*MWILI WA SELEMAN MFUNGWA WA MIAKA 30 JELA KWA SASA UMEHARIBIKA SANA..AMEPASULIWA KICHWA VIBAYA SANA MPAKA UBONGO WOTE UMEMWAGIKA..MWENZAKE BODA BODA AMESHAZIKWA MAANA WALIUWAWA YEYE NA BODABODA WAKE..SASA MWILI UPO VILE VILE KAMA WALIVOUKUTA BARABARANI PIA HAUJAOSHWA WALA KUCHOMWA SINDANO YA KUZUIA KUHARIBIKA..TUNAOMBA RAMBI RAMBI HARAKA TUKAUCHUKUE KIBAHA TUJE KUUSITIRI HARAKA IWEZEKANAVYO..* *TUMA MCHANGO WAKO HAPA TUWAHI KUMSITIRI* 0769364674 *HUSSEIN NKANA* *VODACOM MPESA*
@shakilamasoud29832 жыл бұрын
Subhana Allah. Mwenyezi Mungu amsamehe kila alipokosea. Innalillah, wainnaillaihi Rajjiun😭
Mwenyezi Mungu amrehemu na amuongoze kwenye safari ambayo ameinza ya maisha mapya mbele yake nyuma yetu 😭😭😭
@leylahbillah48762 жыл бұрын
Khee subhanallah jmn uuwii kaka wa watu jmn daah innalillah wainna ilayhi rajioun
@malak-lz6kx2 жыл бұрын
Poleni sana maximum TV kwakweli inaumiza allah amjaalie nuru kwenye kabri yke amiin.
@رقيهالخصيبي2 жыл бұрын
SubhAllah Innallah wainailah rajoon ewe mwenyeezi tunakuomba umuepushe na moto wajehanam umuondolee adhabu ya kabur na uilaze roho yake mahala pema peponi🤲🤲🤲
@zainabucharles68412 жыл бұрын
Jamani watz tumekuwa na roho ya kihutu khaaa poleni mungu apumzishe peponi
@sifatiiman2 жыл бұрын
amina 😔😔
@BINTIwaKITANGA2 жыл бұрын
Inna lillah wa Inna ilayh rajiun 😭 eeh jamani hizi NI dalili zote za nyakati za MWISHO 😰😭kila MTU Kwa nafasi yake tuombe mwisho mwema hatujui siku ,mwaka ,DK,wala mwezi.HADI NAIGOPA WALLAH 😰☹️😔
@فاطمةسعيد-ث2ق2 жыл бұрын
Kabisa ya acha ty dunia imeisha yarab tujalie mwisho mwema 😭😭😭
@yasminoluoch1692 жыл бұрын
Amin😭😭
@nadiahassan13592 жыл бұрын
Uwiiii jamani Inallilah Wainna ilayhi rajiun M.Mungu afanyie wepesi safari yake very Sad poleni all members of Maximum Tv
@fauziaabdullah37332 жыл бұрын
innalillah waina lillah rajiun zake mbele zetu nyuma Allah ampe kauli thabit
@ukhtyzainab72542 жыл бұрын
Innaa lillahi wainna ilayhiraajiuun,Allah ampokee hali ya kuwa amemridhiya,aamiin
@naamohamed10422 жыл бұрын
Innalilah 😭 😭 😭 😭 😭 jmn mbona nimeshtuka hivi
@khadijahali48372 жыл бұрын
😒😒
@hawamussa1972 жыл бұрын
Innalilah wainnairah rajiuni
@stevemwakisimba59862 жыл бұрын
Poleni sana jamani du!Tanzânia imefika huko!!!
@shekhas5812 жыл бұрын
Innalillah wainna ilayh rajiun Allah amraham na ampe kauli thabit na atujaalie mwisho mwema 🙏
@khadijaabdullah63282 жыл бұрын
Pole kwa happy kumjua baba na kuondokewa mazima
@thulythatmustf35352 жыл бұрын
Masikini Selemani jamoni wetu😭😭😭😭 Mungu amlaze mahala pema peponi. Ila jamani inauma Hawa watu wasijulikana watajulikana lini hasa??
