwann umekereka na haya mauajiiii🙄🙄🙄🙄🙄
@shabanwolf49862 жыл бұрын
Pole sana mama
@asiacruiz51652 жыл бұрын
Pole Sana 😭😭😭bi mkubwa Allah akupe subra
@himbehimbe4266 Жыл бұрын
Pole sana mama Kwa mitihan
@mwajomaessa75132 жыл бұрын
Pole san mama 😭😭
@khadjaiddlis2832 жыл бұрын
Kwakweli inauma sana yaani nimeumia mno
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Inaumiza nashindwahatakusikiliza hadi mwisho mama inaniuma. Sana 😭😭
@فاطمةسعيد-ث2ق2 жыл бұрын
😭😭😭😭
@khadijahali48372 жыл бұрын
Pole bibi
@pilikhamis29242 жыл бұрын
Pole sana mama yetu kwa kupoteza kijana wako mpendwa mungu ampe kauli sabiti inshaallah mbele yake nyuma yetu amen
@mwanaishamande88802 жыл бұрын
Pamoja nayote lkn alikuwa anamjali mama yake mungu amjaae pepo huko aliko
@salhaali92842 жыл бұрын
Amin yarrab
@pilimusa32172 жыл бұрын
Amiin
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
@@pilimusa3217 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@mariamahmad82612 жыл бұрын
Jaameni duuu pole sana mama jaameni ni uchngu mkubwa sana
Itakuwa hao waliomua ndo ndo walichukuwa mobail yake ndo waliokuwa wametoa salam za kufa kwa sababu waliipata vipi mobail yake
@omanoman20442 жыл бұрын
Jaman pole san sie tuna wazazi tumewajengea lakin hata shukuran hawan mungu atupe mwisho mwem
@happynessswai39222 жыл бұрын
Jaman pole nying kwa family yake Zaid kwa mama ake Mungu ampumzishe salama
@ukhutfatumah11542 жыл бұрын
Daaaaaaaa nimeumia sna pole mama Kaz ya mungu hiii aina makosa 😭😭😭
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@marymuchina14812 жыл бұрын
Hongera kaka Kazi zuri
@twix14042 жыл бұрын
Pole Sana mama najua uchungu unaoupitia sie tulizaliwa 6 watano woke wamefarik Mei na wazazi wangu, na wao wameondoka nimebaki peke yangu nashukuru Nina wajokba mababa wadogo na wakubwa mashangazi wananipenda wamenisomesha nje
@sadasambuka78142 жыл бұрын
Pole sana mpenzi
@twix14042 жыл бұрын
@@sadasambuka7814 Asante
@safiyatheonlything78482 жыл бұрын
pole sana mama Mungu akupe subra lnshallha
@oliviaseth46522 жыл бұрын
Selemani yaani umetoka gerezani ufe, isijekuwa yule mama aliekufunga ndie kakumaliza.
@mamawawili40692 жыл бұрын
Kwan huy mma yup wap huy aliomfunga 🙄 wend akaw kwel na marehem si aliongeg kusema huy bint sio mwanae ila ni roh mbay yk 2 duuuuh umeona mbal my 😭😭😭😭😭
@زيتونتنزانيا2 жыл бұрын
Kuna alie niambia wameuliwa mtamani kwao Siokama kwenye poli natukitaka tujue ukweli kinazahiri waaende kibaha. Ni kajalibu kumbembeleza aniambie kakataa ujue kunakitu
@fatmamsiliwa84852 жыл бұрын
Kweli yule bibi hakufurah kurud anaona atakuwa closed na mtt
@jovanafidelis28022 жыл бұрын
@@fatmamsiliwa8485 inaonyesha aliyemfunga selemani Wala Hana ukaribu Sana na Ile familia.kwasababu ilionyesha ni kama vile yule mama mtoto alikuwa anafanya kazi TU kwake.
