Je Unapitia Wakati Mgumu Katika Maisha Yako?

  Рет қаралды 51,803

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 260
@successpathnetwork
@successpathnetwork 5 жыл бұрын
Somo kubwa sana na la muhimu kwenye maisha yetu. Shukrani sana brother.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Success Path Thanks #SeeYouAtTheTop
@meshackpatrick6981
@meshackpatrick6981 5 жыл бұрын
Simon Zurich Sana nag linatia motorcycle ongera Sana kijana
@chaptech
@chaptech 5 жыл бұрын
brother Ezden, nakuelewa sana ukweli, nafurahi kuona pia nawe unajifunza kupitia watu kama wewe, nyote mbarikiwe pamoja na brother Joel
@successpathnetwork
@successpathnetwork 5 жыл бұрын
@@chaptech thanks Peter
@marthazakayo9787
@marthazakayo9787 5 жыл бұрын
@@successpathnetwork balikiwa Sana , Kwan mafundisho yako kiukwel yananijrnga sana
@manenolugendo6396
@manenolugendo6396 5 жыл бұрын
Bro ujumbe huu nimzuri sana umenigusa sana hakika wewe nimwalimu wa maisha wakweli nakumbuka wakati mgumu nilipitia rafiki wengi wakajitenga nami nilipokuja pata wakati mzuri wakataka kurudi nikafunga milango kwakujua kwamba hawakua watu sahihi. Ahsante kwa Ujumbe
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Maneno Lugendo Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@allicemwassa2789
@allicemwassa2789 4 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa mafundisho mazuri,
@rukiayasuleyman2900
@rukiayasuleyman2900 2 жыл бұрын
Hayo yote unayosema! Ndiyo maisha yangu napata taabu Sana kwenye ndoa yangu lkn nashindwa kufanya maamzi, nisaidie nipate ujasili😭😭😭
@msleny6767
@msleny6767 5 жыл бұрын
Safi sana tena maelezo nzuri sana, ni ukweli kabisa mambo haya. Nina rafiki aliye kataliwa na mzazi wake hapo basi akawa hana pakuenda wala pakukalia, lakini baada ya kuzungumzia na kijitia moyo asikate tama kuna sababu yake , leo hii anasema amejifunza vitu vingi kupitia changamoto hilo na amejifunza kumtegemea Mungu badala ya wanadamu Thanks for the upload Brother Joel💪👏👏
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Hellen Ogego Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@msleny6767
@msleny6767 5 жыл бұрын
@@joelnanauka Thanks for your uploads too, am greatly humbled
@jessydaktari5209
@jessydaktari5209 5 жыл бұрын
Thanks for the speech kila jambo baya linatokea kuna kitu tunaepushwa.....sante bro
@T1tanGamingCsgoMore
@T1tanGamingCsgoMore 4 жыл бұрын
Lecture yako imenigusa na yote ulosema ni ukweli kabisa na yamenitokea kweli na hata wanangu na baadae yanakuwa ni kheri kwetu. You're the best and God bless you 🙏
@issamkondoa7183
@issamkondoa7183 5 жыл бұрын
Kiongozi umenigusa zaidi ya 100% Nina zaidi ya miaka 7 sasa ninahangaika lakini nashindwa kusimama tena. Nimepoteza marafiki kama wote. Mara ya mwisho wiki iliyoisha nimejaribu biashara fulani nayo ikaanguka vibaya na shida kubwa nawaamini sana watu. Na hapa nilipo nina majonzi mpaka nalia na ninajiuliza nimemkosea nini mwenyezi mungu!
