Natamka baraka katika maisha yangu pia zaidi roho mtakatifu awe ndan yangu Amen🙏🙏
@rehemanashon373910 ай бұрын
Natamka Baraka Kwa watoto wangu Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏❤
@user-et9hj1wl8o10 ай бұрын
Natamka kufunguliwa Kwa uchumi wa mume wangu Kwa jina la jesu amen amen amen🤱
@obedimunguachiza8434 Жыл бұрын
Pastor David Mmbaga, maneno yananikosa, naomba Mungu anikutanishe nawe siku moja, naishi Sweden 🙏
@sue743 Жыл бұрын
Maombi haya ya kutamka mema yawe yangu kwa Jina kuu la Yesu, Amen
@MaryanneAuma-l4uКүн бұрын
Asante sana pastor mmbaga..nakufatilia sana na hivi sasa nimekua nikisoma biblia.. kiukweli hapo kwa kutoa kafara sikua naelewa mbona hayo yote..but Asante nashukuru Mungu kwa hii neema yakupata haya mahubiri
@user-os3vo4sm2n9 ай бұрын
Amen hakika kuanzia leo naenda kutamka mema maishani mwangu kwa jina la YES I KRISTO ,na kila neno baya la laana nililojitamkia au nililo tamkiwa Nalibatilisha na kulifuta kwa Damu ya YESU KRISTO AMEN naamini imekuwa 🙏🙏🙏
@magrethmichael388127 күн бұрын
ubarikiwe mtumishi hakika umefanyika baraka sana katika maisha yangu
@EllenMbota Жыл бұрын
Amen Amen Mungu akubariki san mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mtaamu san mwenye nguvu ubarikiwe san
@jacquelinesalugole640010 ай бұрын
Natamka baraka kwangu na watoto wangu na mme wangu kwa jina la Yesu
@rahimajuma530611 ай бұрын
Mungu akupe haja ya moyo wako paster na waumini wote Ameen
@veronicaaugustino9521 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mchungaji, hili somo litanibadilisha kwa jina la Yesu.
@Joycependopendo-dv2tb8 ай бұрын
Amen pastor mungu akubariki zaiidi na siku zote
@priscaalphonce1662 Жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki,kukupa uzima na afya njema wewe pamoja na uzao wako na wote wanaomtumikia Mungu katika kweli yote baraka hizi Mungu awape.
@annettegeorge2424 Жыл бұрын
Mungu aendelee kukupigania Pastor Mbaga
@FloraMmbaga-pr8er13 күн бұрын
Nambarikkiwa sana na mahubiri yako mchungaji
@ziporamachilu6877 Жыл бұрын
Nabarikiwa na mahubiri yako wakati wote nakuombea afya njema mtumushi wa Bwana
@rehemanashon373910 ай бұрын
Natamka Kufunguliwa kwa UCHUMI wa mume wangu Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏♥️
@EstherOkwon10 ай бұрын
Ishakuwa kwa jina la Yesu. Amina
@user-po3ku5fj2q9 ай бұрын
Amina❤
@rehemanashon373910 ай бұрын
Pastor Mmbaga, Mungu akubariki sana saana saaaaana 🙏♥️
@TheclaDeogratius-ol1mvАй бұрын
Asante sana kwa hili neno .....hakika Mungu mkubwa
@esthersimuli9952 Жыл бұрын
Amen nimebarikiwa sana siku ya Leo na nifeel uwepo Bwana Yesu
@ruthnyakundi68617 ай бұрын
Natamka kupata kazi na ushindi kwa yesu katika jina la yesu kristo
@FloraMmbaga-pr8er13 күн бұрын
Mungu ni mwema.
@tabithamasesa73902 ай бұрын
Kwa jina la yesu krsto natamka kufunguliwa kwa tumbo langu ameen
@lizm859811 ай бұрын
Amen barikiwa sana mtumishi 🙌kweli kutamka ni jambo jema
@wittiebanie319411 ай бұрын
Natamka baraka kwa maisha yangu na familia yangu siku zote za maisha yetu.. Pastor Mungu akubariki sana akupe maisha marefu
@user-sd6bo1xs2z7 ай бұрын
Pastor asante kwà mahubiri matamu Mimi nilikiwa naendesha Sana lakini baada ya mahubiri niliomba kwa Imani Na nilipona Mungu amenitendea muujiza Amen
@sarahpaschal-nj9ixАй бұрын
Wimbo no ngapi huu wameimba hapa❤
@neemamahenge273510 ай бұрын
Asante sana Pr, unatubariki kwa kweli.
@rebaccaewoi8882 Жыл бұрын
Pastor niombee ni jenge nyumba yangu 🙏
@evasesoa84378 ай бұрын
Neno ni zuri kutamka lazima tutamke maneno mazuri kwa watoto wetu
@SigwaLusaja18 күн бұрын
Nataka kuponywa majeraha ya moyo wangu
@tulimgaya6250 Жыл бұрын
MUNGU aendelee kukupa afya njema na maisha marefu kwaajili ya watu wake
@rehemanashon373910 ай бұрын
Najitamkia Kufunguliwa kiuchumi Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏
@user-jk9we7gs6r6 ай бұрын
Amen
@joycemashikolo9096 Жыл бұрын
Yaani kweli upepo umeongezeka na kupungua wakati Pr akiongea.Mungu akubariki Pr umenisaidia kuanza kumuelewa Mungu
@faustermtavangu82124 ай бұрын
Asante Mungu.kwa kuondoa madeni ya binti yangu.
