KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE 0625466848 AU 0753393036
Пікірлер: 38
@Neema9355 ай бұрын
Kila mara nikimwona bibi, namkunbuka mama yangu mzazi, yani wamefanana kbs.❤❤❤❤❤❤🇨🇩🇨🇩💗💗
@aminaomary55676 ай бұрын
Zairi yaan ukienda kwa babu na bb napenda sana❤❤❤
@rahma61896 ай бұрын
Mungu endea kuwatunza Hawa wazee nawapenda sana
@aminaali7926 ай бұрын
Kaka zahir napenda unavyotaniana na babu na bibi Maa sha Allah 😍🤍🤍
@Aiisha9016 ай бұрын
zahir wallahi hawa wazee nuru imewajaa sana umewasaidia sana sana mpaka wanajisikia raha
@ritapiusnicolaus70686 ай бұрын
Babu,Bibi nawapenda sana❤❤Mungu awape umri mrefu🙏🙏
@ukhtyrayyan78846 ай бұрын
Apewe umri.mrefu.azidi kulewa Allah ampe mwisho.mwema lakini kiukweli inatia huruma mzee kama huyu bado hajataka kurudi kwa Allah
@SuleimanKhdija6 ай бұрын
Bibi😂 napenda kicheko chako Mashallah ❤❤❤❤❤
@aishatest44516 ай бұрын
mashaallh 🥰🥰🥰🥰
@zeddybby89476 ай бұрын
Wa kwanza leo niachieni like za bibi na babuu❤❤❤lkn mbona hakuna sauti kaka zahir
@aminaramadhan38156 ай бұрын
Tuonyeshe zabibu mama mapacha anaendeleaje
@Mpakauseme6 ай бұрын
safi sana una furahi na wazee
@sissis59546 ай бұрын
Kwann hawakukaribishi ndani kunanini au ndio nyumba chafu
@FatumaMamlo-st8pj6 ай бұрын
Sanani afanye usafi 😢😢😢
@sistertrashid24886 ай бұрын
Amemwambia pita ndani kaka Zahir mwenyewe kasema anaona shida mpaka avue viatu uwe unasilikiliza vizuri na wewe
@salamalsawaqi12066 ай бұрын
😂😂😂😂
@shabaniisumaili76656 ай бұрын
Mzee kijan....😂😂
@AsdDsa-fi5qk6 ай бұрын
Babu yetu
@fatmasalim82936 ай бұрын
Hawa watu hawasali astghfirulllah hata kusaidiwa haifai kwa kweli 😢😢😢
@kutailass66716 ай бұрын
Mmh, kwan kila anae saidiwa ni muislamu? Msaada ni kwa kila binaadam
@ukhtyrayyan78846 ай бұрын
Asie swali hata kusaliwa hafai akifa leo wee unasema nini au wee nawe unasaport mtumzima kama huyo alewe asisali ikiwa kunawatu wachamungu namasikini kuliko yeyeee nawanafanya ibada@@kutailass6671
@sissis59546 ай бұрын
Zahir tuoneshe mama mpakistani tujue maendeleo yake
@maximumtvonline6 ай бұрын
Hataki interview tena amesema mnamtukana sana kwenye commrnt
@VeredianaNicolas6 ай бұрын
Bibi anajikuna jamn
@bentali57736 ай бұрын
Sauti ipo😊
@happytsalakushe1416 ай бұрын
Hadi raha bibie kicheko dawa❤
@ZekaniS6 ай бұрын
Babu na bibi
@mohdbest94886 ай бұрын
Mbona haina sauti?
@swaumuabdallah68866 ай бұрын
Saut ipo mbon itakuwa kwak imekataa
@maryamabdullah91696 ай бұрын
😂😂😂
@DrjosephKingo6 ай бұрын
Zahir maswali yako mengine hayana mantiki unaonekana makuzi yako yana changamoto.uliza maswali yanayoendqna na content zako mtu akipiga mitungi inakuhusu nini wewe kama hawakuombi pesa . Una lugha ya madharau jirekebishe
@kutailass66716 ай бұрын
😂😂kwaajili yakuuliza tung au kingine, watu mnamakasiriko
@Imaniamockgmail6 ай бұрын
Alafu hao si ni kama babu na bibi zetu siku zote baubu na bibi ni watani zetu so mimi naona hapo anawatania tu jamani ila ndo hivyo Kila mtu na mawazo yake@@kutailass6671
@maximumtvonline6 ай бұрын
YEAH TAJIRI MAKUZI YANGU YALIKUWA YA KICHOKORAA SANA BOSA
@ukhtyrayyan78846 ай бұрын
@@kutailass6671hee iyo.kumuliza hayo kuna kosa gani kama mzee wake namie nahisi kama wanataniana tu mbona humsemi huyo babu mlevi haswali.mbona husemi kua hakua namalezi mana kama anamalezi kwaumri huo bado analewa nahaswali inatia huruma