Kama wewe unapitia video zote za baba tangu atutoke gonga like😭😭
@rozaliewalumona86043 жыл бұрын
Mungu ailaze roho yake mahali pema mbinguni
@rozaliewalumona86043 жыл бұрын
Ninaamini kazi umefanya si. Kwa wa Tanzania tuu ni kwa Afrika nzima na raisi wote Afrika wangefuata mwenendo wako hatungehitaji . misaada toka inje
@AlAl-sd9pl3 жыл бұрын
Mungu tunaomba utupatie tena Rais kama huyu jpm dah
@mangomkusaga54683 жыл бұрын
Halima vp
@aliandrew35372 жыл бұрын
My dear it's so painful to believe that doctor John pombe magufuli the bulldozer, jembe keshatutoka it's so painful for real From Kenya mpare originally
@janethmwanri16583 жыл бұрын
who is watching this now when he's no more... he says and does what he says... Like if you are watching this as we mourn for him
@ForeveryoungNana20193 жыл бұрын
I can't stop watching your videos Magu, continue dancing with the angels🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿
@aliandrew35372 жыл бұрын
My dear we need leaders kama jembe the bulldozer magufuli Yani mpaka Leo kifo CHAKE chanitia huzuni hadi leo
@lucykiruki44394 жыл бұрын
Great and true son of Africa! Caring and sorting out wananchi’s issues. Tanzanians are truly blessed
@kelvinbalama75213 жыл бұрын
Umeonaa eeee!!! But today we haven't
@itsyourboy14073 жыл бұрын
Utaishi mioyoni mwetu 😭😭NENDA SHUJAAA WETUU UPUMZISHWE KWA AMANI
@alexmuya85414 жыл бұрын
Am a kenyàn when I see thz best president in Africa I feel to cry out of happiness a president who listen to the prights of common mwananchi of Tanzania may God bless him I wish he could be be a Kenyan president
@johnmhina81224 жыл бұрын
Exactly Alex Muya
@temuemanuel46714 жыл бұрын
Thank you Muya. We pray that our EAC gets good leaders so that our economy and social life can fly. We are one people. Mkenya akipata ni mtanzania kapata, Muuganda akipata ni Mrwanda kapata na mranda akipata ni Mburundi kapata. Tuendelee kuombea Umoja wetu wa East Africa na Afrika kwa ujumla. Big up Muya.
@justinemachuma69544 жыл бұрын
Exactly, Am a kenyan too, I salute Magufuli too
@safinamalero39714 жыл бұрын
Rais wangu asalamaleku.....😴
@mahmoudaziz47174 жыл бұрын
Karibu tz🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
@graceniyonzima31304 жыл бұрын
I am Burundian but kila nikimuona mheshimiwa Rais John Pombe Magufuri aki naisi furaha kubwa sanaaa Mwenyezi Mungu akuwezeshe ubaki na Moyo wa upendo
@kelvinbalama75213 жыл бұрын
Umeonaa eeee but today we haven't our president it's xo sad hakika chema dada neema hakidum!!!!
@sammygichuki56643 жыл бұрын
Mimi ni mkenya lakini twajivunia uongozi wa raisi wa Tx is a genius makufuli
@damariam74974 жыл бұрын
Mungu akuweke Magu, ww ni jembe Tanzania mjivunie mumshike kabisa💛💛💚💚 Kenya tunampenda sanaaaaa!!!
@givenlaudenmwamasage50574 жыл бұрын
Asante dada hili jembe kwelikweli halipingiki rais miaka mia
@starlonejadamskp82244 жыл бұрын
👏🏻👏🏻👏🏻
@ruthnjau3 жыл бұрын
🥺
@damariam74973 жыл бұрын
@@ruthnjau Ndo ivyo hatuna budi Mola kampenda zaidi...Mola awape nguvu wa Tanzania..😢😢😢
@kelvinbalama75213 жыл бұрын
Yani watu Leo ndo wanakumbuka daa we are so sad Tanzanian
@fababindawood83634 жыл бұрын
Yaani me nataman angekuwa Rais mpk Zanzibar 🙏🙏🙏💪💪💪💪
@mahmoudaziz47174 жыл бұрын
Kweli kabisa.
