MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..

  Рет қаралды 1,257,103

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..
Rais Dkt John Magufuli, leo Novemba 27, ameanza ziara rasmi katika mkoa wa Shinyanga, ambapo kabla ya kuwasili amesimama katika maeneo tofauti tofauti barabarani na kuzungumza na wananchi..
#MAGUFULI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
kzbin.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzbin.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzbin.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
kzbin.info?li

Пікірлер: 696
@mustaphakijazi9807
@mustaphakijazi9807 Жыл бұрын
Wanao itazama hii mpaka sasa mwaka 2023 naombeni like zenu
@EdithaJohn-qc3me
@EdithaJohn-qc3me 5 ай бұрын
Hawezi kusahaulika
@jonkarymalema1236
@jonkarymalema1236 4 ай бұрын
Mpaka sasa 2024 tupooo
@JuliusRaphaelbundala
@JuliusRaphaelbundala 4 ай бұрын
​@@EdithaJohn-qc3me❤❤❤❤
@user-tl9oz4se6w
@user-tl9oz4se6w 3 ай бұрын
Mpaka 2024 na kuendelea🎉
@HadiaMohammed-ec2dn
@HadiaMohammed-ec2dn 2 ай бұрын
2024
@user-be8lz2xf2t
@user-be8lz2xf2t 2 ай бұрын
2024 tunaoitazama gonga like.
@user-gi3wt5ml3k
@user-gi3wt5ml3k 5 ай бұрын
Nitakukumbuka sana rais wangu magufuri mpaka mwisho wa maisha yangu
@mckiboevents
@mckiboevents Жыл бұрын
Niko 2023 bado nafuatilia hizi clips Hadi zitakapofutwa. Kama bado unafuatilia gonga like hapa.
@natafutapesa9678
@natafutapesa9678 3 жыл бұрын
Mungu anayaona machozi yetu. Pumzika kwa amani jemedali wetu mfalme wetu
@michaelmlelwamichael4371
@michaelmlelwamichael4371 2 жыл бұрын
Mungu akusamehe akupunguzie Adhabu John wet hatutakusahahh
@user-st5ll8nb7j
@user-st5ll8nb7j 3 ай бұрын
Kwell kabisa
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha Күн бұрын
Ameen
@imanuelpoteza6846
@imanuelpoteza6846 2 жыл бұрын
Jamani waliommisi huyu mzee tujuane kwa like hapa
@JaredFabian-zy4ez
@JaredFabian-zy4ez 9 ай бұрын
nimemkumbka sana jamaa
@BarakaLulay
@BarakaLulay 29 күн бұрын
Mic you dady
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha Күн бұрын
I miss u my dady magufuli forever
@boombasticjoseph1105
@boombasticjoseph1105 3 жыл бұрын
Now i understand why some Tanzanians were fainting during body viewing! The Best President i ever seen on earth, have never seen a leader who is very close to his people than this guy. RIP Mr. President!
@user-db8gh6yz5w
@user-db8gh6yz5w 10 ай бұрын
Am a kenyan pastor,bt the presie has touched mie,he act like genuine pastor,may the lord protect his soul in heaven!❤❤❤❤❤
@SimonSamson-me2bo
@SimonSamson-me2bo 7 ай бұрын
Ulipaswa kuishi Magufuli
@kombosalehe3156
@kombosalehe3156 3 жыл бұрын
Kuna funzo kubwa sana kwenye crip hii! Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi! 😢
@bestonnziku4277
@bestonnziku4277 Жыл бұрын
Daaah
@tzbrmediashow7580
@tzbrmediashow7580 Жыл бұрын
😢😢😢😢
@GraceKwayu-yo4zf
@GraceKwayu-yo4zf 9 ай бұрын
Ameen
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha Күн бұрын
Ameen
@JONATHANMUMOMUSIC
@JONATHANMUMOMUSIC 5 ай бұрын
❤❤❤ I'm from Kenya and I really value this president my his soul rest in peace
@jenifercynthiakazimoto5392
@jenifercynthiakazimoto5392 3 жыл бұрын
Asante Mungu kwakutupatia Raisi mwenye upendo Kama Raisi wetu Magufuri love you Baba.
