Baba MUNGU pokea sadaka yangu ya shukrani madhabahu hapa,,
@BarekeTumaini23 күн бұрын
Mungu utuhokowe Mimi nafamilia yangu utufungulie safari yetu iyo fungwa myaka mingi tukifikiliwa watesi wanainuka nakuziwia mungu tukombowe mungu wangu
@estermkoma42462 күн бұрын
Mungu naomba unihurumie napitia wakati mgumu muda huu na uchungu mwingi
@annnjeri41212 ай бұрын
Amen Mungu azidi kutushindania
@ShijaMayuma2 ай бұрын
Amen
@hopemakinda3048Ай бұрын
Mungu naomba unisaidie ktk mapito yote uwe nami naomba unisamehe pale nilpokukosea Mjngu wangu
@khadijamwenda185111 ай бұрын
Wapendwa katika bwana naombeni maombi yenu mkisimana kuomba msinisahau napitia magumu sana, nimefilisiwa na majini pesa zangu nyingi mno wakisema watanipa zao unaweza kuona ni ajabu ila story ndefu Akili ilifungwa hata family nilikuwa siikumbuki kabisa ni miaka 4 na miezi 5 ya mateso sasa ni miezi 2 nimeokoka ila wakajuwa na wakasema wataniua na family yangu nikirud tu Tanzania na kwasababu nimeachna ila naamini Mungu yupo ataniokoa,naomba mnisinisahu tafadhali kwenye sala zenu
Usiogope Mungu yupo hatajibu maombi hatafanya njia pasipo njia 🙏
@user-kj4ik9bo5o3 ай бұрын
Kama Mungu aishivyo utaishi maisha mapya ,ikiwa bado upo duniani na dunia inachangamoto nyingi sana hivyo Kila changamoto unayopewa unaweza kukabiliana nayo jipe moyo omba sana ,funga sana Kila mlango uliofungwa utafunguliwa kwa jina la yesu
@joyce-jj5jv3 ай бұрын
Amen nahisi kubarikiwa mungu yu pamoja nami
@user-cy1zv6qn8r5 ай бұрын
Mungu nimwema sana Ameni
@graceboke43465 ай бұрын
Usinipite Bwana Yesu
@OrestaLuambano-bh8gp11 ай бұрын
Ee Bwana YESU mponye mama yangu cancer.🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@kefrenbaraka6 ай бұрын
Mungu uishie milele naomba umponye mama Huyo popote alipo,si Kwa ajili yetu bali kwa utukufu wa jina lako.
@user-vn5eg2mz3yАй бұрын
😢😢Mungu usimpite mama yetu
@khadayetha44533 ай бұрын
Wapendwa naombeni mniombee naandamwa na roho ya madeni kila nikilipa yanakuja sijui yanatoka wapii nmechoka jamani😢 Ee Mungu nisaidie mimi😢
@geitandelwa2992 ай бұрын
Pole utapita mm nilipitia hayo na sasa n8na unafuu
@JaphetJuma-i9m8 күн бұрын
Amen amen amen
@JaphetJuma-i9m8 күн бұрын
Mimi Niko Kenya nitatuma sadaka aje mtumishi wa mungu
@RuthBochere-nm5fi3 ай бұрын
Eee Mungu wangu,unaujua uchungu uliko ndani yangu,niondolee kudharauliwa,umaskini,machozi na manjozi,nibariki Mungu wangu kupitia madhabahu haya,AMINA
@judithnjunwa666811 ай бұрын
Asante MUNGU kwa kunifungua leo
@aspetabwire-bh1nn4 ай бұрын
Unapo zuru wengine yesu usinipite kupitia kwa mathabao ya siri za biblia naomba amani, kibali na timizo la moyo wangu amen.
