MAOMBI YA KUTAMKA | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)

  Рет қаралды 54,005

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

Жыл бұрын

Пікірлер: 117
@user-ws8xr7fs1u
@user-ws8xr7fs1u 7 ай бұрын
Natamka baraka katika maisha yangu pia zaidi roho mtakatifu awe ndan yangu Amen🙏🙏
@rehemanashon3739
@rehemanashon3739 10 ай бұрын
Natamka Baraka Kwa watoto wangu Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏❤
@user-et9hj1wl8o
@user-et9hj1wl8o 10 ай бұрын
Natamka kufunguliwa Kwa uchumi wa mume wangu Kwa jina la jesu amen amen amen🤱
@obedimunguachiza8434
@obedimunguachiza8434 Жыл бұрын
Pastor David Mmbaga, maneno yananikosa, naomba Mungu anikutanishe nawe siku moja, naishi Sweden 🙏
@sue743
@sue743 Жыл бұрын
Maombi haya ya kutamka mema yawe yangu kwa Jina kuu la Yesu, Amen
@MaryanneAuma-l4u
@MaryanneAuma-l4u Күн бұрын
Asante sana pastor mmbaga..nakufatilia sana na hivi sasa nimekua nikisoma biblia.. kiukweli hapo kwa kutoa kafara sikua naelewa mbona hayo yote..but Asante nashukuru Mungu kwa hii neema yakupata haya mahubiri
@user-os3vo4sm2n
@user-os3vo4sm2n 9 ай бұрын
Amen hakika kuanzia leo naenda kutamka mema maishani mwangu kwa jina la YES I KRISTO ,na kila neno baya la laana nililojitamkia au nililo tamkiwa Nalibatilisha na kulifuta kwa Damu ya YESU KRISTO AMEN naamini imekuwa 🙏🙏🙏
@magrethmichael3881
@magrethmichael3881 27 күн бұрын
ubarikiwe mtumishi hakika umefanyika baraka sana katika maisha yangu
@EllenMbota
@EllenMbota Жыл бұрын
Amen Amen Mungu akubariki san mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mtaamu san mwenye nguvu ubarikiwe san
@jacquelinesalugole6400
@jacquelinesalugole6400 10 ай бұрын
Natamka baraka kwangu na watoto wangu na mme wangu kwa jina la Yesu
@rahimajuma5306
@rahimajuma5306 11 ай бұрын
Mungu akupe haja ya moyo wako paster na waumini wote Ameen
@veronicaaugustino9521
@veronicaaugustino9521 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mchungaji, hili somo litanibadilisha kwa jina la Yesu.
@Joycependopendo-dv2tb
@Joycependopendo-dv2tb 8 ай бұрын
Amen pastor mungu akubariki zaiidi na siku zote
@priscaalphonce1662
@priscaalphonce1662 Жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki,kukupa uzima na afya njema wewe pamoja na uzao wako na wote wanaomtumikia Mungu katika kweli yote baraka hizi Mungu awape.
@annettegeorge2424
@annettegeorge2424 Жыл бұрын
Mungu aendelee kukupigania Pastor Mbaga
@FloraMmbaga-pr8er
@FloraMmbaga-pr8er 13 күн бұрын
Nambarikkiwa sana na mahubiri yako mchungaji
@ziporamachilu6877
@ziporamachilu6877 Жыл бұрын
Nabarikiwa na mahubiri yako wakati wote nakuombea afya njema mtumushi wa Bwana
@rehemanashon3739
@rehemanashon3739 10 ай бұрын
Natamka Kufunguliwa kwa UCHUMI wa mume wangu Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏♥️
@EstherOkwon
@EstherOkwon 10 ай бұрын
Ishakuwa kwa jina la Yesu. Amina
@user-po3ku5fj2q
@user-po3ku5fj2q 9 ай бұрын
Amina❤
@rehemanashon3739
@rehemanashon3739 10 ай бұрын
Pastor Mmbaga, Mungu akubariki sana saana saaaaana 🙏♥️
@TheclaDeogratius-ol1mv
@TheclaDeogratius-ol1mv Ай бұрын
Asante sana kwa hili neno .....hakika Mungu mkubwa
@esthersimuli9952
@esthersimuli9952 Жыл бұрын
Amen nimebarikiwa sana siku ya Leo na nifeel uwepo Bwana Yesu
@ruthnyakundi6861
@ruthnyakundi6861 7 ай бұрын
Natamka kupata kazi na ushindi kwa yesu katika jina la yesu kristo
@FloraMmbaga-pr8er
@FloraMmbaga-pr8er 13 күн бұрын
Mungu ni mwema.