@elinamadalali4740
@elinamadalali4740 3 жыл бұрын
Asante mungu nilizaliwa tanzania
@feldeterchilanga2092
@feldeterchilanga2092 3 жыл бұрын
Tanzanians people am really sorry for the big loss magufuli you have broken my heart 😭😭😭😭😭😭💔💔😭
@mulongonzazi9241
@mulongonzazi9241 3 жыл бұрын
Realy it is a big lost from Drcy heart is broken 🙈🙈🙈🙈🙈na muliya kabisa makufuli Mungu umushunge mutumishi wako
@MH-nq7wy
@MH-nq7wy Жыл бұрын
​@@mulongonzazi9241 This big man as a socialist was killed by capitalist. TZ as a country of oportunities, Magufuli couldn't live longer!!
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha Күн бұрын
Hakika tunaliabna kusaga meno enzi hiz za Samia mungu atulindeb tz bila vita 2sije tukawa watumwa kumbe ni nch yetu
@asiaissa976
@asiaissa976 4 жыл бұрын
Namuomba mungu akuingize kwenye rehma zake amiin
@bestonnziku4277
@bestonnziku4277 Жыл бұрын
Amin atatenda daimaaa n mweemaa
@mzeemzee2467
@mzeemzee2467 4 жыл бұрын
Hapa ndo ninapomfahamu Mh. rais kuwa kazi ya urais ni kazi ngumu sana. Mungu akusaidie na akupe moyo huo huo wa kutatua matatizo ya wananchi wako.
@dominicsomola402
@dominicsomola402 4 жыл бұрын
...pamoja n hayo watu wanaikimbilia sana...kwa kweli inaliza kwa kweli...
@nicehonesty912
@nicehonesty912 3 ай бұрын
😭😭😭😭 jaman nalia apumzike tu
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha Күн бұрын
Ameen
@chuwaloonlinetv6672
@chuwaloonlinetv6672 4 жыл бұрын
Anaesema magufur mbabe mwache kwan hajui uchungu wa mwana much respect magufuri
@hadijasobo3695
@hadijasobo3695 3 жыл бұрын
Umeonaeeee
@Steve-ij2lr
@Steve-ij2lr 2 жыл бұрын
mungu amutuze rais makufuli
@user-st5ll8nb7j
@user-st5ll8nb7j 3 ай бұрын
It will get a
@mercyokari8233
@mercyokari8233 3 жыл бұрын
Can't stop watching this😢😢😢continue resting in peace Mzee magufuli until we meet again in heaven😭😭😭
@robertsimba5081
@robertsimba5081 4 жыл бұрын
Am a Kenyan but I admire alot how this president comes to the ground ...what a humble person he is...God bless him always
@happymasaweyangababalao4486
@happymasaweyangababalao4486 3 жыл бұрын
Mungu azidi kumtunza rais maguful ni rais wa wanyonge
@maro4525
@maro4525 7 ай бұрын
​@@happymasaweyangababalao4486😅
@pili1234
@pili1234 3 жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu uzima na afya rais wetu wa wanyo wanyonge
@benjaminfataki6898
@benjaminfataki6898 4 жыл бұрын
huyu baba magufuli mungu amuzidishiye maisha marefu anajuwa teteya haki za binadamu.
@rosekamwesa964
@rosekamwesa964 Жыл бұрын
This was a true shepherd who took interest in the experiences of those he led. Wish we had more of him in Africa!