@maryammaram2612
@maryammaram2612 5 жыл бұрын
Pole issa usivunjike moyo amin unaweza jaribu tena utasimama 💪💪
@aasiyaasia682
@aasiyaasia682 5 жыл бұрын
ISSA MKONDOA uckate tamaa bora yan hapo mafanikio yako yapo karibu sana hivyo weka juhud zaid ,usilie tafakar na uangalie wapi unakosea na ujipange upya,kuwa na subra Muombe Mwenyez Mungu afu pia usipende kumuamin kila mtu sababu tupo katika dunia ilojaa hasad,chuki....inuka bro na uendelee kupigania ndoto yako ..bahar tulivu haitengenez nahodha bora...USIKATE TAMAA
@alfaniabassi7091
@alfaniabassi7091 5 жыл бұрын
Usikate tamaaa
@umikram6755
@umikram6755 5 жыл бұрын
Akhui kabla yakuanza jambo sema na ALLAH S.W atakujbu
@mammyali3424
@mammyali3424 5 жыл бұрын
Asanteee sana brother Joel..nikiwa Dubai nimejifunza kila siku Mimi ni mwanafunzi na leo umenifunza kumbe wakati mgumu...ni funzi katika maisha haufai kulikwepa
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Mammy Ali Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@richardvalson9868
@richardvalson9868 5 жыл бұрын
Thanks so much ßrother NANAUKA ulipo nipo👍👍👍
@hilarygodfrey5862
@hilarygodfrey5862 5 жыл бұрын
Nimekisoma kitabu chako cha ongeza kipoto kwakweli kinafundisha sana good job my brother
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Hilary Godfrey Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@giversteve6852
@giversteve6852 2 жыл бұрын
Asante sana brother ....maana Dah nilihisi kupasuka moyo ....angalau
@seifzongo320
@seifzongo320 5 жыл бұрын
Yaani elimu unayoitoa n Zaid yA elimu dunia hayo n maarifa ya kiroho that's why ukiongea unaongea na roho mpaka nywele zinasisimka, nakupenda Sana Kaka ila nakuuliza unaandika vitabu?! Kama una vitabu vinapatikana kwa utaratibu upi maana hauzungumzii kabisa kuhusu vitabu kak
@martinemanuel9782
@martinemanuel9782 5 жыл бұрын
Yeah anaandika vitabu anavyo zaid ya vitano
@seifzongo320
@seifzongo320 5 жыл бұрын
@@martinemanuel9782 vinapatikana wapi Sasa mbna atangaz
@martinemanuel9782
@martinemanuel9782 5 жыл бұрын
Kama Uko arusha nikupe no za wakala wake boss
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Andante snaa seif karibu sana unaweza kuwasiliana 0756-094875 kuvipata
@robertemmanuel1685
@robertemmanuel1685 5 жыл бұрын
Thanks bro, kwa masomo unayoyatoa tunapata mengi mazuri sana.
@timamusportstelevision6599
@timamusportstelevision6599 5 жыл бұрын
Shukrani you're my hero
@erickwilbard6457
@erickwilbard6457 10 ай бұрын
Ubarikiwe sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻, Mungu aendelee kukuinua, pia najifunza mambo mengi sana kutok kwako.
@amonkomba7232
@amonkomba7232 5 жыл бұрын
Thank you in advance once more MR JOEL
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
AMON KOMBA #SeeYouAtTheTop
@samsonezekiel970
@samsonezekiel970 5 жыл бұрын
True
@mohamedsigwa1712
@mohamedsigwa1712 4 жыл бұрын
Ni kweli kabisa somo nimelipokea vzr na nimeelewa Mungu akubariki
@Lululemon55
@Lululemon55 2 жыл бұрын
Nateseka sana mpk nguvu zimeniisha depression imeharibu kila ktu katk maisha yangu hakuna ktu chochote cha kunipa hamasa, nishajidhuru si mara moja wala mbili, nimejaribu kujiua sijui mara ngapi nishalazwa mental hospital miezi miwili lkn hakuna ktu kilichobadilika wallah natamani mda wng wa kufa ufike kwa haraka
@assilaibra4563
@assilaibra4563 Жыл бұрын
Pole Sana Dear,, Nitafute.