@kelvinbalama75213 жыл бұрын
Is your present too
@abdullaabdullahmpakanjia23363 жыл бұрын
Mijichoyo
@faridadudu31783 жыл бұрын
napita kwa majonzi 😭😭 baba umetuacha bado tunakuhitaj ,mbele yako nyuma yetu😭😭😭
@josephnchunga12474 жыл бұрын
Yani wapendwa kwa wananchi mh rais Wetu tulitakiwa tumpe miaka 20 huyu ndie tunayeona anaweza kuisukuma tz kwenye maendeleo ya kasi tuliokuwa tunahitaji jpm safiiiii Mungu akupe maisha marefuuuu jpm wetu
@jumajuma76584 жыл бұрын
JPM OYEEEEE
@rukiaaisu23094 жыл бұрын
Yani unawazo kama langu huwa naongea kila siku wallah tungefika mbali sana
@nsarilema95803 жыл бұрын
haya muongezeeni miaka 100 kabisa
@ashuraissa70443 жыл бұрын
Tulikupenda Sana baba yetu ulitupenda Sana haukubagua baba lala salama mungu akuangazie mwanga wamilele 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@nassirabdi63603 жыл бұрын
A true pan africanist jpm was an example for us all......Africa loves and misses you......rest in peace.
@billyisadia56513 жыл бұрын
The late just went back to where he belongs, really. Where truth & justice prevails, in heaven
@husnasalim57394 жыл бұрын
YANI MM UWA NALIAA KWA FURAHA NIKIMUONAGA UYU RAIS
@anahna67884 жыл бұрын
UNA PENDA NA UNA MAPENZI YA DHATI KWAKE
@neck04104 жыл бұрын
Safi
@mjerumaninyandu76554 жыл бұрын
Aloho kweli namkubali sana
@arkadimakona21134 жыл бұрын
@@anahna6788 the
@josephatwilson98453 жыл бұрын
Pumzika kwa Aman baba ,tutakukumbuka sana kwa uchapaji wako wa kazi na kumjali myonge
🇧🇮Can we make Mr John Pombe Magufuri the African President? He just does things different from other leaders. Tanzanians should be proud of him! 🇧🇮
@nice4really5034 жыл бұрын
Mtamuua ubongo jaman🙄
@erickossen63784 жыл бұрын
we are proud indeed
@josephatwilson98453 жыл бұрын
And now he is not live😭😭😭😭 great loss to our country
@aliandrew35372 жыл бұрын
Wanafki wameungana Na mabwenyenye wajamfikia kum'maliza
@remenmunis77294 жыл бұрын
Huyo jamaa anajua kujieleza sana Excellent
@edwinelias85544 жыл бұрын
Km umesikia asalamu allekum like hapa
@fredasanga53944 жыл бұрын
kama unampenda magu weka lake hapo
@magdalenekessy96514 жыл бұрын
Safi sana rais wetu
@dorcaskidoti2494 жыл бұрын
Nampenda kwa roho yake nzuri
@awadhally10523 жыл бұрын
👍
@florakiondo85574 жыл бұрын
Ubarikiwe mtu wa Mungu
@ferouzmasoud47414 жыл бұрын
Asante Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏🙏🙏
@deserttv_tz26554 жыл бұрын
👏👏 huyu ndo rais tunayemtaka, mwenye vitendo vingi kuliko maneno, naamini mungu alimuandaa kwa ajiri ya taifa hilii🙏🙏 watanzania tunapaswa kujivunia sana❤️❤️❤️
Pande za burundi tunawafuatilia na poleni sana kwa msiba uliwo wakuta.millard
@roselugendo69434 жыл бұрын
Asante Rais. Pole na safari yakwenda kumuhifadhi ndugu yetu, baba yetu mzee mkapa .