@christophermzumara4267
@christophermzumara4267 2 жыл бұрын
This man was a true definition of a generous leader, backed with a sense of humor and integrity
@aminashabani5399
@aminashabani5399 4 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde Rais wetu uweze ishi maisha marefu
@mudamape8415
@mudamape8415 3 жыл бұрын
Inauma sana
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha Күн бұрын
Sana tena sana Kwan tulipenda sana hakuna aliyemuchukia ila mafisadi walikuwepo so hakuna m2 asiye chukiwa hapa duniani tumuombe mungu 2 atupe maisha marefu na yenye mibalak na tuepuke kuzimubtwende mbign 2ulith ufalmebwa mungu ameen gonga like kama umenielewa
@shaabansoma7661
@shaabansoma7661 4 жыл бұрын
I'm in love with magufuli a man of people, also a gift from Allah so as to save people who have been crying for long time without help.Magufuli a president of the century from Bongo.
@PetersonNyaga-dk5oi
@PetersonNyaga-dk5oi 5 ай бұрын
The best president Africa has ever had,.. maghufuli was a real deal for this continent
@ahmadisaidi8195
@ahmadisaidi8195 10 ай бұрын
Wen ever I watche magufuli😢😢😢😢so sad my god bless him rip
@kamaukamau6233
@kamaukamau6233 3 жыл бұрын
Let negative people say what they want to say about the late President John Pombe Magufuli,but I don't know if Tanzanians will get another president with a heart of Gold like Magufuli,indeed he was like a real father to his countrymen
@hijaiddi6950
@hijaiddi6950 3 жыл бұрын
Mung amuwoke mahalo pema
@mariaalfred8463
@mariaalfred8463 3 жыл бұрын
Mungu akupumzishe laisi wetu laisi wawnyonge tunakukumbuka
@thulanicele7843
@thulanicele7843 4 жыл бұрын
this is the only president who has made me shade tears cause of what he does.the love for his people.much love my hero and role model.
@1josephmhenga83
@1josephmhenga83 4 жыл бұрын
9999999
@mariamalongo8803
@mariamalongo8803 3 жыл бұрын
I love him and the way he works
@edwardsostenes8048
@edwardsostenes8048 2 жыл бұрын
he will never die in my heart until I die
@jamesmasila6873
@jamesmasila6873 2 жыл бұрын
Oh my God
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Kaka magufuli maishani mwangu siwezi kukusau kamwe
@ChrispinusJuma
@ChrispinusJuma 8 ай бұрын
Wewe ni shujaaa🎉🎉🎉❤❤❤
@zeinabhassan6071
@zeinabhassan6071 3 жыл бұрын
African lost a great leader....Tanzania people are very lucky to have a wonderful leader like magufuli...may his soul rest in peace
@godfreylyimo4177
@godfreylyimo4177 3 жыл бұрын
Tutakukumbuka sn Rais wetu!! Viatu vyako ni vikubwa sn
@crispinmsongole8875
@crispinmsongole8875 2 жыл бұрын
Sanaaaaaaaa
@samuelmtasha9272
@samuelmtasha9272 4 жыл бұрын
Maskini Rais hadi analia, so painful! Mungu mbariki Rais wetu
@husseinbararukaza428
@husseinbararukaza428 3 жыл бұрын
Eee MUNGU sidhani kama itakujatokea Rais wa wanyonge km huyu daaah MUNGU ninamuweka Rais wetu mikononi mwako umlinde na kila aina ya uadui na magonjwa mpe kibali cha kuongoza mpaka utakapo sema bac
@athumankigoma4585
@athumankigoma4585 3 жыл бұрын
@@husseinbararukaza428 j
@user-wp2uj7wt1i
@user-wp2uj7wt1i 5 ай бұрын
..this man was an Angel sent from heaven. I can't stop crying for him😭 My one wish kama Kuna uwezekano Mungu amuinue jman😭 Rest in peace Dr.JPM❤
@aminamussa5122
@aminamussa5122 4 жыл бұрын
Daudi atafutwe, JPM ahsante Muheshimiwa, Toeni hela ndio mtajifunza.