@user-wq8wi4uv9l3 күн бұрын
Wapendwa nahitaji mshaanda nipate kusimama imara kiwokovu nitoke kwa mashinda yanayo niandama maishani mwangu nateseka sana Akh 💔 mandoto ya wafu pamoja na majini na pamoja na sauti za kishetani zikiniandama yaani zakunikosha mwelekeo kimani, mm mtumishi ata nijaribu kusimama kwa wokovu siwezi mpaka nipate matunda juu ya kushumbuliwa na mapepo wachafu, mm mtumishi sina mwanzo wala mwisho yaani sina anything ata nyumba na kaa ya kupewa chakula mpaka nipewe, yaani mm sina kibali ya kazi kabisa nikienda kutafuta kazi sipati kazi yaani sina bahati kabisa maishani mwangu, 💔💔💔 Jina langu ni Joel. Kwetu nyumbani niliusha shamba langu pesa ikaisha sasa sina shamba sina pilot sina anything sina bibi sina watoto sina mbele wala nyuma sina tumaini lolote lile maishani mwangu niombeeni please mateso yamekuwa mengi magumu sana Akh 💔💔💔💔💔💔
@judithmutio-mp6sn4 ай бұрын
Amen mungu nionekanie
@SubiraMgeyekwaАй бұрын
Aminaa aendelee kutupigania
@JanetMihayo10 ай бұрын
Mungu ninaomba unitoe katika nyakat ngum
@user-wq8wi4uv9l6 күн бұрын
Baba yetu uliye juu mbinguni naomba uniunganishe Na group hii nzuri yako ya maombi Nayua ni wewe umeisimamisha imara ndio usaidie watu wako kufitia kwao, Baba, Amen Bwana wetu Yesu Kristo unaposhuru wengine Usipite Bwana pia unifungue maisha yangu Isaiah 54: 17 Peter 5:9 Psalms 97: 3 Psalms 46 Psalms 35 Psalms 91:3 Amen amen Muniombee nafitia mateso magumu sana sina kazi sina any yakusema naweza kutengemea nikitafuta kazi , naota ndoto za wafu mara nakizama kwenye maji yako na matope ndani yake. Yaani Simo refu na liko Na maji iko na matope mangi ndani yake, Nahitaji mshaanda wa maombi nimekaa jobless kutoka mwaka wa 2018
@user-uc5qr5xb6d8 ай бұрын
Amen naomba msada wamaombi
@user-pi1pw7oh7d10 ай бұрын
Mungu naomba ukanipe kazi,
@RatphaNyererenizdiwenawa-uz9te3 ай бұрын
napokea uponyaji wa mme wangu kupitia maombi yako mtumishi wa mungu kuna mengi yanagusa maisha yangu lakin naamin mateso yayngu yote yatakwisha
@user-bh2iv2go1o5 ай бұрын
Ameen baba mungu akuzidishie nguvu uzidi kutubaliki
@FaidaWilly-du8ts11 ай бұрын
Asante yesu wangu,kwa kunitumia mtumishi wako innocent mashauri,ju ya kuachilia neno lako la uzima kwangu.amen
@user-fu7zx8qd4g3 ай бұрын
Hapa mtumishi wa Mungu umeniongelea mm toka mwanzo hadi mwsho
Najiungamanisha na madhabahu hii Mungu anitoe hii nchi ya Irak
@RachaelMbeyu3 ай бұрын
Ameen barikiwa sana mungu akuongoze kwa kila jambo
@FOCUSPETER7 ай бұрын
Ameen mtumishi wa Mungu
@user-dn9el1yb2o7 күн бұрын
Amen 🙏
@user-ly3sv6gr5t5 ай бұрын
Mimi ni noelah Munyakazi kutoka congo, papa usini saabu ku maombi ju mina pitiya wakati mugumu sana,vita ina simama sana kwenyi maicha yangu
@monicamandai38755 ай бұрын
Leo niko hapa naona haya maombi yanavy nitoa kwa Jina la Yesu Mungu akubariki Mtumishi
@agnesminde408111 ай бұрын
Usiniache Ee Mungu wa mbinguni unisikie mfalme
@christinestemi168411 ай бұрын
Eeee mungu ponya nafsi yangu niondolee hii kikombe ya mahangaiko ya kazi simama namie hizi nyakati ngumu nipe neema yawezekana kupata nguvu mpya kwa jinalayesu
@AnneMwinamo2 ай бұрын