@doramkolo17454 жыл бұрын
Am proud of my president kwakweliii💃💃💃💃💃💃💃
@oscarkasalile83704 жыл бұрын
Mzee wewe huna mpinzani Tanzania hata Duniani, mungu akulinde
@sophiasophia69454 жыл бұрын
Apate wapi mpinzani
@eliazephania76334 жыл бұрын
Acha na watambe na watu wasio wapiga Kura sisi raisi wetu ndo huyu
@hellenmollel66794 жыл бұрын
Mungu azidi kukulinda Baba yangu, na Rais wangu
@ntamukunzimodeste48763 жыл бұрын
Mungu azidi kukulinda baba yangu
@reubenismail36724 жыл бұрын
Daaa!kweli huyu hakika ni baba aisee anaongea kwa uchungu pia hapendi kabisa vurungu!amani ndo kila kitu
@justinwambua51804 жыл бұрын
Tuleteeni huyu kiongozi hapa Kenya, hata sisi tunakupenda hapa kenya
@justinwambua51804 жыл бұрын
@Zawadi Issa anakunywa sana huyo pombe wenu
@kezahabiba55544 жыл бұрын
Wamlete kwanza Uganda duh
@justinwambua51804 жыл бұрын
@@kezahabiba5554 Uganda mko sawa nyie. Lifetime president
@agnesgervas80703 жыл бұрын
Kila nikiona comment zenu nalia tu naona jinc gani mlivyokuwana upend nchi jirani natamn ingekuwa ndoto tu hii kwtu
@justinwambua51803 жыл бұрын
@@agnesgervas8070 You should have given us Magufuli on loan for one term. This is the only president every person in Africa was following closely, the rest are useless. May he rest in peace, we loved him.
@missmoona44974 жыл бұрын
Hahahaaa bb huyu ni mjanja hatar hiyo nimewaelewa maana yake kuna watu wajipange kutumbuliwa wallah
@youngpesa37444 жыл бұрын
asante mung kwa kutupatia uyu rais asante baba magu kura yang iyooooooooh!
@dorcaskidoti2494 жыл бұрын
Kuna watu wanaroho mbaya sana...utasikia Magu anatumia pesa za wanachi vibaya....Ahsanteee Uncle JPM. Mungu akubariki akupe afya njema.
@sylvestersimweka66434 жыл бұрын
Amina
@melissateddybearcossan95064 жыл бұрын
Watajiju wananchi ndio wanazitaka siyo yeye atajirike peke yake kama waliopita
@muhubirirwesapaul31504 жыл бұрын
Nakuombea amani na maisha meme kwawa Tanzania wote. Mungu akujalie Mh Rais Magufuri
@presseg.63624 жыл бұрын
Bwana akubariki Sana
@teresaonduko44434 жыл бұрын
Natamani kuhamia Tanzania 💕
@pascoalphonce29114 жыл бұрын
Karibu sana Tz, hata ukija kuolewa tu huku Tz tayar umekuwa Mtanzania....Karibu sana
@barneymunuo56594 жыл бұрын
Karibu mama Mimi mwenyewe sijaoa nikikuoa utakua mtanzania kabisa hatunaga tatizo na wageni sisi karibu sana
@kelvinbalama75213 жыл бұрын
Jaman pole Sana but today we haven't our president it's soooo sad
Yaani mimi nikimuona huyu Rais naona tu maisha ya watanzania yakibadilika tu. Nilikata tamaa na nchi hii kipindi cha mafisadi nikawa naongea hivyo mpaka nikadhaniwa pengine Mimi ni mpinzani. Kumbe tu ni maumivu ya wizi na ufisadi uliokuwa unafanyika. Yaani ninatamani utuongoze term hata 4 mpaka uzeeke kabisa.