@asmarajabu57862 жыл бұрын
mnalazimisha zahiri aende kufatilia porisi kwiyo mbona ndugu zake hawaende ,mnafikiria rahis,i subutu mwacheni apambane na vipindi vyake
@anasitacianjerianasitacia43672 жыл бұрын
Fabby anaongea na huyu mama kama mtu mzima kabisa,Maximum family God bless you
@maximumtvonline2 жыл бұрын
😁 naongea kama ninavyo ongea na mama yangu
@rayaali97292 жыл бұрын
Ma sha Allah anaongea kwa umakini
@sylviermuhonjah84112 жыл бұрын
Hapo zahir hawezi,,ana maneno 10 kwa sekunde😀
@rayaali97292 жыл бұрын
@@sylviermuhonjah8411 hahaha
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
@@rayaali9729 sana
@laymashabani8322 жыл бұрын
Inaumiza sana kwakweli 😭😭 pole mamaangu
@achouraachoura5763 Жыл бұрын
Allahu akbar 😭😭😭😭
@faithkapondo53832 жыл бұрын
Dah watoto 10 kuzika tujifunze ktu
@mrsliverpool42352 жыл бұрын
dah maskini
@shameemrashid52192 жыл бұрын
😭😭😭😭jamn nimelia kwa uchungu
@cheiknamouna20582 жыл бұрын
Ila fabi umenifanya nimecheka eti kuna yule askari magereza amezaa nae,mama nae kaongeza chumvi ee huyo siyo askari ni mchaga🙈🙈
@mamushemshami10182 жыл бұрын
Kaka kaniliza Sana uyu jaman..historia yake maskin urain kaishi maisha mafup san😪😥😥
@sophiamirambo96562 жыл бұрын
Sana kaishi miaka 20 ndani 20 nje kwaheri dunia mungu amrehemu
@janethkomba4485 Жыл бұрын
yani kaacha majozi kwakila mtu😭😭😭
@shanifesto90372 жыл бұрын
Dahhh 😭😭😭😭😭pole mama
@swadatimmbaga74358 ай бұрын
Akiwa gerezan Amezaaje?
@زيتونتنزانيا2 жыл бұрын
Zahiri.... Fabi. Mfanye muende kibaha tutajua mengi
@naaalovee39102 жыл бұрын
Kashakukatalia. Ndugu wenyew wamegoma kwenda sembuse huyo zahir.
@farhannahkulishwaburekunam53602 жыл бұрын
Maximum tv mumumsa8die kumjengea hiyu mama ake selemani mtowe kwa mawazo ya mwanawe alikuwa anapambana kwa haraka ni muda tu stoke gerezani karat mpaka kumuona mwanaye natafuta kazi kw bibi iliamuweke mama yake kwa nyumba lakini mungu amemuhitaji zahiri amsaidie huyu mama
@evawilliamchatila82112 жыл бұрын
Pole sans daaa,!
@fatmamansour6762 жыл бұрын
Selemani Alesha tangulia mbele ya haki ila mwisho aliwageukia kina zahir mambo yake alikuwa hawashirikishi na akifanikiwa kupata pesa nyingi sana
@darajalakidatukilomgi23622 жыл бұрын
Poleni na msiba, mie naomba kuwaza tofauti Kaka Zahir ulienda kuangalia maiti kuhakiki? Maana kumezuka maigizo mengi hapa mjini za kutafuta kiki, Kuna wale walituaminisha ndoa kumbe sio, Mimi Nina wasiwasi, kama mnaakumbuka Sele alisema alivyotoka jela alikuta wazazi wamefariki
@ruqaiamohammed3452 жыл бұрын
Fabi alienda muhimbili na akaiona maiti ya selemani fabi alisema kweneye ile clip ya kutoka muhimbili na maiti ya sele km sikosei😢😢😢
@kiehbhzh70442 жыл бұрын
duh😭😭😭mama anazika wanae yy anabaki wallah inauna sn yy mama na ali ngumu sn jmn dah maisha anaewategemea ndio wanatoeweka😢mungu nyie mliotoa uhai kaka wawatu mungu awalaan sn😢
Aslamu alaikum kwaupande wapili bwanayesu asifiwe jamani mimi wasiwasi wangu kwahawa wanahabali nikulekumwambia mtu aseme kiasi alicho pata hapo hamuoni kua munamtafutia mtu mashaka ya dunia wakati dini yasema ukitowa kulia kushoto isijue samahanini jamani kama nimekukeleni maana hata yulemama wakihindi alitapeliwa munisamehe bule
@zuweinaalhabsya87732 жыл бұрын
Duu jamani alifungwa sababu ya kumpa mimba mtoto WA watu Sasa na gerezani akenda kumpa mwanamke mwingine mimba haaa jamani nye hizi
@queenhuu28522 жыл бұрын
Nimecheka mm ,,😆ss miak 20 bila y kujistareehesha buree hii ,, kwnz seleman alikua mjanja Sana ndio maana alipata mwanamke gerezan
@wemasamir94512 жыл бұрын
Kaka zahir jana nimekuona jmn nimejickia raha mungu akutieni nguvuuu sanaaaa wewe na team yko yote
@everlyneiminza57222 жыл бұрын
Eeeeh Mungu 😭😭😭😭
@maryamsaid81522 жыл бұрын
Nyie jamaniiiiiiii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@tatumussa6512 жыл бұрын
Pore mama
@ruqaiamohammed3452 жыл бұрын
Polen wafiwa hiv yule mke wake wa oman walipeana talaka?