Wanajulikana Basi tuu Imani zimetoweka watu wamekua kama Majangili hawana huruma Unamkatili mwenzako bila sababu Allah Atamuhukumia
@maryamabdullah91692 жыл бұрын
Innalillahi Wainna Ilayhii Rajiuun Allah Amsamehe makosa yake Suleiman wetu Wamemdhulumu
@fatmafatu11282 жыл бұрын
Inna Lilah wainna ilahy rajiun pole sana Allah ampe kauli thabiti allhhum ghafirhu warahamah wasikanatuh firijanna
@aairraahseif56482 жыл бұрын
Innalillahi Wainnah Illahi Rajiuun,Allah amrehemu ampe kauli thabiti,poleni sana Timu Maximum TV,masikini hana bahati na Dunia😥😥kasota jela miaka,katoka hata muda wa ku'enjoy maisha yake bado kauwawa!inauma kweli masikini binti yake alifurahi kuungana na babake,lkn baba kaondoka machoni pake muda mfupi tu'Allah amrehemu,watu wabaya!bora ukutane na mnyama hatokudhuru' kuliko kukutana na binadamu
😭😭 inna lillah wainna lillah rajiun Allah ampe kauli thabit mbele yake nyuma yetu
@Mazoea2 жыл бұрын
Nimestushwa na habari ya uyu kaka jamani
@jumapiliissa48352 жыл бұрын
M/mungu ilaze roho yamarehem mahali pema peponi pole kwa familia
@ForYou-df8pi2 жыл бұрын
Mungu ailaze roho yake pema peponi inshallah 🤲
@arafakiloli7492 жыл бұрын
Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu poleni sana ndugu na jamaa Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu.
@fathmaoman11862 жыл бұрын
Innalillah wainnaillah raj'uun. Yaaarab atuswamehe na utujaalie mwisho mwema
@asiacruiz51652 жыл бұрын
Allah amsamehe dhambi zake za Siri na dhahiri,poleni familia kwa msiba huu mzito
@Zahra1-wf4kj4 ай бұрын
Mungu akulaze mahali pema
@kakakakabeka6242 жыл бұрын
Pole Sana.
@nusrathmanyawa45012 жыл бұрын
Duuuuuh...Mungu ampumzishe mahala pema
@mozuusuleiman47022 жыл бұрын
INNALLILLAH WAINA ILAYHI RAJIUN. ALLAH AMSAMEH MAKOSA YAKE. NASI TULOBAKIA TUPEWE MWISHO MWEMA YARAB
@irenewile2 жыл бұрын
Hata hajaenjoy masikini..
@hpmobilephone99512 жыл бұрын
Wainalahi rajau mlaze mahali peama peponi amina amina rabiamina
@rehemalontinaremysaleh78072 жыл бұрын
R.I.P MAGUFULI Tanzania imerudi tena ile ali yake ya zamani Mungu akulaze mahali pema Sele
@happinessmwenda27732 жыл бұрын
weeee muogope MUNGU kwani watu wasiojulikana wamerudi????
@mahmoodalghefeili53702 жыл бұрын
@@happinessmwenda2773 weee huon matukio
@wasalimie112 жыл бұрын
yenyewe inashangaza yaani tanzania watu kuuana kila siku kunani jamani ama mnatolewa kafara😳😳
@jenyyusuph49732 жыл бұрын
Rest in happy daddy JPM tz imerudi misri tena bado HAIJULIKANI itafika wapi tukitoka misri
@wasalimie112 жыл бұрын
@@jenyyusuph4973 kuelekea kanaan😂😂😂
@ashuraomary88592 жыл бұрын
😭😭😭😭imeniuma jamani watu tun roh gum
@munakhamis9822 жыл бұрын
Msiba umeniuma kupta yote inaletwa umu huu wa uyu kaka ..wanaotangazwa wot wanaugua wanakuf lkn seleman wet uliletwa hapa tukahuzunika na tukalia kwa maisha yako na umeniliza na kifo chako ila kaz ya mung hanamakosa niseme Alhamdulillah kwa ili bikhosn lkhatma ya Allah😭😭😭
@credo78372 жыл бұрын
Binadamu wabayaa
@credo78372 жыл бұрын
😭😭😭
@ednambata95032 жыл бұрын
Mwee mungu ampe kauli thabiti! Na ampoungizie adhab ya kaburi
@sarahadam45352 жыл бұрын
Sema mungu amuepushe na adhabu za kaburi**..sio mungu ampunguzie wengi wanakosea hapa
@fauziaomary89032 жыл бұрын
Inna lillah wainnaillah rajiun Allah ampokee, ampe kauli thabity
@mwajumawadesisi28962 жыл бұрын
Mungu weee poleni sana kweli
@leylarashid3142 жыл бұрын
Inalilalah wainailah rajiun namuonea huruma sana mwanae ajapata malez ya baba
@SalsabeelLtd2 жыл бұрын
Innalillah wainna lillah rajuin Allah Allah amrehem amsamehe alipokosea Amiiiiiin
@mamamama73522 жыл бұрын
Jamani tazania na eka eka zakuuwana poleni wafiwa mungu niepushe naaya majanga
@vero572 жыл бұрын
Poleni sana, family,zahir, fabiani, mtoto wa seleman, inasikitisha sana
@pilikhamis29242 жыл бұрын
Innalilahiwanlarajinn mungu ampe kauli sabiti amsamehe makosa yake amin yarabilalamin poleni sana
@muungujaunguja86092 жыл бұрын
Jamaniii Tanzania yetu kila siku sisi tumuombe Mungu jamanii😭atupe mwisho mwema sisi😭.. Watanzania🙏
@aminakawawa58002 жыл бұрын
Kwa kweli watu mpaka tunaogopa kuja kusalimia 🤲🤲🤲
@malak-lz6kx2 жыл бұрын
Mm tokea niishi oman najiskia raha wallah nalala kwa amani yote lkn nilipokua znz nyumbani loh tunaingiliwa na wizi kila siku mpk mtu unalala kwa wahka uck mzima unakesha apa nalala hata mlango sifungi hakuna anaekuuliza lkn Tanzania yetu inatisha wallah na kwasababu haichukui hukumu mbona uku watu wanaishi kwa heshima zote uku itokee mara 1 kwa mwaka na itokezee maana ukiua kusudi unauliwa umegonga mtu unalipia pesa sio ndogo mirathi inagaiwa kwa haki.