@tumainimbati97894 жыл бұрын
Mimi kama mm huwa namuomba Mungu amsimamie Rais wetu mpendwa kwa kila akifanyacho kiwe chema kama vile anavyoendelea kutenda wema na hata kama atakataa kuongeza mda wakuongoza maombi yangu yaende kwa Kasimu majaliwa majaliwa awe Rais wa nchi maana mengi anayajua sana nchi hii tukiwapa wajinga wajinga wasiyojielewa kama wakina lissu wanaosifia ya nje kuliko yakwako ni utoporo
@temuemanuel46714 жыл бұрын
Ni kweli Anna Lyimo. Inabidi tulinde na kumwombea
@neck04104 жыл бұрын
Sawa
@mamavero40044 жыл бұрын
Mm sijawahi piga kura ila mwaka huu nitaamka saa kumi ya usiku niko kituo cha kupugia kura
@kelvinbalama75213 жыл бұрын
Ni real but u see today
@salmaathuman91564 жыл бұрын
Halafu munataka kutuletea sijui tundu lissu sijui membe sijui zitto kabwe sjiui upuuzi gani hawataweza kufanya haya ya magufuli
@ummymohd75704 жыл бұрын
Kwa kweli
@lujanimboje39354 жыл бұрын
Hahahahaa
@tiktoktdmdynamo31004 жыл бұрын
Kimsingi hauwezi kusema ivo kwa sababu toka nchi umepata uhuru ni chama kimoja tu ndo kimetawala
@depaolo34614 жыл бұрын
@@tiktoktdmdynamo3100 chama sio tatizo ila tatizo ni kiongozi
@husnasalim57394 жыл бұрын
Akuna anaweza mambo kama anayofanya MH JONNY POMBE MAGUFUL vyama sio sababu kikubwa uchapaji wa kazi uyu ni mfano kwaafrica mzima
@priscambwambo10304 жыл бұрын
Hata sisi tunakupenda sana sana Rais wetu. Watanzania wote wazalendo tunakupenda sana.
@haroungallus44804 жыл бұрын
Thou inpm
@haroungallus44804 жыл бұрын
L
@fatmayussuf47604 жыл бұрын
Na sisi tunakupenda sana raisi wetu
@deodatusmdaku22264 жыл бұрын
Gari ya mkurugenzi iwe ambulence 🙌🙌🙌
@godrivermussa67974 жыл бұрын
😀😀😀😀yan nimecheka kwa sauti aisee
@barakaben79024 жыл бұрын
Yaani mimi sina mbavu maana zinauma kwakucheka na mshituko
@amonsanga18664 жыл бұрын
Mh wangu nakuelewa sana haijawahi kutokea na haitatokea kupata Rais kama huyu Mungu akulinde utimize ndoto zako mh
@christinakomba48264 жыл бұрын
Amwekee wigo wa moto wala adui hasimkaribie siku zote za maisha yake !! Amina
@rehemajoseph334 жыл бұрын
mkuu mungu akulinde awe nawe kila hatua unayo piga akuongoze
@juniorlaban20783 жыл бұрын
Rip president magu u are a hero Kenya I wish we could see this happening n our country u were blessed Tz
@rechrontv24534 жыл бұрын
BIASHARA 8 ZA KUFANYA CHUONI (gusa link 👇👇👇 kutazama) kzbin.info/www/bejne/mJbNhneAgLeUZpI
@ashamtambo88543 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭dah baba umetuacha
@maxgwaho22684 жыл бұрын
Kwel kuwa Rais sio mchezo mpka unaweza kulia
@mustafagaula31664 жыл бұрын
Msimfananishe huyu MWAMBA na vitu vyenu vya kipumbavu! Heti sijui Tundu, sijui Tobo....! Tumuache huyu king atufanyie kazi.....!
@victorjidinga97434 жыл бұрын
😂😂😂😂
@hadijamatola52304 жыл бұрын
Eti tundu jamani nimejuwa kucheka 🤣🤣🤣😂😂
@dayana5513story4 жыл бұрын
😀😀
@amouramour97124 жыл бұрын
h
@nice4really5034 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣tobo 🤣🤣🤣🤣
@rosemasunga52094 жыл бұрын
Magufuli baba Wa wanyonge tunakuelewa baba God bless you baba!!!
@mariamkheri81384 жыл бұрын
Nampenda sana jamaniii huyu baba mmmh we acha tu
@enezachauka76204 жыл бұрын
Safi Mr Miayo, Magu co p kaka, RAIC NO1 TZ MWENYE MCMAMO
@nakalikyumile43704 жыл бұрын
Nchi hii magufuli atachoka!yaani yeye pekee ndo anahangaika na kero za wenye nchi!wasaidizi wake wote ni wazembe
@barakaben79024 жыл бұрын
98% ni majipu sana
@paulina.baynit79704 жыл бұрын
Naomba muheshiwa Rais upitie kwenye wilaya nyingi za nchi hii kunauozo wa hali ya juu. Kuna halmashauri za wilaya nyingine utafikiri siyo Tz.ufisadi usiseme unavyo shamiri. Mungu akubariki sana Rais wetu. Magufuli hoyeee!