@olivajoseph16972 жыл бұрын
Nimzee lakini anajua kujieleza. kumbe jela wako huru tu jamani
@khadijamohammed28552 жыл бұрын
Poleni wafiwa
@noorlheyaljabri6022 жыл бұрын
polrsana mama allh akupesubra kwamtihani
@ayshachondo90902 жыл бұрын
😭😭😭
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
Pole sana mama yangu Allah Awape subira kwa wakat huu mgum kwetu sote😭😭 Amlaze kakaetu mahali pema kwenye wema 🙏🏿🙏🏿💔💔 bro wangu fabi nmepeana no kwa mdogo wetu atakupigia cm jina aitwa saida atakwambia nmemtuma mie tumusaidie mamaetu 🙏🏿🤝
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
Ndugu zangu najuwa mtajiuliza masuali lkn mie kwa saahii nipo jordan na xina Em pesa 🤝🤝 sana
@ukhutfatumah11542 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 fanyaa kutuma money glam my ndio njia tunaiyotumia pesa unafika kwenye moja kwa moja
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
@@ukhutfatumah1154 paka wantumie majina kamili ya kitambulisho ndiyo naeza wstumia hukuu🤗
@qwqw16652 жыл бұрын
Lakin hilijambo likifwatiliwa kiunda itajulikana tatizo lilikua nnn jaman
@babesangarefans69832 жыл бұрын
Sauti ya mama kama ya kijana . Pole na matatizo
@StAr-yu3vz2 жыл бұрын
Pore sana mama
@tatutatu15702 жыл бұрын
Pole sana mama 😭💔
@cheiknamouna20582 жыл бұрын
Dah inaumiza sana ila huyu mama asikatae mjukuu yeyote atakayeletwa ni mtoto iwe aliambiwa hajaambiwa ila awapokee hapo mwenyewe wanae wote 10 nzima imelamba udongo amebakia mmoja kizazi chake kinaenda kupotea huyu Mungu jamani atuepushie kama ni laana imwondoke siyo bure kabisa 😭😭😭
@khadijashabani55092 жыл бұрын
Yani hao watoto wabaki tu kwa mamazao maana hata huko kwa bibiyake nazani kuna mzim unamtafuta
@sophiamirambo96562 жыл бұрын
Kabisaa mungu ampe ukombozi
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
Marehemu alikuwa ni mtu wa aina gani na kazi yake ni nini na marafiki zake ni akina nani na tabia yake ulikuwa ni ya aina gani .ila kifo lazima kiwe na sababu mbalimbali.ila Mungu amsamehe dhambi zake
@saimonijonas43562 жыл бұрын
Ungefuatilia toka mwanzo kadhia alizopitia nadhani ungeelewa nini kimetokea.Andika hivi.Aliyefungwa miaka 30 atoka jela.Utaletewa histori zote kisha utapata ufahamu nini kimetokea kwa huyu kijana.