@momobakari96802 жыл бұрын
@@aminakawawa5800 aki this is too much now kila siku matukio tu ya vifo, subhana ALLAH
@aminasalamalekumamina62172 жыл бұрын
Salam alekum poleni Sana
@ablatuny54062 жыл бұрын
Innalillahi wainna ilayhi raajiu’n Allah amsamehe makosa yake ampe kauli thabit na sie atupe mwisho mwema yaarab
@yayeissa41282 жыл бұрын
Inna lillah wa Inna ilahyi raji'un.Alla ampe kaul thabit na amsamehe dhambi zake .Ameen Allahuma Ameen.
Ina lilahi waina lilahi rajiuna allah ampe kaul thabit polen sana jaman
@fatmasaid97652 жыл бұрын
Yarab Allah atuepushie na shari naona mauwaji Tanzania yamezidi siku hizi
@hamidaalhabsi85682 жыл бұрын
Inalilah wanaileh rajuuni subhanaallah mungu wangu tusitili yaarabi mungu ampe kelma thabiti yaarabi
@asiaoman30402 жыл бұрын
Jmn seleman Mungu akupoke kk
@salhamohamed92402 жыл бұрын
Inna lillah wainna illaih rajiuun Allah ampe kauli thabit duuuh nimelia sn binadamu wabaya sn wallah yani unaua m2 kama kuku Allah atamlipia
@zainabnassoro11092 жыл бұрын
Yani ukae jela miyaka yote salama uje nje ufe kirahisi tu pole Sana kwa family
@sifatiiman2 жыл бұрын
yaan daaaah 😔😔
@fariarizaq75282 жыл бұрын
Oh my God poleni sana kwa family yake very sad wallah Allah Allah amlase mahali pema peponi inshaallah 😭😭😭😭😭
@lylieouko95692 жыл бұрын
This is so saddening and heartbreaking 😢may his soul rest in peace!
@tousihhhh67652 жыл бұрын
inna lilah waina lilah rajung'un mungu amuondolee azabu yakabri
@mohanndgames83162 жыл бұрын
Nawaomba sana serekali yenu iyongeze doriya au ulinzi kila sehemu za hatari na kuwe na check point kila siku na kila mahala panapo hisiya za mauwaji ya kikatili mungu atawapa hapa hapa duniyani malipo ya kumkatili suleiman watabainika tu damu nzito kuliko maji inshaala myeezi mungu karimu yupo peponi suleiman
@helinahenry23632 жыл бұрын
Daaahh mbona Tanzania sahv matukio ya kuuana yamekithri ndani ya week hii😭😭
@malak-lz6kx2 жыл бұрын
Kwa sababu bdo serekali haijakazania mambo hya ikikazania kweli yataondoka.
@momobakari96802 жыл бұрын
ALLAH ailaze roho yake pema peponi
@aminasaid77692 жыл бұрын
Innalillah wainna ilayh rajiuun..
