MAPENZI YAUA ARUSHA! MUME Ajinyonga BAADA ya KUSHINDWA KUMUUA MKEWE ALIYEJIFUNGIA Bafuni USIKU KUCHA

  Рет қаралды 133,907

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 213
@winnerjudith2007
@winnerjudith2007 3 жыл бұрын
Arusha Arusha kuna nini eh Mungu turehemu tunakataa hizi roho za mauaji kwa jina la Yesu Kristo. Amen
@sukariyao6537
@sukariyao6537 3 жыл бұрын
Ameeen 🙏🙏😔
@ebenezamafie796
@ebenezamafie796 3 жыл бұрын
Kweli nimeamini kila kitu linakusudi lake choo kimetumika kuokoa maisha ya binti mrembo Mungu awajalie neema
@afrakanaswahilitv5520
@afrakanaswahilitv5520 3 жыл бұрын
Poleni kwa maafa ya kimakusudi. Mungu awape nguvu na subira kupitia hayo magumu.
@micamathew2595
@micamathew2595 3 жыл бұрын
Shetani siku zote yuko kazini!!! Sasa vijana wa siku hizi hawapendi kusali kwenda kanisani kufanya ibada. Bila Yesu utaona maisha ni mazito sana!!! Sasa kazi ni mmoja, twendeni kwa Yesu, atatusaidia, Haleluyaaaaa ameeeennnn.
@abdillahhussein3020
@abdillahhussein3020 3 жыл бұрын
Nenda mwenyewe kwa yesu ,Mm naenda kwa mtume Muhammad (s,a,w)
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 жыл бұрын
KWANI ANAKAA MTAA GANI??? SI NASIKIA KAHAMA PALE TANDALE.
@hassanisadiki824
@hassanisadiki824 3 жыл бұрын
Yesu ndio nani?
@danwayne786
@danwayne786 3 жыл бұрын
Mwana mke akisha muacha mmewe alafu ambiwe wasuluhishe, huo ni mtego wa kuuawa. Ukiamua kumuacha jua maisha yako yako hatarini. Kuna wanaume wasio kubali kuachwa. Lengo lao ni mauaja baada ya kuachwa . Ukisha muache mmewe hama jiji au hata nchi. Hili ni funzo muhimu kwa wana wake na pia wanaume.
@ruqayaruqaya4283
@ruqayaruqaya4283 3 жыл бұрын
Duuh mungu atuepushie vifo hivyo inshallah na mungu amuweke mahali panapo stahili 😢
@ilungasalle
@ilungasalle 3 жыл бұрын
Huyu kima alikuwa na nia mbaya, alitaka kumuua mkewe kisha nae ajiue. Wacha afe mwenyewe aache mtoto wa watu na maisha yake. Suluhu gani hiyo inayoishia kwenye kujinyonga
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 3 жыл бұрын
Kweli mtoto sijui angeishi vp🤔
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 3 жыл бұрын
Ndo vizuri kafa ana angewazuru wengi
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 7 ай бұрын
NimechekaEti.suruhu.gani.hyo.inayo.ishia.kujinyonga
@aishachambo8663
@aishachambo8663 3 жыл бұрын
Kumbe alitaka kumuuwa mwenzie 😳bora kajiuwa mwenyewe
@BINTIwaKITANGA
@BINTIwaKITANGA 3 жыл бұрын
Mmh ninavyoogopa ushahidi mimii 🤔🙄🌝mmh huyu dada WA Kwanza kanyoosha maelezo kama alikuwepo Mie ushahidii 🙌🙌
@doramakula4785
@doramakula4785 3 жыл бұрын
Arusha shetan yupo kazini kwa ajili ya mauwaji mungu usie shidwa jambo lolote tunaomba i simama mwenyewe
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 11 ай бұрын
WAnaume wote wangekuwa wanajiua hivi ingekuwa afadhali kuliko wanaume makatili kuondosha uhai wa mwenzie! Umechoka kuishi jiue umwache mwenzio anaependa kuishi aishi kwa raha. Wanaume wengi wanajiona ni mungu mtu wanaweza kumfanyia chochote mwanamke mnyonge
@aishaathman7340
@aishaathman7340 3 жыл бұрын
Jinyongeni tu kwa sababu ya mapenzi. Mi huko kufa kwenyewe nakuogopa ni vile tu ni lazima sinabudi siku ikifika.
