Balozi amy mpungwe ndio mtu wa kwanza aliyefaidika sana na mfumo mbaya wa ubinafsishaji/uwizi wa mashirika yetu ya umma kwa makaburu uliosimamiwa na Rais Mkapa. tuliaidiwa ajira kwa wingi matokeo yake viwanda na mashirika yalikwenda watanz wamezidi kuwa masikini wao akiwemo Mpungwe wametajirika.