@tabithamasesa7390
@tabithamasesa7390 2 ай бұрын
Kwa jina la yesu krsto natamka kufunguliwa kwa tumbo langu ameen
@lizm8598
@lizm8598 11 ай бұрын
Amen barikiwa sana mtumishi 🙌kweli kutamka ni jambo jema
@wittiebanie3194
@wittiebanie3194 11 ай бұрын
Natamka baraka kwa maisha yangu na familia yangu siku zote za maisha yetu.. Pastor Mungu akubariki sana akupe maisha marefu
@user-sd6bo1xs2z
@user-sd6bo1xs2z 7 ай бұрын
Pastor asante kwà mahubiri matamu Mimi nilikiwa naendesha Sana lakini baada ya mahubiri niliomba kwa Imani Na nilipona Mungu amenitendea muujiza Amen
@sarahpaschal-nj9ix
@sarahpaschal-nj9ix Ай бұрын
Wimbo no ngapi huu wameimba hapa❤
@neemamahenge2735
@neemamahenge2735 10 ай бұрын
Asante sana Pr, unatubariki kwa kweli.
@rebaccaewoi8882
@rebaccaewoi8882 Жыл бұрын
Pastor niombee ni jenge nyumba yangu 🙏
@evasesoa8437
@evasesoa8437 8 ай бұрын
Neno ni zuri kutamka lazima tutamke maneno mazuri kwa watoto wetu
@SigwaLusaja
@SigwaLusaja 18 күн бұрын
Nataka kuponywa majeraha ya moyo wangu
@tulimgaya6250
@tulimgaya6250 Жыл бұрын
MUNGU aendelee kukupa afya njema na maisha marefu kwaajili ya watu wake
@rehemanashon3739
@rehemanashon3739 10 ай бұрын
Najitamkia Kufunguliwa kiuchumi Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏
@user-jk9we7gs6r
@user-jk9we7gs6r 6 ай бұрын
Amen
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 Жыл бұрын
Yaani kweli upepo umeongezeka na kupungua wakati Pr akiongea.Mungu akubariki Pr umenisaidia kuanza kumuelewa Mungu
@faustermtavangu8212
@faustermtavangu8212 4 ай бұрын
Asante Mungu.kwa kuondoa madeni ya binti yangu.
@user-rq6ik3ef2i
@user-rq6ik3ef2i 11 ай бұрын
Asante mchungaji ombi langu nikwamba mungu atawale maisha yangu na niishi maisha yautakoso siku zote naku tamka maneno ya baraka kwangu mimi nakwa wengine amina
@user-ef1ud3pu3k
@user-ef1ud3pu3k 10 ай бұрын
🙏🙏 more blessing pastor Mbaga
@cyrusmuthee9191
@cyrusmuthee9191 Жыл бұрын
Pastor Mungu ni mwema juzi nimefuatilia msichana mmoja alivyo kuwa akinenea jini imulete waume za watu na alikuwa anatamka tu na analetewa , nimejua kuanzia Leo jinsi ya kutumia nguvu za Mungu Kwa utukufu wake .