@zainabwage4658
@zainabwage4658 3 жыл бұрын
Good point
@rukaiyaahmadsuleiman3951
@rukaiyaahmadsuleiman3951 3 жыл бұрын
Umeona eeeehhh
@shemsaomarsuleiman8600
@shemsaomarsuleiman8600 3 жыл бұрын
Kabisaaaa
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@hafsahussein505
@hafsahussein505 3 жыл бұрын
Maisha yenyewe matamu
@welcometoeat165
@welcometoeat165 3 жыл бұрын
Jaman tukiachwa tusikubal kurudi tena visa vingi kwa sasa vya mauaji chanzo ni watu kurudiana
@hazlerhussein6486
@hazlerhussein6486 3 жыл бұрын
Wangapi tumesikia kifo cha taarifa tumekipata badala ya taarifa ya kifo tumeipata
@aminasuleiman8120
@aminasuleiman8120 3 жыл бұрын
Vituko vya wanaadamu wa Leo hata shetani anastaajabu!??Allaa tujaarie mwisho mwema 😥😥😥
@issahashimu2593
@issahashimu2593 3 жыл бұрын
Allah not Allaa please lakn
@faithluande1867
@faithluande1867 3 жыл бұрын
Mwiba wa kujidunga hauambiwi pole mashore kibao mpka nyapu zauzwa kimafungu kiumeni kujikaza from mombasa
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 3 жыл бұрын
Hahq..eti portable, pisi kali, anavutia😃😃😃💃bora pisi kali haijauliwa..hasara ingekuwa mara 2😃
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 3 жыл бұрын
Mm nasubir ziraili anichukuwe lakini kujiuwa sisubutu mungu anisuru ishaalah🙏🙏🙏🙏💕💕😅😂🤣😘👍
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 3 жыл бұрын
Siku ilifika ilikuainatafuta sababu tu inalillah wainailahi rajuun Allah mueke panapo staili lnshallah
@queenmunny244
@queenmunny244 3 жыл бұрын
🙏🙏nikwel kabisa ndugu
@ryobaadams3358
@ryobaadams3358 2 жыл бұрын
Mungu atawasaidia ndugu zetu waarusha.
@salimkisoja5030
@salimkisoja5030 2 жыл бұрын
Poleni sana kwakujinyonga
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 3 жыл бұрын
Kwa hiyo alimwita mwenzake amuue , halafu nae ajiuue, wamwache mtoto yatima mhh. Bora kaenda peke yake.
@alisaidi7477
@alisaidi7477 3 жыл бұрын
Daaaah.... inauma saan... Maish yenye ndy hayaa....
@rosetagaye5731
@rosetagaye5731 3 жыл бұрын
Mungu atuepushe na hizi roho za mauti
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 3 жыл бұрын
Eeh bhana eeh mapenzi tusiyape nafasi sana kias cha kugharimu maisha,mtu fanya kazi pata hela kula vizuri yaan uhakika
@joshuansamiye3342
@joshuansamiye3342 3 жыл бұрын
Kwel kaka nakubal
@salmaabdulabdul1057
@salmaabdulabdul1057 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@maryamm7765
@maryamm7765 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@florianhashimu1370
@florianhashimu1370 3 жыл бұрын
Wazee huu moto ulikuwa unafukuta chini kwa chini mwanamke aulizwe vzr
@Worldunite
@Worldunite 3 жыл бұрын
Tatizo tumepuuza mafunzo ya Jando na Unyago, lingine vijana wanaendekeza sana michepuko
@amnewarji1707
@amnewarji1707 3 жыл бұрын
Du Arusha kuna pepo anatembea jamani kila kukicha mauwaji hayaishi mungu tustiri waja wako.
@happynelson1136
@happynelson1136 3 жыл бұрын
Mimi kila mara nikitoka nje wanaume wananiangalia na siwezi kuwazuia yaani inamaanisha kama ningekuwa na boyfriend angesikia wivu kuangaliwa na watu wakati sio makosa yangu jamaa mwenyewe alimua kuwa na demu pisi kali sasa alitegemea nini sisi wanawake tuepuke kuwa na wanaume wenye wivu kupita kiasi unaweza kuuliwa bila sababu
@queenmunny244
@queenmunny244 3 жыл бұрын
Mungu atuepushie hizi roho za umauti
@maimunaulotu2075
@maimunaulotu2075 3 жыл бұрын
Mbon ni watoto jmn😥😥😥😥kunjunjuan c kupo jmn
@getrudalufega9770
@getrudalufega9770 3 жыл бұрын
Imemugeka Safi sana
@glorynnko4753
@glorynnko4753 2 жыл бұрын
Katka kitu cntokaa nifanye nikujiu au kumuua mwanaume Sabab y mapnz never ever
@arafakiloli749
@arafakiloli749 3 жыл бұрын
Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu poleni sana ndugu na jamaa Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu.