@عبداللهالعازمي-ع3ش2 жыл бұрын
😭😭
@fatuma5208 Жыл бұрын
Innalilahwainnalilahranjaun😭😭😭😭😭😭😭
@olivajoseph16972 жыл бұрын
Kumbe zile pesa alimpelekea na mama ake 😭😭😭😭😭
@زيتونتنزانيا2 жыл бұрын
Jani zahiri kuna alie niambia huyu sele kuliwa mtamani kwake kibaha natukitaka tujue ukweli uende nikambembeleza aniambie alimkataa katu ilq kasema muende ndio mtajua ukweli lazima kutakuwa NA kitu
@aminaam2812 жыл бұрын
Hakika
@asinakassim15482 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😥😥😥😥
@olivajoseph16972 жыл бұрын
Aki hii Dunia kunawatu wanayapitia 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@zuweinaalhabsya87732 жыл бұрын
Sasa huyo mwanamke aliempa mimba akiwa gerezani alikuwa askari magereza. Au alikuwa mfungwa au nini???
@pilimusa32172 жыл бұрын
😆😆😆😆😆
@alhabsi64302 жыл бұрын
Hata mimi najiuliza na kushangaa
@gracemadondola73312 жыл бұрын
Alikua mchaga
@irenewile2 жыл бұрын
Uchungu wa kukaa watoto wote hao .
@mariamgodfrey532 жыл бұрын
MUNGU wangu 😭😭 watoto wote 10 Kwisha
@OmanOman-dd5qk Жыл бұрын
Hunimtihani mzito yani ndiomaana mtu usimuite mgumba huwezijua hapo s'imposa attelée kama hivyo
@olivajoseph16972 жыл бұрын
Maskini bado amepanga. Maximum TV msaidiane huyu bibi
@omanoman20442 жыл бұрын
Tuwakumbuke wazazi wetu japo kwa sim jaman
@fatmaabdallah77092 жыл бұрын
Kama aliishi kibiti inawezekana Yale mauaji ya kibiti alikimbia ndio wamemfuata huko. kifo chake ni Siri kubwa
@زيتونتنزانيا2 жыл бұрын
Kuna alie niambia huyu SELEMANI kafia mtaani kwake yeye Huyo mtu akasema tukitaka kujua ukweli kinazahiri waaende nikajua hapo kunakitu
@pilimusa32172 жыл бұрын
Aliuwa mtu kibiti?
@fatmaabdallah77092 жыл бұрын
@@pilimusa3217 mbona wengi Sana walikuwa wakichinjwa kama kuku watu wengi waliopona wakakimbia
@pilimusa32172 жыл бұрын
@@fatmaabdallah7709 he hatari. Kwa nini walikuwa wanachinjwa?
@pilimusa32172 жыл бұрын
@@fatmaabdallah7709 selemani na yeye aliuwa watu huko kibiti?
@uwimanauwimana76922 жыл бұрын
Bibi anamaisha magumu sana 😭
@asmarajabu57862 жыл бұрын
sana kama kumsaidia Huyu bibi lakini mambo ya porisi achana nayo
@sophiamirambo96562 жыл бұрын
Kwakweli Bibi maisha yake magumu sanaaa kweli hujafa hujaumbika
@aishachambo86632 жыл бұрын
Tuwachangie jaman dah
@fatmamamlo78822 жыл бұрын
Sauti inazingua
@munakhamis9822 жыл бұрын
Umelala umuumu congole😍
@fatmamamlo78822 жыл бұрын
@@munakhamis982 kiukweli msiba huu umenipa mawaidha tosha tena nimeumia kanakwamba ndugu yangu wa damu mtu kaushi jela miaka kibao katoka sallama salimin anakuja kuuliwa kikatili 🤔🤔🤔🤔
@sweetie69342 жыл бұрын
Simu yako ndo inazingua
@fatmamamlo78822 жыл бұрын
@@sweetie6934 saizi nasikia saut
@munakhamis9822 жыл бұрын
@@fatmamamlo7882 Haki mm zaidi hii ndio mitihan tuliyoambiw itatupat unapimwa Imma shaakira waimma kafura 😥