@mamymdogomamy3670
@mamymdogomamy3670 4 жыл бұрын
Masikini mpaka mwafanya Rais yuwalia mungu amjalie apite tena muhula ujao🙏🙏
@lightnessgamasa6022
@lightnessgamasa6022 4 жыл бұрын
Mungu akubariki kwafaraja barikiwa
@emmysam1510
@emmysam1510 3 жыл бұрын
John wangu jamani..we miss you babaaaa😭😭
@uchebemediatz4640
@uchebemediatz4640 3 жыл бұрын
We will always mic uuuuu
@AugenBatista-qg3rc
@AugenBatista-qg3rc 6 ай бұрын
He was logical and reasonable 🙌
@estherkamate8061
@estherkamate8061 3 жыл бұрын
He was a really father, tume poteza jameni
@ahmadrajabu5796
@ahmadrajabu5796 3 жыл бұрын
Hakika jamani
@user-hh1sy2qz1j
@user-hh1sy2qz1j Ай бұрын
Feels heavenly when a prominent person got humanity and believes in God. SO HEAVENLY
@emanuelsiara3937
@emanuelsiara3937 4 жыл бұрын
Mwenyenzi Mungu, umlinde rais wetu.
@donardndalu3100
@donardndalu3100 4 жыл бұрын
Nc
@pastorrusagarajosephsolo8692
@pastorrusagarajosephsolo8692 2 жыл бұрын
Tupate wapi tena mtu kama huyu ambaye Mungu alikaa ndani yake 😭😭😭😭😭😭
@Elimollel
@Elimollel 11 ай бұрын
Yaani acha tu"!!
@JosephSila-rd1wz
@JosephSila-rd1wz 10 ай бұрын
Labda azaliwe mwaka huu
@IreneCtz
@IreneCtz 5 ай бұрын
😢
@DottRoBroc
@DottRoBroc 3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa!
@josephsabuni4521
@josephsabuni4521 3 жыл бұрын
True
@royfordmwenda3311
@royfordmwenda3311 Жыл бұрын
true 👍 he died of heart problems
@officialnaa8470
@officialnaa8470 4 жыл бұрын
Hongera sana Rais wetu na pole kwa kwa kazi ngumu
@geraldmakaranga9385
@geraldmakaranga9385 3 жыл бұрын
Rais mungu akulipe kwa mema unayowafanyia wa2 wako unaowaongoza mungu akupiganie kwan unasafar ndef shetan yupo mawindon akikuwinda lakin kwa jna la yesu ashindwe milele
@user-mh4kb7ke6b
@user-mh4kb7ke6b 3 ай бұрын
Minapenda magufuri sana but African presidents plz work magufuri RIP
@iddikibaitz514
@iddikibaitz514 Ай бұрын
Mungu akuwekee sehem salama ishaallah peponi
@isaacmasibo3183
@isaacmasibo3183 Жыл бұрын
Not only Tanzania lost a very power committed president but African, worl we lost very powerful Man who could one day Transform Africa 😢😢😢😢😢 may your soul rest easy President John Pombe Magufuli still hear in +254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 its like we have lost you today ur words solving issues was more of a leadership God grand Tanzania, Uganda Kenya such people 😢😢😢
@saumuhassan3796
@saumuhassan3796 4 жыл бұрын
Mheshimiwa mm ni Mzbar binafsi kura yng ilikuja kwako na 2020 in sha Allah sirudi nyuma. Ila na sisi huku shida tunazo.
@ruqayaruqaya4283
@ruqayaruqaya4283 3 жыл бұрын
Polen sn sie tz bara tuna peta tu na rais wetu mtetez wa wanyonge lkn huko zanzibar mwinyi c yupo?