@saidyssaley1509
@saidyssaley1509 3 жыл бұрын
Rehma gani kutoka kwa Allaah na amejiuwa na mtu akijiuwa hugo amekufa kafiri
@queenmunny244
@queenmunny244 3 жыл бұрын
Ameen
@zainabually2968
@zainabually2968 3 жыл бұрын
Amejinyongaje Uku kalala chin mmmh
@enterenter1921
@enterenter1921 3 жыл бұрын
Mwanamke uanze ibada sahii ingekua niwew ndio umekufa
@tatumussa6813
@tatumussa6813 3 жыл бұрын
Poleni sanaaaaaaaaaaa
@mamaahmad8615
@mamaahmad8615 3 жыл бұрын
Bora alivyo jiuwa mwenyewe kajibu kwa mungu sasa
@mwahejaporongdt1766
@mwahejaporongdt1766 3 жыл бұрын
Mtihani sana
@officialjclever9879
@officialjclever9879 3 жыл бұрын
Pisi Kali imebaki kwa mabaharia duh haya maisha bhana
@ashuramatata595
@ashuramatata595 3 жыл бұрын
Lkn mnyanya kwann ulifanya ivoo daah 😭😭😭
@noahlarapho3411
@noahlarapho3411 3 жыл бұрын
Poleni
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 3 жыл бұрын
Dah wanaume tunakwama wapi??? Kila kukicha tunajinyonga kweli?? Dah noma sana
@glorynnko4753
@glorynnko4753 2 жыл бұрын
Mapensi matam
@don15tv
@don15tv 3 жыл бұрын
Mwandishi msomi kumbe bado ni camera Man mzuri tu , kwenye kioo anaonekana Lebaba mwandishi msomi
@sharmelasaif47
@sharmelasaif47 3 жыл бұрын
Bora kajiuwa mwenyewe
@marryclemence5820
@marryclemence5820 Жыл бұрын
Kufen tuuuuu ..... Lkn mm hapana kabisa
@mohammedabdala7526
@mohammedabdala7526 3 жыл бұрын
Mungu kamlaani haya aliyo yataka hajafanikiwa haya malipo ni hapa hapa duniani Ila mungu kasha kulipia nabado hukumu yako
@muhammadmuhaznun380
@muhammadmuhaznun380 3 жыл бұрын
Hii kesi ichunguzwe how comes....huyo mke achunguzwe maybe ilikua Anajitetea Kwa bahati mbaya ikatokea yaliotokea
@Zubaiba
@Zubaiba 11 ай бұрын
Arusha lakin mnanini jamani,mbona mmezidi jamani kila siku matukio makubwa ,ndugu zangu badilikeni
@enterenter1921
@enterenter1921 3 жыл бұрын
Hahahahaaaa dada umemsifia asee 🤣🤣Et mzuri hatare dada umemaliza pic kali
@kashinjepius4096
@kashinjepius4096 3 жыл бұрын
Oa una miaka 32 hv utakuwa umekomaa kiakili
@RonnieBertin
@RonnieBertin 2 ай бұрын
Nitaoa nikiwa na 50 nishatosheka kula Bata
@queenmunny244
@queenmunny244 3 жыл бұрын
Mungu akupungudhie adhab ya kabri mnyanya 😢😢😢😢🙏
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 3 жыл бұрын
Atampungunziaje adhabu ya kaburi na kajinyonga mwenyewe Kwanza akitaka kumnyonga huyo dada ashukuru mungu kajimalinza mwenyewe
@queenmunny244
@queenmunny244 3 жыл бұрын
@@asteriambwei3349 mungu ampungudhie adhab ya kabri kwani mungu ndo mwenye kuhukumu sio sisi binadamu atakama kosa nilakwake mwenyewe binafsi tumuachie mja wake kwani yeye ndo amjua mja wake alikutwa na nini au ndani ya moyo wake kulikua kuna maumivu gani tujifunze kitu mimi na wewe hatujui kesho yetu sio vyema kutoa maneno makali kwa marehemu atujui kuwa tunazidi kumuongedhea dhambi
@ezekielloylepayon5042
@ezekielloylepayon5042 3 жыл бұрын
Anayehojiowa sasa 😂😂😂😂anasafia kama yote sijui yeye ni pisi baya 🤣🤣😂😂
@ashuhunamohamed7997
@ashuhunamohamed7997 3 жыл бұрын
Mwanamke kumsifia mwenzie ni vzur
@malelabmalela5016
@malelabmalela5016 3 жыл бұрын
Jaman
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 3 жыл бұрын
Wa arusha wana roho ngumu sana.dada aisaidie police...huenda ikawa yy ndio muuaji...