@user-rq6ik3ef2i11 ай бұрын
Asante mchungaji ombi langu nikwamba mungu atawale maisha yangu na niishi maisha yautakoso siku zote naku tamka maneno ya baraka kwangu mimi nakwa wengine amina
@user-ef1ud3pu3k10 ай бұрын
🙏🙏 more blessing pastor Mbaga
@cyrusmuthee9191 Жыл бұрын
Pastor Mungu ni mwema juzi nimefuatilia msichana mmoja alivyo kuwa akinenea jini imulete waume za watu na alikuwa anatamka tu na analetewa , nimejua kuanzia Leo jinsi ya kutumia nguvu za Mungu Kwa utukufu wake .
@user-zs9ml2qk6u11 ай бұрын
Asante mchungaji kwa neno nzuri shida yetu wasabato ni hatuamini nguvu za Mungu
@user-kq9je6zf3v2 ай бұрын
Amen barikiwa sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri nimebarikiwa sana mungu akubariki 🙏🙏🙏🙏
@BarnabasJonas-nv4ig Жыл бұрын
MUNGU atusaidie sana AMEN
@EstherMwenze-dx6qjАй бұрын
Pastor nko Kenya naomba mamba Yako unisAidie kuvunja rahana za ukoo
@godlovemapunda77411 ай бұрын
Eee Mungu naomba unifutia laana nilizotamukiwa ugeuze ziwe baraka kwangu kupitia m2mishi wako nabarikiwa sana namwombea afya njema na familia yake
@LinahRwambali2 күн бұрын
Sisi tuliotazama kwa KZbin tumeshindwa kuelewa ilo suala la matawi yaliopepea na kuacha jamani, ila si mbaya tumepata kakitu Fulani, ubarikiwe pastor
@eustina010 ай бұрын
Amina hakika Mungu nmwema naona baraka zake
@elienew378811 ай бұрын
Amina Ee.Mwokozi unisafishe mimi Kabisa Baba
@perisbosibori8524 Жыл бұрын
I've learnt a lot and been blessed so much in today's message Pastor. May our good GOD give you long life and bless you abundantly for this wonderful work you're doing 🙏 🙌.
@leahwainaina43969 ай бұрын
Amen
@BilaliLwebula-du3gd2 ай бұрын
Nipenda mahubiri haya
@user-os3vo4sm2n9 ай бұрын
Amen Barikiwa sana David Mmbaga
@SigwaLusaja18 күн бұрын
Nataka msamaha wa dhambi
@scholarmgalla87784 ай бұрын
Natamka kupata kazi kwa ushindi amina🎉
@user-eu8ri7se7p Жыл бұрын
Ubarikiwe pastor Mmbaga kwa somo zuri.
@user-dp6vg1fi7r10 ай бұрын
Mungu anchokifanya kupitia ww nikikubw kulik unavyofaham umenifanya kuwa jeuli kwa shetan mpank ananigway
@victoriaprotas297611 ай бұрын
Amina nimebarikiwà sana na SoMo hili
@mrsdeborahurio Жыл бұрын
Very true, Pr! Jitamkie baraka na ushindi wa dhambi....utashinda !
@omankadara6418 Жыл бұрын
Ameen pasita mubarikiwa sana na mahubiri yako
@redemptakajungiro8599 Жыл бұрын
Pastor Mungu akubariki sana kwa kufika mitaa ya kwetu. Nimebarikiwa sana na hili somo. Maombi mengi ya kutamka niliyofanya yamekua nikiona majibu yake kwa haraka sana. Tuna mamlaka tumepewa na Mungu, tukitamka na kuamini kinakuwa.
@jackmasiko25839 ай бұрын
Jaman mwenye namba ya hyu pastor mbaga naomba anisaidie
@user-th1bb9ye5fАй бұрын
Amina
@mildredmariera7733 Жыл бұрын
Amen pastor nimebarikwa
@SaitotiHinyura11 ай бұрын
Naiwe hivyo.
@slyviamariammariam-726225 күн бұрын
Nisamehe Yesu nitakase uovu wa kinywa changu nisijitamukie laana nijitamukie mema
@naturelle10979 ай бұрын
Amen!
@rebeccaonyando7214 Жыл бұрын
Amina. Nabarikiwa nikiwa Kenya.
@beatricemageka0708 Жыл бұрын
Pastor Mmbaga nashukuru kwa fundisho linalonilenga mimi hapa.Sasa swali langu ni ,nafanya hiyo kazi nikiwa mbali nayo,kama shamba nitafanyaje kutamkia na ifanyike nikiwa uarabuni na shamba Kenya naomba unielekeze tafadhali, asante na ubarikiwe mtumishi
@joramjaphet2740 Жыл бұрын
Omba utumiwe picha la shamba Kisha tamka neno linatokea,Muhimu n MANENO yako yaambatane na moyo wako yaan kuyaamini hayo unayotamka
@faustermtavangu8212 Жыл бұрын
Baada ya somo hili naamini maneno niliyotamka yanakuwa asante kwa somo zuri.asante Mungu.