@emmysam1510
@emmysam1510 3 жыл бұрын
Mwinyi si yupo..siye kashatangulia mbele za haki
@miriambony3679
@miriambony3679 7 ай бұрын
PRISDAT MAQUFULI NI MOTO MAZURI KUWA WANAISHI YAKI MAQUFULI JUUU JUUU JUUU SANA❤
@angelatarimo1969
@angelatarimo1969 3 жыл бұрын
Hapa ndipo nampompenda rais kwa kweli Gold bless you Magu 🙏
@hijaiddi6950
@hijaiddi6950 3 жыл бұрын
Tutakukumbuk Sana baba♥️♥️♥️
@willywaire50
@willywaire50 2 жыл бұрын
Sometime s I watch this & cry 😭😭 may God 🙏 keep magufulis soul on internal peace..
@ngisianbn
@ngisianbn 3 жыл бұрын
Ooh GOD..What a leader we've lost. Mungu alikupenda zaidi
@mugishachance8844
@mugishachance8844 3 жыл бұрын
Iam really crying like now! Nimeguswa na ubinadamu Dr president Magufuri alikuwa nao kweli ameondoka Imeniuma na kuona Video zake jinsi alikuwa Anasaidia watu yani machozi tuuu nalia tu. Yani alikuwa na ubinadamu mwingi moyoni mwake ,, kweli tungekuwa na watu Kama yeye dunia ingebadirika Paradise. Rest in Peace Sasa hivi umekaa na mungu mbinguni ulisha fika. Tutakukumbuka forever.
@Elimollel
@Elimollel 11 ай бұрын
Hatutamsahau milele
@ashamwandu3781
@ashamwandu3781 4 жыл бұрын
Nimeambulia Julia tu machozi mie.Nasema mungu mtunze magufuli nakuombea Sana
@bulugubujashi6378
@bulugubujashi6378 4 жыл бұрын
Nimempenda sana huyu rpc Yuko vizuri sana aise
@johnpesambili4806
@johnpesambili4806 4 жыл бұрын
Kuna siku tutayajibu haya mbele ya mungu na nalipo ni hapa hapa duniani. Yaani kumbe bila Rais utu haupo viongozi wa ngazi za mikoa, wilaya ,tarafa , kata viongozi wa kijiji na viongozi wa dini kweli hatuyaoni haya hayatuumi mioyo yetu mpaka Raisi aje basi tumuogope hata mungu jamani.
@johnmathenge3406
@johnmathenge3406 2 жыл бұрын
Ukweli kaka yangu hadi mimi nashangaa kuwa huyu mama hakusaidiwa mpaka Rais JPM alikuja kumsaidia. Hata hapa nchini mwetu Kenya wabunge, mawaziri, polisi, viongozi hawajali maisha ya wananchi wao heri jeshi ndio watu wanategemea pamoja na Mungu.
@zipporamosinya4193
@zipporamosinya4193 3 жыл бұрын
Makuvuri Ali fanya kazi nzuri mungu humuweke pazuri hapumusike sarama amina
@nancymohamedy7672
@nancymohamedy7672 3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu ampe maisha marefu muheshimiwa rais wetu Magufuri
@mbereser0saidi318
@mbereser0saidi318 2 жыл бұрын
Mungu akurehemu rais wetu mpendwa umeondoka bado tulikuwa tunakuhitaji mungu tunaomba utende maajabu katika karine hii wewe ndy kimbilio letu
@merryloya4893
@merryloya4893 4 жыл бұрын
Mungu akutunze Rais wetu
@NajvanNilivan
@NajvanNilivan 2 ай бұрын
Jamani tulip mmiss uyu baba yetuu gonga like
@hdmtanzania2617
@hdmtanzania2617 4 жыл бұрын
Mwenyez Mungu akujalie mh Rais
@petrofidelis5751
@petrofidelis5751 2 жыл бұрын
Mungu akulaze mahala pema peponi Jemedari wa Africa
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Hapo ndio utajua rais pia NI binadamu , anachukizwa na uzembe na ucheleweshwaji wa maamuzi , sio kwamba anatumia pesa au nguvu...... Huo ndio ukweli watanzania tunamazoea yàkipumbavu sana
@manmwananzungu8945
@manmwananzungu8945 4 жыл бұрын
Ww nirais wa wanyonge nakupenda cn makufuli kimbilio la wanyonge mungu akupe umri mrefu
@aminamussa5122
@aminamussa5122 4 жыл бұрын
Kagonga kaua halafu anazurura tuu mtaani? Apate life in prison wajifunze Naaaah wanaonewa sana ahsante JPM.