@zuenajohn8325
@zuenajohn8325 3 жыл бұрын
Kama unaamini malipo ni hapahapa duniani gonga like.
@luckyrasuli525
@luckyrasuli525 2 жыл бұрын
Mwanamke nimzuri kipotabo kiukwel anasifiwa kameza mengine ebu njoosheni maneno
@annachales9623
@annachales9623 3 жыл бұрын
Maelezo yenu yanajichanganya Mara alitaka kujinyonga ndo ikateleza akaangukia mtungi wa gesi mara amejinyonga kupitia bimba lakuweka pazia dirishani...Jamani RIP
@hambalhusba9638
@hambalhusba9638 3 жыл бұрын
Huyo mbona anapaswa kuwa shahidi namba moja
@ednajeremiah928
@ednajeremiah928 3 жыл бұрын
Acheni afe hasira za kumkosa mke kumyonga ndio akaona ajinyonge fila salama huliko
@camillahamis1069
@camillahamis1069 3 жыл бұрын
Sasa alitaka mtt abaki nanan kha akufe tu na mungu asisameh makosa yake
@pwararirapwapwiiiii9730
@pwararirapwapwiiiii9730 3 жыл бұрын
Aaaaah n too much ndpo Tanzania n sna ssa🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️
@nadrahassan5241
@nadrahassan5241 3 жыл бұрын
Jamani 😭
@charlesmyamba8531
@charlesmyamba8531 2 жыл бұрын
Kufa kufa vipi unaanze kujinyonga kwanza kufa kwenyew sijazoea
@sylviermuhonjah8411
@sylviermuhonjah8411 3 жыл бұрын
Ameni kumbusha alisha wahi tokea mtaa wa kwetu jamaa alipiga bonge la shonde ndipo akajitundika I say laana
@asiakheir8684
@asiakheir8684 3 жыл бұрын
Wanaume wakiowa mke mzur, ukisalimiwatuu, wanaona unatongozwa, wanafanya wivu
@ayububakari9942
@ayububakari9942 3 жыл бұрын
kwanin nawe usalimiwe na kila mtu
@shabanikamsawa181
@shabanikamsawa181 3 жыл бұрын
Kumbe mko wanawake wabaya na wazur ww je upo kundi gani mzur au mbaya
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
Sema tena
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
@@ayububakari9942 kwani ni mchawi asisalimiwe na kila mtu??
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 жыл бұрын
@@ayububakari9942 WAULIZE WANAO MSALIMIA WAO WANAJUWA.
@nelsonkazaura5713
@nelsonkazaura5713 3 жыл бұрын
''Kifo Cha Taarifa Timekipata''....
@salmaadil7122
@salmaadil7122 3 жыл бұрын
😄😄😄naww umeskia eee
@zaykipini4761
@zaykipini4761 10 ай бұрын
😂😂😂 ila watu mpo makini kuskiliza mazungumzo mm nipo busy kusoma comment
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free 3 жыл бұрын
Hii Tanzania inaelekea wapi?