Ee bwana unajuwa machungu niliyonayo katika maisha yangu unapozuru wengine usinipite nisikie
@agnesminde408110 ай бұрын
Amina mtumishi
@NepayaMayombe8 ай бұрын
Amina mtumishi ❤❤❤❤
@graceboke43465 ай бұрын
Ee Mungu achia uamsho ndani yangu
@privaushaki73954 ай бұрын
Ee bwana Mungu wayajua mapito yangu nikumbuke utendee haja ya moyo wangu
@dieudonnemarcel11 ай бұрын
Kweli papa hataa nami njia ninazo pitia Wenda kuna mda hataa kuomba niko nashindwa ajili ya Za madeni,uaminifu na zambi za uzinifu na maisha ya my famille ajakaa sw Ndio maana sina raha hata kuomba nashindwa kuwa sw ila naomba mnisaidie kwa maombi yenu 😢😢😢
@Ldm784611 ай бұрын
Mungu akushindie katika Jina la Yesu🙏🙏
@HakizimanaBulos-lo5jr9 ай бұрын
Mungu anifunguw kwajina layesu
@RachelLilanga7 ай бұрын
Eeh mungu nimekwama sijuw ni nini kitatokea kweny kazi yangu mungu mm sijuw hatima yangu kazin maana ninaandanwa sana kazini kwangu nachukiwa na kila mtu natafutiwa sababu ya kufukuzwa kazi nimefika mwisho wa ufahamu wangu baba nivushe nitete baba mwanao
@judithmutio-mp6sn4 ай бұрын
Eeee mungu wangu unajua shida zangu nitendee
@dorahalfayo3554 ай бұрын
Amen pastor,ni ukweli kabisa hata mimi nimepitia maneno mengi'karibu nichoke na Mungu wangu,but kuanzia leo nimepata nguvu ya kusonga mbele na kidogo ambacho nimepaki nacho kwa imani.niombee pastor Mimi ni Dorah Alfayo kutoka malava kenya.
@RizikiSalva-eg6li10 ай бұрын
Amen mutumishi
@furahamichael6047Ай бұрын
Amina
@angelnjiku197911 ай бұрын
Amina mtumish, be blessed
@FeristaJohn3 ай бұрын
Mungu nisaidie napitia mambo magum san mungu nisaidie mm
@tausamon584411 ай бұрын
Mungu nope mwazopya nimechoka moyo wangu umekuwa mzigo
@teresiaemmanuelmswamwajuma2464Ай бұрын
Amen amen
@shamsamramba792111 ай бұрын
Najiungamanisha na mazabahu hii ya Siri za bibilia, Mungu nitoe kwenye nyakati ngumu katika jina la yesu😢😢🙏
@agnesminde408111 ай бұрын
Mungu wangu Naomba sikio la kusikiliza saudí yako kila secunde ya maisha yangu Baba
@JoanTheonest-dt5hm11 ай бұрын
Asante Bwana Yesu siku hii ya leo.
@user-xl4jb2gs7v10 ай бұрын
Ameen
@zawadiwambura91885 ай бұрын
Mungu komboa familia yangu yote
@kulwamihayo11 ай бұрын
amina mungu ni mwema tupo pamoja kwenye mazabahu
@marykisiangani247011 ай бұрын
Amen amena? Asante mungu wangu kwa kuzidivkunipigania, naomba ili uweze kuniondoa katika hizi nyakati ngumu za kimaisha
@anastanciaomusula373811 ай бұрын
Asante Yesu kwa maombi haya kweli unachunguza moyo wa mwanadamu. Asante mtumishi kwa maombi haya maana yote umenena ndio ninayapitia kwa sasa
@user-lf4mq6xs1q9 ай бұрын
Amin bab naamin kw kushirk katik madhbau hii naamin mung atabadilsh maish yang
@user-tn5vb1zj4h11 ай бұрын
MUNGU naomba kunitoa katika hii hali ngumu ya ugonjwa wa figo nikiwa Saudi Arabia kunipea sauti ilio mjia nabii Hezekiah kupitia nabii Isaya 👏👏 Isaya 38: 1......🙏🙏🙏
@Ldm784611 ай бұрын
Amina utapoa in Jesus name 🙏🙏
@user-tn5vb1zj4h11 ай бұрын
@@Ldm7846 AMEM .🙏🙏🙏
@ndahabonaimanajeanclaude70929 ай бұрын
Mungu mwema
@user-oe1cg6tw7y8 ай бұрын
Niombee sana baba mungu anakusia sana niombee haja ya maitaji yangu nitakushukuru baba ktk jina la yesu kristu
@mutakoalphonsine324011 ай бұрын