@emanuelseka75814 жыл бұрын
You're the best
@ibrahimmungure47494 жыл бұрын
Hapa kazi tu.
@peterokalo96324 жыл бұрын
Theirs is no any president in all Africa’s continents like MAGUFULI 👋🏽👋🏽👋🏽👋🏽👋🏽who work hard and caring his peoples🪐🌎🙏🏽👏🏽☝🏽👌🏽👋🏽
@joshuasila95484 жыл бұрын
Huyu diye president namtambua injini
@jacobmwaluanda69604 жыл бұрын
Yes yes
@hassanparamana22154 жыл бұрын
we are like so much our president 💚🇹🇿
@edwinsima2604 жыл бұрын
Daaaa!!!! my present uko vizuri sana baba
@lindambilinyi62534 жыл бұрын
Hahahaha dah Magu nooma,Mungu akutunze baba
@CyimSky4 жыл бұрын
Wasukuma ndio kabila linaloongoza kwa upole/iko hivi kabila hili ni kubwa ...... kzbin.info/www/bejne/aJTNfplqp52UY5I
@wazirikhamisi48284 жыл бұрын
@@CyimSky ACHA UKABIRA ww
@mahmoodalghefeili53703 жыл бұрын
@@CyimSky acha UNGESE uo
@irenenyambeki30944 жыл бұрын
Nakupenda sana raisi
@peterokalo96324 жыл бұрын
Raisi Wa mapezi n’a upending kwa ichii Yake n’a population yake
@ivonafrance88054 жыл бұрын
Sina cha kuongeza zaidi ya kuzidisha maombi ya uzima wenye afya na baraka tele kwako rais wa wanyonge mungu azidi kukuweka
@samiahkhalfan90913 жыл бұрын
Ahsante Baba, Mungu azidi kukuongoza na kukusimamia katika kuliongoza Taifa letu. Ahsante Mungu kwa kutuletea mtetezi wetu
@sylvestermhojaaron96594 жыл бұрын
Mkurugezi atembee kwa miguu, wagonjwa wapande gari, hadi raha
@barakaben79024 жыл бұрын
Yaani inashangaza na kusisimua
@goodluckkigwenenge89533 жыл бұрын
@@barakaben7902 amina
@lamynlogan95993 жыл бұрын
Matatizo makubwa. Kumpata tena kiongozi kama huyu ni ndoto za mchana. Amesawazisha mambo mingi. Lala salama baba tutakukmbuka daima. Umetuliza sana baba.
@eryin9773 жыл бұрын
RIP papa 😭😭😭😭😭
@yohanaanthony34224 жыл бұрын
Hata Kama Rais ataagiza uachwe upite uende kwake lazima walinzi wakukague kague
@junioryasin53063 жыл бұрын
Lazma maana watu wamevaa ngoz ya kondoo kumbe ni chui
@officialnaa84704 жыл бұрын
Yani Rais oyee ccm oyeee ubarikiwe baba
@ruthnjau3 жыл бұрын
Safiri salama JPM🥺
@ramadyzo55873 жыл бұрын
Twaku kukumbuka kwamazuri mungu akupe maisha yalio mazuri uko uliko
@hassanbashir71043 жыл бұрын
Tume mpoteza kiongozi tumempoteza simba wa African emwenyezi mungu utusaidie
@albeleenalberto1584 жыл бұрын
Bora huyo alievaa miwani maana akipepesa macho haonekani
@felistermbua47034 жыл бұрын
Hahahahahahahahaha mamamaaaaaa mbavu zang
@zaidihussein43114 жыл бұрын
Chuma makufuli auna haja ya kupiga kampeni pesa ya kampeni peleka ktk miradi ya maendeleo kura tumeisha kupa siku nyingiiii
@Mohaa4309Ай бұрын
Hongera sana bro mwenye umevaa kofia 🎉😂 walahi
@sisdell17793 жыл бұрын
Mungu haachi kizuri chake kiharibike,pumzika babaa... One love🇰🇪
@goddaudi10234 жыл бұрын
👍👍👍
@dansafari64343 жыл бұрын
my all time prezo, nahamia TZ
@jokeableking70394 жыл бұрын
Ni Rais gani mwingine anayetoka kuzika na kuanza kuchapa kazi kama kawaida Africa nzima??????