@theresiadebeli9621
@theresiadebeli9621 4 жыл бұрын
Najifunza mengi Sana kwa kila kitu naona maisha yangu yanaenda Sasa tanks nakupenda bure kaka
@emmanuelkitomary2274
@emmanuelkitomary2274 3 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho yako nimejifunza Sana barikiwa
@rashidkihombo6782
@rashidkihombo6782 4 жыл бұрын
Asante kwa elimu nzuri mi niko kwenye tatizo hilo kabisa nahitaj elimu zaid nirud tena kwenye mstar
@salmonmkanulasalmonmkanula807
@salmonmkanulasalmonmkanula807 5 жыл бұрын
Hizo ndo changamoto nilizo nazo kaka nimejitahidi kujikwamua ngoma imezidi kuwa ngumu nilikuwa vizur kipindi cha nyuma nimekuwa mtu wakuangushwa tu na ndugu na mahusiano yangu ya mapenz nimepata mke lakin ambaye amekubali kuwa na mm lakin bado naona kabisa changamoto zimezidi nimekosa hata hela ya kodi na matibabu ya mke wangu, yupo hospital mjamzito muda si mrefu kuanzia sasa anajifungua wakwe zangu wananiona kama namtesa mtoto wao najisikia aibu sana kaka nakuomba unipe mbinu nyingine labda mungu atanibaliki na mm
@tynomwingira9904
@tynomwingira9904 5 жыл бұрын
Nashukur kwa somo zuriii Mungu akubariki..kitabu chako cha #timizamalengoyako naweza kukipata wap?,binafsi nipo iringa!
@dullahwago5360
@dullahwago5360 2 жыл бұрын
Ahsante Joel
@Madam255
@Madam255 2 ай бұрын
Mimi wakati mgumu ulinilazmisha kufanya maamzi ambayo yamebadilisha sana maisha yangu kias kwamba nisingefanya maamzi saivi ingekuwa story nyingne asante sana kaka Joel Nanauka
@blessedman1163
@blessedman1163 5 жыл бұрын
Am proud of u bro najifunza sana kupitia wewe ubarikiwe sana na Mungu azidi kukuinua
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@clemencejohnson1072
@clemencejohnson1072 5 жыл бұрын
Shukran kaka ..MUNGU AKUBARIKI SANA..
@alexandermajula7268
@alexandermajula7268 6 ай бұрын
Asante sana
@nathanielsteven539
@nathanielsteven539 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana brother Joel,amina!!umenena jambo muhimu sana limenionyosha jambo, Keep it up brother.
@devotastambuli864
@devotastambuli864 4 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@benedictmasigo3802
@benedictmasigo3802 5 жыл бұрын
Thanks brother I appreciate
@gladyvictor9094
@gladyvictor9094 2 жыл бұрын
Asanteee
@princeholy4777
@princeholy4777 4 жыл бұрын
Nakuona kama wewe ni Role model katika maisha yangu.
@homemarket1601
@homemarket1601 2 жыл бұрын
Shukran sana kaka nimepata funzo kubwa
@akidasalim3859
@akidasalim3859 4 жыл бұрын
Asante sana umenisaidia
@ramadhanalmashamza3458
@ramadhanalmashamza3458 2 жыл бұрын
Asante sana kaka na mungu akubariki
@neemamacha8806
@neemamacha8806 5 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri kaka Joel. hili ni la kwangu kabisa!
