Kabla ya kumsikiliza nimeanza kusoma comments...nikagundua, huu muda ni kheri nikafagie uwanja. Uchawa haujengi wakuu.
@YohanaMathayo-r7p4 сағат бұрын
Tulia kwa jina la yesu ww ni chawa
@FransiscoKaiza4 сағат бұрын
We sio kiongozi wa dini ila nikiongizi wa tumbo🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸mtawajua kwa matendo Yao na kauri zao.........
@BeniJohn-xd3cn7 сағат бұрын
Na wewe umetokeya wapi😂😂
@ElizabethWamcha4 сағат бұрын
Na mkorogo wake😂😂
@Shukrann-q2l7 сағат бұрын
Hongera chawa
@musa-v3fСағат бұрын
wewe kama mchungaji unashindwa kuzungumza ukweli?? unawezaje kuangalia video ya Sativa ambae alitolewa oysterbay police kabla ya kwenda kupigwa risasi porini? kwanini serikali ikatae scotland yard ya UK ije ichunguze wananchi wajue ukweli??
@JojoJoji-h8g3 сағат бұрын
Nashutuka kusikia kwamba hii nchi haiko salama kwa kias hiki afadhali Mara Mia moja pols kuhudhiswa kuliko kusema Kund kund lenye uwezo wa kuteka na kuua na jesh lipo uslama upo hapana kabisa Ina maana sisi wanainchi hatuko salama kwa kias hicho ungesema Kuna watu huko huko wenye Nia ya kumharibia mh Rais mama Samia mimi najua tanzania tu pols imara jeshi imara na usalama
@AyubuHeshima3 сағат бұрын
Inawezekana huyu siyo Mtanzania maana hata ngozi yake inanichanganya
@allyhasani37504 сағат бұрын
We chawa kweli
@bishopmosesmagadula75726 сағат бұрын
Usitetee maovu unajiharibia ulipaswa kukemea MAOVU huna POINT
@MichaelMwamanda4 сағат бұрын
Bora ungekaa kimyatuuu
@annaezra23446 сағат бұрын
Unajua , kama hii serikali isingelihusika ingetoa tamko, lakini kwa sababu mama samia ametulia hatuna imani naye
@JacobMbosalee3 сағат бұрын
Point taken
@MadodoMartini3 сағат бұрын
Wewe huna lolote,endelea kuhudumia watu wako unaowahudumia nag hujui utamu wa Madaraka kwa Viongozi wa Kiafrika, kapumzike, hakuna aneataka kukuelewa
@coolsinare88243 сағат бұрын
we Mungu akusamehe bure maana hata hujielewi..unadhan watanzania hawajui kuelewa ukweli??mnatumia nguvu sana kuyumbisha hoja yenyewe
@davidsamson82045 сағат бұрын
Utapia mlo wa akili ni mbaya sana kwani unaishi ukiwa kama mtu asiye jua chochote endelea kujichekesha mwenyewe
@AmaniSulle-v8w5 сағат бұрын
NINAKUFAHAMU SANA MCHUGAJI, WEWE NI CCM NA KUNA WAKATI ULIKUWA NA KINANA, ENDELEA NA UCHAWA WAKUPE HELA YA MATIBABU YA NGOZI C UNAENDA MATIBABU MAREKANI? AU BADO UNA MPANGO WA KUUZA GARI LAKO AINA YA LAND CRUISER ILI UENDE MAREKANI UKATIBIWE, OK UMEONEKANA ACHA UCHAWA HUBIRI INJILI
@JonasKivuyo-o4o4 сағат бұрын
Mzee wangu ww tulia Wacha kutuumiza roho mdogo wangu kachukuliwa machimbo ya dhahabu pale chunya na Hawa watekaji na gari imeandikwa maliasili mpaka Leo mwaka imekata hatujui aliko kwa kweli tunaumia sana wakati mwingine unapoongea kuwa makini na ulimi maana tunamaumifu
@nazarethally95097 сағат бұрын
Kweli kabisa brother umeongea ukweli kabisa wanamuonea tu mama Samia
@dullamasantula-sj3vm4 сағат бұрын
Huna akili
@user-hd6il8ni2f3 сағат бұрын
Wewe ni kibuyu km vijana wa chama tawala wanatoa maelekezo kuna chinja chinja kumna mkuu alijitokeza yy mwenyewe kasema alikua ana wapeleka polini mingine anasema polisi wasi watafute watakapo wapokea sasa wewe kibuyu huyafahamu hayo,,!!? Acha kuzunguka pita njiakuu maneno mengi yanini,,! Hajitambui,,???