@habtyaminasadala19432 жыл бұрын
Innallilah wainnallillah rajrun pumzika kwq aman Allah ampe kauli thabit
@salhakhamis46292 жыл бұрын
Ina lilah waina ilaih rajiun ewee mola msamehe makosa yake yy nas pia 😭😭😭😭
@samsungoman56262 жыл бұрын
Innalilah wainna ilaihi rajiun mungu amlaze mahalipema
@fatmasaid97652 жыл бұрын
Inna lillah wainna ilayhi Rajiun Allah mrehemu ampe kauli thabit
@aishaissa25122 жыл бұрын
Inalilah wainailah rajighuna Allah amuweke Mahalia pema 🤲😭
@Zainab-sq1tc2 жыл бұрын
Mungu wangu jomon.... Rest in paradise seleman
@remiomar71542 жыл бұрын
innalillah wainnailah rajioun 😭 tumbo la uzazi limeniuma daah nimeumia Sana
@sanyajuutv26792 жыл бұрын
Mungu amlaze mahali pema PEPONI
@munakhamis9822 жыл бұрын
Innalillah wainnaillah rajion 😭😭😭😭😭😭
@zettyhassani22442 жыл бұрын
Yarabi astaguafilulah hata sikuwaza jmn huyu Kaka,mungu ampunguzie adhab yakabri
Watu Wana wivu Sana...... inawezekana alichukiwa na watu kwa sababu alikua ameanza kujipanga kimaisha na alikuwa maarufu (star wa online tv) R.I.P
@amina39252 жыл бұрын
Poleni.sana
@yasminoluoch1692 жыл бұрын
Innalilah rajiun Allah atujalie mwisho mwema🤲😭😭 Allahmdhulilah..Allah amaamehe madhambi yake🤲😭😭
@anifajonathan92502 жыл бұрын
Jamaniiiii,rip seleman😭😭
@noorlheyaljabri6022 жыл бұрын
Ameen yarrabbiy
@sabihahamadi22872 жыл бұрын
Inalilahi wainailihi rajiuuni jajani duniya haina huruma nini kosa watu hata wakamuua jamani kumbe bora engekaa kulekule jela hadi roho inaniuma punzika kaka mungu akupe kauli thabit kwenye kaburi lako
@ruwaidaal-ismaily90992 жыл бұрын
إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ😢
@nancyhassan82902 жыл бұрын
Ooh, my God 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️tena,, dah!
@wardawarda65352 жыл бұрын
Innallilah waina illaih rajioun allah akurehem...
@khadidjasuleiman80062 жыл бұрын
Innalillahi wa inna ilaihi rajiuun 🤔 Subhanallah 😭
@salomeherman3032 жыл бұрын
Sio mbaya kidogo ni mbaya sna we vp
@hamisihassan26202 жыл бұрын
Inna Lillah waina illakhi rajoon poleni sana ndugu wa Suleiman
@nadyasalim79562 жыл бұрын
Dar siji tena mambo yenyewe ndo hayo
@sifatiiman2 жыл бұрын
yaan kunatisha kwa kweli
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Hatari sana
@fatumasuleiman69892 жыл бұрын
Rest in peace dah😭😭😭
@munakhamis9822 жыл бұрын
Mpk naogop mm yarabiiii 😭😭😭maisha haya duuu....mung tupe mwisho mwema na umlipe kinachostahik😭😭😭
@khadijakimana88092 жыл бұрын
Inna lillahi wa inna ilahi rajiun😭 subhanallah😭😭😭 Jamani, jamani, walimwenguuu! Why? Naam, kila nafsi itaonja kifo! Mwenyenzi Mungu ampe kauli thabiti! Poleni sana!
@noorissa60362 жыл бұрын
Inna Lillah waina ilayhi rajiuun sote ni WA Allah na kwake tutalejea
@charlesmugisha65292 жыл бұрын
Jamani jamani jamani kweli uyu ndugu yetu amefariki??😭😭😭😭 Kweli hii dunia sio yetu maskini.binadamu tubadilike tusiwalingie binadam wenzetu.uku sio kwetu🙏🙏🙏
@aishadaba70452 жыл бұрын
Innalillah wainna illahi rajioun,wana adam tunaelekea wapi instead turudi kwa MUNGU tunaandamana na sheitwan msiba mkuu yarabby tujaalie khusnul-khatimah ..
@hamedahameed1482 жыл бұрын
Innalilah wainna ilayhi rajiun ALLAH amjaalie kauli thabiti mbele yake
@Awatee2 жыл бұрын
Inna lilah waina ilaihi rajiuun ALLAH atujaalie mwisho mwema subhana ALLAH
@mishikitendo44412 жыл бұрын
amiin yarabb
@husna345622 жыл бұрын
😭😭😭inalilah waina ilah rajion Allah amrehemu
@husna345622 жыл бұрын
Amiin
@kawtharalbarwani13372 жыл бұрын
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un Allah amrehemu amlaze pahala pema peponi inshaAllah amiin