@mariangailla660
@mariangailla660 2 жыл бұрын
Asante my kaka wanifunza mengi na kunipa nguvu
@priscakalenga4055
@priscakalenga4055 3 жыл бұрын
Asante sana nashukuru kaka
@omaryshafii50
@omaryshafii50 5 жыл бұрын
Naam kujifunza ni muhimu sana na Mungu anajua zaidi... Ahsante Mungu akubariki
@yoramdogezah8000
@yoramdogezah8000 4 жыл бұрын
Brother, Kiukweli mfumo huu wa kufundisha uko vzr kuliko ile ukiwa ofifisini, Unafundisha vitu ambavyo ni halisi ya maisha ha watu, Brikiwa sana mtu wa Mungu.. NAOMBA UONGEZE ZAIDI MASOMO MENGINE YA NAMNA YA KUPANGA BAJETI, NA NIDHAM YA PESA
@dullahgutram7040
@dullahgutram7040 3 жыл бұрын
asante brother mungu akubariki
@philomenajolam8516
@philomenajolam8516 3 жыл бұрын
Jamani Mungu anatoa somae kwa wkt , asante kwa somo zuri
@elizabethmrema5556
@elizabethmrema5556 3 жыл бұрын
Kaka somo lako ni nzurii sanaa litatufundisha wengi
@priscahrobert5481
@priscahrobert5481 6 ай бұрын
Mungu akubarik sana❤
@paulinastephano236
@paulinastephano236 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Sana 🙏🙏
@princeholy4777
@princeholy4777 4 жыл бұрын
Napenda kwa kile unachokifanya. Umenisaidia sana hongera Nanauka
@stevendais7653
@stevendais7653 4 жыл бұрын
Asante kaka Kwa somo zuri , daah maana nipo kwenye wakati mgumu wenye maumivu makali
@shabansalum6014
@shabansalum6014 3 жыл бұрын
Shukran sana Mtaalam... Faida kubwa inapatikana kwa hakika katika Somo hili na mengine mengi unayo yaleta...
@jacksonmakasi8378
@jacksonmakasi8378 2 жыл бұрын
Asante Kaka umeleweka
@furahayabwana6127
@furahayabwana6127 5 жыл бұрын
💯👏👏👏 Asante
@hamismkunda1452
@hamismkunda1452 5 жыл бұрын
ubarkiwe kwa somo nzurii
@hafsahcletty5968
@hafsahcletty5968 5 жыл бұрын
Alhamdulilah mashaallah.Shukran
@davierobert5563
@davierobert5563 5 жыл бұрын
Asante sana kaka jn kwa masomo yako mazuri nimejifunza mengi sana
@joseefaidabutu7294
@joseefaidabutu7294 4 жыл бұрын
Asante sana mwalimu
@fanuelmallongo1042
@fanuelmallongo1042 5 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana kaka kwa ujumbe mzuri
@babugojo6418
@babugojo6418 3 жыл бұрын
Asante
@charlesatanas3270
@charlesatanas3270 4 жыл бұрын
ubarikiwe sana joel,nilipotea kazi yangu ya kwanza nikajua ndio mwisho wa maisha lakini nikaja kupata bora zaidi ya ile ya kwanza
@bitembwambo2893
@bitembwambo2893 2 жыл бұрын
Nimejifunza mengi kk barikiwa
@fatmaali4794
@fatmaali4794 3 жыл бұрын
Asante my brother
@mohamedhango1631
@mohamedhango1631 5 жыл бұрын
Hakika ni somo kubwa ktk system ya maisha yetu shukran kwako.
@alimaalim9287
@alimaalim9287 5 жыл бұрын
Iko vizuri sana
@isihakamyonga3886
@isihakamyonga3886 5 жыл бұрын
Napitia hali hiyo hivi sasa. Nashukuru kwa somo zuri.
@rehemakawamda629
@rehemakawamda629 4 жыл бұрын
Kweli kaka joel mimi napitiya ayo naomba msada
@judithwambura9234
@judithwambura9234 5 жыл бұрын
Many thanks bro
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 Жыл бұрын
Asante kwa somo kaka napitia wakati mgumu ila tangu nikujue wewe umekuwa mkombozi wngu!