@AverinaShirati8 сағат бұрын
Achukue hatue sasa
@GwakisaMwasemele5 сағат бұрын
Kweli wewe ni chawa hauna utafiti, nakupa mfano waliotekwa na vyombo Hivyo mdude, sativa nk Hawa walitekwa. Umeona Kuna majibu ya kutosha kutoka kwa Rais Samia? Huo ukimya ndio unaotupa picha kuwa anahusika
@DavidKaguluСағат бұрын
Hili tahira la wapi?watu wanatekwa na kupelekwa kituo cha Police ostbey ni wakinani kama sio vyombo vya dola???
@phillipmasungwa73657 сағат бұрын
UNATUMIKA VIBAYA ; WAKATI USHAHIDI WA MAMBO YOTE UPO.
@MjuniLaulian3 сағат бұрын
Ukiona umuri huu kwenda Kongo na kuanza kujikilimu au wewe ni agent wa shetani
@martinkisha63074 сағат бұрын
Umekosa cha kuongea kwani uliulizwa na naini kalale umechoka
@AyubuChacha-u6u7 сағат бұрын
Kwakweli ni halali uongee kama wewe maana mawszo yako ni mbaya sana tena ulishalaaniwa muda mrefu mmewa ngapi hivi hawa serikal hawakuon hata wakujukulie hatua ndugu yangu ya upo mkoa gan wilaya gan kata gan na kijiji gan na kweli una family wewe na una watoto je serikali hiyo kwasasa wanatoka wapi na wanaongozwa na nanini polen sana ndugi yangu kwa wale walioishiwa akili na mawazo sijawai kumpata na kumuona au kumskia kama wewe tena yawesekana hata hauna hata mtoto ila kwa wale waliozaa hawaongei ujinga kama huu umeidiwa kupewa cheo ngapi ila ni kwasababu halijakupata ndio maana unaongea hivyo.
@Hkilave3 сағат бұрын
Wewe kweli chawa njaa inakusumbua
@Macamp3123 сағат бұрын
MB zangu jaman zimepoteaa kwa huyu jamaaaa anaongea vitu havielewekiii daaah bandooo languu aiseeee daaah
@johncharles3234 сағат бұрын
Sawa ila umemsikia sativa kasemaje nani alimteka na bado wanamtisha ,
@ebrahimosman54774 сағат бұрын
🙏👍
@MustaphaSeleman-z7c37 минут бұрын
Namaliza M B zangu nikajua anaongea chamana kumbe amna kitu kbs
@FestoMassani5 сағат бұрын
Umepotea kiroho kabisaa tulia chawa tu
@khadi-z4o40 минут бұрын
MJINGA HUYU YUPO KAMA MENTAL HEALTH 😂
@eliabbanyikwa87164 сағат бұрын
Kwenda zako unahitaji wakuone upate teuzi!!!
@NoahBeatus4 сағат бұрын
Mungu kulaani
@malackedson77064 сағат бұрын
Chawa ww
@ramadhanchenga46064 сағат бұрын
Ww sio kiongozi wa dini maana ujikilimu chawa mkubwa
@johnmichaellukindo213 сағат бұрын
Kumbe ndio huyu fala!
@albertmbise26703 сағат бұрын
Uyu fala sana kuna kupindi alilalamima alifanyiwa untama na mapolice moshi na ndyo maana leo hii ngozi yake imebadilika kutokana na kupewa sumu