@moddysalim5839
@moddysalim5839 4 жыл бұрын
Moddy from kenya hongera rais makufuli marais wote wa Africa hasa east africa wangize mwenendo wake mungu akulinde rais mtenda kazi
@neemamayco3238
@neemamayco3238 4 жыл бұрын
Magu cna neno na ww ila nakuombea kwa mwenyeenzi mungu akusimamie
@elizabethdeus1343
@elizabethdeus1343 4 жыл бұрын
Oyoooooo miaka Mia baba kweliweweni laisi wa wanyonge
@ZuaideeGermain-qr6bz
@ZuaideeGermain-qr6bz 6 ай бұрын
Congo 🇨🇩 tungelipata rahisi kama magufuli mungu aku weke pama
@jacquesntabagara3682
@jacquesntabagara3682 3 жыл бұрын
God bless our Africa United president Pompe Magufuli for real.Jah know
@naomymoraa1154
@naomymoraa1154 3 жыл бұрын
Why did you die😭😭😭?may you rest in peace mkombozi wa wanyonge,,,I wish Kenya we had such a leader,
@gastonamnon7005
@gastonamnon7005 3 жыл бұрын
Tumempoteza Mtu mmoja kama watu Billion 1 😭😭😭😭😭💔🕊🕊🕊
@mangretiluboya2990
@mangretiluboya2990 3 жыл бұрын
Pooole saana, nakuombea sana rais kwa kuondok
@theresakalambo2435
@theresakalambo2435 3 жыл бұрын
REST IN Peace BABA
@nyirahategekimanadjasumin3028
@nyirahategekimanadjasumin3028 3 жыл бұрын
Akonamapenzi ka ma yesukristo
@irenemathenge5637
@irenemathenge5637 3 жыл бұрын
@@mangretiluboya2990 W
@fidelisvenance6431
@fidelisvenance6431 3 жыл бұрын
R.I.P HERO JPM 🙏
@mariamuseifu3065
@mariamuseifu3065 3 жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu Rais wetu Insha Allah
@wanguibundi4017
@wanguibundi4017 4 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa kazi nzuri mheshimiwa raisi
@mariekyosse2684
@mariekyosse2684 2 жыл бұрын
Mungu akupokeye baba
@evelynlehnard3928
@evelynlehnard3928 4 жыл бұрын
Rais akiwa mcha Mungu inchi inabarikiwa.
@GraceKwayu-yo4zf
@GraceKwayu-yo4zf 9 ай бұрын
Nimelia tena upya jmn!!! Tumpate wapi tena mtu km huyu... Ambaye Mungu anakaa ndani yake... Pumzika kwa Amani baba yetu...
