Рет қаралды 7,735
As you all know I’m not a fan of Nape Nnaye and I have never been ila kama mtakumbuka vizuri siku Nape na January walipoondolewa nilikaa kimya kama sipo, nikawa nawachora watu humu X mkishangalia na kumcheka Nape. Haki nilipata shock kidogo kuona wale wanaojiita ma genius wa nchi wakishangalia kitu ambacho kilikuwa kinaashiria kuwa Samia anaelekea kule kule kwa Magufuli, alafu leo wanajitia wako shocked na kulalamika juu ya muelekeo wa Samia.
As much as I don’t like Nape ila simchukiii Nape more than I love my country.
Mimi nilikaa kimya ile siku sababu nilijua chochote nitakachoongea mngesema ni sababu nna urafiki na Mwamvita Makamba, urafiki ambao hauko tena kutokana na kwamba niliamua kukaa mbali ili siasa zangu sisi affect maisha ya familia yao.
Kinachosikitisha ni kwamba hata siku ambayo Nchimbi ataondelewa CCM mtashangilia pia bila kuangalia the bigger picture.
Siku Nchimbi akiondelewa CCM inatakiwa kuwa ni siku ya msiba mkubwa Tanzania maana yoyote atakaechukua nafasi yake ni kwamba amekubali Samia aongezewe muda wa urais.
Yes kuna wana CCM ambao woote hatuwapendi ila tuangalie mambo kwenye context ya nchi nzima na sio individual.
Nape hakuondolewa sababu ya alichosema kuhusu uchaguzi, Nape aliondolewa sababu moja tu, undugu na January Makamba, ambae ana ndoto za kugombea Uraisi in 2030. Hiko ndo kilichomtoa Nape. Ingekuwa maneno yake ndo yamemtoa basi Maneno Bashite aliyoongea jana kwa Mwamposa kuwa Mungu pia haha demokrasia yangefanya Bashite aondolewe, au maneno mazito walioongea wana CCM wengine yangefanya waondolewe.
Nachosema ni kwamba, kila anachofanya Samia kuanzia sana ni kwa kupimwa kwa mapana na marefu na Sio kushangilia tu
#tanzania #maandamano #siasa