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
Bora alivo jinyonga mwenyewe kwakweli
@judithkatabaro3294
@judithkatabaro3294 3 жыл бұрын
Jamani nimecheka kama mazuri kaa 🤗🤗
@zaykipini4761
@zaykipini4761 10 ай бұрын
Huyo dada alipoingia chooni angeweza kuomba msaada kupitia dirisha la huko bafuni
@neemaruben5427
@neemaruben5427 3 жыл бұрын
Dyuiiii atariiii hiiiii jmn jmn jmn jmn
@pendomariki6562
@pendomariki6562 3 жыл бұрын
Hiyo kamchimbia shimo mwenyewe katumbukia mwenyewe
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 3 жыл бұрын
Raha zote hizi za dunia unajinyonga
@robinrizone9129
@robinrizone9129 3 жыл бұрын
RIP
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 3 жыл бұрын
Subhanallah innalillahi wainnailayhi rajiuun 😭 mmhu jamani
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 3 жыл бұрын
Kujiuwa vizur funza wanasubir kwa ham kwenye kaburi na wadudu kulala bass kusudi haimbii pole
@zayanazayana5353
@zayanazayana5353 3 жыл бұрын
Inashangaza wapangaji wataskia mwenzao anapigwa ananyongwa hawachkui hatua mpk mmoja afe ndio wanaanza story
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 3 жыл бұрын
Yaani ni wapuuzi sana
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 3 жыл бұрын
Innalillah wainnah illah lajoun
@lifhonlee3427
@lifhonlee3427 3 жыл бұрын
Arushaaaaaaaaaaaa.tumewachokaaaaaaaaa
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 3 жыл бұрын
Arusha jamani mmeingiliwa na pepo gani
@salmaabdulabdul1057
@salmaabdulabdul1057 3 жыл бұрын
Yani huyo kamuita amuue Kisha ajiuwe na mwenyewe
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 3 жыл бұрын
Ndo shida ya kuoa pc kar duh ,,,,r ip
@peteryukunda9239
@peteryukunda9239 3 жыл бұрын
Huo ni ujinga,wanawake/wanaume wapo wengi.
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 3 жыл бұрын
Khaaswa! Kumng'ang'ania mtu ndio chanzo cha hays. Km mtu mapenzi yameisha endeleeni na mambo mengine kuliko kuwindana roho. Mapenzi gani ya kuuana. Khaaa
@nyamkamawanjara29
@nyamkamawanjara29 3 жыл бұрын
mauaji yamekisiri arusha,,nawakati wahehe ndo walikuwa wakiongoza kwa kujinyonga,,mi mtu akitaka kujinyonga au kujiua ,,siwezi kumzuia maana ni maamuzi binafsu
@vero57
@vero57 3 жыл бұрын
Mapenzi yana uwa ,wahenga walisema
@neemamwasomola8663
@neemamwasomola8663 2 жыл бұрын
Arusha mnanini
@aishaddddhh6272
@aishaddddhh6272 3 жыл бұрын
Innalilah waina ilaihim rajiun
@yusuphkassimu227
@yusuphkassimu227 3 жыл бұрын
Acha jeshi la police lifanye kazi huyo Binti afunguke tu .
@pericykiko6198
@pericykiko6198 3 жыл бұрын
Je wakati yupo bafuni angepiga kelele pengine wangesaidiwa
@lizzybby2392
@lizzybby2392 3 жыл бұрын
😢😢😭😭
@ManaseMoleli
@ManaseMoleli 8 ай бұрын
Usaliti unajua lakini cjinyongi ngo,
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 3 жыл бұрын
Heee
@LoveStory-ne2ee
@LoveStory-ne2ee 3 жыл бұрын
Subuhanallah
@luluwhite3818
@luluwhite3818 3 жыл бұрын
😭😭😭😭
@jackiekimario9324
@jackiekimario9324 3 жыл бұрын
Huyo mke wake achunguzwe inawezekana kampiga na huo mtungi maana maelezo hayaleti maana
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
Innalilah wainailah rajioon
@Oscarmarwa-fitnesstrainer
@Oscarmarwa-fitnesstrainer 3 жыл бұрын
Acha wengine wamiliki pisi hiyo
@kiri5807
@kiri5807 3 жыл бұрын
Sasa huyo binti wakati kashajifungia chooni kwa nini asipige kelele ? Huyu jamaa inaonekana alikusudia amuuwe huyo binti baada ya kufeli plan zake ndio akajiuwa mwenyewe.. km angefanikiwa kumuuwa asingejiuwa mwenyewe . Salama yake hakumuuwa mtoto .
@halimamakange.281
@halimamakange.281 3 жыл бұрын
Daaah sina lakuongea ila yote mipango yamungu kapunzike mdogo wangu kipenzi msalimie mama na kaka zako
🎈🎈🎈😲 #tiktok #shorts
0:28
Byungari 병아리언니
Рет қаралды 4,5 МЛН
Wednesday VS Enid: Who is The Best Mommy? #shorts
0:14
Troom Oki Toki
Рет қаралды 50 МЛН
MAISHA DUNI FAMILIA YA PACHA WALIOTENGANISHWA, BABA AJITOKEZA
21:02
Mwananchi Digital
Рет қаралды 11 М.
🎈🎈🎈😲 #tiktok #shorts
0:28
Byungari 병아리언니
Рет қаралды 4,5 МЛН