@joowzeyboyjoowzee4474
@joowzeyboyjoowzee4474 4 жыл бұрын
Thanks again
@mg.general7710
@mg.general7710 5 жыл бұрын
Shukran Sana broo
@elizamuba6436
@elizamuba6436 5 жыл бұрын
Kaka somo hili linanihusu ,ninamiaka na hata sasa ninapita wkt mgumu,marafiki na watu wa karibu, ninaowaamin huniumiza sana yaani nimekuwa wa mtu wa kulia, kuhuzuni na kujutia tu kila wakati.nimejikuta nakosa imani na watu kabisa
@mwanaharusialifakifaki8716
@mwanaharusialifakifaki8716 5 жыл бұрын
“ kuna wakati mgumu mwengine inabidi ufanya maamuzi usipofanya wakati mgumu unajirejea ili kukulazima ufanye maamuzi”sahihi mno maamuzi wakati meengine yanauma unaweza kutoa maamuzi huku unalia ila inabidi ili utoke kwenye kifungo jpkua unapenda ilaukioonahupendwi br kutoa maamuzi na baadae vitu vyote hukaasawa ahsante dokta joel somo lako ninaonesha wAzi sikukokea pia nimejifunza
@joyceisack5930
@joyceisack5930 5 жыл бұрын
Asante sana J
@helbertsoneka2008
@helbertsoneka2008 5 жыл бұрын
shukran brother J
@salimmuhamed7731
@salimmuhamed7731 4 ай бұрын
Mwalimu mungu akubariki mm nafanyakazi na ndungu zangu lakini wananiharibia kazi kuwaondosha nilawama nifanye nini niepukane na huu mzigo
@joseefaidabutu6467
@joseefaidabutu6467 5 жыл бұрын
Asante sana kwakuniongezea tena ujuzi
@zawadimasali2548
@zawadimasali2548 5 жыл бұрын
Sijui hata niandike nini, Mungu akubariki Sana na akuongezee maarifa
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
zawadi masali Amin nashukuru mnooo,endelea kuniombea
@AbdulHalim-su7kl
@AbdulHalim-su7kl 5 жыл бұрын
Mr.Nanauk yaan katik sik zot y 1 leo umenp kitu kubw sanaaaa ubarkiw mkuuuuu....
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Abdul Halim Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@hezronmangulamangula9718
@hezronmangulamangula9718 3 жыл бұрын
Daaaaaaa bradha nimeshinda nimetapeliwa sana Kuna wakati nilitapeliwa kazini hakika nimeyashinda mungu mkubwa sana leo ndo najuwa kumbe nilikuwa natengenezewa njia
@egonkasiano7822
@egonkasiano7822 5 жыл бұрын
Shukran
@artsoneliah2542
@artsoneliah2542 5 жыл бұрын
Mungu akubariki sana, ukweli nimepata kitu leo
@wejja423
@wejja423 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mkuu. Kuna vitu nimejifunza katika somo hili
@joycewambui2270
@joycewambui2270 5 жыл бұрын
Amen Joel barikiwa kwa hekima iii
@eugenfredrick2328
@eugenfredrick2328 5 жыл бұрын
Thanks Sana my brother!!!
@chrisnam8885
@chrisnam8885 4 жыл бұрын
Hello
@mathiasnchinga1987
@mathiasnchinga1987 2 жыл бұрын
Nakosa mwelekeo wa maisha yangu
@shukuranirebecca4877
@shukuranirebecca4877 Жыл бұрын
🙏🙏
@jumannemohamed4526
@jumannemohamed4526 5 жыл бұрын
Ahsante sana kwa ushauri wako
@edwardsizya3515
@edwardsizya3515 3 жыл бұрын
Safi bro
@swahibmakumulo9329
@swahibmakumulo9329 5 жыл бұрын
Well Spoken Joel!!!!
@herimailo8183
@herimailo8183 Жыл бұрын
Brother asante
@josephngunda5120
@josephngunda5120 3 жыл бұрын
Mungu kamrudisha Dr. Myles Munrol duniani kupitia Wewe mwili wako na akili yako 👍👍👍.