@user-zs9ml2qk6u
@user-zs9ml2qk6u 11 ай бұрын
Asante mchungaji kwa neno nzuri shida yetu wasabato ni hatuamini nguvu za Mungu
@user-kq9je6zf3v
@user-kq9je6zf3v 2 ай бұрын
Amen barikiwa sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri nimebarikiwa sana mungu akubariki 🙏🙏🙏🙏
@BarnabasJonas-nv4ig
@BarnabasJonas-nv4ig Жыл бұрын
MUNGU atusaidie sana AMEN
@EstherMwenze-dx6qj
@EstherMwenze-dx6qj Ай бұрын
Pastor nko Kenya naomba mamba Yako unisAidie kuvunja rahana za ukoo
@godlovemapunda774
@godlovemapunda774 11 ай бұрын
Eee Mungu naomba unifutia laana nilizotamukiwa ugeuze ziwe baraka kwangu kupitia m2mishi wako nabarikiwa sana namwombea afya njema na familia yake
@LinahRwambali
@LinahRwambali 2 күн бұрын
Sisi tuliotazama kwa KZbin tumeshindwa kuelewa ilo suala la matawi yaliopepea na kuacha jamani, ila si mbaya tumepata kakitu Fulani, ubarikiwe pastor
@eustina0
@eustina0 10 ай бұрын
Amina hakika Mungu nmwema naona baraka zake
@elienew3788
@elienew3788 11 ай бұрын
Amina Ee.Mwokozi unisafishe mimi Kabisa Baba
@perisbosibori8524
@perisbosibori8524 Жыл бұрын
I've learnt a lot and been blessed so much in today's message Pastor. May our good GOD give you long life and bless you abundantly for this wonderful work you're doing 🙏 🙌.
@leahwainaina4396
@leahwainaina4396 9 ай бұрын
Amen
@BilaliLwebula-du3gd
@BilaliLwebula-du3gd 2 ай бұрын
Nipenda mahubiri haya
@user-os3vo4sm2n
@user-os3vo4sm2n 9 ай бұрын
Amen Barikiwa sana David Mmbaga
@SigwaLusaja
@SigwaLusaja 18 күн бұрын
Nataka msamaha wa dhambi
@scholarmgalla8778
@scholarmgalla8778 4 ай бұрын
Natamka kupata kazi kwa ushindi amina🎉
@user-eu8ri7se7p
@user-eu8ri7se7p Жыл бұрын
Ubarikiwe pastor Mmbaga kwa somo zuri.
@user-dp6vg1fi7r
@user-dp6vg1fi7r 10 ай бұрын
Mungu anchokifanya kupitia ww nikikubw kulik unavyofaham umenifanya kuwa jeuli kwa shetan mpank ananigway
@victoriaprotas2976
@victoriaprotas2976 11 ай бұрын
Amina nimebarikiwà sana na SoMo hili
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio Жыл бұрын
Very true, Pr! Jitamkie baraka na ushindi wa dhambi....utashinda !
@omankadara6418
@omankadara6418 Жыл бұрын
Ameen pasita mubarikiwa sana na mahubiri yako
@redemptakajungiro8599
@redemptakajungiro8599 Жыл бұрын
Pastor Mungu akubariki sana kwa kufika mitaa ya kwetu. Nimebarikiwa sana na hili somo. Maombi mengi ya kutamka niliyofanya yamekua nikiona majibu yake kwa haraka sana. Tuna mamlaka tumepewa na Mungu, tukitamka na kuamini kinakuwa.
@jackmasiko2583
@jackmasiko2583 9 ай бұрын
Jaman mwenye namba ya hyu pastor mbaga naomba anisaidie
@user-th1bb9ye5f
@user-th1bb9ye5f Ай бұрын
Amina
@mildredmariera7733
@mildredmariera7733 Жыл бұрын
Amen pastor nimebarikwa
@SaitotiHinyura
@SaitotiHinyura 11 ай бұрын
Naiwe hivyo.
@slyviamariammariam-7262
@slyviamariammariam-7262 25 күн бұрын
Nisamehe Yesu nitakase uovu wa kinywa changu nisijitamukie laana nijitamukie mema
@naturelle1097
@naturelle1097 9 ай бұрын
Amen!
@rebeccaonyando7214
@rebeccaonyando7214 Жыл бұрын
Amina. Nabarikiwa nikiwa Kenya.
@beatricemageka0708
@beatricemageka0708 Жыл бұрын
Pastor Mmbaga nashukuru kwa fundisho linalonilenga mimi hapa.Sasa swali langu ni ,nafanya hiyo kazi nikiwa mbali nayo,kama shamba nitafanyaje kutamkia na ifanyike nikiwa uarabuni na shamba Kenya naomba unielekeze tafadhali, asante na ubarikiwe mtumishi
@joramjaphet2740
@joramjaphet2740 Жыл бұрын
Omba utumiwe picha la shamba Kisha tamka neno linatokea,Muhimu n MANENO yako yaambatane na moyo wako yaan kuyaamini hayo unayotamka
@faustermtavangu8212
@faustermtavangu8212 Жыл бұрын
Baada ya somo hili naamini maneno niliyotamka yanakuwa asante kwa somo zuri.asante Mungu.
