ali kamwe face shows how uncomfortable he's 🤦♀️🤷♀️😉😁😁😁
@muhamedjaffar56532 ай бұрын
Kwisha habar yake bugatti kachukua kijiti chake
@hozzashehozza93192 ай бұрын
Yeah unaona anajifanya ana jambo na simu yake ila wapi
@danieltsaxara91992 ай бұрын
tuliosoma Cuba tumeelewa Ali kamwe anamuandikia mganga wake sms kwamba yule nguruwe karudi 😅😅
@Latifa-m4u2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂nguruwe gan
@davidwatson68212 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@davidwatson68212 ай бұрын
@@Latifa-m4uhuyo huyo unayemjua wewe😂😂😂
@VerifMbalala-v8d2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@lewismpangala9272 ай бұрын
Msilete majungu team moja
@collinndabi19142 ай бұрын
Kibidamu iyo ni kawaida hope uongozi utatumia busara shida bro wa kuropoka sana
@steveprosper4084Ай бұрын
Security wa nini bana
@alitante42792 ай бұрын
Aki kamwe aonekana barbaran azimia hakin chura mweupe kamtoa kitini😂😂
@mwarabuofficial52412 ай бұрын
Kamwe kaka Ihefu wanataka msemaji huko 😂
@davidwatson68212 ай бұрын
😂😂😂😂
@davidwatson68212 ай бұрын
Kanaonekana kama katoto kashule vile😂😂😂😂kamepwaya kweli
@emmanueljihulya15332 ай бұрын
Pole alkamwe uso wako unajieleza
@hendricksjohn62012 ай бұрын
Msemaji Mzee nakudibkuwasemea wachezaji wazee wenzake all kamwe tafuta timu yenye vijana akawe msemaji wa huko
@dismasmariananga47762 ай бұрын
Shida manara anaishi kama mbuzi kagoma angekuwa yeye ndo Halima mapacha angezaa
@abdulmsuya85422 ай бұрын
Ali kamwe nakushauri chomoka tu, jamaa kakufunika😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@UmayyaNkya-ze3ri2 ай бұрын
Ashaachia ngapi 😂😂
@ombenikefa73422 ай бұрын
Kamwe hajapenda kabsa... yan kapiga kazi tukufu, afu aje kugawana credit na mtu, Ila manara tazingua tena mda si mrefu
@vinny.morales2 ай бұрын
Kwa wataalamu wa kusoma body language utagundua Ally Kamwe is uncomfortable with the return of Haji.
@muhamedjaffar56532 ай бұрын
💯
@hozzashehozza93192 ай бұрын
Binafsi nlikuwa namkubali sana huyu mwamba ni kijana na kaz anaiweza ila ndio hivyo huwez kushindana na haji
@IMRANITV12 ай бұрын
Hawa kama Wana akili wakiulizwa na waandishi kuhusu vyeo na kazi na nafasi zao wasema hatuitaji unafiki WENU wa kuuongeza maneno mnatugombanisha tunajuwa wenyewe kazi yetu ninyi haiwahusu maana munauliza ili mujaze chumvi hivyo na washauri wawe hivyo ila wakileteana husda wote watafeli
@christophermsekena6162 ай бұрын
Mwanangu Kamwe hana raha kabisa😢
@davidwatson68212 ай бұрын
Atazidi kukonda huyo🤣🤣🤣
@ahmadikasogota2 ай бұрын
Kwel huy bwn mjaja biasha yake anafata protocol hicho anacho kifny nikutoa sadaka haijalish anapesa au umaaruf et biashara itoka awap akaamua kuamin kwel biasha yeny baraka za muumba always zinatkaiw kuambatn na sadaka
@AnjendileKilemile2 ай бұрын
Maskin huruma kijana wetu kipenzi
@Prince-rafael2 ай бұрын
Amna mpare ashawai penda maendeleo ya mtu Hawa watu wanawivu Sana na nilishaliona mapema Sana kuwa urejeo wa manara utompendeza Ali kamwe dogo ako na roho ndogo sana huyuu😏😏
@AbisinaRashidi-c8d2 ай бұрын
Hakuna mwenye Raha na mwenzie hapo timu Ina wahamasishaji wawili Simba Ina msemaji mmoja tu jembe
@Latifa-m4u2 ай бұрын
mropokaji pro max eti jembe labda lisilo na mpini
@yohanalukindo37372 ай бұрын
Kuna katabasamu kakinafiki apo😅😅😅 viumane tu
@MwanvitaBwaaa2 ай бұрын
Mbona Ally kapooza 😂
@saidsalum61012 ай бұрын
Uje namaneno yako yashombo yakutukana watu wewe ukitukanwa unalia safali hii utalia sana
@PatrickNdomelo-yu7tk2 ай бұрын
Ali kamwe Ali kamwe something behind
@stn48732 ай бұрын
Ye mwenyewe anaona kama kuna mtu mkubwa dhidi yake kaja.
@KS-iw7qv2 ай бұрын
Walinzi ndioo nini hii ndo hatupendi wana yanga Acting nyingi...... Anaharibu
@omarali7972 ай бұрын
Harmonise alimtowa ushamba boardgrd wake. Alimuambia basi hata ndani ya nyumba nafanyiwa mahojiano😂😂😂