@alfayoamani177
@alfayoamani177 4 жыл бұрын
Thanks for advice brother
@beatricmmpantaleo3420
@beatricmmpantaleo3420 4 жыл бұрын
Smart Kaka with smart brain🙏🙏🙏
@naomiebieza8821
@naomiebieza8821 5 жыл бұрын
Sahihi
@emmanueljohn4948
@emmanueljohn4948 4 жыл бұрын
Habari kaka Joel Mimi wakati ambao napitia ni pale ninapo fanya kaxi alfu sijui hela inaenda wapi nakuta naweka akiba kidogo nimeitoa Ile akiba Tena yan nashindwa kabisa kuelew nakwama wapi
@ovn-sportswear4983
@ovn-sportswear4983 4 жыл бұрын
Salute big broo somo hatar sana
@makalanimakalani331
@makalanimakalani331 3 жыл бұрын
Dah we jamaa mungu aku linde,
@mrsrm9540
@mrsrm9540 3 жыл бұрын
Kwanza asant kwa topic lkn mm mwenyewe binafs napitia katk wakat mgumu sana wa mahusiano yangu maan nimempoteza mtu aliyekua na nafas ya kipekee sana ktk mahusiano yangu
@suleymanomary6694
@suleymanomary6694 5 жыл бұрын
ubarikiwe brother
@barakamwaki253
@barakamwaki253 4 жыл бұрын
Umesema kweli kaka me kwa kipindi hiki napitia wakati mgumu baada ya kushindwana na boss wangu,nimeacha kazi kwake na sasa ninatarajia kuanzia ofc yangu binafsi japo mtaji nilokuwa nao ni mdogo lkn ntaanza nao ivyo ivyo ntakuwaga taratibu.
@evahealthservice7390
@evahealthservice7390 3 жыл бұрын
Najifunza mengi kupitia mafunzo yako. Ubarikiwe mno.
@luhanyamipawantobi6888
@luhanyamipawantobi6888 4 жыл бұрын
Nilichongewa KAZIN nikaumiasana,,,ila nimepata kazi nzuri KULIKO ile
@merymushi6173
@merymushi6173 5 жыл бұрын
Kaka Joel nimejifunza sana mambo mengi kupitia wewe Asante sana
@salhinakm4733
@salhinakm4733 5 жыл бұрын
Shukrani saaana kwa ushauri kiongozi
Joel Nanauka : Nini Ufanye Unapopitia Nyakati Ngumu?
46:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 25 М.
Nyakati Nne (4) Za Ushindi - Joel Nanauka
10:29
Joel Nanauka
Рет қаралды 33 М.
مسبح السرير #قصير
00:19
سكتشات وحركات
Рет қаралды 11 МЛН
when you have plan B 😂
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 48 МЛН
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 120 МЛН
LIFE WISDOM : USHINDI KATIKA VITA - JOEL NANAUKA
10:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 10 М.
Ishi Katika Uwezo Wako Wa Kipekee Sehemu Ya Kwanza
17:27
Joel Nanauka
Рет қаралды 105 М.
MAMBO 10 YA KUKUSAIDIA KUSHINDA TATIZO LOLOTE LILE
29:50
Success Path Network
Рет қаралды 52 М.
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka
14:16
Hamasika Tv
Рет қаралды 62 М.
LIFE WISDOM : IJUE NGUVU ILIYOPO NDANI YAKO - JOEL NANAUKA
15:34
Joel Nanauka
Рет қаралды 18 М.
Kutawala Hisia Zako - Joel Nanauka
11:03
Joel Nanauka
Рет қаралды 59 М.
MAISHA NI ZAIDI YA MASOMO YA DARASANI - ANTHONY LUVANDA
23:53
TonyInspirationalTalk
Рет қаралды 40 М.
KUJIAMINI NI SIRI YA MAFANIKIO KATIKA MAISHA | Ezden Jumanne
14:14
Success Path Network
Рет қаралды 30 М.
AINA 5 ZA KUFIKIRI ZINAZOFELISHA WATU - JOEL NANAUKA
9:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 65 М.
مسبح السرير #قصير
00:19
سكتشات وحركات
Рет қаралды 11 МЛН