@AmosElie
@AmosElie Жыл бұрын
Mungu aku zidishiye 🙏🙏🙏🙏
@pacshalfrenk8982
@pacshalfrenk8982 Жыл бұрын
Naomba maombi Yako pr. Nipate moto nimehangaika sana.
@user-fm7fx6rr4x
@user-fm7fx6rr4x 10 ай бұрын
Natamka kupona na kipaa kazi kwa JINA la YESU STAUGUA TENA
@Utukufuzazy
@Utukufuzazy 5 ай бұрын
Amen
@sylviesaidi5740
@sylviesaidi5740 2 ай бұрын
Ubarikiwa sn post tukumbuke nas kwa sala tu
@zirhumanafiston116
@zirhumanafiston116 Жыл бұрын
Amina Amina 🇨🇩
@mariethanzallah6698
@mariethanzallah6698 Ай бұрын
Ameen
@kingmseti9205
@kingmseti9205 Жыл бұрын
Wellcom 🇹🇿🇰🇪 our Place Pastor
@justinchibule5692
@justinchibule5692 Жыл бұрын
Mafundisho mazuri Sana
@marionoti5760
@marionoti5760 Жыл бұрын
Acha hadithi za kufikirika(Mauzauza), fanya wewe sasa, sana sana utafanya mauzauza kama ya zumaridi, ambayo hata mababu zetu waliyafanya kwa kuimba, kupiga makelele. Pazia la hekalu lilipasuka katikati (kila mtu alipo ni Madhabahu kwa namna zake).
@jdm1459
@jdm1459 Жыл бұрын
AMINA
@silviafurah9172
@silviafurah9172 11 ай бұрын
Aminaaa 🙏🙏
@gracekunambi7438
@gracekunambi7438 Жыл бұрын
Amen Ameeeen
@eustina0
@eustina0 Жыл бұрын
Animaa❤❤❤❤
@jerlaskambale5458
@jerlaskambale5458 11 ай бұрын
Amene
@YohanaDigulaFumbuka-ug6pf
@YohanaDigulaFumbuka-ug6pf Жыл бұрын
Nabarikiwa nikiwa dar mchungaji kilio changu ni lilelile naomba kitabu chako Siri ya maombi yaliyo jibiwa naomba uumpe Kaka philimoni Asante kwa kuendeleza kutuimarisha kiimani
@BeatriceMathew-qy5lw
@BeatriceMathew-qy5lw Күн бұрын
😂😂😂😂😂 nimecheka kwakweli mti unauambia uongezeke unaongezeka kwel
@user-yv2gm2kb6z
@user-yv2gm2kb6z Жыл бұрын
nabarikiwa sana na mafundisho yako pastor mungu aendelee kukupa mafunuo ili uendelee kutufundisha ili nasi tuuone utamu wa mungu jinsi anavotupenda
@nundabe
@nundabe Жыл бұрын
<a href="#" class="seekto" data-time="1586">26:26</a> iyo nimeikamata... Kumbe tumepewa mamlaka😳
@Deogerald-gj2um
@Deogerald-gj2um 2 ай бұрын
natamani kupata mahubiri yako umekuwa kwangu msaada
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 2 ай бұрын
Amen
@peninamwita3399
@peninamwita3399 10 ай бұрын
Kiukweli jijifunze kunena mema kwa kila mtu na sio kwa watoto wetu t,pr uende mbali hadi mbinguni
@raelsarange638
@raelsarange638 Жыл бұрын
Natamka baraka kwenye maisha yangu na familia yangu na ile ya Baba angu, maneno yote ya kutamkiwa, rahana na damu za kiukoo nimeziondoa sasa kwa Jina la YESU kristo AMEN 🙏🙏
@upendomaduhu1310
@upendomaduhu1310 11 ай бұрын
Mi natamani nikupigie nikueleze kinachonisumbua moyoni mwangu kama nipo sahihi au sipo sahihi
@obadiazabroni6518
@obadiazabroni6518 11 ай бұрын
Pastor nahitaji vitabu vyako navipataje Niko Simiyu
@jerlaskambale5458
@jerlaskambale5458 11 ай бұрын
Asante kwabaraka pasta ila matoyo <a href="#" class="seekto" data-time="1163">19:23</a>_24 inatuchanganya???