Asante sana mtumishi
@GraceNamulindwa-rk2eiАй бұрын
Napitia wakati mgumu sana ktk maisha yangu
@judithmutio-mp6sn10 ай бұрын
Amen mtoto wangu atatembea kwa jina ya yesu
@GraceNamulindwa-rk2eiАй бұрын
Mtumishi wa mungu naomba uniombee hata mimi nina hilo tatizo la kulala wakati wa kuomba.Naitwa Neema meena naishi uganda
@eveabasi246911 ай бұрын
Mungu naomba uguse maisha ya baba yangu Richard apone ugonjwa wa kupooza awe huru kupitia ibada ya leo
@carolinejbaile81711 ай бұрын
Amen mtumishi wa Mungu, haya yote ndio ninayapitia niko mbali na Jamii yangu but nashukuru Mungu mafundisho yako yamenisaidia sana
@jafetpatrick91328 ай бұрын
Asante Mungu naomba unitoe kwenye nyakati ngumu Amen
@official-daniel-daniellatw565410 ай бұрын
🙏 🙏 🙏 Amen
@GressGress-fd9xlАй бұрын
Asante mungu naamini utaenda kuniondolea kila nyakati ngumu ninayo pitia nisaidiy bwana asant mungu
@isakabransioАй бұрын
amin🙏
@adkajisi453611 ай бұрын
Mungu niokoe kupitia madhabahu hii napita wakati mgumu Sana katika masomo yangu.Yesu niokoe, amen
@ruthtito469911 ай бұрын
Napitia magumu Sana Mungu naomba unisaidie Yesu naomba usikie kumba kwangu nisaidie kumba mtumishi maombi ya wengi yananguvu
@reaganhassan1563 ай бұрын
Eeh MUNGU,kama ikikupendeza kupitia madhabahu hii,nipatie mke mwema,Amina
@user-lq6mg6fh3y11 ай бұрын
Najuwa BWANA unaweza Kwan lisilowezekana kwa mwanadam kwako wwe yawezekana sikia kilio changu BWANA 😢😢😢.......🙏🙏🙏
@kenmutethiamutethia885111 ай бұрын
Amen 🙏🏼🙏🏼 Mama yangu atapona Kwa njina la Yesu 🙏🏽
@imeldakassoga63327 ай бұрын
Amina🙏🏼🙏🏼
@user-pq7nn3ed4u10 ай бұрын
Ni kweli mtumishi umewekwa ili univushe nimekwama kila eneo Mungu nisaidie
@eveabasi246911 ай бұрын
Asante bwana yesu kwa kunifungua
@biannapiter55411 ай бұрын
Kumwabudu mungu
@AnneWambasi10 ай бұрын
Amen mam yangu atapona
@biannapiter55411 ай бұрын
Nami nimejiunga kumwabutu kwa kufunga nakuomba nchungaj niongoze🙏
@biannapiter55411 ай бұрын
Kumwabudu mungu
@marthaviana43311 ай бұрын
Amen 🙏🏼 I
@graceboke43465 ай бұрын
Najiunganisha na madhabahu ya Siri za biblia ya Mungu aliye hai amen
@NaumiBaya-wr7ri11 ай бұрын
Amen. Amen
@SalmaAs-wl5bn11 ай бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri Mungu akubariki
@user-fz7mt8xs2u5 ай бұрын
Ahsant mungu kwa uliv nifungua hakika nmeona Jin's uliv nipigania mungu kutoka katka kifungoo
@carolinekageha18849 ай бұрын
Nashukuru pastor Kwa mafunzo yako Hakika nimepitia lkn Wacha nipaki na yesu pekee
@user-uc5qr5xb6d8 ай бұрын
Amen
@user-qb7ej8cp5y6 ай бұрын
Ni kweli kabisa mtumishi
@janetkanongo326511 ай бұрын
Ameen Neno La Mungu Ndio Uhai Maishani Wetu🙏
@kevinwilliamu475711 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏
@JanetMihayo10 ай бұрын
Nakusikia vizur kutoka mwanza
@Josemlowe4 ай бұрын
Emungu simama Nami katika wakati huu mgumu ninao upitia
@saranelima69111 ай бұрын
Amen Amen Amen 🙏 mungu wangu unatosha
@adolphinemuswamba105911 ай бұрын
Kweli mtumishi ,kupitia magumu ninayo na watoto wangu ,nakosa nguvu ya maombi kama mwanzo
@geitandelwa2992 ай бұрын
ASANTE sana
@jennifernduku-bz8ot11 ай бұрын
Asante mutumishi,Mungu nimbandilishe niweze kupata nguvu mpya.