@AmosElie Жыл бұрын
Mungu aku zidishiye 🙏🙏🙏🙏
@pacshalfrenk8982 Жыл бұрын
Naomba maombi Yako pr. Nipate moto nimehangaika sana.
@user-fm7fx6rr4x10 ай бұрын
Natamka kupona na kipaa kazi kwa JINA la YESU STAUGUA TENA
@Utukufuzazy5 ай бұрын
Amen
@sylviesaidi57402 ай бұрын
Ubarikiwa sn post tukumbuke nas kwa sala tu
@zirhumanafiston116 Жыл бұрын
Amina Amina 🇨🇩
@mariethanzallah6698Ай бұрын
Ameen
@kingmseti9205 Жыл бұрын
Wellcom 🇹🇿🇰🇪 our Place Pastor
@justinchibule5692 Жыл бұрын
Mafundisho mazuri Sana
@marionoti5760 Жыл бұрын
Acha hadithi za kufikirika(Mauzauza), fanya wewe sasa, sana sana utafanya mauzauza kama ya zumaridi, ambayo hata mababu zetu waliyafanya kwa kuimba, kupiga makelele. Pazia la hekalu lilipasuka katikati (kila mtu alipo ni Madhabahu kwa namna zake).
@jdm1459 Жыл бұрын
AMINA
@silviafurah917211 ай бұрын
Aminaaa 🙏🙏
@gracekunambi7438 Жыл бұрын
Amen Ameeeen
@eustina0 Жыл бұрын
Animaa❤❤❤❤
@jerlaskambale545811 ай бұрын
Amene
@YohanaDigulaFumbuka-ug6pf Жыл бұрын
Nabarikiwa nikiwa dar mchungaji kilio changu ni lilelile naomba kitabu chako Siri ya maombi yaliyo jibiwa naomba uumpe Kaka philimoni Asante kwa kuendeleza kutuimarisha kiimani
natamani kupata mahubiri yako umekuwa kwangu msaada
@MahubiriPrMmbaga2 ай бұрын
Amen
@peninamwita339910 ай бұрын
Kiukweli jijifunze kunena mema kwa kila mtu na sio kwa watoto wetu t,pr uende mbali hadi mbinguni
@raelsarange638 Жыл бұрын
Natamka baraka kwenye maisha yangu na familia yangu na ile ya Baba angu, maneno yote ya kutamkiwa, rahana na damu za kiukoo nimeziondoa sasa kwa Jina la YESU kristo AMEN 🙏🙏
@upendomaduhu131011 ай бұрын
Mi natamani nikupigie nikueleze kinachonisumbua moyoni mwangu kama nipo sahihi au sipo sahihi
@obadiazabroni651811 ай бұрын
Pastor nahitaji vitabu vyako navipataje Niko Simiyu
@jerlaskambale545811 ай бұрын
Asante kwabaraka pasta ila matoyo <a href="#" class="seekto" data-time="1163">19:23</a>_24 inatuchanganya???
@LillianYatundu-yh2cn Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭Am just shedng tears.... Me namka saa tisa kuomba lakini nikirud kulala naota ndoto mbaya tupuu... Hadi nime give up kuomba nami niko na shda tupu😭😭😢
@sarahratemo6239 Жыл бұрын
Usikate Tamaa katika kuomba.Mungu atakujibu kwa wakati wake.
@chagonjambaga5817 Жыл бұрын
Zidi kutamka shetani anataka akukatishe tamaa
@zeliageorge3311 Жыл бұрын
Pole mwaya, mm nilikuwa ivo ivo lakini ckukata tamaa na pia niliomba msaada wa maombi kutoka kwa watu wa karibu yangu nilisaidika.
@zeliageorge3311 Жыл бұрын
Usikate tamaa endelea kuomba na kuomba lakini pia waweza kuomba msaada wa kusaidiwa maombi kwa mtu utakaye mwamini naamini yote yatatoweka kwa jina la Yesu.
@naomiissa8407 Жыл бұрын
muamini mungu,, wako hajawai kumuacha mtu ndie rafikii wa kwelii wala usikate tamaa kumbuka pale akili yako inapofikia mwisho mungu ndipo hujitokeza n kutenda🙏🙏
@leahwainaina43969 ай бұрын
Amen
@marthaseleman9957 Жыл бұрын
Amina
@BarnabasJonas-nv4ig Жыл бұрын
AMINA
@kwandundaki8568 Жыл бұрын
Mimi mpaka watoto wangu na msichana wangu wa kazi walikuwa wananiambia usiseme kitu maana ukisema kinakuwa kweli na hata mme wangu huwa hataki kabisa niseme neno negative jui ya jambo lolote juu yake au juu ya familia Maana maneno yanaumba kwa kweli