@LillianYatundu-yh2cn
@LillianYatundu-yh2cn Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭Am just shedng tears.... Me namka saa tisa kuomba lakini nikirud kulala naota ndoto mbaya tupuu... Hadi nime give up kuomba nami niko na shda tupu😭😭😢
@sarahratemo6239
@sarahratemo6239 Жыл бұрын
Usikate Tamaa katika kuomba.Mungu atakujibu kwa wakati wake.
@chagonjambaga5817
@chagonjambaga5817 Жыл бұрын
Zidi kutamka shetani anataka akukatishe tamaa
@zeliageorge3311
@zeliageorge3311 Жыл бұрын
Pole mwaya, mm nilikuwa ivo ivo lakini ckukata tamaa na pia niliomba msaada wa maombi kutoka kwa watu wa karibu yangu nilisaidika.
@zeliageorge3311
@zeliageorge3311 Жыл бұрын
Usikate tamaa endelea kuomba na kuomba lakini pia waweza kuomba msaada wa kusaidiwa maombi kwa mtu utakaye mwamini naamini yote yatatoweka kwa jina la Yesu.
@naomiissa8407
@naomiissa8407 Жыл бұрын
muamini mungu,, wako hajawai kumuacha mtu ndie rafikii wa kwelii wala usikate tamaa kumbuka pale akili yako inapofikia mwisho mungu ndipo hujitokeza n kutenda🙏🙏
@leahwainaina4396
@leahwainaina4396 9 ай бұрын
Amen
@marthaseleman9957
@marthaseleman9957 Жыл бұрын
Amina
@BarnabasJonas-nv4ig
@BarnabasJonas-nv4ig Жыл бұрын
AMINA
@kwandundaki8568
@kwandundaki8568 Жыл бұрын
Mimi mpaka watoto wangu na msichana wangu wa kazi walikuwa wananiambia usiseme kitu maana ukisema kinakuwa kweli na hata mme wangu huwa hataki kabisa niseme neno negative jui ya jambo lolote juu yake au juu ya familia Maana maneno yanaumba kwa kweli
@tumainimutatembwa4343
@tumainimutatembwa4343 Жыл бұрын
Amen
@hadijaraphael8382
@hadijaraphael8382 9 ай бұрын
Nilisha tamka kunguliwa kwa iman
@edinahmoraamageto7344
@edinahmoraamageto7344 11 ай бұрын
Amen
@monicalaizer7596
@monicalaizer7596 11 ай бұрын
Amen
JIFANYIE TATHMIN- KWANINI HUFANIKIWI? PR. DAVID MMBAGA
1:03:34
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 32 М.
VITA INAPOKUWA NGUMU | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)
1:07:27
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 52 М.
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 111 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 56 МЛН
MUNGU ATAINGILIA KATI MAMBO YAKO? | PR.DAVID MMBAGA -
1:23:37
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 52 М.
NGUVU YA MSALABA WA KRISTO MAISHANI || PR. DAVID MBAGA
51:52
Pizzo Online TV
Рет қаралды 16 М.
#LIVE; Pr David Mbaga. Ndoa yenye Furaha.
17:39
Sanga Richa
Рет қаралды 3,3 М.
NIONESHE UTUKUFU WAKO
1:22:39
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 54 М.
UFALME WA MUNGU NDANI YAKO
1:04:01
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 59 М.
ELEWA VITU VINAVYO ZIPA MADHABAHU NGUVU ZA KUKUTESA
56:24
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 40 М.
🔴#LIVE: 29/12/2022 - OMBA NGUVU HII IWE JUU YAKO: PR. DAVID MMBAGA
1:02:20
JINSI YA KULITUMIA NENO LA MUNGU ILI LIKUPE MATOKEO  || PASTOR GEORGE MUKABWA || 14/04/2024
3:47:36
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 23 М.