watu wengi wamefunguliwa kupitia Mwombezi Pastor Godwin Ndelwa na wewe utapokea muujiza wa kufunguliwa kupitia jina la Yesu.
Пікірлер: 140
@doreenjane321510 ай бұрын
Ninachukulu mungu juu wakati nikuomba maombi haya niliota nimepewa funguo nanikaichika nikaikubatia na chukulu mungu na mungu akubaliki
@evangelistheleneange3208 ай бұрын
❤
@julienneaboki41053 ай бұрын
Nashukuru kwa maombi asante sana muchungaji
@eshafjef7352 жыл бұрын
Amen, pastor naomba ndoa na pia kunawatu walinidhulumu zaidi ya laki moja na elfu kumi na sai wamenifungia simu naomba wasumbuke mpka wanirudishie in Jesus name
@michaellumumba177910 ай бұрын
Eshafjef735...Tafadhali sana nakuomba toa uchungu katika Moyo wako...Amini MUNGU pekee.usiende kwa mganga sababu ya uchungu.Mwambie MUNGU akupe amani Moyoni mwako....upate pumziko la kipekee....Tulia tulia tulia katika BWANA.
@nurundumo75878 ай бұрын
Amina mtumishi najisikia Aman nilikua Sina aman
@user-rh9ei6gv1v9 ай бұрын
Nashukuru sana mutumshi wa mungu napokeya maombezi yakuwekwa juru kwa jina layesu asante mungu akubariki saana
@friedamkiramweni9736 Жыл бұрын
Asante Mtumishi wa Mungu kwa maombi haya ' nimewekwa huru" Yesu kuwa pamoja nami.
@slamafamily57209 ай бұрын
Amen barikiwa sana pastor nimefunguliwa mikono yangu sai nimesikiya vitu vinatambaa kwa mkono wangu Asante sana
@user-mn3gf2bp5r8 ай бұрын
Amen in the name of Jesus 🙏🙏🙏
@NellySakwa8 ай бұрын
Nikumbuke kwa maombi mwili wangu unauma Amen
@nzanzex7831 Жыл бұрын
Amina Amina Mungu akubariki sana kwa ajili ya nguvu ya Mungu nilio ipata sasa asante
@AngelNelson-wj3iu4 ай бұрын
Amina mtumishi,eeh YESU nisaidie naomba amani juu ya Moyo wangu
@jenniferhamis9315 Жыл бұрын
Pastor ubarikiwe sana kwa maombi mungu azidi kukufunulia maono
@lucyjoseph40258 ай бұрын
Mtumishi nimebarikiwa sana naomba uniunganishe kwenye maomb yko kila utakapo toa nimebarikiwa sana mungu akubarik🙏🙏
@SammondJoseph3 ай бұрын
Kupita ombi hili la kuwekwa huru katika maisha yangu nipo tayali kupokea uponyaji sasa na mambo yangu yote nikafanyikiwe sasa na piya kuepushwa na mgonjwa kupushwa na nguvu za giza maana nimeteseka sana na nguvu za giza mwili wangu ukakae sawa na hafya yangu piya mungu naombe unitedee maajabu sasa na mimi piya nipate kuona ufunguwo wa maisha yangu 🙏🙏
@user-rh9ei6gv1v9 ай бұрын
Haleluyaàaaaa haleluyaaaaàa haleluyaaaaaaaaa amen mutumisshi wa mungu nashukuru sana napokeya kwa jina layesu
@siwonikewilliam91468 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@JescaRichard-dz7zo4 ай бұрын
amen ubalikiwe mtumishi wa mungu naomba uninganishe kwe Nye maombi ya usiku
@Pendezabylydia2 жыл бұрын
Amen
@user-jh8il3mi4m9 ай бұрын
Amina, nionganishe kwenye maombi
@bawiligeorge7822 жыл бұрын
Amen 🙏 🙏
@lucyjoseph40258 ай бұрын
Ameeen mtumishi nimebarikiw naomba uniunganishe kwenye maomb yako kila unapotoa 🙏🙏
@elishamafulu1062 жыл бұрын
Amina baba lao
@user-io1tp6nz8m4 ай бұрын
Ameeeeeen ameeeeeen tuko pamoja.naomba Uniuganishe namaombi kila unapotoa mutumishi wa mungu barikiwa sanaaaana
@elishamafulu1068 ай бұрын
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN BABA NAPOKEA KWA JINA LA YESU christo amen
@markomarkokomba9705 Жыл бұрын
Kwakwer Kun vimenichom mwlin km sindano sijuw nini ameeeen pasta 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@user-mj3zp5ht3b5 ай бұрын
Mtu mishi wamungu naomba uLi onga ni she na maombi. Kiia siku Amen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙌
@FloridaSyombua4 ай бұрын
Amen,Glory be toGod,,,na hisi nmefunguliwa kwa jina la Yesu
@elishamafulu1062 жыл бұрын
Amen amen I received
@rosemarymbise4191 Жыл бұрын
Amen napokea katika jina la Yesu
@chalemalango881927 күн бұрын
Amina mtumish ninaamin kw maombe Aya nmepokie
@user-uf7vl1qu8z3 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi ameena
@mayxh19182 жыл бұрын
Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏
@editaruta4845 Жыл бұрын
Amen Amen nimepokea
@naomycherono55402 жыл бұрын
Amen and Amen glory to God powerful message hallelujah barikiwa sana pastor nimebarikiwa 🔥🙏🙏🙏🙏
@jack-mx8et Жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe mtumishi niunganishe kwy maombi ya uponyaji au kama naweza kukupigia simu pia uko wapi
@JacklineKileo-rk9rl5 ай бұрын
Ameni namuomb mungu ailinde familia yangu usiku huu na siku zote aondoe roho za kukata tamaa na roho za mauti na magonjwa atupe amani na furaha
@bagonzabienvenue7508 Жыл бұрын
Mungu akubariki mutumishi
@user-mj3zp5ht3b5 ай бұрын
Amen asante mtu mishi wa mungu mm ni Ann lngabi. nashu kuru mungu. Ani Fu ngu we maombi ni dawa asante san baba yangu kwa maombi. haya Amen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙌
@user-mj3zp5ht3b5 ай бұрын
Mm ni Ann lngabi mtu mishi. Wamungu. Naomba. uni unga ni she ki ia siku ni si kose maombi ni dawa Amen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@user-io1tp6nz8m4 ай бұрын
Amen ameeeeeen ameeeeeen dady tuombee sana mutumishi wa mungu tuko pamoja
@DativaMassawe-wk2nzАй бұрын
Mtumishi wa Mungu naomba uniunganishe kwenye maombi yako kwani nina shida ya magonjwa na ndoto mbaya na kukosa wateja katika biashara yangu