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Mwingine angelala mwezi kuomboleza😁😁😁😁
@jokeableking70394 жыл бұрын
@@ilovejesus9303 ukiona hvo ujue thawabu haitokei Mara mbili
@magdalenekessy96514 жыл бұрын
Ni mzee wa hapa kazi. Tu
@leoncenondo4 жыл бұрын
Huyo ni msaada toka Mungu, kwa wa TZ . Na nina amini kwa Africa mzima.
@dorcaskidoti2494 жыл бұрын
Utasikia siku saba za maombolezo hahahah...ahsante uncle Jpm.
@vickyshayo78804 жыл бұрын
Asante Mungu kutupatia Raising huyu mwenye kumtanguliza Mungu
@ZaharadaffaZaharadaff4 жыл бұрын
Tunakupenda BABAETU na tunajua sisi Tz sio maskili ila tulikua tunakandamizwa lkn BABA wewe MUNGU akulinde sana
@robertsabuni77524 жыл бұрын
Safi sana
@hddhhddhdhhd74664 жыл бұрын
asante magufuli Mungu ngu akutunze
@mimitijara48063 жыл бұрын
Haki watanzania uta kosa lulu yenu imerudi kwa mwenyewe mungu m7mba will mss u alot
@saitotisaitoti67344 жыл бұрын
Nimemuonea huruma DC jamani
@dismasstanslaus59852 жыл бұрын
Wangapi wanaamini hapo watu hawamuombi Mungu ,ndomaana shetani kawaziba watu wote hadi viongozi ,kama menielewa nipe like
@teacherd4 жыл бұрын
Wanafunzi wote pita KWENYE CHANNEL yangu yapo MENGI mazuri uta yapata
@MarkJames-pi5clАй бұрын
This guy was born to be aleder
@richardbosire5103 жыл бұрын
Everyday I like watching Rais Pombe
@starlonejadamskp82244 жыл бұрын
Hapa Kazi2 🔥 🔥👏🏻🇹🇿
@kimanijohn95294 жыл бұрын
Magufuli hoiyee
@AWD_Tz4 жыл бұрын
Ee Mwenyez Mungu umbariki Mhe. Magufuli kwa mapenzi yako na umsamehe mabaya yake. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
@beautywithnay59743 жыл бұрын
Makufuli baba ulale salama na mungu akumpunguzie adhabu yakaburi😭😭😭😭😭
@shamimushittindi14184 жыл бұрын
Mimi nitaolewa wakati magu akistaafu maana sasa hivi najiona nipo na baba home kwa jinsi alivyotuchemsha ubongo asante sana mjomba jj
@akiikilongo56914 жыл бұрын
Njoo mimi takuoa ila tuanze uhusiano xxhv😂😂😂
@salummigezo37294 жыл бұрын
Njoo nkuoe
@livingeb50523 жыл бұрын
Aaaya ameshaondoka ssa inakuaje??? Pole ndgu angu
@dibabatv57613 жыл бұрын
DC katulia,anaongea vzr Sana
@ireenpriscus58214 жыл бұрын
Jaman huyo kaka anaongea na rais kama anaongea na bibi yake haogopi hata
@otmarykiowi41324 жыл бұрын
Amani ipo
@angelntandu6614 жыл бұрын
Atakuwa babu yake
@amouramour97124 жыл бұрын
h
@cosmaskomba27234 жыл бұрын
Nmependa the way alivyojieleza
@trucksbypaul58674 жыл бұрын
The best president in the world 🌎
@mohamudismail91773 жыл бұрын
Kwani mafuriko ya maji yanatoboa mabomba ya chini? mbona hata mimi sielewi.Asante baba..sote hatuelewi,,mungu Akuweke pema.AMIN
@ndiiyolazaro7693 жыл бұрын
Hatukonae tena JPM😭😭😭😭😭😭😭
@elizambilinyi28804 жыл бұрын
Mungu akulinde Rais wangu
@raidondecko50593 жыл бұрын
siasa za enzi za nyerere kipind cha giza watanzania niwaelewa wana tumia jicho la tatu kukuelewa