@michaelmbata8582
@michaelmbata8582 10 ай бұрын
Truely you were a servant of people. May you continue resting in peace. John Pombe Magufuli
@SiwaRobert-mj4pd
@SiwaRobert-mj4pd 4 ай бұрын
We have lost the great leader of Africa who showed good heart to his people and showed other leaders the way of ruling your own people, may your soul rest in peace mzee
@ianolango8207
@ianolango8207 3 жыл бұрын
I can't just stop watching this man and for sure, the world will never find a man like this and Africa has lost Her Son. Poleni sana wana Tanzania na Mungu awarehemu
@maryonejose3857
@maryonejose3857 2 жыл бұрын
,m
@ahmedamar1329
@ahmedamar1329 3 жыл бұрын
MH..Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Una Kazi Kweli Baba Angu Maana Haya Mambo Yapo Kweli Baba Akuu Amini Ilo Sema Wewe Ni Raisi Wa Wa Wa Nyonge Mungu Akupe Umri Mrefu Na Nguvu Kwa Ilo
@kibonaamenye6878
@kibonaamenye6878 4 жыл бұрын
ubarikiwe sana mkuu, Mungu akuzidishie ukawe taa kwa wenye giza la kunyanyaswa
@user-rt5vq5vc3k
@user-rt5vq5vc3k 6 ай бұрын
Allha ampumzishe Kwa amani alikuwa anatetea Sana wanyonge
@mtitagirloriginal6890
@mtitagirloriginal6890 3 жыл бұрын
Siamin chochote bado namuona Tu Rais wangu wacha tukulilie Kwa kweli tunahaki ya kukulilia
@ashasalehe7726
@ashasalehe7726 3 жыл бұрын
Pumzika SHUJAA WETU😭😭😭😭
@saidiuchebe5203
@saidiuchebe5203 3 жыл бұрын
We will miss you so much our dad Magufuli😭😭
@Ericotaldan
@Ericotaldan 2 ай бұрын
😢ulifariki mbiyo baba tukiwa tungali na haja Yako,2024 niko Congo nafwatiliya
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 9 ай бұрын
Yani magu kila siku Malian kila siku Lala salama my dear.
@emmanuelmagembe8256
@emmanuelmagembe8256 4 жыл бұрын
Pole sana mama angu mungu yupo atakusaidi mama
@georgekimboka6218
@georgekimboka6218 4 жыл бұрын
Nakupenda sana Mh Raisi Magufuli nakupenda sana nakuombea sana mema makubwa sana toka kwa Mwenyenzi Mungu Mkuu Mtakatifu
@Jean-bj5md
@Jean-bj5md 3 жыл бұрын
God fearing man Gobleess his soul rest in peace Papa
@rahelgika3870
@rahelgika3870 4 жыл бұрын
Tawala milele Raisi wetu🙏
@magemushi5594
@magemushi5594 3 жыл бұрын
Nitakumisi Sana raisi wangu magufuli nitalia milele
@aishsharuni3151
@aishsharuni3151 4 жыл бұрын
Aky natamani nkuwe mtazania
@djangounchained6867
@djangounchained6867 4 жыл бұрын
nichek kwa namba yangu.....naweza kukufanya uwe mtanzania
@evab5386
@evab5386 4 жыл бұрын
Makufuli mungu akubariki you're a good president in African 🌹😭😭😭😭
@masambamichel6453
@masambamichel6453 3 жыл бұрын
I can't stop crying for mister magufuli
@kilimanjaro77international26
@kilimanjaro77international26 2 жыл бұрын
Tears dropping when absorbing this
@user-gd9jf6pn4c
@user-gd9jf6pn4c 5 ай бұрын
He was a good leader indeed RIP Daddy🎉🎉🎉🎉🎉our hero
@mamasalhat
@mamasalhat 7 ай бұрын
😢😭😭😭 nimejikuta tu leo naludia matukio ya baba yetu mpendwa mchozi unanitoka 😭
@jamesfadhili5905
@jamesfadhili5905 3 жыл бұрын
Can't stop mourning this man magufuli
"RPC UMLIPE HUYU MAMA MIL 15, HUYO GADDAF YUKO WAPI KWANI? - JPM
11:08
Global TV Online
Рет қаралды 3,7 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 60 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 121 МЛН
Shughuli nzima ya maziko ya hayati Magufuli
50:37
Azam TV
Рет қаралды 583 М.
MZEE ALIVYOMKAANGA MKURUGENZI KWA MAGUFULI, NUSURA ATUMBULIWE!
11:12
Global TV Online
Рет қаралды 182 М.
Mwanafunzi ‘AMKUNA’ MAGUFULI, ATOA MILL 5, Ampandisha Kwenye GARI!
13:43
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 60 МЛН